Ata mkimtengezea atafufuka kweli nyinyi wasani hizo pesa changeni mlishe maskini na wajane pliz haina maana kujengea mtu na bado watu wanakufa njaa think twice
This should always be a reminder that we all are pilgrims, the best thing is prepare yourself well in the ways of the the Lord before that day comes, because for sure it will come
Hizo za masonko zinakuanga permanent hasiezi bomolewa hizo zingine temporary ni kama tu kurentishwa for a short period of time,then mwingine analetwa hapo hapo
Aki enyewe kaburi ni tajiri you mean all those are graves😭💔. But i believe one day deaths will no longer have power and we shall meet with our loved ones who went a head of us
Huku Ndiko wanataka kupele Kelvin 😩 too much spirits😢 anyway hii langata imekua talk of the town and thank you for taking us through kwa sisi hatujui vile inakaa
Subhanallah,mtu akiwa mzima hamushighuliki,akifa mwatengeza kaburi,mfanyie maombi,Kwa mungu hakuna jina kubwa Wala ndogo,manage mungu peke yake ndie mkubwa
Hakuna kaburi Zinatoboka kuna vile cultist zinaendelzwa baada yavifo never assume the body is their wametolewa Congrats for visiting the hse (grave) of ojwang let Governor do something we want to see street named after him his pictures in musiam and also let Langata cemetery be named by street Muzee ojwang street No.1...... Easy for people to access the grave
He was our neighbor in Bahati estate we used to follow him as by then we were small boys but he was a teenager he started jokes at an early age RIP big brother
Rip our legend we used to eat at 6pm juu tu ya vitimbi haki😢 mpaka nilipoteza slippers no 1/2 the smallest no then ,nabebwa tuende Kwa vitimbi ,mi na usingizi hee nikiamka Niko Kwa kitanda changu vile nilifikishwa is a risto for another rip,rip the only Kiuk aliadopt luo ascent mpaka akawa mistaken identity🎉😊
A Hero like Mzee Ojwang kuzikwa Langata Cemetery 🪦,A legend kwani iyo fame yake akua anapata pesa abuy tleast kashamba Watu wangu ama niaje juu sielewi.
Cemeteries are for burying human remains. Farms are for farming n living on. That's the logical thing except in Africa. We will catch up with the rest of the world when we soon run out of space.
Answer to @doreensh....some people are buried according to their wish. Maybe he had a land but prefer' d Langata cemetery just like you can choose to be cremated.
Kumbe hata hawajui mahali kaburi yake iko! Lazima tena itafutwe...! There is no mechanism in place that if you are looking for a particular grave, the staff can offer assistance with some records.. It must be one hell of a job looking for a grave!
Yeye Mzee alikuwa anasisitiza akifa azikwe lang'ata kwa hivyo usemi wake ulitimizea kulingana na desturi za wakikuyu kutii uzia wake,hili silo jambo la kuanza kuongiza ukabila tafadhali
Gathimiti wachana kabisa na wasanii wwe hio n kazi ya familia yake angezikwa home hio n shida yake akae hapo hivo .......how comes huyo mzee na huo umri wake woote na vile ame act for long anazikwa Lang'o?? Eeiiiiiiiiishhhhhhh
If you breathing today , just thank God for His Love , and life
But utakufa tu
@@josephmuturimwamba728 i like you reasoning
Yes
Too much unfinished dream sleeping under six feet aki mungu wangu tupee miaka mingi 😢😢😢😢
What matters is, when we die, do we die holy or sinful. Where our mortal bodies rest doesn't matter. Prepare the way, Jesus is coming
Amen
I got sense in ur content..tutubuni🙏🙏
Ha ha ha you are the most brainwashed mjinga ever ati jesus.
@@TimothyNyaure-lb4kc you dont know what you are saying. Keep quiet
@@aquilinakoga9774 I got a degree in that your fckng bible you read everyday.
Hata uweke chuma nothing significant, let's start helping people when alive😊
Absolutely true
Very true
Ata mkimtengezea atafufuka kweli nyinyi wasani hizo pesa changeni mlishe maskini na wajane pliz haina maana kujengea mtu na bado watu wanakufa njaa think twice
Hii ya ojwang ata iko sawa zingine nimeona ata zimeisha watu wao maybe walishindwa kutengeneza 😢huko ata siwezi karibia aki 😢😢
Mzee ojuang you will live in our hearts sioni kitu kibaya wamefanya it's good to revisit them😂😂😂😂😂😂.
