MBOWE YAMSHINDA AMPINGA KABUDI MBELE YA HALAIKI ''HATUWEZI JADILI MAMBO YALE YALE KWA MIAKA 30''....
Vložit
- čas přidán 7. 05. 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►CZcams: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Great man,,,,,hapo kaongea MTU na nusu,,,,unaona MTU aliyejiandaa na anayejua,,,,,,
Hope message sent and delivered,
Mbowe mungu akupe neema ya maisha marefu inaongea maono makubwa kwenye taifa
Mhe Mbowe umegusia mambo muhimu sana ingawaje kwa kifupi lakini ndiyo moyo wa demokrasia na Maendeleo ya nchi yetu. Hongera sana. Kubadili jina la Tume ya uchaguzi bila kugusa composition yake ni ubatili. Daftari la wapiga kura ni muhimu. Mabadiriko ya katiba ilingane na marekebisho yaliyofanywa ni muhimu. Nimesikitika kumuona Mhe Kinana haoni na kuyabeza madai ya CDM kwamba si muhimu ingawaje body language yake ktk kikao Cha Juzi inaonesha kujua ukweli. Tunahitaji tujenge nchi hii kwa ajili ya vizazi vijavyo. Let us be serious and use the present period positively. Mungu fungua macho na mioyo yetu.
Mbowe you are my future president
That idiot isn't a presidential material
Mnaota Urais
Mbowe mungu aendelee kukupa afya njema,mungu amekupa busara kubwa santa
Mungu akubaliki sana
Baba mbowe Mungu akupe maisha marefu
Umeongea vizuri mno. Sipendi siasa, siamini katika kiongozi mweusi sababu ya roho mbaya na ubinafsi uliopitika mpaka. Lakini umeongea kwa mpangilio mzuri na points hata Lipumba nimeona ameshika note book na pen ana note points.
Mr president,,, mbowe wewe ni mtu muhimu sana ktk taifa letu I sure one day utakamata kijiti Tz🇹🇿✌️✌️✌️
HONGERA SANA MBOWE
Mbowe ni Legendary 🔥🔥🔥
😂
Ukiona mtu yuko ccm hata kama ni baba YAKO jua huyo mtu ni shetani alievaa sura ya binadamu wataenda kujibu Mbele za Mungu
Hakika kabisa ulichoongea ni shetani tu wanaojali maslahi Yao
Siyo kweli magufuri / polepole kina makonda/ mpina nawengine wengi wako pouwa ata samia yuko sawa biteko/jafo/majariwa/mpango yani wapo wengi kishimba na MIMI 😅😅😅😅
Wote wale wale kuanzia huyo maguful na hao wengine
Nafikiri hata wew mwenyew ni mmojawapo wa hao mashetani maana umezaliwa mule mule...na umekulia mule mule....
Daima kumbuka siasa ni sayansi..hakuna mwanasiasa mzuri ..anayetumia maneno mataamu leo ..kesho yake anakunyonga...kwaiyo hakuna wa kumtetea awe chadema au popote
Ndiomana maccm wanatamani leo kesho Mbowe aachie uwenyekiti Chadema ili wafanye yao waishushe Chadema kama walivyoishusha CUF lkn wasubiri kwanza ataachia tu mbona wao walitaka Raisi wa awamu flan awe wa milele wakae kwakutulia tu huyu bado yupo sana tu Mbowe Mungu akuongoze akulinde akubariki uhai mlefu na afya njema✌️👏👏
Hata yeye hataishi milele boss. Hata kama uwe mzuri kiasi gani, muda wako utaisha tu.
