The Story Book: Shujaa Aliyeuwawa Kinyama na wazungu 'STEVEN BIKO'
Vložit
- čas přidán 27. 05. 2021
- 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Mimi naamini kabisa huyu jamaa alicheleweshwa na mtiga abdalah lakini siku zote muda uonaongea !!! Jamal you're the best aiseee!!!!
Mtiga ana punch za hatar..uyo jamal mwenyew anamuapreciate..ad leo..
Mtiga ni next level kwenye sauti 🔥
Jamal ni mtunzi ila pia ni msimuliaji mzuri ila mtiga ni msimuliaji2 tuelewane kwa hili jmn
@@dynachriss5126 yeah sema ana deserve sema kwa upande wa sauti ya kusimulia, mtiga ni the best
nakubali mzee kazi
Nimekuwa nikiomba story ya steve biko hatimae umesikia maombi ya wengi Mungu akubariki sana
Much love from kenya🙏
Naomba the story book ya time travel irudiwe🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Huyu ndo professor nimeupenda muundo wa story toka mwisho kwenda mwanzo that's great Jamal thanks bro
Alafu bado kuna wapuuzi wanatuambia wazungu wanatupenda sana wametuletea chanjo ya corona tuikubali aisee usiniambie mambo ya mzungu mimi R.I.P BIKO
Kuna vipindi napenda kuskiliza ila kwa mara zote nashindwa kumalizia kipindi. Najikuta moyo wangu ukiniuma hivi afrika mashuja wetu ni lini wataanzisha Vita nawakaishinda vilivyo.Mungu zilaze mahala pema roho za mashuja wetu wote
Na wanyonge woote
Yan me mwenyewe kifatliaga taarfa za kuteswa kwa waafrika wenzetu naishiaga tu kdg nilie kwakwel.
uko sahihi.ndio maana mungu aliumba MOTO na PEPO.huu ndio ukweli wa msemo haki mbinguni.sheria duniani.lala salama mpambanaji STEVEN BIKO
Pole dear Mimi kwa siku nasikiliza our story book hata mara kumi kwa story tofauti tofauti
Steve Bantu Biko!!! Mashujaa wa Afrika wakiamka na kukuta hali tuliyonayo watalia sana, tumesaliti damu zao😢😢
Exactly
One day they'll pay.
Iyo nikweli
Haifa hata kumuona kaburu africa ya kusini nahata ikiwezekana Africa nzima
Kiukweli wazungu hawafai hata kuwona au kuwakaribisha Africa nzima niwanafiki
0:09 "Mwaka 1978 Steven Biko alisema...."
4:31 "1977 Kifo cha Steven Biko..."
Hapa umechanganya kidogo Prof.
ila katika yote, Hongera kwa kazi nzuri.🤝🏾
,😂😂😂😂
nashukuru sana wasafi kwa kuniletea kilevi kipya THE STORY BOOK yaani bila kusikiliza usingizi hauji.shukran WASAFI shukran J.APRIL.P.kwa kunipa kinywaji hiki kitamu.
Wa ishirini na moja gonga like team wasafi for life 🔥🔥🔥🔥🔥
Great story.. I've always wondered who will tell me about this Biko
mimi ni congolese but thanks a lot for the story book asante sana kwa Proffesor JAMAL APRIL , ila mimi nina tatizo ya kuelewa wakati anasemezeya kuhusu miaka katika story book iyo salasini, sitini, elfu fulani yani sielewi kabisa ukuwe nasema mu english ni bora zaidi ili nasi tuelewe . asante sana na naitji the story book ya 50cent
"I write what I like"-biko
📌 nakubali sana prof yani huyu jamaa nilisoma story yake mwenyewe ila kuna vitu umeongeza 💪🏼💪🏼💪🏼 kiongozi nakubali sana
𝑜𝒉𝑜𝑜𝑜 𝑗𝑢𝑓𝑎𝑛 𝑦𝑜𝑢𝑛𝑔
Good professor
Ongeza na wew vyako
Na Mimi nataka kuwa Kama stiven Biko katika nchi yangu ya Tz alafu jamaly utakuja kusimulia hapa
Story nzuri sana Ila kiukwel Hadi Leo wa south Africa bado wanaogopa wazungu bado hawawezi kusogea popote pale kwenye mzungu yupo
Namuona shujaa wa Africa mwngne R.I .P MAG
acha kufananisha majambazi na wanamapinduzi
It's good to be of this era, being in Tanzania, being part of Wasafi never leaves a person with regrets. Thanks @Jamali April#Amaizing story
Leo Mimi wakwanza apaah nipeni like ila Majambazi tunaomba watuachie Dar yetu hali ni Tete mhhh
Mimi sitowai kumupenda ama kumuowa mzungu 😭😭😭 RIP Steven Biko
Black consciousness
Thank you so much
Kuna uhitaji mkubwa sana wa kusikia ukweli wa haya maovu ya wazungu maana bado wametutawaka kifikra.
