UPENDO PENEZA AFUNGUKA/ RUSHWA YA NGONO/ HALIMA MDEE NA MBOWE/ NJAA IMEKUPELEKA CCM?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 05. 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #Dar24 #Dar24Media

Komentáře • 287

  • @jonathansirkintungi7434
    @jonathansirkintungi7434 Před měsícem +7

    We dada unatafuta vyeo kijinga kwanini hukusema ukiwa huko. Nashangaa unaitwa mwanasiasa sijui kwa kigezo kipi. Hii ndio tz

  • @salinjason
    @salinjason Před měsícem +8

    Huo ni mwisho wako wa kisiasa huna mvuto tena jitafakari

  • @ROBERT75376
    @ROBERT75376 Před měsícem +2

    Najua kuwa ni haki yako ya kikatiba ila, ukweli fahamu tu kuwa, wapo vijana wengi walikuwa wanakutazama wewe na kujifunza mengi. Tunatamani ungepambana na rushwa hukohuko CHADEMA. Kuhama kipindi hiki ambacho shutuma kama hizo ziko kila upande inatoa nafasi kwa baadhi kukufikiria vibaya pia. Lakini mwisho wa yote, kila la heri huko, usisahau kupigania haki uliyokua unapigania ulikokua.

  • @eliaskangabo779
    @eliaskangabo779 Před měsícem +3

    Uchaguzi unakaribia unatafuta fursa siku zote ulikuwa wapi?

  • @dennisrwelamira1259
    @dennisrwelamira1259 Před měsícem +3

    Mbona Upendo Peneza anakimbia maswali kwa kutoa majibu yasiyo sahihi

    • @abbiecox1
      @abbiecox1 Před 14 dny

      muombe mtangazaji aje akuhoji wewe umpe majibu uyatakayo

  • @user-xy7eu6ev6c
    @user-xy7eu6ev6c Před měsícem +2

    Anatoa hoja bila ushahidi mf:athibitishe palipofanyika rushwa.Mwandishi mpigie Mbowe simu athibitishe kama aliwahi kupewa ushauri .

  • @faustinebahenobi3412
    @faustinebahenobi3412 Před měsícem +3

    Duhuuuuu!! Ila sisa bhan yaani uyu dada upendo nlikuwa namkubali ss ndo anakwenda kupotea kabisa na ukimskiliza anavyo jibu ni hopless hana majibu sahihi njaa mbayasan

  • @dulasaid2581
    @dulasaid2581 Před měsícem +3

    Kwa bahati mbaya na masikitiko Chadema haina pesa za kuhonga. Wasaka Tonge kama huyu watajitokeza wengi.

  • @francomwalutende7864
    @francomwalutende7864 Před měsícem +2

    Peneza uwezo wake wa kujibu hoja ni mdogo sana, hawezi kujenga hoja wala kuchanganua hoja

  • @KJHusseinKJ
    @KJHusseinKJ Před měsícem +2

    Mi nilifikiri Delilah alikua yule m'moja tu mke wa Samsoni kipindi kile.... kumbe hata leo yupo mwengine tz

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Před měsícem +4

    Usimwamini mwanamke hata sikumoja huyu wa ngapi

  • @benardsamizi-qo4yp
    @benardsamizi-qo4yp Před měsícem +5

    Tulizoea kuona wasariti wanaume kumbe hata wanawake wapo??? Subiri uteuliweeee!!!

    • @user-fr7jj1bo7y
      @user-fr7jj1bo7y Před měsícem

      alisema CCM wameniibia kura mwaka 2020, CCM ni mafisadi na wala rushwa sasa nimeamua kujiunga na wezi wa kura, mafisadi na wala rushwa naombeni cdm mjirekebishe msaliti mkubwa anazunguka mbuyu baada ya kukosa ubunge mwaka 2020 na njaa imeanza ingia kichwani sasa hata kufikiri ni shida kutokea tumboni. serikali ya CCM lini imejisafisha na uwizi na ufisadi wa mali za umma umesoma kweli ripoti za CAG?? Nenda uko ukajaze tumbo lako msaliti mkubwa wewe..

