JAMBAZI SUGU LAFUNGUKA/ TULIFUNGWA NA TUNDU LISSU/ALINIKATAA/ BABU SEYA NA WANAWE!/ UKATILI GEREZANI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #ukonga #jela #mahakamani

Komentáře • 105

  • @dar24media
    @dar24media  Před rokem +7

    kipindi hiki kinaruka kila siku ya jumamosi na jumatano saa nne kamili asubuhi, kama una mkasa au simulizi wasiliana nasi kupitia simu namba..#0653127761

  • @florianmodest6215
    @florianmodest6215 Před rokem

    Hatari sana maisha ya ujambazi sio tuishi kwa utaratibu na kumuomba mungu aepushe mambo haya.

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Před rokem +4

    Only in Tanzania, Nchi Nyingine Ujigambe Ulipiga M2 Mapanga Ukafanya Nyanganyiwa wa silaha LEO wafuatilie Wakute ni Kweli Hilo tukio lilitokea, Utakamatwa. Na Hiyo itachukuliwa kama Comfession to a Crime

  • @milnertv8079
    @milnertv8079 Před rokem +1

    Huyo anayejiita mwana kondoo kama hayo ndiyo aliyoyafanya basi atubie sana kwa mungu

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    Dupa mdupange nikiaza kukusikiliza huwa najipanga mdogo wangu chechemua Salut kwako story mbona kama hunailushalusha bregedia 🇹🇿🇬🇷😁👍🙋‍♂️✊✊✊✊

  • @biblicalchristianassemblies

    Huyu mpuuzi kweli kweli, yaani hajutii aliuowafanyia wengine, ila anajutia aliuofanyiwa. Mpuuziiiiiiii

  • @ukhtyzainab7254
    @ukhtyzainab7254 Před rokem

    Thanks

  • @christopherrobert1948
    @christopherrobert1948 Před rokem +1

    11:53 miaka ya 90 alikua anakaba wahindi anawachukulia simu na ela. 😂😂😂😂 muda mchache mbele anakwambia simu amna simu amna.

  • @justinkihongo-ou1up
    @justinkihongo-ou1up Před rokem +2

    Inchiiiii ihiiiii bwanaaa

  • @Yussuf1996-ew5gj
    @Yussuf1996-ew5gj Před rokem +2

    Hiiii nilikuwa naisubr kwa hamu dupaaaaah

  • @ayoubmwanawima1820
    @ayoubmwanawima1820 Před rokem +2

    Brigedia analia

  • @nikyhassan9394
    @nikyhassan9394 Před rokem +1

    Congratulations bro Dumpa

  • @user-vi3xx5ew5i
    @user-vi3xx5ew5i Před rokem +1

    Kwani huko mbongo hakuna machine ya X ray. ? Inaonekana bodo tupo ktk karne ya 18

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Před rokem

    Huyu Mpumbavu labda Ukute stori za Uwongo, Lakini kama Ni Kweli anazungumzia Kumpiga Mtu mapanga Bila hata Kuonyesha Majuitio, He need to Be Arrested!

    • @RwachiryoraWema
      @RwachiryoraWema Před rokem

      This is a confession but without strong evidence it's his words against state and that's period

  • @nururaymond5
    @nururaymond5 Před rokem +7

    Mtangazaji unaongea Sana, una maswali ya kijinga unamkatisha katisha Sana unaboaaaaaaa

  • @abdulswamdenyambuka1902
    @abdulswamdenyambuka1902 Před rokem +1

    Jamaa sio mzuri kwenye kusimulia... anarukaruka sana na kuchanganya matukio... ila story yake ni nzuri sana... ila baharia balozi alitisha sana ktk kusimulia

    • @saidsuleiman1753
      @saidsuleiman1753 Před rokem

      Story ya kukata watu mapanga ndio unaiona ni nzuri, hii ni story ya kusikitisha hivi ingekuwa wewe umepigwa mapanga au ndugu yako ungeona hiyo story ni nzuri

  • @bensonjohn9633
    @bensonjohn9633 Před rokem +1

    Huyu Jamaa ana siri nzito sana sana.

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk Před rokem +1

    Ndani ya mbanga mpya

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Před rokem

    NAWASHAURU TU POLISI LABDA HUYU MJINGA AWE ANATUNGA, KAMA HAYA MATUKIO KWELI YALITOKEA. MKAMATENI HARAKA!

