Hayati Alikuwa Mtu Mwema Na Mbele Zake Mungu Maombi Yetu Awe Mahala Pema Amiin Na Mama Yetu Mh Rais Samia Suluhu Hassan Uwezo Wake Mwenyezimungu Ukuongoze Daima Tunakutazama Vyema Na Kutegemea Yote Mazuri Kama Kiongonzi Wetu Hatujawa Wapweke Tusipate Kuwa Wapweke Daima Tunakuombea Yote Mazuri Amiin InshAllah 🇹🇿💯
Ulimi Hauna Mfupa Muhimu Napenda Awe Na Msamaha Wa Mungu Kwa Lolote Alilowahi Kukosea Kwakuwa Hayati Alikuwa Ni Rais Bora Kwa Sie Wananchi Tusio na Macho Ya Kujua Mengi Sana Nilimuona Mtu Mwema Sana Kwa Kurudisha Nafasi Ya Kipaumbele Kwa Wananchi Wa Kawaida Masikini Anaeweza Kuhurumia Masikini Anapendeza Kuhurumiwa Pia InshaAllah Samahani Kwa Kukukwaza Kaka Adam Daudi Shukran
Apumzike kwa Amani Rais wa Awamu ya 5 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Rais Dr John Pombe Magufuli. Mungu Ambariki Rais Samia na Mungu Ibariki Tanzania Nchi Yetu Sote🇹🇿🇹🇿
Kila mtu anaenea katika viatu vyake Your doing good madame president because you are really doing as you..! Peace & Prosperity is the only focus we do aim at🤝
Usinichote piga kazi kama ya huyo jamaa ukifkika theruth tu hata jamaa atakutembelea yeye ndotoni....tupo pamoja ila nipo kwa mbali huwa nakuzumu tu ungejua kilo ya mchele ni elfu 3 na pesa yetu haina thamani ungelia mimi nashika elfu kumi moja naninashindwa kuigawa kwa day najua wewe unashika idadi ya noti nyingi kiukweli uwezi kutambua nachokifili.
Ombi langu binafsi Mheshimiwa Rais Samia naomba nipate nafasi katika Kitengo Cha Ulinzi na Usalama wa Taifa letu Tanzania. Mwenyezi Mungu amenijalia Uwezo wa Utambuzi (Intelligence) ya kuhisi Hatari na Salama iliyopo mbele.🇹🇿🇹🇿
Zaidi sana Mimi binafis yangu Na Jami yangu yote jipm kamwe siwezi kuacha kumkumbuka Na kumoombea mungu ampe taji ya Mtumishi mwema ila sisi watu wa Ali ya chini tunaokula mlo mmoja kwa siku tutamlilia mungu mpaka kieleweke Na mungu atajibu
Pole sana mama jeneth wewe ni muombaji kama sis timu malumu ya Maombi macho yako kila itwapo Leo elekeza kwa mungu Na kilio chako kiwe kwa mungu usiache kumwita mungu kila itwapo Leo tambua ibilisi aliye laaaniwa Na mungu alali yuko macho ila tumepewa sila za kumteketeza
Apumzike pema raise wetu Magufuli tulimpenda...mama, na wewe pia tunakupenda chapa kazi mama yetu Kama baba alivyofanya tuko pamoja na ww maana we n wetu pia
Uzalendo na Muonekano wangu wa Ukakamavu umechangia Watanzania wengi kunifananisha na Askari popote napokutana nao. Naomba kulitumikia Taifa letu Tanzania.🇹🇿🇹🇿
Tunaombeni Magufuli day,tulimpenda sana Rais wetu
Kweli kabsa
Kwakweli magufuli day ni muhimu mzee alikua vizuri
Rest in peace kamandaa daah.
we miss Magufuli, he was an amazing president, a true servant of God. From 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Very true
Safi Sana Rais Mama Samia kuritemberea Kaburi ra Mtukufu Rais wa Africa Magufuri🇹🇿🇷🇼
Poleni sana Tanzania! Wakenya, tulimpenda sana Magafuli. Azidi kulala salama.
Tunashukuru
Never forget you my father(mtetez wa wanyonge)
Am a burundian I love late president Magu so much. Nakumbuka jinsi aliwapenda wa Tz na wa Affica in general .
He must be in heaven undoubtedly.
Na kuombea kwa mungu akusamee dhambi zako na apokee roho yako Amina.
AFRICAN HERO❤❤❤💔💔[R.I.P]
The only president ever to care for the ordinary Tanzanianians ..RIP Mzee wa jumuiya ya African mashariki...
I still remember my president,so sad that he's left us that soon
R I p baba yetu mpendwa pumzika kwa amani na mwenyezi mungu akuweke peponi amina
Asio taamka shahada NA hamtambui mtume mohamed NA wala hakutaamka shada ya kiislaam haingili peponi NA wewe jina lako ya kiislaam vipi kaka yangu
Continue singing with the angles JPM🇰🇪
A great African statesman! Rest well Pres. J.P Magufuli
Rest easily my president magu you was a real leader every happen again
Forever missed JPM!