Historian irudishwe darasani la sivyo wataendelea kututawala .we are not Free
Ongera sasa kaka nakupata vizur nikiwa Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Inasikitisha Sana Leo hii unamuona mtu mweusi Tena msomi kiongozi akiwakumbatia wazungu wapumbavu,magaindi, washenzi...sio kwamba wazungu wote ni wabaya No
Kweli kbs mimi najisikia izistor uwanaumia saana wazungu washenzi😭
Tatizo viongozi wetu kuwaaabudu wazungu
Leo wa kwanza jamani Profesa hongera sana kwa The story Book
Turudi darasan turejee history coz wengi hatukusoma history bali tuli kariri vita vya maj maj na world war wala atukuelew kiundan
Mnaomfananisha Prof Jamal na hayo mamtiga mtulize makomwe yenu kidgo😂😂 Jamal is 🔥
Wakwanza Leo wapi like za wakenya
Napenda sana simulizi zako ubarikiwe sana mstafaa proffer Jamaly.
Ayaa😱 Nimechelewa kidogo jaaman naomben like zenu twende pa 1
It is better to die for an idea that will live ....Long live the King...Thanks to you Mr Professor 🇹🇿🇿🇲
The story book to the world🌏
This man is a really African with humanity heart to protect the rights of the oppressed Africa, IN SOUTH AFRICA.
somo la history tunalipata kwako hasa kwa yale tusiyoyajua na kujificha africa imepambna sana
R.I.P shujaa wa Africa! Hivi hawa kitimoto weupe wa South Africa kwa nini wasizingirwe na kuchomwa Moto??
hahahahah kitimoto
You keep on educating and imparting knowledge from known to unknown thank you Jamal keep going😊
Nipeni like za jamal hapaa
I like this guy jamal he is very smarter guy very genuine I admire u bro God bless u jamal💓💓
100% nakukubalii sana professor Jamar April
Professor Jamal April... Hongera sana Mimi napenda sana story za harakati hasa hawa kina Steven Biko waliojitoa kwa ajili ya kuwaambia waafrica wajitambie
kama mwalim wa somo la historia... uwa napata ving vya kudisplay kwa wanafunzi kutoka hapa mjongoni, current issues on cold war, African Great hero na black american great hero na wanaharakat wengi... mpaka somo linapendwa kweli... Great man much appreciations
Wa kwanza apa nipeeni likes
Tunao mkubari jamal naombeni like200
Profes nimekubali wewe mkali kwa story from 🇸🇦 🇸🇦 🇸🇦
Pamoja
I would like to remind the black ministry and indeed all black people that God is not in the habit of coming down from heaven to solve people’s problems on earth 🌍. Kwa mtu mwenye akili atakuwa ameshaelewa alikuwa ana maana gani!
Watching you always from Kenya.Napendezwa sana na makala yako kaka.Nakutambua sana wewe na Ananias Edgar
I want the story Book to narrate about the Great wall of china
Mungu katubariki kutupa rangi nzuri lakini ndo tumekuwa watu wa kwanza kunyanyaswa na hawa viumbe wa langi ya nyeupe na njano wanajiona wao ndo watafuka peponi sijui kwann ewe mwenyezi mungu tujaalie akili na ujasiri kwa kweli 😢😢
Kama mmegundua kua s biko amefanan na jamal aprli like zangu apo
Me naona anafanana na ally hapi
Mimi historia za afrika zinanigusa sana
Ninashangaa Sana tz bado kunamambo yanayofanana Sana hapa TZ,ukifatilia vizuri unaona niafadhari yawakoloni wakizungu kuliko weusi wenzetu, kwasabbu wazungu walituua vilevile wafrika wenzetu wanatuua pia, inatiaaibu Sana,
R I P MAGUFULI SHUJAA WA AFRIKA
Nakuelewa Sana kwa madini yako Professor
Kaka Jamal hamini ya kwamba kwa hakika wewe ukifa Mimi kama Mimi Nita latalalamika kuliko ata wazazi wako .pya nakuombea kwa mungu mlezi akulinde kwa malezi makubwa,na ata ikitokea mim na wewe Kufa nitangulie mim syo kessi
Ninachopenda Profeser ni mtu wa fact sana
Mapema leo nipo 👏👏🔥
Wow thank professor it's a long time I've heard about Stephen Biko and please can you give us a story book about "bonnie and clyde"
Eeee,mungu,hawa watuweupe walitokea wapi? Mbona wanatuchukia hivi? Je,watatutesa hivi npaka lini? Haki yetu iko wapi juu yahawa wazungu?
