UTATA KIFO CHA KAWAWA/ALITOKA NYUMBANI MZIMA/ALINIOA NIKIWA NA WATOTO/TOFAUTI ZA FAMILIA ZILIKUWEPO
Vložit
- čas přidán 29. 05. 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
Inshallah. Mungu ampumzishe Mzee wetu. Mzee Kawawa alikuwa Mtu wa watu. Namkumbuka Mzee kwa kuwa mwingi wa shukrani. Nikiwa nafanya kazi CCT tulifadhili mradi wa maji Kiluvya. Kwa kila hatua tuliyofikia alikuwa akituita nyumbani kwake Dodoma na Kiluvya kushukuru bila kujali wadhifa wake. Kweli Mola amrehemu.
Shukrani mr Lambati kwa kutuletea hii interview nzuri sana sana, well done
Hongera sana mama Kwa Stori yako nzuri ya maisha yako tena iliojaa maadili
Aisee Nimempenda Sana Huyu Mama. Tafadhali Taifa Limpe Heshima Anayostahili
Mama amekua mtu mzima lakini uzuri wake bado unajitokeza.Mola amrehemu mzee kawawa
Huyu mama ana hekma sana,na anamaadili sana mashallah HONGERA sana mama yetu ,Kwa kumlea vizuri Mzee wetu kawawa.
Aache kuweka hayo marangi rangi kwenye kope umri ushamwenda
Huyu ni mwanamke sio mwanaume mapambo kwake ni ibada
Mwanahabari Ambae moyo wake una chembe nyingi za kheri na imani.Mtu anae huzunishwa na maumivu ya watu wengine hua namuheshimu sana
Nimefurahi sana huyu mama yupo vizuri."Ubarikiwe mama".
Nimekupenda bure habibty Asina. Umeongea vizuri sana.
Mtangazaji ana nizamu hongera sana
nidhamu.
Mungu akubariki sana mama.Nimekupenda sana
Anti yangu wa Tabora Asante kwa Elimu Na historia ya Mzee
Joyce. Upo wapi ndugu yangu, mie hyu pia ni shangazi yangu asili ya hyu Mama tunaijua sisi watu ichemba ulyankulu, ni kitukuu cha Babu mkubwa alie fia vita ya 2 ya Dunia aliitwa Mlolwa kazeva kidete, Babu hyu alioa mwana Fwamba watu wa chemchem Tabora mjni
Lambat unastahili kuwa bbc au Dw kiswahili big up bro
Anafaha sana kuwa BBC mm namlinganisha na Salim kikeke
Nimeipenda hii❤
Mama wa Tabora mwenzangu mazungumzo Yako yana elimu kubwa nda ni yake mungu akupe umri mrefu hekima na busara zako hazina mfano
Uyu mama mkweli kabisa baba yangu alikua rafiki yake sana na kawawa kweli alikua mtoaji mungu amrehemu uko halipo
Wasira au?
Kwa Kweli huyu Mama Alifaa Kuwa Mke wa Kiongozi.
___
Anaongea Vema Sana
Mzee Kawawa alikuwa mzalendo wa dhati,Mungu amlaze pema peponi!!
Lambert, na Shaaban maalim kondo.The best from This channel
Mwanamke mekap, ulijiandaa.
Masha Allah Mama mrembo
Sanaaa manshallah umeniwahi tu kusema
@@AshuuSaid-ke1kx ni mrembo aisee
Sanaa
@@AshuuSaid-ke1kxMasha Allah
Hongera kwa interview nzuri
Tunashukru MAMA kwa kutupa historia ya kaka mzee Kawawa❤❤❤👍👍👍🙏🙏
Mama yupo vizuri sana anaongea vizuri na ana Kila sababu ya kuwa hapo alipo hongera sana kwake
Interesting
Nimekumbuka mbali sana. Nimefurai sana
Alikuwa ameoa msichana mdogo ❤
Hongera sana. Tukumbuke mhasisi mzee kawawa
Mhasisi🤔🤔🤔🤔🤔
Nimeipenda sana interview nimempenda pia mama
Pole Mama! Ninajua maumivu yako😢
Mtangazaji ana hoji vzr
Umerudi dar 24 mkuu? Nilikuona zamaradi tv wakati fulani...mimi shabiki yako dam ulipo nipo you are doing great job miongoni mwa vijana
Safi sana mama.Wifi yangu❤❤❤❤❤ mimi wa songea👍👍👍
MIMI SIKUJUWA KAMA KAWAWA ALIOWA TENAA. MIMI NAMJUWA MAMA SOFIA. NA MAMA MFAUME MWALIM WANGU MKUU SHULE YA TURIANI MAGOMENI. (MAMA ZARIA,). HUYO NAONA ALIOLEWA BAADA YA KUFA HAO WENGINE.
