UTATA KIFO CHA KAWAWA/ALITOKA NYUMBANI MZIMA/ALINIOA NIKIWA NA WATOTO/TOFAUTI ZA FAMILIA ZILIKUWEPO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 05. 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #Dar24 #Dar24Media

Komentáře • 157

  • @alfredfuteh573
    @alfredfuteh573 Před měsícem +8

    Inshallah. Mungu ampumzishe Mzee wetu. Mzee Kawawa alikuwa Mtu wa watu. Namkumbuka Mzee kwa kuwa mwingi wa shukrani. Nikiwa nafanya kazi CCT tulifadhili mradi wa maji Kiluvya. Kwa kila hatua tuliyofikia alikuwa akituita nyumbani kwake Dodoma na Kiluvya kushukuru bila kujali wadhifa wake. Kweli Mola amrehemu.

  • @francomwalutende7864
    @francomwalutende7864 Před měsícem +3

    Shukrani mr Lambati kwa kutuletea hii interview nzuri sana sana, well done

  • @suleimansultan3333
    @suleimansultan3333 Před dnem

    Hongera sana mama Kwa Stori yako nzuri ya maisha yako tena iliojaa maadili

  • @abelminja2443
    @abelminja2443 Před 2 měsíci +9

    Aisee Nimempenda Sana Huyu Mama. Tafadhali Taifa Limpe Heshima Anayostahili

  • @user-ms1xg1fp4v
    @user-ms1xg1fp4v Před měsícem +3

    Mama amekua mtu mzima lakini uzuri wake bado unajitokeza.Mola amrehemu mzee kawawa

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před 2 měsíci +7

    Huyu mama ana hekma sana,na anamaadili sana mashallah HONGERA sana mama yetu ,Kwa kumlea vizuri Mzee wetu kawawa.

    • @K-go1qj
      @K-go1qj Před 10 dny +1

      Aache kuweka hayo marangi rangi kwenye kope umri ushamwenda

    • @BIGBOSS-hl3bu
      @BIGBOSS-hl3bu Před 10 dny +1

      Huyu ni mwanamke sio mwanaume mapambo kwake ni ibada

  • @user-ms1xg1fp4v
    @user-ms1xg1fp4v Před měsícem +1

    Mwanahabari Ambae moyo wake una chembe nyingi za kheri na imani.Mtu anae huzunishwa na maumivu ya watu wengine hua namuheshimu sana

  • @user-fk4st8qj2k
    @user-fk4st8qj2k Před 2 měsíci +3

    Nimefurahi sana huyu mama yupo vizuri."Ubarikiwe mama".

  • @asiamohamed8431
    @asiamohamed8431 Před 2 měsíci +3

    Nimekupenda bure habibty Asina. Umeongea vizuri sana.

  • @margaretmkangala7774
    @margaretmkangala7774 Před 2 měsíci +19

    Mtangazaji ana nizamu hongera sana

  • @elizabethmwakalinga3287

    Mungu akubariki sana mama.Nimekupenda sana

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 Před 2 měsíci +6

    Anti yangu wa Tabora Asante kwa Elimu Na historia ya Mzee

    • @HARUNSIMON-hj6up
      @HARUNSIMON-hj6up Před 3 dny

      Joyce. Upo wapi ndugu yangu, mie hyu pia ni shangazi yangu asili ya hyu Mama tunaijua sisi watu ichemba ulyankulu, ni kitukuu cha Babu mkubwa alie fia vita ya 2 ya Dunia aliitwa Mlolwa kazeva kidete, Babu hyu alioa mwana Fwamba watu wa chemchem Tabora mjni

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 Před 2 měsíci +6

    Lambat unastahili kuwa bbc au Dw kiswahili big up bro

  • @nemaJuma-u5o
    @nemaJuma-u5o Před 25 dny

    Nimeipenda hii❤

  • @user-zq1hy1ec5n
    @user-zq1hy1ec5n Před 2 měsíci +2

    Mama wa Tabora mwenzangu mazungumzo Yako yana elimu kubwa nda ni yake mungu akupe umri mrefu hekima na busara zako hazina mfano

  • @user-ni9zc3gx5t
    @user-ni9zc3gx5t Před 2 měsíci +4

    Uyu mama mkweli kabisa baba yangu alikua rafiki yake sana na kawawa kweli alikua mtoaji mungu amrehemu uko halipo

  • @abelminja2443
    @abelminja2443 Před 2 měsíci +3

    Kwa Kweli huyu Mama Alifaa Kuwa Mke wa Kiongozi.
    ___
    Anaongea Vema Sana

  • @johansonmonyo3898
    @johansonmonyo3898 Před 2 měsíci +3

    Mzee Kawawa alikuwa mzalendo wa dhati,Mungu amlaze pema peponi!!

