PART 2: RUBANI ASIMULIA jinsi NDEGE YA ATC ILIVYOTEKWA na WATANZANIA WAKITAKA Kupelekwa UINGEREZA!
Vložit
- čas přidán 3. 02. 2022
- PART 2: RUBANI ASIMULIA jinsi NDEGE YA ATC ILIVYOTEKWA na WATANZANIA WAKITAKA Kupelekwa UINGEREZA!
Hii ni sehemu ya pili ya stori ya kusisimu ya rubani mstaafu wa Air Tanzania, Mzee Galway Galway, aliyezaliwa mwaka 1950, kijijini kabisa mkoani Manyara, kipindi hicho uliitwa Mkoa wa Arusha, akiwa Mtoto kutoka katika familia ya kifugaji. Alienda peku peku shuleni, lengo lake likiwa kuwa rubani tu, wakati watoto wengi walikataa shule na kulilia kwenda kuchunga ng'ombe na mbuzi.
Hapa anasimulia jinsi ndege ya ATC, Boeing 737, aliyokuwa akiiendesha ilivyotekwa angani na vijana wa Kitanzania wakitaka wapelekwe nchini Uingereza. Unajua nini kilichotokea?... fuatilia....
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Huyu mtangazaji hajaja hapa kwa ajili ya watizamaji kaja kupiga stori na jamaa tu kwa faida yake
Please make a movie out of this… incredible and a heroic story
Jamaa kazingua kinoma, maswali mengi sana. Mwache dingi afunguke
À
Mtangazaji ungetulia basi.....
Story nzuri... mtangazaji anahangaika hangaika hadi anaharibu
Mwandishi wa habari anaongea mno. Mwache mzee aeleze vinginevyo funga kipindi.
Halafu anajiita mwandishi msomi..!
hii stori nimeisubira sana big up sana lebabaz
Yes., continue 🇹🇿🎧🎤🌟🎧.
Daah mzee wang bado upo hai mungubmkubwa
Store nzuri sana
Proud of you Baba Mungu akuzidishie baraka maana ulijua kuwaingiza Chaka tulivuuuuuu🙏🤗
Huyo Capt nae alikuwaga muhuni Galloway alikua anaroho nzuri mno subiri Sasa kilichotokea hapo mbona ilibidi wawapeleke watakako falangata lake halikuishia hapo
Millard ayoo nenda katupe stori movie imeisha bila starting ending
Mwandishi Msomi....Duh. ....Ivi faida ya usomi Wako kwenye hiki kipindi uko Wapi. ...Unaaribu kazi. ...kumbuka unafanya kazi kwaajili ya Wananchi Sasa Usitake uonekane Unajua saana Mwachie mzee Aelezee. ...Maswali Hapo Nimengi sana. .....Unatuboa. ...Hakuna chausomi Hapo. ...Umefeli Sana. .....Samahani lakini. ...Unafaa Za Mahakamani tu.
Kweli huyu mtangazaji ni zero kabisa. Anamhoji huyu mzee kabla hajamaliza kujibu anauliza swali la kumtoa kwenye mada. Rubbish
Yaani mtangazaji hajui hata Control tower , duh amazingly sana
Good story!
Ningepata pressure kupeleka ndege juu mabawa yanapiga kelele. Huyu mzee very genius. Halafu tendo la kuwadanganya watekaji nampa big up.Angekwenda kufundisha mambo ya usalama mbona bado ananguvu.
Mtangazaji anazingua, maswali Mengi sana
Daaah! Mr
Hyu jmaa mshamba sna
Daah interview umeiharibu sana!!!!!!
Unaboa Sana mtamgazaji
Hiyooo ndegeew ipooo mpakaa leooooo
Mtangazaji jau..sikiliza zaidi ya kuuliza
Mtangazaji ameshindwa huyu aendelee kuripoti zile kesi 😂 , mahojiano ya ana kwa ana hayawez, anamkatisha sana mhojiwa na kumpoteza kwenye maaudhui husika wakati mwingine, global mfanyie kazi hili.
Nakuunga mkono
Mwandishi mwingine akahoji huyu Mzee tutapata story nzuri.
