HUYU ASKOFU NI BALAA, BILA KIFICHO AMPA ZA USO RAIS SAMIA SAKATA LA BANDARI, AWATAKA WATUBU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 07. 2023
  • #TANZANIA: Huyu #Askofu ni balaa, bila kificho ampa za uso #Rais #Samia #sakata la #bandari

Komentáře • 538

  • @EmanueliSimbwe-ru5fu
    @EmanueliSimbwe-ru5fu Před 11 měsíci +11

    Hapo sawa Baba Askofu Mungu akupe kutokunyamaza

  • @danieljonkey-vh8fc
    @danieljonkey-vh8fc Před rokem +17

    Mungu awaone vingoz ambao wanalikana Taifa hili kama Ni kweli nchi yetu inauzwa Mungu hatanyamaza katika hili

  • @olivaerasto6669
    @olivaerasto6669 Před rokem +13

    Mungu ni WA haki.kitafahamika kimoja wapo.Mungu atawaumbua

    • @antonywilliama2868
      @antonywilliama2868 Před rokem

      ni kweli maana wanalazimishamkataba mbovu na hao wanao tumwa kusumbua viongozi wa dini walamba asali hawajali mali adili za taifa

  • @godlovengonde6636
    @godlovengonde6636 Před 11 měsíci +6

    Ahsante Baba, hakika umetumwa na Mungu. Umenena vema sana

  • @user-xf7pr6mj4n
    @user-xf7pr6mj4n Před 11 měsíci +9

    Ubarikiwe Sana baba, umesimama Kama Yohana na kumwakilisha Mungu wa haki. Bwana Yesu akutangulie.

  • @TedyMatiku-tr8qw
    @TedyMatiku-tr8qw Před 11 měsíci +6

    Umeongea vizuri Sana mzee kama mchungaji na kama mzee waheshma mshauli tu mama asiruhusu bandari zetu kwenda

  • @filorammbaga5710
    @filorammbaga5710 Před rokem +15

    Ni kweli mbowe alikuwa wa kwanza kutadhaharisha watanzania tumeliwa na huu mkataba .Mbowe Mungu akubariki sana.!

  • @benedictoshadrack2573
    @benedictoshadrack2573 Před 11 měsíci +6

    Hivi kumbe ukihoji mkataba huo wa bandari inakuwa kosa tena duuh ama kweli nchi hii haki nikizungumukuti Mungu tutetee na utusaidie pia

    • @laborapetro5117
      @laborapetro5117 Před 10 měsíci

      Sio kweli huyu mzee muongo hakuna mkataba wa bandari kunabmakubaliano ya Dubai na Tanzania.. maana yake mkataba wa bandari hakuna na hawa wote wanatumika na wale wanufaika wa bandari

  • @ahimidiwerishya8523
    @ahimidiwerishya8523 Před 11 měsíci +5

    Amina mtu wa Mungu. Mwenye masikio na asikie sababu inauma sana kweli sikumtegemea rais kufanya maamuzi haya

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před rokem +13

    #KATIBA MPYA #OKOA BANDARI ZETU. Wao ccm kama serikali wakikutana na viongozi wa dini,ni halali lakini wananchi kupitia chadema wakiwaomba watumishi kukutana nao ni haramu,ni tishio kwa Amani ya nchi!!? Ajabu kabisa! Wakipitisha mkataba bila kuwashirikisha wananchi,ni halali,lakini wananchi wakihoji ni kuchochea vurugu, kupinga maendeleo, ni kushirikiana na mabeberu kuipinga serikali ili kuvuruga Amani ya nchi!!? Hii ndio lugha ya wachache katika serikali ya ccm kwa wananchi tuliowapa dhamana! Isaya33:1,7-10 Tuwalaani kwa sauti kuu, wasikie,na Mungu atusikie vilio vyetu.

