KAULI YA LISSU NA UZANZIBARI YAZUA BALAA/ KWELI RAIS MZANZIBAR? / KURA YA MAONI IWE SERIKALI 3
Vložit
- čas přidán 5. 05. 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
Kaka hapo imechemsha soma katiba ya Mzanzibari
MHE TUNDU LISU HAJAKOSEA NINYI NDIYO MNAKOSEA WEWE NI ZANZIBAR HUWEZI KUIELEZA VIZURI KAULI YA ZANZIBAR NA UTANGANYIKA TANGANYIKA ....
Wazanzibar kawafungua macho
ubaguzi Gani kusema ni mzanzibar na ameuza bandari na mbuga zetu na misitu so mama amejenga fikra hizo
Wewe unabandari wewe
Ufafanuzi umetolewa maana ya ubaguzi hujaelewa? Sikiliza tena
Mwambien uyooooo
Rais Samia bora ungewapa hao WaArabu au Wazungu, Wachina bure bandari ya Zanzibar wakaifanyia kazi mambo yangekuwa mazuri. 😂😂😂 lakini pia ungeambiwa umefanya ubaguzi umetengeneza kwenu. Lakini usisahau kwenu pia. Magufuli hajasahau kwao .
Kina wenye ufahamu wa inzi
Huyu Miraji apewe jukwaa la kongamano na Lissu halafu tutajua rangi yake.
Mtangazaji uwe mkweli au ufanye kazi yako vizuri. Wazanzibari hawajawahi kuwa watanzania. Acheni kupotosha mambo. Pia, huyo unayemhoji afanye utafiti. Huwezi kuwa mzanzibari na mtanzania kwa wakati mmoja hasa ikizingatiwa kuwa Tanzania tayari ina uzanzibari.
Vivyo hivyo Mtanganyjka hajawahi kuwa mtanzania, huwezi kuwa Mtanganyjka papi hapo ukawa mtanzania. Hivyo katika Tanzania Kuna watanganyika na wazanzibari. Sawa?
Mbona mtanganhika hawezi kuwa rais au mbunge zanzibar?
Huyu mzee hana anachokijua ni mtu wa kukopi na kupest,mzee jibu maswali usilete maelezo mengi,huna uwezo wa kujibu hayo maswali,hayo maswali ni very critical,
Kama nimunga Kwa mini watanganya hawatawali nzanziba
Huyu mzee mwenyewe ni Mzanzibar bro,unapoteza muda wako hapo. Samia hana zuri aliloifanyia Bara labda Tz kwa mbaali na kwa faida zaidi ya Zanzbar
speak in a professional manner;lissu is genius you can't compete with him or challenge him;leave our genius lissu a lone
Lissu ni mjinga2 hana uginious wowote
Wasojuwa wanamuona Genius . Makosa Rais Samia kamrejesha Tena Bara huyu Genius mnae msema. Magufuli alimtowa mbio allimfukuza. 😂😂😂
Kwani nyie Watanganyika nani kakwambieni Sie Zanzibar tunataka Muuongano na nyie si Munatulazimisha tu Kwa mitutu ya Bunduki
Umepwaya sana mzee. Ungejaribu kujibu hoja Kama msomi na sio kwa mihemko ya uzanzibari
Kwanza huuu mungano sielewi faida yake Nini Bora tuuuvunje Hauna faida yoyote
Tundu amekoti katiba ya Zanzibar
Inasemaje
Kwa nini mnakwepa hoja ya msingi mbona hajawaahamisha Wapemba anahamisha wamasai
Tundu umeongea points sana
Asante..🤝 mengi tuu yamefanywa na mabaya sanaaa kabla ya Rais Samia.
Kuuza vitu vyeyu Tanganyika. Ubaguzi mbona yy hauzi bandari za Zanzibar. Wewe hujielewi. Bora unyamaze hatukuelewi.
Jee kuletwa wanajeshi watanganyika na kupiga Wazanzibar hili mbn hamlisemi...
