KAULI YA LISSU NA UZANZIBARI YAZUA BALAA/ KWELI RAIS MZANZIBAR? / KURA YA MAONI IWE SERIKALI 3

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 05. 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #Dar24 #Dar24Media

Komentáře • 297

  • @AugustinoPeter-rn9bn
    @AugustinoPeter-rn9bn Před měsícem +11

    Kaka hapo imechemsha soma katiba ya Mzanzibari

  • @williammwamalanga1065
    @williammwamalanga1065 Před měsícem +12

    MHE TUNDU LISU HAJAKOSEA NINYI NDIYO MNAKOSEA WEWE NI ZANZIBAR HUWEZI KUIELEZA VIZURI KAULI YA ZANZIBAR NA UTANGANYIKA TANGANYIKA ....

  • @drallan6879
    @drallan6879 Před měsícem +15

    ubaguzi Gani kusema ni mzanzibar na ameuza bandari na mbuga zetu na misitu so mama amejenga fikra hizo

    • @mkude
      @mkude Před měsícem

      Wewe unabandari wewe

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx Před měsícem

      Ufafanuzi umetolewa maana ya ubaguzi hujaelewa? Sikiliza tena

    • @fatmaabdalla1641
      @fatmaabdalla1641 Před měsícem

      Mwambien uyooooo

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před měsícem

      Rais Samia bora ungewapa hao WaArabu au Wazungu, Wachina bure bandari ya Zanzibar wakaifanyia kazi mambo yangekuwa mazuri. 😂😂😂 lakini pia ungeambiwa umefanya ubaguzi umetengeneza kwenu. Lakini usisahau kwenu pia. Magufuli hajasahau kwao .

    • @abdullahalsharji9428
      @abdullahalsharji9428 Před měsícem

      Kina wenye ufahamu wa inzi

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 Před měsícem +6

    Huyu Miraji apewe jukwaa la kongamano na Lissu halafu tutajua rangi yake.

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha Před měsícem +5

    Mtangazaji uwe mkweli au ufanye kazi yako vizuri. Wazanzibari hawajawahi kuwa watanzania. Acheni kupotosha mambo. Pia, huyo unayemhoji afanye utafiti. Huwezi kuwa mzanzibari na mtanzania kwa wakati mmoja hasa ikizingatiwa kuwa Tanzania tayari ina uzanzibari.

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Před měsícem

      Vivyo hivyo Mtanganyjka hajawahi kuwa mtanzania, huwezi kuwa Mtanganyjka papi hapo ukawa mtanzania. Hivyo katika Tanzania Kuna watanganyika na wazanzibari. Sawa?

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 Před měsícem +4

    Mbona mtanganhika hawezi kuwa rais au mbunge zanzibar?

  • @samsonkatigiri2344
    @samsonkatigiri2344 Před měsícem +6

    Huyu mzee hana anachokijua ni mtu wa kukopi na kupest,mzee jibu maswali usilete maelezo mengi,huna uwezo wa kujibu hayo maswali,hayo maswali ni very critical,

  • @WolterKamera-bv7hq
    @WolterKamera-bv7hq Před měsícem +6

    Kama nimunga Kwa mini watanganya hawatawali nzanziba

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Před měsícem +4

    Huyu mzee mwenyewe ni Mzanzibar bro,unapoteza muda wako hapo. Samia hana zuri aliloifanyia Bara labda Tz kwa mbaali na kwa faida zaidi ya Zanzbar

  • @drallan6879
    @drallan6879 Před měsícem +15

    speak in a professional manner;lissu is genius you can't compete with him or challenge him;leave our genius lissu a lone

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim Před měsícem +1

      Lissu ni mjinga2 hana uginious wowote

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před měsícem

      Wasojuwa wanamuona Genius . Makosa Rais Samia kamrejesha Tena Bara huyu Genius mnae msema. Magufuli alimtowa mbio allimfukuza. 😂😂😂

    • @AhmedZahor
      @AhmedZahor Před měsícem

      Kwani nyie Watanganyika nani kakwambieni Sie Zanzibar tunataka Muuongano na nyie si Munatulazimisha tu Kwa mitutu ya Bunduki