  • @aloycegasper5188
    @aloycegasper5188 Před rokem +10

    Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema na Neema wajalie viongozi wetu walete umoja na amani wawezi kutuongoza vema ktk hili la bandari lisituumize kwa maslahi ya wachache

  • @iddymuro
    @iddymuro Před rokem +10

    Huo ndiyo utumishi bora wenye kumpendeza Mungu badala ya kumpendeza binadamu atakayekufa kama wengine

  • @kaundavyoseena6514
    @kaundavyoseena6514 Před 11 měsíci +6

    Msema kweli huyu Mtu. Viongozi wengine waoga yumkini hata wa dini!

  • @NeemaJulius-qo2xz
    @NeemaJulius-qo2xz Před rokem +12

    Mungu wetu tunakuomba utusimamie Kwa ajili ya hili

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt Před 11 měsíci +2

    Amina Baba Ubarikiwe umenena bila hata kuogopa

  • @user-ot6hn5ye8b
    @user-ot6hn5ye8b Před 11 měsíci +4

    Jamani kiukweli hii nchi tusikae kuogapana, sasa mnatupa elimu ya nini Jamani. God bless our country give us peaceful mind.

  • @RachealMndambi-kv9sd
    @RachealMndambi-kv9sd Před 11 měsíci +3

    Eee Mungu Tunusuru,Tusaidie,Ingilia kati.Tupe hekma na busara za kuchanganua mambo.Aameni

  • @tatoorashedi1787
    @tatoorashedi1787 Před 11 měsíci +3

    ❤❤❤❤❤❤❤ Aminaa kiongozi nyinyi ndio mboni zetuwaTZ

  • @aronligazio7403
    @aronligazio7403 Před rokem +5

    Hili ni taifa nzuri saana, Kuna mahala tunapenda....

  • @renatusideogratas-qr6en
    @renatusideogratas-qr6en Před 11 měsíci +2

    Mungu you pamoja na wasema kweli watanzania atujalala bunge limepowa Sana ata miradi mingi atujui atima yake.

  • @bullekisimikwe3852
    @bullekisimikwe3852 Před rokem +11

    Safi sana Askofu, ikibidi tufunge na kuomba walau siku 3 ili liwakute jambo zito mpaka mkataba ufutwe

    • @lameckluyungu6737
      @lameckluyungu6737 Před 11 měsíci +2

      Kwa nini hawana uchungu na nchi yetu, hawakumbuki waarabu walitufanyia nini wakati wa ukoloni, rushwa imewapiga upofu Tunataka bandari zetu zibaki.

    • @user-py1cb2sw7i
      @user-py1cb2sw7i Před 11 měsíci

      Kwel na tumbo zao zinatufanya tutaumia wote

  • @MaikoMkwawa-fk9tc
    @MaikoMkwawa-fk9tc Před 2 měsíci

    Wewe baba ni mshumaha kwetu mungu akupe maisha marefu

  • @abrahamkalinga4291
    @abrahamkalinga4291 Před rokem +5

    Viongozi wetu ni wezi sana Tanzania

    • @omarkabogo1580
      @omarkabogo1580 Před 11 měsíci

      Acheni kupotoswa nyinyii, kuenimakini

    • @user-oz1pp1ck2m
      @user-oz1pp1ck2m Před 11 měsíci

      ​@@omarkabogo1580kupotosha kwani hujauma tugawane kama nawe umetafuna Asali

  • @joyceathanasi8435
    @joyceathanasi8435 Před 11 měsíci +10

    Watanzania tuendelee kupiga kelele mpaka kieleweke,Mungu awabariki na kuwalinda.

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 Před rokem +7

    Sasa basi hii DP World tuwape Zanzibar,Zanzibar wanaitaka leo DP World,sababu itakuwa Dubai ya Afrika,lakini basi, msije mkafanya choyo na husuda,

    • @elikarimugayewi3105
      @elikarimugayewi3105 Před rokem

      Zanzibar ni Tanzania

    • @sabraham5308
      @sabraham5308 Před rokem

      @@elikarimugayewi3105 sasa ni sawa Zanzibar ni sehemu ya Tanzania,na bandari Tanganyika ina mamlaka yake na Zanzibari ina mamlaka yake y bandari,kama hamuwataki DP world wapeni Zanzibar,msimsingizie Mama yetu Samia mambo mabaya,msitunge mambo ya uwongo,umesema kuna genge,hilo sio kweli,maaskofu wenzako wamesema,mama anaiuza nchi,leteni ushahidi,wacha ujanja ujanja,una Jambo lakini utalitapika