Safia kawawa alikua mkuu wa umoja wa wanawake Tanzania
Huyu mama atakua kaolewa n( kawawa ))akiwa mzee manake Angekua hai atakua na miaka 98 na miezi Karibia 6😮
Alimuowa mwanamke mwengine wa morogoro mbulushi nadhani anaitwa fatma
Pole sana mama Kawawa
Wapigania uhuru walipigania maslai yao binafsi na sio maslai ya waafrika wote thus baada ya uhuru wakajigeuza wakoloni weusi wakinufaika wao na matunda ya Uhuru
Et nyati nane duuuuh cc wananchi wa kawaida tunaambiwa majangil duuuuh
Allahumma ighfir lahou warhamhou
Mama anajipenda sana
Nimekumbuka mengi kumhusu Mzee wetu Waziri Mkuu mstaafu Hayati Rashid Mfaume Kawawa. Simba wa vita wengi wetu tumemsahau katika historia ya mchakato wa Uhuru wa Tanganyika na hatimaye Tanzania. Naiomba serikali yetu tukufu chini ya uongozi thabiti wa mama yetu mpendwa Mh. Rais Dr Samia Suluhu Hassan kuona haja ya kuanzisha harakati ya kumbukizi za kumuenzi Hayati Rashid M. Kawawa kwa ajili ya mengi aliyoyafanyia nchi yetu.
Interview nzuri, yenye hekma, yenye6mafunzo mazuri.
Nimekupenda mama na nimejifunza kitu
Mzee alikuwa mchapakazi mzuri tulimtembelea KijijinI kwake songea ni mkatimu sana
Wake wa viongoz wote wapo😅,,
Wanaume uwahi kufa
Allaah Mtukufu amsamehe baba yetu mzee Rashid Kawawa
Mashallah mama Ana kauli nalugha tamu hachoshi kumsikiza.
Huyu mama nimempenda sana
Mzee alioo huyo na watoto wengi tu wakutosha na nje ya ndoa
Mke akiwa na dini raha sana
Bibi yangu kabisa wa mtaani kwetu mtaa wa Gongoni Tabora Mjini
Pale kwa athuman famba ni chemchem au gongon? Eti ndgu
Mama unaongea vizuri sana
Mtangazaji ni miaka minane siyo miyaka nane. Unomfanyiya interview amesema sahihi miaka minane. Asante
We nae ni walewale Sio miyaka ni miaka
😢
Apumzike kwa amani mzee kawawa 😢
Hicho chama cha viongozi ni uchakatuzi wa fedha tu hakuna jengine
Rashid!
Kifo😭😭
Pole sana mama yangu, wewe ni mama na mke
Story teller
Yaan serikali imeshindwa kumjengea ata nyumba nzuri
Ogapa Watu au mtupu mtu anaeweza kujinunua kwa bakuli 3 za pilau.....kizazi hiki cha damu ya binadamu na Kafara za damu ya Kafara kinawaka moto....
Kawawa alikuwa mkarimu na mwema sana
Nimevutiwa saana na maelezo ya Mama Asina
Mwandishi usomeke hivi: Stanislaus Lambert 🙌🏿
Sio mbadhirifu kabisa nyumba za wahindi nyingi walizitaifisha ili tuwe nao sawa vizuri sana wamefanya na pepo yao wataipata huko kwa mungu kwa wema waliotufanyia watanzania kutupa nyumba za msajili
Una mshukuru mwizi???wewe ukiibiwa kitu kidogo utakubali????
