Tunamlilia mwenyez Mungu,mwumba wetu ajuaye @ mwenye hila & nia nzuri na taifa hili & mpenda haki.Ukamfunike kiumbe wako Lisu mtetezi wetu,tunakuombea sana sana kaka & ndgu yetu.
Pole sana ndugu yetu Lissu. Wewe kama binadamu lazima uogope unapokuwa kuwa katikati ya majitu kama haya. Wanakufuatilia ili unaongea kwa sauti sasa kwa nini wzkufuatilie. Mungu ashughulike nayo kwa jina la Yesu. Mungu aliye kunusuru bado yuko na wewe kipenzi chetu. Hayo mauwaji Mungu shughulika nao kikamilifu.
Akuna wakukuzuru ucogope mtume na nabii mwingira alisema mshindi uwezi kumshinda kwaiyo wewe ni mshindi mungu anskusudi na wewe kama ajataka ufe utakufa mheshimiwa chaps kazi...
Lisu unatoa elimu nzuri sanA kwa watanganyika siyo wazanzibar lakini watanganyika hawaelewi ni manyumbu wote pomoja n'a viongozi wao angalia wazanzibar wanarilaksi n'a tanganyika
Wanautulivu kwa kunyanyasa watanganyika wengine. Wameuwa watu wengi sana. Damu ya mtu inalilia Muumbaji Mungu. Kama ya Abili ililia ya mtu ye yote itamlilia Muumba tu na watakiona walichokiona wakina Farao na mafasisiti wengi wa kare. Mungu yupo hata hspa anawaona.
Maccm yanataka kuongea unafiki tu kama wakina Makonda na maccm yote. Wewe unayesema ukweli hawapendi kabisa. Maccm haya yote ni wabaya sana na mafisadi wakubwa. Wanadhani kuwa Tanganyika ni yao tu sisi wengine ni watumwa wao.
Huyu bwana ni muongo jmn nani akufatilie ww ambaye umeshapoteza umakufu wa ki siasa yaaani Risasi tangu kampeni za 2020 au huna Agenda kifupi una bore achana na hizo mambo Jengeni chama msituambie maneno ya kutia huruma
nchi hii haina amani aman wakipiga wasisemwe ccm hawa kuna mda mungu atawanyosha mda wao ushafka bila hivo madarakani hawaingii kuna amani wapi hapo mauongo yao wanaokufatilia wapate ajali wao mungu akupiganie
Alipokuwa akisema wakati ule mlisema hivyo ni muongo, je alikuwa anasema uongo? Au ninyi ndiyo mlikuwa mmetumwa kummaliza? Wewe Lissu angekuwa ndugu ungeongea hivyo? Ubinafisi unawamaliza watanganyika na ndiyo sababu hatujitambui. Wazanzibar wanajitambuwa na mnaweza kutawaliwa na Zanzibar kwa sababu wajitambuwa na wanapendana.
Sema kwa jeuri hivyo, Mungu anakuona utakufa kabla yaLisu unaongea ujinga na bhangi kwenye mambo magumu kama haya. Watu wakisema ukwei wanatukana, kumtwe Kuna shida.
Acha utoto wewe jamaa nchi zingine watu wanaingia msituni kusaka madaraka wewe unaona gari nursing zikipishna na wewe barabarani wanakufuatilia sasa kwa uoga huo tutakupaje hiyo nafasi daaah hufai kabisaaa aisee
Kampeni ni Gari wakati waliedai alimshambulia ameshatangulia mbele ya haki yy amebaki Sasa badala ya kuweka mipango ya kuleta maendeleo anatumia shambulio kutafta huruma ya wananchi,kibinadam tunakurumia ila kiuongozi umeishiwa ajenda mheshiwa ⛷️
Tundu lissu ni mwamba ndo maana humuachi kumfatilia kila kukicha amewashika vibaya kama mtu hameishiwa sera wa nn kumfatilia kwa mfano mm siwezi maliza bado langu kwa kuwasikiliza ccm cwezi
Pole sana mh lisu, tunaamini MUNGU alikuokoa na bado tunaamini Mungu ni kuweza wa yote atakulinda na tunakufunika kwa Damu ya YESU amen
Nchi hii haitaki msema kweli kama Lissu Bado usalama wake upo mashakani
Tunamlilia mwenyez Mungu,mwumba wetu ajuaye @ mwenye hila & nia nzuri na taifa hili & mpenda haki.Ukamfunike kiumbe wako Lisu mtetezi wetu,tunakuombea sana sana kaka & ndgu yetu.