  • @mokiaolenaputu7648
    @mokiaolenaputu7648 Před měsícem +2

    Umepwaya sana mzee. Ungejaribu kujibu hoja Kama msomi na sio kwa mihemko ya uzanzibari

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t Před měsícem +3

    Kwanza huuu mungano sielewi faida yake Nini Bora tuuuvunje Hauna faida yoyote

  • @user-ig7tb1cf8z
    @user-ig7tb1cf8z Před měsícem +6

    Tundu amekoti katiba ya Zanzibar

  • @user-me9nr2qc3x
    @user-me9nr2qc3x Před měsícem +2

    Kwa nini mnakwepa hoja ya msingi mbona hajawaahamisha Wapemba anahamisha wamasai

  • @amanimanase8799
    @amanimanase8799 Před měsícem +2

    Tundu umeongea points sana

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Před měsícem +1

    Asante..🤝 mengi tuu yamefanywa na mabaya sanaaa kabla ya Rais Samia.

  • @nanguniMtaita-hz4zt
    @nanguniMtaita-hz4zt Před měsícem +5

    Kuuza vitu vyeyu Tanganyika. Ubaguzi mbona yy hauzi bandari za Zanzibar. Wewe hujielewi. Bora unyamaze hatukuelewi.

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim Před měsícem

      Jee kuletwa wanajeshi watanganyika na kupiga Wazanzibar hili mbn hamlisemi...

  • @user-gq6vz6we3m
    @user-gq6vz6we3m Před 25 dny +1

    Wazanzibari ni wabaguzi sana Tanganyika inawalea hawana hata shukran wanasema paspoti kwa mtanganyika tu wao waje bila. Paspoti ubaguzi mtupu

  • @abdulsaid1015
    @abdulsaid1015 Před 18 dny

    Bro..miraji uko vizuri sana ...mungu akutae akili.

  • @iddiali8057
    @iddiali8057 Před měsícem +2

    MBONA SIMPLE SANA! TUPIGE KURA YA MAONI YA KUUVUNJA MUUNGANO!

  • @AugustinoPeter-rn9bn
    @AugustinoPeter-rn9bn Před měsícem +6

    Usome katiba ya Mzanzibari kisha umukosoe 2:05

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před měsícem

      Kwa sisi Waislam huko ni kutia udhu huku unajamba. Kwenye Sheria au hata vitabu vitakatifu kuna sifa ya kufutana.

    • @user-rc4db5tg8f
      @user-rc4db5tg8f Před měsícem

      Katiba ya Zanzibar iko sawa ina haki kuzungumzia raia wake wazanzibari munatakiwa muelewe ile ni serikali ya mapinduzi zanzibar ni lazima izungumzie watu wake wazanzibari haiwezi kuzungumzia watanzania iko serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania iyo ndio watu wake wazanzibari na watanganyika na ndio inayoongelea watanzania.

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 Před měsícem +2

    WAZANZIBARI HATA SIKU MOJA HAWAJIITI WATANZANIA, ILA WATANGANYIKA NDIO WATANZANIA!

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Před měsícem +4

    MMUNGANO FEKI KBIS HUU

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Před měsícem +5

    Muandishi nimemempenda sana sana big up kwa Kumbana kwa maswali mazuri ila hujapata majibu yenye mashiko

  • @usafiaps318
    @usafiaps318 Před měsícem +2

    Mr Said Miraji Jibu Swali Kama Jinsi Ambavyo Tundu Lisu Alivyosema Tundu Alivyosema.Katiba Ya Zanzibar Inasemaje???

