Haya wahenga wenzangu mpo, maana kipindi cha hyu mzee tulikuwa wadogo ila kwasasa mhm sisemi sana gonga like twende pamoja wale mnaojijuwa ni wahenga 😅😅😅
Dah, yaani Baba wa Taifa alijinyima riziki na kuacha kufanya kazi yake ya ualimu ambayo ilikua ikimpatia riziki na kuchagua siasa ili kuikomboa nchi yetu Tanzania. Mungu amrehemu na amjaalie pepo, Amen
Mungu anaipenda Tz Sana, Watanzania Mungu amewapatia viongozi wenye Hekima lakini nyinyi hamuoni hivyo ila kuwaangamiza tu. Tuuma za bure tu badala muwashike mikono kukomboa nchi yenu. Mungu abariki Tz. Am from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Dah I miss you Nyerere 😔 story ilivyoanza vimachoz vilinilenga kidogo asee pumzika kwa amani baba always in our hearts ❤️Shoutout to Jamal April shoutout to Mtiga Abdallah mko vzur vijana
Hongera kwa simulizi ila haiko sahihi, unapoamua kumtolea story mtu legendary kama huyu jaribu kuutafuta ukweli halisi ili ukiisimulia watu wajifunze ckuiz hata humu watu hujifunza pia ila inasikikitisha unaweka story ambayo ina mapungufu mengi sana.....we loved nyerere but wewe hujamtendea haki hapa, RIP faza of Tanzania
R. I. P our hero....Bila Nguvu yako ww Tanzania tulikuwa Bado kwenye mikono ya wakolon.... Tunakukumbuka daima vizazi na vizazi hautatoka kwenye kumbukumbu za Watanzania... Pumzika Kwa Aman
Ukwel nakumbuka nilikua mdog ila nililia sana dah,, ufaham wangu ulikua mdogo sana ila cjui kwa nn machoz walitawara macho yangu! Mungu akupumzishe kwa amani🙏
Mimi nilikuwa na miaka 14, hivyo nilikuwa naufahamu sana na nililia sana kwani kijiji kizima kilikuwa kinapiga mayowe ya vilio, na Mimi nikaungana nao Kwa kulia.
Rest in peace baba yetu ulitujenga kuwa na umoja bila kubaguana kimakabila najivunia kuwa mtanzania tutakukumbuka daima mungu hailaze roho yake mahali pema
nadhani unakosea sana kumwita baba wa taifa hakuna zuri lolote alilowafanyia watanganyika au watanzania mm naamini bb wataifa niyule anaetawala sasa huyo bepari alilia kwa kuacha mali za nchi alizo faidi pekeyake bora alipo kufa maana angefedheheka kwa maendeleo ya pombe
angekuwepo leo angeona aibu kwakukandamiza watanganyika amba wAlikombolewa na wazalendo kisha ikafutwa historia zao aliinyonya nchi leo ipo sawa inarangi yakijani yaneema
Maskin.....MKAPA na wewe jana tumekuzika kweli kifo hakina huruma Kama unaangalia hii simulizi..ukiwa na majonzi ya kumpoteza...RAIS wetu mkapa Like zenu😥
NYIE MNAOSEMA WA KWANZA KILA SIKU BASI LEO NIMEWAWAHI SEKUNDE 32 TU NIKO HAPA 😂😂HAYA NIPENI LIKE ZANGU ZA KUMWAGA YANI MNIPE LIKE KAMA ZIMELETWA NA UPEPO WA KISULISULI
Mtigaa unajuaa aiseeh ila unaniboaa kidg tuh.... Story zinachelewa kujaaa CZcams aiseee yanii wikii nzimaa nimekaa naisubl uku etiii mana uko kwa redio cna time nzurii badoo 😢😢😢 But all in all Jamaaa weh ni balaaaaaa 🙆🙌😀💪💪💪💪💪
Selemani Hamudu: Wanataka KUFIRWA tu labda,,ktk ki2 kinachokera kwny youtube bac ni hili jambo la kuomba like..,,M2 unafunguwa comment ili usome maoni yenye kuelekeza unakutana na huu upuuzi(ETI LEO NIMEKUWA WA KWANZA KWA HIYO NAWAOMBENI LIKE ZANGU!!!) Mwache m2 akawaombe wazazi wake huko...,, SMS SENT.
