Mstaafu Kikwete awachana CCM mbele ya Rais Samia | Amtaja Dk Bashiru "Sijui kama yuko tayari"
VloĆŸit
- Äas pĆidĂĄn 7. 12. 2022
- #LIVEđŽ Rais Samia anashiriki kwenye Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM - JKCC, DODOMA
#CCM #MkutanoMkuuCCM #EastAfricaTV
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Mungu tusaidie ,hawa watu wako kwa maslai yao tu ,hawaoni shida za wananchi ,
mungu tupe uvumilivu maana tunayoyaona ni majabu tu ila yanamwisho wake
Ukweli ni kwamba, wapo wana CCM wazuri zaidi na wenye Uzalendo wa kweli zaidi kuliko waliopo.
Waziri mkuu chukua fomuđâïž
Waziri mkuu ni bendera huyo
Waziri mkuu aliyedanganya msikitini siku ya ijumaa kusema kuwa magufuli Bado Yuko hai?
Huyo ni walewale tu
The spirit of Magufuli will forever remembered ....
Kweli magufuli was the best president in Tanzania.
His contributions to Tanzanians will remain live except to those who missed his reign
Kweli kabisa mzee Kikweteâ€â€â€
Tumamtaka Waziri mkuu
Mweeee cjawai barikiwa na huyu cjui kwa nn Mungu nisamehe tu âșïž
Approximately million 900 imetengwa kwajili ya sherehe wakati wananch tunaish maisha magumu maji shida umeme shida vyakula vipo bei ghali lakini viongoz wao wanaongea mambo mengine ambayo hayana msingi kiukwel tupo katika wakati mgumu sana
Bashiru anapata hard time ku cope..... Lakini wa TZ mkiwachagua hawa ntajua kweli sisi ni viazi mviringo
Vya chips kabisa đ
Huyu ni mwanasiasa
Na tutaisoma kweli tulikichagua wenyewe hiki chama, lakin mje basi na fact point ya kwa Nini Samia agombee mwaka 25
Nakukubali sana kiongozi,
Impressive service
Wao
Magu atakumbukwa daima. Hap hakuna kitu kabisaaa
Nakupenda Sana mweshimiwa,k
Wakanye sanaaaaaa
Kikwete is a shame to Africa. He can now have a chance to address an audience after DKT Magufuli. We lost Dkt. Magufuli, the true Son of Africa, but his spirit lives on.
Tanzaznians must replace this current sell-out administration with another Magufuli.
Kikwete needs to disappear into oblivion. Nobody wants to see this Kikwete face. Despicable.
Kabisa kabisa..Kumbe umeliona hilo kaka yangu from +254âŠđ€
Wewe julius kenyatta concentrate with your damaged country.Tanzanians we re happy with our peace and respect and oneness that Mwalimu left us with.Not like your names sake kenyatta who didn't concentrate to unite you guys.Have respect for our leaders The same kikwete you re talking I'll of him he s the one who initiated peace talks between kibaki and Raila when your country was torn apart in 2007/2008.
Wewe julius kenyatta concentrate with your damaged country.Tanzanians we re happy with our peace and respect and oneness that Mwalimu left us with.Not like your names sake kenyatta who didn't concentrate to unite you guys.Have respect for our leaders The same kikwete you re talking I'll of him he s the one who initiated peace talks between kibaki and Raila when your country was torn apart in 2007/2008.
Live long Dr Kikwete,live long Our President Mama Samia.
Remain with your Old Nairobi let us proceed with building out Nation.â€đčđż
Oko sawa
Huyu Samia huyu mhuuuuu aya bwana pumzika kwa amani maguđđđđđđ
Yani inanichoma hadi leo hata kesho
Jaji warioba mwanachama asieweka mbele Imani ya form za CCM
Rip jpm, Tz inako elekea Mungu aisadiye
Tunakazi kubwa hawa watu labda miaka 2000 ndowatatoka madalakani wanatumia nguvu kubwa hapo tu wametumia Kodi zetu mungu tu atusimamie
Mazoea ni mabaya sana so support president kikwetefo his brilliant sentiments in terms of Tanzania democracy.