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m Před měsícem +4

    Nawaomba wanasiasa wawe wakweli 😮 muungano huu haufai tena😮 kwa kizazi chetu cha leo zilipendwa😂urekebishwe au tugawane mbao hilo ndio lll bakia❤

    • @khamisjuma7616
      @khamisjuma7616 Před měsícem

      wabara tele wana nafasi za uongozi masheha wengi zbar ni wabara kiufupi huu muungano ni vurugu tupu

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Před měsícem

      ​@@khamisjuma7616Wewe ni mgonjwa wahi hospital,tangu lini shehe au mchungaji akawa kiongozi wa serikani

  • @ShukuruJohnston
    @ShukuruJohnston Před měsícem +6

    Katiba ndo inashida, lissu hajakosea

  • @user-ig7tb1cf8z
    @user-ig7tb1cf8z Před měsícem +3

    Wewe hujui wazanzibari siyo watanzania.

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t Před měsícem +2

    Uyo miraji ame jikaanga mwenyewe ajibu hoja za lisu huuu mungano hatuutaki

  • @johnmanonijohn5544
    @johnmanonijohn5544 Před měsícem +8

    Kwahiyo watanganyika wanabaguliwa Zanzibar?

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke Před měsícem

      Nani kabaguliwa labda awo makahaba wanao kuja kujiuza live ilo kweli hatulitak

    • @daiqmull7474
      @daiqmull7474 Před měsícem

      Ndio tunabaguliwa

    • @omarhababuu3159
      @omarhababuu3159 Před měsícem

      ​@@daiqmull7474 munabaguliwa wap wakati hotili zote zanzibar mumejaa. Nyinyi watanganyika nafasi zote munazonyinyi masheha wazanziba karibu yawote niwatanganyika vikosi vyote wakubwa. Niwatanganyika masoko yote yaloko zanziba niwatanganyika

  • @user-sm7gj4mn5n
    @user-sm7gj4mn5n Před měsícem +2

    Hapan cuf walimwita Nyerere dunamozi

  • @djumakadege659
    @djumakadege659 Před měsícem +1

    Matatizo yote haya yameletwa na viongozi wa mwanzo kabisa mwaka 1964. Hawakuwa wakweli katika muungano huu kulikuwa na udanganyifu.
    kama kweli muungano huu ulikuwa wa haki wananchi waonyeshwe hati halali ya muungano na makubaliano yalikuwa vipi. tunamshukuru MwenyeziMungu hivi sasa mtu anaweza kuhoji muungano.zamani thubutu uhoji muungano kama utapona. mheshimiwa Tundu lisu amshukuru sana mama samia kwa kuruhusu uhuru wa kujieleza. ndugu zangu huko tulikotoka kulikuwa jahanam. sasa tuutumie uhuru huo vizuri bila kubaguana. wazee wetu wametuachia mtihani mkubwa.
    MwenyeziMungu tunusuru.

  • @samsonkatigiri2344
    @samsonkatigiri2344 Před měsícem +4

    kuanzia siku ya kutangazwa serikali tatu,kila mtu atachagua awe mzanzibar au mtanganyika,hilo halina tatizo kabisa

  • @user-cu3cl4yy5s
    @user-cu3cl4yy5s Před měsícem +6

    Zanzibar ina katiba yake iweje nchi moja iwe na katiba mbili???? Zanzibar ni ya wazanzibar na Tanganyika ni ya Muungano

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke Před měsícem +1

      Hii ni jamhuri ya muungano kati ya zanzibar na tanganyika, nyie ndio mumeuwa tanganyika yenu ili mpate kuimeza zanzibar, but zanzibar tunajielewa sisi zanzibar ipo hatuja ivunja

    • @user-cu3cl4yy5s
      @user-cu3cl4yy5s Před měsícem

      @@MohamedAhmada-ie7ke sawa na sisi tunataka Tanganyika yetu irudi na pili mikataba ya rasilimali zetu Tanganyika zilizowekwa na mzanzibar hatutaki bandari zipo Zanzibar akaweke uko waarabu pili haiwezekani juzi juzi tu wamasai wasumbuliwe uko Zanzibar alafu wasumbuliwe tena Ngorongoro kwenye ardhi yetu ya Tanganyika na mzanzibar huyo huyo

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke Před měsícem

      @@user-cu3cl4yy5s ukitaka mikataba tuanze kuijadili tuanzie wa kwenye muungano kwanza

    • @user-rc4db5tg8f
      @user-rc4db5tg8f Před měsícem

      Jamhuri ya muungano wa Tanzania ni nchi mbili zilizoungana sio nchi moja kama unavodanganywa na wanasiasa ingekua nchi moja kungekua na raisi mmoja tu lkni zanzibar ina raisi wake ina bunge lake wanasherehekea siku yao ya uhuru wao. Sasa Tanzania sio nchi moja. Kama ni nchi 1 kwanini ukinunua vitu zanzibar ukifika bandari ya Dar unalipishwa ushuru? Ni kwasababu unaingia nchi nyingine.

