PART 3: RUBANI ASIMULIA NDEGE YA ATC Ilivyotekwa na ILIVYOTUA Uwanjani na WATEKAJI KUKAMTWA!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 02. 2022
  • PART 3: RUBANI ASIMULIA NDEGE YA ATC Ilivyotekwa na ILIVYOTUA Uwanjani na WATEKAJI KUKAMTWA!
    Mwisho Kabisa wa Kisa Cha Kusisimua Cha kutekwa kwa Ndege ya Shirika La Ndege ATC Mwaka 1988, ambapo Rubani Mstaafu, Mzee Galway anasimulia jinsi alivyowahadaa watekaji na kuwarudisha Bongo na kujikuta wanakamatwa uwanjani...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 49

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Před 20 dny +1

    Mungu alikupenda sn.

  • @vickylayda6336
    @vickylayda6336 Před měsícem

    Hongra sana mzee Galway sikujua umepitia yote hayo mi ni mwenyeji wa Babati na tulishaonana Dar hongera Mungu akutunze mnatakiwa kuwa wakufunzi sasa siyo kukuaa nyumbani sijui serikali ina mpango gani na wastaafu wenye ujuzi wamenkaa mitaani badala ya kurithisha vijana elimu.nzuri .

  • @halimasaleh5705
    @halimasaleh5705 Před 2 lety +4

    Duuuh Captain Galway jmn kumbe yupo,😊

  • @nyandichearts
    @nyandichearts Před rokem +2

    Ni mtu sahihi Kwa story za kusisimiwa I know you daday 🙌🤜🤛

  • @Mubarak552
    @Mubarak552 Před 2 lety

    Naipenda Global TV, Kolumba baba mtangazaji Mwandishi msomi kazi nzuri, tusonge mbele

  • @Hamy1109
    @Hamy1109 Před 2 lety

    Safi sana....tunamshukuru mzee wa stori nzuri

  • @sakinaamani1486
    @sakinaamani1486 Před 2 lety +2

    😂😂😂😂Eti nichomoe pin

  • @hasyno9805
    @hasyno9805 Před 2 lety +3

    Mbona mmemtoa mzee sehemu nzuri umempeleka sehemu mbya tena umemsimamisha

  • @dicksonichaulaya1684
    @dicksonichaulaya1684 Před 2 lety +2

    Ajali ya maraisi wa Ruanda na Ruanda

  • @Joseph-lu4yj
    @Joseph-lu4yj Před 2 lety

    Daaaaaaaaaaa !! hii story mara kwanza nilisikia kwenye station ya radio

  • @saeaaa8571
    @saeaaa8571 Před 2 lety +6

    Na kwann mumsimamishe mzee w watu jmn mda wote huo

    • @josephndambo3714
      @josephndambo3714 Před rokem

      mwandishi wa hovyo kabisa huyu, sijaona sababu kwanini umsimamishe mzee mda mrefu kiasi hiko,

  • @elisantemrita9490
    @elisantemrita9490 Před 22 dny +2

    Masikitiko yangu niupuuzi uliofanyika baada ya ndege kufka yote hayo ni upuuzi wakufata taratibu wakati wa matatzo

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Před 2 lety

    Hiii

  • @hammerQ954
    @hammerQ954 Před 2 lety +4

    😂😂niliiskia miaka mingi sana hii story nikajua ni uongo kumbea kweli
    Lkn mbona hamtaji kuwa mmoja alikua mtoto wa mh

  • @halimamagingi7839
    @halimamagingi7839 Před 2 lety

    Nimependa mzee mcheshi sanaaa,yani sijachoka kumsikiliza,hana story zingine atupe Jamani....

  • @joycelaura4611
    @joycelaura4611 Před 23 dny

    huyu baba ana akili anajieleza vzr

  • @mariakibwana3700
    @mariakibwana3700 Před rokem

    Hiyo ni 90minutes at Entebe. Kidogo ifanane.