Acha roho mbaya na kuwa na Adabu
❤❤❤
Kiss kizuri sauna . Mkewe amezungumza na mzungumzaji mzuri
vizuri kwa interview
Nadhani alikuwa streight sana au alikuwa hana mba mba mba kama jpm coz ndani ya ccm ukiwa streight sana Yu must know one Yu will be r.l.p
Liware jaman, saiv tumetupwa akuna at barabara
Oooh bagamoyo sasa naanz kupat picha
Alikuwa bendera anafuata upepo tu dimema mmh! Dihinda mmh akapigwa makofi na oscar k
Utata wanini kila mtu atakufa aina yake wote si kwamba wataumwa kunawatakaokufa ghafla yaani kila mtu alivyoandikiwa hakuna anayejuwa hata jkiwa mgonjwa unaeza kufa jambo lengine
Mmmh mpodo
Jamani 😢
Mavazi yale ya lubega walipenda kuvaa Marafiki zao Marais kwame Nkrumar wa Ghana na Sekou Toure wa Guinea
SASA HAYO SIYO MAHOJIANI NI HADISI. M
Ni hadithi 😂
Kwenye msafara wa mamba na kenge wamo hadisi😂😂😂😂😂😂😂😂
Huyu mama ni mzungumzaji mzuri
RIP KAWAWA MZEE WA CHAI
#funikakikombe
Speech yake ni kama Samia Suluhu. Sometime
Mbona mselamsela machoni🤣🤣.
Ni mwanamke ukumbuke
Ulitaka aweje?
Wapi hapo rufiji au bagamoyo
2009 Kikwete ni rais, vipi Mwinyi hataki kuja kwa pako wazi?
UWINDAJI WANYAMA PORI S POA HAPANA
Mwanamwali?????
Lahaula
Namba 8 inaashiria mauti
Namba 6 inaashiria maradhi
Aisee huyu mama jembe.
...kumbe MIBANDIRIFU YA MALI YA UMMA IPO KILA WAKATI...ASA UNATOA AMRI NYATI 8 ULETEWE KISHA MNASEMA NI MALI ZETU WOTE...hapo mkimkamata mtu kapiga swala mmoja tu anafungwa miaka 20...NCHI HII MTI SAFI NI MAKONDA...MAGUFULI...POLEPOLE...BASHIRU NA KABUDI.
😂😂😂😂
Jamani Viongozi nyote ni Wachungaji na Mutaulizwa mulioyowafanyia Wananchi wenu kazi kwenu muogope Allah na siku ya Kiama wache Dhuluma Wizi na uuwaji na wizi wa kura
Ali Kigata acha kuongea utumbo, kwani hao nyati mzee Kawawa alikula peke yake na familia yake?! Mbona kawagawa kwa watanzania tena kaenda kutoa sadaka Bagamoyo kwa Sheikh Ramia mahala ambapo yalipofanyika maombi makubwa ya kuombea uhuru wa taifa letu na kina mwalimu Nyerere waliombewa hapo na uhuru ukapatikana. Mzee Kawawa kwenda kutoa sadaka ya nyama ya nyati mahala hapo na watanzania wa eneo hilo wakala kwani kuna ubaya gani?! Acha roho mbaya na chuki kaka hazitakusaia kitu.
@@rayisadesigns2646unajifanya mwema kwa mali ya umma, nyati si wa viongozi
@@rayisadesigns2646Hajielewi hapo ni watanganyika walivuna mazao yao ya wanyama haikuwa ufisadi
Non believer*
Asina kawawa????
Why she was married to her Father, that is Jewish tradition
Ukafir unapokomaa ni tatizo kubwa sana pole yako kijana
Aliolewa na Kawawa sio baba yake wacha kufuru. Baba haoi mtoto wake ni kharam kiislamu labda kwenu. Mtoto wake kaolewa na mume mwengine amtakaye. Kwenu ndio mnaowana baba na mtoto.
Kawawa c mpigania uhuru wa Tanganyika bali alikua mpambe wa nyerere huyo kazaliwa kusini uko maana umetaja miaka bila sehem alipotoka.
Kawawa alikuwa Kiongozi wa chama Cha wafanyakazi wa africa.
Ktk harakati kundi Hilo lilijihusha kudai Uhuru wa Tanganyika.
So hakuwa mpambe wa mwl Nyerere tuu ila mpambanaji sawia na mwl Nyerere
Mnambiwa someni Historia Mjue utamu wake.KWa taarifa. Huyo unayesema hakuwa Mopigania Uhuru, Ndio alikuwa Rais wa kwanza
@@farijala1 sasa Abdul wahid sykes alikua nani ? John lupi,Abdallah chaurembo,mohamed tamaza ,mwalimu nyerere, mwinjuma,suleiman takadini,na n.k hiyo tanganyika wewe ujasoma umekalili hadi leo umeme wa mgao Zanzibar hakuna umeme wa mgao na umeme unatoka Bara nchini kwenu wehu nyie na wasomi wenu wajinga
Watu wengi wanafikiri Kawawa hakuwa msomi,Jambo ambalo siyo kweli!,
@@farijala1Alikuwa raisi wa kwanza kawawa kweli ilikuwa unashika number one 🤔🤔🤔🤔🤔
Mlinzi " Luanda " wa ukae
mtu wa system,
😂😂😂 Mama nimempenda Yuko very charming, pia ni muwazi, safi
Wakiua nyati hata swala wananchi wa kawaida mnawaita majangili kumbe majangili wakubwa wakubwa wanaojifanya kutetea maslahi ya nchi wakati wanaila.