    • @panafricanmawesa2555
      @panafricanmawesa2555 Před rokem

      Heri yako mwenye Akili ombea wenzako mema ,maisha ni siri hujui kesho yako

  • @ManaseJubilate-kk2gz
    @ManaseJubilate-kk2gz Před rokem +1

    Kwani huyu alifikiri ataotesha mahindi avune maharage?huo ni mshahara wa maasi yake

  • @saimonjohnsumley9198
    @saimonjohnsumley9198 Před rokem

    Wanaiga wicked ya Kenya lakini haibambi ki viile

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 Před rokem

    Mtangazaji hajui kuhoji

  • @silvesterrichardhelenya1319

    Mbona humpi nafasi ya kueleza ulimuuliza shule aliyosoma ukarukia ukamwambia alifikaje kwa hiyo hatujui alisoma wapi na ni mtoto wa ngapi kuzaliwa kama ulivyikuwa umemuuliza awali

  • @humoudseyd7310
    @humoudseyd7310 Před rokem +2

    Huja fungwa bure bwege we...
    Umetesa watu sana ndo umelipa mungu alikuwa amekuwekea time yako ya kulipa ulivo watesa watu na kuiba mali zao pumbavu usilalamike umeonewa

  • @hansmsangi9828
    @hansmsangi9828 Před rokem +1

    Tulikuwa tunawachukulia simu hela kwenye dakika 11 46 mpk 11 47 alafu mbele tena unasema mlikuwa hamchukuwi simu kipindi hicho simu hakuna kwenye dakia 12 35 ss tunashindwa kuelewa hizi story za kutunga au mtuweke sawa hapo tunatumia MB zenye hela ndani

    • @mwaka43
      @mwaka43 Před rokem

      Nafikiri alikuwa anaelezea matukio yote aliyoyafanya kuanzia kabla na hata baada ya Simu kuingia miaka ya 2000 mwanzoni, Mara ya Pili alizungumzia matukio yake Specific kabla ya simu kuingia....Huyu bwana amefanya matukio kabla na baada ya simu kuingia

    • @martinmuthii1900
      @martinmuthii1900 Před rokem

      @@mwaka43 hapo umetafakali vizuri

  • @josephkavindi3666
    @josephkavindi3666 Před rokem

    Msela wakizamani 😂😂😂Wengi wamekufa keko mwanga na jangwani 😂😂

  • @machaggechacha243
    @machaggechacha243 Před rokem

    Sasa nini kama mlifungwa? Upumbavu wenu uliwaponza na utazidi kuwaponza kama hamkujifunza gerezani.!

  • @emmamatemu8225
    @emmamatemu8225 Před rokem

    Mtangazaji unaongea sana humpi muda wa kutosha kila neno unatia neno lako ulisomea wapi

  • @ibraton4071
    @ibraton4071 Před rokem

    yaaan jamaa analalamika kama alikua mtu...halafu ana bahati hajauliwa sabab enzi zake walikua wanaua balaaa

  • @ibnmoses979
    @ibnmoses979 Před rokem

    Balozi bado ni msimuliaji bora kwa 2023 labda atokee mwengine

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 Před rokem

    Mtangazaji usiongee sana tumsikilize huyu muhusika

  • @byabatotv3283
    @byabatotv3283 Před rokem

    Mkishazeeka nguvu zimeisha ndo mnajifanya watakatifu..

  • @ambokileasheengai1140

    Huyu anaonekana na anavyoongea hajatubu...yaani aliokuwa anafanya kwa wengine kwake ni sawa tu,,,,,pumbavu zake,,,angefungwa life

  • @hamismahamdu2334
    @hamismahamdu2334 Před rokem

    Mtangazaji unaongea sana, punguza maneno

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Před rokem +1

    Huyu ni kichaa kabisa

  • @davidpaschal778
    @davidpaschal778 Před rokem +1

    Mtangazaji fara anataka kuongea linamzuia iri tuje tuangalie 2

  • @ramadhanmido3679
    @ramadhanmido3679 Před rokem

    Punguza maelezo kaka unakula mda wa watu kujifunza kipindi ni kizuri ongera

  • @silvesterrichardhelenya1319

    Nazima data mtangazaji unaboa

  • @eliasrobert6255
    @eliasrobert6255 Před 9 měsíci

    Bado sana huyo jamaa

  • @muokiones2761
    @muokiones2761 Před rokem

    huyu mjinga bado analia eti alifungwa bure. ye haoni maisha ya watu alivyoyadhuru.

  • @user-im9ly7vt6b
    @user-im9ly7vt6b Před rokem

    Mwaka 1991 alichukua simu baada ya muda mfupi anasema simu zilikua hamna mwongo

  • @chezariboy
    @chezariboy Před rokem

    Huyu,, jamaa mwonekano tu inaonyesha bado hatabiriki,, tundu lisu anaangaliaga haki yako imekaa kwenye mstari vinginevyo Mungu alihusika jamaa apate mafunzo gerezan maana uluonea watu sana.

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Před rokem +1

    HAYO NDO MAMBO,,TULISHAMCHOKA YULE MWANENU

    • @ibnmoses979
      @ibnmoses979 Před rokem

      We acha bwana Balozi ni next Level

  • @fredytarimo9107
    @fredytarimo9107 Před rokem +1

    Mbaga huwezi kuhoji vizuri na story zingine zinarukwa rukwa tu hivyo story hainogi kabisa. Ni kama vile umbea fulani hivi

  • @shamsaelbeity8250
    @shamsaelbeity8250 Před rokem

    Wanarudiaga hao

  • @sirajbakari104
    @sirajbakari104 Před rokem

    Duu hii ya leo kali

  • @davidpaschal778
    @davidpaschal778 Před rokem

    Maelezo meng

  • @bensonmwita-vv7pb
    @bensonmwita-vv7pb Před rokem

    Punguzeni basi music basi Daaaahhh

  • @innocentrichard9316
    @innocentrichard9316 Před rokem +2

    pamoja saana dupa mdupange

  • @yusufulimo5737
    @yusufulimo5737 Před rokem

    Umekwepesha vitu vingi sana hi story ina ukweli asilimia ndogo mno umekua muongo kwa kifupi.

