MBOWE YAMSHINDA AMPINGA KABUDI MBELE YA HALAIKI ''HATUWEZI JADILI MAMBO YALE YALE KWA MIAKA 30''....

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 05. 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►CZcams: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Komentáře • 200

  • @user-fw6dp9iy4i
    @user-fw6dp9iy4i Před 29 dny +12

    Great man,,,,,hapo kaongea MTU na nusu,,,,unaona MTU aliyejiandaa na anayejua,,,,,,
    Hope message sent and delivered,

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd Před měsícem +27

    Mbowe mungu akupe neema ya maisha marefu inaongea maono makubwa kwenye taifa

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga6238 Před měsícem +14

    Mhe Mbowe umegusia mambo muhimu sana ingawaje kwa kifupi lakini ndiyo moyo wa demokrasia na Maendeleo ya nchi yetu. Hongera sana. Kubadili jina la Tume ya uchaguzi bila kugusa composition yake ni ubatili. Daftari la wapiga kura ni muhimu. Mabadiriko ya katiba ilingane na marekebisho yaliyofanywa ni muhimu. Nimesikitika kumuona Mhe Kinana haoni na kuyabeza madai ya CDM kwamba si muhimu ingawaje body language yake ktk kikao Cha Juzi inaonesha kujua ukweli. Tunahitaji tujenge nchi hii kwa ajili ya vizazi vijavyo. Let us be serious and use the present period positively. Mungu fungua macho na mioyo yetu.

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 Před měsícem +22

    Mbowe you are my future president

  • @titusrobert5890
    @titusrobert5890 Před měsícem +18

    Mbowe mungu aendelee kukupa afya njema,mungu amekupa busara kubwa santa

  • @MussaSimeon
    @MussaSimeon Před měsícem +11

    Mungu akubaliki sana

  • @ndingolivin-qy6xk
    @ndingolivin-qy6xk Před měsícem +11

    Baba mbowe Mungu akupe maisha marefu

  • @mohamedomari6129
    @mohamedomari6129 Před měsícem +7

    Umeongea vizuri mno. Sipendi siasa, siamini katika kiongozi mweusi sababu ya roho mbaya na ubinafsi uliopitika mpaka. Lakini umeongea kwa mpangilio mzuri na points hata Lipumba nimeona ameshika note book na pen ana note points.

  • @DoctorRengeda
    @DoctorRengeda Před 27 dny +4

    Mr president,,, mbowe wewe ni mtu muhimu sana ktk taifa letu I sure one day utakamata kijiti Tz🇹🇿✌️✌️✌️

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před měsícem +12

    HONGERA SANA MBOWE

  • @bmdele5816
    @bmdele5816 Před měsícem +12

    Mbowe ni Legendary 🔥🔥🔥

  • @lukasmnyeti3016
    @lukasmnyeti3016 Před měsícem +41

    Ukiona mtu yuko ccm hata kama ni baba YAKO jua huyo mtu ni shetani alievaa sura ya binadamu wataenda kujibu Mbele za Mungu

    • @OmarJuma-og4kd
      @OmarJuma-og4kd Před měsícem +5

      Hakika kabisa ulichoongea ni shetani tu wanaojali maslahi Yao

    • @simonmalegesi414
      @simonmalegesi414 Před měsícem

      Siyo kweli magufuri / polepole kina makonda/ mpina nawengine wengi wako pouwa ata samia yuko sawa biteko/jafo/majariwa/mpango yani wapo wengi kishimba na MIMI 😅😅😅😅

    • @youngsachafurniture5482
      @youngsachafurniture5482 Před měsícem +2

      Wote wale wale kuanzia huyo maguful na hao wengine

    • @thaddeojude7511
      @thaddeojude7511 Před 29 dny

      Nafikiri hata wew mwenyew ni mmojawapo wa hao mashetani maana umezaliwa mule mule...na umekulia mule mule....