Wazanzibari ni wabaguzi sana Tanganyika inawalea hawana hata shukran wanasema paspoti kwa mtanganyika tu wao waje bila. Paspoti ubaguzi mtupu
Bro..miraji uko vizuri sana ...mungu akutae akili.
MBONA SIMPLE SANA! TUPIGE KURA YA MAONI YA KUUVUNJA MUUNGANO!
Short and clear
Usome katiba ya Mzanzibari kisha umukosoe 2:05
Kwa sisi Waislam huko ni kutia udhu huku unajamba. Kwenye Sheria au hata vitabu vitakatifu kuna sifa ya kufutana.
Katiba ya Zanzibar iko sawa ina haki kuzungumzia raia wake wazanzibari munatakiwa muelewe ile ni serikali ya mapinduzi zanzibar ni lazima izungumzie watu wake wazanzibari haiwezi kuzungumzia watanzania iko serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania iyo ndio watu wake wazanzibari na watanganyika na ndio inayoongelea watanzania.
WAZANZIBARI HATA SIKU MOJA HAWAJIITI WATANZANIA, ILA WATANGANYIKA NDIO WATANZANIA!
MMUNGANO FEKI KBIS HUU
Muandishi nimemempenda sana sana big up kwa Kumbana kwa maswali mazuri ila hujapata majibu yenye mashiko
Mr Said Miraji Jibu Swali Kama Jinsi Ambavyo Tundu Lisu Alivyosema Tundu Alivyosema.Katiba Ya Zanzibar Inasemaje???
Nawaomba wanasiasa wawe wakweli 😮 muungano huu haufai tena😮 kwa kizazi chetu cha leo zilipendwa😂urekebishwe au tugawane mbao hilo ndio lll bakia❤
wabara tele wana nafasi za uongozi masheha wengi zbar ni wabara kiufupi huu muungano ni vurugu tupu
@@khamisjuma7616Wewe ni mgonjwa wahi hospital,tangu lini shehe au mchungaji akawa kiongozi wa serikani
Katiba ndo inashida, lissu hajakosea
Huna akili ndio maana unaona lisu yuko sawa
Ww ndio una akili kwasababu unadharau maoni ya mwezako.
Wewe hujui wazanzibari siyo watanzania.
Uyo miraji ame jikaanga mwenyewe ajibu hoja za lisu huuu mungano hatuutaki
Kwahiyo watanganyika wanabaguliwa Zanzibar?
Nani kabaguliwa labda awo makahaba wanao kuja kujiuza live ilo kweli hatulitak
Ndio tunabaguliwa
@@daiqmull7474 munabaguliwa wap wakati hotili zote zanzibar mumejaa. Nyinyi watanganyika nafasi zote munazonyinyi masheha wazanziba karibu yawote niwatanganyika vikosi vyote wakubwa. Niwatanganyika masoko yote yaloko zanziba niwatanganyika
Hapan cuf walimwita Nyerere dunamozi
Matatizo yote haya yameletwa na viongozi wa mwanzo kabisa mwaka 1964. Hawakuwa wakweli katika muungano huu kulikuwa na udanganyifu.
kama kweli muungano huu ulikuwa wa haki wananchi waonyeshwe hati halali ya muungano na makubaliano yalikuwa vipi. tunamshukuru MwenyeziMungu hivi sasa mtu anaweza kuhoji muungano.zamani thubutu uhoji muungano kama utapona. mheshimiwa Tundu lisu amshukuru sana mama samia kwa kuruhusu uhuru wa kujieleza. ndugu zangu huko tulikotoka kulikuwa jahanam. sasa tuutumie uhuru huo vizuri bila kubaguana. wazee wetu wametuachia mtihani mkubwa.