  • @geraldgogadi7054
    @geraldgogadi7054 Před 2 měsíci +1

    Lambert, na Shaaban maalim kondo.The best from This channel

  • @azizasaid5255
    @azizasaid5255 Před 2 měsíci +8

    Mwanamke mekap, ulijiandaa.

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Před 2 měsíci +9

    Masha Allah Mama mrembo

  • @nashnene6326
    @nashnene6326 Před 2 měsíci +2

    Hongera kwa interview nzuri

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 2 měsíci

    Tunashukru MAMA kwa kutupa historia ya kaka mzee Kawawa❤❤❤👍👍👍🙏🙏

  • @ThomasMselewa
    @ThomasMselewa Před měsícem

    Mama yupo vizuri sana anaongea vizuri na ana Kila sababu ya kuwa hapo alipo hongera sana kwake

  • @kindysuleiman5935
    @kindysuleiman5935 Před 2 měsíci +1

    Interesting

  • @nalcisjosef
    @nalcisjosef Před 2 měsíci +1

    Nimekumbuka mbali sana. Nimefurai sana

  • @tausikiyabo6302
    @tausikiyabo6302 Před měsícem +2

    Alikuwa ameoa msichana mdogo ❤

  • @SharifaMohammed-el3ug
    @SharifaMohammed-el3ug Před 2 měsíci +4

    Hongera sana. Tukumbuke mhasisi mzee kawawa

  • @nassorissa8779
    @nassorissa8779 Před 2 měsíci +2

    Nimeipenda sana interview nimempenda pia mama

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 Před 2 měsíci +2

    Pole Mama! Ninajua maumivu yako😢

  • @sangomamourice3539
    @sangomamourice3539 Před 2 měsíci +3

    Mtangazaji ana hoji vzr

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 Před 2 měsíci

    Umerudi dar 24 mkuu? Nilikuona zamaradi tv wakati fulani...mimi shabiki yako dam ulipo nipo you are doing great job miongoni mwa vijana

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 2 měsíci

    Safi sana mama.Wifi yangu❤❤❤❤❤ mimi wa songea👍👍👍

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Před 2 měsíci +5

    MIMI SIKUJUWA KAMA KAWAWA ALIOWA TENAA. MIMI NAMJUWA MAMA SOFIA. NA MAMA MFAUME MWALIM WANGU MKUU SHULE YA TURIANI MAGOMENI. (MAMA ZARIA,). HUYO NAONA ALIOLEWA BAADA YA KUFA HAO WENGINE.

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 Před 2 měsíci

      Safia kawawa alikua mkuu wa umoja wa wanawake Tanzania

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 Před 2 měsíci

      Huyu mama atakua kaolewa n( kawawa ))akiwa mzee manake Angekua hai atakua na miaka 98 na miezi Karibia 6😮

    • @user-np1bf6me4u
      @user-np1bf6me4u Před měsícem

      Alimuowa mwanamke mwengine wa morogoro mbulushi nadhani anaitwa fatma

  • @cyrilkessy3032
    @cyrilkessy3032 Před 2 měsíci +1

    Pole sana mama Kawawa

  • @K-go1qj
    @K-go1qj Před 10 dny

    Wapigania uhuru walipigania maslai yao binafsi na sio maslai ya waafrika wote thus baada ya uhuru wakajigeuza wakoloni weusi wakinufaika wao na matunda ya Uhuru

  • @farajiissa560
    @farajiissa560 Před měsícem +2

    Et nyati nane duuuuh cc wananchi wa kawaida tunaambiwa majangil duuuuh

  • @HawaMasoud-xw3ii
    @HawaMasoud-xw3ii Před měsícem

    Allahumma ighfir lahou warhamhou

  • @ainesndosi4759
    @ainesndosi4759 Před měsícem +1

    Mama anajipenda sana

  • @RichardAmaro-pv8po
    @RichardAmaro-pv8po Před 2 měsíci +5

    Nimekumbuka mengi kumhusu Mzee wetu Waziri Mkuu mstaafu Hayati Rashid Mfaume Kawawa. Simba wa vita wengi wetu tumemsahau katika historia ya mchakato wa Uhuru wa Tanganyika na hatimaye Tanzania. Naiomba serikali yetu tukufu chini ya uongozi thabiti wa mama yetu mpendwa Mh. Rais Dr Samia Suluhu Hassan kuona haja ya kuanzisha harakati ya kumbukizi za kumuenzi Hayati Rashid M. Kawawa kwa ajili ya mengi aliyoyafanyia nchi yetu.