    • @thaddeojude7511
      @thaddeojude7511 Před 29 dny

      Daima kumbuka siasa ni sayansi..hakuna mwanasiasa mzuri ..anayetumia maneno mataamu leo ..kesho yake anakunyonga...kwaiyo hakuna wa kumtetea awe chadema au popote

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Před měsícem +14

    Ndiomana maccm wanatamani leo kesho Mbowe aachie uwenyekiti Chadema ili wafanye yao waishushe Chadema kama walivyoishusha CUF lkn wasubiri kwanza ataachia tu mbona wao walitaka Raisi wa awamu flan awe wa milele wakae kwakutulia tu huyu bado yupo sana tu Mbowe Mungu akuongoze akulinde akubariki uhai mlefu na afya njema✌️👏👏

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi Před měsícem

      Hata yeye hataishi milele boss. Hata kama uwe mzuri kiasi gani, muda wako utaisha tu.

    • @rogersiddy
      @rogersiddy Před měsícem +1

      @@TM.Sullusi Hakuna anaekataa hilo wote tunapita ila Mbowe atakuwa kioo kwa wengine kwa miaka hiyo atakayotumikia atakaekuja atakuwa mkakamavu asitishwe na kufungwa jera asitishwe na kupigwa adi kuumizwa miguu ajue uongozi hautofautiani na uongozi wa nyumbani kwake ataumia akiwa kazini atasemwa akiwa kazini atanyanyaswa akiwa kazini atafitinishwa ili kuonekana mbaya kazini lkn hatorudi nyuma akijua nyuma nina familia huku akimuona Mungu amvushe salama kwenye majaribu mbali lkn sio kuiuza familia yake au kuikimbia familia yake nadhani kama mwepesi kuelewa maana yangu kuu utakuwa umeielewa vyema kbs

    • @rogersiddy
      @rogersiddy Před 26 dny +1

      @@TM.Sullusi Nalijua hilo kbs hakuna atakae ishi milele sijakataa hilo kbs ila maana yangu kwa mapitio anayopitia Mbowe kuna cha kujifunza kwa watakaochukua kijiti chake cha uwenyekiti sio mtu wa tamaa ya hela wala uoga hatakiwi kwenye kiti cha uwenyekiti hapo Mbowe iwe shule kwa wale wanaotaka kuwania huko mbeleni nadhani umenielewa maana yangu sasa

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u Před 27 dny +3

    Mbowe mungu akulinde unalipigania taifa sana sanakwafaida yetu tusio jua haki zetu tunakuombea kwa mungu akulinde naakipe maisha marefu uwepo wako nifahari kwataifa letu wanyonge

  • @BonaventureJohn-mk6xh
    @BonaventureJohn-mk6xh Před 25 dny +2

    One of the big brains in the nation

  • @dr_godfrey
    @dr_godfrey Před měsícem +10

    Kiongozi wa viongozi Tanzania hongera sana mbowe wenye akili tunakuelewa lakini mazuzu yatakuelewa siku hauko na sisi tena tunakuombea Mungu akuweke

  • @FadhiliMwaitete-ls2li
    @FadhiliMwaitete-ls2li Před měsícem +17

    Hali ya ccm nisawa na mchawi anae Kula nyama ya mtoto wake ccm awafai kabisa kubasa wanauza asilimali zetu bila lizaa ya watanzania atuna bunge Wala viongozi wenye huruma na inchii ccm fekeni kabisa Tena ccm nikichefuchefu safari hii tunazaa na nyiye

    • @IbrahimTabu-qh9il
      @IbrahimTabu-qh9il Před měsícem +2

      Haki haiombwi ukijua nihaki yako chukua safalihii hakuna kucheka nao

    • @CarlMagi
      @CarlMagi Před 28 dny

      Kwa muujiza gani ndugu maana ccm wana uhakika wa kushinda kupitia goli la mkono

  • @amosjoseph7241
    @amosjoseph7241 Před 29 dny +5

    Alafu kujadili na shetani Mambo ya ufalme WA mungu ni kupoteza muda. Ma CCM ni mashetani ya Taifa hili

