TUNDU LISSU AFATILIWA NA WASIOJULIKANA KILA ANAPOKWENDA, AWATAKA WAJITAMBULISHE KAMA NI WATU WEMA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 06. 2024

Komentáře • 69

  • @HappyMountainGoat-wh8ko
    @HappyMountainGoat-wh8ko Před měsícem +14

    Pole sana mh lisu, tunaamini MUNGU alikuokoa na bado tunaamini Mungu ni kuweza wa yote atakulinda na tunakufunika kwa Damu ya YESU amen

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 Před měsícem +14

    Nchi hii haitaki msema kweli kama Lissu Bado usalama wake upo mashakani

  • @RichardNkhangaa-nv9tf
    @RichardNkhangaa-nv9tf Před měsícem +2

    Tunamlilia mwenyez Mungu,mwumba wetu ajuaye @ mwenye hila & nia nzuri na taifa hili & mpenda haki.Ukamfunike kiumbe wako Lisu mtetezi wetu,tunakuombea sana sana kaka & ndgu yetu.

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Před měsícem +4

    Mungu ni mwema sana tunaimani Mungu yupo pamoja nawe hakuna atakaeshindana nguvu na Muumba aliekuokoa kwenye janga zito

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi Před měsícem +10

    Hiyo gari aina gani? Wapigeni picha hadi sura zao🤔

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před měsícem +3

    Pole sana ndugu yetu Lissu. Wewe kama binadamu lazima uogope unapokuwa kuwa katikati ya majitu kama haya. Wanakufuatilia ili unaongea kwa sauti sasa kwa nini wzkufuatilie. Mungu ashughulike nayo kwa jina la Yesu. Mungu aliye kunusuru bado yuko na wewe kipenzi chetu. Hayo mauwaji Mungu shughulika nao kikamilifu.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před měsícem +5

    Nasi wapenda amani tunawalaani kwa kulilia Mungu mwema anayewahukumu wabaya wote.

  • @salama1113
    @salama1113 Před měsícem +5

    Mungu atakulinda ubaya utawarudia wenyewe

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 Před měsícem +6

    Tukopamoja mh lissu ❤❤❤

  • @feruzmato4422
    @feruzmato4422 Před měsícem +2

    Akuna wakukuzuru ucogope mtume na nabii mwingira alisema mshindi uwezi kumshinda kwaiyo wewe ni mshindi mungu anskusudi na wewe kama ajataka ufe utakufa mheshimiwa chaps kazi...

  • @user-cp1pu4ev8h
    @user-cp1pu4ev8h Před měsícem +3

    Lisu unatoa elimu nzuri sanA kwa watanganyika siyo wazanzibar lakini watanganyika hawaelewi ni manyumbu wote pomoja n'a viongozi wao angalia wazanzibar wanarilaksi n'a tanganyika

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před měsícem +3

    Mungu hajawahi kushindwa kamwe hawataweza na walaaniwe wao na vizazi vyao

  • @bmdele5816
    @bmdele5816 Před měsícem +2

    Mh. Tundulisu pole kwa hayo,
    Tunashauri uwaseme hadharani na watu wawajue. Hao siyo watu wema tena hata kidogo🤔

  • @KashinjeShija-rk9fv
    @KashinjeShija-rk9fv Před měsícem

    Pole sana mwamba waumbue mapema wasije wakakupiga tena hao wasiojulikana

  • @erickonsongomollel8391
    @erickonsongomollel8391 Před měsícem +1

    Mungu akulinde rais wetu

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella205 Před měsícem +2

    Duh...hatari mbona, isijekuwa wasiojulikana

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 Před měsícem +3

    Wanasema nchi ya Amani na utulivu mtu anapigwa risasi ktk ya nyumba za serikali halafu hakuna mtu kukamatwa ni aibu kwa nchi

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před měsícem +3

    Yule aliyetangulia alitoa amri tu waliomuua walioratibu mpango Bado. Wapo

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před měsícem +1

    Wanautulivu kwa kunyanyasa watanganyika wengine. Wameuwa watu wengi sana. Damu ya mtu inalilia Muumbaji Mungu. Kama ya Abili ililia ya mtu ye yote itamlilia Muumba tu na watakiona walichokiona wakina Farao na mafasisiti wengi wa kare. Mungu yupo hata hspa anawaona.

