HII NDIYO KAULI YA TUNDU LISU ILIYOIBUA CCM NA NAPE NNAUYE KUJIBIWA KWA UKALI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 10. 2024
  • Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
    Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: / kusagamedia
    Instagram: / kusaganews
    CZcams : www.youtube.co...
    Tiktok. www.tiktok.com...

Komentáře • 88

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před 5 měsíci +6

    MZANZIBAR ANAE MIRIK ARIDHI TZ BARA ATANYANGANYWA

    • @ibrahimame9805
      @ibrahimame9805 Před 5 měsíci +1

      Hata wanyamwezi walionunua viwanje zanzibar wataendelea kujenga😅

  • @johnkaliwanje434
    @johnkaliwanje434 Před 5 měsíci +1

    hongera kusaga tv kaz nzur. Lebo ya kusaga tv iko kulia juu, taarifa za habar tunazipata vzur bila mwingiliano wowote. Nawashangaa wengine wanajiita waandish wasomi wanakuwekea habari pamoja na tangazo la tv yao, na tangazo la tv yao wanaweka kwa sauti.

  • @KHamisiJuma-wy6ky
    @KHamisiJuma-wy6ky Před 6 dny

    Unawadanganya sana wagogo

  • @dullahkalanjedullahkalanje1422
    @dullahkalanjedullahkalanje1422 Před 5 měsíci +2

    pamoja sana mwamba wa Tanzania tunakuamini

  • @michaelsairamagafu
    @michaelsairamagafu Před 5 měsíci +8

    do hatukufundishwa shuleni kuhusu katiba ya zanzibar kama naongopa nisaidiwe, baba tupe elimu mwisho ujinga utatoweka

  • @cosmaswilliam3805
    @cosmaswilliam3805 Před 5 měsíci

    Tuzidi kuomba sana,kutenda haki kufunga na kuomboleza maana siku zinakalibia watanzania kufunguka.Mungu tusaidie.

  • @Pelegrinoemanuel
    @Pelegrinoemanuel Před 5 měsíci +2

    Mungu akulinde uwe rais maana hawa ccm ni wanafiki

  • @pitosjuma7224
    @pitosjuma7224 Před 5 měsíci +5

    Kumbe Zanzibar Wana katiba , sikuwahi kujua kabla aise..

  • @SephaniaMsigwa
    @SephaniaMsigwa Před 2 měsíci

    Nitakupa dada kiongozi nakuelewa sana

  • @KHamisiJuma-wy6ky
    @KHamisiJuma-wy6ky Před 6 dny

    Wazalamo wapo Dr, wacha uwongo

  • @wiliamkatala6688
    @wiliamkatala6688 Před 2 měsíci

    Duh! Kuna haja ya kudai Tanganyika yetu.

  • @iddihassan2677
    @iddihassan2677 Před 2 měsíci

    Wazanzibar tutanunuwa popote wakt tuna pesa

  • @johnmwambete6117
    @johnmwambete6117 Před 5 měsíci +1

    Nimekuelewa sana sana naomba kuuliza jamani wamasai kuishi pamoja na wanyama sio sehemu ya kivutio kwa watalii?

  • @MariaCassian-e2i
    @MariaCassian-e2i Před 2 měsíci

    Kumbee ndiyo maana wanautafuta uhai wako yajayo yanafraisha aendeakarudishe mali zetu ujinga huu haukubaliki

  • @KHamisiJuma-wy6ky
    @KHamisiJuma-wy6ky Před 6 dny

    Ww lisu muongo mbona mm ni mtanganyika na nimenunua vyiwanja na nimejenga wacha polojo

  • @Felix-e6t4m
    @Felix-e6t4m Před 5 měsíci +1

    EEE E Tanganyika iwe uhuru wengi wetu atujui iyo asante sana ndugu yangu tundulisu kaza kamba wajulishe watanganyika aende kwao unguja wakavue pueza bahari kuu watuwache na ngombe zetu wamasai tutakataa na tumekataa walaghai wanaejiita wawekezaji tupambane kumekucha

    • @LuciaAgustino-pt5mg
      @LuciaAgustino-pt5mg Před 2 měsíci +1

      Wengiwetubwatanganyikabhatujitambui kuzingatia utanganyika wetu

  • @ParimeloNgarim
    @ParimeloNgarim Před 5 měsíci +2

    Nukisha kwel kwel tundu si waliba kura wakasem bila ccm hakuna maendeleo sas maendeleo iko wapi wabunge wapige tu makofi wew fundisha wanainyi wako