Hayati Alikuwa Mtu Mwema Na Mbele Zake Mungu Maombi Yetu Awe Mahala Pema Amiin Na Mama Yetu Mh Rais Samia Suluhu Hassan Uwezo Wake Mwenyezimungu Ukuongoze Daima Tunakutazama Vyema Na Kutegemea Yote Mazuri Kama Kiongonzi Wetu Hatujawa Wapweke Tusipate Kuwa Wapweke Daima Tunakuombea Yote Mazuri Amiin InshAllah 🇹🇿💯
Duu, kavuka vigezo vyote vya kusamehewa?. Haijakaa sawa kauli yako
Ulimi Hauna Mfupa Muhimu Napenda Awe Na Msamaha Wa Mungu Kwa Lolote Alilowahi Kukosea Kwakuwa Hayati Alikuwa Ni Rais Bora Kwa Sie Wananchi Tusio na Macho Ya Kujua Mengi Sana Nilimuona Mtu Mwema Sana Kwa Kurudisha Nafasi Ya Kipaumbele Kwa Wananchi Wa Kawaida Masikini Anaeweza Kuhurumia Masikini Anapendeza Kuhurumiwa Pia InshaAllah Samahani Kwa Kukukwaza Kaka Adam Daudi Shukran
Kifo cha mmoja kinamfaidi mwingine RIP Magufuli
Kila akienda Mama Mvua lazima ishuke ni mara chache sana kama kaenda mvua haija nyesha RIP Magu
Tunaomba Magufuli day jaman
Iyo ni Kweli kabisa
Hakika jembe hatupo nalo tena. Mwenyezi msamehe makosa yake kama nae alivyowasamehe waliokuwa wamemkosea
It feels like yesterday I can't believe it's more two-years since we lost you sir am Kenyan but Magufuli forever my president
R.I.P ,magu wetu na hongera sana mama
😔😔😔 we missed him JPM mzalendo Mchapa kazi
Tunakukumbuka daima
Apumzike kwa Amani Rais wa Awamu ya 5 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Rais Dr John Pombe Magufuli. Mungu Ambariki Rais Samia na Mungu Ibariki Tanzania Nchi Yetu Sote🇹🇿🇹🇿
Hakuna kupumzika Kama mwema utalipwa kwa wema wako Kama muovu utalipwa pia kwa uovu wako
Chema huwa hakidumu kamwe yani moyo wangu unakukubali san magufuri lakini ndio hivo tena haupo nasi tena lakini rip
moyo unauma sana tumuachie mungu
Ntuzibagirana wakunda Abaturage ruhukira mumahoro mubyeyi🇷🇼
Mangufuli ni moja wa wachache sana kuwahi kutokea katika hii dunia.. Mungu ailaze roho yako mahali pema peponi.
Kweli kabisa
RIP JPM, we will never forget you, a TRUE SON OF AFRICA.
True son of chato
@@hassanmfaume4522 û
Tz kila kitu mwafanya kwa mpango na umakini sana...👍👍👍
Kila mtu anaenea katika viatu vyake
Your doing good madame president because you are really doing as you..!
Peace & Prosperity is the only focus we do aim at🤝
We miss u dady 😭😭😭🤲
miss you hayati magufuli
Madam president 👊👊👊
Rais wetu wa Tanzania Samia Suluhu Hassan...Asante kwa Kazi nzuri Sana uifanyayo kwa Taifa letu la Tanzania.
My best president friend nilikupenda sana lakini Mungu akakupenda sana pumzika kwa amani
Kila mkifika huko mvua inanyesha, ni jinsi gani Mzee wetu alivyokuwa wa Baraka.
Mungu unaona kila kitu unaona moyo wa watanzania bado unamshtuko na mipasuko
Sad sana
Je kaburi la Mkapa nalo limejengewa hivi? Kama sivyo basi ifanyike haraka sana!
He came,he saw,and he conquered.
My super daddy JPM You are so missed.
Mungu awabariki sana kwa kumbukumbu hizo za upendo
Kuonyesha kuwa hayati MAGU alikuwa rais bora na wa ajabu sana kwa nn matukio yake yote mvua ilinyesha MUNGU we ni mkuu sana!!
Kama matukio yapi na yapi?
Usinichote piga kazi kama ya huyo jamaa ukifkika theruth tu hata jamaa atakutembelea yeye ndotoni....tupo pamoja ila nipo kwa mbali huwa nakuzumu tu ungejua kilo ya mchele ni elfu 3 na pesa yetu haina thamani ungelia mimi nashika elfu kumi moja naninashindwa kuigawa kwa day najua wewe unashika idadi ya noti nyingi kiukweli uwezi kutambua nachokifili.
