Mwalimu Julius kambarage Nyerere alikuwa ni kiongozi wa kweli na aliyekuwa na maono . Na alikuwa akili , hekima, busara, utu na kipawa kikubwa cha uongozi . Mungu azidi kumpa raha ya milele peponi. Hatuwezi kumsahau
Mungu wetu ingilia kati kusaidia watanzani wako. Mungu ULITUWEKEA nchi hii UTAJIRI MKUBWA sana lakini mbona viongozi wetu hawana akili kubwa za kutosha kugeuza UTJIRI huo WA ASIKI uwe na manufaa kwa watanzania na hata afrika kwa ujumla? Hao Wanasiasa wetu hawaji na sera zenye mashiko ya manufaa kwa taifa hili. Tunawatafuta sana viongozi wenye mitizamo hiyo na tunajua wapo ila ni vigumu kupenya ngome ya CCM. Ee mungu tunaomba msaada wako utusaidie wana wako. Sisi siyo masikini wa mali bali akili.
A speech with content maana na mathumuni.Hayati Nyerere asante sana kwa kuwa kielelezo na mfano bora kwa wote katika bara letu ?Mwenyezi mungu akubariki
@fatmakitine7674 usihadalike na maneno ya kisiasa na kumuombea kafiri asamehewe na Allah nakushauri isome Qur an itakuzindua kiakili kwa Allah anasema kwenye surat Muhammad Aya ya 34..kwamba....wale ambayo wamekufuru na kuzuia watu kuelekea njia ya Allah Kisha akafa na ukafiri wake basi hatasamehewa na Allah ....Sasa Nyerere alikufa na ukafiri wake vp wewe unamuombea kwa Allah kuwa amsame na mtie peponi wakati pepo umewekwa ajili ya wachamungu sio makafiri ...
@@OmarJuma-og4kd Acha mtu aombe dua anavyojisikia Mungu mwenyewe ataamua hata Mtume wetu Muhammad alimuombea ami yake kwa sababu Dini ni kati ya mtu mwenyewe na Mungu, utajuwaje kafa na Dini gani.
umesema kweli baba ni kweli nchi hii haipaswi kuwa ya MATAJIRI. Ni nchi ya watu masikini lakini ni nchi yenye utajiri kuliko nchi nyingi duniani. Wanasema ni nchi ya pili afrika kwa kuwa na utajiri mkubwa wa asili. na tutakuwa juu kabisa kidunia kwa utajiri. Swali....kiongozi gani anaamini katika hilo na kulitetea bila woga? Uzalendo huo umeenda wapi? Wanasiasa walio wengi wamekuwa wabinafsi sana wanaangalia maslahi yao binafsi wanasahau maslahi ta taifa. wanasahau kuligeuza taifa hili kuwa matajiri kama ambavyo inavyostahili. Tanzania siyo masikini wa mali asilia bali fikra. Mungu wetu tusaidie Tanzania yako
Baba yetu uliwahi kusema chama kitakachoweza kuitoa CCM madarakani lazima kitoke ndani ya CCM. Tunaamini ukweli huo. Mungu awape ujasiri watu waadilifu wajitoe ndani ya CCM waanzishe chama kipya kitakacholeta matumaini kwa watanzania. Hicho chama kitachukua nchi kirahisi sana. Watu hao wasafi wapo na wanajulikana kwa wananchi. Wajipe moyo wa ujasiri wajiongeze wataungwa mkono.
Tanzania ya wanasiasa wa leo inakumbuka hayo maneno kweli? Au ndio yanaigilia sikio hili yanatokea sikio la pili. Mungu wetu uko wapi? Usituache wenyewe hatuwezi
Nyerere na Aristotle wanatofautiana kwenye utumwa tu. Lakini, Hatuna wasomi wanaenzi mawazo ya Nyerere sawa na wanavyotunza ya Aristotle. Siku Nyerere akipewa heshima yake kama Mwanafalsafa, Tanzania itaongoza umoja wa afrika mashariki (political federation) na kisha ya afrika nzima.