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 2 měsíci

    Makonda hawezi kwenda kinyume na Samia hata siku moja

  • @EliabuTitus
    @EliabuTitus Před 5 měsíci

    Nimekuelewaa sanaaa mwambaa asieee kuelewaaa wewe nikengeee tu

  • @JaphetyAliphonce
    @JaphetyAliphonce Před 2 měsíci

    Wanaanza kutofautiana wenyewe Kama Kama wale wa mnara wa babeli

  • @mokiaolenaputu7648
    @mokiaolenaputu7648 Před 5 měsíci

    Duh, hazina ya taifa

  • @EmanuelSolomon-ij1is
    @EmanuelSolomon-ij1is Před 5 měsíci +2

    Daaa!!! Apa tumepigwa

  • @kalebiestomihi
    @kalebiestomihi Před 5 měsíci

    📢📢📢

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai Před 5 měsíci +1

    Kaka unatumia kichwa au kompyuta daa

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 2 měsíci

    Kwani ninyi wazanzibar mbona mmejitoa katika muungano? Alisema Warioba wazi wazi? Kuwa wanafiki ndiyo uzuri? Tutawatoa baada si sinyingi. Kweli wazanzibar waende kwao wote Samia inclusive.

  • @SilahMasima-pi7bn
    @SilahMasima-pi7bn Před 2 měsíci

    Hiki kichwa hatar xana

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před 5 měsíci +2

    Haitabaki hivyo wenye akili.timamu tunataka Tanganyika yetu hatutokubali dunia ya Leo siyo ya juzi kitaeleweka tu

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před 5 měsíci +1

    YAN IN SHORT KUNA MAMBO KIBAO YATATOKEA NA YATA TUGHALIM SANA HILI SWALA TUSILICHUKULIE MCHEZO N KUBWA SANA EM TUWEN MAKIN

    • @josephmantago2837
      @josephmantago2837 Před 5 měsíci +1

      Hakuna shida ya Zanzibar yatashughulkiwa na wazanzibar ya Tanganyika tutayashughulikia ss ya muungano tutashirikiana ndo ukweli hutaki iache Zanzibar iende zake

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 5 měsíci

      Na woga wetu ndio umaskini wetu

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před 5 měsíci +1

    MZANZIBAR ANAE ISHI TZ BARA ITABID AANZE KUHANGAIKA NA VIBALI VINAVYO MRUHUSU KUISHI TZ BARA AU ARUD ZANZIBA

  • @AmourHamad-c8g
    @AmourHamad-c8g Před 5 měsíci

    Fanya utafiti Lisu

  • @andrewIzdory-sk4cu
    @andrewIzdory-sk4cu Před 5 měsíci

    Siku zijazo tutaingia Zanzibar kwa passport.

  • @iddihassan2677
    @iddihassan2677 Před 2 měsíci

    Kwani nyinyi wa bara hamfaid huku Zanzibar omba omba wote kutoka Tanzania bara

  • @Mosesndahani
    @Mosesndahani Před 5 měsíci +1

    Namwona makonda amesimama nyuma ya Lisu au namfananisha?

  • @iddihassan2677
    @iddihassan2677 Před 2 měsíci

    Yote ayo yamekuja kwakuwa rais kutoka zanzibar na bado mpka 2030

  • @AmourHamad-c8g
    @AmourHamad-c8g Před 5 měsíci

    Hata Hao wabunge was Zabr busu ni wabara

  • @SuleimanNgware
    @SuleimanNgware Před 5 měsíci

    Ben makucha hakwenda kuuza mgonjwa bali AMEKIMBIA WAGONJWA SAMBUSA!

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před 5 měsíci

    WALIOWEKEZA TANZANIA WAKAT N WAZANZIBAR SERIKAL ITAWATAMBUA KAMA WAWEKEZAJ WA KIGEN HIVYO KUNA FURSA KIBAO WATAZIKOSA

  • @johnkaliwanje434
    @johnkaliwanje434 Před 5 měsíci +2

    hv ni kwel mbara ( mtanganyika) hawez kabisa kugombea urais Zanzibar ? na kama ni kwel mbona mzanzibari anakuwa rais wa Tanganyika ?

