PART 1: JAMES MBATIA, NILIKUA NATUMIKA NA MAGUFULI?/SERIKALI IMEFANYA NJAMA KUNING'OA NCCR

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 06. 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #Dar24 #Dar24Media

Komentáře • 23

  • @mcpetitkisinini681
    @mcpetitkisinini681 Před měsícem +3

    Interview kali sana

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před měsícem +1

    Hongera sana Mbatia endelea kusimamia kupigania Tanganyika.

  • @Commentsplus
    @Commentsplus Před měsícem +2

    Wamevaa sout za kufanana ujue

  • @luhasamaligo7907
    @luhasamaligo7907 Před měsícem

    Mtu mmoja makini sana Joseph Francis Mbatia

  • @habyhabib7538
    @habyhabib7538 Před měsícem

    Unajua unapoiangalia tanzania ,unaiona tanzania,tunahitaji wanasiasa makini ambao wanaokua na uchungu juu ya utaifa wetu wa tanzania,ni moja wapo ya tunu na mentor wa wanasiasa wengne ambao wako sehem fulani,tunachotaman wananchi nikuona taifa linafika wapi,
    Kwa kumaliza hakuna binadam mkamilifu,tamat kabisa kabisa tunahtaj tanzania salama,tusiache kutoa elimu sahihi ya utafakar juuu ya uzalendo

  • @tobiaspaul9203
    @tobiaspaul9203 Před měsícem

    Roly mode wangu

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Před měsícem

    Majanga zaidi bwana mbatia ni machinga ccm iliyo mwagwa barabarani hao ndio wataleta vyama wakishika panga hawataludi nyumba asante

  • @luhasamaligo7907
    @luhasamaligo7907 Před měsícem

    Yoooh

  • @m.s.nyerere476
    @m.s.nyerere476 Před měsícem +1

    Huyu mzee ana uwezo mkubwa! Much love to him!!

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před měsícem

    Sasa yeye aliemtoa Mbatia amenya nini ?
    Yeye huyo yuko kwa ajili ya CCM that is all

  • @loningoletayo8453
    @loningoletayo8453 Před měsícem

    Nilikuwa nakukubqli sana ukiotoa ufafanuzi juu ya majanga ya kiaifa

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Před měsícem

    Yuniform kijani kabisa

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 Před měsícem

    NCCR mageuzi ilianzishwawaka 1992 na sio 1993

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Před měsícem

    Hamuna haki Tanzania labda makonda au silaa wawe maraisi ndio haki itapatikana

  • @medinaser9712
    @medinaser9712 Před měsícem

    Muheshimiwa mbatia ni hazina ya taifa .....kwanini asiende atc wazalendo ...kwa siasa zake panamfaa sana kwa anaendana na siasa zake za kistarabu

  • @charlessolomon5928
    @charlessolomon5928 Před měsícem

    mbatia nampenda saana ila goli alilopo halifungiki

  • @saturinimushi4746
    @saturinimushi4746 Před měsícem +2

    Kama Siyo Migogoro ya Ndani Kupitia Wanasiasa Mamluki Vyama Vya Upinzani Tanzania Vingekuwa na Nguvu sana Kwa Sababu ya Hazina Ya Viongozi Wasomi Wenye Akili sana.
    Shida kubwa ni Usaliti.
    What? Goes Around Comes Around.
    Wewe Na Yule Mch. Aliyekuwa Mw.Kiti Wa Kanda ya Nyasa Uwezo Mnao.
    Tatizo kubwa ni kutanguliza Maslai Binafsi na Maslai ya Wachache kwa Baadhi ya Viongozi wa Vyama Vya Siasa.

  • @yugemasanza1008
    @yugemasanza1008 Před měsícem

    Kwa kweli wewe ni zaidi ya Lissu na akina Mbowe

    • @ezekielkiduge8730
      @ezekielkiduge8730 Před měsícem

      Wewe ni chawa kama chawa wengine ni nani asiyekujua!!!!!!

  • @Swahili360
    @Swahili360 Před měsícem

    Into 👍🏾🔥🔥🔥🔥🫡

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Před měsícem

    Tanzania hamuna upinzani wote ni chawa wa chama chamapinduzi mustuni hawawezi

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Před měsícem

    Ili Walpole vizuli

  • @michaelaloyce2072
    @michaelaloyce2072 Před měsícem

    Stupid interview