Tatizo linaonekana hao hao wapiga kura wenyewe wengi wao ndio wala rushwa wakubwa sasa watamchagua vipi mtu atakayeenda kinyume nao? Hiyo itakuwa ngumu sana baba labda kama angekuwepo mwenyewe
Point moja kubwa umeongea baba yetu mpendwa. Watanzania wanataka mabadiliko...... wakiyakosa ndani watayatafuta nje ya CCM. Tatizo hata huku nje watu tulio nao bado hawaaminiki... akili zao ni zile zile. Alikuja baba JPM akapinga rushwa kwa nguvu zake cha ajabu hao wa huko nje hawajaliona hilo hadi leo wakati sisi wananchi tunajionea kwa dhahiri kabisa.... sasa tutawaamini vipi? Tunaona ni wale wale tu. Labda kije chama kipya kabisa kimegeke kutoka ndani ya CCM cha watu waaadilifu sababu wapo.
Rusha imekuwa ugonjwa ambao ni sawa na ukoma ,Tatizo, tena sasa linaonekana kua kero kwa jamii haki inanunuliwa hasa wakati wa uchaguzi unafanyika sasa wa chama
jamani watanzania tujiulize hivi tunasogea mbele au tunarudi nyuma? Hii hotuba ni mwanga na kipimo kizuri sana cha kujipima. RIP mwlimu wa enzi zote. Tunakukumbuka sana baba wa taifa letu
Main point of late julias kambarege Nyerere during his life time speech address ccm leadership that this rooling part is not for reach people we need leader who sense challenge of poor people our farmer our nation who are poor Now this day we start talking about religious like religious is vary lptantAnt of people life if cricianity want to know number of cricianity prist will know his cricianity on the Charch if mwislim want to know number of mwislim they will know them on moskit What das it makes sense we gavment know religious number Even peaple jump on buss use troubblerizim today big country jointivencter they have unit you Africa population of 27milion you bring trublerizim jump on bus on trublerizim We need leader who will remove this elect leader who knows this Ok that was late julias kambarege Nyerere during his life time shout leader who are in leadership crush peaple who bring trublerizim or religious behavior brain capacity of late julias kambarege seen and sense Denger in fiucher to came
Gonga like Kama unamkubali huyu mwamba
One of the most popular and the best speakers in Africa and the world. Miss you Mwalimu.
❤i
I can't get enough of this GUY!
Daaaaaaaaah hakika baba wa taifa alikuwa ananena ya kwel tutayatafuta nje na sio ndan tutakukumbuka daima
Greatest speech ever by former excellency
Mwalimu Julius kambarage Nyerere alikuwa ni kiongozi wa kweli na aliyekuwa na maono . Na alikuwa akili , hekima, busara, utu na kipawa kikubwa cha uongozi . Mungu azidi kumpa raha ya milele peponi. Hatuwezi kumsahau
Mungu wetu ingilia kati kusaidia watanzani wako.
Mungu ULITUWEKEA nchi hii UTAJIRI MKUBWA sana lakini mbona viongozi wetu hawana akili kubwa za kutosha kugeuza UTJIRI huo WA ASIKI uwe na manufaa kwa watanzania na hata afrika kwa ujumla?
Hao Wanasiasa wetu hawaji na sera zenye mashiko ya manufaa kwa taifa hili.
Tunawatafuta sana viongozi wenye mitizamo hiyo na tunajua wapo ila ni vigumu kupenya ngome ya CCM.
Ee mungu tunaomba msaada wako utusaidie wana wako. Sisi siyo masikini wa mali bali akili.
Hotuba za baba wa Taifa Mwalimu Julius Nuerere ni uhai wa Taifa letu na kwineko duniani.Zidumishwe Kama urithi wetu.
Mt Nyerere ulikuwa ni baba kweli na Kila aliyepita kwenye nyayo zako alifanikiwa Kwa haraka zaidi, pumzika kwa amani, msalimie JPM
Asanter kwa kuturetea uhuru ktk taifa letu na sasa tunaishi kwa amani na tunakukumbuka sana ,mungu ailaze roho yako kwa AMANI mahari pema peponi AMINA
Mungu wangu nisaidie kumuenzi Baba Wa Taiga Langu LA Tanzania!! Hayati MwL. Julius Kambarage Nyerere.
