PART 3: RUBANI ASIMULIA NDEGE YA ATC Ilivyotekwa na ILIVYOTUA Uwanjani na WATEKAJI KUKAMTWA!
Vložit
- čas přidán 6. 02. 2022
- PART 3: RUBANI ASIMULIA NDEGE YA ATC Ilivyotekwa na ILIVYOTUA Uwanjani na WATEKAJI KUKAMTWA!
Mwisho Kabisa wa Kisa Cha Kusisimua Cha kutekwa kwa Ndege ya Shirika La Ndege ATC Mwaka 1988, ambapo Rubani Mstaafu, Mzee Galway anasimulia jinsi alivyowahadaa watekaji na kuwarudisha Bongo na kujikuta wanakamatwa uwanjani...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Mungu alikupenda sn.
Hongra sana mzee Galway sikujua umepitia yote hayo mi ni mwenyeji wa Babati na tulishaonana Dar hongera Mungu akutunze mnatakiwa kuwa wakufunzi sasa siyo kukuaa nyumbani sijui serikali ina mpango gani na wastaafu wenye ujuzi wamenkaa mitaani badala ya kurithisha vijana elimu.nzuri .
Duuuh Captain Galway jmn kumbe yupo,😊
Ni mtu sahihi Kwa story za kusisimiwa I know you daday 🙌🤜🤛
Naipenda Global TV, Kolumba baba mtangazaji Mwandishi msomi kazi nzuri, tusonge mbele
Safi sana....tunamshukuru mzee wa stori nzuri
😂😂😂😂Eti nichomoe pin
Mbona mmemtoa mzee sehemu nzuri umempeleka sehemu mbya tena umemsimamisha
Ajali ya maraisi wa Ruanda na Ruanda
Daaaaaaaaaaa !! hii story mara kwanza nilisikia kwenye station ya radio
Na kwann mumsimamishe mzee w watu jmn mda wote huo
mwandishi wa hovyo kabisa huyu, sijaona sababu kwanini umsimamishe mzee mda mrefu kiasi hiko,
Masikitiko yangu niupuuzi uliofanyika baada ya ndege kufka yote hayo ni upuuzi wakufata taratibu wakati wa matatzo
Sahihi
Hiii
😂😂niliiskia miaka mingi sana hii story nikajua ni uongo kumbea kweli
Lkn mbona hamtaji kuwa mmoja alikua mtoto wa mh
Kwani haogopi kukamatwa
Nimependa mzee mcheshi sanaaa,yani sijachoka kumsikiliza,hana story zingine atupe Jamani....
huyu baba ana akili anajieleza vzr
Hiyo ni 90minutes at Entebe. Kidogo ifanane.
Kumbe ni maembe hahahaha
Yaani makamanda wamezinguliwa na maembe km Grenade 🤣🤣
Tangu ndege imefika pilot kakutana na wanajeshi inakuaje kuaje watekaji wanakimbia hawashikwi sijaelewa nadhani muuliza maswali Hana taaluma nzuri ya kuhoji
Taaluma ya uandishi nchini Tanzania iko chini sana. Mtangazaji anahodhi mahojiano utafikiri yeye ndiye mwenye tukio.
Watafute watekaji hao uwahoji kwa nini walifanya hivyo! Na je wametubia dhambi ya kuwatesa watanzania wenzao?Good job
Mwandishi msomi anajiita hata interview set up hamna
Hujui namna y kuhoji ww kujifunze hilo kwanz
yaani mpaka mzee anasema hapa ni jua inamaana huyo host haoni kaniboa kwa kweli mazingira hapo ni kelele lakini host hajali anachofanya
Kwakweli huyu mwandishi kamtesa captain why kumsimamisha hivi then hiyo background ya nyimbo mara kelele za honi za magari yaan hii part 3 hujaitendea haki kabisa.
Global hivi huyu mtangazaji memtoa wapi
Mzee galu nimefurahi kukuona Norah mke wa mwanafunzi 😂😂kwenye bike
Unapenda kuchanganya mada
Du story nzury sana..andika kitabu meja....
Mhes naniii
ILA POLISI WALIKUA WAZEMBE MUNO
Dah mwandishi msomi Kwa hili kafeli aende Kwa Kesi ya sabaya tu.
Yahni😢
Hii mm marehemu baba mhidini kimario na baba yangu mdg ambae hadi sasa yupo hai ilikua mwaka 1988 km sikosei ilikua sijui mwezi wa sita au wa tisa nakumbuka kabisa 12:09
Sijaelewa
Uyu mahakamini ndo kwake
Ktk hao waloteka mmoja mpk leo yupo hai namuelew
Afatwe nae atupe story yake inaweza kuwa tamu sana kwakuwa yeye alikuwa ndie muhusika mwenyewe
nyie Global uyo mtangazaji wenu mmemtoa uchochoroni
kati ya hao mmoja ni jirani yangu mpaka leo yuhai na tukikaa naye huwa anatuhadisia hiyo stori siku akiwa kafurahi
duh..anasema planyao ilikua nn
Mtangazaji anahoji lakino hawahi kuona ndege kupanda wala kuisikia zaidi ya kuiona juu ikipita masuala ya kijinga hajui ngege wala kuuliza maswali
Mwandishi mtafute Captain Gandile tufurahi.
Captain Ng'andile