    • @godwinshoo5032
      @godwinshoo5032 Před měsícem

      Kuhama chadema ni usaliti na kuhama CCM ni ushujaa!!! Hayo ni maneno ya wanachadema waliofilisika kifikra na kisiasa!

    • @DeogratiusAndrew-zi7zv
      @DeogratiusAndrew-zi7zv Před měsícem

      Tena wasaliti wa kike niwabaya kuliko shetani, mke wa Ayubu ana mwambia Ayubu mkufuru Mungu ili ufe unafikiri alimuinea huruma kwa mateso ya mumewe, kumbe kuliwa na mpango afe Ayubu ili aolewe na wale wasaliti wa Ayubu, au marafiki wa Ayubu, Huyo niwaku muangalia nje ya box,

  • @mohamoudali8652
    @mohamoudali8652 Před měsícem +2

    Halafu huyu dada kajichubua kishenzi. Maskini ana tatizo la kutokujiamini.

  • @comsmkemwa2671
    @comsmkemwa2671 Před měsícem +1

    Tamaa tu, huko ccm ndio kumeoza na hutoongea chochote wenzio wamepotelea kabisa huko.

  • @ezekielmirambo8704
    @ezekielmirambo8704 Před měsícem +3

    Can we call this political prostitution?

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm Před měsícem

      Kabisa, ni malayamalaya bila kumung’unya.

  • @brendangabriel1643
    @brendangabriel1643 Před měsícem +2

    Pendo, ni kweli ccm imekuwa takatifu mbele yako kwa maovu yake yote wizi, dhuluma, kuteka na kuua w/nchi wake, rushwa, kutowajibika kwa ye yote(ripoti ya CAG) maisha magumu kwa w/nchi, kuuza mali ya umma, kuikanyaga katiba nk. Umeshindwa kuchukia haya, unahangaika kuinanga CDM ambayo haina baya kwa umma. Wewe unaiwekea uovu hafifu wa kutunga ili kuhalalisha njaa zako za kutafuta uteuzi.
    Kushutumiana viongozi sio malaika, ni njia ya kukemea rushwa wazi wazi inayotoka nje ya CDM. Pesa ya rushwa siku zote inatoka ccm. Ccm ni mtoaji mzuri wa rushwa, hilo huwezi kulikemea, ila unahangaika na Cdm wanaokemea hadharani, wewe unaita kushutumiana.
    Ninyi waganga njaa, kuweni kama Lowassa hakutunga wala kunanga Cdm.
    Pendo, epuka interviews hizi zinakuvua nguo bila kujijua kwa hoja hafifu mno mpaka hujibu maswali, ila unabaki kujikanyagakanyaga tu. Bora ukae kimya ule vinono ulivyoendea huko ccm.

  • @zat6311
    @zat6311 Před měsícem +2

    Mchanga kisiasa hiyu wala cdm kisihangaike kujibu

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 Před měsícem +3

    Yuda vipande 30 utavitapika

  • @zat6311
    @zat6311 Před měsícem +2

    Makosa sana kuwa na mtu wa aina hii chamani

  • @clemenceparokola
    @clemenceparokola Před měsícem +2

    Mmmm tamaaaa tu

  • @KilonzoJohn-mg7cw
    @KilonzoJohn-mg7cw Před měsícem +2

    Huyo Hana jipya ni kirusi kama wengine waliotoka chadema na kwenda ccm Hana la tofauti ni mchumia tumbo

    • @linusmwanitega4173
      @linusmwanitega4173 Před měsícem

      Yaani ww unapenda mtu aseme mazuri tu kwa chadema ila akisema mazr ya ccm hutaki kusikia. Ila upo sawa maana huwezi kuwa kuunga asiye kuwa wa upande wake.