Haya wahenga wenzangu mpo, maana kipindi cha hyu mzee tulikuwa wadogo ila kwasasa mhm sisemi sana gonga like twende pamoja wale mnaojijuwa ni wahenga 😅😅😅
Dah, yaani Baba wa Taifa alijinyima riziki na kuacha kufanya kazi yake ya ualimu ambayo ilikua ikimpatia riziki na kuchagua siasa ili kuikomboa nchi yetu Tanzania. Mungu amrehemu na amjaalie pepo, Amen
I don't know why Tanzanians are always lucky to have visionary leaders. God bless TZ from Kenya 🇰🇪
Rule number 1: Put God first
@@freedriwa7050getting we
Sio bahati, ni kupiga Kura inavyofaa...
Asante! Mungu akubariki
@@mpendakiswahili3053 ulimpigia kura nyerere wew
Huyo ndio JULIUS bana a.k.a the brain! The hero and icon number one in the history of our continent.
Story nzur sana pongezi kwako mleta story ALLAH akujalie uendelee na huo moyo
Much Love From KENYAN'S 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 We love our Brothers Tanzania's 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿. Forever
Welcome brother 👊
Elfu tatu hadi milioni miatatu na hamsin kweli uchumi was kikoloni unakuwa
big up brother
Nakupenda sana mwalimu
🙏🙏❤️
Haya ndiyo yakujifunza Safi Sana wasafi mtiga na hiki ndicho kipaji chako ambacho MUNGU amekupa 💞
Mungu anaipenda Tz Sana, Watanzania Mungu amewapatia viongozi wenye Hekima lakini nyinyi hamuoni hivyo ila kuwaangamiza tu. Tuuma za bure tu badala muwashike mikono kukomboa nchi yenu. Mungu abariki Tz. Am from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kweli kabisa
Very true brother!😭😭😭
lL
Wasafi ipo juuuu na itakuwa juu milele
Iliumiza xana hyo hutuba. Gonga like
Kama kawaida big up mtiga kwa story kali, wasafi mpo juuu
I miss you magu mukapa and nyelele
Dah I miss you Nyerere 😔 story ilivyoanza vimachoz vilinilenga kidogo asee pumzika kwa amani baba always in our hearts ❤️Shoutout to Jamal April shoutout to Mtiga Abdallah mko vzur vijana
Wanao mkubali mtiga abdallah gonga like twende sawa
Mtiga abdalla ukosei story nakukubali sana from songea msamala
Karim Abdallah 👍👍👍🇹🇿
Dahhhhhh
Karim Abdallah vp mtig
Problum
Tutamkumbuka sana hatokei tena,pumzika kwa amani baba uliifanya kazi yako kwa ukamilifu miss you
Whenever I view The story book from 88.9, I become more interested,,Appreciated mtigga abdallah👏👏👏 kazi nzuri
Napenda Story zenu nikisikia nakua muturivu
Wanao homba like washamba sana
Francis Komba:
Wantk KUFIRWA..hapa kinaelezewa ki2 cha mcngi sana wao wanaleta USENGEEE!!!!!?,.
Hongera kwa simulizi ila haiko sahihi, unapoamua kumtolea story mtu legendary kama huyu jaribu kuutafuta ukweli halisi ili ukiisimulia watu wajifunze ckuiz hata humu watu hujifunza pia ila inasikikitisha unaweka story ambayo ina mapungufu mengi sana.....we loved nyerere but wewe hujamtendea haki hapa, RIP faza of Tanzania
MR DIAMOND tuna hutaji ELIAS MPAGAZE wa Fanye kazi nahuyu jamaha the story book ita noga kabisa!!!💪💪
R. I. P our hero....Bila Nguvu yako ww Tanzania tulikuwa Bado kwenye mikono ya wakolon.... Tunakukumbuka daima vizazi na vizazi hautatoka kwenye kumbukumbu za Watanzania... Pumzika Kwa Aman
Sasa wewe mmekomboka nini nawakati bado wakoroni wapo
Wasafii nawakubali sana
Mtetez wetu leo tunaringa kuw huru Tanzania yanguuuuuu Allah akulaze mahal pema pepo amina yarab allamina
Nimekuj tena kuangalia baada ya kifo cha jembe letu maguful🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😭😭
dah inaumiza sana mungu mpokee magufuli
Mungu ampe makazi yaliyomema
😭😭😭
Tuko wengi
2po wengi
We kaka nakupendaga hatari😍😍😍😍
Story Book.... Asante kwa Kutuletea Story Ya Mwl J K Nyerere....
