The Story Book:MALCOLM X Shujaa Aliyemiminiwa Risasi Kikatili Ili Wazungu Wazidi Kuwatesa Watu Weus
Vložit
- čas přidán 30. 10. 2020
- 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Asante sana kaka kwa history tamu nimepata notes za kuwalisha vijana wangu wa form 6
Hongera sana kaka jamil
Allah AKULIPE kwa kusimulia haya ambayo ni nadra kuzungumzwa
Subhanallah allah akbar najivunia kua muislam allah nijalie mwishomwema mmi pamoja na familiya yangu nawaislam wote kwa ujumla
Masha Allah kwelitupu umenifraisha profesa gongeni laik tuwe pamoja
Naam umenikumbusha kwenye kitabu Cha they are either extremely smart or extremely ignorance.. proud to be a Muslim alhamdulillah..
Unaongelea waarabu
I'm proud to be a Muslim. Al'hamdulillah shukran sana mola wangu kwa kunijaalia kuwa muislam
Likes nyingi kwa professor
ALLAHU AKBAR , Malcolm X may Allah grant you Rahma until Qiyama to be in As-habul Jannat , inshaALLAH
Inshallah
Umenkumbusha nmejion Kam nip darasani....Allah akulinde Jamal April✌️✌️
Jamani kila siku zifuatazo story book inazidi kupamba Moto na kua. Nzur zaid shukuran san jamar kwa kazi yako nzur na twaipenda xn
Like za Professor Jamal April!!!!!!..,👇
Dondosha Like Kwa Le Professor!!!✍
No one like you broo siwez lala bila hii voice
Uko vizuri kaka, unatufungua sana fikra zetu kihistory.
Nashkuru Kwa Hiii Kaka
#MuslimLivesMatter
#Alhamdoulilah🇧🇮🇧🇮
jamal...mzee unajua mpaka kero aisee.....kaka respect sana....gonga like kama unamkubali huyu mzee
Angekuwa Annanias Edger buana ungejilamba had tako
@@francolazaro8646huyo akasome prof Jamal n habari nyingine
Black life matter if you believe nipe like, all the way from 254
Tuletee historia ya mtume muhammad (s.a.w)
Daaah hii history nilikuwa naitafuta Sana.. Leo nimesikiliza vizur Sana big up professor
Namshukuru allah kwa neema ya uisilamu story hii inaonyesha ukweli wa uisilamu yan moyo unanienda mbio kwa furahaa shukran ya allah shukran 😥😥🙏🙏
Ndugu
Udn tena
Sindiyo nashangaa jamani
@@gwangtaek1564 siyo udini bali nistory inayoonyesha uislam nidini yamapenzi na nidini yahaq
Utasikia muislam ndugu yake no muislam mmmmh kweliii mbona sijawahi ona mbongo kamuoa muhindi au mwarabu wale wanaokimbilia italy nani asiyejua kuwa walikuwa wakifika Egypty ,Tunisia na morocco walikuwa wanateswa bila kujali kuwa ni wakristo au waislam walikuwa wanateswa tuuu hizi dini
Tumeaminishwa afu tunabaguana kisa udini ndio maana wanatuona hatuna akili .
Like kwa wasafi pamoja na professor Jamal
May Allah forgive him and grant him the highest place in JANNAT with prophets righteous men and shuhadaa, amiin
Aaamin😘😘😘
Islamic forever hadi kufa, thanks Allah 🙏
Allah mkubwa, Malcom X alikufa shahidi may Allah forgive his mistakes
🙏🏽🙏🏽🙏🏽
a
Tunakukubali kaka...2025 naomba uxhukue form kabisa ya ubunge tutakupa kura zetu.....uko very smart
Bila shaka hilo jengo linaloonekana kwenye background, katika intro ni Tanganyika Packers, Kawe Dar es Salaam. Naomba like kama nimepatia...from Uganda.
yes umepatia ndio penyewe
I still remember him because I named my son after him may his soul rest in eternal peace forever
Ameen
Wonderful act.