  • @rashiditembo1574
    @rashiditembo1574 Před měsícem +3

    Mtangazaji,mpatie na katiba ya Zanzibar atusomee,

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke Před měsícem

      Tatizo hamji elewi siku utakayo kua utaelewa, zanzibar ni nchi kamili, ambayo ime ungana na tanganyika. Ndio ikaja jamhuri ya muungano, Tanzania sio nchi moja Tanzania ni nchi mbili zilizo ungana

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke Před měsícem

      Ss nyie bara mumeuwa serekali yenu ya tanganyika ili muje kuifanya hii nchi iwe moja mupate kuingiza zanzibar iwe kwenu but zanzibar ilo hatulitak

  • @gidongailo7174
    @gidongailo7174 Před měsícem +1

    Maswali ya Mtangazaji critical lakini hakuna majibu ya maana

  • @danielkanso
    @danielkanso Před měsícem +1

    Kumbe lisu yuko correct maana hata huyo professor aningia pale pale

  • @agriphinasaidi5067
    @agriphinasaidi5067 Před měsícem +4

    MTANGAZAJI ASANTE SANA HUYO BWANA MIRAJI HAJAKUPA JIBU MKUTANISHE NA TUNDU LISSU

  • @JumanneMagafu
    @JumanneMagafu Před 28 dny

    ❤ Thanks 👍 for

  • @user-kt8kd5hq1g
    @user-kt8kd5hq1g Před 29 dny +1

    Zanzibar imekandamizwa miaka mingi sana sasa mama anajitahid kuweka usawa sasa kunawatu wachukia. tatizo hapa ni chuki dhidi ya aina Fulani ya watu

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před měsícem +11

    Kuuza bandari za Tanganyika je

    • @adamlubawa1281
      @adamlubawa1281 Před měsícem +3

      Itakuja kufila siku
      Watu wa pwani watasema BANDARI haziwahusu watu wa bara

    • @mkude
      @mkude Před měsícem +1

      Wewe unabandari,inaitwaje bandari yenu,watu wa pwani watamuunga mkono mama asilimia 90

    • @user-rc4db5tg8f
      @user-rc4db5tg8f Před měsícem

      Kama Samia kauza bandari za Tanganyika na nyinyi watanganyika munahusika kuuza izo bandari maana maamuzi hayo yalipelekwa bungeni na watanganyika walioko bungeni wakaunga mkono. Acheni ubaguzi.

  • @ismaelgadiye4488
    @ismaelgadiye4488 Před měsícem +2

    Soma pia katiba ya sanziba

  • @godsson5954
    @godsson5954 Před měsícem +2

    Muwe mnawahoj watu wenye akili

  • @jamjys1
    @jamjys1 Před 25 dny

    Wazanzibari wote are proud themselves kuwa wao ni waarabu hakuna asielijua hilo

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 Před měsícem +5

    Mbona wabara wanabaguliwa Zanzibar muungano ni wa upande mmoja lakini wa bara ndio wapumbavu.

    • @qassimkc5898
      @qassimkc5898 Před měsícem

      Wanabaguliwa vipi? Tueleze

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim Před měsícem

      Mbn kila boti zikienda Zanzibar wabara ndo wamejazana wanaenda wapi ikiwa wanabaguliwa...tunalala nao..tunaenjoy nao na tunawazalisha sasa tunawabaguaje wewe pwaguzi jamani

    • @rosekimaro384
      @rosekimaro384 Před měsícem +1

      Kabisa broo

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Před měsícem +1

    Hapo anaisemea zanzibar. Wewe ugombee kwangu, uchague kwangu, umuliki aridhi kwangu, ufanya unavyotaka kwangu, lakini mimi siruhusiwi kufanya asilimia 90 za vitu kwako ?

