UJERUMANI MPAKA LEO HAWANA TUME YA UCHAGUZI/MWAKA 1958 HATUKUWA NA TUME YA UCHAGUZI..PROF KABUDI..
Vložit
- čas přidán 7. 05. 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►CZcams: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Kabudi geuka nyuma broo angalia wa Tz 🇹🇿 wanavyo teseka ifike mahala mkubali tu mmechemka kuongoza hii nchi acha history za kipuuzi saidia taifa kwa katiba na tume huru watu🇹🇿 tumechoka ....✌️✍️
Mungu atusaidie watanzania kwa kuwa na viongozi wasiojali ,wasiomcha mungu
Kutetea unga wa ndere ni ngumu sana, Professor Kabudi kuna mahali point zinavepa kabisa anabaki kubwabwaja😅😅
Kumbe kuna watu wanaishi ili kuleta hasara kwa wengine
Mtu ni proff but anaongea pumba tupu Kuna shida kubwa
Aseee hatuitaji historia bhana there is are lot of literature mzee we need what you have mbele ya taifa hili acha story twende na point
profesa uchwaraaaaaaaa
Profesa ni kweli umetumwa na chama chako kukisemea wala sio kuutetea uma kwa yaliyomo ambayo ufumbuzi wake ni kuikosoa serikali ya chama chako!Ukitupa mifano ya nchi zingine maana yake madai ya wadau hayafai yatupwe! Nini maana ya mijadala kama hatuji pamoja?! Muda mfupi kwa madai ya miaka yote 30!, lakini mwaka mzima hautoshi kufikia 4Rs kisa muda mchache,mpaka 2030! Serikali haiko serious...
Kwani hapa ni ujerumani CCM haitaki tume huru kwa sababu wanataka waendelee kuiba kura
Hivi hamna body za ma Prof ambazo zinasimamia ubora wa hawa ma Prof jmn kwa sababu ktk nchi yetu wamekuwa hawana mchango mkubwa kwenye maendeleo ya nchi yetu! Tunawaheshimu kweli maana wakiamka tunasisimkwa kwa hisia tukijua mbegu bora inaenda kupandwa kwny ardhi yenye rutuba lkn mwisho wake wana tukwaza na kufanya uharibifu mkubwa sana kwa jamii na nchi kwa ujumla!
Nina wasiwasi na uprofesa wake ,maana hata kuzungumza hajuwi si yule alielaaniwa na mungu ulimi wake ulimwita binaadamu mwenzake mungu wakati sio mungu daa HATARI ATI PROFESA ,ANAE UNGA MKONO CCM KUENDELEA KUIBA KURA HILO MDILO LENGO LAKE,,NDIO MAANA MUNGU ALIMLAANI ALIVYOTAMKA MUHESHIMIWA MUNGU MUHESHIMIWA MHUNGU RAIS
Uelewa mdogo ndio unasababisha mtu kutoelewa hoja inayojengwa
Unataka azungumze ujachopenda kusikia? Badala ya kuleta hoja yako, Wewe Unakimbilia Kuponda. Ulimwengu wa intellectuals hauko hivyo. @@user-eo4bl3do8k
Ukweli me sijamuelewa asaa huyu ni mtetea ugali tu
Wewe professor uchwara ukimaliza kuongea angalia coments
HALAFU ndiyo akaseme tena?!
Huyu jama syo kwamba hajui n bonge la bright nakubali sana ila km umefatilia system ya nch yetu inaharibu taaluma za wasomi wanashindwa kunitoa mhanga kuinanga serikali iliyoko mdarakani kisa kumwaga ugnga
Kabudi niprofesa mzuri sana ...lakini shida tusimlaumu kwasababu Toka zamani ukiisema ccm vibaya unatengwa nakufukuzwa ccm
Kwahivyo sishangai profesa mzima akiongea pumba laiti angelijua wananchi wanashida angewatetea
Wadau Mim simuelew sijui Ndio Professor hapan hapo
Nyie ndoo mmeliangusha taifa kwa maamuzi hasi na mnasimamia matumbo yenu tu sio masilahi ya watanzania ila kumbukeni mwisho wa siku mungu anawasubiri kwa kuwasababishia watu wake kuishi maisha magumu.