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja4032 Před 11 měsíci +3

    Hawa ndo watumishi wa mungu tunao wahitaji! Mbona kwenye mikutano ya ccm waga wanakwenda? Baadhi ya viongozi wa dini siku izi wamekuwa wanafiki sana na wachumia tumbo tu

  • @rahimajuma5306
    @rahimajuma5306 Před 11 měsíci +3

    Mungu ni mwema Mungu akubariki sana

  • @izamahmasaki4795
    @izamahmasaki4795 Před rokem +5

    semeni Saba watu wa mungu, tuko nanyi pamoja

  • @panadomadola3064
    @panadomadola3064 Před 11 měsíci +3

    Ongera baba kwa maneno ya kujenga

  • @ponsianaprotas8990
    @ponsianaprotas8990 Před 11 měsíci +3

    Ameeeeen! Ubarikiwe sana.

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 Před měsícem

    Baba askofu ubarikiwe wew umeitwa kwa jina la yesu kristu Bwana wetu, barkiwa sana,

  • @josephambrose2215
    @josephambrose2215 Před rokem +11

    Safi sana Askofu, wachane ukweli Samia na ccm yake

  • @JeremiahMugeta
    @JeremiahMugeta Před 11 měsíci +2

    Jeremia mugeta kutoka mara tz@@@😢😢😢
    Asante sana baba askofu mungu akulinde,maana umewambia haki na kwel kuhusu bandari yetu maana ndio injini ya nchi,,,na wazo langu Kama sio katiba ya nchi huyo rais alikuwa ni WA kunyonga,

  • @annasumaye3633
    @annasumaye3633 Před 11 měsíci +1

    Mungu akulinde mtumishi umenena vema

  • @meryfrank5272
    @meryfrank5272 Před 11 měsíci +1

    Safi sana askof hiyo ni mzr, kitu vzr so serikalini tu ata vitu vyako binafsi huwezi kuachia kiholela jamn ,

  • @emeresianamichael5163
    @emeresianamichael5163 Před 11 měsíci +2

    Baba mungu akufunike asante kutuwakilisha Sauti yetu

  • @user-ev7td1wf9p
    @user-ev7td1wf9p Před 10 měsíci +1

    Mungu atusaidie ktk ili

  • @user-qz5ch8ke4c
    @user-qz5ch8ke4c Před 11 měsíci +1

    Selekali yeti mungu aitazame kwajicho la husuda tunateseka sana wenyehali ya chini

  • @aloycegasper5188
    @aloycegasper5188 Před rokem +4

    Amina❤

  • @PauloMajaba
    @PauloMajaba Před 3 měsíci

    Hongera sana baba umeongea kama baba ujapendelea chadema wala ccm unaimarisha amani na uhuru

  • @MaikoMkwawa-fk9tc
    @MaikoMkwawa-fk9tc Před 2 měsíci

    Kwakweli kizuri akidumu mtangulizeni mungu sana katika ukweli wenu nakujitoa mbele yetu na mbele ya mungu

  • @trillhappybeautypoint9874

    Lord of mercy 😢 tunakuhitaji🙏

  • @feristadaudi6599
    @feristadaudi6599 Před 11 měsíci +2

    Mchugaji tumwombe sana mungu tuko nyakati za mwisho paspo mungu hatujui twedako

  • @chomasongidion6047
    @chomasongidion6047 Před 11 měsíci +1

    Sasa naanza kujifunza Jambo naninakumbuka, maneno ya magufuli kuwa mtanikumbuka kwa mazuri ai kwa mabaya,sasa tunamkumbuka , mungu mrehemu ,yaani sunia hii basi tu,tuliombee Taifa letu

  • @evaristokitinusa7251
    @evaristokitinusa7251 Před 10 měsíci +1

    Hongera sana Asikofu

  • @ShaibuMniwa-gy8do
    @ShaibuMniwa-gy8do Před rokem +8

    Mama mimi ni muisilamu
    Ila mama mh SAMIA
    Chukua haya Maneno
    Yafanyie kazi haya
    Mimi nimemwelewa
    HanaBay yako xaiiii
    Iiii imeogea kasikazini
    Bado kuxali

  • @aliothman7930
    @aliothman7930 Před 11 měsíci +4

    Wapenda bure mmekwisha

  • @johnpeter9051
    @johnpeter9051 Před rokem +4

    Sawa kabisa

  • @mahubirikarismatikikatolik8281
    @mahubirikarismatikikatolik8281 Před 10 měsíci +1

    Safi sana Baba Askofu, mwenye masikio na alisikie neno hili.