  • @user-ng4vp2rn4h
    @user-ng4vp2rn4h Před měsícem +1

    Akili yangu imepoteza muda kusikiliza pumba mzee mzima lakin halijui kitu

  • @williammwamalanga1065
    @williammwamalanga1065 Před měsícem +2

    Huyo miraji anachafua hali ya hewa tafadhari muuondoeni hapo

  • @yonasimion3130
    @yonasimion3130 Před 28 dny

    Tunakaka serikali 3, Zanzibar, Tanganyika na Tanzania.

  • @user-hi7df6js2m
    @user-hi7df6js2m Před měsícem +3

    Raslimali za Tanganyika ni Cha WOTE lakini Raslimali za zanzibar ni za Wazanzibari tu. Unasemaje kuhusu hili ?

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke Před měsícem

      Wewe uliona wapi dhahabu ikaja zanzibar na madini mengine

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim Před měsícem

      Hili liko pow..sana..mbn tulitaka kuleta sukar kutoka Zanzibar mlikataa...samia wanyooshe hao uza kila kitu ni wakati wako huu..wanatuua sana hao kila uchaguzi wanatuua Watanganyika..fanya hima hakikisha unauza Tanganyika yote

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Před měsícem

      ​@@MohamedAhmada-ie7keWafanyakazi wote waliomo kwenye wizara za muungano wanalipwa na Tanganyika siyo Zanzibar

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Před měsícem

      ​@@SoudShuraimSukari kutoka wapi wewe, wakati ninyi wenyewe haiwatoshi,mnaleta Sukari ya nje ili iweje

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke Před měsícem

      @@FridayMwassa kwanza utambue kua pato la zanzibar kwenye mambo ya Muungano yote ynakuja kwenye muungano so unasemaje kama tanganyika ndio inalipa, or hujui ilo

  • @ManaseAbilu
    @ManaseAbilu Před 28 dny

    U don't display internet why

  • @dentomedicalresourceslimit4602

    Kwani Katiba ya Zanzibar inasemaje kuhusu Uzanzibar?

  • @allyomary2271
    @allyomary2271 Před měsícem +2

    Mwandishi unahoji vitu vya msingi mno Tanganyika haina mamlaka kamili

  • @AlfredAsanwisyemwankotwa-dl2zy

    Hii katiba imebagua tayari kwanini mtanzania bara asimiliki aridhi ya Zanzibar harafu Zanzibar wanamiriki aridhi ya bara?

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim Před měsícem +1

      Wacha uwongo me mzanzibar wapo wengi watanganyika wana majumba mazur Zanzibar huku

    • @AlfredAsanwisyemwankotwa-dl2zy
      @AlfredAsanwisyemwankotwa-dl2zy Před měsícem

      @@SoudShuraim Hilo linawezekana kwa ujanja ujanja unajua jinsi tulivyo watanzania, ila nilichokuwa nasema ni kwamba vikwazo tulivyowekeana pande zote mbili viondolewe, pia walioweka walikuwa watu, sio malaika. Na kwa uhitaji wa pande zote mbili, Kuna haja ya kufanyia kazi marekebisho ya katiba iendane na uhitaji wa pande zote mbili, wasilazimishe, makubariano ya watu ambao hata Leo hatunao, hatujui kama wao iliwafaa kwa wakati wao, na sisi tunaona ni wakati wa kurekebisha, ili itufae kwa wati wetu,

  • @richardmwandanji65
    @richardmwandanji65 Před měsícem +2

    Hatuku sahau sisi ni watanganyika au mnataka tuanze kudai tanganyika yetu mbonawa natu tafuta kwani Raisi wetu hajauza bandari zetu amesaini hatatunapo pigakelele Sasa sisi mmetufanya SI sawa mbona mmetubagua kama maoni yetu haya sikilizwi inawezekana wameamua kutumia maneno makali Ili kusikiliza tukisikilizwa hayayote hayatakuwepo