Mungu ampe makao ya milele baba yetu wa taifa hili la Tanzania wapo wawili 2 wote atukonao
A speech with content maana na mathumuni.Hayati Nyerere asante sana kwa kuwa kielelezo na mfano bora kwa wote katika bara letu
?Mwenyezi mungu akubariki
Huyu ni mtu
Hotuba iliyojaa utajiri wa kifikra na uzalendo wa ukweli👏👏 👍
Tunakukumbukeni watetezi wa nchi yetu bad tunawakumbuka😭😭😭
Hiindiyo ilikuaga mashine ya Tanzania , Mungu akubaliki akutie wepesi na laha ya milele
Hutubahii imetoa machozi uhakika Baba wa Taifa alikuwa chuma
Mungu akulipe kwa mazur ulio tupigania kwenye nchiyetu heshima nyingi kwako mwalimu daima hatuta kusahau 🙏🙏🙏
Mungu ailaze loho ya baba yetu mahali pema pema peponi na apumzike kwaamani
this speech my roll mode
mwenyezi mungu hakufanyie wepesi mwalimu Baba wa taifa letu
ndugu kwa muislam haifai kumuombea dua mtu aliekufa hali ya kua si muislam
@@mrmuba7330ila kukuombea wewe shoga ni sahihi
Heeh! Kumbe uislam ndio uko hivyo. Basi hapo hakuna dini ni ushenzi tu.
@@amazing_life696 Dua umuombe ndugu yako, na hakuna undugu wa Muislam na asiyekuwa Muislam. Ni HARAM kumuombea pepo asiye Muislam.
The real father of Tanzania and Africa by general
Nyerere ulikiona hichi kitu Kuna Nyerere mwingine alitokea ila amekufuata huko mungu awaweke mahara pema!!
Yule msukuma alikuwa mwenda wazimu
Rest easy legend of Africa
Asante sana kwamuongozo
Innallah Wainaillah Rajuun. Mwenyezi Mungu amrehem amsamehe makosa yake inshallah ampe pepo
@fatmakitine7674 usihadalike na maneno ya kisiasa na kumuombea kafiri asamehewe na Allah nakushauri isome Qur an itakuzindua kiakili kwa Allah anasema kwenye surat Muhammad Aya ya 34..kwamba....wale ambayo wamekufuru na kuzuia watu kuelekea njia ya Allah Kisha akafa na ukafiri wake basi hatasamehewa na Allah ....Sasa Nyerere alikufa na ukafiri wake vp wewe unamuombea kwa Allah kuwa amsame na mtie peponi wakati pepo umewekwa ajili ya wachamungu sio makafiri ...
@@OmarJuma-og4kd Acha mtu aombe dua anavyojisikia Mungu mwenyewe ataamua hata Mtume wetu Muhammad alimuombea ami yake kwa sababu Dini ni kati ya mtu mwenyewe na Mungu, utajuwaje kafa na Dini gani.
Thank you for educating African continent. God help us.
Baba yangu huyo! Nampenda sana baba, na JPM....hawa ndio waasisi wapenzi wa watanzania, walitupenda kwa mioyo yao yote.
Nyerere kama Jpm
Baba wa TAIFA ALIKUWA anaona mbali Sana. RIP
Dahh hotuba nmeixkia mwaka nazaliwa mm mbona haziachan najinsi dk jn pombe maguful alivokua anatuogoza mung aziweke roozao mahala pena pepon aamin
Ni kweli , uhalisia rushwa ni adui ya haki.
Eee mungu ibaliki Tanzania ayangu nawatuwake
Nilikupenda sana
Asante sana baba YETU mpendwa hakika baba wewe mtetezi wa wawanyonge
Huyu kweli alikuwa rais yaan wa kumfananisha naye bado Sana.
