IJUE HISTORIA ya JIJI LA DAR ES SALAAM, IKULU ya MAGOGONI na CHAMWINO! WAZEE WASIMULIA kwa KINA!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 05. 2023
  • IJUE HISTORIA ya JIJI LA DAR ES SALAAM, IKULU ya MAGOGONI na CHAMWINO! WAZEE WASIMULIA kwa KINA!
    HII ni makala maalum ya historia ya Ikulu ya Dar es saalam na Chamwino...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 42

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před rokem +1

    BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...

  • @juliusakilimali9424
    @juliusakilimali9424 Před 4 dny

    Huyo Zuhura cjui hajui kwamba hapa duniani c kwetu! Tupo safarini tu!! Tujitahidi kutenda haki kwa kila mmoja!!!

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu Před 5 dny

    Kwahio ikulu ya Dar bandari ya dar imejengwa na mtawala wa Zanzibar 😊

  • @user-wk4rc6cb4i
    @user-wk4rc6cb4i Před 8 měsíci +1

    Yes

  • @usafiaps318
    @usafiaps318 Před měsícem +1

    Waarabu Waingie Tu;Lakini Iko Siku!!!!!!!

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před rokem

    ❤️❤️❤️😍

  • @abdallahalbakri2561
    @abdallahalbakri2561 Před rokem +1

    Jamani ndugu zangu kuna mtu anaijuwa email ya Bi Zuhura wa BBC nitashukuru sana manake nasikiya bado yupo single kama ni kweli yupo single nataka kupeleka posa kumchumbiya

  • @yusuphmtipa1478
    @yusuphmtipa1478 Před 18 dny

    8:54

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 Před měsícem

    Uache uchawa wakati huo rais alikuwa mmoja tu naye Magu Sasa ya mama yameingiaje

  • @usafiaps318
    @usafiaps318 Před měsícem

    Kwa Nini Sasa???????

  • @helper1099
    @helper1099 Před 22 dny

    Sasa Washomvi walikuja tu na hawakukuta wenyeji? Kwanini historia ya mwafika ianzie pale wageni walipofika. Acha zako....

  • @hamisimuhammad3656
    @hamisimuhammad3656 Před 2 měsíci +1

    Mali za waislamu zirudishwe

  • @mhagamachas8974
    @mhagamachas8974 Před rokem +2

    Zuhura acha roho mbaya kwa Magufuli yaani unafahamika waziwazi toka ukiwa BBC

  • @ramdanmbara8500
    @ramdanmbara8500 Před rokem +5

    Hivi kumtaja Magufuli kuwa mjenzi wa Ikulu mpya shida ninini? Zuhura huyo tangu BBC

  • @alalawiymuhammad446
    @alalawiymuhammad446 Před rokem

    Kabla ya ushomvi kulikuwa na kabila ushomvi baada uhamiaj wa kabila mbili wabarawa na wazaramo ndio ukazaliwa ushomvi lkn kabla wabarawa kulikuwa na kabila likiitwa wamwambao

    • @user-um8xn4ge4i
      @user-um8xn4ge4i Před 2 měsíci

      Shomvi na pazi ndio walioanzshisha mji waliuita mzizima kwa kizaramo mji wenye afya

    • @user-um8xn4ge4i
      @user-um8xn4ge4i Před měsícem

      Hakukua na kabila la ushomvi kk, shomvi na pazi walikuwa wakuu wa makabila y kizaramo na kikwelie basi, na hao shomvi na pazi ndio waliingiza choo cha kike wazaramo na wakwele kwa kuwapokea waarabu na kuukubali uislamu pia, wazaramo ndio waliowaonyesha njia waarabu kuingia bara hii ndio sababu wasukuma na wanyamwezi watani wa wazaramo

  • @hamynas
    @hamynas Před rokem +9

    kama ikulu ni jasho na nguvu ya waislamu na ilikua ni kituo chao cha DINI mpaka pale wakoloni wa kijerumani walivyoliteka na SASA wameshapata jengo mbadala DODOMA ni wakati mwafaka kulirejesha kwa WAISLAMU MALI YAO...FAIR DEAL

    • @fadhilisecha4268
      @fadhilisecha4268 Před rokem +1

      Udini

    • @lulanjamd3886
      @lulanjamd3886 Před rokem

      Yani waislam Kwa udini hadi wanakela 😂😂😂

    • @sumayasumaya6455
      @sumayasumaya6455 Před rokem +5

      Inawauma sana, ni haki yao waislam si udini.., futa basi anachoongea huyu mzee, au aje mwingine akanushe

    • @mohamedsaid2882
      @mohamedsaid2882 Před rokem

      Jamaa amechanganyikiwa huyu

    • @hamynas
      @hamynas Před rokem +5

      @@fadhilisecha4268 ukidai haki unakua mdini?
      pumbavu saana