  • @eddyeddy1337
    @eddyeddy1337 Před měsícem +1

    Miraji uko sahihi kabisa

  • @williammwamalanga1065
    @williammwamalanga1065 Před měsícem +2

    Bw miraji kwa nini mambo hayo ya Zanzibar yapeleke Zanzibar kwenye kati8ba yenu sisi Watanganyika tunasubili katiba Mpya

  • @michaelmlawa4814
    @michaelmlawa4814 Před měsícem +1

    Hana jipya sisee angejibu hoja za lisu vitu anavyofanya mzazibar bara mbn hayafanyiki zanzibar kama inafaida? Chawa kama machawa wengine

  • @user-fw8wm2xd8x
    @user-fw8wm2xd8x Před měsícem

    Lisu upo sahihi mungu ni kweli usichoke kusema ukweli : kweli itakuweka huru

  • @user-zj4ii6uf7t
    @user-zj4ii6uf7t Před měsícem +2

    Ivi nyiye watanganyika nawauliza? kuna mtanganyika yeyeyote mwenye aseti zozote Zanzibar?km walivyo na aseti wenyewe huku Tanganyika?km iko hivyo basi hakuna haja ya kuwa na nchi mbili, basi tayari ni wamoja,inatakiwa tuwe na nchi moja,ila km ndo wenyewe wanaaseti nyingi Tanganyika mjue kabisa kuwa hawo siyo wazuri kwetu,ni kuwa makini nao viongozi wetu.maana watakuwa ni wanyonyaji,wanataka kurunyonya watanganyika?

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim Před měsícem

      Weee wapo wengi huku njoo nikuonyeshe...au wewe hutembei..njoo Zanzibar utawaona wabongo wanamiliki majumba

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 Před 26 dny

    Ni kama Isle of Man iko kwenye UK lakini wana mambo yao na serikali yao. SCOTLAND ina mambo yao lakini ni United Kingdom

  • @mkude
    @mkude Před měsícem

    Miraji umeeleweka vizuri sanaa

  • @abdallakajenje6131
    @abdallakajenje6131 Před měsícem +3

    Niujinga mtupu,leteni katiba. Ndio suluhisho tunataka Tanganyika yetu.zanzibar iliungana na Tanganyika bloo,ikeja Tanzania ujuwe

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před měsícem

      Watu dunia nzima wanajuwa usitake kufundisha watu kwenye comments zako Tanganyika ipo mpaka leo lakini nyinyi hamulipendi hilo jina 😂😂😂😂. Jiulize nani kaleta hilo jina la Tanzania

  • @user-lq9rf6qq1d
    @user-lq9rf6qq1d Před měsícem

    Tindu Lisu ndio mkosaji lkn Mbunge wa Zanzibar ndio ana makosa kusema twende Zanzibar na passport.

  • @mnyongeiddi2454
    @mnyongeiddi2454 Před měsícem

    Huyu Mzee elimu yake ndogo sana ukimusikiliza hajibu hoja vzr

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 Před 26 dny

    Watanzania kuwaeleza Eseler’i ni Waziri maana ujinga wao ni mwingi. Watu wansfanya yea sana

  • @HumoudSalim-ct1tz
    @HumoudSalim-ct1tz Před měsícem

    Said hongera Sana tulihangaikasana Chini ya cuf Allah awareness vingozi Wetumpka mailim seif alhaj panda shabban mloo naallah atusameh maalim Khabibulin juma hamad massoud wamekupika wewe na abou

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 Před měsícem

    MASHOGA MWILI YANAHOJIANA KIUSHOG🤣🤣!

  • @user-ue2nz3vc4j
    @user-ue2nz3vc4j Před měsícem

    Wanautukuza utanganyika ni wapumbavu si maneno yangu ila ni nukuu za Muasisi wa Tanzania..