Mungu ni mwema sana tunaimani Mungu yupo pamoja nawe hakuna atakaeshindana nguvu na Muumba aliekuokoa kwenye janga zito
Hiyo gari aina gani? Wapigeni picha hadi sura zao🤔
Pole sana ndugu yetu Lissu. Wewe kama binadamu lazima uogope unapokuwa kuwa katikati ya majitu kama haya. Wanakufuatilia ili unaongea kwa sauti sasa kwa nini wzkufuatilie. Mungu ashughulike nayo kwa jina la Yesu. Mungu aliye kunusuru bado yuko na wewe kipenzi chetu. Hayo mauwaji Mungu shughulika nao kikamilifu.
Nasi wapenda amani tunawalaani kwa kulilia Mungu mwema anayewahukumu wabaya wote.
Mungu atakulinda ubaya utawarudia wenyewe
Tukopamoja mh lissu ❤❤❤
Akuna wakukuzuru ucogope mtume na nabii mwingira alisema mshindi uwezi kumshinda kwaiyo wewe ni mshindi mungu anskusudi na wewe kama ajataka ufe utakufa mheshimiwa chaps kazi...
Lisu unatoa elimu nzuri sanA kwa watanganyika siyo wazanzibar lakini watanganyika hawaelewi ni manyumbu wote pomoja n'a viongozi wao angalia wazanzibar wanarilaksi n'a tanganyika
Mungu hajawahi kushindwa kamwe hawataweza na walaaniwe wao na vizazi vyao
Mh. Tundulisu pole kwa hayo,
Tunashauri uwaseme hadharani na watu wawajue. Hao siyo watu wema tena hata kidogo🤔
Pole sana mwamba waumbue mapema wasije wakakupiga tena hao wasiojulikana
Mungu akulinde rais wetu
Duh...hatari mbona, isijekuwa wasiojulikana
Wanasema nchi ya Amani na utulivu mtu anapigwa risasi ktk ya nyumba za serikali halafu hakuna mtu kukamatwa ni aibu kwa nchi
Yule aliyetangulia alitoa amri tu waliomuua walioratibu mpango Bado. Wapo
Wanautulivu kwa kunyanyasa watanganyika wengine. Wameuwa watu wengi sana. Damu ya mtu inalilia Muumbaji Mungu. Kama ya Abili ililia ya mtu ye yote itamlilia Muumba tu na watakiona walichokiona wakina Farao na mafasisiti wengi wa kare. Mungu yupo hata hspa anawaona.
Mh Lissu tafuteni Bastola wapigeni risasi muwaue ili tuheshimiane vizuri. Hii nchi imekuwa ya kisenge kweli
Kama hawato sikia maneno yako ya busara,, wanyo shee kidole, tuwachome moto uwe mfano,,
Maccm yanataka kuongea unafiki tu kama wakina Makonda na maccm yote. Wewe unayesema ukweli hawapendi kabisa. Maccm haya yote ni wabaya sana na mafisadi wakubwa. Wanadhani kuwa Tanganyika ni yao tu sisi wengine ni watumwa wao.
Mungu yupo na wewe kiongozi
Hao watashindwa tu mpango wa Mungu mpaka utimie
Waonyeshe tu live .
Utuonyeshe tuwanyoshe majambazi hao
Makonda
Kumbe Magu alisingiziwaga??????????