  • @RutinikiGosbert
    @RutinikiGosbert Před 28 dny +3

    Ukweli na uhakika Freeman god bless you my future president 25

  • @user-wh3tb9ve8x
    @user-wh3tb9ve8x Před měsícem +11

    Tujifunze kupitia Kenya,Inaongozwa na upinzani,pia tujifunze kupitia marekani Inaongozwa na upinzani sisi tunawazidi Nini hao

    • @fidelismwakanyamale6787
      @fidelismwakanyamale6787 Před 28 dny

      Kenya aiongozwi na mpinzani Ruto ndiye alikuwa mwenyekiti wa vijana KANU mpinzani ni Raila ondiga tu. Na atabaki hivyo ni mpinzani siku zote

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 Před 27 dny

      Upinzani wa Bongo una upinzani ndani Ya upinzani kabla hata hawaja pambana na chama tawala.
      Mbowe maneno yake ni mazuri sana ila yeye matendo mengine

  • @user-fl7jl7vk3n
    @user-fl7jl7vk3n Před měsícem +12

    Ukiona mtu Yuko CCM kama ni baba Yako au mama Yako ni sawa Yuko kwenye tanuru la moto ya jehenam

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn Před 27 dny +4

    Kaka mbowe uko sahihi wenye akili timamu watakuelewa hii ni sauti ya mtu aliaye nyikani

  • @emmanuelymganga5737
    @emmanuelymganga5737 Před 25 dny +2

    mpangilio wa mawazo yako unazidi hadi watu ambao wajiita maproffessa hongera sana Mbowe MUNGU akulinde uzidii kuisemea Tanganyika

  • @user-tb4gh1sm9k
    @user-tb4gh1sm9k Před měsícem +4

    Mbowe safiiii sana sarurt mzee

  • @festokivuyo7121
    @festokivuyo7121 Před měsícem +13

    Mbowe ana kuaga kiongozi kbs

  • @ignacekiwale7281
    @ignacekiwale7281 Před měsícem +16

    Ongea Mbowe.unaeleweka

  • @giftyjackson2461
    @giftyjackson2461 Před měsícem +5

    Safi sana mwamba

  • @fatumahassanduale4701
    @fatumahassanduale4701 Před 28 dny +2

    Pole sana,wengine tulishakata tamaa,hatuoni CCM ikiondoka.kwa amani,tunachohofia watu wakichoka itakuaje je watatuwac 14:05 14:05 ha na vita au wataondoka nchi ikiwa imeungana kama nchi zilizoendelea,i hope watakubali katiba mpya yenye kuruhusu uchaguzi huru na haki,na sisi wananchi tuweze juiwajibisha chama kama haitatekeleza ahadi,kama nilivyo sema mwanzo nimekata tamaa na naomba mungu awape CCM maono ya kuelewa Tanzania ni ya wananchi na wanamaamuzi ya kuchagua wamtakae.

  • @daniellyimo9547
    @daniellyimo9547 Před 26 dny +3

    Ukweli mtupu..."cosmetic changes" badala ya kubadilisha composition ya tume unabadilisha jina la tume....!

  • @emmanuelymganga5737
    @emmanuelymganga5737 Před 25 dny +2

    Bigger up 👏👏👏

  • @zimboj5278
    @zimboj5278 Před 26 dny +2

    Genius man

  • @EstermsuyaMsuya
    @EstermsuyaMsuya Před měsícem +8

    Big up Mbowe

  • @AlexMetwi
    @AlexMetwi Před měsícem +9

    Kweli mzee

  • @paldonjonas9489
    @paldonjonas9489 Před 16 dny

    Mungu ibarik tz

  • @gaitanikazikidogo1556
    @gaitanikazikidogo1556 Před 21 dnem +1

    mboe nikichwa sana huyu jamaa yani

  • @mnanze
    @mnanze Před 21 dnem

    Well said,We need leaders of this kind Blessings Mbowe.

  • @user-kp2jf5jc2i
    @user-kp2jf5jc2i Před 25 dny +2

    Sweet recommendations, uko vzr!