Asante wasafi
Pw
Asante kwa Hayati JK Nyerere!
Oyoooooo
One million
Ambae ameshuhudia pls gonga like
Jeremiah.majura
Nakumbuka
Ule mwaka
Nikitaka kwenda jando
Wazee wangu
wakagailisha
year 1999
Amen
AVATA Ndo ikawa bas au !
🎉🎉🎉
Jamani leo nimekuwa wa kwanza kuisikiliza story book ya baba wa taifa rip mwl j.k. nyerere😭😭
mtiga elim yako kidato cha ngapi?
Simon Filbert subscribe @vanessamdee youtube chanel 🙏
Badala ya kutoa comment zenye maana mnaishia kuomba like.
How come???
R.I.P BABA WA TAIFA
R i p father see you Again
Wanapenda like cjui Zina Radha gani
@@felistambwale2687 🤣🤣 wakat haziwafkish kilelen😀
R. I. P Mwl nyerere
@@lucasmanyama2892 r l p baba wet
Mtiga una jua uku burundi kwetu tuna kuku bali kinoma!!
Ahsante MAMAANG kwa kunipeleka TAIFA kushuhudia mazishi ya LEGEND NYERERE BABU YETU 🙏
R.I.P baba wa Taifa, R.I.P Sokoine, R.I.P Mkapa & R.I.P JPM.hakika nyinyi ni wazalendo wa taifa hili la Tanzania. Tutawakumbuka sana😪😭😭😭.
Amina!
Ameen
Amen
Nani Anayetoaga Hii Hotuba Namkubali sana Nilisahau Kumwambia Gonga Like Kwa WASAFI TV
Niatali cn
Anaitwa mtigah abdalah
Ni mtiga abdallah
Ima BoyLTz r
Mtiga
aliyesubriya kwa hamu kama mm naomba like zetu tuztengee hapaa 😋😋😋
Asante ndugu sauti makala na mood napata ya huzuni
Ukwel nakumbuka nilikua mdog ila nililia sana dah,, ufaham wangu ulikua mdogo sana ila cjui kwa nn machoz walitawara macho yangu! Mungu akupumzishe kwa amani🙏
Pole Sana mm nilikua bado hata sijazaliwa
@@keyakeya8911 🙏🙏
keya Keya kweli zote zilikuwa juhudi za mwenyenzi mungu kuitoa Tanzania kwa mabepari
Wacha uongo wew
Mimi nilikuwa na miaka 14, hivyo nilikuwa naufahamu sana na nililia sana kwani kijiji kizima kilikuwa kinapiga mayowe ya vilio, na Mimi nikaungana nao Kwa kulia.
Jamani humu kila MTU yeya wa kwanza kusikilza mnaomba like imekuA chakula au pesa duuuh mnatia aibu
😁😁😁😁😁
Bibi baria anazidi kuwa mrembooo tu 😍😍😍
Good afternoon
🤩😍🤣😅😎
Sauti nzuri katika mtindo wa documentary.
Sehemu ya simulizi ipo sawa.
Lakini inamapungufu mengi sana.
R I P comrade. J K Nyerere.
Kama yapi kaka
@@rashedabdalah1981 kuna clips nimeunganisha hapo angalia
Nomaaa aiseee.. Watu wanadai likes kama zinageuka pesa
Kwani ujui kama zinageuka pesa
Rest in peace baba yetu ulitujenga kuwa na umoja bila kubaguana kimakabila najivunia kuwa mtanzania tutakukumbuka daima mungu hailaze roho yake mahali pema
Hemedi b abdallah wtghkgg
MTIGA UNAJUA SANA MWANANGU🔥🙌
MUNGU DIYE AJUAYE LEO NA KESHO .
