HISTORIA YA IKULU YA MAGOGONI / HUYU NDIYE ALIYEJENGA!
Vložit
- čas přidán 25. 05. 2019
- HISTORIA YA IKULU YA MAGOGONI / HUYU NDIYE ALIYEJENGA!
Ikulu ya Tanzania ndiyo ofisi kuu ya Rais wa jamhuri ya Tanzania ambapo ilianza kutumika kama ofisi ya Rais wa Tanzania mwaka 1962.
Jengo hili la Ikulu lilijengwa kwa mara ya kwanza mwaka 1919 na Gavana wa kwanza wa kiingereza ndugu HORRACE BYATT.
#IKULU
//www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Nakapenda haka Ka Soundtrack. Ananias kama hutojali tafadhali share jina lake hapa. Kapo too emotional kwakweli. Kuhusu Ikulu sasa historia inabadilika tunaenda chamwino Dodoma.
Wengine wavivu kusoma vitabu
Hii ni njia pekee yakupata elimu
Sijawahi kuona ikiwa Ananias hujibu hizo texts kabisa
Historia inaweza kukataliwa au Kukubaliwa kwa Kuzingatia utafiti na Vigezo
Kwa Mfano ipo Histori inayosema kwamba Ikulu hii ya Magogoni ilijengwa na Gavana Mmoja wa Kijurumani 1891 na ilikuwa ngame yake Havana huyo.
Ukiondoa historia hiyo kuna Historia inayosema kuwa Ikulu ya Magogoni Ilijengwa Kwa Usimamizi wa Kiongozi fulani wa Dola ya Znz
Sasa basi Kitaalamu Huruhusiwi Kupinga wala Kukubali Kilichoelezwa Bila ya Utafiti na Vigezo bali
Tuendelee Kujifunza na Kufanya Tafiti za Kisomi
Ukiondoa hayo Lazima Tujumlishe na hili kwamba Ikulu yetu imejengwa mwaka 1919 na kukamilika 1922 chini ya Gavana wa Kiingereza.
Hapa linahitaji Utafiti Mwingine ili Tuweze kusahihisha Maelezo na Kama Mtu Hujui Kufanya Utafiti yampasa Kuuliza Zaidi Kwa Wanazuoni wetu ili Wakuje na Madini ya kisomi
Lakini Sio Kuja Mihemko ya Kidini Katika Mas'hala yanayohitaji Utaalamu Zaidi
Nimalize Makala haya Kwa Maneno aliyowahi kuyasema aliyekuwa Kadhi Mkuu wa Kenya
"Debe tupu haliishi Kelele na Elimu Chahe ni Mzigo"
always najivunia kujua mambo mengi kupitia global tv
Nzur,je historia hiyo ni kweli? Fuatilia vizur!!!!
Asante kwa kutujuza 🙏
Napenda sana simulizi zako katika documentary zako. Be blessed. Ile documentariy ya mkwawa
Global good voice
Asante sana kwa kujifunza
@@baione129 oooook..asante sana
Waingereza waliijenga hii ikulu mpya kutokanana na architecture ya kiislam na kiarabu pia kutokana na influence ya waarabu kwenye culture ya kiswahili.Huu ujengaji walicopy toka islamic Spain(al andalus) na North Africa na hizo horseshoe arch hujulikana kama Morish arch.
Safi sanaaa
Historia nzuri big up kaka!
Ikulu dahh banaaa naipenda sana ikulu ya Tanzania
global tv hongereni sanaa
The word Mzizima was changed to Dar es Salaam by Sayyid Majid bin Said Al Busaidi who was a ruler (Sultan) from 1834 to 1870 who purchased part of the coastal fishing village to build a new city and named it Dar Es Salaam (House of peace) as part of commerce development. He built some government buildings including today's government Ikulu or Palace (the State House) with Arabian architecture which is used today as the official residence of Tanzania's President.
The Ikulu facility was founded or built by Sayyid Majid in 1865 as an Islamic institute with facilities including, boarding a mosque, and a garden, and he brought scholars and students from different places to teach and learn Islam. During the German force occupation of Tanganyika, this facility was occupied by German forces and used as their headquarters.
Kazi iendelee
Ndugu edga naomba nijuze kitu kimoja hapo kwenye lango kuu la ikulu kuna maneno ya kiarabu ambayo maana yake ni (ingieni humo kwa salama na amani) je maneno hayo aliaandika nani?