What's funny akh
@@auntiemylee3157hajui maana ya emoji
@@auntiemylee3157huyu hajui lkutumia emoji
I was there when he was buried, continue rip Mzee Ojwang
Namkumbuka mzee Ojwang alikuwa akisema "Wewe mama Kayai???? Mama Kayai njoo. Anakohoa tena, mama kayai njoo. HAHAHAHAHAHA
This should always be a reminder that we all are pilgrims, the best thing is prepare yourself well in the ways of the the Lord before that day comes, because for sure it will come
100℅ true.
Wah nimeona hadi ya my son iko direct opposite na hio ya mzee onjwag.....life is too short..... continue dancing with angles baba 😭😭😭
Take heart darling
Pole mmy
Pole sana 😢😢😢
Pole sana dear.Continue being strong.
Sorry 😔
Mzee Ako poa place yko,walio hai ndio tunajisumbua uzikwe kenyu ama langata,sawa Mzee R IP .tunakutambua wewe n legend 💪💪🔥🙌🙌🙌
Kuna Zinahofoka😅wasapere
Bona alizikwa huko.kwani hakuwa na shamba ushago
Asking the same
Alafu vile mwaendelea kusema check kwq hzo zenye zimebomoka mpate mtu anatokelezea kutoka ndani naona vile mtakimbia 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Don't fear it's the body only that dies, the spirit and soul live on forever. Our only fear should be God, sin and hell.
Thanks Collins
Yes that is true
🙏🙏🙏
Hizo za masonko zinakuanga permanent hasiezi bomolewa hizo zingine temporary ni kama tu kurentishwa for a short period of time,then mwingine analetwa hapo hapo
Safi sana vijana kutembelea mzee ojwang
Aki enyewe kaburi ni tajiri you mean all those are graves😭💔. But i believe one day deaths will no longer have power and we shall meet with our loved ones who went a head of us
How and when
Someone said the only wealthiest thing in this world is the grave.
Huku Ndiko wanataka kupele Kelvin 😩 too much spirits😢 anyway hii langata imekua talk of the town and thank you for taking us through kwa sisi hatujui vile inakaa
Mowswsjoeangu8216 haki hao mahasidi wasizike Kevin hapa😢
Kelvin yupi
Uwezi jua kelvin bt ya vigi unajua kifuatilia
Never in Jesus name 🙏 😢😢😢😢
Enyewe sisi wote ni watarajiwa😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Kikuyus are very funny,mzee kama huyo alizikwa tuu Langata!!!na hiyo umri yake?thats why i love my tribes men,Luos and Luhyas.
Whats wrong with langata
So you mean langata ni wakikuyu tu
Onjwang ni Kikuyu kweri
Kwasababu ukizikwa ushago utafufuka
Usisahau wakisii pia, lazima mwili iende nyumbani.
"Wenye wanauliza mzee Ojwan'g aliendaga wapi, hapa ndio anakuaga"... Kikuyuuu
😂😂😢😢😢😢
Stingy kama nn
@@tida3727 hehehehhe
Subhanallah,mtu akiwa mzima hamushighuliki,akifa mwatengeza kaburi,mfanyie maombi,Kwa mungu hakuna jina kubwa Wala ndogo,manage mungu peke yake ndie mkubwa
So sad
Mwenyezi Mungu aendelee kumpumzisha milele. Watch from Tanzania ❤💔
Kila mwezi hao masonko hulipa kanjo 😊
❤ aki huo Mzee nilikua na mpeda sana😢😢
Hakuna tajiri mwenye amelala makaburini wote ni maskini.wenye wako uhai dio matajiri.
😂😂 ulisikia wapi rais moi na kibaki hao ni matajiri wakubwa kwanza walikuwa rais sai wako wapi kwa kaburi, kaburi ni ya kila binadamu
Waah enyewe mchangani ndio nyumbani kitu sewer alituimbia hivo hao wote ni watu siku moja walikuanga tu hio dunia💔
Ak Mzee Ojwang woyee your soul continues rest in peace ✌ tulikuwa tunakupenda ila Mungu akakupenda zaidi😢😢
Hakuna haja,,, kaburi Iko sawa😮 hiyo pesa ichangiwe watu wenye njaa,,, otherwise keweka machuma or is total nonsense
Na mtu akikufa yake yashaisha
Continue Resting in Peace Mzee Ojwang. Your legacy Luves Forever.🫡🫡
Huyo baba mzee arisikwa makaburini shem on you suay mzee ojwang akua na kwake?