Tanzania is really blessed from nyerere to magufuli
Benjamin William mkapa
Wan musoma gonga like twende sawa 💪💪💪
nadhani unakosea sana kumwita baba wa taifa hakuna zuri lolote alilowafanyia watanganyika au watanzania mm naamini bb wataifa niyule anaetawala sasa huyo bepari alilia kwa kuacha mali za nchi alizo faidi pekeyake bora alipo kufa maana angefedheheka kwa maendeleo ya pombe
angekuwepo leo angeona aibu kwakukandamiza watanganyika amba wAlikombolewa na wazalendo kisha ikafutwa historia zao aliinyonya nchi leo ipo sawa inarangi yakijani yaneema
wasafi mko juu sana
Safi nipo ndani from nairobi hongera wasafi
Good afternoon😍🤩😂😅😃😎🤑👩🌾👩🎓👩💻🧚🧜👥🛀🏌️🏂⛷️🏇🚴🏍️🤹
Thanks
Maskin.....MKAPA na wewe jana tumekuzika kweli kifo hakina huruma
Kama unaangalia hii simulizi..ukiwa na majonzi ya kumpoteza...RAIS wetu mkapa
Like zenu😥
All great thing come from wasafi media much appreciation 🔥🔥
Wakongwe tuliohudhuria msiba wa JK NYERERE gonga like apa bado ya kwako tu R.I.P. the founder of our Nation###
R.i.p.baba wa taifa
Uko good sound mtiga Abdallah 🙌🏻
R.i.p Nyerere and Magufuli living legend in my mind
12 minutes naombeni like zangu
He was the great man ever
Mwalimu alitumwa na mungu aliyo yafanya hakuna atakae weza ķwani hakuwa na roho ya kibinadamu alikuwa na roho ya kimungu
mwaka 1955 ML Nyerere from dar to Masasi ✌✌
sauti nzuri sana kama una mkubali gongà like
Jamaa anajitaid
Asante kwa ajili yahistoria MUNGU awawezeshe katika kutujuza mentioned...GOD BLESS YOU ALL
Bado tunamkumbuka baba wa TAIFA. Siku zote kwa Wema, Haki na Utawala mzuri katika TAIFA LA TANZANIA. Rest in Peace.
R. I. P 😢😢😢😢Baba Mwl Julius Kambarage Nyerere😭😭😭😭😭😭
R I P
NYIE MNAOSEMA WA KWANZA KILA SIKU BASI LEO NIMEWAWAHI SEKUNDE 32 TU NIKO HAPA 😂😂HAYA NIPENI LIKE ZANGU ZA KUMWAGA YANI MNIPE LIKE KAMA ZIMELETWA NA UPEPO WA KISULISULI
Mdigo Khan 🤣🤣🤣🤣🤣
angalia hapo mm n ww nan frst
Mdigo Khan like zingekuwa msoso..!!!
😂
😂
Nimeisubirisana ya leo
Amepambania ya ile yate sema uyu mzeee niwachuga siyo butiama
Napendagaa sana ongea yako piga like twendee pamoja
Mtigaa unajuaa aiseeh ila unaniboaa kidg tuh.... Story zinachelewa kujaaa CZcams aiseee yanii wikii nzimaa nimekaa naisubl uku etiii mana uko kwa redio cna time nzurii badoo 😢😢😢 But all in all Jamaaa weh ni balaaaaaa 🙆🙌😀💪💪💪💪💪
Bro kumbuka kuna uandaaji wa story
Nko fist because am like it
Naamini Mwalimu atatajwa kuwa Mtakatifu baada ya siku si nyingi.Eee Mungu tunakushukuru kwa ajili ya Mwal. Nyerer.
Tunakukumbuka baba wa Taifa. Tunajivunia maisha yako na Tunamshukur Mungu Kwa zawadi hii🙏 endelea kupumzika Kwa amani
Nyerere magufuli mkapa 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿 nothing to say
2019 nipo gonga like
Kama umemsikia komba ...