Good president kikwete ...vry transparent
Huyo aliye huru ndo kale mambo ambayo miaka 60 mmeshinda acheni ujinga we kama awamu yako imeisha siutulie usubirie kufa tu mungu yupo na zamu yako itafika tu
Wazili mkuu Kusema ukweli Anafaa. Sana Anamusimamo
Wazi Raisi Kikwete ,wakenya tunamtakia heri na baraka Rais mama Samia.Peleke Bono mbele na maisha bora kwa Watanzania
Ya kaisali muachie kaisali na yaliyo ya mungu muachie mungu sasa we mkenya chamgamoto za watanzania hauzijui ebu jifunze kukaa kimya sio kila kitu lazima uchangie
R.I.P Mfalme wetu JOHN POMBE MAGUFURI kwan umetuachia viongozi MAANDAZI kwan wanasifiana kwa upuuzi wanao ufanya
Mfalme wa mamako ndoman mbwa we kmy mfuate huko akukanyage maana naona waumia
sana maghufuli king wa Africa nzima hakuna wakumfikiya baba yule kwa mazuri yake mashetan yanajitahid kumchafuwa ila wapi
Halafu ujue kitu kimoja au vp sijapanda jukwaan kwa ajil ya kutukanana sawa, ungejibu kistarabu au vp usitake kunitafutia/ kuniweka kwenye kundi lisilo faa sawa narudia usiniweke kwenye kund la wahun, replie tena
Namuona polepole akigombea upande wa pili patakua patam hapoo na hivi umeme wa shida kwa mtaa kazi mnayo
We jikute tu, ipo siku nawe itabaki historia........
Pumzika kwa amani Mzee wetuđđ
Wapumbavu wa kufikiria na kuchanganua hoja na midahalo mbalimbali lazima wakurupuke na kumuona Dr Bashiru kaharibu badala kuchukua hotuba yake kama kachangamoto yakuifanyia kazi ili kuwaziba wakulima midomo sasa wao wanataka kuwafanya Watanzania kuwa ni Mapimbi wa kuwaburuza kama watu wasio jitambua.
Sema bro umeongea vizuri sana,
Naona Giza mbele
Kutaka uraisi ni dhambi? Mwenyekiti kama anaouwezo wa kisiasa na anakubalika si mchakato upigwe mbona anatetewa kwa nguvu
huku umeme hakuna mvua zina nyesha maji yana pungua
Kweli ni kazi ngumu sana mnayoyoifanya ccm kwenye nchi hii kuifanya dunia kuwa kijiji hii ni sawa na mnafturu mchana ndani ya chumba chenye Giza katika mwezi mtukufu wa ramadhani mw.mungu ashughulike na nyie maana mioyo yenu imebeba maovu ya mengi sana!!
Tushawachoka Ila bc atunanamna yakufanya,
Namna ipo
Hakuna namna
Usiseme hiko kitu namna tunayo tena kubwa tuu
Kaota mapembe RIP MAGU uvivu wa kuamka ndo nakumbuka ilikuwa kauli yake ya kwamba kila siku lazima nipigiwe simu ili nikafanye kazi fulani yaan shidaaa ukombozi wa fikra
Wanalazimisha mtu yeyote asijitokeze kuwania urais kazi kweli kweli
Halazimishi ndio wanavojipanga miaka 10
Wanalijinda wao na maali zao
SANAA IENDELEE Makundi oyeeee
Yaani mkija kumwacha mtu ambaye siochaguo la wananchi agombee nitawaona wapuuzi sana, Kikwete usitutishe, Samia ni Rais wetu but she is not our choice it was MAGUFULI, So muhula ukiisha tunataka waheshimiwa wagombee ili tupate chaguo letu msitake kutulazimisha
Wakati wa mungu utafika TU watanzania wapo misri wakiteswa na farao ipo cku Moja mungu atamwinua Musa mwingine wa tatu
@@samwelsimon4800 umeona eeh!
2025 tumtangulize mungu tu ajibu maombi ya watanzania basi
Hatumtaki samia wako mzee maana co mzalendo ,tunamtaka majaliwa pia na jatiba mpya iwepo
Kama unamtaka majaliwa mwambiye akuowe kwa sasa Rais ni mama Samiya huna maamuzi yakutuchaguliya
Kabudi ndy zaidi
Mnajali kamati kuu ya ccm na siyo Watanzania wote.
Yani mnawaza uchaguzi wakati umeme na maji ni shida hapa Tanzania dah! Mungu atawaukumu kama wakishindwa watanzania.