  • @user-dk2hz4xk8y
    @user-dk2hz4xk8y Před měsícem

    Hili zee nalo kubwa jinga kabisaaaa

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Před měsícem

    Safi sana Mr. Miraji. Nakubaliana nawe kwa asilimia fulani lakini walioamua kuwa na muundo uliopo hawakuwa na jazba hivyo kuuzungumzia Muungano kwa jazba ni hatari.

  • @fidelisferuzi5503
    @fidelisferuzi5503 Před měsícem

    Ukisikiliza vizuri maoni ya Bwana Miraji utaona kuwa katika yote suala la MASLAHI ya Mzanzibari yanapewa kipaumbele.

  • @user-jd9bx2qv6r
    @user-jd9bx2qv6r Před 29 dny

    Hakuna ubaguzi juu ya kauli ya lisu Rais samia tazama kwa namna tofauti ili tupate utatuzi wa kweli bila kufichana ukweli katiba yetu imepitwa na wakati na baba wa taifa alisema haya

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im Před měsícem +2

    Sasa hapo umejipiga risasi mwenyewe. Tundu Lissu amehoji kwa nini kuna wazanzibari wengi BUNGENI Tanganika bara na Hakuna watanganyika kwenye bunge la Zanzibari. Kwa nini watanganyika hawaruhusiwi kununuwa aridhi Zanzibari lakini wan Zanzibari wana węża kununuwa aridhi Tanzania. Kwa nini watanzania hawaajiliwi Kazi serkalini Zanzibar?

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim Před měsícem

      Mbn Wazanzibar hatuutaki muungano zaman2 sema Watanganyika ndo wanalazmisha..vunjeni Leo muone tutafrahia sana..kuajiriwa njoo utaona wamejaa Watanganyika maofisini..majeshi ndo usiseme ndo watupu kule pemba saiv..hadi mama ntilie wamejaa kutoka tanga..

  • @boneventuremweya3673
    @boneventuremweya3673 Před měsícem +2

    Hapa ndo nilipotaka tangu mdogo kwa nini tuna Muungano wa ajabu?suruhisho litapatikana punde.

  • @KimanguShemwaliko-ht2jr
    @KimanguShemwaliko-ht2jr Před měsícem

    Lisu bado Hana mpizan katika kujenga huja na hajazaliwa.lisu atabaki kilelni,mpaka sasa lisu ana point 1000

  • @alrabee01suleiman40
    @alrabee01suleiman40 Před měsícem

    Shk said hapo unaposema tumekubalia watanganyika watumie mambo yao ndani ya muungano sio kweli.
    Hapo sijui umekimbia nini??

  • @miltoneobunde5835
    @miltoneobunde5835 Před 20 dny

    Kama haya ndiyo majibu ya Muungano Basi KATIBA inahitaji ukarabati

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 Před měsícem

    Kama sisi wa pemba tunapo banguliwa unguja haja kosea lissu

  • @silaaaron1360
    @silaaaron1360 Před 28 dny

    Nataka kununua shamba zbar. Naomba ailye nalo aniuzie. Naishi Mwanza.

  • @SalambaPeter
    @SalambaPeter Před 11 dny

    Kwanza wanzanzibari hawatakiwi kulalamika juu ya muungano maana wanufaika ni wao wako wachache mgao sawa wanatunyonya sana

  • @alanmwijarubi
    @alanmwijarubi Před měsícem

    Sasa kama time zoteee hizo zimlishatoa pendekezo la serikali tatu shida inakuwa nini kufanya hivyo?

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u Před měsícem

    Watu wote ni sawa mbona kwenye mikopo tunabaguana benki wanabagua wafanyakazi kutoka mikopo benki wanakopesha wafanyakazi wa serikali kwa mashariti nafuu tu sekta binafisi hakuna unafuu

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Před 27 dny

    Zanzibar wana katiba yao inampa kipaombele Mzanzibar ,na Watanganyika mnapaswa kuwa na katiba yenu inayompa Kipao mbele Mtanganyika halas ila Tatizo lenu Tanganyika mmeipenyeza kwenye Jamuhuri ya Muungano na ndio maana Wazanzibari wakija kwenye Jamuhuri wanakuwa wana haki