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza Před měsícem +1

    Maovu ya ccm unayafahamu.mnanunuliwa.kuahidiwa vyeo..ni hongo. Wanaye mwona ni best toka chadema ananunuliwa

  • @mchunguliechibwa198
    @mchunguliechibwa198 Před měsícem +2

    Wewe file lako tutalipata tu,,bure kabisa 😮😮

  • @emmanueltarimo892
    @emmanueltarimo892 Před měsícem +1

    Unayoyakosoa chadema yote yapo ccm.so kuhamia kwako ccm hakuna logic

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s Před měsícem +1

    Yaani wewe pendeza hutaki cdm wanavyofanya mikutano ya kuelimisha wananchi juu ya maofu ya ccm basi wewe ni pandikizi lililokomaa sana ulikua unasubiri update nafasi kubwa ili uumize cdm vizuri Wacha biashara chafu ya siasa huko ulikokimbilia ndo umekufa kisiasa kabisa umebaki na mdomo na sauti mpaka aibu unaoneka usoni mwako

  • @laninjeje8290
    @laninjeje8290 Před měsícem +1

    Huyu dada ni Malaya tu Tena Kuma lake linawashwa ccm amefuata mboo tu hana jipya

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 Před měsícem +1

    Huyu ni Lilith tu aliye msaliti Mungu aliye Muumba awe make was Adam ye akamuacha Adam na kwenda kuolewa na lisifel aliye muasi Muñgu

  • @albertkamala6843
    @albertkamala6843 Před měsícem +1

    >Duuuu...Madam Upendo Peneza..jibu refu sana lisilo mwisho kwa swali rahisi la kutoka CHADEMA kuhamia CCM!
    >Spot on Mtangazaji..kiongozi/mwanasiasa kijana kaporomosha sana hadhi yake kwa kitendo cha kuhama! Mapungufu ndani ya CHADEMA kulinganisha na CCM yaweza kweli kuwa sababu kuhalalisha msukumo kutoka?

    • @henrymmbando5930
      @henrymmbando5930 Před měsícem

      Kwa hiyo CCM ukikutana na changamoto ambazo haziendani nae atahamia kwa Mzee wa Ubwabwa?
      Huyu wala si mwanasiasa. Muda si mrefu mtajionea.

  • @venatusmukungu3340
    @venatusmukungu3340 Před měsícem +3

    Umejiuza kirahisi mno dadangu.

  • @deusdeditsimba4452
    @deusdeditsimba4452 Před měsícem +1

    Naomba MUNGU anipe Uhai mrefu ili niendelee kuyaona na kuyasikia ya Dunia,Maana Wengine tutafika Mbinguni tukiwa TUMECHOKA VIBAYA

  • @user-fe8tx5bo2f
    @user-fe8tx5bo2f Před měsícem +1

    Ww acha huongo tutaona utafika wap tunapigania halakati alafu nyinyi mnatushika miguu Kwa ajili ya matumbo yenu kuna chama kinacho ongoza Kwa lushwa kama ccm.pumbavu kabisa ww

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 Před měsícem +1

    nakuonea Huruma Rudi Chadema moyo wako nakuona unakuuma na unaelewa serikali aifanyi saw Kwa wananchi na unaenda hukohuko watumishi was imma halo ya mishahara haiendani na mabadiliko ya kiuchumi

  • @kelvinkangomba9590
    @kelvinkangomba9590 Před měsícem +1

    Ningefurahi sana Upendo ungekuwa direct zaidi kwenye kujibu maswali. Unaongea mnooo katika maswali yasiyohitaji maneno mengi. Utakuwa mwanasiasa mzuri kama utapunguza maneno mengi na hapa kwenye kuwa na maneno mengi ndipo watu wanaona kuwa hauna hoja yaani unajaribu kuokoteza maneno bila kuwa na data. Unaulizwa kuhusu rushwa wewe badala ya kuja na uthibitisho unaanza kufanya reference kwa maneno ya watu wengine.

    • @henrymmbando5930
      @henrymmbando5930 Před měsícem

      Huyu ana nongwa tu kwa wale Covid 19 kutomweka kundini na alikuwa anajiona ni mwanamke ambae ndani ya cdm alikuwa juu sana. Covid 19 walimtema akaona hana kitu tena. Je huyu angejumuishwa ndani na Mdee je angekataa icovid ??

