UJERUMANI MPAKA LEO HAWANA TUME YA UCHAGUZI/MWAKA 1958 HATUKUWA NA TUME YA UCHAGUZI..PROF KABUDI..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 05. 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►CZcams: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Komentáře • 97

  • @DoctorRengeda
    @DoctorRengeda Před měsícem +7

    Kabudi geuka nyuma broo angalia wa Tz 🇹🇿 wanavyo teseka ifike mahala mkubali tu mmechemka kuongoza hii nchi acha history za kipuuzi saidia taifa kwa katiba na tume huru watu🇹🇿 tumechoka ....✌️✍️

  • @user-mb7vu9ri3z
    @user-mb7vu9ri3z Před měsícem +6

    Mungu atusaidie watanzania kwa kuwa na viongozi wasiojali ,wasiomcha mungu

  • @ezekielemanuel2910
    @ezekielemanuel2910 Před měsícem +7

    Kutetea unga wa ndere ni ngumu sana, Professor Kabudi kuna mahali point zinavepa kabisa anabaki kubwabwaja😅😅

  • @leahmgunda4154
    @leahmgunda4154 Před měsícem +7

    Kumbe kuna watu wanaishi ili kuleta hasara kwa wengine

  • @JumaMbaga-sd5yi
    @JumaMbaga-sd5yi Před měsícem +11

    Mtu ni proff but anaongea pumba tupu Kuna shida kubwa

  • @bensonphilip9673
    @bensonphilip9673 Před měsícem +1

    Aseee hatuitaji historia bhana there is are lot of literature mzee we need what you have mbele ya taifa hili acha story twende na point

  • @OmanIbri-hj8ss
    @OmanIbri-hj8ss Před měsícem +4

    profesa uchwaraaaaaaaa

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před měsícem +3

    Profesa ni kweli umetumwa na chama chako kukisemea wala sio kuutetea uma kwa yaliyomo ambayo ufumbuzi wake ni kuikosoa serikali ya chama chako!Ukitupa mifano ya nchi zingine maana yake madai ya wadau hayafai yatupwe! Nini maana ya mijadala kama hatuji pamoja?! Muda mfupi kwa madai ya miaka yote 30!, lakini mwaka mzima hautoshi kufikia 4Rs kisa muda mchache,mpaka 2030! Serikali haiko serious...

  • @user-bm4dt6vx5l
    @user-bm4dt6vx5l Před měsícem +5

    Kwani hapa ni ujerumani CCM haitaki tume huru kwa sababu wanataka waendelee kuiba kura

  • @mariamjamali1444
    @mariamjamali1444 Před měsícem +9

    Hivi hamna body za ma Prof ambazo zinasimamia ubora wa hawa ma Prof jmn kwa sababu ktk nchi yetu wamekuwa hawana mchango mkubwa kwenye maendeleo ya nchi yetu! Tunawaheshimu kweli maana wakiamka tunasisimkwa kwa hisia tukijua mbegu bora inaenda kupandwa kwny ardhi yenye rutuba lkn mwisho wake wana tukwaza na kufanya uharibifu mkubwa sana kwa jamii na nchi kwa ujumla!

    • @user-eo4bl3do8k
      @user-eo4bl3do8k Před měsícem

      Nina wasiwasi na uprofesa wake ,maana hata kuzungumza hajuwi si yule alielaaniwa na mungu ulimi wake ulimwita binaadamu mwenzake mungu wakati sio mungu daa HATARI ATI PROFESA ,ANAE UNGA MKONO CCM KUENDELEA KUIBA KURA HILO MDILO LENGO LAKE,,NDIO MAANA MUNGU ALIMLAANI ALIVYOTAMKA MUHESHIMIWA MUNGU MUHESHIMIWA MHUNGU RAIS

    • @majaliwabwitonde6900
      @majaliwabwitonde6900 Před měsícem

      Uelewa mdogo ndio unasababisha mtu kutoelewa hoja inayojengwa

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi Před měsícem

      Unataka azungumze ujachopenda kusikia? Badala ya kuleta hoja yako, Wewe Unakimbilia Kuponda. Ulimwengu wa intellectuals hauko hivyo. ​@@user-eo4bl3do8k

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Před měsícem +5

    Ukweli me sijamuelewa asaa huyu ni mtetea ugali tu

  • @helenakamenya8680
    @helenakamenya8680 Před měsícem +6

    Wewe professor uchwara ukimaliza kuongea angalia coments

    • @BituroPaschalKazeri
      @BituroPaschalKazeri Před měsícem

      HALAFU ndiyo akaseme tena?!