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Před 11 měsíci +1

    Nchi imekuwa ya kidicteter mungu na ashuke kilio tunachokililia mungu ukaonekane

  • @evaristokitinusa7251
    @evaristokitinusa7251 Před 10 měsíci +1

    Ubarikiwa mtu wa mungu

  • @user-uz5fl1nu8y
    @user-uz5fl1nu8y Před rokem +2

    Tatizo lao wanajikubali sana hao walio pita bila kupingwe kuna siku mungu atatulipia kilio chetu

  • @RamadhaniAndambike-oq5on
    @RamadhaniAndambike-oq5on Před 11 měsíci +1

    Nchi itakua salama two sisi tumuombe mungu na inatakiwa watapigwa namungu hao wote nawatake wasitake wataelewa two mungu awabariki viongozi wetu wa dini kwakupiania haki ya nchi hii

  • @tumainiezekia5873
    @tumainiezekia5873 Před 11 měsíci +1

    Tumepat mtu sahihi wakutusemea jmn Mungu tusaidie lipite

  • @user-nt4lp9dy6i
    @user-nt4lp9dy6i Před rokem +5

    Tuokolee inchi huyu rais hafai kutongoza kwa mwana mke ni kiumbe dhaifuu

  • @chloecallie3619
    @chloecallie3619 Před 11 měsíci +4

    Genge la wahuni achia nchi yetu kwa Jina la Yesu

  • @lucymarawa864
    @lucymarawa864 Před 11 měsíci +1

    Mungu amekutoa mtumshi Asante

  • @user-li6iw4tl5s
    @user-li6iw4tl5s Před rokem +7

    Kwa kweli inakatisha tamaa juu ya nchi yetu ya tanzania

    • @shabanbaheza4711
      @shabanbaheza4711 Před 11 měsíci

      Nyie makafir ni mbwaaa ngurue inawadhuru

    • @MACHOYATAI-jk6fu
      @MACHOYATAI-jk6fu Před 11 měsíci

      @@shabanbaheza4711 Sasa nyie waisilamu kutwa kutukana ndivyo mnavyofundishwa misiktini?

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 Před měsícem

    Tuna hitaji watu wa Mungu zaidi kama ww wakufundisha watu,

  • @user-cu1mf1nt9n
    @user-cu1mf1nt9n Před 11 měsíci +3

    Asante sana askofu kwa kusema ukweli bila kumung'unya mungu akusimamie katika hilo

  • @ThomasErro-tx9td
    @ThomasErro-tx9td Před 10 měsíci

    Huyu ni mchungajia au ni mwekiti wa chadema, amekoza maadili za kazi zake

  • @tumainpeter7534
    @tumainpeter7534 Před rokem +1

    Amina

  • @Generosembaule-zb5en
    @Generosembaule-zb5en Před 7 měsíci

    Mungu akulinde Askofu

  • @kavulatikivurunzi
    @kavulatikivurunzi Před 11 měsíci +1

    Nikweli tunakupenda sana

  • @josephat66
    @josephat66 Před rokem +5

    Hayo mapya na mazuri sana.. jmn nchi hii ni watu wote wenye elimu, masikini, kipofu,kirema,bubu,mtoto hivyo muliopewa mamlaka na makundi yote haya ebu jitafakarini kwa hali hii mtafanya kirema atembee na bubu aongee.. Dah namkumbuka JPM

