HUYU ASKOFU NI BALAA, BILA WOGA ADAI RAIS SAMIA ANAHONGA PIKIPIKI NA GESI ILI APIGIWE KURA 2025

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 06. 2024
  • #TANZANIA: Huyu Askofu Mwanamapinduzi Machumu ni balaa, aanika siri nzito ya Rais Samia, adai anahonga pikipiki na mitungi ya gesi kwa Wananchi ili apigiwe kura uchaguzi ujao, wananchi wathibitishankupokea mitungi ya gesi.
    Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE CZcams Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Komentáře • 88

  • @thadeusmateru1356
    @thadeusmateru1356 Před měsícem +13

    Zimwi la Magufuli litamtafuna Mama Samia

  • @user-iy8mq9ii8t
    @user-iy8mq9ii8t Před měsícem +2

    Msisumbuke alilopanga Mungu HATA watu wasipolipenda litatimia tuu msijisumbue Kwa neno lolote Bali kila neno kusali kuomba pamoja na kumshukuru Mungu yeye atosha haleluya

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před měsícem +5

    Fisiyemu tulieni sindano iwaingie

  • @ntulimwakimonga6966
    @ntulimwakimonga6966 Před měsícem +6

    Kesho utasikia yuko lupango" mchochezi" 😮😮

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před měsícem +4

    Fisiyemu halijitambui watanganyika tunajitambua tumewakataa hata mkiongea. Humu mautumbo yenu hamtaeleweka

  • @user-uq5vm2ge4q
    @user-uq5vm2ge4q Před měsícem +1

    Safi sana

  • @EzekielKaminyoge
    @EzekielKaminyoge Před 28 dny

    Usutumie vibaya neno la Mungu askofu

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 Před 28 dny

    Askofu Big up!

  • @emmanuelkaale6448
    @emmanuelkaale6448 Před 27 dny

    Ukipewa chukua piga kura kwa anayetetea rasilimali

  • @paulalubini8930
    @paulalubini8930 Před měsícem +1

    Watu tumechoka na maisha magumu ya huyu Raisin samia

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 Před měsícem +2

    Biblia nzima ukiisoma mgogoro mkubwa uliokuwepo ni baina ya viongozi wa kidini na serikali.
    Hovyo viongozi wa dini Wana wajibu wa kuingilia kati pale serikali inapokosea

  • @jacksonndiu1070
    @jacksonndiu1070 Před měsícem +1

    kweli alitakiwa ajiuzulu

  • @user-mh9hj3lx7q
    @user-mh9hj3lx7q Před měsícem +1

    Mama samia rudi kwenu znz

  • @IssaMohamed-mp4hj
    @IssaMohamed-mp4hj Před měsícem

    Kweli maisha magum sana tz

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg Před měsícem

    Watu wa mungu acheni siasa. Hubirini injili

  • @allymusira2153
    @allymusira2153 Před 29 dny

    Haya maneno angekuwa kayasema sheikh sasahivi angekuwa keshabambikwa kesi ya ugaidi

  • @venceslausmtanila93
    @venceslausmtanila93 Před měsícem +1

    Sio askofu huyu

  • @KhamisiSalimu
    @KhamisiSalimu Před měsícem

    Faida ya mungano huo munauziwa nchi yenu sasa na bado pumbavu kwa nini munataka mungano

  • @user-rd2no1sm2u
    @user-rd2no1sm2u Před měsícem

    😅

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d Před měsícem +1

    Kachanganyikiwa na udini huyu cio kosAlake tumuombe amuongoze halafu askofu sijui hao anaowaongoza wakoje huu mtihani mungu Samia urais Kapewa na mungu wewe huwezi kulitengua Hilo na chuki zako binafs

  • @evelina9621
    @evelina9621 Před měsícem +1

    Kweli
    Ajihadali
    Maguli.alisem@

  • @venceslausmtanila93
    @venceslausmtanila93 Před měsícem

    Hana kanisa kanisa kwanza

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 Před 28 dny

    Askofu pokea 100% kwako,

  • @BonaBonala-bp5qm
    @BonaBonala-bp5qm Před měsícem +1

    Mh samia atareta Vita ya wazanzibar na watanganyika kwa kuwasaport wazenji tuuu inchi itakua kama Rwanda kwa ujinga wake samia

  • @evelina9621
    @evelina9621 Před měsícem

    😢ombeni.kura.punguzeni.maneno.mkali.sera
    Zuri.mafundi sho
    Juu.uchaguzi.waamke.wasids

  • @miraabdul7470
    @miraabdul7470 Před měsícem

    Huyu akawaulize wa Pemba na unguja, walifikia wapi.
    Upinzani uchwara hautachukua dola kwa vikaratasi vya kura

  • @NayratOmar
    @NayratOmar Před měsícem

    Umeyakamyaga

  • @allyalsubhy6899
    @allyalsubhy6899 Před měsícem +2

    Sasa Samia ni rais wa Z,bar we mpumbavu Nini na Kwa uchochezi huo naaoa kama mtapata ushidi,

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k Před měsícem

    Samia naona amechanganyikiwa.Maana hata polisi wamemsaliti.