  • @prothodommy
    @prothodommy Před 22 dny

    Huyu jamaa smart sana, Big up Mbowe

  • @user-fw8wm2xd8x
    @user-fw8wm2xd8x Před 23 dny

    Asnt mbowe mungu akulinde ipo ck tutashinda kwa jina la yesu

  • @edwardmwingira7096
    @edwardmwingira7096 Před 13 dny

    Safi Mbowe

  • @HajiJuma-xw7vh
    @HajiJuma-xw7vh Před 25 dny +1

    Ww baba mm ingekuwa uwezo wangu ningekupeleka peponi yani unaakili mpaka manyanga'u wanakuogopa

  • @user-kp2jf5jc2i
    @user-kp2jf5jc2i Před 25 dny +1

    HII TUNAITA NI, PRECISE AT A POINT!

  • @mariamumechara3398
    @mariamumechara3398 Před 27 dny +2

    Mbowe hongera San

  • @saidmushehe
    @saidmushehe Před 2 dny

    Kama sijamaliza kusikiliza anayesema mbowe.....mwaka 2005 alikodiwa helkopta na kuwekea mafuta ili kupunguzu nguvu iliyokuwepo Cuf enzi hinzo chini ya Lipumba
    Hii nch ain demokrasia ujanja ujanja....wapinzani na watawala ndio walewale

  • @RawsonNkini
    @RawsonNkini Před 20 dny

    Mungu akulinde san

  • @mohoniajoseph9067
    @mohoniajoseph9067 Před 20 dny

    Wewe ni Kiongozi hakika

  • @AmosSniper
    @AmosSniper Před 14 dny

    Ushauri wangu chadema wote ingien ccm mlaluane humohumo alafu mtengeneze makundi mmpitishe mmoja mnaemwamini kw tket hiyo ya ccm akiingia ikuru ajenda ya kwanza kwake iwe KATIBA MPYA

  • @user-hl9xu4vo1q
    @user-hl9xu4vo1q Před 27 dny +2

    Akili ndogo inaongoza akili kubwa

  • @kasiankillo6949
    @kasiankillo6949 Před 23 dny

    Daaa awa ccm aise mbowe uko vizuri kama ccm wanayofanya wako Sawa mbona wanaigopa kuacha uchaguzi uwe huru

  • @EliaoniTerry
    @EliaoniTerry Před měsícem +6

    Unaye taka Lisu aongee kama Mbowe unakosea, yapo mambo Mbowe anaweza kuyaongelea na kuna mambo Lissu anaweza kuyaongelea, ni bahati kwamba chadema ina hazina hizo muhimu kwa taifa.

  • @user-px3bz4vq9i
    @user-px3bz4vq9i Před 20 dny

    Kwan chadema wanataka nn mbona imekuwa chama Cha kulalamika ,lawama Kila wakati mara tunaumiswa,mara katiba ibadilishwe mara iboreshwe kupiga kura mpaka lini?

  • @EliaoniTerry
    @EliaoniTerry Před měsícem +3

    Kwa maoni yangu, na nilivyofuatilia mijadala mbali mbali ya namna hii, Uchaguzi Uahirishwe kwa mwaka mmoja na Nusu, ili kwanza ama katiba hasa ile ya TUME ya WARIOBA, au ma badiliko makubwa yafanywe kwenye katiba hii ya 1977,ingawa kwangu ni kupoteza fedha kurepea katiba. RASIMU YA KATIBA YA TUME YA WARIOBA NDIYO IFANYIWE MA ONGEZEKO KIDOGO. NA KISHA TUIPITISHE KUWA KATIBA MPYA.