MwenyeziMungu tunusuru.
kuanzia siku ya kutangazwa serikali tatu,kila mtu atachagua awe mzanzibar au mtanganyika,hilo halina tatizo kabisa
Zanzibar ina katiba yake iweje nchi moja iwe na katiba mbili???? Zanzibar ni ya wazanzibar na Tanganyika ni ya Muungano
Hii ni jamhuri ya muungano kati ya zanzibar na tanganyika, nyie ndio mumeuwa tanganyika yenu ili mpate kuimeza zanzibar, but zanzibar tunajielewa sisi zanzibar ipo hatuja ivunja
@@MohamedAhmada-ie7ke sawa na sisi tunataka Tanganyika yetu irudi na pili mikataba ya rasilimali zetu Tanganyika zilizowekwa na mzanzibar hatutaki bandari zipo Zanzibar akaweke uko waarabu pili haiwezekani juzi juzi tu wamasai wasumbuliwe uko Zanzibar alafu wasumbuliwe tena Ngorongoro kwenye ardhi yetu ya Tanganyika na mzanzibar huyo huyo
@@user-cu3cl4yy5s ukitaka mikataba tuanze kuijadili tuanzie wa kwenye muungano kwanza
Jamhuri ya muungano wa Tanzania ni nchi mbili zilizoungana sio nchi moja kama unavodanganywa na wanasiasa ingekua nchi moja kungekua na raisi mmoja tu lkni zanzibar ina raisi wake ina bunge lake wanasherehekea siku yao ya uhuru wao. Sasa Tanzania sio nchi moja. Kama ni nchi 1 kwanini ukinunua vitu zanzibar ukifika bandari ya Dar unalipishwa ushuru? Ni kwasababu unaingia nchi nyingine.
Mtangazaji,mpatie na katiba ya Zanzibar atusomee,
Tatizo hamji elewi siku utakayo kua utaelewa, zanzibar ni nchi kamili, ambayo ime ungana na tanganyika. Ndio ikaja jamhuri ya muungano, Tanzania sio nchi moja Tanzania ni nchi mbili zilizo ungana
Ss nyie bara mumeuwa serekali yenu ya tanganyika ili muje kuifanya hii nchi iwe moja mupate kuingiza zanzibar iwe kwenu but zanzibar ilo hatulitak
Maswali ya Mtangazaji critical lakini hakuna majibu ya maana
Kumbe lisu yuko correct maana hata huyo professor aningia pale pale
MTANGAZAJI ASANTE SANA HUYO BWANA MIRAJI HAJAKUPA JIBU MKUTANISHE NA TUNDU LISSU
Tundulisu mbaguzi asie jielewa
Lisu msomi hewa
@@emmanuelmlowe-ew7gxumemzidi nini wewe
Kitu ambacho sikijui vip bandari zetu na za Zanzibar zp zimeuzwa?
❤ Thanks 👍 for
Zanzibar imekandamizwa miaka mingi sana sasa mama anajitahid kuweka usawa sasa kunawatu wachukia. tatizo hapa ni chuki dhidi ya aina Fulani ya watu
Kuuza bandari za Tanganyika je
Itakuja kufila siku
Watu wa pwani watasema BANDARI haziwahusu watu wa bara
Wewe unabandari,inaitwaje bandari yenu,watu wa pwani watamuunga mkono mama asilimia 90
Kama Samia kauza bandari za Tanganyika na nyinyi watanganyika munahusika kuuza izo bandari maana maamuzi hayo yalipelekwa bungeni na watanganyika walioko bungeni wakaunga mkono. Acheni ubaguzi.
Soma pia katiba ya sanziba
Muwe mnawahoj watu wenye akili
Wazanzibari wote are proud themselves kuwa wao ni waarabu hakuna asielijua hilo
Mbona wabara wanabaguliwa Zanzibar muungano ni wa upande mmoja lakini wa bara ndio wapumbavu.
Wanabaguliwa vipi? Tueleze
Mbn kila boti zikienda Zanzibar wabara ndo wamejazana wanaenda wapi ikiwa wanabaguliwa...tunalala nao..tunaenjoy nao na tunawazalisha sasa tunawabaguaje wewe pwaguzi jamani
Kabisa broo
Hapo anaisemea zanzibar. Wewe ugombee kwangu, uchague kwangu, umuliki aridhi kwangu, ufanya unavyotaka kwangu, lakini mimi siruhusiwi kufanya asilimia 90 za vitu kwako ?