@milladiayo aje apa
Watangazaji wa online watanzania ni mbumbumbu sana kwenye hojaji .
Huyu mzee noma
Oooh imeishia pazuri,muendelezo uko wapi bwana Lebabaz
Mtangazaji punguza kuongea shenz😏
Jifunze kuhoji. Unaharibi story sana...
Habari za asubuhi bro msomi sasa inakuaje imemalizikia wapi utekaji na umetukatizia utamu badala ya ku land emergence umetupeleka mnana wa tanzanite😂😂
Hatujaona mwendelezo pt 3 hatuoni
Mtangazaji aliiharibu hii stori!
Ww mtangazaji humuhoji uyo mzee ila unapiga nae story tu!
Duh! hili tukio nalikumbuka
Maswal mengi sana kaka Hadi story instoka kwenye Nia
Mwandishi bado anamaswali yasiyona msingi alafu ahoji kama mwandishi yuko kama anapiga story na shoga
Hujui kuhoji weeee
Mtangazaji una wenge sana mwache mtu amalizie anachokielezea
Duuuuuh
Mwandishi anazingua
Story nzuri sana ila mtiririko wa maswali ya "mwandishi msomi" yanayumba sana
MwandiShi rudi kajifunze kuhoji vizur
Upo sawa kweli huyu kazoea kesi ya, sabaya
Anaerobic hajawahi kuona mdege, uwanja wa ndege wala hana hajui chochote kuhusu ndege na wlimu ya kuhoji hana.
I doubt if this journalist has been to school. NKT
Umechemka kolumba,umeharibu mahojiano
Mtangazaji anaboa Sana. Anauliza maswali ya kishamba Sana.
Mwandishi punguza maswali kwa mzee bwana. Hili jandishi LA habari LA ovyo sana linamkatisha sana rubani mstaafu. Namchukia sana huyu mwandishi hafai kufanya interview na watu.
nakumbuka Hilo tukio vizuri,nilikuwa kijana ndogo nikiwa mwanza
Mtangazaji hujui kuhoji una bour kiherehere
Mtangazaji uwesikivu tu acha maswali yasio na maana mwache mwenyewe
Mwandishi dah unakata sana
Mtangazaji kiherehere kingi
Maswali mengi hata stori hainogi misifa tu
Story inasisimua kweli. Part 3 lini?
Anakufahanisha habari ya kutekwa unampa maswali mengine mengi
Mwandishi msomi unachemsha sana... sijui lengo lako, unarukia vitu visvyohusika wakati mzee anataka kutiririka..
muache mtu ajielezee kwanza . ili watu wapate madini. maswali mengi unabadilisha muelekeo wa story.
Mtangazaji anakela saa nini maana ya part 2
Mwandish umbwa wew maswali mengiii Hadi kero ingekua ni mm huyo mzee ningeku2x mana humuachii mtu nafax
Mwandishi huyo ni wa ovyo sana anamkatisha sana mzee ktk masimulizi yake. Hafai huyu mtangazaji.
Nashauri kajifunze vizuri kuhoji then uje kurudia tena story pia yule jamaa aliyeteka hiyo Ndege mwaka huo 88 nafikiri yupo zanzibar njia panda waliwahi kumuhoji ni story nzuri sana ila dogo umeshindwa kumuhoji mzee vzr rudi shule
Mwandishi wa habari hujui hata kuuliza maswali...
Global on line TV mbadilisheni huyo mhojaji.
Mwandishi rudi shule au nenda milard ayo akufundishe
Stori ya a kutekwa hitimisho haeleweki
Wandishi punguza mdomo aisee umeharibu kipundi
Mtangazaji unakiherehere
Acha kumuingilia???
Unataka kujifunza uribani mwandishi?umeacha mada ya utekaji umeingia kwenye mada ya kuendesha ndege?!?!!!!!
Ni pilot ndo anorusha ndege mzee na si captain
Captain ni cheo katika urubani pia kutokana na uzoefu kazini na pia na aina ya ndege anayorusha
Captain no cheo husiwe unakosoa bila kuwa na uhakika.
Kama hujui bora unyamaze tu! Usimkosoe anojua
Neno mwandishi msomi Brother ungewacha kusema hivyo - tumia neno mwandishi wenu mflaani basi inatosha.