    • @kelvinkangomba9590
      @kelvinkangomba9590 Před měsícem +1

      Mimi ni muumini wa kuamini kuwa kwenye kila taasisi alimradi inaongozwa na watu basi lazima kuwe na changamoto. Inategemea tu wewe unaamini katika nini . Mimi ni ccm lakini mtu wa aina ya Upendo ni wa kuogopwa sana. Yeye hana anachokipigania zaidi ya maslahi yake. Ninachokiona anataka kujiaminisha kuwa ili upate nafasi ya uteuzi basi uwe mpika majungu kwa upande wa pili. Ni majungu kwasbb sijaona tangia ameanza kuhojiwa na vyombo mbalimbali akitoa hoja zenye ushahidi kuntu ili kuhalalisha malalamiko yake.mtu kama huyu kama hatoweza kupika majungu katika level ya chama basi atapika majungu between individuals ili yeye aonekane msafi. Tunahitaji kizazi jeuri chenye uwezo wa kuhoji na kukosoa kwa hoja na ushahidi lakini sio kama Upendo Peneza. Nawaheshimu sana wanasiasa marehemu Bernard Membe pamoja na Edward Lowasa. Pamoja na kuhama ccm lakini bado walikiheshimu chama na walikuwa makini sana katika kujibu maswali yenye viashiria vya uchonganishi, vivyo hivyo waliporejea ccm kutoka upinzani hukuwasikia wamesema maneno mengi zaidi tu ya kujibu "nimerejea nyumbani". Hivi ndivyo siasa zinavyokuwa.

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 Před měsícem +1

    "Naomba nimalizie"....Stanslaus Lambat mpe mwenzio "amalizie"😂😂😂

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel Před měsícem +1

    Kwa hio my sister hukitoka na CCM,pia utataka watu wakufate huko huliko?.......
    Lakini peneza kama hukikosa huongozi je, hutaendelea na CCM au hulicho fata huko ni huongozi?.....
    Lakini peneza unataka kusema CCM hawaikosei katiba yao?.......
    Na Je,ndani ya CCM hakuna mambo ya Rushwa?.......
    Naona my sister nikama hunajiukumu your self
    Kwa ni huko hulikokwenda wako sahii kuliko kila chamq kina shida zake mi naona peneza
    Ni bora hukanyamaza husizungumze mengi sana maana hayo unayo yazungumza yanaweza kukuludia.

  • @dismasmtui729
    @dismasmtui729 Před měsícem +1

    Huyu dada inaonekana alikuwa na tamaa ya uongozi sana!. Kwa hiyo yeye alitaka CHADEMA kama taasisi wamsikilize yeye?!. Kwa hiyo CCM ndio watakusikiliza?. Bora ungenyamaza kwa sababu unajichanganya zaidi!. Ila ukiwa sebuleni unatakiwa ukae kwa nidhamu kwa sababu ukicheza vibaya hata chakula utanyimwa!!.

  • @zat6311
    @zat6311 Před měsícem +2

    Mwongo huyo utafikiri siyo ke

  • @marwamagere
    @marwamagere Před měsícem +2

    Huyu changu doa Hana jipya upendo peneza unazidi kujivua nguo

    • @user-fr7jj1bo7y
      @user-fr7jj1bo7y Před měsícem +1

      mtangazaji yuko sahihi km angekwenda upinzani lakini tatizo kubwa la Upendo kulalamikia rushwa ndani ya Cdm halafu unakimbilia kwy chama cha mapapa wa rushwa, yaani unakimbia mkojo unakanyaga mavi

  • @henrymmbando5930
    @henrymmbando5930 Před měsícem +1

    Huyu dada mhuni tu, Anaongelea rushwa lakini hana hoja yeyote kuthibitisha.
    Huyu ni kiruka njia tu. Kaona hapati chochote kagilibiwa, kalegea ameamua tu kujivua mwenyewe arudhishe roho yake.
    Hivi huyu dada Kaolewa? Kama ndiyo nashauri mwenza achukua nafasi ya counseling. Huyu kavurugwa.

  • @atupegemwakahesya
    @atupegemwakahesya Před měsícem +1

    Kweli, wengine hawana aibu. Mnarudisha nyuma harakati za kudai haki katika nchi yetu. Mnawavunja moyo wapiganaji halali.