Nakuelewaga sanaa brother
Sio kweli walijenga waarabu
Ikulu
Hilo Tangazo la gari so POA , Hawa jamaa Hilo Tangazo wabadilishe aidia, wanaweza kuua watu mitaani akijiamini ni ubora wa mataili
sam Charzy hata mimi nmewaza kama ulivowaza wewe, of course mbunifu wa tangazo ameyumba
Hahahahaha tangazo hatari sana
Historia umeanzia katikati kaka, kabla ya wajerumani ikulu ilikuwepo
Posti nawewe ya kwako mnahalibu biashara ya watu
@@saulonmathias66 kaka hiyo historia kanjanja ikulu ilishajengwa kabla ya kuja kwa wazungu, ingia google utaona, na jengo halikujengwa kwa matumizi ya kuwa ikulu bali kilikuwa chuo cha kutolea elimu na jina lake halisi kiliitwa Daru salaam, wanafunzi kutoka maeneo mbalimbali ndani na nje ya Afrika mashariki walipokuwa wakija Mzizima kusoma walikuwa wakisema tunaenda Daru Salaam na ndiyo baadae jina la Mzizima likafa taratibu na mji huu wote kuitwa Dar es Salaam.
Ndio,
Shukrani sana, tunaomba makala juu ya Luther king jr
Kweli kaka martine luther tunahitaji historia yake
Muasisi wa ikulu ya Magogoni ni sultani wa zanzibar msimulizi amepotosha hapo
Ww historia huijui ww
@@ismailmkandara1813 wewe ndio hujui ilitengenezwa nasultani.sio iyo tu ata hospital ya oshen road ilijengwa na sultani majidi atamaktaba.unaadisia ulivyo kalilishwa shuleni waulize babu zako kama auna babu waulize wenyeji wa daresalaam kipindi icho inaitwa daru salama kwakiarabu kiswahili nyumba yaamani.imeandikwa mbele yaikulu mpaka Leo tena kwakiarabu.awalikabisa paliitwa mzizima.kabla aujaadisia vitu vyakale fanyautafiti wakutosha.
Waisilamu bwana ni matatizo tu hadi leo wanatamani watawaliwe tu na waarabu na kusahau waarabu hawa wamewadhalisha kiasi gani waafrika ambao eti walikuja na uisilamu kumbe walikuwa wakoloni kama wakoloni wengine tu.Sasa kama historia sio sahihi je huyu historia hii kaitoa wapi?Nendeni basi mkaangalia hilo jiwe la msingi ili muweze kujua kuhusu ukweli wa historia.Angelieni historia ya wakati huo wakoloni walijenga makazi yao boora lkn waafrika walikua wakiishi ktk vibanda ya kuku!!!!
@@hamismamba7668 alive kuroga kafa uwezi kupona.
Sultan wa Zanzibar na Oman ndio aliyeijenga hiyo ikulu. Ilijengwa kama chuo cha elimu ya dini, lugha ya kiarabu kabla ya kugeuzwa kuwa ikulu baada ya uhuru.
Edgar Leo Umeanza kusimulia part 2.
Nimelipenda tangazo la Double star tairi
Nimepitia comments wenyemajina yakikristo wote wanasema historia safi safi ndio hinyi mlioambiwa na kukubali sisi weusi tulitokana na nyani ukisifia kisifie chenye uhakika tuache ushabiki sisi watanzania dini tuweke pembeni tusimulie ukweli.bariki tz wbariki afrika.
nimependa hii history ya ikulu
Shukuran
Hapa Mzee baba Bado hujanikamata
Uongoooooo wazungu majengo wameyakuta hayo achen kuficha ukweli yalijengwa na mwarabu
Najiuliza sana, Lengo la huyu au hawa watu kupotosha historia ni nini ? Au wanatumwa ? Haiwezekani kupotosha historia kwa kiwango hiki bila lengo, Lazima kunalengo la kufanya hivi, Na sio wamepotosha historia hii tu na nyengine nyingi, Ikiwemo Historia ya karume na znz, Kama kunamtu amewahi kuiskiliza ataelewa ninachoongea, Sio hizo tu hata Historia ya Iddi Amini wamesimulia uongo mtupu, Lengo ni nini ? Hawa watu sio wakuwafumbia macho, Historia ni kitu kikubwa na muhim. Tuweni makini.
Uongo ikulu ya waarabu
Upotoshaji.
Historia nzuri ,ila kuna sehem naona hapako sahihi tangu nilipo anza kufatilia kuhusu mjengo,makao makuu wa wajeruman yalikua kisarawe kwa sababu ya strategy za kivita by then nahisi waarabu ndio walikua magogoni ndio walio ijenga kwa mara ya kwanza then mjeruman akaichukua coz ukiangalia waarabu ndio walio kua wakipenda maeneo ya pwani I think bcoz walitokea maeneo ya majangwa coz ata ukiangalia structure ya majengo ya bagamoyo au zbar ambayo walijenga yanafanana na ikulu,so nadhani historia imeminywa na bwana byat au mjeruman.