  • @daudedward5444
    @daudedward5444 Před rokem

    Kumbe ni maembe hahahaha

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe Před 2 lety

    Yaani makamanda wamezinguliwa na maembe km Grenade 🤣🤣

  • @issasaid1226
    @issasaid1226 Před 2 lety +2

    Tangu ndege imefika pilot kakutana na wanajeshi inakuaje kuaje watekaji wanakimbia hawashikwi sijaelewa nadhani muuliza maswali Hana taaluma nzuri ya kuhoji

    • @mussakamando2678
      @mussakamando2678 Před 2 lety

      Taaluma ya uandishi nchini Tanzania iko chini sana. Mtangazaji anahodhi mahojiano utafikiri yeye ndiye mwenye tukio.

  • @gadielshedaffa3333
    @gadielshedaffa3333 Před 2 lety

    Watafute watekaji hao uwahoji kwa nini walifanya hivyo! Na je wametubia dhambi ya kuwatesa watanzania wenzao?Good job

  • @clementiddi5708
    @clementiddi5708 Před 2 lety +2

    Mwandishi msomi anajiita hata interview set up hamna

  • @fakihisilima3414
    @fakihisilima3414 Před 2 lety

    Hujui namna y kuhoji ww kujifunze hilo kwanz

  • @hassanhancha1413
    @hassanhancha1413 Před 2 lety +2

    yaani mpaka mzee anasema hapa ni jua inamaana huyo host haoni kaniboa kwa kweli mazingira hapo ni kelele lakini host hajali anachofanya

    • @dorissaivoiye687
      @dorissaivoiye687 Před 2 lety

      Kwakweli huyu mwandishi kamtesa captain why kumsimamisha hivi then hiyo background ya nyimbo mara kelele za honi za magari yaan hii part 3 hujaitendea haki kabisa.

  • @hassanhancha1413
    @hassanhancha1413 Před 2 lety

    Global hivi huyu mtangazaji memtoa wapi

  • @ilovemusic9594
    @ilovemusic9594 Před 2 lety

    Mzee galu nimefurahi kukuona Norah mke wa mwanafunzi 😂😂kwenye bike

  • @fakihisilima3414
    @fakihisilima3414 Před 2 lety

    Unapenda kuchanganya mada

  • @amiribakari2528
    @amiribakari2528 Před 2 lety

    Du story nzury sana..andika kitabu meja....

  • @d.a.t3383
    @d.a.t3383 Před 2 lety

    Mhes naniii

  • @vascokasambala2159
    @vascokasambala2159 Před 2 lety

    ILA POLISI WALIKUA WAZEMBE MUNO

  • @yusuphkassimu227
    @yusuphkassimu227 Před 2 lety +1

    Dah mwandishi msomi Kwa hili kafeli aende Kwa Kesi ya sabaya tu.

  • @siegfriedmtei-ef2jl
    @siegfriedmtei-ef2jl Před rokem

    Hii mm marehemu baba mhidini kimario na baba yangu mdg ambae hadi sasa yupo hai ilikua mwaka 1988 km sikosei ilikua sijui mwezi wa sita au wa tisa nakumbuka kabisa 12:09

  • @issasaid1226
    @issasaid1226 Před 2 lety

    Sijaelewa

  • @chrissmeshack5451
    @chrissmeshack5451 Před 2 lety

    Uyu mahakamini ndo kwake

  • @hassanmussa3664
    @hassanmussa3664 Před 2 lety

    Ktk hao waloteka mmoja mpk leo yupo hai namuelew

    • @mohamedmagubikila3499
      @mohamedmagubikila3499 Před rokem

      Afatwe nae atupe story yake inaweza kuwa tamu sana kwakuwa yeye alikuwa ndie muhusika mwenyewe

  • @janegeogre3234
    @janegeogre3234 Před 2 lety

    nyie Global uyo mtangazaji wenu mmemtoa uchochoroni

  • @ahmedsaid-gf6qi
    @ahmedsaid-gf6qi Před 2 měsíci

    kati ya hao mmoja ni jirani yangu mpaka leo yuhai na tukikaa naye huwa anatuhadisia hiyo stori siku akiwa kafurahi

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry Před 23 dny

    Mtangazaji anahoji lakino hawahi kuona ndege kupanda wala kuisikia zaidi ya kuiona juu ikipita masuala ya kijinga hajui ngege wala kuuliza maswali

  • @mariakibwana3700
    @mariakibwana3700 Před rokem

    Mwandishi mtafute Captain Gandile tufurahi.