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai Před měsícem +1

    Mama ccm Kuna vijana wengi wametumikia chama kwa maisha Yao yote hao ndio uwape uteuzi sio Hawa wadangaji kwani wewe nani

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga6238 Před měsícem +1

    Nimefurahi umehakikisha kuwa Chadema haikupeleka majina ya wabunge wa viti maalum. Moja baada ya kingine yatajulikana. Mungu yupo

  • @paulowilly7864
    @paulowilly7864 Před měsícem +1

    Damu ya mawazo itakuandama mpaka mwisho ni afadhali viongozi wa chadema wanasema rushwa ndani yachama kumbe Yuko sahihi huko kwenu CCM nani aliwahi kusema rushwa mnasema Kila Moja ale kwa kamba yake

  • @user-qo7uv2zc3g
    @user-qo7uv2zc3g Před měsícem +1

    Dada jitadhmini sana unapotea vibaya mnomno nenda kwenye majukwaa leo ukawaeleze utawafanyia nini ndani ya CCM ambayo imekaa madarakani toka unazaliwa mpaka leo uwapatie maendeleo leo hiii

  • @user-rw5em6lt1j
    @user-rw5em6lt1j Před měsícem +2

    Huyo dada anatatizo la kiakili hivi ccm hakuna rushwa? Hata hiyo rushwa anayoisema ipo cdm hajathibitisha

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir Před měsícem

      Yeye na wewe nani mwenye matatizo kiakili? Wapumbavu kama wewe huwa ni mashoga huko mbele ya maisha

    • @godwinshoo5032
      @godwinshoo5032 Před měsícem

      Aliyesema chadema kuna rushwa ni makamu mwenyekiti wa chadema akiwa Iringa kwenye mkutano wa hadhara!pia mwenyekiti kwenye mkutano wa hadhara wa kwanza alisema kuhusu watu kulamba asali

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz Před měsícem +1

    Huyu mwanamke anaonekana msomi lakini pia ni mchumia tumbo

  • @zat6311
    @zat6311 Před měsícem +2

    Mzigo tu huo

  • @gidongailo7174
    @gidongailo7174 Před měsícem +1

    Rambat nakukubali. Professional

    • @Brunn-mh2bq
      @Brunn-mh2bq Před měsícem

      Mzee hata jina ambalo lmeandikwa hapo unashindwa kuliandika tukueleweje. Huyu ni Lambat bro sio "Rambat" Tatizo nini jamani mbona hivi?

  • @mgungulem3187
    @mgungulem3187 Před měsícem +1

    Hujaelewa kulamba sukari mbowe alimaanisha nini!!
    Hata CCM hawakuwa wanasema kuhusu majadiliano

  • @MdYeasin-xx1gm
    @MdYeasin-xx1gm Před měsícem +1

    akuna kisichokuwa na mapungufu tatizo ww umetoka kw pipa na kuamia dampo afazali unge amia jalalani

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s Před měsícem +1

    Kama hakuna rushwa ngono. CCM hakuna basi hakuna wsnaume. Sehemu yoyote humo maofisini. Vyama vya siasa rushwa ya ngono haikwepeki

  • @modestuslwemigira7188
    @modestuslwemigira7188 Před měsícem +1

    Mbona alisema chadema wanavunja katiba Sasa mbona anatetea kuvunjwa kwa katiba ya CCM. Nafikiri Kala rushwa huyo ni wakuogopa kama ukoma

  • @ishengomanelson
    @ishengomanelson Před měsícem +1

    Inasikitisha sana. Afrika haitawahi kupiga hatua kwa aina ya watu tunaowaita viongozi wetu. These are self-serving fugures ambao wameitesa Afrika. Wananchi tujitambue.

  • @user-fr7jj1bo7y
    @user-fr7jj1bo7y Před měsícem +1

    @Lambert umeniangusha kumto mchallenge suala la Biden kwani Biden aligombea ndani ya democratic na wenzake wengine hakuwa peke yake

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel Před měsícem +1

    Naombeni nafasi ya kumuhoji huyu my Sister
    Natamani kama nitapata nafasi ya kumuoji

  • @PeterJohn-sg4oe
    @PeterJohn-sg4oe Před měsícem +1

    Kwani CCM hawatuhumiani kwa Rushwa?! Sema unataka cheo

  • @SAMSONKAGOSE
    @SAMSONKAGOSE Před 8 dny

    🙏🙏🙏🙏🧑‍🔬🧑‍🔬💓💓💓💓👀👀acheni kebee uzalendo ndo msingi WA taifaletu 1:01:05 tuache kebei amaniuliyo nayo ni CCM utawala bora