We mzee unajua kabisa mfumo wa Tz wasimamizi ni makada wa chama cha mapinduzi, na wewe ni mnufaika wa mfumo feki wa kupita bila kupigwa
Viongozi wa sasa ni shida wamekosa ubunifu ndo maama wanakuja na mambo ya kale hawana jjipya wanaangalia maslahi Yao tu ili waendelee kukaa madarakani watanzania kuweni makini wanazungumza mambo ya kale tu na hoja ambazo hazina mashiko hadithi zimekuwa nyingi kuliko mambo ya msingi
Huyu mzee nimemsikiliza mpaka mwisho lkn sijaelewa kaongea nini!!
Kabudi toka huko ccm maana wamesha choka,,sahv unajaribu kupeleka maji yapande mlima,,utachoka sana,,bora unyoshe tuu ukweli maana watanganyika sahv tunatambua.
Achana na uchawa bana. Unautupa ufahamu wako wote. Huyo yupo kwenye "Comfort Zone". Hawezi kujenga hoja ya usawa zaidi ya kujenga hoja za kuwaogopesha wa_Tanzania.
Kutoka Burundi, kuna watu ninawowapenda sisiemu haswa speech ya kabudi na vituko vya kagi rugora kipindi hicho
Huyu prof wetu huyu huwa point zake ni tata sana.
Yn ccm ht kma mtu ni msomi ni mwongo TU mashetan wezi angalia anvyoleta porojo mungu akulaani kabudi
Habari za familia hapa zinahusikaje kuwa Pro. Sioni kitu cha maana
hii nchi wazee wanatupoteza..kwa sasa hawawezi kufiri future yetu
Amani yenye ujinga haina nafasi kwa kipindi hiki. Kichaka cha Amani kinatumika Sana na CCM!!
Aliyeokotwa majalalani huyo hapo sasa analinganisha Ujerumani n'a Tanzania
Uyu hovyo sana hafai kabisa
Comrade
Kabudi ana taka kukuambia Nini zidi ya ACT wazalendo kwamba wanamaoni kuliko chadema.
harafu kwa nini pia tunapenda kukopy nchi za kikoloni...ebu tufiri vitu vyetu na mazingira yetu😊
Ukimsikiliza Kabudi na Mbowe kama huwajui unaweza kusema Mbowe ndio profesa na huyo mwingine ni kama alibahatika tu kufika middle school
Huyu kabudi nahisi kama anatatizo kiakili sio mzima
Tanzania Sisi ni wabepari ujamaa CCM walitupilia mbali
Ambae hakumuelewa professor basi akili yake ya ki beach boy
Sijakuelewa kabisa hata kidogo
Ujeruman mihimili yote ina Uwezo ya kufutaa uchaguzi tofaut na hp,
mmmmh prof wa ccm ...akili yako mbona haijatuli a mmmh...kabudi mbona mbowe amenyooka point zake
Ccm ni km gari linaloporomoka mlimani bila ya dereva 😢
Watu wakichoka, unawaona, professor, soma koment uone watu walivyochoka, waachie watu usiwaamulie
Huyu ni kichaa kumbe
Ujerumani wanaongozwa kwa ufalme au umalkia mambo ya tume yapo kwenu ktk vyama vingi.
Limelewa gongo la mavi kakojoe ulale mbwa wew unahibiri amani tunataka tume huru mafisi em bana eti matraba mavi ya kuku
Apo umekaa na wasomi wenzako waelewa kwelikweli. Alafu unaleta mifano na porojo za ovyo unajikwepesha mambo ya msingi wananchi tunayoyataka..