  • @hashimrashid6380
    @hashimrashid6380 Před rokem +1

    Ndugu mtangaj utangulizi t nusu saa 😅

  • @davidpaschal778
    @davidpaschal778 Před rokem

    Stor za kiwak

  • @saimonjohnsumley9198
    @saimonjohnsumley9198 Před rokem

    Mtangazaji acha mtu aflow too much interuption

  • @jumahalifamkindi2175
    @jumahalifamkindi2175 Před rokem

    Host jitahidi ufupishe maelezo unakera

  • @user-mv1vn7oj4w
    @user-mv1vn7oj4w Před rokem

    1991 SIMU GANI ULIKUA UNAIBA WEEWE,ACHA UONGO

  • @simbabbq4427
    @simbabbq4427 Před rokem

    Jambazi huyo angefungwa maisha alimpiga babayake mdogo kisu sema kama katubu niborayake a anisjfu kua jambazinamtakia maishayake mapya...

    • @ThobiasMarandu
      @ThobiasMarandu Před rokem

      Hakuna Kutubu, Kutubu Kwa Mungu, ANATAKIWA AKAMATWE, WAFUATILIE KAMA KWELI HAYO MATUKIO YALITOKEA, ICHUKULIWE KUWA AMEKIRI UHALIFU. NITAISHANGAA SANA SERIKALI KAMA HUYU MBWA HATAKAMATWA

    • @tahirnephessalum3678
      @tahirnephessalum3678 Před rokem

      sasa unadhan angekuwa anaendelea na hayo matukio angejitokeza kushare mapito yake kwetu au angeendelea kujificha?

  • @dennymkumbala5748
    @dennymkumbala5748 Před rokem

    Mwongo uyo

  • @zenanassor7118
    @zenanassor7118 Před rokem

    😅kaa nae mbari atakupiga ndosi huyo bado fuz imekata

  • @masanjamasaga5498
    @masanjamasaga5498 Před rokem

    dhuruma haidum

  • @brysonmandari5694
    @brysonmandari5694 Před rokem +1

    Story ya uongo hiyo

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Před rokem

    Alitakiwa avuliwe nguo zote hadharani kisha aingizwe kitu mkunduni

    • @panafricanmawesa2555
      @panafricanmawesa2555 Před rokem

      We ni mkamilifu sana au sio

    • @saidsuleiman1753
      @saidsuleiman1753 Před rokem

      @@panafricanmawesa2555 wewe huwajuwi hao, jambazi ninkama nyoka hata ukimtoa meno bado ana madhara, huyo jamaa na shetani tofauti yao shetani haonekani yeye anaonekana.
      Anajisifu kukata watu mapanga alafu unaniuliza eti mimi kaka ni mkamilifu au jambazi mwenzio.

  • @user-mf7tz4go2x
    @user-mf7tz4go2x Před rokem +1

    Kaka story hii inaendelea lini tena

  • @allymoshi2053
    @allymoshi2053 Před rokem

    Hujatenda kosa mpumbavu ww wakat ulkuwa unakaba watu yani watu wa HV ningekuwa askar ukiletwa kituoni n kpigwa t sindano ya sumu

    • @jovintosssi3287
      @jovintosssi3287 Před rokem

      Usihukum kabla hujahukumiwa 🙏🙏

    • @allymoshi2053
      @allymoshi2053 Před rokem

      @@jovintosssi3287 yy mwnyw s kasema alikuwa anakaba watu anawakata mapanga sasa unataka tuseme nn pita HV mzeee

  • @yusuphkassimu227
    @yusuphkassimu227 Před rokem

    Ww mwandishi unaongea Sana

  • @ajantstudios2
    @ajantstudios2 Před rokem

    Huyu Jamaa Kama Muongo Hivi🎃🎃

    • @RwachiryoraWema
      @RwachiryoraWema Před rokem

      Hata wewe jina tu lako ni uwongo na confused haujui ni mnaija aw mbongo

  • @ambokileasheengai1140

    unajipa jina brigedia ushukuru Mungu wenzako wote wako kaburini

  • @dennymkumbala5748
    @dennymkumbala5748 Před rokem +1

    Mwongo jamaa aeleweki

  • @SudiKama-ok9eh
    @SudiKama-ok9eh Před rokem

    😂😂😂

  • @peterrulagora7403
    @peterrulagora7403 Před rokem

    Bado muhuni tu

  • @nobilityofmind4784
    @nobilityofmind4784 Před rokem

    Unaongea sana jifunze kumpa mtu muda aseme