Kwan mzee ojwangi ana shamba jamani sio ata wangemnunulia shamba wamzike jamani na vile alikua na mtu na pesa jamani 😢😢😢😢😢😢😢
Am proud to be a Muslim,Sasa wote mwajengea makaburi, wengine watazukwa wapi surely,mtu amechukua plot nzima kaburi
Alhamdullilah
Zaitun ciyarta daa
Halke ku dunte
Ao wote n watu aki😭😭🙆mwili n mauwa
Hizo ni ng'ombe real ama ni watu inform of ng'ombe🏃🏃🏃
Walai hao ni watu si ng'ombe
Ni watu
Enyewe ata uzikwe kwenu hautakuja uhai ni same tu ojwangj rip 😢😢😢😢
Hakuna kaburi Zinatoboka kuna vile cultist zinaendelzwa baada yavifo never assume the body is their wametolewa
Congrats for visiting the hse (grave) of ojwang let Governor do something we want to see street named after him his pictures in musiam and also let Langata cemetery be named by street
Muzee ojwang street
No.1......
Easy for people to access the grave
He was my neighbor, Government quarters Likoni rd may his soul continue resting in peace 🕊️🕊️
He was our neighbor in Bahati estate we used to follow him as by then we were small boys but he was a teenager he started jokes at an early age RIP big brother
Rip our legend we used to eat at 6pm juu tu ya vitimbi haki😢 mpaka nilipoteza slippers no 1/2 the smallest no then ,nabebwa tuende Kwa vitimbi ,mi na usingizi hee nikiamka Niko Kwa kitanda changu vile nilifikishwa is a risto for another rip,rip the only Kiuk aliadopt luo ascent mpaka akawa mistaken identity🎉😊
A Hero like Mzee Ojwang kuzikwa Langata Cemetery 🪦,A legend kwani iyo fame yake akua anapata pesa abuy tleast kashamba Watu wangu ama niaje juu sielewi.
You think hakuwa na shamba
@@simionkerina Nashindwa Pia
Only Luhyas and Luos know wat you mean
Cemeteries are for burying human remains. Farms are for farming n living on. That's the logical thing except in Africa. We will catch up with the rest of the world when we soon run out of space.
Am proud to be a luhya....mwili huzikwa home
Waaaah
Alizikwa karibu na choo ndio akisikia kwenda choo usisumbukane
Mungu anakuona
Sasa mtu mzuma unafikiria nini hio
Nimeona pahali watu wanaingizwa na wanachomwa. Everything is vanity of vanity in this world🙆
Next time mkienda peleka maua pia please atleast hizo spirits ziziwafuate nanyi😅😅😅
Huko ndio my Auntie tulimpeleka ilikua kitu 2002 ama 2003 nilikua mdogo Sana sikumbuki ilikua mwaka Gani but
Ama mkute kuna place watu hukutana wakifa....Jupiter may be 😢
"Eti wenye walikuwanga wanauliza penye mzee ojwang aliendaga,,,ndio huyu anakuwanga hapa!""Wah,,,, anyways ndo life
Masonko na maskini wote huoza pls.
Congrats vijana kwa kuremember mzee
Nlikua naona mzee ojwang mbotela huko ndio alikua anaishi.my his soul rip😢
Huku nikuharibu maeneo ya kuzika kujengea fens mtu afanye kwa shamba yake
Kwani the first comedy mzee ojuang'i alizikwa lang'ata,hanakuwa na shamba lakuzikwa,.
Ndio nimeshangaa ata
Nashangaa😢
Hayo makaburi hayajatoboka. Ni yamedidimia...... Huyo mzee kajengewa vzr2..
Naskia mkizika mtu wenu anamaliza siku tatu anatolewa anachomwa kunawekwa muingine dio unashidwa bona hili kaburi halijai
Good job keep it up
Ati na kuna ngombe zinakulanga kw kaburi 😂😂😂 you mkikuyu you made my day
Mungu wangu, dunia tunapita😢😢😢😢
Mapito aki
Mwenyezi mungu atujalie mwisho mwemaa awarehemu 😢😢😢😢haki
Mwenyebhizo ngombe anafaa kushikwa. Hio ni kukosa adabu ku graze cows such.