  • @ngalamawecheslous9976
    @ngalamawecheslous9976 Před měsícem +1

    Wananch hatukutaki njaaaa inakusumbua umeona kupa ubunge kwa tket ya chadema ni kwa jasho unataka ccm kwa sababu ni mtelezo utagazwe kwa ulizi wa police

  • @FikiriniMwaluko
    @FikiriniMwaluko Před měsícem +1

    Chadema muwe makini na mamluki wanakuja kuwavuruga chama

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d Před měsícem +1

    Acha uwongo mlafi ww chadema waache hata huko hawakupendi kisa umbea walikupa ubunge wa kupewa sema asante endelea kusema uwongo ok

  • @joyceharris2093
    @joyceharris2093 Před měsícem +1

    Hana sababu iliyonyonko iliyomfanya kuamia ccm. Pia anashindwa kujibu maswali anayoulizwa

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel Před měsícem +1

    Au hunaenda kuwachunguza CCM, humetumwa kwenda kufanya investigation

    • @Brunn-mh2bq
      @Brunn-mh2bq Před měsícem

      " Hunaenda" "humetumwa" hicho ni Kiswahili gani? Na ikija kuandika hapa utaandika "apa" Huu ugonjwa gani unawasumbua nyie waTz wa siku hizi? Mmesomea shule za aina gani nyie?😢

  • @marybalya2371
    @marybalya2371 Před měsícem +1

    Wewe Kama uliondoka ya Nini kuendelea kubwabwaja?. Hizo Ni njaa na umalaya unakusumbua.

  • @comsmkemwa2671
    @comsmkemwa2671 Před měsícem +1

    Hakuna chama cha siasa kilicho salama,

  • @DevothaLighton-dl6zi
    @DevothaLighton-dl6zi Před měsícem +1

    Kwahiyo huko ccm Hamna rushwa mbona unaongea HOJA nyepesi

  • @user-td5ye9zb1l
    @user-td5ye9zb1l Před měsícem +1

    Mwanamke acha uongo mbona njaaa yako utalipa ktk hayo Machafu mnafiki mkubwa.

  • @abiadhasmassawes3984
    @abiadhasmassawes3984 Před měsícem +1

    hakuna kitu hapa, hayo mamikono ni mengi kama anavyoongea. Mpeni maji kwanza amalizie uongo wake

  • @evelina9621
    @evelina9621 Před měsícem +1

    Upendo.acha.maneno..mungu.kila.mahali

  • @fabianmahenge301
    @fabianmahenge301 Před 5 dny

    Nonsense to that woman....... fighting for justice is all over. Kaa kimya wewe!

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 Před měsícem +4

    Pole sana Peneza umepotea sana.

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel Před měsícem +1

    Kwa hio mnataka kutuaminisha hivi vyama vya siasa ni wauni tu?.......

  • @maudimwalwembe
    @maudimwalwembe Před měsícem +1

    Jamani siasa ni maisha

  • @SAMSONKAGOSE
    @SAMSONKAGOSE Před 8 dny

    Upovizuri mahaliulipo ndosehemu sahihi wanao kubeza hawana tochi ya maono ya baadae Kwanza ulipotezanguvunyingi sana chadema Dada CCM chamakubwa karibu CCM wewe ni mama na nchiinaongozwa na mama mama ndoanae jua uchungu WA mwana waache wapige porojo wewe pambana nikijana na sisivijana tunakukubali

  • @maggiehiza5884
    @maggiehiza5884 Před měsícem +1

    Kwa kifupi ni njaa inakusumbua.
    Umeona ukihamia huko utahongwa cheo. Pole sana kwani umejidhalilisha sana. Hsts sauti yako inaonesha kuna kauongi.. you have no confidence.
    By the way mimi si mwanachadema.