WE GONNA MISS YOU DADY SO PAIN
,,
Of course, It's so painful
Yes
Napenda sana speach zako mzee baba Unaweza
jaman mnaoombaga LIKE mnakera kwel lengo la comments ni kutoa maoni juu ya kipindi ili kizidi kuboreshwa
wabongp bwana...
like mnafanyiaga nn...?
Like ni za kutangaza bei
Masenge sana
Hii ndio bongo zozo,, hawana maoni kazi likes tu.. Akili hakuna
zinaogeza hamu yakuingia yutube
Selemani Hamudu:
Wanataka KUFIRWA tu labda,,ktk ki2 kinachokera kwny youtube bac ni hili jambo la kuomba like..,,M2 unafunguwa comment ili usome maoni yenye kuelekeza unakutana na huu upuuzi(ETI LEO NIMEKUWA WA KWANZA KWA HIYO NAWAOMBENI LIKE ZANGU!!!) Mwache m2 akawaombe wazazi wake huko...,,
SMS SENT.
mtiga Abdallah 😘😘😘😘😗😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😗😗😗😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😗😍😍😍😍😍😍😍😘😘😘😘😍😍😘😘😘😘😘😘😘😘
Talented presenter
Msimulizi upo vizuri sana,hakika utafika mbali sana.
Nyie mnao omba like vipi tukishawa like mnafaidika Nini 😣
Nawashangaa
official Mao , ni wajinga tu
Me mwenyewe huwa nawashangaa cjui huwa wanafaidika nn
Hawajielewi
Mwl.Nyerere Lala Pema Peponi Daima Unakumbukwa Na Tunakuenzi .
Mtiga mzee baba nakubali kazi nzuri kuna bia zako leo njoo tabata jion.
Kama unampenda baba Wa taifa gonga like
Nyerere still lives on
As his wishes towards Tanzania
Is about to be fulfilled by the current President
Hope he rests in peace
Mungu akubalik popote ulipo mzee na akufanyie wepes wa maisha ya mbingun
Nilimlilia Rais wangu mwaka ule nilihisi km.Tanzania yooote tumekwisha ila nikakumbuka Yesu hajatuacha Watanzania.
J.K WAKWANZA AKILI NYINGI SANA HUYU JAMAA, MIMI NAAMINI IVYO
Mh ujumbe mzurii kwakwer uishi ktk mioyo ya watanzania
mwalimu was special and great leader in the world.
Wasafi fm 🔥🔥
Lo
Forever Mwl.Julius Kambarage Nyerere our icon..........he will live in our memories
Daaaaaahhhhh ipo vzriiiii kk mkubwa nice sanaaaaaa!!!!
kama unamkubali mtiga naomba like 50 apo chin
Likes tumeshampa yeye mwenyewe
Duuuh tanganyika nzima kumbe nae alikua (TO) Tanzania one basi tunamwita Tanganyika one oyooooo
Aiii nilochelewa hii ila si mbaya gonga like yako kama tupo pamoja🔥🔥🔥
Juu sana
Unaweza kusimulia kama unampenda jamaa huyu
👇
Kwan like zinasaidia nn waomba like nataka kufahamu
Daaah hamna ktu nachopenda kama hch kipindi naomba hata kwa weak kiwepo mara5 au 4
I love it
Namimi nimewah jmn wap like
Denis. Shirima1999 subscribe @vanessamdee youtube chanel 🙏
YOUR THE LEGEND STAY FOR ME
JULIUS NYERERE RIP LEGEND HEROOOO
mwalim mwalim mwalimuuuuu R I P 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 naumia sana nikikumbuka msiba wako nililia sana aseee
Mm nililia jmn acheni na nikawaliza wengine
Majira yetu haya yangekua wap sasa utumwa wa nchi Nyerere ameukomesha.Kama nko sawa nakukumbuka mtetez wa taifa langu
Rest in peace jembe mwali nyerere
kwa wema wako hautokawia kuwa mtakatif baba yetu upumzike kwa aman
Sjaanza ata darasa LA kwanza... duuuh busara nyingi na uwoga wa kufuja mali za nchi yake
Una maanisha nini kufuja mali?
Nani aliyefuja mali za nchi yake?
Utoe na uthibitishe
Nakumbuka nilikuwa chekechea..
He was a real man, the role model!