The Story Book : Vita Kuu Ya 3 Ya Dunia / Maangamizi Ya Nyuklia / World War III (Swahili)
Vložit
- čas přidán 29. 04. 2021
- 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#TheStoryBook #WasafiTv - Zábava
Jamal anajua mpaka anaboa uongo jamaniii kama unaikubali wasafi ,the storry book shusha likes za kushatoo
Hata vitabu vya dini vinasema huyu jamaa anasoma Sana vitabu jaman
Like
😅😅😅😅😅😅@@godfreysekumbo1523
Jaman sijawah pata like humu naomben like zenu
Yaani mm nimekuja kusikiliza tena the storybook maana urusi mh mungu hatusimamie Tanzania 🇹🇿 yetu
Mtihani sana mungu atulinde waja wake
Safi Sana Prof. Gonga like Kama umemuelewa Prof.💪💪
Perfect
Ee Mungu, tuepeshe na dunia hii yenye mauaji na ukatiri usio na hofu yako, amin
Kama ulijua move twende kazi maana huyu jmaa fundiii sanaaaa
tafadhali tusije kuskia uyu jamali amegombana na wasafi kila akita kitu mumpatie tafadhali my brother c.e.o #diamond uyu mtu ni wa kuangaliwa sana na kupewa vitu vizuri ili akili yake iyendlee kufikiria vitu vikubwa na kutuletea ili tuelimike tafadhali sana naomba uongozi wa wasafi 🙏
Jani story book ni noma mno sijapata kuona naomba like wadau
Upeo alionao jamali sio level za kitanzania.
Siidharau Tanzania ila Bado unahitaji kwenda mbele zaidi...
Angalau kuwa international zaidi ulichonacho Ni zaidi ya hapa...
Lakini nimekuwa impressed Sana maana kinachowekwa hapa Ni next level, wasafi mmeenda mbele Sana hongereni Sana Sana
Ni kweli unachosema. Ila anachokiongelea kipo mitandaoni siku nyingi lakini sisi wabongo ni wavivu wa kusoma vitu vya muhimu ndio maana mtu akileta uzi kama huu wengine wanaona kama ni unabii. Ni kwamba jamaa nae anasoma sana vitabu na documentary nyingi ndio maana anajua vitu vingi.
Mungu Ni waajabu Sana yey ndo anajua atatuepusha vip kikubwa tuzidishe maombi🙏
Hii vita ya 3 ya Dunia, watu tunafkiria mbali saanaa, pengine sio sahihi.. Mimi nionavyo, hii vita inahusisha na mwisho wa Dunia, unaposikia habari ya mpinga kristo (masihi dajar), watu wanafikir atashuka shetani live toka kuzimu, kumbe sio.... Hii itahusisha mashetani ktk uniform za kibinadamu. Yaani binadamu anapagawa mapepo ya kishetani na kufanya mambo ya kishetani.. Sasa mambo ya kishetani ni yapi!?. Ni pamoja na tamaa za nchi, ama mtu ,ama kikundi kutaka kuitawala dunia, au kutaka kuua watu wote duniani na kubaki wenyewe tuu ktk hii dunia.. Na kuitawala dunia, na kuanzisha tamaduni zao wenyewe... Sasa kwa sasa, nchi kubwa duniani zimeanza kuona hatari ya kuishiwa marighafi ndani mwao, na ndio zinapowaka tamaa za kutaka kutawala dunia ili zikidhani kuwa zitakuwa safe.. Apo ndio shida inapoanzia...
Biblia yenyewe inaeleza kuepo kwa Vita ya tatu
Amina
Mungu Nimwema siku zote pengine yakalipuka huko huko kwao kabla ya vita. hata sasa eeeee mungu wewe Ndio kiongozi wa aridhi Na mbingu tuhifadi ishaalllah 😢🤲🤲🤲🙏Amiin
Amen
Daaah...!!! Huyu jamaa bhana ni Mbunifu sana nimemvulia Kofia yani picha laanza tu nikajua Mwanetu Jamal katekwa nin 😅😅😅 kumbe zile MBWEMBWE tu miksa madamu nene yaneeee....