Mungu amlaze mahali pema peponi wanaharibu nchi yetu washindwe
Unakumbukwa Baba wa Taiga, may your soul continue resting in peace
Tutakukumbuka mwalimu
umesema kweli baba ni kweli nchi hii haipaswi kuwa ya MATAJIRI. Ni nchi ya watu masikini lakini ni nchi yenye utajiri kuliko nchi nyingi duniani. Wanasema ni nchi ya pili afrika kwa kuwa na utajiri mkubwa wa asili.
na tutakuwa juu kabisa kidunia kwa utajiri. Swali....kiongozi gani anaamini katika hilo na kulitetea bila woga? Uzalendo huo umeenda wapi? Wanasiasa walio wengi wamekuwa wabinafsi sana wanaangalia maslahi yao binafsi wanasahau maslahi ta taifa. wanasahau kuligeuza taifa hili kuwa matajiri kama ambavyo inavyostahili.
Tanzania siyo masikini wa mali asilia bali fikra.
Mungu wetu tusaidie Tanzania yako
Wanasiasa wa Kenya yetu na wakasie hili ,ukabila kisiasa ndo inatumaliza
Viongozi wetu mjifunze kupitia hotuba za baba wa taifa
Mungu amlinde
Kweli kabisa mungu atulinde
Baba yetu uliwahi kusema
chama kitakachoweza kuitoa CCM madarakani lazima kitoke ndani ya CCM. Tunaamini ukweli huo.
Mungu awape ujasiri watu waadilifu wajitoe ndani ya CCM waanzishe chama kipya kitakacholeta matumaini kwa watanzania. Hicho chama kitachukua nchi kirahisi sana. Watu hao wasafi wapo na wanajulikana kwa wananchi.
Wajipe moyo wa ujasiri wajiongeze wataungwa mkono.
Uyu nyelele alikua nimutu wapekee sasana
Tanzania ya wanasiasa wa leo inakumbuka hayo maneno kweli?
Au ndio yanaigilia sikio
hili yanatokea sikio la pili.
Mungu wetu uko wapi? Usituache wenyewe hatuwezi
Babaaaaa🕺🕺
Babu baraka za Mungu zilikuwa nawe na
Mungu akuuepushee namoto wajehanamu
Mzee......upo.....sahihi.....kbs......lkn......leo.......ndoyanayo.......ishiiii.......hapa......tz.......watu.......Wana......kula......tuuuu......hakuna.......ranqi.......tumeacha.......kuona..........Asante........mwandishi........Mambo.......ya.......msinqi......kwelikweli.....ubrkw.....Sana..."""!
Bora urudi tu Baba inchi imeuzwa
ungekuja ungeona upuuzi wanaofanya na kwa ninavyokujua we we unavyochukia upuuzi apo ungekata ata shingo ya mtu
Mwarimu nyerere umojauriotujengea vijana sasahakuna viwandaurivotujengea vijanasasa vimekufa umojawavijana sasa umekuwa umoja wawazetu
Mungu akusamehe makosa Yako akupokee mbinguni.
Mwl. Akirudi leo atashangaa sanaa
Mungu ibariki Tanzania
VIONGOZI WOTE WA SERIKALI MTAZAME HII KITU KILA SIKU ✍️ MNAJISAHAU SANA📌📌
Rip baba wa taifa😢😢
Tumuenzi kwelikweli kwa kututoka rohoni lakini viongozi wa ccm walio we gi hawana hofu ya mungu kwa kuzingatia aliyoyasema Baba wa Taifa.
Uhakika kabisa pongezi baba wa taifa ulale mahali pema peponi
Baba yetu huyo uliyempigia debe hakiyajai hayo uliyosema alijenga mahotel ughaibuni na hata kusahau kwao Ntwara
Yaani lilikuwa ni bomu… yaani alituuza kabisa
Hakika baba wa Taifa, uliyosema yanatendeka. RIP baba.
Nyerere na Aristotle wanatofautiana kwenye utumwa tu. Lakini, Hatuna wasomi wanaenzi mawazo ya Nyerere sawa na wanavyotunza ya Aristotle. Siku Nyerere akipewa heshima yake kama Mwanafalsafa, Tanzania itaongoza umoja wa afrika mashariki (political federation) na kisha ya afrika nzima.
A great leader...
