KUMEKUCHA TUNDU LISSU ANAMJIBU NAPE NNAUYE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 04. 2024
  • TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
    #Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi

Komentáře • 112

  • @user-vq3zu8ne9b
    @user-vq3zu8ne9b Před 2 měsíci +13

    Kumpata lisu chukua CCM wote+ wanasheria uchwara wa ccm wote 😂😂😂

  • @adorchmassimba4413
    @adorchmassimba4413 Před 2 měsíci +4

    Ee mwenyezi Mungu mwenye haki zote simama na wapenda haki wote wanaoitakia mema nchi hii ya Tz walinde na kuwatetea kwa jina la Yesu Amin

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před 2 měsíci +9

    Hoja zijibiwe kwa hoja sio matus

  • @SamweliDaudi-sc1mj
    @SamweliDaudi-sc1mj Před 2 měsíci +5

    Shujaa lisu mwalimu wa siasa nape kasome usibishane namjomba Ako mjomba ni mama

  • @mariamumechara3398
    @mariamumechara3398 Před 2 měsíci +7

    Uko sawa lisu

  • @abdullahalkindi9673
    @abdullahalkindi9673 Před 2 měsíci +4

    Hapo Lisu Kisha piga gongo lake hana hoja mbona Kuna MA RPC Zanzibar kutoka Bara?

  • @AyoubMsonga-ch5xg
    @AyoubMsonga-ch5xg Před 2 měsíci +5

    Kama weweni mtanganyika na unamkosowa lisu huna hakili kabisa

  • @user-ij6eo6pq6z
    @user-ij6eo6pq6z Před 2 měsíci +2

    Ani kichwa kimoja kinawachanganya ccm wote .tundu lissu juu

  • @ElihurumaThomas-kz8nq
    @ElihurumaThomas-kz8nq Před 2 měsíci +2

    LISU NI SHUJAA WA TAIFA LETU

  • @JumaMgeri-fb2qs
    @JumaMgeri-fb2qs Před 2 měsíci +2

    Ukweli lazima usemwe

  • @user-vq3zu8ne9b
    @user-vq3zu8ne9b Před 2 měsíci +9

    Lisu ni mtu na nusu

  • @leonardsebunga7187
    @leonardsebunga7187 Před 2 měsíci

    Hoja haiakisi tukio na wakati wa tukio na sababu ya kuwepo kwa Sheria hiyo na siyo ubaguzi

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si Před 2 měsíci +1

    Umewasaidia sana ccm kupata kura znz , maana wale walioko znz sio majuha kama wewe! Ubaguzi sio mzuri

  • @EmmaMwaituka
    @EmmaMwaituka Před 6 hodinami

    Majitu ya ccm akili hayana kabisa yanapinga hata ukweli

  • @chaganageorge7388
    @chaganageorge7388 Před 2 měsíci

    Ili mawazo yasiyo ya kibaguzi yasiwepo ni pale tu tutakapokuwa na katiba moja. Huwezi ruhusu upande mmoja kuwa na mawazo ya kibinafsi juu ya upande wao na kisha ukafanikiwa kuzuia mawazo hayo upande mwingine yasiwepo na upande wenye watu wengi.
    Ili kuondoa mawazo haya ya utanganyika na uzanzibar ni kuwa na katiba moja kwenye nchi moja.
    Mengine yabaki kwenye his5oria

  • @Kajunakabyemela
    @Kajunakabyemela Před 2 měsíci

    lisu yuko sahii asimia 100, ccm ndo wabaguzi namba 1, nchi imekuwa ya watu wachache!