Salute kwako Mkuu🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Jamal karudi watu wanapata mhaho nipeni like za Tanzania nipo kenya
Wanaoufuatilia story hii Baada ya kuitazama kinachoendelea duniani gonga like hapa
Jamal Jamal you are getting better day by day I'm impressed
Berive in God
Mungu ndiye atakayelipinga hili lakini kwa binadamu yeyote
@@bonnymalyalya4032 q
True story teller watching from 254. Gonga like 👌 Jamal andaa sehemu ya pili umeniacha nime duwaa!!!
Haaaa
Huyu jamaa anajua mpaka anakera one love brother
Jamaa Yuko vizuri
😂😂
Jamal mtu mhim Sana mjini You - Tube, Much respect ma Brother 💪💪
tusifurahie utamu wa story tu, tufikirie hatima yetu na vizazi vyetu..! wanadamu tungemjua adui yetu tungefanya mapinduzi asubuhi ya kesho
kabida broo
Aliye turoga wtz mungu.anamuona
Amesahau Tanganyika na Zanzibar inaweza sababisha vita ya tatu ya dunia
Hata mzozo wa Tanzania bara na Zanzibar inaweza sababisha vita ya tatu ya dunia
Nipo tayari kufanya mapinduzi kwenye nchi yetu mimi kama kijana jasusi
Naomba like. Hapaaaa mkuuu mapema Sana nimewaku kula daku na kuicheki hiii
Dah!! Jamal story zako huwa nazielewa sana na zinasisimua ama kuvutia kuzifuatilia ama hakika unafanya kazi nzuri ya utafiti na kuzisimulia kwa kina na kwa uzuri zaidi... Mungu akujaalie afya njema na akupe uelewa zaidi na zaidi juu ya elimu hii unayoitoa kwetu sisi... Ubarikiwe sana..
Pongezi kwake👏👏👏
Yuko vizuri sana huyu jamaa.
Nazani mzozo wa Tanzania bara na Zanzibar inaweza sababisha vita ya tatu ya dunia
Huyu jamaa ningekuw simba ningemzawadia mjengo ni genious sana kila Siku anakuja kiutofauti an ila usiofu bro lazima zawadi yangu utapata tu
Naikubali stori yako kwasababu unapo leta stori unaweka na picha na matukio tofauti hilo ndio linanivutia kwenye maszor yako sio wale wanao leta stori halafu picha mgando uko vizuri sana mkuu
Na kamzki pemben ka msisimuko
Wasafi ni 1 tu
THE STORY BOOK. VITA YA TATU YA DUNIA... MAKOFI MENGI KWA PROFESSOR JAMAL.👋👋
Kusema kweli jamaa anajua sana Tena sana TU mpeni likes zake jaman nipo calfonia ila namuelewa san
Kwani yeye anasemaje
Mzeee makini sana
heshima yako ❤️
Kama unachek hili dude talehe 01/05/2021 gonga like kama zote
Japan (Hiroshima and Nagasaki) haikupigwa Nuclear ilipigwa Atom nuclear imegundulika mwaka 1953
Uko vizuri brother like kwako👊👊
Amakweli kila binadamu ni wapekee sana hapa duniani, hakuna kama wewe kaka Jamaly nakukubali sana.
safi ndugu yangu nimekuona apa kw mala ya kwanza tukutane kwenye team #kubambanya 🤣🤣🤣
Hii dunia Mungu pekee ndiyo mkombozi wetu
Live
Nijambo la kumshukuru mungu kwa kuwenza kwanza kukujaaliya kufanya utafti wakina '. Na tumuombe mungu aiwepushe duniya na vita ya tatu ta duniya
Wapi like za Africa kwa haya maovu yaliyotajwa atumo.
Na hao mabepari wa duniya kesho kwa mungu c mbali.