Kaka yangu magu hapo ulipo lala mungu apawekehe uliizi wa malaika wake kaka magu nakukumbuka sana kutokana na ubebari mkubwa uliorudi hapa kwetu kaka magu kamwe siwezi kukusau kaka
Yetu macho
Safi Sana
Haya bwana
Hongera sana mh kikwete
Mzee baba upo vzr
Badilisheni katiba nchi inaenda pabaya inaliwa mbaya badilisheni uongonzi maana hii ni bara siyo nzanziber
Sio kweli
Very good Dr jk
Wakati umefika mwananchi arudishiwe nguvu zake na nguvu ya mwannchi ni sanduku la kula apige kura ihesabiwe ithamiwe na itangazwe kama alivyo piga hii ni ndani ya vyama na nje ya vyama itaondoa uongo uchawa, kwa wanaotaka uongozi ndani ya chama wajijenge kwa wanachama na kwanwaotaka uongozi nje ya chama basi wajijenge kwa wananchi. Kwa hali ilivyo sasa watu wanajijenga kwa viongozi kwa umbeya uchawa kawasabu mwanachama/mwananchi amepokonywa haki yake ndiyo maana wanasusa kupiga kura.Msiposikia hili endeleeni na siasa zenu wengine tubaki wakimbizi nchi yanu
Akili nyingi safi kula chochote nakuja kulipa
@@sharifuamuri4638 đ€Łđ€Łđ€Łđ€Ł
Aisee umeongea kwa uchungu sana. Mungu sio Mwanadamu, siku moja atajibu.
Waziri mkuu chukua fomuđđđđđ
Hata akichukua fomu lazima aifate katiba ya ccm kama inavyotaka
Baelezee hawajui wanajiropokea nani atampa huy
Dr. Jakaya Kikwete mimi nakukubali sana na ingekuwa katiba yaruhusu ningekuomba ukarudia tena kutuongoza watanzania.
Mpumbavu weweđ
@@tonnyojambo1731đđđđđđ
Kelele zikizidi anguko lakaribia
RIP JPM tutamkumbuka uozo umeludi wapigaji wapo kazini mama nchi umeludi kwa majangili
Wewe msukuma hebu tulia
Jakaya top in tz
Mungu simama na Taifa letu maana kila kona wananchi wanalalamika
Tuunganishe nguvu yetu kama nchi zingine. Huu ujinga wa kurithishana utawala eti destury yao wakati mtu hatuna furaha zaidi wananeemeka wale walichonacho. Nchi inatawaliwa na ujinga uliopitiliza. Huyu mama sio Rais wangu
MUNGU wetu yupo
Ndio maana kamuondoa magufuli
Ajali ya watz ndio huyo
Mungu akubaliki sana tunakukubali sana
Ww na nan
Sema mimi
Kumbe mjinga umebaki wewe tuu
Next time,pata akili siku nyingine usirudie kutumia we kwenye me
Hivi hayo makofi yanayopigwa ni ya watu au makofi yaliyorekodiwa kwenye tafrija flan?! Hayahusian kabisa na vitisho vya huyu mzee
Mhh umeliona hilo
Kweli sisi wagangaa njaa sasahv
Sijawahi kumsikia kikwete akiwa mkali namna hii.
Mbona watu hamtaki kustafu...
hayaaaa
Tuwazee maendeleo kuwekana juu roho uchaguz mungu ndo anajua nan rais hata jpm mungu kamchukua ni ilipangwa na mungu kwo rais ajaye n mungu ndan ya ccm
Kikwete Ukweli Mtupu Wewe na Genge lako Mnaliharibu Saaana Taifaletu. Na Mungu Atawaona Kama Siosasa Hapa Duniani Basi Huko kwa Mungu
Wewe mbn nchi ilikushinda Leo ndo unaweza
Waziri mkuu ndio atakuwa rais wa wasaba wa Tanzania đ„°
Inasemekana Waziri mkuu hawezi kuwa raisi katika hii nchi mkuu... hayo ni maagano waliyoweka wazee wa dsm
Unaotawewe Tena ndoto za alnacha kasome katiba ya ccm inasemaje
@@nehemiamathias3317 hakuna mambo ya maagano hapa lazima waziri mkuu awee rais hata CCM wakikata tutajiunga na chademađ
@@robertphilip385 hatutambui katiba Cha CCM huyo mama hawezi kazi bure kabisa.. #wazirimkuu mpaka ikuluđ€
@@mustyboymaalim2070 chadema hawachukuitena makapi ya ccm
R.i.p rais wangu maguful bado nakupenda ango magu
Kama Haki itatendeka Haiwezi kushinda,Maisha ya wananchi wa kawaida wanashida sana,
Hio shida ccm
Majaliw tunakupenda
Majaliwa chukuwa fom
Kama mtaondoa migawo ya umeme na maji, kupunguza mfumuko wa bei, kukamilisha miradi mikubwa ya kimkakati ndio wananchi watawaelewa la sivyo itabaki kupigiana makofi wenyewe kwa wenyewe
Apo nimemuona Raisi wangu Mtaafu Sheni tu
waliopo wote ni wapambe bendera fuata upepo
Mwanaharakati huru ndio MUSIBA
Alikuwa anawabomoa
Hivi msiba aliendaga wapi kiherehere no 1
Hongera sana mzee Jakaya kikwete kwa kutuambia ukweli đȘđŒđȘđŒđȘđŒđȘđŒđȘđŒ
Nimeamini kama nchi saiz ipo chini ya Kikwete
ichi chama kina watu wenye akili ndogo.