WEWE WACHA UJINGA NYATI SITA KWA KIONGOZI ALIETAFUTA UHURU WA TAIFA HILI WEWE UNAKULA RAHA TU PAKA WEWE NYATI KAWAGAWA KWA JAMII
Nyati aliomba kibali cha halali nyerere na kawawa nyati 6 ni kitu gani kuwa na adabu leo unajidai unaishi vizuri unawajua waliyofanya uwe hivyo punda wewe
Mkuu wa nchi mstaafu mkombozi mzalendo aliemsaidia nyerere kwenye harakati zake halafu unamfananisha majingili mwehu wewe
Hawa viongozi waliitumikia taifa kwa uaminifu hawakuwa mafisadi nyati 6 sio jambo la kuhoji kwa kawawa kuwa na akili
@@saidbakar-qo6ri Siyo wao waliotuambia na kutuaminisha kuwa binadamu wote ni sawa? Je kama kila mtanzania atahitaji kula atakavyo, hao wanyama watanusurika? Msikilize mjane akieleza namna wahusika walivyostuka kwa Kawawa kutaka nyati wanane. Sikiliza uzuri badala ya kukurupuka na mapenzi kibubusa.
Nyerere aliuinua ukatoliki na kuupa kipaumbele mno hapa Tanzania na mengine mengi ya kiitikadi yake.
Kawawa yeye sijaona na nafasi yake iliyosaidia dini yake na alama alizoacha ndani ya uislamu tangu aingie madarakani
Ndio uzembe walioufanya
Acha uongo unexaliwa mwaka gani. Nyerere huyohuyo alitaifisha shule za katoliki.ili dininnyinginevwasome. Unalijua hiyo. Sijamsikiliza mpaka mwushonhuyunni.mke mdogo wamiaja mine kama sikosei.
Wewe hukupenda kusoma umekuwa mjinga unatia aibu hujielewi hujui unachosema, kichwa kimejaa mavi hicho. Nyerere alipendelea sana waislamu na ndio wanaoongoza kwa kumtukana na kumchukia kwa sababu ya ujinga. Ama kweli Nguruwe ni nguruwe tu hata umfanyeje. Nyerere kanyang’anya wakatoliki mali zao walizonenga kwa sadaka za waumini; mashule ya mapadre na masista, vyuo, mahospitali n.k. Kachukuwa kwa nguvu kafanya mali za serikali ili wananchi wa dini zote wazitumie kwa kuwa serikali hai kuwa bado na uwezo wa kutosheleza mahitaji. Ingekuwa hizo mali ni za waislamu zimechukuliwa leo hii kungekuwa na vita nchi hii. Unafiki na uwongo na roho mbaya na hiyana ndio asili yenu. Mkapa nae kawapa chuo cha Kiislamu ambacho ni majengo ya 𝙏𝙖𝙣𝙚𝙨𝙘𝙤 iliyojengwa na watu wa dini zote amewapa waislamu waanzishe chuo cha dini yao hadi leo wameshindwa kukikuza au kuongeza chochote ni kugombana tu kila siku huyu kalıba kile huyu kadhulumu hiki, wanafiki laanatullah. Mnamlaumu Nyerere kwa lipi? Nyie mnajuwa umalaya tu kazi hamfanyi, Shule hamtaki, mali za bakwata masheikh wanauza wanawazumguka waislamu wenzao, dhulma tupu , kuna uislamu hapo? Siku mkiacha unafiki mkawa wakweli na mkapenda elimu mtajuwa shida yenu ni ujinga tu sio kingine.
Nyinyi wabaguzi sana. Umeamua kuleta agenda za udini. Hovyo kabisa
Now I can understand the guy unbelievable (kafir) that is why he did not know how to respect a muslima widow putting into consideration the Marhum is not around. Allah almusta3an
MZEE KAWAWA....MPIGANIA UHURU...MZALENDO WA KWELI WA NCHI YETU....ALIISHI MAISHA HALISI YA KITANZANIA.
Kawawa kataifisha nyumba za wahindi kwa Nini zake kama kafanya ivyo munategemea Nini
Atakiona huko Cha moto mbele ya Allah