    • @godwinshoo5032
      @godwinshoo5032 Před měsícem

      Kwa wanachadema hasa wasiojua siasa kujiunga chadema ni ushujaa na kujiondoa chadema ni njaa! Acheni hizo siasa za kihuni zinakiua chama chenu!!!Rudini kwenye msitari ili CCM ipate mpinzani anayetosha

  • @oss6689
    @oss6689 Před měsícem

    #Rushuwa
    Hauezi kuilamu chadema haijawahi kua madarakani leo Unasifia fisi kula kuku analamu kuku kukukataa kuliwa

  • @stevenngussa9334
    @stevenngussa9334 Před měsícem +1

    Wewe Paka tuu!! kama paka wengine nenda ukalale

  • @user-ti8fn1wn1w
    @user-ti8fn1wn1w Před měsícem +1

    Pumbavu malaya wew

  • @edsonmnego4030
    @edsonmnego4030 Před měsícem

    Njaa mbaya sanaa

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 Před měsícem +1

    Hata sielewi hoja yake,anaulizwa hii anasema hii

  • @user-fe8tx5bo2f
    @user-fe8tx5bo2f Před měsícem +1

    Wasaliti walikuepo tangu enzi za yuda

  • @sondajohn1371
    @sondajohn1371 Před měsícem +1

    Duh hawa ndo wanadam hakna jipy chn yajua

  • @marybalya2371
    @marybalya2371 Před měsícem +1

    Jina maana

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u Před měsícem +1

    Utahangaika sana pendo , uchakifanya ni ulaghai

  • @etufaniakahemela5879
    @etufaniakahemela5879 Před měsícem +1

    Anajikanyaga hata maongezi yake njaa siyo kitu kizuri

  • @user-cz3gk2op9r
    @user-cz3gk2op9r Před měsícem +1

    Unachokitafuta ni nini?

  • @SAMSONKAGOSE
    @SAMSONKAGOSE Před 8 dny

    🙏🙏🙏🙏🧑‍🔬🧑‍🔬💓💓💓💓👀👀acheni kebee uzalendo ndo msingi WA taifaletu

  • @user-bp7nb7yp2o
    @user-bp7nb7yp2o Před měsícem +1

    Wewe hujalamba sukari?

  • @fredymapunda1768
    @fredymapunda1768 Před měsícem +1

    Unajibu swali unatoa maelezo?

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko Před 24 dny

    Huyu ni hatari sana

  • @aloycejames4862
    @aloycejames4862 Před měsícem +1

    Buree kabsa

  • @salarose5980
    @salarose5980 Před 16 dny

    Duh binadamu hatari sana

  • @burchardkasindo1676
    @burchardkasindo1676 Před měsícem

    Naamini huyu mtoto wakati anajiunga Chdema alikuwa anakfahamu kinachomplekahuko, Ila sasahivi hajui kwanini anatoka , nahuko aendapo haelewi kwanini anakwenda. anakwenda.

  • @fredymapunda1768
    @fredymapunda1768 Před měsícem +1

    Hii kichwa ikiliwa ni sawa tu hamna kitu

  • @emanuelmwakasungula3052
    @emanuelmwakasungula3052 Před měsícem +1

    Umepoteaza dira

  • @bilid4128
    @bilid4128 Před měsícem +1

    Ana maneno mengi hata sielewi

  • @denisnjaila2182
    @denisnjaila2182 Před měsícem +1

    😂😂😂😂😂 naona kama kinyani

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Před měsícem +1

    Mbona anafanana na wacharwanda?

  • @SoloMwakaje
    @SoloMwakaje Před dnem

    Ulikuwa wapi kusema ukiwa huko ndoo mwisho wako

  • @user-qk9iz5lt8q
    @user-qk9iz5lt8q Před 6 dny

    CHADEMA NI CHAMA PENDWA HIVYO VIKASORO VIDOGO VIDOGO ACHANENI NAVYO, NI FAIDA GANI KUKIJENGA CHAMA KWA MDA MREFU NA KUKIBOMOA KWA MDA MFUPI?

  • @samwelgabriel2175
    @samwelgabriel2175 Před měsícem

    Mfanyakazi anayekashifu alikotoka hata hatakuwa msafi,hiyo njaa na ccm wameiba majengo yote ya serekali za mitaa halafu ndo useme kina vyanzo vya mapato, mshamba sana