  • @ekyochisikitaya5354
    @ekyochisikitaya5354 Před 2 měsíci

    Interview nzuri, yenye hekma, yenye6mafunzo mazuri.

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 Před 2 měsíci +1

    Nimekupenda mama na nimejifunza kitu

  • @henryjohn3576
    @henryjohn3576 Před měsícem

    Mzee alikuwa mchapakazi mzuri tulimtembelea KijijinI kwake songea ni mkatimu sana

  • @naomicharles5444
    @naomicharles5444 Před měsícem +2

    Wake wa viongoz wote wapo😅,,

    • @K-go1qj
      @K-go1qj Před 10 dny

      Wanaume uwahi kufa

  • @asiamohamed8431
    @asiamohamed8431 Před 2 měsíci

    Allaah Mtukufu amsamehe baba yetu mzee Rashid Kawawa

  • @AzzaNassor
    @AzzaNassor Před měsícem

    Mashallah mama Ana kauli nalugha tamu hachoshi kumsikiza.

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 Před 2 měsíci

    Huyu mama nimempenda sana

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před 2 měsíci +2

    Mzee alioo huyo na watoto wengi tu wakutosha na nje ya ndoa

  • @K-go1qj
    @K-go1qj Před 10 dny

    Mke akiwa na dini raha sana

  • @Marjeby
    @Marjeby Před 2 měsíci +2

    Bibi yangu kabisa wa mtaani kwetu mtaa wa Gongoni Tabora Mjini

    • @HARUNSIMON-hj6up
      @HARUNSIMON-hj6up Před 3 dny

      Pale kwa athuman famba ni chemchem au gongon? Eti ndgu

  • @user-qh2bx5em6j
    @user-qh2bx5em6j Před 2 měsíci

    Mama unaongea vizuri sana

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Před 2 měsíci

    Mtangazaji ni miaka minane siyo miyaka nane. Unomfanyiya interview amesema sahihi miaka minane. Asante

  • @Yassinseleman
    @Yassinseleman Před 2 měsíci

    😢

  • @scollantandu2350
    @scollantandu2350 Před měsícem +1

    Apumzike kwa amani mzee kawawa 😢

  • @sanaf8367
    @sanaf8367 Před měsícem +1

    Hicho chama cha viongozi ni uchakatuzi wa fedha tu hakuna jengine

  • @habibnjowele7751
    @habibnjowele7751 Před 2 měsíci +1

    Rashid!

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 Před 2 měsíci

    Kifo😭😭

  • @nicholausmnzava3101
    @nicholausmnzava3101 Před měsícem +1

    Pole sana mama yangu, wewe ni mama na mke

  • @mohamedomari6129
    @mohamedomari6129 Před 2 měsíci

    Story teller

  • @tanzaniatouristsattraction1622

    Yaan serikali imeshindwa kumjengea ata nyumba nzuri

  • @user-qg3kf1ue7z
    @user-qg3kf1ue7z Před 2 měsíci +1

    Ogapa Watu au mtupu mtu anaeweza kujinunua kwa bakuli 3 za pilau.....kizazi hiki cha damu ya binadamu na Kafara za damu ya Kafara kinawaka moto....

  • @K-go1qj
    @K-go1qj Před 10 dny

    Kawawa alikuwa mkarimu na mwema sana

  • @PaulMhufu
    @PaulMhufu Před 2 měsíci

    Nimevutiwa saana na maelezo ya Mama Asina

  • @user-dl4rw6fo6x
    @user-dl4rw6fo6x Před 2 měsíci

    Mwandishi usomeke hivi: Stanislaus Lambert 🙌🏿

  • @bongo39
    @bongo39 Před 2 měsíci +2

    Sio mbadhirifu kabisa nyumba za wahindi nyingi walizitaifisha ili tuwe nao sawa vizuri sana wamefanya na pepo yao wataipata huko kwa mungu kwa wema waliotufanyia watanzania kutupa nyumba za msajili