@@TM.Sullusi Hakuna anaekataa hilo wote tunapita ila Mbowe atakuwa kioo kwa wengine kwa miaka hiyo atakayotumikia atakaekuja atakuwa mkakamavu asitishwe na kufungwa jera asitishwe na kupigwa adi kuumizwa miguu ajue uongozi hautofautiani na uongozi wa nyumbani kwake ataumia akiwa kazini atasemwa akiwa kazini atanyanyaswa akiwa kazini atafitinishwa ili kuonekana mbaya kazini lkn hatorudi nyuma akijua nyuma nina familia huku akimuona Mungu amvushe salama kwenye majaribu mbali lkn sio kuiuza familia yake au kuikimbia familia yake nadhani kama mwepesi kuelewa maana yangu kuu utakuwa umeielewa vyema kbs
@@TM.Sullusi Nalijua hilo kbs hakuna atakae ishi milele sijakataa hilo kbs ila maana yangu kwa mapitio anayopitia Mbowe kuna cha kujifunza kwa watakaochukua kijiti chake cha uwenyekiti sio mtu wa tamaa ya hela wala uoga hatakiwi kwenye kiti cha uwenyekiti hapo Mbowe iwe shule kwa wale wanaotaka kuwania huko mbeleni nadhani umenielewa maana yangu sasa
Mbowe mungu akulinde unalipigania taifa sana sanakwafaida yetu tusio jua haki zetu tunakuombea kwa mungu akulinde naakipe maisha marefu uwepo wako nifahari kwataifa letu wanyonge
One of the big brains in the nation
Kiongozi wa viongozi Tanzania hongera sana mbowe wenye akili tunakuelewa lakini mazuzu yatakuelewa siku hauko na sisi tena tunakuombea Mungu akuweke
Hali ya ccm nisawa na mchawi anae Kula nyama ya mtoto wake ccm awafai kabisa kubasa wanauza asilimali zetu bila lizaa ya watanzania atuna bunge Wala viongozi wenye huruma na inchii ccm fekeni kabisa Tena ccm nikichefuchefu safari hii tunazaa na nyiye
Haki haiombwi ukijua nihaki yako chukua safalihii hakuna kucheka nao
Kwa muujiza gani ndugu maana ccm wana uhakika wa kushinda kupitia goli la mkono
Alafu kujadili na shetani Mambo ya ufalme WA mungu ni kupoteza muda. Ma CCM ni mashetani ya Taifa hili
Ukweli na uhakika Freeman god bless you my future president 25
Tujifunze kupitia Kenya,Inaongozwa na upinzani,pia tujifunze kupitia marekani Inaongozwa na upinzani sisi tunawazidi Nini hao
Kenya aiongozwi na mpinzani Ruto ndiye alikuwa mwenyekiti wa vijana KANU mpinzani ni Raila ondiga tu. Na atabaki hivyo ni mpinzani siku zote
Upinzani wa Bongo una upinzani ndani Ya upinzani kabla hata hawaja pambana na chama tawala.
Mbowe maneno yake ni mazuri sana ila yeye matendo mengine
Ukiona mtu Yuko CCM kama ni baba Yako au mama Yako ni sawa Yuko kwenye tanuru la moto ya jehenam
Hahahahaha Jehanamu ipo hapa duniani .
Kaka mbowe uko sahihi wenye akili timamu watakuelewa hii ni sauti ya mtu aliaye nyikani
mpangilio wa mawazo yako unazidi hadi watu ambao wajiita maproffessa hongera sana Mbowe MUNGU akulinde uzidii kuisemea Tanganyika
Mbowe safiiii sana sarurt mzee
Mbowe ana kuaga kiongozi kbs
Ongea Mbowe.unaeleweka
Safi sana mwamba
Pole sana,wengine tulishakata tamaa,hatuoni CCM ikiondoka.kwa amani,tunachohofia watu wakichoka itakuaje je watatuwac 14:05 14:05 ha na vita au wataondoka nchi ikiwa imeungana kama nchi zilizoendelea,i hope watakubali katiba mpya yenye kuruhusu uchaguzi huru na haki,na sisi wananchi tuweze juiwajibisha chama kama haitatekeleza ahadi,kama nilivyo sema mwanzo nimekata tamaa na naomba mungu awape CCM maono ya kuelewa Tanzania ni ya wananchi na wanamaamuzi ya kuchagua wamtakae.