  • @user-qe5fk3py4b
    @user-qe5fk3py4b Před 2 měsíci +1

    Wewe huna shukrani Wala sera

  • @elipidhugotesha1909
    @elipidhugotesha1909 Před 2 měsíci

    Suala la.muungano.waulizwe wananxhi haswa waliounganishwa pande zote mbili kuwe na referundum
    Kukusanywr maoni ili yapitiwe na kuona kama kuna mapungufu na kama wananxhi wanatakaje kuhusu muungano muungano.mzuri ni ule unaokubalika na wananchi kwa100%

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Před 2 měsíci +6

    Wewe ni Shujaa kwa Wazanzibari kama Zanzibar ipo Tanganyika iwepo na kila mtu afanye mambo yake mwenyewe bila ya kuathiri mahusiano ya nchi husika Tanganyika na Zanzibar

    • @martinsimkoko4729
      @martinsimkoko4729 Před 2 měsíci

      Ongera

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 Před 2 měsíci

      Ingefanyika hivyo hizo kero za Muungano zisingekuwepo kwa kiasi kikubwa lakini ukikaa chini utagundua kuwa watu hawana dhamira nzuri katika kuzitatua wanasimama majukwaani wakiwa sio wakweli katika kuzitatua.

    • @rajabmsinzia1715
      @rajabmsinzia1715 Před 2 měsíci

      @@jumamohamed3168 hakuna kero za Muungano ndugu yangu huo Muungano wenyewe ndio kero

  • @thomasanthony7338
    @thomasanthony7338 Před 2 měsíci +4

    Very true

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda Před 2 měsíci

    Ccm awanadata ispokua wanadata yakutumia lisas nguvu nk awana sifa nambaya zaid kufa magur sisi wanyonge tumewaona hawa ccm nihatar kwa afya zetu

  • @IssaAbdallah-rt2sh
    @IssaAbdallah-rt2sh Před 2 měsíci +1

    Nape usimjibu.huyo.siriziki achana nae mjinga umeongea bungeni tumekusikia.achahuyo.aongee.maporini

    • @JosephuSwai
      @JosephuSwai Před 2 měsíci

      Hujielewi wewe ndio sio riziki lisu wewe ndio mchungaji wa kweli kemea hao watu sio riziki

    • @issahdady608
      @issahdady608 Před 2 měsíci

      Kaongea porini pia tumemsikia

  • @josephsisa8139
    @josephsisa8139 Před 2 měsíci +1

    Katina ina sema ili uweze kugombea urais lazima utokee chama chochote cha siasa lakini ukisha shinda una kuwa Rais wanchi naima bila kujali vyema sasa mtu huyu unaongea nn?

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 Před 2 měsíci

      Hujui kitu nyamaza sikiliza mambo ili ujifunze kwanza juu ya jambo hilo na ,akisema katiba kifungu fulani kinasema hivi au vile nenda ukachukue katiba uiangalie aliyoyasema ni kweli au sio kweli ,kama sio ya kweli basi njoo uandike komenti yako kumkanusha maneno yake kuwa sio ya kweli anadanganya watu.

  • @josephsisa8139
    @josephsisa8139 Před 2 měsíci

    Ndugu wananchi

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3s Před 2 měsíci

    Ccm nawaomba mtoke mkamjibu lissu na chadema kwa uja kwani ccm atuna wanasheria? Wabobezi wa katiba nao waje sio kabudi uyo nae anachanganya mafaili kwa ukweli lissu ana oja na anatumia katiba zote mbili tz znzbr nanyi twambie kwamba lidsu apa ni mwongo kwa ili sio nape ajui chochote wasila ajui chochote walioba jaji na wazili mkuu anaungana na lisu sasa kwanini tusimwamini?

  • @kinkybanjukome217
    @kinkybanjukome217 Před 2 měsíci

    Nyinyi wabara mumejaa zanzibar na mnapiga kura kuiweka ccm madarakani kule zanzibar kwa sababu mzanzibar hawaitaki ccm wala muungano ila ni nyinyi ndio mnalazimisha kama kweli wewe lissu na huyo mbowe wako ni vidume kweli washawishi watanganyika muvunje muungano huu mbovu hatuutaki