    • @shedrackjacob6038
      @shedrackjacob6038 Před měsícem

      Huyu jama syo kwamba hajui n bonge la bright nakubali sana ila km umefatilia system ya nch yetu inaharibu taaluma za wasomi wanashindwa kunitoa mhanga kuinanga serikali iliyoko mdarakani kisa kumwaga ugnga

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku Před měsícem +1

    Kabudi niprofesa mzuri sana ...lakini shida tusimlaumu kwasababu Toka zamani ukiisema ccm vibaya unatengwa nakufukuzwa ccm
    Kwahivyo sishangai profesa mzima akiongea pumba laiti angelijua wananchi wanashida angewatetea

  • @joshuarose6756
    @joshuarose6756 Před měsícem

    Wadau Mim simuelew sijui Ndio Professor hapan hapo

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u Před měsícem

    Nyie ndoo mmeliangusha taifa kwa maamuzi hasi na mnasimamia matumbo yenu tu sio masilahi ya watanzania ila kumbukeni mwisho wa siku mungu anawasubiri kwa kuwasababishia watu wake kuishi maisha magumu.

  • @smallscaleminingsupplies9670
    @smallscaleminingsupplies9670 Před měsícem +3

    We mzee unajua kabisa mfumo wa Tz wasimamizi ni makada wa chama cha mapinduzi, na wewe ni mnufaika wa mfumo feki wa kupita bila kupigwa

  • @TwalibuKimaro-th5mv
    @TwalibuKimaro-th5mv Před měsícem +2

    Viongozi wa sasa ni shida wamekosa ubunifu ndo maama wanakuja na mambo ya kale hawana jjipya wanaangalia maslahi Yao tu ili waendelee kukaa madarakani watanzania kuweni makini wanazungumza mambo ya kale tu na hoja ambazo hazina mashiko hadithi zimekuwa nyingi kuliko mambo ya msingi

  • @user-hl9xu4vo1q
    @user-hl9xu4vo1q Před měsícem +1

    Huyu mzee nimemsikiliza mpaka mwisho lkn sijaelewa kaongea nini!!

  • @user-ch9ny6uw1d
    @user-ch9ny6uw1d Před měsícem

    Kabudi toka huko ccm maana wamesha choka,,sahv unajaribu kupeleka maji yapande mlima,,utachoka sana,,bora unyoshe tuu ukweli maana watanganyika sahv tunatambua.

  • @joharimtango4986
    @joharimtango4986 Před měsícem

    Achana na uchawa bana. Unautupa ufahamu wako wote. Huyo yupo kwenye "Comfort Zone". Hawezi kujenga hoja ya usawa zaidi ya kujenga hoja za kuwaogopesha wa_Tanzania.

  • @BLESSblessing1
    @BLESSblessing1 Před měsícem

    Kutoka Burundi, kuna watu ninawowapenda sisiemu haswa speech ya kabudi na vituko vya kagi rugora kipindi hicho

  • @praygodmawalla7884
    @praygodmawalla7884 Před měsícem

    Huyu prof wetu huyu huwa point zake ni tata sana.

  • @user-fw8wm2xd8x
    @user-fw8wm2xd8x Před měsícem

    Yn ccm ht kma mtu ni msomi ni mwongo TU mashetan wezi angalia anvyoleta porojo mungu akulaani kabudi

  • @kigomamaranathagospelchoir2642

    Habari za familia hapa zinahusikaje kuwa Pro. Sioni kitu cha maana

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 Před měsícem

    hii nchi wazee wanatupoteza..kwa sasa hawawezi kufiri future yetu

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 Před měsícem

    Amani yenye ujinga haina nafasi kwa kipindi hiki. Kichaka cha Amani kinatumika Sana na CCM!!

  • @charlesmoshi6581
    @charlesmoshi6581 Před měsícem +2

    Aliyeokotwa majalalani huyo hapo sasa analinganisha Ujerumani n'a Tanzania

  • @charlesmkisi8052
    @charlesmkisi8052 Před měsícem

    Comrade

  • @mtumewamataifa7158
    @mtumewamataifa7158 Před měsícem

    Kabudi ana taka kukuambia Nini zidi ya ACT wazalendo kwamba wanamaoni kuliko chadema.