  • @AnaniaBulaya-rc3jv
    @AnaniaBulaya-rc3jv Před měsícem

    Yaani askofu u nahimiza watu kubeba silaha mungutuepushe.

  • @user-xs3ko8pg2g
    @user-xs3ko8pg2g Před měsícem

    siku mkirudi njooni G Lema

  • @adorchmassimba4413
    @adorchmassimba4413 Před měsícem +1

    Hatujafikia steji ya kutumia siraha za jadi kwenye uchaguzi mnatutisha sisi wapiga kula tusiende hata kupiga kula siku ya uchaguzi mtaenda wenyewe wewe ni mchungaji unatakiwa kuhamasisha amani sio machafuko na swala la ccm kuiba kula kwakutumia vyombo vya dola kama wewe mtumishi wa Mungu unatakiwa ulikemee nakumuomba Mungu aingilie kati haki itendeke hakuna kisichowezekana kwa Mungu

    • @hassannuru7399
      @hassannuru7399 Před měsícem

      acha uongo mchungaji.Hakuna mtu anakataliwa na mungu.huna hoja mchungaji.kangombee uone kama utapata kura hata moja,kama kuna mtu anakataliwa na mungu kama unavyosema labda ni huyo aliyekufa akiwa ofcn.

    • @zawadimbwambo1091
      @zawadimbwambo1091 Před měsícem

      Mungu kashaa ombwa Sana haki itendeke na haikutendeka Hadi Leo. Sasa nikummaliza tu atakaejaribu kupora haki.

    • @EmmanuelKuzenza
      @EmmanuelKuzenza Před měsícem

      Mtukutu haishi kwa maombi. Fimbo hutumika kumwelimisha mtukutu.

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před měsícem

    Wenye akili timamu tutaenda misukule ibaki. Nyumbani

  • @user-ry3zq8vp5c
    @user-ry3zq8vp5c Před měsícem

    Kweri wewenichawa wasamia mpaka unasema mungu samia

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před měsícem +1

    pole sanaaaa huwezi kuisinda Ccm hata ufanye pamoja na uaskofi wako

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d Před měsícem +1

    Asikofu mjinga anapingana na mungu wewe Kama Nani mungu hajamkataa samia ila wewe mpumbavu aliekwambia bandali zimeuzwa nani wewe unachuki za kidini sio acha uongo askofu mzima unamused mjinga

    • @thepresidenttobe5481
      @thepresidenttobe5481 Před měsícem

      Mjinga ni wewe kenge wewe. Askofu kasema huyo kakataliwa na Mungu, wewe unasema mungu, sasa huyo mungu ni shetani. Jifunze ili uelewe boya mkubwa

  • @abuuazhar3738
    @abuuazhar3738 Před měsícem

    Chadema UDINI UTAWAMALIZA.

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před měsícem

    HABARI NDO HIYOO

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před měsícem +1

    Huyu ni askofu au mwanasiasa?

    • @philemonsnyanda9450
      @philemonsnyanda9450 Před měsícem

      Gwajima yeye unamusemaje

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před měsícem

      @@philemonsnyanda9450 ulishawahi kumuona Gwajima anavaa nguo za kiaskofu na misalaba katika majukwaa ya kisiasa?

  • @janengaga2928
    @janengaga2928 Před měsícem

    Askofu wewe huogopi.

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 Před 29 dny

    Ujinga wa askofu huyu .Mheshimiwa Samia hahongi pikipiki kwani vitendea kazi vya CCM vinakuhusu nini .Siasa na dini hiviendi njia moja .Askofu uliyechanganyiikiwa kama Tundulisu.Mungu hajakwambia hayo nimajukuu .

  • @majebelemathis9991
    @majebelemathis9991 Před měsícem

    Huyu mtawala hatumtaki kabisa ila analazimisha tu

  • @BonaBonala-bp5qm
    @BonaBonala-bp5qm Před měsícem +1

    Askofu mwana mapinduzi Mungu yupo na Wewe tanganyika irudi Zanzibar iende Mungu aripanga sio Nyerere mbweha

  • @kassimualli1755
    @kassimualli1755 Před měsícem

    Kafiri mkubwa huyu analeta uchochezi wa wazi kuma la mama yake huyu askofu

    • @erickmsigala138
      @erickmsigala138 Před měsícem

      Umelaaniwa kwa laana huna Mungu wewe ni shetani umekosa elimu kichwani umejaza kinyesi ndiyo maana huoni haya kutamka matusi matandaoni hujuwi madhara yake kwasababu u mjinga tu