Hakika Mungu ampumzishe j.k nyerere madhara pema
**Rushwa, Umasikini (hivi kweli viongozi wa sasa wamebeba mioyo ya hawa wazee?, Udini (mawazo ya kipumbavu), na Ukabila**
Tatizo linaonekana hao hao wapiga kura wenyewe wengi wao ndio wala rushwa wakubwa sasa watamchagua vipi mtu atakayeenda kinyume nao?
Hiyo itakuwa ngumu sana baba labda kama angekuwepo mwenyewe
Huyu jamani alikuwa fundi sana
My Political hero.
Point moja kubwa umeongea baba yetu mpendwa. Watanzania wanataka mabadiliko...... wakiyakosa ndani watayatafuta nje ya CCM.
Tatizo hata huku nje watu tulio nao bado hawaaminiki... akili zao ni zile zile. Alikuja baba JPM akapinga rushwa kwa nguvu zake cha ajabu hao wa huko nje hawajaliona hilo hadi leo wakati sisi wananchi tunajionea kwa dhahiri kabisa.... sasa tutawaamini vipi? Tunaona ni wale wale tu.
Labda kije chama kipya kabisa kimegeke kutoka ndani ya CCM cha watu waaadilifu sababu wapo.
Siyo lazima CCM imeguke. Watu wengine, watanzania waikatae CCM waje na mtazamo mpya tofauti na wana CCM
Rusha imekuwa ugonjwa ambao ni sawa na ukoma ,Tatizo, tena sasa linaonekana kua kero kwa jamii haki inanunuliwa hasa wakati wa uchaguzi unafanyika sasa wa chama
the stongest leader in the world. We will miss you forever
Mabadiliko wasipo yapata !!!!!!!!ndani ya ccm watayapata nje ya ccm kwnn hatubadiliki?
mtoto waajabu
Ok mzee pumzika
Asee kweli mwalim mungu akulinde utabaki kuwa baba wa taifa Bado tyupo msalimie mjomba JPM denger ist Africa
Ulitutoa mbali utakumbukwa daima kizaz na kizaz.
Batsman mungu akurudishe
UTAISHI MIOYONI MWA WATANZANIA DAIMA, PUMZIKA KWA AMANI MZEE WETU.
Tulimpata Magufuli ila manyang'au wamemuuwa kwa manufaa yao
Tutamuezi sana
kazinzuri
Ivi serikali iliyoko madalakani hawajui haya wanadiki na makodi Kodi kila Kona ,vyanzo vya mapato nchini mbona ni vingi amjui mnatuumiza
Tunakukumbuka baba wa taifa
jamani watanzania tujiulize hivi tunasogea mbele au tunarudi nyuma? Hii hotuba ni mwanga na kipimo kizuri sana cha kujipima. RIP mwlimu wa enzi zote.
Tunakukumbuka sana baba wa taifa letu
his philosophy will exist forever
Mwalim Tanzania uriotuachia imearibika sio ile
Wakati ndo walitudidimiza wakina mkapa na waliofuata
The best president afruxa has ever had. I really respect adore. Nay his soul rest in peace.
Yani basi tu
Ulitakiwa kuwepo mpaka sasa
Magufuli ndio alikua na sifa hizo zote
Mwamba wa Tanzania
Main point of late julias kambarege Nyerere during his life time speech address ccm leadership that this rooling part is not for reach people we need leader who sense challenge of poor people our farmer our nation who are poor
Now this day we start talking about religious like religious is vary lptantAnt of people life if cricianity want to know number of cricianity prist will know his cricianity on the Charch if mwislim want to know number of mwislim they will know them on moskit
What das it makes sense we gavment know religious number
Even peaple jump on buss use troubblerizim today big country jointivencter they have unit you Africa population of 27milion you bring trublerizim jump on bus on trublerizim
We need leader who will remove this elect leader who knows this
Ok that was late julias kambarege Nyerere during his life time shout leader who are in leadership crush peaple who bring trublerizim or religious behavior brain capacity of late julias kambarege seen and sense Denger in fiucher to came
Kweli ulikuwa unatosha
Amen
Rip ❤you
❤❤❤
Baba ulikuwa unaona mbali sasahv ni Kila kukicha aheri ya Jana,
Rest in peace father
Atakumbukwa kwamengi
Maneno yanayo Ishi
Ni sela hekima mesengi
Loan