Watu wa history piteni na like tukisonga
Kumbe uislam ndoumechagia sana tupate uhuru ss watu weus
😂😂hii ni biashara bana hebu tafuta historia ya Waafrika waliopelekwa uarabuni kama watumwa ujue walicho pitia hadi wanaume kufinywa uume ili wasizalishe wanawake waarabu, panuka akili si tuu kurukia vitu mwaafrika ametengwa kila mahali hata waafrika wenyewe wametengana
Acha ujinga sima historia ujue yote sio kuconclude kwa hiki kiclip
Awap Nan kasema tena huko uislam ulikotokea ndo Kuna watu wakatili mno jiulize kwann uarabuni hakuna kizazi Cha watu weusi wakati wengine kipindi Cha utumwa walipelekwa kama watumwa uarabun,Afadhali hata marekani ambako sahizi watu weusi wamekuwa wamarekan huko uarabun ogopa wale siyo watu
Jamal April you really do great job, well reseached,,,,,,kindly tuletee ya dedan kimathi and others great heros from kenya .........THANKS IN ADVANCE
Story nzuri japo Kuna some picha mmetumia za Denzel Washington
Mara hii "likes" na "viewers" wamekuwa kdgo kwasababu ya Mamlaka waliojipatia hawo wakuu, ety Uchaguz...damn Uchaguz, ila yote na yote Nakukubali mnoooo Professor 💯
Namshukuru Allah kwa neema ya uislam,,, hakika uislam ndio dini ya haki na inayojua utu wa mtu na isiyopenda ukandamizaji,, mashaallah malcolm x alikufa shahidi ktk uislam akipigania uhuru wa mtu mweusi
We mjinganii unajajije dini ya wezio kwendaa ndini ya uislam ndio nn unafikiri dini au imani kwendaaa dini ya kwel ya wakristo waganga wote waislam sasa Ina haki gani
Hao Waislam wanaolipuka na na mabomu katikati ya masoko? Wapuuzi tu kule watu wakibeba mimba bila ndoa ni kupigwa mawe mpaka kifo mtu akiiba nikukatwa mkono wapuuzi
Alhamdulillah alikufa jihad maashaallah
@@anastaziamathias8861 Naomba nikufundishe kitu Usiangalie Wanaojilipua uliza Uislamu umefundishaa? Coz kuna watu wanadai wao ni Waislamu lakini wanakunywa pombe,sigara,bangi na vingi vilivyokatazwa hivyo unapaswa kujua hayo..Yaani kiukweli Uislamu umefundishaa Mafunzo mema sana🙏🙏🙏🙏
@@binhussain3445 kwa hyo ukristu unafundisha maovu ama? Weka udini pembeni imani ya mtu na wema wake sio dini kuna mashujaa kibao wakristu na wamekufa wakipambania haki ya watu weusi kama STEVEN BIKO, PATRICE LUMUMBA inshort mashujaa kibao tena waliuwawa kikatili vbaya sana mbona sisi hatukuongelea dini kupitia wao? Waislamu bana🤣🙌
Subhannallah uislam nidini ya haki
Hiki ni matedo ya Mtu sidini Mpetwa
Yesu ni Bwana
Pumbavu
Allahu akbar
Long live my hero, brother Malcolm X.
KAMA WEYE UKO UNAANGALIYA
THE STOR BOOK UKU UKISOMA
COMANT NIPE LAIK
Good
czcams.com/video/IBGsETed3bU/video.html
Like
Asante kwa kutuelimisha
@@marthasamuel3009! czcams.com/video/y6DpkYVj2YE/video.html
Professa la profeseri super talented forever Jamal unajua xna..
czcams.com/video/C_3CYe-TmVs/video.html
hii ni nondo tosha kwa wanaochukua history in advance level💪
Kuna watu hawaujui uislam wanaongea kwa ubaya juu ya Deen tukufu ya uislam...lakn n dini moja yenye kher na binadam upendo...na aman...
Mpaka mwanangu nikampa jina LA Malcolm gonga like hapa
Mie nimempa LA Sankara Thomas
Vizuri sana kaka endelea kutufunza
kusema kwel kuna muda nimekuja gundua unaweza saidiwa na muislamu kuliko wakristo wenzangu wakrosto mda mwingine tunakuwa na unafki
Kuna meng yamefichwa kwenye bible ukitaka kujuwa subir ya martn Luther siku akija nayo🏃🏃
Amen enda Iran ama Iraq wakusaidie
Basi hamia kwenye uislam kama kuna unafk
Waislam waliowaua wenzao wanaijeria waliokuwa wanakwenda Italy vipi kuhusu hao
Waangalie wamorocco Libya na watunisia walivyo wabaguzi kingine je nani mweusi kamuoa muhindi mwislam au mwarabu kuna siri kubwa hapa ..
@@simontamba1285 kwanza waambie uko uaarabuni ndo kuna ubaguzi mkubwa kuliko ata marekani je nani ashawai mwaafrika akiaandamana iraq au iran kutafuta haki?
Nakupata kutoka michigan marekani
SubhanAllah❤️❤️❤️
Nipeni like zangu wa kwanza leo. The story book
Jaman na mm leo Wana story book naomb like ata 100%
Safi sana big up jamal LKN nashauri ungeandaa simulizi kuhusu marehemu steven charles kanumba maana ni mmoja wa ma legend TZ
Hadi leo Wazungu hawatupendi watu weusi lakini sisi tunajipendekeza sana kwao.