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 Před měsícem

    harafu kwa nini pia tunapenda kukopy nchi za kikoloni...ebu tufiri vitu vyetu na mazingira yetu😊

  • @user-nb7ln1wz2s
    @user-nb7ln1wz2s Před měsícem

    Ukimsikiliza Kabudi na Mbowe kama huwajui unaweza kusema Mbowe ndio profesa na huyo mwingine ni kama alibahatika tu kufika middle school

  • @nixonjohnson4908
    @nixonjohnson4908 Před měsícem

    Huyu kabudi nahisi kama anatatizo kiakili sio mzima

  • @christophermatiko1153
    @christophermatiko1153 Před měsícem

    Tanzania Sisi ni wabepari ujamaa CCM walitupilia mbali

  • @user-dl1mg2qf4n
    @user-dl1mg2qf4n Před měsícem

    Ambae hakumuelewa professor basi akili yake ya ki beach boy

  • @user-fe8tx5bo2f
    @user-fe8tx5bo2f Před měsícem

    Sijakuelewa kabisa hata kidogo

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Před měsícem

    Ujeruman mihimili yote ina Uwezo ya kufutaa uchaguzi tofaut na hp,

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 Před měsícem

    mmmmh prof wa ccm ...akili yako mbona haijatuli a mmmh...kabudi mbona mbowe amenyooka point zake

  • @prothodommy
    @prothodommy Před měsícem

    Ccm ni km gari linaloporomoka mlimani bila ya dereva 😢

  • @neliusgosbertbaguma8693
    @neliusgosbertbaguma8693 Před měsícem

    Watu wakichoka, unawaona, professor, soma koment uone watu walivyochoka, waachie watu usiwaamulie

  • @nixonjohnson4908
    @nixonjohnson4908 Před měsícem

    Huyu ni kichaa kumbe

  • @LUBAINAMOHDRAJAB
    @LUBAINAMOHDRAJAB Před měsícem

    Ujerumani wanaongozwa kwa ufalme au umalkia mambo ya tume yapo kwenu ktk vyama vingi.

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před měsícem

    Limelewa gongo la mavi kakojoe ulale mbwa wew unahibiri amani tunataka tume huru mafisi em bana eti matraba mavi ya kuku

  • @sethkivuyo3342
    @sethkivuyo3342 Před měsícem

    Apo umekaa na wasomi wenzako waelewa kwelikweli. Alafu unaleta mifano na porojo za ovyo unajikwepesha mambo ya msingi wananchi tunayoyataka..

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před měsícem +3

    HAPA SIO UJERUMAI

  • @user-kz2sx8md3e
    @user-kz2sx8md3e Před měsícem

    Ujerumani hawatuhusu tena kama vp wao doke tupambane wenyewe nyie mmechoka mnaona mazoea ila huyu mungu hatawaacha salama kwa haya mnafanyia wananch

  • @This-f1k
    @This-f1k Před měsícem

    Hapa ni tz na sio ujerumani prop😂

  • @ayububrantaya6624
    @ayububrantaya6624 Před měsícem

    Mungekua nyie ndio wapinzani mungekua na misemo hio ya mwendo kwer alie shiba amjali mwenye njaaa

  • @user-ls7wp7qx1d
    @user-ls7wp7qx1d Před měsícem

    Kutumia maneno magumu ya kiswahili au kiingereza katika hadhira Huwa sio sawa, Prof unajua Hilo. Lakini kujilinganisha ATI kwakuwa fulani ni mlevi hivyo nawe ukilewa ni sawa aaaah. Huwa tunaiga mambo MEMA. Mimi nasema jirani zetu Kenya, Malawi nk wanauchaguzi Bora kwanini tusilinganishe bali tunaizungunza Ujerumani.

  • @frankphiri9132
    @frankphiri9132 Před měsícem

    Huyu ni Proff gani simuelewi anaishi km Kinyonga

  • @emilianchibinda82
    @emilianchibinda82 Před měsícem

    Hakuna jambo lisilo na Historia. Maisha yetu ya kila siku yanaongozwa na historia yaani juzi jana leo na sasa hivi. Kila taifa lina mazingira yake yanayosimamiwa na historia ya taifa hilo.Hiki ndicho anachoongea profesa na ndio maana anaonekana kuwa haeleweki

  • @WilhelmIbaganisa-bx7zj
    @WilhelmIbaganisa-bx7zj Před měsícem

    Hivi bado unaishi majalalani , ww mh Mungu 1:02 so I can 1:04

  • @mussamakame3650
    @mussamakame3650 Před měsícem +1

    Halaf wala kura hawaibiani

  • @dicksonlusinde2830
    @dicksonlusinde2830 Před měsícem

    jaman kwan huyu nan

  • @cleymmasi-ke5ly
    @cleymmasi-ke5ly Před měsícem

    Hili lizee linanimalizia bando langu tu anacho kiongea hata sikielewi kwakweli mbowe mbona alikuwa ananyoosha maelezo mbona uyu anaongea tu kama anatapika