Umeonaee na nashangaa walio kua hawana sauti wana sauti
Chama kipi kina wenye akili kubwa!???
Ana uchi wa madalaka timu msoga
Sasa ongeeni tu baada ya mwanaume JPM kuondoka ,kikwete hatukupendi na unajua
Safi sana mjukuu wa nyerere
đđđ
Hamna majawabu
Nakuhulumi sana siku yako imeisha
Wezi wakubwa tumewachoka sana ila mnaongoza kwa nguvu ya jeshi letu ila ipo siku mtaachia nchi
Humble style of leadership is not the good way of effective impact that is why every sector was very weak! RIP MY FAVOURITY PRESIDENT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFURI
Rangi za mboga ya maboga, kazi kweli,kweli! Hakuna hata karangi ka Figo?
Sikuwahi kufikiri Kunal shida ya nchi Tanzania Kwa sababu ya wahini watatuua
Vita ni vita murađ
Kweli mstaafu anafaa amekabidhi majukumu makubwa serikali
Wewe kikwete mungu anakuona sisi hatuchangui ccm never
Kweli ccm imechoka kiasi hichi demokrasia wanaikanyaga kweli kweli
Watu wasiongee ukwel kisa wanakiuka maadili ya chama, maadili gani ukwel lazima usemwe ww Mzee wa mipasho unaleta siasa hii nchi wasipewe watu wa Pwani ni wavivu wa fikra na kaz huo ndo ukwel Ccm tuliipenda kipindi Cha Magu lkn xio xaxa na inaenda kupasuka mwenda zake kairudusha vizuri nyinyi mnaibomoa tena tuxubir na huyo mama yenu watu wameeducate xio km zamani katiba mpya hakuna halaf unaongea nn ni Bora ukakaa kmyaa km mstaafu ubak na respect zko
Kweli kabisa..Watu ea Pwani ni majungu na hawajali kuhusu maendeleoâŠHii nchi inahitaji watu wanaopenda maendeleo,Twende huko Bara na KaskaziniâŠPwani ni bure..
Mimi Ni ccm lkn kwa 2025 waniache siyo waho hata Kama haitoshi kura yangu hawaipati ng'oo labda Hawa wote waishe ujinga mtupu
@@mohameddikaluka3162 kura yako itamsaidia nini kampigie mamako
@@alimussa2655 hiyo ndiyo kauli za vilaza km ww Ni matusi tu km unajua kura yangu Aina umuhimu kwa Nini unitukane,najua unajua umuhimu wa kura yangu ndiyo maana unanitukana km unamarusi kweli mtukane baba hako na mama hako,
wivu
Asa huo mkutano au campaign?
mzee unamdanganya huyo mama eti anakubalika mmmmhh labda msifanye uchaguzi wa haki na huru kama mko serious nchi hii anayeweza kukubalika nchi nzima kwa kishindi ni mmoja tu Kasimu
Rest In Peace magufuri Kila nafsi itaonja mauti W anafikiria wataishi milele
Hawataweza
Magufuli kapigika Hadi Raha Asante mungu
@@samateryusuf4345 đđđ
Huyu jamaa anakuwa na maneno mazr lakin hakuna mtu mbaya kwenye hii nchi kama huyu hata kwenye utawala wake alikuwa na maneno mazuri lakin katika awamu zote zilizopita utawala wake yy ndio kaingia mikataba mingi ya ajabu na ndio mpaka Leo inatutafuna. Mzee magufuri kajitahidi kuyafumua lakin wakaona inakuja aibu wakamtanguliza
yaani đąđąđąlinakera watu halsfu halijitambui baba hili poh
Nyie mna jinufaisha matumbo yenu angalien iko siku mungu atasimama mwenyewe ndio mtakapojua Mungu achelewi wala hawai wala hasinzii wala halali
Watanzania tunataka Katiba mpya
Eti sio Vita vya Kupigana Marungu bali ni vita ya kupigana kwa Hoja Kama umemwelewa gonga Comments hapo
Mbona mzee alikuwa na busara sana siku hizi vipi tena mbona leo kaongeaa vitu sivielewi...?? Kama mama anakubalika si waruhusu watu wagombee ndani ya chama...!!! Na kura ziwe huru...!!