Akili yangu imepoteza muda kusikiliza pumba mzee mzima lakin halijui kitu
Huyo miraji anachafua hali ya hewa tafadhari muuondoeni hapo
Tunakaka serikali 3, Zanzibar, Tanganyika na Tanzania.
Raslimali za Tanganyika ni Cha WOTE lakini Raslimali za zanzibar ni za Wazanzibari tu. Unasemaje kuhusu hili ?
Wewe uliona wapi dhahabu ikaja zanzibar na madini mengine
Hili liko pow..sana..mbn tulitaka kuleta sukar kutoka Zanzibar mlikataa...samia wanyooshe hao uza kila kitu ni wakati wako huu..wanatuua sana hao kila uchaguzi wanatuua Watanganyika..fanya hima hakikisha unauza Tanganyika yote
@@MohamedAhmada-ie7keWafanyakazi wote waliomo kwenye wizara za muungano wanalipwa na Tanganyika siyo Zanzibar
@@SoudShuraimSukari kutoka wapi wewe, wakati ninyi wenyewe haiwatoshi,mnaleta Sukari ya nje ili iweje
@@FridayMwassa kwanza utambue kua pato la zanzibar kwenye mambo ya Muungano yote ynakuja kwenye muungano so unasemaje kama tanganyika ndio inalipa, or hujui ilo
U don't display internet why
Kwani Katiba ya Zanzibar inasemaje kuhusu Uzanzibar?
Twambie wewe sisi hatujui
Mwandishi unahoji vitu vya msingi mno Tanganyika haina mamlaka kamili
Hii katiba imebagua tayari kwanini mtanzania bara asimiliki aridhi ya Zanzibar harafu Zanzibar wanamiriki aridhi ya bara?
Wacha uwongo me mzanzibar wapo wengi watanganyika wana majumba mazur Zanzibar huku
@@SoudShuraim Hilo linawezekana kwa ujanja ujanja unajua jinsi tulivyo watanzania, ila nilichokuwa nasema ni kwamba vikwazo tulivyowekeana pande zote mbili viondolewe, pia walioweka walikuwa watu, sio malaika. Na kwa uhitaji wa pande zote mbili, Kuna haja ya kufanyia kazi marekebisho ya katiba iendane na uhitaji wa pande zote mbili, wasilazimishe, makubariano ya watu ambao hata Leo hatunao, hatujui kama wao iliwafaa kwa wakati wao, na sisi tunaona ni wakati wa kurekebisha, ili itufae kwa wati wetu,
Hatuku sahau sisi ni watanganyika au mnataka tuanze kudai tanganyika yetu mbonawa natu tafuta kwani Raisi wetu hajauza bandari zetu amesaini hatatunapo pigakelele Sasa sisi mmetufanya SI sawa mbona mmetubagua kama maoni yetu haya sikilizwi inawezekana wameamua kutumia maneno makali Ili kusikiliza tukisikilizwa hayayote hayatakuwepo
Miraji uko sahihi kabisa
Bw miraji kwa nini mambo hayo ya Zanzibar yapeleke Zanzibar kwenye kati8ba yenu sisi Watanganyika tunasubili katiba Mpya
Hana jipya sisee angejibu hoja za lisu vitu anavyofanya mzazibar bara mbn hayafanyiki zanzibar kama inafaida? Chawa kama machawa wengine
Lisu upo sahihi mungu ni kweli usichoke kusema ukweli : kweli itakuweka huru
Ivi nyiye watanganyika nawauliza? kuna mtanganyika yeyeyote mwenye aseti zozote Zanzibar?km walivyo na aseti wenyewe huku Tanganyika?km iko hivyo basi hakuna haja ya kuwa na nchi mbili, basi tayari ni wamoja,inatakiwa tuwe na nchi moja,ila km ndo wenyewe wanaaseti nyingi Tanganyika mjue kabisa kuwa hawo siyo wazuri kwetu,ni kuwa makini nao viongozi wetu.maana watakuwa ni wanyonyaji,wanataka kurunyonya watanganyika?