Pagallo Humphrey ukweli utaishi milele. Na uongo ni suala LA mda tu hongera bro kwa kuliona hilo na hii ni kawaida historian sahihi zimevurugwa kwa makusudi sijui kwann
Nikweli kabisa hata akili inakubali wajenzi nisultan majid
NIMEKAMILISHA IDADI YA HISTORIA 3 ZOTE KILA MOJA INAONGEA KIVYAKE.Hapa itabidi nimtafute Prof. Taliwawa Fidelis Massao nijue ukweli wa mambo haya.
Nchi Tanganyika ili undwa na Mjerumani. Nchi Tanganyika ilikua haipo kwenye ramani ya Duniya kabla ya Mjerumani kuunganisha Chiefs na Sultans mbalimbali katika mikoa yote hii na kuita kwa jina la (Tanga-pwani na Nyika-mbuga) Tanganyika. German Öst Africa.
Historia Ndugu Ananias.
Respect kwako King of Presenters AnnaniasEdiger.
Asante sana mkuu
issue sio ukubwa bali hadhi ya ikulu yenyewe! ni royal class
Iyo ilikuwa chuo cha kila. Kislam alijenga sultan majdi
Sisi huku zanzibar km tunataka kuuwanika ukweli tutakuja kuichafuwa hali ya hewa na haina haja ila msiwapotoshe watu na historia yao nzuri iliyotukuka ukiikana historia halisi ya kwako au kwenu huna tofauti na mtumwa na ndio mana baadhi ya viongozi wetu wanataka wamrudishe mama yetu tanganyika alebezwa na baadhi ya wanawe mfano km zanzibar hadi leo wanae na kumlilia.
Mbona izo pic nyengine za ikulu y'a Zanzibar
Mjerumani ajenge ikulu aweke maandishi ya kiarabu amerogwa ikulu hiyo imejengwa na waislam acheni kupotosha ukweli mmetumwa.historia iko wazi ikulu ya magogoni imejengwa na waislam.
Sio kweli bro hiyo ilikua chuo cha kiislam Afrika mashariki
HAPO UMEONGOPA HAUJASOMA HISTORIA BADO ,
Mtuma post umesahau km ikulu hii walijeng waarabu
Alijenga sultan WA Zanzibar
Sauti hamna
Hapo umeongopa mtangazaji story yote uliyotoa ni ya uongo ikulu ilikuwepo kabla ya mjerumani na mwingereza kutawala Tanganyika waulize wanaojua wakueleze pia ukitaka kujua zaidi nenda pale kwenye lango kuu la kuingia ikulu tazama pale juu utaona maandishi ya watu waliojenga hiyo ikulu hapo ndio utajua lugha hiyo iliyoandikwa hapo wanatumia watu gani!!
Wazungu wanapotosha historia.
Mbona sisikii chochote.
Ananias acha kutudanganaya kwani ikulu haijajegwa na gavana kama ambavyo unavyodai na hajajegwa mwaka huo bhn kama hujui history uwe unauliza kwanza .Ila nikusifu kitu kimoja unasauti zury ya kuwaongopea watu icho tu
historia hii imechakachuliwa kunauongo mwingi sna
almuradi uzungumze tu ukitaka kutoa taarifa ya historia fanya uchunguzi ili ujue usahihi
sasa kwanin lile jengo lina maneno ya kiarab
Ikulu ilijengwa na Sir Horrace Byatt, ila msanifu majengo alitoka Oman na ndiye aliyeambiwa aipambe atakavyoona ili kuifanya ivutie ndipo alipoandika yale maneno ya kiarabu pale langoni. Pale palipojengwa Ikulu awali palikuwa garden ya Sultan Said Seyid aliyekuwa akiishi kwenye majengo ya wizara ya Muungano na Mazingira ambapo pia ni ofisi ya Makamu wa Rais. Ndipo wajerumani walivyowaondoa waarabu wakajenga Ikulu pale kwenye garden lakini pia utawala wa Uingereza ulivyotawala Tanganyika uliibomoa nakujenga tena. All in all hongera sana kwakufuatilia historia. Asante sana.
Ananias Edgar:Hapo kdoooog imeanza kupenya ktk mishpa yngu ya ufahamuu...
Jamaa upo sawa majengo yote yanafanan alojenga muwarabu
ikulu ilijengwa na sultan said majid na wala sio said sayid 1865 na ikakamilika 1866 acheni kupotosha umma mjerumani na muingereza majengo yote wameyakuta tafuteni fact na sio kuwaongopea watanzania..
