ASKOFU MWANAMAPINDUZI AIBUA MAZITO JUU YA GARI YA LISSU KUWEKWA MAKUMBUSHO "INATURUDISHA NYUMA SANA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 05. 2024
  • ASKOFU MWANAMAPINDUZI AIBUA MAZITO JUU YA GARI YA LISSU KUWEKWA MAKUMBUSHO "INATURUDISHA NYUMA SANA"
    🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 767 400402)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

Komentáře • 36

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 Před měsícem +4

    Anapendwa kweli, hata mimi nampenda. Utu wake, uaminifu wake, taaluma yake na misimamo yake. Ni jasiri hapendi rushwa. Mungu ambariki sana .

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před měsícem +5

    UKITAKA KUMHOJI HUYU ASKOFU MWANAMAPINDUZI UJIPANGE 👏🏼👏🏼

    • @rogersiddy
      @rogersiddy Před měsícem +1

      Kbs hayupo kizembe zembe anajiamini anajielewa sana hana hofu kbs

  • @essaumapunda5766
    @essaumapunda5766 Před měsícem +5

    Big up Mtumishi wa Mungu

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc Před měsícem +5

    Mungu awalinde woooote wanao tetea haki kwa wananchi,,,,,❤

  • @jumajukikoti8133
    @jumajukikoti8133 Před měsícem +5

    Mchungaji unajua sana Mungu akubariki sana

  • @williammwamalanga1065
    @williammwamalanga1065 Před měsícem +8

    Hiyo itembezwe kila kijiji cha Tanganyika ili watanzania waione

  • @user-le7ek2zs4t
    @user-le7ek2zs4t Před měsícem +1

    Uko sahihi baba Mungu akubariki haki haishindwi

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq Před měsícem +4

    Na tutachangia mara dufu asingekuwa yeye hata swala la bandari,,wamasai kufukuzwa na aridhi ya watanganyika kupewa wageni ametuonesha anavyotenda haki hata ukipigwa sim anapokea tofauti na wale viongozi walivimba vichwa lisu oyeeeeeee

  • @user-sz6ht5wm2g
    @user-sz6ht5wm2g Před měsícem +1

    Upo sawa mtumishi wa Mungu

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq Před měsícem +3

    Huyu lisu anafaa kuwa rais maana anasifa kwanza ni mwanasheria tofauti na wale wanabatizwa doctor huku hamna

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo3983 Před měsícem +7

    Mwanamapinduzi kiukwel huwa unajua kufafanua na kujibu maswali ya waandishi wa habar, wewe ni lulu katika nchi.

  • @drsumatz7539
    @drsumatz7539 Před měsícem +3

    Nachangia tena

  • @AbhaiyaAbhaiya
    @AbhaiyaAbhaiya Před měsícem

    Kweli kabisa

  • @dillonfoya
    @dillonfoya Před 10 dny

    Tulimwomba Mh. Aweke Hilo gari kwenye makumbusho si kwamba CDM hawawezi kumpa gari ila kwa mahaba makubwa ni haki tuonyeshe kuwa tunaweza nasi kumpatia gari na lile waje Watoto na wajukuu waje waone ulivyokuwa katika kufikisha Tanzania ilipo

  • @knight6757
    @knight6757 Před měsícem

    🚘

  • @daudimaembe3360
    @daudimaembe3360 Před měsícem

    🚗🚗🚗🚗🚗

  • @abdallavictory6723
    @abdallavictory6723 Před měsícem

    Unaposema alikuwa anapigania Uhuru sikuelewi, au Unadhiaki Waliopigania na kudai Uhuru,

  • @user-xi2mf4xh7r
    @user-xi2mf4xh7r Před měsícem +1

    Ndio shida
    Mtumishi wa Mungu, Mungu akubariki kwa maelezo yako mazuri.

  • @nixonjohnson4908
    @nixonjohnson4908 Před měsícem

    Naombeni namba za mchango wangu 5000 jamani nipeni namba tu

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw Před měsícem

    Yani wale jamaa walompiga risasi ni wapumbav sana wamemkosaje huyu lisu wangemmaliza tu tukapumzika

    • @nixonjohnson4908
      @nixonjohnson4908 Před měsícem

      Pumzika kama wenzako subiri muda si mrefu maana mungu anatenda..

  • @user-we5px7gp2r
    @user-we5px7gp2r Před měsícem +1

    Anayetukana Hana hoja na kama unafurahia kumwaga damu ya nduguyo wewe ni mfuasi wa shetani na kama ni hivyo umeshaandaa makao yako na shetani ndiye mwenyeji wako.

  • @user-jd5ru7dr2r
    @user-jd5ru7dr2r Před měsícem

    Mchunģaj wa mbuz

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 Před měsícem

    Na ninyi waandishi feki cjui hamna kazi zingine za kufanya? Washenzi kabisa labda nchi ya mkeo ndyo ilipita kwenye hilo bonde kwenda zako mbwa ww

    • @ULUMBIADAM
      @ULUMBIADAM Před měsícem

      K Yako ya nyuma

    • @Nedjadist
      @Nedjadist Před měsícem +2

      Watanzania kwa nini si wastaarabu, ni ukosefu wa elimu nini? Haya mambo mmeyavaa tu bilaya kuwa na masomo wala ufahamu. Umeandika matusi hapa, wajua yatadumu zaidi ya miaka 100 ijayo? Mwenyezi Mungu atakuwa anakuandikia madhambi ya matusi kwa muda wote huo! Wamtukana mtu bila sababu, jamani!

    • @deogratiustweve2611
      @deogratiustweve2611 Před měsícem

      Hivisisi bnadam tumeumbwaje

    • @usembiphonedar5632
      @usembiphonedar5632 Před měsícem +3

      Najaribu kukutafakari sana sababu ya kumtukana huyo mwandishi nimeshindwa kukuelewa! Ila nahisi hauko sawa kichwani! Afya yako ya akili haiko sawa! Pia yawezekana kichwani kuna kinyesi badala ya akili! Hovyoooo!

    • @humphreymkony8915
      @humphreymkony8915 Před měsícem

      Ndogoro godoro dugu moja😢

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před měsícem +2

    Mi nimeshachanga na nitachanga Tena na tena