  • @user-ls7wp7qx1d
    @user-ls7wp7qx1d Před měsícem

    Amekosekana Mzee wetu Warioba angewamaliza Hapo, mambo ya chombo maji kupwa, au mwenda tezi naomo sio hoja, zikazungumziwe BAKITA

  • @immanuelinvocavith1498
    @immanuelinvocavith1498 Před měsícem

    Utopolo

  • @user-it9gl9yc8m
    @user-it9gl9yc8m Před měsícem

    Kama uprofesa ndio hv
    Hakuna haha ya kusomesha mtoto

  • @mauamkamba4906
    @mauamkamba4906 Před měsícem

    Kama uprofesa ndo hivi hakuna haja ya kuoeleka watoto shule

  • @user-it9gl9yc8m
    @user-it9gl9yc8m Před měsícem

    Hili lizee la wap
    Watoto wake wako wap
    Anahis hatakufa au

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 Před měsícem +3

    Profesa wa Majalalani anafananisha uchaguzi wa Ujerumani na wa Tanzania!! ulishwahi kusikia ujerumani wagombea wa chama kimoja wanaondolewa karibu wote anabakia wa chama kimoja halafu anapita bila kupingwa?? watu wanauawawa na kura zimejaa kwy mabox kabla hazijapigwa?? aliyekuita ni Prof.wa Jalalani hakukosea..

    • @JosephuSwai
      @JosephuSwai Před měsícem +1

      Kweli kaka profesa wa majalalani

    • @bbclondonulimwenguwasoka6126
      @bbclondonulimwenguwasoka6126 Před měsícem

      Hujui usemalo

    • @MichaerJoer
      @MichaerJoer Před měsícem

      Kabudi toa erim

    • @rashidsuleiman9253
      @rashidsuleiman9253 Před měsícem +1

      hahahaa. Kuzungumz kwa kujikaza wanadhani ndio uprofessor. hawa ndio watu wanaoiumiza Tanzania

    • @ephraimkalanje7105
      @ephraimkalanje7105 Před měsícem

      Uadilifu katika nchi za wenzetu wengi umejengwa na unasimamiwa! Na wasio waadilifu huchukuliwà hatua, hujiuzulu au kulazimishwa kujiuzulu. Huko Ujerumani na huko kwingineko wana katiba ya kidikteta kama hii yetu? Hapa kwetu CCM na serikali yake haijajenga nidhamu hiyo. Kwa uadilifu walionao Ujerumani na kujali demokrasi wanaweza wasiwe na tume ya uchaguzi kutokana na walivyojijenga! Uadilifu; Elimu; Demokrasia, Haki, Usawa; vimejengwa! Hapa tunajengwa kuhusudu uchawa! Kwetu ni lazima tuwe na hiyo tume ya uchaguzi kwa vile CCM na serikali yake haijajenga watu wake kuwa waadilifu! Walio wengi, hapa, wapatapo madaraka serikalini, cha kwanza hufikiria jinsi watakavyojinufaisha wao binafsi au jinsi watakavyokuwa machawa kwa wale waliowaweka katika nafasi hizo. Kuaminiana katika mazingira kama haya ni vigumu! Hata hapo huyo ndugu anaongea kiuchawachawa tu. Huyu si Kabudi yule wa bunge la katiba mpya. Haaminiki tena! Elimu hiyo hiyo aliyokuwa akiitumia kutetea katiba mpya sasa anaitumia kutetea "status quo" ya chama na serikali iliyompa uteuzi. Si msomi tena! Ni "propagandist" wa chama chake! "Too bad! Cry the beloved country!"

  • @lynusseushy2163
    @lynusseushy2163 Před měsícem

    hivi mmemuelewa alichoongea!

  • @AmosSniper
    @AmosSniper Před měsícem

    Huyu jamaa shule yake alibezi kw hujua historia,, Mnakula hela zawalipa kodi bure nyie

  • @user-mm6sm9rt9x
    @user-mm6sm9rt9x Před měsícem

    Ila Kwa hapa nimekubali CCM hatuna viongozi wa raia!
    Tuna viongozi wa kutetea chama na matumbo Yao.
    Sitakosea nikisema nyie jamaa jifunzeni Kwa watu kama MBOWE na LISSU hawa wanabeba VISION ya Tanzania ya sasa na kesho. Lakini Kwa stori zako hizo KABUDI hatutoboiiiiiiiii! Nchi itaendelea kupigwa tu.