  • @aziza9093
    @aziza9093 Před 2 měsíci

    ❤❤❤

  • @user-cr4th9lr6b
    @user-cr4th9lr6b Před 2 měsíci

    Kiss kizuri sauna . Mkewe amezungumza na mzungumzaji mzuri

  • @herbertbathlomeo4650
    @herbertbathlomeo4650 Před měsícem +1

    vizuri kwa interview

  • @MeenaHassan-fd9vv
    @MeenaHassan-fd9vv Před měsícem

    Nadhani alikuwa streight sana au alikuwa hana mba mba mba kama jpm coz ndani ya ccm ukiwa streight sana Yu must know one Yu will be r.l.p

  • @user-ux3jl9cl4w
    @user-ux3jl9cl4w Před měsícem

    Liware jaman, saiv tumetupwa akuna at barabara

  • @naomicharles5444
    @naomicharles5444 Před měsícem

    Oooh bagamoyo sasa naanz kupat picha

  • @hamisiponza-te7xj
    @hamisiponza-te7xj Před měsícem

    Alikuwa bendera anafuata upepo tu dimema mmh! Dihinda mmh akapigwa makofi na oscar k

  • @user-mb2ob6kg8z
    @user-mb2ob6kg8z Před 2 měsíci +2

    Utata wanini kila mtu atakufa aina yake wote si kwamba wataumwa kunawatakaokufa ghafla yaani kila mtu alivyoandikiwa hakuna anayejuwa hata jkiwa mgonjwa unaeza kufa jambo lengine

  • @fatumamisinga6211
    @fatumamisinga6211 Před 2 měsíci

    Mmmh mpodo

  • @mariamharoon1840
    @mariamharoon1840 Před 2 měsíci +1

    Jamani 😢

  • @OSCARJOHNSON-dz2rx
    @OSCARJOHNSON-dz2rx Před 2 měsíci +1

    Mavazi yale ya lubega walipenda kuvaa Marafiki zao Marais kwame Nkrumar wa Ghana na Sekou Toure wa Guinea

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Před 2 měsíci +2

    SASA HAYO SIYO MAHOJIANI NI HADISI. M

  • @Ommylayzah_tz
    @Ommylayzah_tz Před 2 měsíci

    RIP KAWAWA MZEE WA CHAI

  • @mvullamanase
    @mvullamanase Před měsícem

    Speech yake ni kama Samia Suluhu. Sometime

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 Před 2 měsíci +1

    Mbona mselamsela machoni🤣🤣.

  • @damianmcba9525
    @damianmcba9525 Před 2 měsíci

    Wapi hapo rufiji au bagamoyo

  • @omarali797
    @omarali797 Před měsícem

    2009 Kikwete ni rais, vipi Mwinyi hataki kuja kwa pako wazi?

  • @MichaelMaro-hj7yo
    @MichaelMaro-hj7yo Před 2 měsíci

    UWINDAJI WANYAMA PORI S POA HAPANA

  • @abdelnasseraq7133
    @abdelnasseraq7133 Před 2 měsíci

    Mwanamwali?????
    Lahaula

  • @DR.SAIFILLAH.5363
    @DR.SAIFILLAH.5363 Před měsícem

    Namba 8 inaashiria mauti
    Namba 6 inaashiria maradhi

  • @lawagustino1887
    @lawagustino1887 Před měsícem

    Aisee huyu mama jembe.

  • @allykigatta7564
    @allykigatta7564 Před 2 měsíci +3

    ...kumbe MIBANDIRIFU YA MALI YA UMMA IPO KILA WAKATI...ASA UNATOA AMRI NYATI 8 ULETEWE KISHA MNASEMA NI MALI ZETU WOTE...hapo mkimkamata mtu kapiga swala mmoja tu anafungwa miaka 20...NCHI HII MTI SAFI NI MAKONDA...MAGUFULI...POLEPOLE...BASHIRU NA KABUDI.

    • @sir_ENOCKMACHA
      @sir_ENOCKMACHA Před 2 měsíci

      😂😂😂😂

    • @ashahamad-mq3iz
      @ashahamad-mq3iz Před 2 měsíci

      Jamani Viongozi nyote ni Wachungaji na Mutaulizwa mulioyowafanyia Wananchi wenu kazi kwenu muogope Allah na siku ya Kiama wache Dhuluma Wizi na uuwaji na wizi wa kura

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Před 2 měsíci +1

      Ali Kigata acha kuongea utumbo, kwani hao nyati mzee Kawawa alikula peke yake na familia yake?! Mbona kawagawa kwa watanzania tena kaenda kutoa sadaka Bagamoyo kwa Sheikh Ramia mahala ambapo yalipofanyika maombi makubwa ya kuombea uhuru wa taifa letu na kina mwalimu Nyerere waliombewa hapo na uhuru ukapatikana. Mzee Kawawa kwenda kutoa sadaka ya nyama ya nyati mahala hapo na watanzania wa eneo hilo wakala kwani kuna ubaya gani?! Acha roho mbaya na chuki kaka hazitakusaia kitu.