@@aboubakarchande8461 kweli kabisa
Hii ni safi kabisa
Kuna Mambo mengi tunapaswa kujua kuhusu Tanzania yetu
Nyumbani kwanza
Yah nimefrh elimu hii
Mmmmhhh
Msimuliaji kajifunze hesabu kwanza unajua urefu au sehemu ya mita 10 au unaongea tu 😂😂
union building
Mbona kuna maneno ya kiarabu?
Acha kupotosha
Ajabu jengo la muonekano wa kiarabu kujengwa na mzungu , hebu jiulizeni hilo jengo linafanana na jengo gani la ulaya?
Historia yaungo hiyo iweje mzungu ajenge halafu aandike Aya ya quraan juu ya mlango wa kuingilia ndani Hilo JENGO lilijengwa na said Majid kabla ya wajurumani na waingereza kufika Tanganyika lilijengwa mwaka 1865 wajurumani wamekuja mwaka 1870 kabla ya waingereza . JENGO lemejengwa na waislam Ni makao makuu ya ukanda wa afrika mashariki ili kufidishia waislam wa Congo Zimbabwe msumbiji nk na ushahidi Ni hiyo Aya iliyo andikwa mlangoni . UDUKHULUHA BI SALAMI AMININ YANI INGIENI KWA SALAMA NA AMANI
Kaka mbona unapotosha unacho elezea sikweli ebu fatilia upya
Na hospital ya ocean road ilikua hostel ya wanachuo wa kiislam walinyanganywa na wajerumani
Hakujenga mjerumani someni history vizuri
Hii story ni yauongo
Hilo tangazo liangaliwe kwa Mara ingine halifai katika jamii
MWAKA 2023: BABA LIMEBUMA HISTORIA YA KWELI YA IKULU YA MAGOGONI IMETOLEWA NA IKULU YENYEWE MWAKA HUU 2023 NA WALA SIO HIZI POROJO ZA UONGO, HII VIDEO YA HISTORIA YA UONGO HEBU IFUTE, IKULU ILIJENGWA NA SULTANI WA ZANZIBAR NA WALA SIYO HUYO MZUNGU..
Tangazo la kisengeee
Hapo umechemka ni 1893
Sio sahihi iku ya dsm haikunengwa na dsm
hahahaaaaahahahahaha
Kaka unapotosha watu.fanya utilities kwanza.wajerumani wamelikuta hili.ukitaka kujuwa uliza yule makaburi yalokuwepo ndani ya jingo la utumishi.utajuwa nani alojenga.labda ya dodoma
Wewe sio ananias umeigiliza na umefeli sauti na simulizi. Kifupi umeharibu
Umegusagusa fresh ila mjerumani ndo kaanza na hilo jengo. Na hata huo muundo ni kama Boma la Bagamoyo yalipokua makao makuu ya serikali kabla ya kuhamishia Dar.
Historia hii bana mmmh
Ikulu imejengwa Miaka 1860 hukooo
Wewe Unaelezea miaka 1900 nA Ushee. is long
Unaongea Kwa kutulia lakini uongo
Hiyo storia ni ya uongo ikulu hiyo ilijengwa na waarabu ilikuwa ni ikulu ya sultan
Uongo sio huyu
Wewe ni mwongo rekebisha history hiyo usiwakwepe waliyo ijenga.
Au ndowale wanao tuaminisha mtu mweusi katokana na nyani na masokwe 🤣🤣 very very shame.
Wwe unataka umaarufu tu hata historia ya Babaako inakushinda kuisimulia usipotoshe jamii.
Kabla ya Byatt jengo hili lilikuwa madrassa
Mnatumia mb zetu kwa matangazo yenu ivi ninyi ni wnahabari au watu wa matangazo
Kama ni uongo basi alie Andaa makala ndo Muongo na Sio msomaji nadhani mmeelewa hapo 😁
Hiyo ilijengwa na warabu kumbe na nyie mnafanganya wazungu hawakuwa na majengo yenye kufanana na misikiti achs uongo
Jengo hilo lilijengwa kipindi cha mwarabu nahata muonekano wajengo unaweza kulinga nisha nimijengo yazenji jengo hili lilitumika ktk kufundishia kama chuo chakiislam najengo hili ndio source ya uislam afrika mashariki nakati ukitazama mlango wambele kuna maneno yakiarabu
Pale mbele zio maneno ya kiislam ila nimichoro ..na ukae usikilz kwa umakin ilijengwaj na lilijengwa ili iwej
Sasa hiyo mi double star hatutaki
Broo rudi nyuma na hiyo story ilo jengo halina sign hata moja ya wajerumani wala waengereza hata waitaly .. kusoma hatujui lakini kuona tunaona umechemsha na gesi imeisha mchuzi haujapwaga napenda hizi story zako lakini leo mwamba ha hata tale maandishi kwenye mlango wa nje hujayaona ukayatolea maelezo ya wajerumani
Jengo LA ikulu ya magogoni ilikuwa Mali ya waislam,umetuambia mjenzi lkn umeshau kutuambia mjerumani alieandika Yale maandishi ya kiarabu kwenye jengo hilo.
