TUNDU LISSU AHOJI PIKIPIKI ZILIZOGAWIWA KWENYE MIKOA NA RAIS HELA AMEZIPATA WAPI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 06. 2024

Komentáře • 27

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 Před měsícem +4

    Kweli leo unaonekana umechanganyikiwa ila ukweli nchi inauzwa mungu katoa bule wachache wamekua mwungu ipo siku mungu atawajibu

  • @FortunatusPhilimon
    @FortunatusPhilimon Před 21 hodinou

    Aisee

  • @stefanomasolwa8979
    @stefanomasolwa8979 Před měsícem +2

    Ameuza inchi tayari watanzania amkeni funguweni Macho kama mkiona vibaya harufu ya vita ilisha anza kunuka kwenye inchi ya Tanzania

  • @SaidiSelemani-l1n
    @SaidiSelemani-l1n Před 25 dny

    Safi

  • @MichaelMbaluka
    @MichaelMbaluka Před 2 dny

    Tumeoigwa na kitu kizito

  • @user-ou1ls6oj2f
    @user-ou1ls6oj2f Před měsícem +1

    Rushwa za ccm zimeanza pikipiki kanga kofia nk nk na tu elfu Tano tano ndiyo kawaida Yao na bila rushwa ccm Haina pumzi

  • @evelina9621
    @evelina9621 Před měsícem

    Acheni.matusi
    Mungu.anawaona
    Lisu.binadamu.ndio.waliomfanya.kilema.ukitukana.unakoseaa.kesho.yako

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509 Před měsícem

    pikipiki za dp wd

  • @evelina9621
    @evelina9621 Před měsícem

    Warabu.wakuja.mbinu.kwa.sasa.huwezi.jua.walikusudi.kuyafanya.tusubiri.mambo.yajayo

  • @stefanomasolwa8979
    @stefanomasolwa8979 Před měsícem

    Samia suluhu alisha kuuza Tanzania yani watanzania Tuamke kweli yani nimeshangaa Samia suluhu ameenda Somalië kukopa tena Mkopo Daah

  • @amirkhamis8250
    @amirkhamis8250 Před 27 dny

    Wewe ndio unaleta udini na ukabila. Kwani mpaka utaje uislamu au uzanzibari? Huyo Magufuli ulinayedai nae ulimsema mbona hukutaja ukristo wake au usukuma wake? Acha shobo.
    Mtoto wa kiume unasimama jukwaani na pumbu zinaning'inia unamsema mwanamke!
    Siasa imekushinda kajiunge na kundi la jahazi la Mzee Yusufu uimbe taarabu.

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 Před 5 dny

    Huna lolote tabia yako ya hovio .umeweka tumbo ka mlima

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509 Před měsícem +1

    lissu sema yoote pikpik wamepewa na dpwd

    • @lamsinsolo1335
      @lamsinsolo1335 Před měsícem

      Acha uchochezi kama unapenda vitta anzia kkwako

  • @user-ej5ir5pu7r
    @user-ej5ir5pu7r Před měsícem

    Kweli jamaa kaishiwa vibaya hana sera kabisa

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 Před měsícem

      Hayo anayokosoa ndio baadhi ya sera kuonyesha yeye hatofanya hivyo .Sera zinaendana na kukosoa

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 Před měsícem

    Ni kwamba mkweli yuko mbele ya msikiti na muovu yuko nyuma msikiti au msalaba😂

  • @ernestwegga6557
    @ernestwegga6557 Před měsícem

    Lete sera zako. Utafanya nn siyo makelele

  • @endwardntandu3736
    @endwardntandu3736 Před měsícem

    Lisu huna. Chochote shoga wewe Canada kwa mumeo

    • @LuganoPondo-km8ub
      @LuganoPondo-km8ub Před měsícem

      Wewe una nn

    • @henryndosi2002
      @henryndosi2002 Před měsícem

      Tundu mbwa​@@LuganoPondo-km8ub

    • @Noelkitoi
      @Noelkitoi Před měsícem +1

      Izo Sera piga na Dada yako una adabu mama anauza nchi unashabikia lisu ndie mkombozi

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 Před měsícem +1

      Usijaribu kumziba mdomo msema ukweli au mtoa maoni yake kwa matusi na kashfa nawe inabidi ukanushe kwa hoja.Anaekimbilia matusi ni asiye na hoja

    • @jakobongwara3038
      @jakobongwara3038 Před měsícem

      Haha mumewai kuoona

  • @evelina9621
    @evelina9621 Před měsícem

    Pikipi.,zina.tisha.wazee.ccm.kula.kusema.katiba.hiyo.imevunjwa