  • @exprodigitaltechtv5571
    @exprodigitaltechtv5571 Před 21 dnem

    Mr president

  • @usitocassian3286
    @usitocassian3286 Před 2 dny

    Mboe uenyekiti wa Chama taifa tunakukabidhi labuda mungu achukue uhai wako.kukabiliana na Hawa mabwana wakubwa bila wewe nikazi kweli kweli akija mtu mwingine anazimwa chapu na vijisent

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 Před měsícem

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 Před měsícem +3

    Mwl Nyerere alisema ukila nyama ya mtu huachi CCM walikula nyama ya mtu 2019/20 hawawezi acha 2024/25 itakuwa ni upuuuzi wa kiwango cha juu kwaamini kuwa watabadilika

  • @stanleyamlima2085
    @stanleyamlima2085 Před 22 dny

    Ameongea kwa hisia sanaaa

  • @BalakaMbughi
    @BalakaMbughi Před 27 dny +1

    Laisi wetu mtarajiwa huyo

  • @boscomfundo7953
    @boscomfundo7953 Před 22 dny

    Mheshimiwa Mbowe ni akili kubwa. Anaeleweka na pia ana uwezo wa kujenga hoja

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 Před měsícem +4

    Mbowe busara kubwa sana huyu jamaa

  • @leonardabenego4600
    @leonardabenego4600 Před 24 dny

    Hivi wasomiwetu elimuyao inafaidagani kwataifahili? Kabudi chenge nawenginewote walisoma kwaajiliya matumboyao tuu?

  • @OscarAsukenie
    @OscarAsukenie Před 17 dny

    Ikiwa vyama vya upinzani havitajiunga na kuwa chama kimoja, yaani vibaki Ukawa na ccm tu wapambane, hata iwe miaka 1000 ijayo wapinzani hawatakaaa kamwe wakaipindua ccm. Wamlaaumu aliyevunja ukawa.

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Před 24 dny

    Marefa wanaolipwa kutokana na idadi ya magoli watapiga penalti nyingi nyingi hata makosa ya katikati ya uwanja yatakuwa penalti

  • @Focusm-se2sd
    @Focusm-se2sd Před měsícem

    Umeonge mambo ya maana sana mzee wangu ni ukweli mtupu

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Před 24 dny

    Kwa nini kila kitu chetu tunapenda kushirikisha wazungu wakati wao sio kila jambo lao hutushirikisha? Waafrika tujihoji sana tu. Sio ufahari Afrika tujihoji .

  • @bahatishitindi
    @bahatishitindi Před 15 dny

    Ukweli mtupu

  • @AmosSniper
    @AmosSniper Před 14 dny

    Ccm haijawahi kuwa na chaguzi huru, na mwanadamu usimuamini

  • @user-fe8tx5bo2f
    @user-fe8tx5bo2f Před měsícem

    Na kuku Bali sana kiongoz wangu mbowe mungu akupe maisha malefu

  • @teddymuganda3158
    @teddymuganda3158 Před měsícem

    Nashauri kuwepo na tume maalum ya ajira inayohusu sera na utawala Bora na uchumi enelevu wa maaedeleo na siasa huru ndani ya taifa,ambapo mfumo huu utajitegemea bila kuingiliwa Na selikali au utashi wa chama chochote,watatumia miongozo na katiba ya wananchi ya nchi husika Kwa kuweka sera za uchaguzi zitakazopitishwa na wananchi Kwa kupima wagombea kulingana na dira ya taifa ya maendeleo ktk sekta zote,ambapo mgombea atatakiwa kupitishwa kulingana na uwezo wake wa kuongoza nchi pili atimize vipaumbele vya wanachi bila visingizio tatu awe tayari kufungiwa mfumo kiintelijensiamwilini mwake amba o utakuwa unatoa taarifa zake zote nzuri mbaya na hata uwezo wake ukishuka ahiari kuachia nafasi Kwa kiongozi mwingine kuendelea hata kama miaka mitano haijaisha nne acngatuke madarakani asipoweza kukidhi haja za wananchi,achie ngazi kama watumishi wengine wanavyochukuliwa hatua,tano tume ya ajira ya siasa nchini itakuwa ndo yenye wajibu wa kumchukulia hatua za kinidhamu na kumwajibisha pindi anapokiuka sera kanuni miongozo sheria na katiba za nchi husika au taifa,pindi ameshika hatamu,mifumo ya kiitelijensia itafunguliwa Siri zake zitatoa majibu yote naye atastaafu kama mtaafu mwingine,hii itasaidia Sana bara la afrika viongozi kulewa na madaraka na kushindwa kuchukuliwa hatua naye atapimwa na tume ya ajira yasiasa na kuchukuliwa hatua za kinidhamu pale inapotokea kakiuka taratibu za nchi,tume ya siasa ya taifa itakuwa ndo inawajibu wa kuwapima viongozi wa vyama vya siasa work performance appraisal report,ambayo itasimamiwa na viongozi wabobezi ktk ufanyaji wa tathimini ngazi za kimataifa na kitaifa wataunda ,monitoring and evaluation (,national and international )guideline,standard,appraisal statistics on economic ,living standardandnational sustainability,team work,on good policy govenance ,katiba itakuwa sehemu ya nyongeza ,mfano huu nimeshauri Kwa sababu nchi imetoka analogy to digital watendaji na viongozi wapo analogy kiakili, na matendo kidijitali hapa vinakinzana,afungiwe booster imdaidie kutenda smart,