  • @madenge731
    @madenge731 Před měsícem +1

    Mh Lissu tafuteni Bastola wapigeni risasi muwaue ili tuheshimiane vizuri. Hii nchi imekuwa ya kisenge kweli

  • @migerajacob581
    @migerajacob581 Před měsícem +1

    Kama hawato sikia maneno yako ya busara,, wanyo shee kidole, tuwachome moto uwe mfano,,

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před měsícem +1

    Maccm yanataka kuongea unafiki tu kama wakina Makonda na maccm yote. Wewe unayesema ukweli hawapendi kabisa. Maccm haya yote ni wabaya sana na mafisadi wakubwa. Wanadhani kuwa Tanganyika ni yao tu sisi wengine ni watumwa wao.

  • @KombeSinyangwe
    @KombeSinyangwe Před měsícem

    Mungu yupo na wewe kiongozi

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 Před měsícem +1

    Hao watashindwa tu mpango wa Mungu mpaka utimie

  • @silasponeka1773
    @silasponeka1773 Před měsícem +1

    Waonyeshe tu live .

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds Před měsícem +1

    Utuonyeshe tuwanyoshe majambazi hao

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 Před měsícem +4

    Makonda

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 Před měsícem

      Kumbe Magu alisingiziwaga??????????

  • @nassibu-hy5ny
    @nassibu-hy5ny Před měsícem +2

    Mungu akulinde lissu

  • @simonsadala2386
    @simonsadala2386 Před měsícem +3

    Huyu bwana ni muongo jmn nani akufatilie ww ambaye umeshapoteza umakufu wa ki siasa yaaani Risasi tangu kampeni za 2020 au huna Agenda kifupi una bore achana na hizo mambo Jengeni chama msituambie maneno ya kutia huruma

    • @fwc5552
      @fwc5552 Před měsícem

      Umarufu kapoteza kwako

    • @rolencevedasto1009
      @rolencevedasto1009 Před měsícem

      Kuna watu hata shetan anaogopa, Muogopeni Mungu hata kidogo Kuna kipind alitoa kauli kama hii mkambeza kilichotokea Kila mtu anajua

    • @juliuskitaluka1206
      @juliuskitaluka1206 Před měsícem

      Naomba uondoe hofu MUNGU alie kuweka hai atakulinda hakuna baya litakupata

    • @mwakapalamwakapala8317
      @mwakapalamwakapala8317 Před měsícem

      CCM WAMEMUONGEZEA UMARUFU LISSU MARA DUFU

    • @tumainielimwakiyambe6801
      @tumainielimwakiyambe6801 Před měsícem

      Hao ndo walio lipwa kumtukana lissu kama ameishiwa sera mbona unamfatilia amewashika pabaya atawanyosha2

  • @loserian-mj1gj
    @loserian-mj1gj Před 4 dny

    Uowoga wako 2

  • @SomoKidawa
    @SomoKidawa Před měsícem

    Huyo mwamba hapo ameondoka kidogo kidooogoo veeeeep

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur Před měsícem

    Lakini nao wajijue kuwa wanaweza kufa kama mtu mwingine yoyote kwa hiyo waache

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509 Před měsícem

    nchi hii haina amani aman wakipiga wasisemwe ccm hawa kuna mda mungu atawanyosha mda wao ushafka bila hivo madarakani hawaingii kuna amani wapi hapo mauongo yao wanaokufatilia wapate ajali wao mungu akupiganie

  • @KashinjeShija-rk9fv
    @KashinjeShija-rk9fv Před měsícem

    Tema uozo wote usiogope

  • @jacksonmsola154
    @jacksonmsola154 Před měsícem

    Acha siasa unasemaje watu wasiojulikana wakati unasema umewaona,unahisi Kila mtu ni akili ndogo why usiwakamate tu au waoneshee tu wananchi mh!