  • @IssaAbdallah-rt2sh
    @IssaAbdallah-rt2sh Před 2 měsíci +1

    Ndio maana alinyooshwa dem huyo

  • @RashidThabite
    @RashidThabite Před 2 měsíci

    Ww nimsenge tunajua ivi watanzania hatuna akili kiasihiki uyu ndoanakubali mashoga unampaje uwongoz uyu nifalaaa

  • @user-sz8ic2tm7n
    @user-sz8ic2tm7n Před 2 měsíci +1

    We tundu lisu Acha kuwadangany watu

    • @MansourKabuhaya
      @MansourKabuhaya Před 2 měsíci

      Anawadanganya nini, unajua kusoma kweli wewe?? Kasome katiba anayoisema ndo utajua

  • @LeodegardRutakyamirwa-hg9hu
    @LeodegardRutakyamirwa-hg9hu Před 2 měsíci

    NI KWELI LAKINI MIMI NILIMKATALIA AFANDE WANGU

  • @evelina9621
    @evelina9621 Před 2 měsíci +3

    Kwelika.kabisa.unasema.hongerA

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo Před 2 měsíci

    Goli la mkono hana lake ni msaka Tonge tu axikukatixhe tamaa kamanda wetu

  • @magilafranco681
    @magilafranco681 Před 2 měsíci

    Hii imeenda

  • @twincetwicetv6031
    @twincetwicetv6031 Před 2 měsíci

    Umechanganyikiwa

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Před 2 měsíci

    Ila kwa nchi za Kiafrica Nyinyi wenyewe mnataka madaraka mambo yenu binafsi yawe poa tu

  • @salvatoryboniface1089
    @salvatoryboniface1089 Před 2 měsíci

    Wakala wa ubergiji

  • @josephsisa8139
    @josephsisa8139 Před 2 měsíci +1

    Ndugu wananchi tumpuuze mtu huyu jukumu lakumlinda Rais niletu sote kwahiyo kumsema vibaya Rais nikumuongezea maadui kwahiyo mtu huyu achukuliwe hatua

    • @richardmwandanji65
      @richardmwandanji65 Před 2 měsíci

      Hakuna anae msema vibaya rais wetubali ameshindwa kutusikiliza tunataka bandali yetu tunataka KATIBA MPYA hiyo nihaki yetu lasivyo atasemwa tu

    • @pedri-nc5in
      @pedri-nc5in Před 2 měsíci

      Tundu lissu anaongea point usituchanganye ww baki na mawazo yako usituchanganye sisi

  • @JosephLushinge-uy3tc
    @JosephLushinge-uy3tc Před 2 měsíci

    Ni kweli mwizi

  • @user-yx3ex4vy7o
    @user-yx3ex4vy7o Před 2 měsíci +1

    Alafu tambueni watanganyika.MAMAHatawali Tanganyika Anatawala Tanzania uyo lisu mwanasheri gani asie lijua hilo.

  • @ChristopherSteven-oe1dd
    @ChristopherSteven-oe1dd Před 2 měsíci

    Shida ipo

  • @user-rr4dw3ii8d
    @user-rr4dw3ii8d Před 2 měsíci

    Katiba ya tanzani kwani kaitunga mzanziri

  • @user-qz2cs5wm5u
    @user-qz2cs5wm5u Před 2 měsíci

    CCM wameishiwa Awana oja

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 Před 2 měsíci

    Ccm typing 😂😂

  • @user-rg8fq8fc3k
    @user-rg8fq8fc3k Před 2 měsíci

    Hata hyu lisau anabwabqaja bure akipewa madaraka anaangalia maslahi yake nyie mnaomuunga lisu mkono yeye ana maisha yake ubelgiji akiharibu anakimbilia huko nyie maboya umbwa nyie mnapakwenda ama mmebebewa akili na huyo mpumbavu mwenzenu

  • @chaganageorge7388
    @chaganageorge7388 Před 2 měsíci

    Hivi mtanganyika akiwaza kama mzanzibari juu ya ardhi yake ni vibaya?