Kazi nzuri vijana,mkumbuke Mzee na familia yake pia alifanya kazi poa sana"Kumbukumbu yake ije kwa mpigo
waaa kweli duniani tu wapitaji tu kama haya yote n makaburi
Kwani hakua nakwao anazikwa makaburini
Waah!! Kweli mwili ni maua
Mauwa 😢kabisa
May b alikua na maplot tuu juu huwezi zikwa kwa plot btw ama familia yke ilitaka kuuza shamba na haiwezi nunuliwa ikiwa na kaburi
Weuwehh 😢😢😢 azidi kulala pema
Jaburi ni kaburi...
Hiyo kaburi ni smart
Yaani alizikwa langata
Na muache kukanyaga juu ya makaburi. You will find yourself sinking inside the grave moreso the ones which aren't stable
Ati zimetoboka...kwani hamjui hizo ni casket ziliibwa
Uzikwe wapi or wapi Bora u are no more and what matters is your soul,swali ni are u gona make heaven or hell😢?
I like the way you guys say ati hizi ni za matajiri
Mimi naona iko sawa
Answer to @doreensh....some people are buried according to their wish. Maybe he had a land but prefer' d Langata cemetery just like you can choose to be cremated.
Tusiringe pia wao walikua kama sisi lkn Sasa hawako tena
I support the sentiments that Mzee Ojwang’s resting place should be improved and barricaded.
Mbona hakuzikwa kwake
Sub-hanallah' kumbe huko Kenya Kuna Makaburia ya Maskini na Matajiri!!!!!!!
Wana separate Nini? Naukifa huedi na huo utajiri,pia sisi wote tutarudi mavumbini .
It needs all Kenya’s comedy to come together and do big memories for him one day👏🏽🙏🏽
Wa ni mashamba hamna mzee kama uyo alizikwa makaburini
A good reminder young men,what to expect not long long looong after your age. Prepare for exit,not for the gone ones.
We're wasting our resources mtu akifa anafa achomwe hapa langata wajenge affordable housing
HIZO PESA MNIPE MM NIJISAIDIE MAANA NIKO NA SHIDA NA PESA BIASHARA ILIKUFA NATAKA KUFUFUA SASA ....AKI
Ngai mpaka ngombe wanakula huku😳😭😭
Kumbe hata hawajui mahali kaburi yake iko! Lazima tena itafutwe...! There is no mechanism in place that if you are looking for a particular grave, the staff can offer assistance with some records.. It must be one hell of a job looking for a grave!
Yeye Mzee alikuwa anasisitiza akifa azikwe lang'ata kwa hivyo usemi wake ulitimizea kulingana na desturi za wakikuyu kutii uzia wake,hili silo jambo la kuanza kuongiza ukabila tafadhali
My dad amelala huko 6 years now marked this month October 10 may his soul continue Rip i miss him dearly 😢
Sorry for the loss, be strong in the Lord
My mum ako huko 17yrs now😭😭😭😭😭continue resting in peace mum
@@MargaretNdiba-sk2pk Take heart
@@kadzo6614 Tuko nayo but that was his well and we couldn't go beyond it
Tabiya yenye mko nayo siyo poa kamwe
Matajiri ni kusema nini? ama ndio walifika mbinguni? Na mbona wakazikwa langata kama ni Matajiri?
Death is inevitable. May God give long lives
John kibera kuja utuonyeshe haraka😂
Gathimiti wachana kabisa na wasanii wwe hio n kazi ya familia yake angezikwa home hio n shida yake akae hapo hivo .......how comes huyo mzee na huo umri wake woote na vile ame act for long anazikwa Lang'o?? Eeiiiiiiiiishhhhhhh
Na.si.iko tu sawa
Mzee vile alikua milionea mbona akazikwa uku😢😢😢
Nimeshtuka pia ATI langata
Hakuna mambo na umilionea ukifa..kina yusuf haji alizikwa huko.
Kenya inaongoza kuanamakaburi mengi
huko ndiko watoi twin bro wa my bro na bro yake mkubwa walikwa😢😢
Sijui ya ufufuo wote, tajiri na masking watafufukia walipo jipangia maisha I.
Mzee ojunga msanii wa comedy Kenya Alisha kufa tangu lini
Hizo pesa za chuma munipe ni njenge my mum