  • @ERNESTSuleiman
    @ERNESTSuleiman Před měsícem +5

    Nina kuelewa kamanda,hawa watu wana mioyo migumu sana

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v Před měsícem +4

    Change si mwizi huyo

  • @DavidMutiba-hr3vo
    @DavidMutiba-hr3vo Před 22 dny

    Mbowe si professor km kabudi lakini yuko wima zaidi.

  • @samsonkatigiri2344
    @samsonkatigiri2344 Před měsícem +4

    Huyu mzee kabudi tangu aliposema katolewa jalalani basi hana kitu tena cha kusaidia Taifa,hata kwenye midahalo asialikwe tena,hata mzee chenge nae hamna kitu ni ubabe tu,mbowe anajua mambo ndo maana hababaiki,katulia sana big up comrade mbowe

  • @RahmaJohn-yu3ni
    @RahmaJohn-yu3ni Před měsícem

    Chadema

  • @bonifacedanielmwakisunga9638

    Professor kabudi ukweli anajua ila sababu ya chama lazima ageuke elimi yake anaweka pembeni kujifanya mjinga alafu historia Leo atuitaki tunataka hoja ya katiba mpya Ili kuondoka migogoro iliyopo

  • @willykomba8376
    @willykomba8376 Před 28 dny

    Well Said gentleman keep it up ❤

  • @muhsinissa7081
    @muhsinissa7081 Před měsícem

    Hongera mbowe umesema sahihi

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Před měsícem +2

    Kichwa kabisa huyu jamaa,nAAMINI KABISa akipewa nchi tuka safety hakika

  • @kingmzebez7786
    @kingmzebez7786 Před měsícem +1

    Bigup💪💪✌🇹🇿❤📿

  • @fadhilisawe434
    @fadhilisawe434 Před 28 dny

    Ila mnakula Bata asee hiyo sofa baba lazima uongee point

  • @RaphaelMachinda-ih5we
    @RaphaelMachinda-ih5we Před měsícem +3

    Huku wanaoenda kuhakiki ni maccm

  • @HarunaSaidi-lb8oe
    @HarunaSaidi-lb8oe Před 26 dny

    Mbowe nademokrasi wapi na wapi!

  • @henrymntangi7783
    @henrymntangi7783 Před měsícem

    na ndio maana ccm na watu wake ipo siku watalia, kama sio wao watoto, wajukuu au vitukuu vyao. Na tunawajua

  • @RobinsonKilango
    @RobinsonKilango Před 28 dny

    Neno.moja tu haha ccm ninani kama siwezi tafsiri ingine haipo

  • @onelovetz7935
    @onelovetz7935 Před 20 dny

    Nani angekuchagua tuweke picha ya Magufuli na wewe tuandalie nani atashinda

  • @natusmaganyiro442
    @natusmaganyiro442 Před 22 dny

    Mnaweka video mtandao zisizo kamili mnakuwa na maana gani?
    Kwann mnakatakata maneno?
    Huo ni upuuzi!!!!
    Weka hotuba yake yote