    • @user13375
      @user13375 Před 2 měsíci

      ​@@rayisadesigns2646unajifanya mwema kwa mali ya umma, nyati si wa viongozi

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 2 měsíci

      ​@@rayisadesigns2646Hajielewi hapo ni watanganyika walivuna mazao yao ya wanyama haikuwa ufisadi

  • @abdelnasseraq7133
    @abdelnasseraq7133 Před 2 měsíci

    Non believer*

  • @abdelnasseraq7133
    @abdelnasseraq7133 Před 2 měsíci

    Asina kawawa????
    Why she was married to her Father, that is Jewish tradition

    • @AlkadoNkundwe-wb3of
      @AlkadoNkundwe-wb3of Před měsícem

      Ukafir unapokomaa ni tatizo kubwa sana pole yako kijana

    • @MwanaishaShattry
      @MwanaishaShattry Před měsícem

      Aliolewa na Kawawa sio baba yake wacha kufuru. Baba haoi mtoto wake ni kharam kiislamu labda kwenu. Mtoto wake kaolewa na mume mwengine amtakaye. Kwenu ndio mnaowana baba na mtoto.

  • @yusuphrashidi-dr1kb
    @yusuphrashidi-dr1kb Před 2 měsíci +2

    Kawawa c mpigania uhuru wa Tanganyika bali alikua mpambe wa nyerere huyo kazaliwa kusini uko maana umetaja miaka bila sehem alipotoka.

    • @geofreyngole242
      @geofreyngole242 Před 2 měsíci

      Kawawa alikuwa Kiongozi wa chama Cha wafanyakazi wa africa.
      Ktk harakati kundi Hilo lilijihusha kudai Uhuru wa Tanganyika.
      So hakuwa mpambe wa mwl Nyerere tuu ila mpambanaji sawia na mwl Nyerere

    • @farijala1
      @farijala1 Před 2 měsíci

      Mnambiwa someni Historia Mjue utamu wake.KWa taarifa. Huyo unayesema hakuwa Mopigania Uhuru, Ndio alikuwa Rais wa kwanza

    • @yusuphrashidi-dr1kb
      @yusuphrashidi-dr1kb Před 2 měsíci

      @@farijala1 sasa Abdul wahid sykes alikua nani ? John lupi,Abdallah chaurembo,mohamed tamaza ,mwalimu nyerere, mwinjuma,suleiman takadini,na n.k hiyo tanganyika wewe ujasoma umekalili hadi leo umeme wa mgao Zanzibar hakuna umeme wa mgao na umeme unatoka Bara nchini kwenu wehu nyie na wasomi wenu wajinga

    • @brysonkaale3003
      @brysonkaale3003 Před 2 měsíci

      Watu wengi wanafikiri Kawawa hakuwa msomi,Jambo ambalo siyo kweli!,

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 2 měsíci

      ​@@farijala1Alikuwa raisi wa kwanza kawawa kweli ilikuwa unashika number one 🤔🤔🤔🤔🤔

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob Před 2 měsíci +1

    Mlinzi " Luanda " wa ukae
    mtu wa system,

    • @piuskusenge-jf2ob
      @piuskusenge-jf2ob Před 2 měsíci +1

      😂😂😂 Mama nimempenda Yuko very charming, pia ni muwazi, safi

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha Před 2 měsíci +1

    Wakiua nyati hata swala wananchi wa kawaida mnawaita majangili kumbe majangili wakubwa wakubwa wanaojifanya kutetea maslahi ya nchi wakati wanaila.