Waafrika kwa kupenda udini ujinga mtupu
Ilo zungu lako sijui umelitoa wapi ivi nani hajui kuwa ikulu mwarabu ndo kajenga angalia mijengo ya kiarabu nakshi zao tangu zaman hadi leo ndo utajua na angali nakshi za wazungu wako mijengo yao ndo utajua haziingiliani acheni kupotosha watu
Historia haipo sahihi ikulu haikujengwa na wajerumani ikulu imejengwa na mtawala wa Zanzibar miaka ya 1860 mpaka 70 pamoja na majengo yanayo julikana leo hii kama hospital ya ocean road Tafadhali lete habari za usahihi usipotoshe history
UKWELI USIPOTOSHWE MAJENGO MENGI YALIJENGWA KABLA YA MJERUMANI KUTAWALA TANGANYIKA.PAMOJA BIDII YA KUPOTOSHA BADO UKWELI UKO PALE PALE.
Sio kweli ndugu yangu, Wajerumani walijenga Ikulu Bagamoyo, baadae walianza kujenga reli dar wakaamua kuhamisha makao toka Bagamoyo kwenda Dar, wakajenga Ikulu hapo lakini katika vita ya kwanza ya dunia Ikulu ilishambuliwa ikajengwa tena na Waingereza, kwahiyo ni kweli ma sultani walijenga majengo mfano jengo la od boma pale mbele ya johari rotana, ila Ikulu ni ya wazungu
Hapo kidogo umechaipia vita kuu ya kwanza ya dunia tanganyika ilikuwa chini ya wajerumani, baadae baada ya ujerumani kupigwa alinyang'anywa makoloni yake ikiwamo tz
Uongo. Mtupu..
Mbona hauoneshi ndani unaonesha picha tu ya nje
Usiwaze tutaingia tu pale watakopoligeuza kuwa makumbusho Kama rais alivyotuahidi
Muongo tens haswa angalia hata muonekakano utajua wajenz ni akina nani,
So unaniambia the british people wanna bkueprint la jengo la raisi wetu..
Brother ww kazi unaweza haubahatishi
HILO JENGO KWAMBELE NI IKULU YA MAGOGONI LKN HIYO UNAYOSEMA KWA NYUMA NI IKULU YA ZANZIBAR HATA NAKSHI ZA MILANGO NA MADIRISHA HAYAFANANI...
UMECHANGANYA PICHA
Huyu jamaa ni muongo cn
IKIWA IMEJENGWA NA WAJERUMANI MBONA IMEANDIKWA AYA YA QUR-AAN KATIKA MLANGO WA KUINGILIA? UNAPOTOSHA UKWELI IMEJENGWA NA WAARABU SULTAAN WA ZANZIBAR MIAKA HIYO.
Ukweli uko wp naona mabishano au ndio siasa
Jengo hilo limejengwa karne ya 18
Ukiangalia architecture (sanaa ya ujenzi) iliyotumika katika ikulu ya magogoni utagundua inafanana na ile ya Zanzibar. Hapo utaona dalili mojawapo ya kuwa imejengwa na Wazanzibari chini utawala wa kiarabu.
Tafadhali tafuta elimu sahihi usimbambike au kubumba historia nenda msikiti wa mtoro utapata historia sahihi
Jamani sasa uongo uko wapi anaejua ukweli aseme maana mtangazaji amesema habari ya Ikulu na sio chuo cha kiislam,na amesema kabla ya ujenzi aliouanzisha Gavana wa kiingereza 1919 yalikuwepo majengo mengine ambayo aliamuru yabomolewe.Na yeye ameelekeza maelezo juu ya historia ya Ikulu majengo yaliyopo sasa na amekiri yalikuwepo mengine kabla ndio hayo yaliyobomolewa.Sasa mnao kataa tuelewesheni wenzenu.
Amepotosha
Uthibitisho kwenye lango kuna aya ya quran
IKULU YA MAGOGONI ILIJENGWA ZA WAARABU WANATAWALA PWANI YA BAHARI YA HINDI.