  • @paulojohn9608
    @paulojohn9608 Před 11 měsíci +2

    safi sana askof

  • @willykyando5647
    @willykyando5647 Před rokem +4

    Tuwape zanzibar huomkataba.kama mali zote nizamuungano

  • @amosmganyizi7544
    @amosmganyizi7544 Před rokem +6

    Uko vizur askofu

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me Před rokem +2

    Mikataba mingi imefungwa na wewe ulikuwepo ukakaa kimy leo bandari unakuja juu kisa udini tu hakuna jengine

  • @user-yd6bg9ys5s
    @user-yd6bg9ys5s Před 10 měsíci +1

    Semaaaa

  • @salumbinabed6906
    @salumbinabed6906 Před rokem +2

    Yes muheshi miwa Samia tunakuombo waznzibari tupe sisi hiyo dp world

  • @user-oq1jg8oi9d
    @user-oq1jg8oi9d Před rokem +6

    Tunaomba viongozi wetu wanapokosolewa wasiwe wakali na kutoa vitisho maana yake ni kwamba hatuko huru na basi elimu isiwepo kwa watu basi wawe wote wajinga katika taifa fanya kazi ya watu viongozi na wasikilize watanzani wanataka nini na nini hawataki hapo haki itakuwapo

    • @faridhassan6834
      @faridhassan6834 Před 11 měsíci +1

      Uko sawa bro,mimi niko zambia ila kila kona wazambia wanaokuja Tanzania sasa hivi wanasema Tanzania ni kama new York,na kubwa wanaongelea watu walivyokuwa wakarimu na usalama,maadui hawapendi hii watatumia kila njia tukuharibia ni wakati wa kushikana

  • @user-xy2vw1jx7u
    @user-xy2vw1jx7u Před 5 měsíci

    Nimeamua salama na family yangu nimetafuta mikono imepeleka kinywani nashkru Mungu..,, maana nchi hii hakuna mwanasiasa wala mwanadini naona wote waigizaji tu.

  • @izamahmasaki4795
    @izamahmasaki4795 Před rokem +2

    Hilo genge la majasusi was magharibi, wanalinda uchimi wa nchi zao zinazopigwa na urusi. Mama ana kazi Moja tu ...........

  • @mjumbewaaganoduniani
    @mjumbewaaganoduniani Před 11 měsíci +2

    Ni NENO la wakati ndilo litaiponya SI Tanzania tu bali dunia nzima, naomba mnipe nafasi ya kufundisha katika media zenu .

  • @user-py8lz3us3m
    @user-py8lz3us3m Před 11 měsíci +1

    Ubalikiwe mtumishi

  • @japhethcharles5791
    @japhethcharles5791 Před 11 měsíci +1

    Kunawatu wanazani watanzania ni wapumbavu ,nawaonea huruma sana maana Kila dhambi italipwa hapa hapa duniani

  • @JustineSasu-cg6pp
    @JustineSasu-cg6pp Před 10 měsíci +1

    Kwa hili la Bandari hekima lazima itumike kwa kudumidha amani na usalama wa nchi, Serekari, na vyama pinzani sharti vikae pamoja na vilimalize jambo hill.

  • @shahiidabdallah3579
    @shahiidabdallah3579 Před 11 měsíci

    Mbona hamuongelei memorandum of understanding Kati ya serikali na kanisa?mnalenu jambo.😮

  • @geofreyjonas4901
    @geofreyjonas4901 Před rokem +8

    Well said our bishop, tupambanieni waumini wenu Bishop 😢

  • @eliakisinga5360
    @eliakisinga5360 Před rokem +8

    Wanauza moyo wa nchi

    • @agathalyamuya9358
      @agathalyamuya9358 Před 11 měsíci

      Nililia sana nikamwambia mungu amsha watu waseme leo nalala kwa Amani nimefurahi Mungu ametenda

  • @emeresianamichael5163
    @emeresianamichael5163 Před 11 měsíci +2

    Tanzania niya mungu

  • @husseinwaziri2796
    @husseinwaziri2796 Před rokem +21

    The contract should be read to the public so that everyone to know what is inside.