    • @saidbakar-qo6ri
      @saidbakar-qo6ri Před 2 měsíci

      WEWE WACHA UJINGA NYATI SITA KWA KIONGOZI ALIETAFUTA UHURU WA TAIFA HILI WEWE UNAKULA RAHA TU PAKA WEWE NYATI KAWAGAWA KWA JAMII

    • @saidbakar-qo6ri
      @saidbakar-qo6ri Před 2 měsíci

      Nyati aliomba kibali cha halali nyerere na kawawa nyati 6 ni kitu gani kuwa na adabu leo unajidai unaishi vizuri unawajua waliyofanya uwe hivyo punda wewe

    • @saidbakar-qo6ri
      @saidbakar-qo6ri Před 2 měsíci

      Mkuu wa nchi mstaafu mkombozi mzalendo aliemsaidia nyerere kwenye harakati zake halafu unamfananisha majingili mwehu wewe

    • @saidbakar-qo6ri
      @saidbakar-qo6ri Před 2 měsíci

      Hawa viongozi waliitumikia taifa kwa uaminifu hawakuwa mafisadi nyati 6 sio jambo la kuhoji kwa kawawa kuwa na akili

    • @nkwazigatsha
      @nkwazigatsha Před 2 měsíci

      ​@@saidbakar-qo6ri Siyo wao waliotuambia na kutuaminisha kuwa binadamu wote ni sawa? Je kama kila mtanzania atahitaji kula atakavyo, hao wanyama watanusurika? Msikilize mjane akieleza namna wahusika walivyostuka kwa Kawawa kutaka nyati wanane. Sikiliza uzuri badala ya kukurupuka na mapenzi kibubusa.

  • @mbwanarajab7238
    @mbwanarajab7238 Před 2 měsíci +2

    Nyerere aliuinua ukatoliki na kuupa kipaumbele mno hapa Tanzania na mengine mengi ya kiitikadi yake.
    Kawawa yeye sijaona na nafasi yake iliyosaidia dini yake na alama alizoacha ndani ya uislamu tangu aingie madarakani

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 2 měsíci +2

      Ndio uzembe walioufanya

    • @user-fz1ph3cn4s
      @user-fz1ph3cn4s Před 2 měsíci

      Acha uongo unexaliwa mwaka gani. Nyerere huyohuyo alitaifisha shule za katoliki.ili dininnyinginevwasome. Unalijua hiyo. Sijamsikiliza mpaka mwushonhuyunni.mke mdogo wamiaja mine kama sikosei.

    • @albertjames6845
      @albertjames6845 Před 2 měsíci

      Wewe hukupenda kusoma umekuwa mjinga unatia aibu hujielewi hujui unachosema, kichwa kimejaa mavi hicho. Nyerere alipendelea sana waislamu na ndio wanaoongoza kwa kumtukana na kumchukia kwa sababu ya ujinga. Ama kweli Nguruwe ni nguruwe tu hata umfanyeje. Nyerere kanyang’anya wakatoliki mali zao walizonenga kwa sadaka za waumini; mashule ya mapadre na masista, vyuo, mahospitali n.k. Kachukuwa kwa nguvu kafanya mali za serikali ili wananchi wa dini zote wazitumie kwa kuwa serikali hai kuwa bado na uwezo wa kutosheleza mahitaji. Ingekuwa hizo mali ni za waislamu zimechukuliwa leo hii kungekuwa na vita nchi hii. Unafiki na uwongo na roho mbaya na hiyana ndio asili yenu. Mkapa nae kawapa chuo cha Kiislamu ambacho ni majengo ya 𝙏𝙖𝙣𝙚𝙨𝙘𝙤 iliyojengwa na watu wa dini zote amewapa waislamu waanzishe chuo cha dini yao hadi leo wameshindwa kukikuza au kuongeza chochote ni kugombana tu kila siku huyu kalıba kile huyu kadhulumu hiki, wanafiki laanatullah. Mnamlaumu Nyerere kwa lipi? Nyie mnajuwa umalaya tu kazi hamfanyi, Shule hamtaki, mali za bakwata masheikh wanauza wanawazumguka waislamu wenzao, dhulma tupu , kuna uislamu hapo? Siku mkiacha unafiki mkawa wakweli na mkapenda elimu mtajuwa shida yenu ni ujinga tu sio kingine.

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 Před 2 měsíci

      Nyinyi wabaguzi sana. Umeamua kuleta agenda za udini. Hovyo kabisa

  • @abdelnasseraq7133
    @abdelnasseraq7133 Před 2 měsíci

    Now I can understand the guy unbelievable (kafir) that is why he did not know how to respect a muslima widow putting into consideration the Marhum is not around. Allah almusta3an

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u Před 2 měsíci

    MZEE KAWAWA....MPIGANIA UHURU...MZALENDO WA KWELI WA NCHI YETU....ALIISHI MAISHA HALISI YA KITANZANIA.

  • @TeamKRX
    @TeamKRX Před 2 měsíci

    Kawawa kataifisha nyumba za wahindi kwa Nini zake kama kafanya ivyo munategemea Nini