HAPA SIO UJERUMAI
Ujerumani hawatuhusu tena kama vp wao doke tupambane wenyewe nyie mmechoka mnaona mazoea ila huyu mungu hatawaacha salama kwa haya mnafanyia wananch
Hapa ni tz na sio ujerumani prop😂
Mungekua nyie ndio wapinzani mungekua na misemo hio ya mwendo kwer alie shiba amjali mwenye njaaa
Kutumia maneno magumu ya kiswahili au kiingereza katika hadhira Huwa sio sawa, Prof unajua Hilo. Lakini kujilinganisha ATI kwakuwa fulani ni mlevi hivyo nawe ukilewa ni sawa aaaah. Huwa tunaiga mambo MEMA. Mimi nasema jirani zetu Kenya, Malawi nk wanauchaguzi Bora kwanini tusilinganishe bali tunaizungunza Ujerumani.
Huyu ni Proff gani simuelewi anaishi km Kinyonga
Hakuna jambo lisilo na Historia. Maisha yetu ya kila siku yanaongozwa na historia yaani juzi jana leo na sasa hivi. Kila taifa lina mazingira yake yanayosimamiwa na historia ya taifa hilo.Hiki ndicho anachoongea profesa na ndio maana anaonekana kuwa haeleweki
Hivi bado unaishi majalalani , ww mh Mungu 1:02 so I can 1:04
Halaf wala kura hawaibiani
jaman kwan huyu nan
Hili lizee linanimalizia bando langu tu anacho kiongea hata sikielewi kwakweli mbowe mbona alikuwa ananyoosha maelezo mbona uyu anaongea tu kama anatapika
Amekosekana Mzee wetu Warioba angewamaliza Hapo, mambo ya chombo maji kupwa, au mwenda tezi naomo sio hoja, zikazungumziwe BAKITA
Utopolo
Kama uprofesa ndio hv
Hakuna haha ya kusomesha mtoto
Kama uprofesa ndo hivi hakuna haja ya kuoeleka watoto shule
Hili lizee la wap
Watoto wake wako wap
Anahis hatakufa au
Profesa wa Majalalani anafananisha uchaguzi wa Ujerumani na wa Tanzania!! ulishwahi kusikia ujerumani wagombea wa chama kimoja wanaondolewa karibu wote anabakia wa chama kimoja halafu anapita bila kupingwa?? watu wanauawawa na kura zimejaa kwy mabox kabla hazijapigwa?? aliyekuita ni Prof.wa Jalalani hakukosea..
Kweli kaka profesa wa majalalani
Hujui usemalo
Kabudi toa erim
hahahaa. Kuzungumz kwa kujikaza wanadhani ndio uprofessor. hawa ndio watu wanaoiumiza Tanzania
Uadilifu katika nchi za wenzetu wengi umejengwa na unasimamiwa! Na wasio waadilifu huchukuliwà hatua, hujiuzulu au kulazimishwa kujiuzulu. Huko Ujerumani na huko kwingineko wana katiba ya kidikteta kama hii yetu? Hapa kwetu CCM na serikali yake haijajenga nidhamu hiyo. Kwa uadilifu walionao Ujerumani na kujali demokrasi wanaweza wasiwe na tume ya uchaguzi kutokana na walivyojijenga! Uadilifu; Elimu; Demokrasia, Haki, Usawa; vimejengwa! Hapa tunajengwa kuhusudu uchawa! Kwetu ni lazima tuwe na hiyo tume ya uchaguzi kwa vile CCM na serikali yake haijajenga watu wake kuwa waadilifu! Walio wengi, hapa, wapatapo madaraka serikalini, cha kwanza hufikiria jinsi watakavyojinufaisha wao binafsi au jinsi watakavyokuwa machawa kwa wale waliowaweka katika nafasi hizo. Kuaminiana katika mazingira kama haya ni vigumu! Hata hapo huyo ndugu anaongea kiuchawachawa tu. Huyu si Kabudi yule wa bunge la katiba mpya. Haaminiki tena! Elimu hiyo hiyo aliyokuwa akiitumia kutetea katiba mpya sasa anaitumia kutetea "status quo" ya chama na serikali iliyompa uteuzi. Si msomi tena! Ni "propagandist" wa chama chake! "Too bad! Cry the beloved country!"
hivi mmemuelewa alichoongea!