The living legend malcom x nliishia kumsom kwenye history tu (back ppl in the new world) Leo nmemuelewaa vzr mno RIP KING
Alikuwa kwenye cvl rights mvment pamoja Dr Luther king jr
Sure brooo
Wow wow I love this game.... We are waiting for Martin Luther King Jr
Yes we wait 🤗🤗🤗
Tungepata ya marcus garvey kwnza ingependeza zaid mana ndo bana yao wote hawa
Allah ndio Muumba mbingu na ardhi kwaiyo tumtumikie na tupendane kama ndugu wamoja sio kubaguwana kbx Allah tupe kauli sabit siku hio Yakiama 🤗🤗🤗🤗
Allah amrehemu ampe jannat firdaus karibu na mtume
Kwa kusema kweli Naburudika Sana Mwenyezi Mungu Akuzidishie
Wiki hii story umetuwekea j,mos tunaotumia VPN tujuane hapa kwa like na comment
Hii story ya Malcom X nimeisubiria kwa muda mrefu sana.
MashaAllah, uko vizuri kwa historia, Mwenyezi Mungu aidumishe chanel yako, tuzidi kupata faida
Asante jamal tunaomba utuletee story ya pharaoh wa egypt zaidi sana kuhusu nerfetiti
asante sana my brother from another mother
Takbiirrr❤❤❤🥺🥺
Allahu Akbar
Allah akbar
Tulikua tunaisubiri kwa hamu xanh💪💪💪
Iyo seem aliyosimama mwanzo wa story #Jamal inafanana na kwa mwamposa kawe anapofanyiaga ibada kwa mliowah kufika nadhani mtakuwa mmenielewa
Gonga like kwa story book ya leo......👍
Yani hizo story ni really ss brow tupe Back to back god blessed you!!!!!
Jamani wadau nataka the storybook kuhusu Gaddafi
Unajua Sana kuhadithia Sana kaka
Aĺlah mlaze mahali pema peponi malcom x amiin..
The best professor in E.Africa
jamaa ni professa
TUNAOMBA UTELETEE KWA MFUMO WA PODCAST TUWEZE SKILZA ZAID NA ZAID .. ILA KEEP IT UP UNAKOSHA SANA✌🏽
Nakuelewa sana professor unajua kusimulia mungu akujalie uishi miaka mingi sana brother
Malcom black super hero love you for ever
Jamal you are great brah, I appreciate.
Ninajifunza mengi sana kutokana na kipindi hiki. Ahsante na hongera
شكرا يا جمال سمعت منذ البداية الي النهاية واستفدت
nimechelewa jamani angalau like ata 100 ndashukulu
Mungu mxhukue Amorapa Mludixhe Malcom x
Daaah bonge la darasa sheikh hongera kwako
Hii story inasisimua zaidi. Tunaomba story ya Martin Luther King
Japo nilikua busy lakn leo nimemaliza story Asante professor Jamal_April
Unapendwa
A man who stands for nothing will fall for anything***
Ungeanza na Marcus Garvey professor maana hawa wote pamoja na Martin Luther King wamesoma na kujifunza philosophy za Marcus Garvey na William du Bois
Anyone who is watching while reading comments😊😊
Nyie stori book mlivyowasenge wa kidini kwanini hamjaleta stori ya martin Luther king jr ambae to me he very intelligent and educated activist alietumia njia bora zaidi kwenye harakati za ukombozi wa mtu mweusi
Hii history inafanana sana na Maisha ya Tundu Lisu.
Thank you Proffessor Jamal😍♥️
Sema yy Mungu kamuweka bado
Asante sana jamal april big up sana kwako👍👍
Wasafi tv na nyie mnapost kwa hissan ya VPN au
Naombeni like zang jaman
Kuna nililojifunza ktk hili,
1.Marekani mpaka leo hii kipo Chama kinachojiita"Nation of Islam"jamaa hawa Kazi yao ni Kuhubiri Chuki dhidi ya Mtu mweupe na kumuita "Shetani"
2."Nation of Islam"si Waislam bali ni Chama chenye Mafundisho yaliyotokana na Muasisi wao Eleijah Muhammad ambaye was wanamuamini ni Mtume wao na Wanamuabudu pia.
2.Cha kushangaza zaidi ktk Imani yao,Mwanachama haruhusiwi kula Karanga,hizi za Kawaida tunazoziona Mtaani zikiuzwa.
namuona lissu ktk lile tukio alililopigwa risasi
Anafanana na Denzel Washington
Hizo picha ni za Denzel ndio, zipo katika movie inaitwa Malcolm X ya 1992
Professor sauti yako iko chini kuliko music kwenye kuelezea fanya mambo mazuri next story 🙂
Martin luthaking Jr tunaisubir prof
Boss napenda kufatilia kila story yako najifunza mengi Sana
Malcolm X
Legend❤
Nakukubali saana mzee baba
Yan Beat Lina support story vbya mno, Support Saana ....@Jamal,
Allah amrehemu Amini
Ila mm ni mgonjwa wa mpira nlikua naomba siku moja utupe history ya Champions league kama hautoa jari ila so pekeangu ni wengi tutaenjoy kuiskia hio story Asante 👊❤️
I was waiting for this one so bad 🙌🏽.. great job
Ooh yeah
I m fine because I learnt good story from you kaka . god bless you
Niko nikiwa kenya i love the story book.
Tuko pamoja bro😂😂😂
Interested story in a appropriate time big up bro jamal
Mtihani sana