  • @thomasraiton7760
    @thomasraiton7760 Před 2 měsíci

    Siku mtu wa bara akitawala kama rais kule Zanzibar ndio nitaukubali muungano, lakini sio hii changu changu chako changu

  • @Brandina-ub9uo
    @Brandina-ub9uo Před 2 měsíci

    Waliotaka roho yake wametangulia wao

  • @AnoliasiKope
    @AnoliasiKope Před 2 měsíci

    Sasa uwongo uko wapi

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz Před 2 měsíci

    yaani kama kuna ubaguzi na wewe unataka kuwa m,baguzi

  • @piusprospa8832
    @piusprospa8832 Před 2 měsíci

    RISU POKEA MAUA YAKO

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před 2 měsíci

    Hili jamaa haliko sawa kiakili

  • @Brandina-ub9uo
    @Brandina-ub9uo Před 2 měsíci

    Kufa wewe lisu yupo sana

  • @user-rk9gr9yf3i
    @user-rk9gr9yf3i Před 2 měsíci +1

    Ndo maana ukapigwa risasi kwa uchonganishi wako akili zako zimechanganyikiwa bandari sio ya Tanganyika ni ya Zanzibar Tanganyika haina bahari ina maziwa mkuu iyo ufahamu

    • @meryshekoloa961
      @meryshekoloa961 Před 2 měsíci

      😮😮

    • @madenge731
      @madenge731 Před 2 měsíci

      We kuma kweli

    • @rashidyusuphwewenimtotowam1761
      @rashidyusuphwewenimtotowam1761 Před 2 měsíci

      Kwan wew ambaye hujachanganyikiwa unaona haki ni sawa kwa kipi kati ya maendèleo ya tz na zanz au na wew ni chawa wa mama

    • @YunisRichard
      @YunisRichard Před 2 měsíci

      Kichwa mchungwa

    • @user-ml3zf7mw1y
      @user-ml3zf7mw1y Před 2 měsíci

      Hawa wazanzibari wanakuja kufanya kazi/biashara na hata wakimiriki ardhi, wanaume hawaruhisi kuoa bara hayo sio maneno yangu waosema no vijana WA kizanzibar kariakoo kwenye maduka ya nguo "kama sio ubaguzi ni nini"?

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb Před 2 měsíci +1

    fukuzeni tundu lissu mumpeleke kwao Congo RDC mkimwacha tundu lissu Tanzania basi mtajuta badae nyinyi watz nchi yenu itavamia na magaidi tundu lissu ataharibu Amani na umija wataifa la tz

  • @user-yx3ex4vy7o
    @user-yx3ex4vy7o Před 2 měsíci +1

    Zanzibar ni visiwa hatuwezi kuwapa mamlaka ya kupiliki kila kitu halafu sisi tukashindwa nipakukaa nakuzikana.

  • @user-cz5qg1rh5o
    @user-cz5qg1rh5o Před 2 měsíci

    Kifungu gani Cha katiba Sasa kinasema hayo maneno

    • @elizariatsere7701
      @elizariatsere7701 Před 2 měsíci

      Haki yake kijieleza acha upuzi

    • @user-cz5qg1rh5o
      @user-cz5qg1rh5o Před 2 měsíci

      @@elizariatsere7701 matusi ya nn. Kama haki yake kujieleza nami haki yangu kuuliza... Sa upuuzi wa nn. alafu ilikuwa si lazima ujibu Kama ukuwa na Cha kujibu

    • @EdwardAlphonce-xe1yi
      @EdwardAlphonce-xe1yi Před 2 měsíci

      Waulize waliopita chuo

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před 2 měsíci +1

    Siku haya majamaa yakipata nchi itakua ndio mwisho wa amani ya Tanzania yanawaza ubaguzi2 ndio Magufuli hakuyapenda kumbe alimanisha.