  • @maternmkomange5389
    @maternmkomange5389 Před měsícem

    Unaangalia maslai yapi?

  • @sosthenesmaemba
    @sosthenesmaemba Před měsícem

    Sasa alokwambia Tanzania ni ujerumani ni nani

  • @Brunn-mh2bq
    @Brunn-mh2bq Před měsícem

    Huyu njaa itamuumbua siku moja maana anakoelekea sasa blah blah na Kiswahili kirefu ameona kuwa ndio muhimu kuliko maslahi ya watu. Hastahili tena kuwepo kwenye hadhira ya wenye akili timamu. Ndio maana rais Samia kamuweka pembeni kwa kujua kuwa ni mtu asiye na substance bali maneno tu ili mradi liende. Watu wa aina hii wana bahatisha tu kupumbaza watu kwa maneno hadi wanapomgundua wanamuweka pembeni. Kabudi sasa basi.

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3s Před měsícem

    Naona tuwe na mwisho au ukomo wa prof kwani tz tuna mkosi na maprof Awana mapya wanakalili Yale waliyo yasoma isitoria imekua kanuni ya kabudi ana jipya ajui Leo Wala kesho yeye ni nyuma TU ukimuuliza walio kufa anawajua wote kuliko wazima ndio maana wanasheria wake awashindi kesi za kimataifa tunashindwa eee mungu tuepushe na uu uprofsa wa ajabu

    • @user-ef2ln1mx3s
      @user-ef2ln1mx3s Před měsícem

      Tz tuna maprof wachache wakiongozwa na mzee shivij prof namba 1tz

  • @edwinbuganga3205
    @edwinbuganga3205 Před měsícem

    Haelewi,anaelewa lakini madaraka baba

  • @SAKAWA4
    @SAKAWA4 Před měsícem

    Anaongea nini huyu 😄😅

  • @mgoamkiza1117
    @mgoamkiza1117 Před měsícem +1

    Mzee Kabudi asiekuelewa madiniako bas hata yy hajielewi,ila Kwa mm msomi nakukubali sanaaaaaa

  • @YoyoChacha-gl5ui
    @YoyoChacha-gl5ui Před měsícem

    Kana huyu anaogenya nini

  • @user-yc7xp4fn7x
    @user-yc7xp4fn7x Před měsícem

    Duuu

  • @mariamjamali1444
    @mariamjamali1444 Před měsícem +1

    Me hata cjui maprofessor hawa walipataje hizo Prof zao,hivi Prof mzima anaongea pumba kiasi ambacho hata mtoto wa kindergarten akipewa uwezo wa highlights ya chaguzi za 1995,2000,2005,2010,2015 na 2020 ataona ujinga uliofanyika.Huyu ametokea wapi?! Anaona kweli! Tuna wasomi wajinga kulinganisha na wajinga wote duniani!

  • @willykomba8376
    @willykomba8376 Před měsícem

    So what!!

  • @sethkivuyo3342
    @sethkivuyo3342 Před měsícem

    Prof wa majalalani wewe...
    Ufundi wako wa Maisemo ya kiswahili... ndio sheria mbovu za uchaguzi tunazojadili?

  • @fredrickkaaya6287
    @fredrickkaaya6287 Před měsícem +1

    Njaa yako inakuharibia kutetea ujinga wazi wazi. Nenda nyumbani kalee wajukuu. CCM haina dawa intafunwa na dhambi zake yenyewe.

  • @user-cz3gk2op9r
    @user-cz3gk2op9r Před 24 dny

    Wewe Professor....???
    Unatuelezea historia yoote hiyo itusaidie nini hasa?
    Je unataka kueleza nini kwa kizazi cha sasa?
    Unadhani historia itatusaidia kuleta maendeleo na demokrasia katika nchi?
    Au wewe unaona katiba haina umuhimu sasa?
    Kweli elimu yako ya kiprofessor haikusaidii mpaka leo kweli?

  • @stanslausjosephat6705
    @stanslausjosephat6705 Před měsícem

    this is what we call professorial rubbish

  • @bakarininga4100
    @bakarininga4100 Před měsícem +1

    Somtime akiongea msomi km uyu unaona hakuna faida ya elim