Leo 04/03/2022
Nimeamua kuangalia hii kutokana na kinachoendelea huko Ukraine, yule mzee mstaafu wa Marekani aliesema ana hofu vita kuu ya 3 ya dunia itatokea ndani ya miaka 10 ijayo naona hofu yake inatimia. Vita kuu ya 3 ya dunia iko karibu...ee mwenyezi Mungu utuangalie sie waja wako haya mataifa ya kibabe yataimaliza dunia hii 😥
Hhhhhh daaah
Hatari sana mkuu, hongera sana PR Jamal unatisha hii kweli ndo wasafi
Nakubal kz jamal sijawah jutia mb zangu kwa ajil yk ww
Nashukuru Sana mzee kwa taarifa halafu story ni nzurii Sana.
Kaka chagua kati ya dodoma au dar sanamu yako tujenge wapi
Sio kweli nakataa huyu jamaa aokoke tu awe muhubiri amtumikie Yesu wa Nazareti watu waokoke kupitia yeye
Hahaaaaaa
Iam now your fun Jamal you are more than my grandfather he was a story teller, more Love from Kenya 💚💚
Another Level Professor Jamal 🙌🙌🙌 I appreciate Broh..!
Ulioyasema kaka
Leo tunayo, Nani bado Anatazama the story book hadi hii leo
✋✋
Professor Jamal Ni Zaidi Anaelezea Vitu Vingi Sana Huyu Jamaa Sio Mchezo Kabisa Gonga Hapa Like Kwake To Him He Tell The Truth
Professa ni mmoja tuu jamal nakukbaliii sanaaa kaka
Tulioiangalia the story book March 2022 dondosha like hapa maana Jamaa kaitabiri vizuri sana na ndio inavyoenda kutokea...🙌🙌
Nipo hapa
Naomba hio Vita isitokee kabisa tumuombe mungu isitokee hio vita
Kaka umesahau kuongelea kipengele muhimu sana "jinsi gani ww3 itaadhiri mataifa ya Africa" nadhani watu wengi walitaka kujua hilo na mimi nikiwemo
Mwenyezi Mungu atalinda watu wake
Kwetu isifike jaman naikifika niwenimekufa Mimi jaman
@@nolimittvonline6822 vipi kuhusu kizazi chako haukihurumii
@@mwanaishamande8880 bina dam Tena kutapa patapa kikubwa ni kuomba mungu atunusuru
@@nolimittvonline6822 kabisa ndugu yangu mungu atunusuru yote yabatokana natamaa yamali nadhulma ubabe ila inshaallah Allah karim 🤲
Jamal mtu hatar sanaa tumuombe mungu tu🙏🙏🙏
WASAFI forever
Gonga like kama tutazidi ku support WCB pamoja. Alfred RAY Silver based in SA
Yesu ndio mungu mwenyewe...soma yohana mtakatifu sura 14:6-12
Jamal mimi hukuangalia kutoka Kenya.lakini wewe ni mwalimu ambae sijui kama ulifunzwa na mwalimu kujua mambo yasiyo yakawaida, ama mambo ya Dunia. Aise uko juu
Nimerud tena baada Mgogoro wa Russia & Ukraine
Na mm hapa
The story book iendeleee...!!!
Aseeh.... ni Hatariii
Kipaji hiki kimepitiliza uwezo wa mwanadamu wa kawaida kaka, Mungu asante kwa vipaji
Yaani this guy does the most great job.. #sababu ya yote haya ni mshahara wa vitendo vya uhasama vya mwana damu mwenyewe
Umeua kaka.
Uyu jamari ana jua baraa .Kama una Amini Kama mm please naomba like yako.
You are my great story teller of all the time...Your aptitude is greater than what you narrate.