Huyu jamaa shule yake alibezi kw hujua historia,, Mnakula hela zawalipa kodi bure nyie
Ila Kwa hapa nimekubali CCM hatuna viongozi wa raia!
Tuna viongozi wa kutetea chama na matumbo Yao.
Sitakosea nikisema nyie jamaa jifunzeni Kwa watu kama MBOWE na LISSU hawa wanabeba VISION ya Tanzania ya sasa na kesho. Lakini Kwa stori zako hizo KABUDI hatutoboiiiiiiiii! Nchi itaendelea kupigwa tu.
Unaangalia maslai yapi?
Sasa alokwambia Tanzania ni ujerumani ni nani
Huyu njaa itamuumbua siku moja maana anakoelekea sasa blah blah na Kiswahili kirefu ameona kuwa ndio muhimu kuliko maslahi ya watu. Hastahili tena kuwepo kwenye hadhira ya wenye akili timamu. Ndio maana rais Samia kamuweka pembeni kwa kujua kuwa ni mtu asiye na substance bali maneno tu ili mradi liende. Watu wa aina hii wana bahatisha tu kupumbaza watu kwa maneno hadi wanapomgundua wanamuweka pembeni. Kabudi sasa basi.
Naona tuwe na mwisho au ukomo wa prof kwani tz tuna mkosi na maprof Awana mapya wanakalili Yale waliyo yasoma isitoria imekua kanuni ya kabudi ana jipya ajui Leo Wala kesho yeye ni nyuma TU ukimuuliza walio kufa anawajua wote kuliko wazima ndio maana wanasheria wake awashindi kesi za kimataifa tunashindwa eee mungu tuepushe na uu uprofsa wa ajabu
Tz tuna maprof wachache wakiongozwa na mzee shivij prof namba 1tz
Haelewi,anaelewa lakini madaraka baba
Anaongea nini huyu 😄😅
Mzee Kabudi asiekuelewa madiniako bas hata yy hajielewi,ila Kwa mm msomi nakukubali sanaaaaaa
Kua msomi Ina maana gani?
Anaeleweka eee?
Acha Unafiki Na Kuongea Pumba @Mgoa "
Unanielewa anayelinganisha Ujerumani na Tanzania na unachekelea una virus
Hacha kukaza fuvu ww kabudi anaongea pumba tupu
Kana huyu anaogenya nini
Duuu
Me hata cjui maprofessor hawa walipataje hizo Prof zao,hivi Prof mzima anaongea pumba kiasi ambacho hata mtoto wa kindergarten akipewa uwezo wa highlights ya chaguzi za 1995,2000,2005,2010,2015 na 2020 ataona ujinga uliofanyika.Huyu ametokea wapi?! Anaona kweli! Tuna wasomi wajinga kulinganisha na wajinga wote duniani!
So what!!
Prof wa majalalani wewe...
Ufundi wako wa Maisemo ya kiswahili... ndio sheria mbovu za uchaguzi tunazojadili?
Njaa yako inakuharibia kutetea ujinga wazi wazi. Nenda nyumbani kalee wajukuu. CCM haina dawa intafunwa na dhambi zake yenyewe.
Wewe Professor....???
Unatuelezea historia yoote hiyo itusaidie nini hasa?
Je unataka kueleza nini kwa kizazi cha sasa?
Unadhani historia itatusaidia kuleta maendeleo na demokrasia katika nchi?
Au wewe unaona katiba haina umuhimu sasa?
Kweli elimu yako ya kiprofessor haikusaidii mpaka leo kweli?
this is what we call professorial rubbish
Somtime akiongea msomi km uyu unaona hakuna faida ya elim