Muandish chenga😅
Mtangazaji mbona unazingua? Mwache Mzee aeleze mwenyewe
ASEEE NDO MAHOJIANO GANI HAYA TUNASHINDWA HATA KUPATA CONTENT VIZUR
Namkumbuka mtekaji mmoj akiitwa Kisoda sijui sasa yuko wapibaada ya kutumikia adhabu ya kifungo chakei
Yupo Quilimane Mozambique
Lebabaz unaongea xana tunakosa ladha ya stor
Mzee usiseme mlitekwa hamjatekwa mlikua na igizo fupi tu
Mtangazaje ni mjinga
Jenerali ulimwengu mwandishi nguli fungua chuo fundisha hawa vijani na makofi juu maana huyu Kama hajui hiyo ni shule kwetu yaani anahamisha mtiririko kwa maswali butubutu. Muunganiko kimtiririko tunaukosa
P Co
Usimhoji mtu ukiwa umelewa
Hufawii acha kuharibu ww???
Yani mtangazaji anaboa kweli
mtangazaji hii si kazi yake anajifundisha kaharibu kipindi kizima kwa maswali yake hambayo angemsikiliza pilot anavyo elezea yeye angefaidiaka na sisi tungefaidika.sasa hatukujua mwisho wa story
huyu jamaa mtangazaj hana ujuz anamapepe sana
Mtangazaji unapoteza radha ya story maana kila wakati unaingiza swali jipya katikati ya maelezo ya captain. Pia unaongea sana, toa muda kwa captain aeleze story yake
Unaehoji hujui kuhoji kwa sababu maelezo unaongea ww mtangazaji Jambo ambalo so kawaida mwache aongee yy
Muandishi very poor rudi shule hujuwi kuhoji huna usomi wowote una boa sana,made ana story nzuri sana ila hajapata mtu sahihi wakumuhoji
Uyu kijana mtangazaji ni moja ya vijana watangazaji wazuri na wenye kufanya kazi kwa ueledi mkubwa sana namuona kufika mbali sana , namfananisha na millard ayo
Hajui kuulizwa maswal ya msingi!
Story haina maunganiko vinaingilia na vitu vingi nje ya story
Mtangazaji bado saana unakatisha story hujui kuhoji
Tanzania si mko nyuma😂😂😂😂😂sasa huyu ni mtangazaji?😂😂😂
Mwandishi very unprofessional
Wewe mtangazaji kwanza huna weledi wa utangazaji, unapokwenda kupata story kwa Source lazima umpe room ya kuongea na kupanga story nzima iwe kwenye maana moja, sasa wewe umeenda ndio unakuwa ka ndio ulikuwa rubani, maneno mengiii hayana mtirirko mzuri unamkatisha mzee wa watu, unaonea mnooo, yaani unaboa kinoma, huo usomi wako uko kwenye nini? kuongea sana au? wewe uliza swali moja mwache mzee wa watu aelezeeee sasa wewe kudakia dakia, hivi hao global hakuna wahiriri habari wakakushauri? habari ni mririko wa matukio lenye maana, sasa wewe kudakia dakia unamtoa kwenye mchezo mzee wa watu ovyo sana, ndo maana Global hamuwezi kuwafikia Ayo TV, unakera sana.
Mbona mnatudanganya hadharani?? Mnasema mwaka 1988 wakati tukio lilitokea wakati Mwl Nyerere akiwa Rais!! Guys get your facts right! Ndege ilitekwa mwaka 1982 kuelekea Jeddah, then onwards to Greece and in the end to London Stanstead Airport!
Ilikuwa 1988 sio ya 1982
duh mtangazaji ,,,,unaboa Sana 😡
huyu mzee ukimpa hizi ndege za kisasa anaweza kusukuma kweli 🤔🤔mtangazaji huko ovyo sana ujui kuhoji mwache mtu aongee mwenyewe 🖕🖕🖕
Mbona video imepoteza maana tena imekua kma muvie
Muandishi unaongea sana muwache aelezee
Talking too Much
Usimkatishe katishe unapomuhoji mtu. Upo unprofessional sana bro