Ukweli mtupu..."cosmetic changes" badala ya kubadilisha composition ya tume unabadilisha jina la tume....!
Bigger up 👏👏👏
Genius man
Big up Mbowe
Kweli mzee
Mungu ibarik tz
mboe nikichwa sana huyu jamaa yani
Well said,We need leaders of this kind Blessings Mbowe.
Sweet recommendations, uko vzr!
Huyu jamaa smart sana, Big up Mbowe
Asnt mbowe mungu akulinde ipo ck tutashinda kwa jina la yesu
Safi Mbowe
Ww baba mm ingekuwa uwezo wangu ningekupeleka peponi yani unaakili mpaka manyanga'u wanakuogopa
HII TUNAITA NI, PRECISE AT A POINT!
Mbowe hongera San
Kama sijamaliza kusikiliza anayesema mbowe.....mwaka 2005 alikodiwa helkopta na kuwekea mafuta ili kupunguzu nguvu iliyokuwepo Cuf enzi hinzo chini ya Lipumba
Hii nch ain demokrasia ujanja ujanja....wapinzani na watawala ndio walewale
Mungu akulinde san
Wewe ni Kiongozi hakika
Ushauri wangu chadema wote ingien ccm mlaluane humohumo alafu mtengeneze makundi mmpitishe mmoja mnaemwamini kw tket hiyo ya ccm akiingia ikuru ajenda ya kwanza kwake iwe KATIBA MPYA
Akili ndogo inaongoza akili kubwa
Daaa awa ccm aise mbowe uko vizuri kama ccm wanayofanya wako Sawa mbona wanaigopa kuacha uchaguzi uwe huru
Unaye taka Lisu aongee kama Mbowe unakosea, yapo mambo Mbowe anaweza kuyaongelea na kuna mambo Lissu anaweza kuyaongelea, ni bahati kwamba chadema ina hazina hizo muhimu kwa taifa.
Umewajibu vizuri kaka
Kwan chadema wanataka nn mbona imekuwa chama Cha kulalamika ,lawama Kila wakati mara tunaumiswa,mara katiba ibadilishwe mara iboreshwe kupiga kura mpaka lini?
Kwa maoni yangu, na nilivyofuatilia mijadala mbali mbali ya namna hii, Uchaguzi Uahirishwe kwa mwaka mmoja na Nusu, ili kwanza ama katiba hasa ile ya TUME ya WARIOBA, au ma badiliko makubwa yafanywe kwenye katiba hii ya 1977,ingawa kwangu ni kupoteza fedha kurepea katiba. RASIMU YA KATIBA YA TUME YA WARIOBA NDIYO IFANYIWE MA ONGEZEKO KIDOGO. NA KISHA TUIPITISHE KUWA KATIBA MPYA.
Mr president
Mboe uenyekiti wa Chama taifa tunakukabidhi labuda mungu achukue uhai wako.kukabiliana na Hawa mabwana wakubwa bila wewe nikazi kweli kweli akija mtu mwingine anazimwa chapu na vijisent
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mwl Nyerere alisema ukila nyama ya mtu huachi CCM walikula nyama ya mtu 2019/20 hawawezi acha 2024/25 itakuwa ni upuuuzi wa kiwango cha juu kwaamini kuwa watabadilika
Ameongea kwa hisia sanaaa
Laisi wetu mtarajiwa huyo
Mheshimiwa Mbowe ni akili kubwa. Anaeleweka na pia ana uwezo wa kujenga hoja
Mbowe busara kubwa sana huyu jamaa
Hivi wasomiwetu elimuyao inafaidagani kwataifahili? Kabudi chenge nawenginewote walisoma kwaajiliya matumboyao tuu?
Ikiwa vyama vya upinzani havitajiunga na kuwa chama kimoja, yaani vibaki Ukawa na ccm tu wapambane, hata iwe miaka 1000 ijayo wapinzani hawatakaaa kamwe wakaipindua ccm. Wamlaaumu aliyevunja ukawa.