    • @JosephuSwai
      @JosephuSwai Před 5 měsíci +1

      Chukua mauwa yako kaka

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 5 měsíci +1

      Tumujua tuyokuwa tunayajua tuamke sasa watanganyika

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai Před 5 měsíci

    Ambae hakuelewi ni chizi mwalimu lisu wakili msomi mchungaji nabii mfia nchi tunakupenda sana baba

  • @AmourHamad-c8g
    @AmourHamad-c8g Před 5 měsíci

    Hata viongozi was mitaa ,ni wabara

  • @AmourHamad-c8g
    @AmourHamad-c8g Před 5 měsíci

    Utauwa chama chako Lisu

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 5 měsíci

      Kivipi

    • @TanganyikaChakupewa
      @TanganyikaChakupewa Před 2 měsíci

      ​@@MiriamAbdallahwee chawa kama chawa wengine 😂😂😂

    • @IsayaSosolo-nx8zk
      @IsayaSosolo-nx8zk Před 2 měsíci

      Makalio ya Mama yako umeyachunguxa yapo sawa Kama Tundu Lissu? Uwe unajitahidi kujifunza wewe kenge!

  • @saidPeace-xq1ld
    @saidPeace-xq1ld Před 5 měsíci

    Tusipo pewa ukweli na elimu kwa tundunlisu hakuna mwingine anaeweza kuelimisha, kama huyu, ndio maana mungu hajaitaji ufe amekuacha uendelee kutoa elimu hadi wajinga walau wakuelewe

  • @AmourHamad-c8g
    @AmourHamad-c8g Před 5 měsíci

    Huo ni uongo HPA Zabr kna viongozi tele was bara

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před 5 měsíci +1

    R.I.P Magufuli, kwahakika alikuwa sahihi tena saaaana mana kelele zimezidi Nchini, kama Ni mkweli yeye na Lema warudishe familia zao Tz

    • @josephmantago2837
      @josephmantago2837 Před 5 měsíci

      Ww mbona tope kichwa hv hizo shule haziwaelimishi?

    • @JohnWangare
      @JohnWangare Před 5 měsíci

      Hauna hoja hauna uwezo wa kufikir na kujib Kwa hoja

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 5 měsíci

      Uelewa ni kitu chenye dhamani kubwa sio kila mja kajaaliwa ni husuni kwa waliokupeleka shule na walimu wako, huwezi jibu hoja kaa pembeni angalia match

  • @AmourHamad-c8g
    @AmourHamad-c8g Před 5 měsíci

    Wacha chuki Kwa wazanbar Lisu

  • @AmourHamad-c8g
    @AmourHamad-c8g Před 5 měsíci

    Utakja Zanzibar kpga kampeni utatuambia Nini Kwa Kaili Zako hzo

    • @drjbmsige4098
      @drjbmsige4098 Před 5 měsíci +1

      kura zenyewe nchi nzima zanzibar hazifiki laki tano! tutazipatia temeke

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 5 měsíci

      Hajitambui jamaa

  • @johnkaliwanje434
    @johnkaliwanje434 Před 5 měsíci

    rais wa jamuhuri wa muungano wa Tanzania ina maana gan ? naomba tafsir. Je ! ni rais wa Tanganyika na Zanzibar ? Je ! rais wa Zanzibar ni mdogo kiutawala kwa rais wa jamuhuri ya muungano wa Tz ?

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před 5 měsíci

    ILA MNAJUA MADHARA YA MUUNGANO KUVUNJIKA

    • @josephmantago2837
      @josephmantago2837 Před 5 měsíci

      Madhara gani acha kutisha watu Zanzibar ni nchi acha kulazimisha uwongo uwe kweli muungano ni masrahi ya ccm si watanzania

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 5 měsíci

      Wajaza matumbo yao utawaelewa

    • @wiliamkatala6688
      @wiliamkatala6688 Před 2 měsíci

      Tueleze madhara yake.

  • @YusuphChediel-lz1li
    @YusuphChediel-lz1li Před 5 měsíci

    Acha uchonganishi TANZANIA ni moja na itabaki hivyo.. milele

  • @anastazialushika
    @anastazialushika Před 5 měsíci +1

    Muongo wewe