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před měsícem

    Alipokuwa akisema wakati ule mlisema hivyo ni muongo, je alikuwa anasema uongo? Au ninyi ndiyo mlikuwa mmetumwa kummaliza? Wewe Lissu angekuwa ndugu ungeongea hivyo? Ubinafisi unawamaliza watanganyika na ndiyo sababu hatujitambui. Wazanzibar wanajitambuwa na mnaweza kutawaliwa na Zanzibar kwa sababu wajitambuwa na wanapendana.

  • @user-id7ws5hl5p
    @user-id7ws5hl5p Před měsícem +1

    Ww bingwa wa kutukana mama Samia serekali inamkondo mrefu punguza kumtukana raisi

  • @SamwelSospeter-lz9fm
    @SamwelSospeter-lz9fm Před měsícem

    Acha utoto wewe jamaa nchi zingine watu wanaingia msituni kusaka madaraka wewe unaona gari nursing zikipishna na wewe barabarani wanakufuatilia sasa kwa uoga huo tutakupaje hiyo nafasi daaah hufai kabisaaa aisee

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Před měsícem

    Bado unaishi kwa Hofu eee si urudi bc hukoo

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 Před měsícem

    Lissu ni zaidi ya wagombea wote wa urais TZ

  • @lgf7297
    @lgf7297 Před měsícem

    Na wewe hujatoa ripoti hata siku moja, unasema barabarani tu. Hii ya kufuatwafuatwa ni wasiwasi wako tu?

  • @EagerBirthdayCake-zh8xb
    @EagerBirthdayCake-zh8xb Před měsícem

    Tunduu achaa ogaa uoo...
    Watu wapo kazini kama Wewe unayefanya Kazi ya Mabeberu.
    Tuliaaa Nyaambaff...!

    • @mgungulem3187
      @mgungulem3187 Před měsícem

      Tumeshakujua ni wewe

    • @Ernestlaiza
      @Ernestlaiza Před měsícem

      Huna roho ya huruma

    • @user-wk6tf1yg8g
      @user-wk6tf1yg8g Před měsícem

      Kabisa mteule watu tupo kazini kama yeye anataka tumuambie nn . Na yeye atuambie anachoambiwa na mabepari

  • @gmarwapanoceanictz
    @gmarwapanoceanictz Před měsícem

    acha siasa. badilisha kazi.

  • @jacksportman5181
    @jacksportman5181 Před měsícem +1

    Kampeni ni Gari wakati waliedai alimshambulia ameshatangulia mbele ya haki yy amebaki Sasa badala ya kuweka mipango ya kuleta maendeleo anatumia shambulio kutafta huruma ya wananchi,kibinadam tunakurumia ila kiuongozi umeishiwa ajenda mheshiwa ⛷️

    • @tumainielimwakiyambe6801
      @tumainielimwakiyambe6801 Před měsícem +1

      Ndugu yangu acha roho mbaya kwa binadamu mwenzio je angekuwa ndugu yako unajisikiaje?

    • @tumainielimwakiyambe6801
      @tumainielimwakiyambe6801 Před měsícem +1

      Tundu lissu ni mwamba ndo maana humuachi kumfatilia kila kukicha amewashika vibaya kama mtu hameishiwa sera wa nn kumfatilia kwa mfano mm siwezi maliza bado langu kwa kuwasikiliza ccm cwezi

    • @user-jl5uh1xq9f
      @user-jl5uh1xq9f Před měsícem

      Asiongee ukweli au na ww upo kwenye kundi

    • @jacksportman5181
      @jacksportman5181 Před měsícem

      @@tumainielimwakiyambe6801 hana maajabu amefilisika kisiasa sera za kumtembeza gari🤔