Marefa wanaolipwa kutokana na idadi ya magoli watapiga penalti nyingi nyingi hata makosa ya katikati ya uwanja yatakuwa penalti
Umeonge mambo ya maana sana mzee wangu ni ukweli mtupu
Kwa nini kila kitu chetu tunapenda kushirikisha wazungu wakati wao sio kila jambo lao hutushirikisha? Waafrika tujihoji sana tu. Sio ufahari Afrika tujihoji .
Ukweli mtupu
Ccm haijawahi kuwa na chaguzi huru, na mwanadamu usimuamini
Na kuku Bali sana kiongoz wangu mbowe mungu akupe maisha malefu
Nashauri kuwepo na tume maalum ya ajira inayohusu sera na utawala Bora na uchumi enelevu wa maaedeleo na siasa huru ndani ya taifa,ambapo mfumo huu utajitegemea bila kuingiliwa Na selikali au utashi wa chama chochote,watatumia miongozo na katiba ya wananchi ya nchi husika Kwa kuweka sera za uchaguzi zitakazopitishwa na wananchi Kwa kupima wagombea kulingana na dira ya taifa ya maendeleo ktk sekta zote,ambapo mgombea atatakiwa kupitishwa kulingana na uwezo wake wa kuongoza nchi pili atimize vipaumbele vya wanachi bila visingizio tatu awe tayari kufungiwa mfumo kiintelijensiamwilini mwake amba o utakuwa unatoa taarifa zake zote nzuri mbaya na hata uwezo wake ukishuka ahiari kuachia nafasi Kwa kiongozi mwingine kuendelea hata kama miaka mitano haijaisha nne acngatuke madarakani asipoweza kukidhi haja za wananchi,achie ngazi kama watumishi wengine wanavyochukuliwa hatua,tano tume ya ajira ya siasa nchini itakuwa ndo yenye wajibu wa kumchukulia hatua za kinidhamu na kumwajibisha pindi anapokiuka sera kanuni miongozo sheria na katiba za nchi husika au taifa,pindi ameshika hatamu,mifumo ya kiitelijensia itafunguliwa Siri zake zitatoa majibu yote naye atastaafu kama mtaafu mwingine,hii itasaidia Sana bara la afrika viongozi kulewa na madaraka na kushindwa kuchukuliwa hatua naye atapimwa na tume ya ajira yasiasa na kuchukuliwa hatua za kinidhamu pale inapotokea kakiuka taratibu za nchi,tume ya siasa ya taifa itakuwa ndo inawajibu wa kuwapima viongozi wa vyama vya siasa work performance appraisal report,ambayo itasimamiwa na viongozi wabobezi ktk ufanyaji wa tathimini ngazi za kimataifa na kitaifa wataunda ,monitoring and evaluation (,national and international )guideline,standard,appraisal statistics on economic ,living standardandnational sustainability,team work,on good policy govenance ,katiba itakuwa sehemu ya nyongeza ,mfano huu nimeshauri Kwa sababu nchi imetoka analogy to digital watendaji na viongozi wapo analogy kiakili, na matendo kidijitali hapa vinakinzana,afungiwe booster imdaidie kutenda smart,
Nina kuelewa kamanda,hawa watu wana mioyo migumu sana
Change si mwizi huyo
Mbowe si professor km kabudi lakini yuko wima zaidi.