Weee wapo wengi huku njoo nikuonyeshe...au wewe hutembei..njoo Zanzibar utawaona wabongo wanamiliki majumba
Ni kama Isle of Man iko kwenye UK lakini wana mambo yao na serikali yao. SCOTLAND ina mambo yao lakini ni United Kingdom
Miraji umeeleweka vizuri sanaa
Niujinga mtupu,leteni katiba. Ndio suluhisho tunataka Tanganyika yetu.zanzibar iliungana na Tanganyika bloo,ikeja Tanzania ujuwe
Watu dunia nzima wanajuwa usitake kufundisha watu kwenye comments zako Tanganyika ipo mpaka leo lakini nyinyi hamulipendi hilo jina 😂😂😂😂. Jiulize nani kaleta hilo jina la Tanzania
Tindu Lisu ndio mkosaji lkn Mbunge wa Zanzibar ndio ana makosa kusema twende Zanzibar na passport.
Huyu Mzee elimu yake ndogo sana ukimusikiliza hajibu hoja vzr
Watanzania kuwaeleza Eseler’i ni Waziri maana ujinga wao ni mwingi. Watu wansfanya yea sana
Said hongera Sana tulihangaikasana Chini ya cuf Allah awareness vingozi Wetumpka mailim seif alhaj panda shabban mloo naallah atusameh maalim Khabibulin juma hamad massoud wamekupika wewe na abou
MASHOGA MWILI YANAHOJIANA KIUSHOG🤣🤣!
Wanautukuza utanganyika ni wapumbavu si maneno yangu ila ni nukuu za Muasisi wa Tanzania..
Hili zee nalo kubwa jinga kabisaaaa
Safi sana Mr. Miraji. Nakubaliana nawe kwa asilimia fulani lakini walioamua kuwa na muundo uliopo hawakuwa na jazba hivyo kuuzungumzia Muungano kwa jazba ni hatari.
Ukisikiliza vizuri maoni ya Bwana Miraji utaona kuwa katika yote suala la MASLAHI ya Mzanzibari yanapewa kipaumbele.
Hakuna ubaguzi juu ya kauli ya lisu Rais samia tazama kwa namna tofauti ili tupate utatuzi wa kweli bila kufichana ukweli katiba yetu imepitwa na wakati na baba wa taifa alisema haya
Sasa hapo umejipiga risasi mwenyewe. Tundu Lissu amehoji kwa nini kuna wazanzibari wengi BUNGENI Tanganika bara na Hakuna watanganyika kwenye bunge la Zanzibari. Kwa nini watanganyika hawaruhusiwi kununuwa aridhi Zanzibari lakini wan Zanzibari wana węża kununuwa aridhi Tanzania. Kwa nini watanzania hawaajiliwi Kazi serkalini Zanzibar?
Mbn Wazanzibar hatuutaki muungano zaman2 sema Watanganyika ndo wanalazmisha..vunjeni Leo muone tutafrahia sana..kuajiriwa njoo utaona wamejaa Watanganyika maofisini..majeshi ndo usiseme ndo watupu kule pemba saiv..hadi mama ntilie wamejaa kutoka tanga..
Hapa ndo nilipotaka tangu mdogo kwa nini tuna Muungano wa ajabu?suruhisho litapatikana punde.
Lisu bado Hana mpizan katika kujenga huja na hajazaliwa.lisu atabaki kilelni,mpaka sasa lisu ana point 1000
Shk said hapo unaposema tumekubalia watanganyika watumie mambo yao ndani ya muungano sio kweli.
Hapo sijui umekimbia nini??