  • @user-tn5ym5gd6s
    @user-tn5ym5gd6s Před měsícem

    Good 👍kamanda

  • @user-zr1wl5zk4i
    @user-zr1wl5zk4i Před 23 dny

    Ccm hoi mmemsikia mwamba hyu achani janjajanja mpakanyie

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr Před měsícem

    MNAKERA KWENYE KUWABAGUA WATU...MNATURUDISHA NYUMA SANA SANA SANA...MNAWAFARAKANOSHA WA TZ...INASIKITISHA SANA SANA

  • @rabsonchisumo6640
    @rabsonchisumo6640 Před 24 dny

    Ccm ni wabaya sana

  • @akaumbo9433
    @akaumbo9433 Před 28 dny

    True Mbowe

  • @fanuelnary4579
    @fanuelnary4579 Před měsícem

    Ambaye hakuelewi kamandaa huyo kukataaa

  • @kabaly18
    @kabaly18 Před měsícem +6

    huyu jamaa ni kiongozi kweli kweli

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke Před měsícem +1

    Madam president tunataka kuona Tanzania iliyo bora na katiba mpya

  • @JosephatMnyawi
    @JosephatMnyawi Před měsícem

    Kwel haki ni zro ccm ndo tanzania dola ccm serikali ccm mgambo ccm baloz ccm mwekiti ccm mkuu wa willya ccm mkuu wa mkoa ccm je mwanaichi mnyonge anakua nann kama sekta zote zmekamatwa ccm

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor3569 Před 27 dny

    Wewe bado unangangania uwe mbele tu wape wengine wakae wewe umechoka

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg Před měsícem

    Na kwa taarifa yenu nyie wadau wa mjadala huo uchaguzi mwaka huu na wa mwakani wapiga kura watakuwa wachache sana na sababu ya msingi ni hii 90% ya watanzania wanaamini rais lazima atoke ccm sasa ccm imeshajinadi kuwa mgombea wao ni mtu anaitwa samia suluhu hasan ambaye watu wote ambao hawapo kwenye uongozi na utawala either wa serikali au wa kisiasa hasa ccm hawamtaki samia

  • @davidkiswaga4453
    @davidkiswaga4453 Před 28 dny

    Kwa kawaida kila mtu huvutia upende wake mm niliamin kwa vijana wasomi na wenye akili nilitegemea wataanza kupritand swala la uwajibikaji kwa vitendo huwezi kumsifia ati mtu ni mwenyekiti zaid ya miaka kumi na tano yeye tu halafu anataka democracy ambayo yy mwenyewe hawez kuithibitisha kwa mm uelewa wangu hata kama ni mdogo kias gani huwez kusema mwenzako aache wizi wakati ww unaendelea kuiba.

    • @masagaemmanuel1629
      @masagaemmanuel1629 Před 28 dny

      Wewe unachoandika unakielewa? Chama hakija-achieve, you are talking about regular change of leaders?

  • @user-cq8lq7mb1k
    @user-cq8lq7mb1k Před měsícem +4

    Mbowe unafaa kuwa raisi mwamba wa wabusara

  • @RobinsonKilango
    @RobinsonKilango Před 28 dny

    Kwani MUNGU wa manabiii hapa tanganyika hata kazi.yeyote juu ya malalamiko haya tuungane kupiga hii babironi ili rugha yao iyendelee kuchafuliwa atokee mtu katikati. yao awapige kama magufuri alivyo wachafua roho za wenye haki na uwepo wa. wenye nia mbaya ndani ya nchi hii ninyi mitume mana bii wachungaji mashekhe watu wa haki mlio wekwa ndani ya hili taifa mko wapi je? hamuoni huu ushenzi wizi raghai uwongo kiburi zarau jeuri mauwaji utesaji bila woga ninyi hamuoni hii inchi imeibiwa na iko mikononi mwa watu ambao sio salama na damu zao MUNGU atazidai mikononi mwenu asomae na afahamu