    • @emanuelmkama1325
      @emanuelmkama1325 Před měsícem

      Wew imetokea wap kwa mam ako

    • @user-wt7vz1xx6c
      @user-wt7vz1xx6c Před 28 dny

      Mapema tulia sindano ningie

    • @AdamShaban-uu4en
      @AdamShaban-uu4en Před 23 dny

      Unamtukana askofu wewe ni shoga hujielewi unafirwa na ccm

  • @Al.habeebAl.habaaib
    @Al.habeebAl.habaaib Před měsícem

    Nyie ni wadini sana
    Na ndio maana wakirusto wenzenu wakiongoza hamsemi chochote.
    Nyerere ndio Raisi anaeingoza kufanya hali ya watanzani kuwa mbaya tena kwa muda zaidi miaka 20.
    Mkapa.alibinafsisha vitu vingine vya umma na hamkusema chochote

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward Před měsícem

      Sio kweli,ukitaka kufanya kubuka historia mkapa alipingwa kwa sera ya ubinasaj, mchanga wa dhaabu kupelekwa nje ulipingwa rejea doc za bunge, Tics ikija bandari mkurugenzi wa badandari alilamika mbele yake akikataa uwezaji. Mbunge aloys kimaro alitaka Kwa hoja mkapa ashitakiwe. Huyo mbuge mali zake arushwa Ilihujumiwa. Magu alipingwa kila kona na akitwa dictator. Vyombo ya habari kama BBc, hazikukosa habari ya kukosa kila leo. Mwl Nyerere historia inaonyesha alikuwa apinduliwe. Sisi tuna kasumba ya kumjadili mambo ya kutupotezea mda. Kama mzalendo hoja mfano kwa nini kiwanda kinateneza chupa za glass kwa kutumia maligafi za nje wakati Ziko hapa nchini? Kwa nini hua hatuoni haya?. Kwa nini tusifufue viwanda vya mikakati kama general tyre. Hivi hawa tunaowatetea kwa Imani Zetu kwa nini tushauri kwa Watoe uongozi wao Raia tufufue viwanda. Kule nchi ya Ethiopia bwa la umeme limejengwa kwa hisa za raia. Sisi hapa hoja uchwara na ukuwadi wa mali, rushwa.

    • @edosha3137
      @edosha3137 Před měsícem +2

      Wote walikuwa Watanganyika hawakuuza kwa Waarabu.

    • @Al.habeebAl.habaaib
      @Al.habeebAl.habaaib Před měsícem

      @@edosha3137 wameuza kwa wazungu

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před měsícem

      ​@@edosha3137 Msenge wewe, kwahiyo nchi ilivyouzwa Kwa wengine hiyo ni Sawa, kuuzwa Kwa waarabu ndio tatizo? Msenge sana wewe

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 Před měsícem

      Hao akina mkapa waliuza kwa nani? Kwahiyo wewe mtu akiwa wa imani mwenzako, hata kama ni jambazi, utamtetea, hii tanganyika ni mkate wa wote, sio wachache wamege pakubwa, wengine wakose, kwa nyie waislamu hamna jeuri ya kuipinga serikali, sababu ni waoga sana,, wapinzani wenye nguvu duniani kote ni wakristo. Hata katika vitabu vya dini, manabii wengi wa MUNGU walizipinga tawala za miaka ile kwa uzalimu waloufanya.

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 Před měsícem

    Hivi vitabu vya Mungu nchini. Tanzania vinaruhusu unafiki hivi sasa Dunia inakwenda wapi ? Ona huyu mchungaji wa Mungu kweli? Mbona anawapeleka kondoo wake kwenye mto wenye mamba ili wakaliwe ivi Baibo la Mungu kweli limeandikwa hivyo kweli ? Jamani hii njaa wa Tanzania itatupeleka pabaya. Ndiyo maana Tanzania wachugaji wanajitundika kwa kujinyonga ndiyo kama hayo anayoyafanya kama huyojivisha ngozi ya kondoo huyu sio mchungaji bali ni mtu anayetafuta lana kwa Mungu. Emen

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d Před měsícem +1

    Acha uaskofu uwe mwanasiasa yani wee dogo umekuwa aibu na unalitia aibu Kanisa na kwataarifa yako samia atapita kwa kishindo 2025 unapoteza muda wako bure Bwanamdogo utakufa na kijiba cha roho

    • @user-ry3zq8vp5c
      @user-ry3zq8vp5c Před měsícem +2

      Naonamachawa mnamzoga asikofu mtapatauteuzi waobarozo hata wanyumba kumi asante

    • @edosha3137
      @edosha3137 Před měsícem +1

      Kama Chawa wake mtaiba kura. Na haipendi Tanganyika yenu.

    • @edosha3137
      @edosha3137 Před měsícem +1

      Hamuipendi Tanganyika. Mnapenda kutawaliwa na Wazanzibar

    • @PetroMpunga-rt7hv
      @PetroMpunga-rt7hv Před měsícem +1

      Katiba mpya

    • @karolikisaka8991
      @karolikisaka8991 Před měsícem

      Uaskofu ni kazi,na kazi mojawapo ya askofu ni kuwasemea wasioweza kusema