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 Před 26 dny

    Kwanza Tundu Lissu sura mbaya, mimi pia nimemubagua asipigiwendura, vijana hawamtski sura hoi hoi

  • @LukasNyahega-ok5yc
    @LukasNyahega-ok5yc Před měsícem

    Mpeleken mahakaman watanzania kujadili ujinga ndo kazi zao kila mwaka CAG anatwambia mwigulu kaiba hela ambayo ni kodi zetu hatujadili Leo lisu kusema ukweli tunatafuta jinsi yakumtowa asiseme ukwel

  • @cosmaswilliam3805
    @cosmaswilliam3805 Před 29 dny

    TANGANYIKA yetu iko wapi?waongo wote wafungwe mdomo

  • @user-mm6fe9vz2p
    @user-mm6fe9vz2p Před měsícem +2

    Hakuna ubaguzi hapo shida katiba hamjui Zanzibar Kuna katiba Yao je sisi watanganyika katiba yetu Iko wapi

    • @maftahmusa9513
      @maftahmusa9513 Před měsícem

      kamuulizeni baba yenu wa taifa Nyerere katiba ya Tanganyika iko wapi?
      weka akilini kua hiyo ndio gharama ya kuitawala Zanzibari baba Yenu aliuza katiba ya Tangayika ili aitawale Zanzibari kimataifa sasa acha Wazanzibari wale nchi na wao wafaidi

  • @gellangi9694
    @gellangi9694 Před měsícem

    Tufanye kura ya maoni kuhusu uhitaji na aina, muundo tuutakao wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

  • @stevenmarunda4353
    @stevenmarunda4353 Před měsícem

    Acheni kutudanganya tuambien upande gan wazanzibar alishawahi kutawaliwa na mtanganyika namtudhibitishie mubara gan anamiliki aridhi zanzibar nitaamin akuna ubaguzi

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 Před 26 dny

    Yaani umeme za vizuri, lakini Tundu Lissu sumu atachanganya watu akili zao

  • @josephatcelestinemuhoza2214

    Tundu Lissu, ameuliza, Katiba ya Zanzibar kusema, "mzanzibari atahualpa na haki na fursa vya mzanzibari," huo nao ni ubaguzi?

  • @twahirshali8014
    @twahirshali8014 Před 29 dny

    Lisu Hajui siasa Ana Kila mipaka na hwezi kuwa kirongizi Hafai

  • @DaudiSaid-bj7dh
    @DaudiSaid-bj7dh Před měsícem

    Mnamchekea sana huyu Tundu sasa ndo mtajua kwanini aliwekwa uhamishoni. Hawa watu sio wakujenga bali huwa wanavuruga watu. Magu aliyaona haya. Haya majitu yameishindwa na maisha huko uhamishoni yamerudi kusumbua watu. Nje hakuna upigaji ndo maana yote yamerudi kupata pesa za bure.

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 Před měsícem

    Nikweri hope hamna mgano niuchwaratu

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 Před měsícem

    Tuachieni nchi yetu kauzeni Zanzibar

  • @yonazimpombe1160
    @yonazimpombe1160 Před měsícem

    Kwanza turejesheheni bandari yetu na mbuga zetu kabla ya hizo porojo za siasa

  • @allyalsubhy6899
    @allyalsubhy6899 Před měsícem

    Limeibuka kwasababu Samia ni mzanzibar, Abdu Jumbe ni mtanganyika, mwinyi mtanganyika na wote wmetutawala, takanyika mna ubaguzi wa waziwazi iposiku mtabaguwana wenyewe

  • @user-vd1vx1dc8p
    @user-vd1vx1dc8p Před měsícem

    Kwanza hakuna nchi inaitwa Tanzania bara.

  • @kinkybanjukome217
    @kinkybanjukome217 Před 29 dny

    Hata makufuli aliuza maliasili za Tanzania mbona hawakusema mnyamwezi lissu na mbowe tumeyajua wanayoyaficha kwenye nyoyo zao kumbe hawawapendi wazanzibar