Mungu akulinde lissu
Huyu bwana ni muongo jmn nani akufatilie ww ambaye umeshapoteza umakufu wa ki siasa yaaani Risasi tangu kampeni za 2020 au huna Agenda kifupi una bore achana na hizo mambo Jengeni chama msituambie maneno ya kutia huruma
Umarufu kapoteza kwako
Kuna watu hata shetan anaogopa, Muogopeni Mungu hata kidogo Kuna kipind alitoa kauli kama hii mkambeza kilichotokea Kila mtu anajua
Naomba uondoe hofu MUNGU alie kuweka hai atakulinda hakuna baya litakupata
CCM WAMEMUONGEZEA UMARUFU LISSU MARA DUFU
Hao ndo walio lipwa kumtukana lissu kama ameishiwa sera mbona unamfatilia amewashika pabaya atawanyosha2
Uowoga wako 2
Huyo mwamba hapo ameondoka kidogo kidooogoo veeeeep
Lakini nao wajijue kuwa wanaweza kufa kama mtu mwingine yoyote kwa hiyo waache
nchi hii haina amani aman wakipiga wasisemwe ccm hawa kuna mda mungu atawanyosha mda wao ushafka bila hivo madarakani hawaingii kuna amani wapi hapo mauongo yao wanaokufatilia wapate ajali wao mungu akupiganie
Tema uozo wote usiogope
Acha siasa unasemaje watu wasiojulikana wakati unasema umewaona,unahisi Kila mtu ni akili ndogo why usiwakamate tu au waoneshee tu wananchi mh!
Mbona una wasi wasi? Au ni wewe?
Alipokuwa akisema wakati ule mlisema hivyo ni muongo, je alikuwa anasema uongo? Au ninyi ndiyo mlikuwa mmetumwa kummaliza? Wewe Lissu angekuwa ndugu ungeongea hivyo? Ubinafisi unawamaliza watanganyika na ndiyo sababu hatujitambui. Wazanzibar wanajitambuwa na mnaweza kutawaliwa na Zanzibar kwa sababu wajitambuwa na wanapendana.
Ww bingwa wa kutukana mama Samia serekali inamkondo mrefu punguza kumtukana raisi
Sema kwa jeuri hivyo, Mungu anakuona utakufa kabla yaLisu unaongea ujinga na bhangi kwenye mambo magumu kama haya. Watu wakisema ukwei wanatukana, kumtwe Kuna shida.
Aseme matusi ya lissu
😂
Wewe hutatangulia kama magu
Acha utoto wewe jamaa nchi zingine watu wanaingia msituni kusaka madaraka wewe unaona gari nursing zikipishna na wewe barabarani wanakufuatilia sasa kwa uoga huo tutakupaje hiyo nafasi daaah hufai kabisaaa aisee
Bado unaishi kwa Hofu eee si urudi bc hukoo
Lissu ni zaidi ya wagombea wote wa urais TZ
Na wewe hujatoa ripoti hata siku moja, unasema barabarani tu. Hii ya kufuatwafuatwa ni wasiwasi wako tu?
Tunduu achaa ogaa uoo...
Watu wapo kazini kama Wewe unayefanya Kazi ya Mabeberu.
Tuliaaa Nyaambaff...!
Tumeshakujua ni wewe
Huna roho ya huruma
Kabisa mteule watu tupo kazini kama yeye anataka tumuambie nn . Na yeye atuambie anachoambiwa na mabepari
acha siasa. badilisha kazi.
Kampeni ni Gari wakati waliedai alimshambulia ameshatangulia mbele ya haki yy amebaki Sasa badala ya kuweka mipango ya kuleta maendeleo anatumia shambulio kutafta huruma ya wananchi,kibinadam tunakurumia ila kiuongozi umeishiwa ajenda mheshiwa ⛷️
Ndugu yangu acha roho mbaya kwa binadamu mwenzio je angekuwa ndugu yako unajisikiaje?
Tundu lissu ni mwamba ndo maana humuachi kumfatilia kila kukicha amewashika vibaya kama mtu hameishiwa sera wa nn kumfatilia kwa mfano mm siwezi maliza bado langu kwa kuwasikiliza ccm cwezi
Asiongee ukweli au na ww upo kwenye kundi
@@tumainielimwakiyambe6801 hana maajabu amefilisika kisiasa sera za kumtembeza gari🤔