Aloo...weye upate sanam lako....csemi ncjechezea Ndioge bureee..but Allah ndiye hakimu wa yote haya....labda tusife...
Tunashukuru kwa kila jambo💪
JPM tutakukumbuka daima
It's right on the best
Pumzika kwa amani JPM
R.I.P mzee
😭😭😭😭
JPM daima✊🏾
Waah 😮 Kwan alizikwa ...ikulu?sio nyumbani?😊
R.i.p jpm 😩😩😩😩😩😩😩
Huwa Napata wakati mgumu sn mkinikumbusha jpm japo mm niko mlengo w kushoto lkn nilimpenda sn kiongoz huyu
Pole Sana Mama Janet Magufuri
Mh!😭
Barakoa za nini sasa kwani corona bado ipo 😂
As anti mama samia
❤
My
Asant saan mama
Rais wetu IGA uthubutu wa kuanzisha miradi mikubwa iliyo na maslah mapana kwa Nchi.,, Kama alivokuwa na uthubutu JPM
😢😢
We missed jpm😭
Poleni
Apumuzike Kwa amani baba tumesha mukubuka😭😭
😭😭😭
Ni mtu wa watu ila haimaanishi kuwa ni mtu wa kila mtu.
Respect mama Samia sana
Inasaidia nn ata ukiangalia Kama matendo yake uyaenz akuna Mana nisawa na kujiangalia mwenyewe katka kioo
Rayvan mpya
Much respect to u Mama was TAifa and R.I.P forever Hayati JPM😢😢😢
R.i.p 😭😭😭
Rip John Pombe
Mungu aipumzishe roho yake mahala pema peponi
Ok
Rip shujaa
Ombi langu binafsi Mheshimiwa Rais Samia naomba nipate nafasi katika Kitengo Cha Ulinzi na Usalama wa Taifa letu Tanzania. Mwenyezi Mungu amenijalia Uwezo wa Utambuzi (Intelligence) ya kuhisi Hatari na Salama iliyopo mbele.🇹🇿🇹🇿
Unataka utuibie pesa zetu mchaga wake Ni utambuzi wa pesa baasi😬😬😬
😃
Napita tuu
Kisa una bet na kupata pesa ndio unasema unautambuzi
Tunaomba magufuli day tumempenda sana rais wetu wa wanyonge
Pumzika kwaamani raisi. Wetu kipenzi
😭😭😭😭I MISS DADDY.
Burian MR. Late President
Aliumiza wengi bora mama
Pole sana Mh Rais na Watanzania sisi sote!MUNGU Akubariki uendeleze Inshallah pale alipoishia, Mimi na Watanzania tupo pamoja na ww Mama
Zaidi sana Mimi binafis yangu Na Jami yangu yote jipm kamwe siwezi kuacha kumkumbuka Na kumoombea mungu ampe taji ya Mtumishi mwema ila sisi watu wa Ali ya chini tunaokula mlo mmoja kwa siku tutamlilia mungu mpaka kieleweke Na mungu atajibu
Pole sana mama jeneth wewe ni muombaji kama sis timu malumu ya Maombi macho yako kila itwapo Leo elekeza kwa mungu Na kilio chako kiwe kwa mungu usiache kumwita mungu kila itwapo Leo tambua ibilisi aliye laaaniwa Na mungu alali yuko macho ila tumepewa sila za kumteketeza
Mnafki tu uyoo uzuri wake iyoo safari ya kira mtu ukisaini reo kesho wanakusaini ww maisha yanaenda
Dah!😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Apumzike pema raise wetu Magufuli tulimpenda...mama, na wewe pia tunakupenda chapa kazi mama yetu Kama baba alivyofanya tuko pamoja na ww maana we n wetu pia
Ustadhimaji
Baba magufuli
Mama weka na namba zako hapo nitakupigia kwa maana madudu yamekua mengi Sana
Mtumie kwenye tweeter yake. Watu wake wanazishughulikia texts zote na anapewa taarifa
Hongera kwakunfariji make wa maree maana mareemu aritufanya sisi watanzania maskini tutembee kifua mbere
Safi
🇹🇿🇹🇿 😭😭😭
Mama naomba m niwe mlinzi wa nchi yng napenda kuwa mwanajeshi
Mungu akupe pumzko la milele magufuli
Saf sana
Hayati Magufuli tutakukumbuka Baralote la Afrika
Ana andika nini jamani
Nishida kweli rais wa Africa
😭😭imc u baba
Uzalendo na Muonekano wangu wa Ukakamavu umechangia Watanzania wengi kunifananisha na Askari popote napokutana nao. Naomba kulitumikia Taifa letu Tanzania.🇹🇿🇹🇿
Kulitumikia Taifa sio lazma uwe police au mwanajeshi au mwajiriwa wa serikali, waweza kulitumikia Taifa mahali popote ulipo
Mngu akusamehe makosa baba