Ebu tafsiri kwa lugha, hapa tuko uswahilini...
wangap tumerudi hapa kipind hiki cha mzozo wa urusi na ukraine 🙌🙌prof jamal
Huyu jamaa ana juwa big jamal sir
Professor jalibuni kuweka subtitles in english pia coz namarafiki zang abroad huwa wanapenda kusikiliza story zak but tatizo lugha hawajui kiswahil and richa ya hiyo pia itasaidia kupata more fans a world wide
I'll be happy if u'll consider that idea 💕💕
that fact bro 🤝
Safi
Safi
Wawatafte wakalimani Mbona wao habr Zao kwao wanAtoa kwalugha Zao
Point
Professor Jamal fundiiiii 💯💯💯👏👏👏
Yaani unavyoelezaga story zako na kuzifafanua napendaga sana yaani unajuwa ww na pia muda wote huwa sichoki kuzisikiliza story zako maanake huwa haziniishi hamu, nikuombe uwendelee tu
Creativity level awesome 🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Super proud ue Jamal we are enjoying much .....u know wat Tanzania we are blessed ..keep shining brooo may God blessings Shower upon ue
Jamal unauwezo mkubwa snaa wakuweka story ikakaa Mahal pake,big up sana kaka.....
Dah nakuelewaga sana ndugu yangu.... mwenyezi mungu akutangulie ktk kazi zako
Ziko wapy likes za jamal from Kenya
Like zaako jamal April utazikuta hapa kama humpingi like please akija azikute
Ni Wewe Tu Mwenyezi Mungu Utuokoe 🙏🙏
duuu inatisha sana hapo inaitajika tu nusra ya mwenyezi mungu
Hatimae tumerudi hapa bdala ya muda mrefu.
Ivi kwann binadamu wanafanya hivyo..nakuuliza Mungu angeamua kuwa katili kiasi hicho Leo hii tungekuwa wapi jamn😭😭😭, Eeee Mungu wangu tuteteee sisi waja wako
Kwa wapenzi wa story book karibuni pia kwa Davista Mata upate story nyingi na za kweli upate kujua zaidi kuhusu mambo yaliyopo na yanayoendelea duniani
Kunamengi sana yakujifunza kwa The story book hakika jamaa Anasikitisha sana vile anavyo Simulia Tukio
Nasemaje #JAMALI APRIL NI MMOJA 1 TUU
Professor Una balaa sana 🔥🔥🔥
🤔🤔2letee movie kali brooh!!!
@@jamaljamada7482 usijalii
@@TonyMkongo could i
Tony Mkongo nitafute nikupe dili kaka.
@@jamaljamada7482 unaniogpexha broo
My Bro your professional
Like 👍
No war no tears any more. God is overall🙌
We ropoka
Mungu ndie mjua yote eeh mungu simama na inchi yangu Tanzania.
Watu wanajifanya kukucopy hawakuwez mkuu lete chuma back to back🙏😂😂😂
Jamal April you're the best bro
Ulilosema linatokea hukuuuu, Jamaal April
Fundiiii proffersor jamaly mustapha 🙏🙏🙏
Duuuuuuuuuuuuu
My inner trauma raised to ear the terrible storie
Bonge la aidia wcb ni🔥🔥🔥🔥🔥
Safi sna prof.ww nibalaa
asante kwa taarifa za uhakika
Salute kwako PROFESSOR
Ungekua mwalimu wanafunzi wangeelewa sana
Kama vile yametokea kweli, Tumuombe Mungu atulinde tu
enyezi mungu atusamehe sisi tusio jua chochote na waki piga baci yatagoma nakuwauwa wao wenyewe amina
We kweli akili huna
Woyoo wangapi tumeamka nayooo weka likes yako tuendelee kuhabarika na story book
Jamal..🔥
safi sana
hii istoria mnaweza kuifungua
This one has made me cry 😭😭😭😭 .... it's so sad...to see how the world is going.
Refer to Michael Jackson song Heal The World.
Let God see cry too
Jamal is Jamal ..work proceeding
Like 🙏
Unatusaidia sana professor Jamal kujua yajayo yasiyofurahisha🤌🤗
Ndo kipind bora hapa🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 pongezi broooo kw ubunifuuuuuu wako jamal
Nipe like ya askari wetu hapa🚨🚨🚨
Mungu atusaidie
The level of your creativity is incredible sir, we researched, perfectly elaborated and well explained......
O
Hakutakua na mshidi dunia itaangamia yote mungu atukumbuke.
Daahh mwenyezi mungu aendelee kutusimamia 🙏