Huyu mzee kabudi tangu aliposema katolewa jalalani basi hana kitu tena cha kusaidia Taifa,hata kwenye midahalo asialikwe tena,hata mzee chenge nae hamna kitu ni ubabe tu,mbowe anajua mambo ndo maana hababaiki,katulia sana big up comrade mbowe
Chadema
Professor kabudi ukweli anajua ila sababu ya chama lazima ageuke elimi yake anaweka pembeni kujifanya mjinga alafu historia Leo atuitaki tunataka hoja ya katiba mpya Ili kuondoka migogoro iliyopo
Well Said gentleman keep it up ❤
Hongera mbowe umesema sahihi
Kichwa kabisa huyu jamaa,nAAMINI KABISa akipewa nchi tuka safety hakika
Bigup💪💪✌🇹🇿❤📿
Ila mnakula Bata asee hiyo sofa baba lazima uongee point
Huku wanaoenda kuhakiki ni maccm
Mbowe nademokrasi wapi na wapi!
na ndio maana ccm na watu wake ipo siku watalia, kama sio wao watoto, wajukuu au vitukuu vyao. Na tunawajua
Neno.moja tu haha ccm ninani kama siwezi tafsiri ingine haipo
Nani angekuchagua tuweke picha ya Magufuli na wewe tuandalie nani atashinda
Mnaweka video mtandao zisizo kamili mnakuwa na maana gani?
Kwann mnakatakata maneno?
Huo ni upuuzi!!!!
Weka hotuba yake yote
Good 👍kamanda
Ccm hoi mmemsikia mwamba hyu achani janjajanja mpakanyie
MNAKERA KWENYE KUWABAGUA WATU...MNATURUDISHA NYUMA SANA SANA SANA...MNAWAFARAKANOSHA WA TZ...INASIKITISHA SANA SANA
Akili mgando sana hiyo ni kwa sababu ya uchawa
Ccm ni wabaya sana
True Mbowe
Ambaye hakuelewi kamandaa huyo kukataaa
huyu jamaa ni kiongozi kweli kweli
Madam president tunataka kuona Tanzania iliyo bora na katiba mpya
Kwel haki ni zro ccm ndo tanzania dola ccm serikali ccm mgambo ccm baloz ccm mwekiti ccm mkuu wa willya ccm mkuu wa mkoa ccm je mwanaichi mnyonge anakua nann kama sekta zote zmekamatwa ccm
Wewe bado unangangania uwe mbele tu wape wengine wakae wewe umechoka
Na kwa taarifa yenu nyie wadau wa mjadala huo uchaguzi mwaka huu na wa mwakani wapiga kura watakuwa wachache sana na sababu ya msingi ni hii 90% ya watanzania wanaamini rais lazima atoke ccm sasa ccm imeshajinadi kuwa mgombea wao ni mtu anaitwa samia suluhu hasan ambaye watu wote ambao hawapo kwenye uongozi na utawala either wa serikali au wa kisiasa hasa ccm hawamtaki samia
Kwa kawaida kila mtu huvutia upende wake mm niliamin kwa vijana wasomi na wenye akili nilitegemea wataanza kupritand swala la uwajibikaji kwa vitendo huwezi kumsifia ati mtu ni mwenyekiti zaid ya miaka kumi na tano yeye tu halafu anataka democracy ambayo yy mwenyewe hawez kuithibitisha kwa mm uelewa wangu hata kama ni mdogo kias gani huwez kusema mwenzako aache wizi wakati ww unaendelea kuiba.
Wewe unachoandika unakielewa? Chama hakija-achieve, you are talking about regular change of leaders?
Mbowe unafaa kuwa raisi mwamba wa wabusara
Kwani MUNGU wa manabiii hapa tanganyika hata kazi.yeyote juu ya malalamiko haya tuungane kupiga hii babironi ili rugha yao iyendelee kuchafuliwa atokee mtu katikati. yao awapige kama magufuri alivyo wachafua roho za wenye haki na uwepo wa. wenye nia mbaya ndani ya nchi hii ninyi mitume mana bii wachungaji mashekhe watu wa haki mlio wekwa ndani ya hili taifa mko wapi je? hamuoni huu ushenzi wizi raghai uwongo kiburi zarau jeuri mauwaji utesaji bila woga ninyi hamuoni hii inchi imeibiwa na iko mikononi mwa watu ambao sio salama na damu zao MUNGU atazidai mikononi mwenu asomae na afahamu