Kama haya ndiyo majibu ya Muungano Basi KATIBA inahitaji ukarabati
Kama sisi wa pemba tunapo banguliwa unguja haja kosea lissu
Nataka kununua shamba zbar. Naomba ailye nalo aniuzie. Naishi Mwanza.
Kwanza wanzanzibari hawatakiwi kulalamika juu ya muungano maana wanufaika ni wao wako wachache mgao sawa wanatunyonya sana
Sasa kama time zoteee hizo zimlishatoa pendekezo la serikali tatu shida inakuwa nini kufanya hivyo?
Watu wote ni sawa mbona kwenye mikopo tunabaguana benki wanabagua wafanyakazi kutoka mikopo benki wanakopesha wafanyakazi wa serikali kwa mashariti nafuu tu sekta binafisi hakuna unafuu
Zanzibar wana katiba yao inampa kipaombele Mzanzibar ,na Watanganyika mnapaswa kuwa na katiba yenu inayompa Kipao mbele Mtanganyika halas ila Tatizo lenu Tanganyika mmeipenyeza kwenye Jamuhuri ya Muungano na ndio maana Wazanzibari wakija kwenye Jamuhuri wanakuwa wana haki
Kwanza Tundu Lissu sura mbaya, mimi pia nimemubagua asipigiwendura, vijana hawamtski sura hoi hoi
Mpeleken mahakaman watanzania kujadili ujinga ndo kazi zao kila mwaka CAG anatwambia mwigulu kaiba hela ambayo ni kodi zetu hatujadili Leo lisu kusema ukweli tunatafuta jinsi yakumtowa asiseme ukwel
TANGANYIKA yetu iko wapi?waongo wote wafungwe mdomo
Hakuna ubaguzi hapo shida katiba hamjui Zanzibar Kuna katiba Yao je sisi watanganyika katiba yetu Iko wapi
kamuulizeni baba yenu wa taifa Nyerere katiba ya Tanganyika iko wapi?
weka akilini kua hiyo ndio gharama ya kuitawala Zanzibari baba Yenu aliuza katiba ya Tangayika ili aitawale Zanzibari kimataifa sasa acha Wazanzibari wale nchi na wao wafaidi
Tufanye kura ya maoni kuhusu uhitaji na aina, muundo tuutakao wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Acheni kutudanganya tuambien upande gan wazanzibar alishawahi kutawaliwa na mtanganyika namtudhibitishie mubara gan anamiliki aridhi zanzibar nitaamin akuna ubaguzi
Yaani umeme za vizuri, lakini Tundu Lissu sumu atachanganya watu akili zao
Tundu Lissu, ameuliza, Katiba ya Zanzibar kusema, "mzanzibari atahualpa na haki na fursa vya mzanzibari," huo nao ni ubaguzi?
Lisu Hajui siasa Ana Kila mipaka na hwezi kuwa kirongizi Hafai
Mnamchekea sana huyu Tundu sasa ndo mtajua kwanini aliwekwa uhamishoni. Hawa watu sio wakujenga bali huwa wanavuruga watu. Magu aliyaona haya. Haya majitu yameishindwa na maisha huko uhamishoni yamerudi kusumbua watu. Nje hakuna upigaji ndo maana yote yamerudi kupata pesa za bure.
Nikweri hope hamna mgano niuchwaratu
Tuachieni nchi yetu kauzeni Zanzibar
Kwanza turejesheheni bandari yetu na mbuga zetu kabla ya hizo porojo za siasa
Limeibuka kwasababu Samia ni mzanzibar, Abdu Jumbe ni mtanganyika, mwinyi mtanganyika na wote wmetutawala, takanyika mna ubaguzi wa waziwazi iposiku mtabaguwana wenyewe
Kwanza hakuna nchi inaitwa Tanzania bara.
Hata makufuli aliuza maliasili za Tanzania mbona hawakusema mnyamwezi lissu na mbowe tumeyajua wanayoyaficha kwenye nyoyo zao kumbe hawawapendi wazanzibar