Mahojiano na Tundu Lissu

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 09. 2024

Komentáře • 91

  • @danielwwahai8664
    @danielwwahai8664 Před 8 měsíci +6

    Napenda Sana ku watch Tundu Lisu From Congo.

  • @jacksoningaiza9844
    @jacksoningaiza9844 Před 9 měsíci +5

    The Raila of Tanzania speaking..My good friend lissu...one day you will lead tanzaniaaaa

  • @alexsimiyu8582
    @alexsimiyu8582 Před 9 měsíci +8

    Tundu Lissu is a friend of Kenya, karibu sana

  • @mohamedali-fz5dw
    @mohamedali-fz5dw Před 7 měsíci +3

    nakukubali sana tungu lisu kwa maongezi yako from zanzibar

  • @fahamimohamed9015
    @fahamimohamed9015 Před 9 měsíci +4

    Good lissu we are back on you

  • @user-kg8dn6qr8o
    @user-kg8dn6qr8o Před 9 měsíci +7

    Mungu Akupe Maisha mema mwamba lisu Tunaimani na ww

  • @salemaliy1963
    @salemaliy1963 Před 8 měsíci +2

    Amesema ukweli

  • @amidulyuma1833
    @amidulyuma1833 Před 9 měsíci +4

    Tundu lisu the super brain .....Genius

  • @clintonmakongo4283
    @clintonmakongo4283 Před 9 měsíci +10

    Tundu Lissu another Truthful man😂😂

  • @johnmasinde1875
    @johnmasinde1875 Před 9 měsíci +5

    He's right. This regional business relationship is wanting.

  • @IsmailClassictz
    @IsmailClassictz Před 9 měsíci +3

    The Truth of Life is Doomed

  • @peterdeus6093
    @peterdeus6093 Před 8 měsíci +3

    Ofcourse we do admit to have some tragedies in our country but you shouldn't have been talking like that on abroad media cause that can be weaponized against your own country sounds like Tanzania is not in your primary interest, there's secondary gain on that for your own benefit!
    Unazingua bro, weka Tanzania kwanza.

    • @frankanyona2857
      @frankanyona2857 Před 8 měsíci

      East africa is one. What about Ruto who goes complaining to Americans about Kenyan government?

    • @faisalyusuf8986
      @faisalyusuf8986 Před 8 měsíci +1

      Yoko sawa Tanzania au Kenya sio chochote wala lolote zaidi ya mipaka ya kikoloni

    • @Ernest-jo5di
      @Ernest-jo5di Před 5 měsíci

      He is Right. Let the Genius talk

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 9 měsíci +2

    👍👊✌️.

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Před 9 měsíci +2

    Lissu amesema kweli .. Tanzania bado iko chini ya mfumo wa chama kimoja .. japo wanajifanya kukubali vyama vingi .. l fail to believe that watanzania tangu 1961 hawajachoka kuongozwa na CCM.

  • @SalmaAbanoor
    @SalmaAbanoor Před 9 měsíci +4

    Watanzania wasijaribu kumuweka tundu lisu madarakani waswahili husema kilicho mpata mamba na kiboko nihichohicho huyo nikibaraka wa wazungu mutalia kama wakenya wanavolia saa hii

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 Před 9 měsíci +3

    Very good lissu tunakukubali mh

  • @user-dc1xh2pk6e
    @user-dc1xh2pk6e Před 9 měsíci +4

    Tunamupenda Tundu lissu na message yako

  • @dastonamichaels1854
    @dastonamichaels1854 Před 9 měsíci +2

    Mr Lissu modern day Raila Odinga

  • @brianjiwo9763
    @brianjiwo9763 Před 9 měsíci +1

    Ahsante Tundu katukumbusha mengi tuayoyapuuza

  • @justinollomy5861
    @justinollomy5861 Před 9 měsíci +6

    upooo.vizurii kmandaaa mahijianoo yakoo ni matam Sana'a Tanzania nchii ya ovyooo fisadii anapigwa faini ya laki mbilii anaekula nyama ya swalaaa anafungwa maisha nchii ya kikudaaa Sanaa

  • @chrisodongookubasu134
    @chrisodongookubasu134 Před 9 měsíci +2

    Whatever Tundu is talking about, is when Kenyatta was president. We are under different leadership. Zakayo is messing our Nation.