Leo nimejua mengi kumhusu Biko
Mtaalam wa the story book gonga like kma unmkubali
Ipo safi sana hii documentary ya huyu shujaa.. ningependa ku request mtoe video ya #Julian_Asange na harakati zake za kupigania uhuru wakuongea
JAMAL SOMA HII COMENT
NI USHAULI UNAONAJE HIZI STORY ZIWE NA SUBTITLES ZA KINGEREZA ITAKUWA VYEMA ZAIDI
Kbs
Fact
Kabhisa Aisee....fanya Ivo ndg yangu itakuwa vema Sana
Yeah kwel kwa lugha ya kingeleza utakuwa vyema
naomba like zake wana
Where are young people like mbiko nowadays??
This is the hero south Africans have forgotten.
Professor number one
You really inspire me
Is better to die for an idea that will live than to live for an idea that will die 🤘🤞🤗
Professor hear me: _natabiri, siku moja utapata tuzo_
Kabisaa
Hakuna talented kama huyu wcb kwa presenter wote diamond mpe v8
Hilaliux Alex Fala Tu Huyo
@@emmanuelmauki2938 acha wivu
Leo nimewai nakubal sana jamal
Jamal tunaomba utupe the story book of Spanish armada
PPPpp
Hongera sana....ila ungeeka na subtittle za kizungu ili wafatiliaji waongezeke...
Wewe kweli ni professor unajua kinoma mzee nakukubali sana Jamar Mustafa
Steven Biko and Nelson Mandela are one of the most hustlers in the world
Rtw
Professor 🇰🇪🇰🇪💗
Africa is not free
ALUTA continua
Mapambano bado yanaendelea
RIP JPMagufuli
Asante kwa ukweli wa Steve Biko.
Africa is not Free
Professor 🔥🔥🔥🔥
From Congo Brazzaville watching now
Wakwanza leo
Mm ni mtu mweusi wa Africa napinga ubaguzi wa rangi na udhalilushaji dhidi ya binaadamu baina ya rangi kwa rangi
Niliaza kusikia mwalimu wangu wa history kuhusu steveni biko leo kwako kaka ninafulaha
Kwahaya mambo wazungu hawatakiwi kuwa Africa tuamke waafrica
Sana Yani siwataki
Ninachomkubali huyu jamaa habaatishi anafanya research ya kutosha
🙏🙏Mungu azidi kukupa siku za kuishi ili uendelee kuitumikia jamii yako ya kitanzania kupitia huduma ya simulizi kupitia digital platform kama you tube mimi ni mdau wako since day one and i hope we will be collaborative as per required tutakusaupport for any means maana tunapata vitu vizuri kupita hata hitaji letu you are beyond the creativity
from kenya kindly bring the story about bomb blast in hiroshima
Steven Biko, Simba wa Afrika aliyejitoa kafara ya kifo mwaka 1977 ili kupambania sera ya Ubaguzi wa Rangi Appatheid Policy iliyolenga kunyonya haki za Watu Weusi.
Nukuu za Steven Biko
1. "Black is Beautiful."
2. "Change the way people's thinks, things will never be the same again.'
3. "It's better to die and let the ideas lives rather to live and let the ideas dies."
Mwamba we ni noma mungu akusaidie na kazi yako❤❤😅
Asa hawa wazungu bado wanafanya nini afrika kusini ili hali waliwatesa vibaya ninafikiri muda umefika nasi tuwafurushe vikali warudi huko kwao
Professor sina chakusema ila ninakukubali sana. From South Africa Cape town
Professor big up the story book nice from wasaf media
professeur nakukubali wenimkali Sana
Jamal me nakukubali sana na hichi kipindi nakielewa
Nakukumbuka.sana.brother.stev.biko
Daah Biko
Mwanzo walikuponda sana lakini saivi washaelewa 💪🔥
asanteni Sana wasafi huyu ndiiye profersol
Wa kwanza leo
Good work 👍 you are my mentor Jamal
Bro upo vizuri sana
Kindly do one for micheal jackson
Kama itakupendeza katika schedules zako usitusahau kutupa simulizi ya mji wa pompeo ambao ulikuwapo nchi ya italy ni mji ambao ulikuwa na utawala wenye nguvu sana ulipata kupotea after volcanic effect to distract the city of pompeo ,am pleased you to consider this
Ili Pompeo itusaidie nini? Tunataka simulizi za Afrika ili tuweze kujijua na kujithamini.
Iam watching from Buguruni city centre Tz Dar