  • @happyfaniabatromeo8010
    @happyfaniabatromeo8010 Před 11 měsíci

    😄😄😄Ukiona Mtumishi wa Mungu anajihusisha na siasa ujue mbele za MUNGU hasomekiii huwezi kumtumikia MUNGU na siasa 🇹🇿🇹🇿
    Wanaoongozwa na ROHO wa MUNGU hao ndio wana wa MUNGU

  • @daudilfrans996
    @daudilfrans996 Před rokem +1

    shida bandari yetu imeingiana na siasa na udini tufate dini . tuache siasa alafu chadema Kuna ukabila na udini mwalimu Nyerere. alikaza udini mama yupo vizuri tuache udini

  • @jayzeem14
    @jayzeem14 Před 11 měsíci

    Mnasifia vitu hsta pale watu wanapikuwa wamepotoka kwenye tafsiri! Mungu atusaidie

  • @NDEWARA
    @NDEWARA Před rokem +6

    Ni hatari kubwa sana viongozi wa dini kuhutubia kwenye majukwaa ya siasa😢😢

    • @ibrahimgwasma1223
      @ibrahimgwasma1223 Před rokem +1

      Maana ya hiyo kitu ni kwamba kuna viongozi wa dini na viongozi wanaotumia kivuli cha dini kujipigania

    • @GilesKhamis
      @GilesKhamis Před 11 měsíci

      Nchi imevamiwa

  • @user-lc4gn8fq9w
    @user-lc4gn8fq9w Před 10 měsíci

    Mungu akubaliki sana askofu

  • @user-rn5zx2lk3x
    @user-rn5zx2lk3x Před 8 měsíci

    Mungu anawaona

  • @user-vq1tr1sf7v
    @user-vq1tr1sf7v Před 11 měsíci +1

    Nimipango ya Samia kikwete nk

  • @kamishina7853
    @kamishina7853 Před 11 měsíci

    Gazeti la mwanahalisi Limewataja wenye mkataba huo wa bandari mubovu Wamelitishia kulishitaki gazeti hilo

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me Před rokem

    Haya matusi yote mnamtukana mama hamjui majukumu yenu makanisa yamewashinda kazi kula sadaka za watu tu

  • @nurdiniissa2508
    @nurdiniissa2508 Před rokem +2

    Msitutishe bwana mkataba uendelee kama bunge limelizia

  • @user-dp1ch6vv6z
    @user-dp1ch6vv6z Před 6 měsíci

    Kuna wala nchi,wenye nchi na wana nchi, ila ipo siku kama hakita chimbika basi kitaumana.

  • @benardsamizi-qo4yp
    @benardsamizi-qo4yp Před 11 měsíci +1

    DAMU YA YESU UKUFUNIKE MTUMISHI WA MUNGU . SIMAMIA HAKI NA MUNGU WA HAKI ATAKUWA UPANDE WETU.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 11 měsíci

    Mbona muanzilishi wa huu Mkataba amenyamaza ila ajua kuwapigia Mahakama kubadilisha maamuzi ya kesi.

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Před 11 měsíci +1

    Huo ndiyo ukweli baba

  • @ondieckotoyo1143
    @ondieckotoyo1143 Před 11 měsíci +1

    Ifike wakati watu waoji haki za muungano inakuwaje mzazibari aruhusiwe kumiki ardhi bara lakini mtanganyika hawarusiwi kumiliki ardhi Zanzibar muungano wa haina gani isiyo na haki katika usawa huu ni ukiukwaji wa katiba ya nchi inaongelea usawa

    • @abdulrahmanmwadini5925
      @abdulrahmanmwadini5925 Před 11 měsíci

      Shida ni huo uislam tu,kama kweli huo sio mkutano wa dini huyo yesu unamuimba hapo wa nini,wee payuka tu lakini muwakilishi wako kashaupitisha

  • @FitinaMohamed-dd8fv
    @FitinaMohamed-dd8fv Před 11 měsíci

    Wachungaji mnajiingiza kwenye siasa

  • @user-ep2cm5xo3k
    @user-ep2cm5xo3k Před rokem +1

    Askofu ilo genge linalomkosesha Rais wetu,mnapaswa viongoz wa din kulikabis ilo genge kwa Mungu Alie hai aliangamize kabisa lisiwepo katika Nchi hii ya Tanzania.