  • @abuyusufbillelsalafy5066
    @abuyusufbillelsalafy5066 Před 9 měsíci +1

    Hapo ni kweli zanzibar tunalipishwa sawasawa na bei ya marekani

  • @AnkoLolo-mv5bk
    @AnkoLolo-mv5bk Před 9 měsíci +5

    Ubarikiwe tundu

  • @Ernest-jo5di
    @Ernest-jo5di Před 5 měsíci

    Mwamba huyo. God Bless Tundu Antiphas Lissu

  • @danielmussa6944
    @danielmussa6944 Před 8 měsíci +2

    Amna kiongozi hapa ni siasa tu 😅

  • @HonestMassawe-lb6xj
    @HonestMassawe-lb6xj Před 8 měsíci +1

    Ngoja kwamza tupigwe Mara 5 zaidi!huyu jamaa anamambo ya ajabu na asiseme lolote kuhusu magufuli!!

  • @FrankKashamakula-xb1pc
    @FrankKashamakula-xb1pc Před 9 měsíci +1

    Lisu anagonga nondo tuu 👍👍

  • @LafatOgutaWere-px6vb
    @LafatOgutaWere-px6vb Před 9 měsíci +2

    Bado kuna mtu atapinga.

  • @MajiiIfande
    @MajiiIfande Před 9 měsíci

    Wakenya hongereni sqna

  • @isaacondieki9609
    @isaacondieki9609 Před 9 měsíci +2

    Mama toso na zakayo wetu.

  • @ernestmatimba9964
    @ernestmatimba9964 Před 8 měsíci +1

    Mwamba huyo

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 Před 9 měsíci +2

    Zanzibar.. ukiandika kitabu na ukapewa tuzo hapo utaitwa hadi ikulu na kupongezwa sana !! Zanzibar ni Nchi ndani ya nchi..!!

    • @philemonsnyanda9450
      @philemonsnyanda9450 Před 9 měsíci

      We mjinga kabisa huwezi kumwita lisu hivyo, kwani ni uongo saiv vyombo vya habari vya Tanzania vimezuia kuongea na wapinzani

  • @jacktheking96
    @jacktheking96 Před 9 měsíci +2

    jamaa anaongea from the point of opposition to the Tanzanian Government. so huwezi muamini sana. but pia akona ukweli kias. kenya sai ni moto. alaf nashagaa jamaa anaogea kama mjaluo

  • @mrafm7285
    @mrafm7285 Před 9 měsíci +2

    Umesema ukweli kuhusu Palestine

  • @juliusndungu-sv3ng
    @juliusndungu-sv3ng Před 9 měsíci +1

    Mama tozo 😂😂

  • @MagdrenaBernad-vq1hn
    @MagdrenaBernad-vq1hn Před 9 měsíci +1

    Bo upo juu baba juu sans shinyanga tunakupenda sans ana mungu wa mbinguni aendelee kukutunza wanaokuombes ufe wade wap na watoto wap

  • @lugendondago8493
    @lugendondago8493 Před 9 měsíci

    Ni lini zanzibar wakenys wsmeingia kwa viza?

  • @yusufumwasha548
    @yusufumwasha548 Před 9 měsíci

    Amaizing

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si Před 9 měsíci +1

    Yaani jamaaa chooookaa ! Hana jipya

  • @SalmaAbanoor
    @SalmaAbanoor Před 9 měsíci +1

    Tundu lisu anatumiwa na wazungu waamerka kuleta ushoga Tanzania LGBTQ watanzani wachunge sana

  • @ramadhanmusa2878
    @ramadhanmusa2878 Před 9 měsíci +1

    Mzee anaongea ukweli...Tanzania ubinafsi umekitiri sana

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 Před 9 měsíci +4

    T7ndu Lissu ni mtu mwenye akili na hata CCM wanalijua hilo-HAKUNA KILOCHOJIFICHA. Huyu ni kiumbe wa level nyingine kabisa na si wa mchezo mchezo

  • @elgringo8592
    @elgringo8592 Před 9 měsíci +1

    😂😂😂😂😂

  • @anthony4046
    @anthony4046 Před 8 měsíci

    Hakuna buz za kenya zumehamia kenya 💯, labda subsidiaries, nq bado zapigwa, nlikaa tanga na dar miaka mingi nkiwa nimetumwa kazi na watanzania, walio pewa kazi na hii kampuni ya kenya nliokua nkifanya kazi nayo, walikua wana sema ..."ahhhh kampuni ya kenya hii , hii ni ya kupigwa tu...."