  • @Brandina-ub9uo
    @Brandina-ub9uo Před 2 měsíci

    Utakufa wewe lisu hafi

  • @burhanisaidi9811
    @burhanisaidi9811 Před 2 měsíci

    Mw Nyerere angerudi duniani Jambo la Kwanza angempiga risasi huyu jamaa😂😂

    • @PhilipoMwita-b2x
      @PhilipoMwita-b2x Před 6 dny

      Nafikiri Kuna kazi kubwa ya kuhakikisha watanzania tunaelewa

  • @jumanneratili9829
    @jumanneratili9829 Před 2 měsíci

    Wewe ulikuwa wapi acha waanzilishi wewe ulikimbia nchi amekurudisha unaleta ndabi mshukuru magufuri amekufa usingerudi tz ole wako hakutaki

    • @user-rg8fq8fc3k
      @user-rg8fq8fc3k Před 2 měsíci

      Tena mpumbavu huyu hana shukurani bora wangeliachilia mbali hata lingerie huko umbwa hiiii

  • @EliaHiluka-uz3ty
    @EliaHiluka-uz3ty Před 2 měsíci

    Chadema wako vizuri sana hawa ndio wana sifa ya kuwatetea watanzania kwa dhati

  • @AhmedHassan-vl5zf
    @AhmedHassan-vl5zf Před 2 měsíci +2

    Kila ujinga mnaongea SASA umejichora mzanzibar kwani Hana kuwa rais NI haram hata ufanye nini heshima yako imeshuka

  • @user-rr4dw3ii8d
    @user-rr4dw3ii8d Před 2 měsíci

    Kwanza ww muongo bora wange kuwa kabisa mbwa ww

    • @rashidyusuphwewenimtotowam1761
      @rashidyusuphwewenimtotowam1761 Před 2 měsíci

      Unahasira sanà kaka kwani na wew ni mzanzibali anayosema lisu ni kwer kabisa tumuunge mkono lisu ili tupate katiba ya haki sawa.

    • @jakobongwara3038
      @jakobongwara3038 Před 2 měsíci

      Aaaaaa wewe naukoo wako mtalaniwa kwaujinga unao mwombea lisu

  • @Brandina-ub9uo
    @Brandina-ub9uo Před 2 měsíci

    Mbwa ni wewe huna akili

  • @user-cz5qg1rh5o
    @user-cz5qg1rh5o Před 2 měsíci

    Itume hyo clip aliyosema hayo maeneo hayati Nyerere...

    • @allonjoseph5467
      @allonjoseph5467 Před 2 měsíci

      unamatatizo ww akutumie crp tafta mwenyewe

    • @user-cz5qg1rh5o
      @user-cz5qg1rh5o Před 2 měsíci

      @@allonjoseph5467 nchi yangu Tanzania Naipenda Sana...watu wanataka hoja ukihoji hawatoi hoja...nitafte wakati msemaji yupo

    • @rashidyusuphwewenimtotowam1761
      @rashidyusuphwewenimtotowam1761 Před 2 měsíci

      Lisu ni mkwer sio hadi kripc kwa sas watanzania tuna anza kujielewa. Mim maoni yangu mama akubali meza ya mazungumzo watunge katiba mpya ili kuepusha vulugu kama hizi. Kwani asiogope kama tunampenda tutamchaguà katiba mpyaaaa . Kama unaumia na mamneno ya lisu

  • @claudiussilas
    @claudiussilas Před 2 měsíci

    Umeongea ukweli kabisa,wafungue macho watu waone.wanaopiga kelele ni kwa sababu ya ulaji

  • @KabwikaIbrahim-ld8vf
    @KabwikaIbrahim-ld8vf Před 2 měsíci +1

    Nonsense!

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si Před 2 měsíci +1

    Umewasaidia sana ccm kupata kura znz , maana wale walioko znz sio majuha kama wewe! Ubaguzi sio mzuri

  • @salmaabdu5011
    @salmaabdu5011 Před 2 měsíci

    Acha uhanisi wewe mmetunyonya miaka 60 na kutuuwa kila uchaguzi ujayaona na yule mwinyi kula katuuziya bandari yetu mchukuweni hatumtaki hameni zanzibar na ss tutahama tanganyika muungano tupa baharini