  • @justinnoah4590
    @justinnoah4590 Před 9 měsíci

    Lissu mzee wa kuongeza chumvi. Mwambieni Lissu akae hukohuko atuachie Tanzania yetu

    • @mkoma49
      @mkoma49 Před 9 měsíci +1

      Nafikuri una chuki zako binafsi lkn content alio itoa ni constructive sana

  • @em551
    @em551 Před 9 měsíci +1

    are you people serious 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mama tozo na zakayo... but he is making an important point

  • @kadaskarim5081
    @kadaskarim5081 Před 9 měsíci +2

    Unajiskiaje kuponda kwako kwel hauna akili kabsa yaan wew keny wanajua bila Tanzania hakuna Kenya hata wakenya wanakushaaa san

    • @wahurumasibale6155
      @wahurumasibale6155 Před 9 měsíci +1

      Siyo kuwa anaponda ila anaongea ukweli halisi wa nchi yetu ambao chanzo chake ni andiko letu tulilonalo yaani katiba.

    • @SanzeyZakayo
      @SanzeyZakayo Před 9 měsíci

      Wew ni mmoj wa watu ambao hawapendi kuambiwa ukwel unapenda kudanganywa ndo tatiz lako

  • @benardmunjalu3738
    @benardmunjalu3738 Před 9 měsíci

    Tundu wewe ni mkristo' Biblia iliandikwa lini na Palestine na hamas walifanya nini hawa ni watoto wa mungu bwana

  • @hamishamis8282
    @hamishamis8282 Před 9 měsíci

    Yaani LISU ni muongo wewe aisee, acha uongo na unafiki wewe

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před 9 měsíci

    Kiufupi hapo kinachowasumbua kati ya tz & Kenya ni kama ndoa aliyopo kwenye ndoa anatamani kutoka walio nje ya ndoa wanatamani kuingia 😂😂😂

  • @saidinyoni2463
    @saidinyoni2463 Před 9 měsíci

    Huyu jamaa kinacho mponza ni ushaamba

  • @johnndegwa67
    @johnndegwa67 Před 9 měsíci +2

    Thanks Tundu lissu 😂 advice Kenyans citizens

  • @mako331
    @mako331 Před 9 měsíci +1

    Msimsikilize huyu ni mwana siasa, Tanzania ni bora kuliko anaongea nn huyu

    • @gsamoei
      @gsamoei Před 9 měsíci

      @mako331, please, we know Tanzania. This gentleman is talking the truth. We had a flourishing business in kenya, and we tried to expand in arusha, pharmaceutical company. Sincerely, Tanzania we opened office in a storey building, but basic printer, lazy tanzania in an entire 15 storey building are entitled to "Ndugu" yangu ago na printer... we are going to share. The moment uchamaa nonsense gets out of your heads, Tanzania will be the best place to be.

  • @MohamedSleyim
    @MohamedSleyim Před 9 měsíci +1

    Tundu anajichanganya blah blah nyingi.Tanzania haijateketea ni maneno ya uwongo.
    Siasa nyengine unamix mambo.

  • @shazyahya4121
    @shazyahya4121 Před 9 měsíci +3

    Lisu anamatatizo ya akili anachofikiria yeye kuisema vibaya Tanzania ndio solution ya kupata ubunge utasubiri sana adi 2070 na hapo vijana adi tukuonee huruma we omba uraia uko kenya wakupe ubunge au cheo

    • @melkizedeckmathew5908
      @melkizedeckmathew5908 Před 9 měsíci +4

      Kama unaona ana matatizo ya akili wewe utakua unaumwa ugonjwa usio na jina he is giving his own opinion wewe unawashwa na nini

    • @shazyahya4121
      @shazyahya4121 Před 8 měsíci

      Kweni we ni mke wa Lisu au concubine wake mbona misuli ya matako imekusimama kama mtu aliepigwa dole la mkundu wewe na yeye wote sawa kenge mmoja

    • @melkizedeckmathew5908
      @melkizedeckmathew5908 Před 8 měsíci

      @@shazyahya4121 umeongea kwa experience kubwa sana mkuu una experience ya kufanyiwa hivyo kwa muda gani shangazi?

    • @shazyahya4121
      @shazyahya4121 Před 8 měsíci

      @@melkizedeckmathew5908 muulize Lissu kweni nyie si ndio watu wa upinde mabwana zenu wazungu watu wa magharibi ndio vitu vyao hivyo na nyie ndie chakula chao mkishapelekewa moto mnapewa na uwakala watu tunajua michezo yenu kila siku mnabadilishwa jinsia ulaya uko mnaolewa na Western people ukiuliza eti haki za binadamu 😁😃

    • @EvanceIssa
      @EvanceIssa Před 7 měsíci

      Yaan kunanajitu mengine hayanaga akili, shida sjui niu ccm , hivi kwahii tz unaweza ukawa ukaongeaongea paspo kutumia akili ukabaki salama bila kuwekwa jera???, Tanzania Sheria zimejaa vby mno halafu unaanza kusema lissu Hana akili??, Embu ww mwenye hakili jalibu kuikosoa selikali hata ya mtaa uone Kama Kama utabakia huru, lisssu anatumia akili ya kisomi pia kajaliwa hekima, nahisi kungekuwa kunakumfunga mt paspo sheria lissu angeozea jera , Mungu akulinde lisssu ubalikiwe sana ww na family yako

  • @lugendondago8493
    @lugendondago8493 Před 9 měsíci

    Lisu wewe ni mnafiki sana

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si Před 9 měsíci

    Mjinga huyo

  • @mwimbiejose1800
    @mwimbiejose1800 Před 8 měsíci

    HUYU MPINZANI WA SEREKALI YA TANZANIA NA MWONGO SANA.STUPID

  • @talibsaid8096
    @talibsaid8096 Před 9 měsíci

    Kelele tu huna mpya bakiahuko kenya

  • @jemeslaizer8436
    @jemeslaizer8436 Před 9 měsíci +4

    Huyo alichanganyikiwa mimi ni mwanachadema lakini , huyo alipoteza dira... TZ TUKO SAWA.. BADALA YA KUJENGA CHAMA UNA ZUNGUKA.

    • @shabelibashili2064
      @shabelibashili2064 Před 9 měsíci +5

      Wewe siyo chadema wewe ni chawa2 usitudanganye

    • @faustinebahenobi3412
      @faustinebahenobi3412 Před 9 měsíci +4

      Ww sio mwana chadema unajifanya tu uelewi anachokiongea nyinyi ndo machawa wa samia

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 Před 9 měsíci

      TIMU ZA UCHAGUZI NI ZA CCM
      Kwa Zanzibar, Mh. Juma Duni alienguliwa na Tume ya Uchaguzi eti hawajui jinsia yake😂

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 Před 9 měsíci

      Kwa hiyo kiongozi wako akizunguka zunguka anabomoa Nchi !? Heri usingetoa maoni. Umepwaya !!

    • @jemeslaizer8436
      @jemeslaizer8436 Před 9 měsíci

      Yaani kusema nchi yako vibaya ndio kufaulu kutatua tatizo... Haiendi hivyo ukisidiwa. Maarifa, inamisha kichwa kuja na sheria mpya ya kulegeza serikali na kuchangasha wanainchi na sio kuibonda inchi yako.. Nje ya inchi iga mbowe.. Ni kiongozi, shupavu.. Raila... Ni kiongozi shupavu.. Bob wine wa Uganda 🇺🇬 Democratic ya Uganda ni mbaya lakini hasunguki nchi kwa inchi kuharibu nchi yake... Uwe muungwana.. Kiasi.. Maana kusema inchi yako ,, haitoshi.. Kubadili serikali,, ni kutumiza na sisi wanainchi wa kawaida.. Tafuta. Njia nyingine siasa. Ni plan si projo lissu... Tumieni sera zenu vizuri.... Mta win... Ila sii kwa njia ya kuharibu nchi yoko kwa mabaya tu.. Badili njia.. Nyingine

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 Před 9 měsíci

    Fatani mkubwa huyo na muongo mkubwa sana huyo. Muongo sana na Fatani mkubwa sana huyo. Shoga mkubwa sana

  • @kimalinganomhelela8377
    @kimalinganomhelela8377 Před 9 měsíci +2

    This Tundu Lisu got it wrong.He has no proper data that is why he is untruthful.

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 Před 9 měsíci

      Proof is required to support your point. Otherwise you will be considered as man of no data !!

    • @AntonyDova
      @AntonyDova Před 9 měsíci

      How far??

  • @princekagame8203
    @princekagame8203 Před 9 měsíci

    Mchukueni mkae nae sisi, hatuitaji ushoga tz

  • @gulftranspoters1762
    @gulftranspoters1762 Před 9 měsíci +1

    Ee bwana unakiwango fulani uongo

    • @PlsBungu
      @PlsBungu Před 9 měsíci

      Tanzania tuna bunge Sasa?