Sio kweli huyu mzee muongo hakuna mkataba wa bandari kunabmakubaliano ya Dubai na Tanzania.. maana yake mkataba wa bandari hakuna na hawa wote wanatumika na wale wanufaika wa bandari
#KATIBA MPYA #OKOA BANDARI ZETU. Wao ccm kama serikali wakikutana na viongozi wa dini,ni halali lakini wananchi kupitia chadema wakiwaomba watumishi kukutana nao ni haramu,ni tishio kwa Amani ya nchi!!? Ajabu kabisa! Wakipitisha mkataba bila kuwashirikisha wananchi,ni halali,lakini wananchi wakihoji ni kuchochea vurugu, kupinga maendeleo, ni kushirikiana na mabeberu kuipinga serikali ili kuvuruga Amani ya nchi!!? Hii ndio lugha ya wachache katika serikali ya ccm kwa wananchi tuliowapa dhamana! Isaya33:1,7-10 Tuwalaani kwa sauti kuu, wasikie,na Mungu atusikie vilio vyetu.
Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema na Neema wajalie viongozi wetu walete umoja na amani wawezi kutuongoza vema ktk hili la bandari lisituumize kwa maslahi ya wachache
@@elikarimugayewi3105 sasa ni sawa Zanzibar ni sehemu ya Tanzania,na bandari Tanganyika ina mamlaka yake na Zanzibari ina mamlaka yake y bandari,kama hamuwataki DP world wapeni Zanzibar,msimsingizie Mama yetu Samia mambo mabaya,msitunge mambo ya uwongo,umesema kuna genge,hilo sio kweli,maaskofu wenzako wamesema,mama anaiuza nchi,leteni ushahidi,wacha ujanja ujanja,una Jambo lakini utalitapika
Hawa ndo watumishi wa mungu tunao wahitaji! Mbona kwenye mikutano ya ccm waga wanakwenda? Baadhi ya viongozi wa dini siku izi wamekuwa wanafiki sana na wachumia tumbo tu
Jeremia mugeta kutoka mara tz@@@😢😢😢 Asante sana baba askofu mungu akulinde,maana umewambia haki na kwel kuhusu bandari yetu maana ndio injini ya nchi,,,na wazo langu Kama sio katiba ya nchi huyo rais alikuwa ni WA kunyonga,
Sasa naanza kujifunza Jambo naninakumbuka, maneno ya magufuli kuwa mtanikumbuka kwa mazuri ai kwa mabaya,sasa tunamkumbuka , mungu mrehemu ,yaani sunia hii basi tu,tuliombee Taifa letu
Mama mimi ni muisilamu Ila mama mh SAMIA Chukua haya Maneno Yafanyie kazi haya Mimi nimemwelewa HanaBay yako xaiiii Iiii imeogea kasikazini Bado kuxali
Nchi itakua salama two sisi tumuombe mungu na inatakiwa watapigwa namungu hao wote nawatake wasitake wataelewa two mungu awabariki viongozi wetu wa dini kwakupiania haki ya nchi hii
Hayo mapya na mazuri sana.. jmn nchi hii ni watu wote wenye elimu, masikini, kipofu,kirema,bubu,mtoto hivyo muliopewa mamlaka na makundi yote haya ebu jitafakarini kwa hali hii mtafanya kirema atembee na bubu aongee.. Dah namkumbuka JPM
Tunaomba viongozi wetu wanapokosolewa wasiwe wakali na kutoa vitisho maana yake ni kwamba hatuko huru na basi elimu isiwepo kwa watu basi wawe wote wajinga katika taifa fanya kazi ya watu viongozi na wasikilize watanzani wanataka nini na nini hawataki hapo haki itakuwapo
Uko sawa bro,mimi niko zambia ila kila kona wazambia wanaokuja Tanzania sasa hivi wanasema Tanzania ni kama new York,na kubwa wanaongelea watu walivyokuwa wakarimu na usalama,maadui hawapendi hii watatumia kila njia tukuharibia ni wakati wa kushikana
Nimeamua salama na family yangu nimetafuta mikono imepeleka kinywani nashkru Mungu..,, maana nchi hii hakuna mwanasiasa wala mwanadini naona wote waigizaji tu.
Kwa hili la Bandari hekima lazima itumike kwa kudumidha amani na usalama wa nchi, Serekari, na vyama pinzani sharti vikae pamoja na vilimalize jambo hill.
😄😄😄Ukiona Mtumishi wa Mungu anajihusisha na siasa ujue mbele za MUNGU hasomekiii huwezi kumtumikia MUNGU na siasa 🇹🇿🇹🇿 Wanaoongozwa na ROHO wa MUNGU hao ndio wana wa MUNGU
shida bandari yetu imeingiana na siasa na udini tufate dini . tuache siasa alafu chadema Kuna ukabila na udini mwalimu Nyerere. alikaza udini mama yupo vizuri tuache udini
Ifike wakati watu waoji haki za muungano inakuwaje mzazibari aruhusiwe kumiki ardhi bara lakini mtanganyika hawarusiwi kumiliki ardhi Zanzibar muungano wa haina gani isiyo na haki katika usawa huu ni ukiukwaji wa katiba ya nchi inaongelea usawa
Askofu ilo genge linalomkosesha Rais wetu,mnapaswa viongoz wa din kulikabis ilo genge kwa Mungu Alie hai aliangamize kabisa lisiwepo katika Nchi hii ya Tanzania.
Hapo sawa Baba Askofu Mungu akupe kutokunyamaza
Mungu awaone vingoz ambao wanalikana Taifa hili kama Ni kweli nchi yetu inauzwa Mungu hatanyamaza katika hili
Mungu ni WA haki.kitafahamika kimoja wapo.Mungu atawaumbua
ni kweli maana wanalazimishamkataba mbovu na hao wanao tumwa kusumbua viongozi wa dini walamba asali hawajali mali adili za taifa
Ahsante Baba, hakika umetumwa na Mungu. Umenena vema sana
Ubarikiwe Sana baba, umesimama Kama Yohana na kumwakilisha Mungu wa haki. Bwana Yesu akutangulie.
Umeongea vizuri Sana mzee kama mchungaji na kama mzee waheshma mshauli tu mama asiruhusu bandari zetu kwenda
Ni kweli mbowe alikuwa wa kwanza kutadhaharisha watanzania tumeliwa na huu mkataba .Mbowe Mungu akubariki sana.!
Hivi kumbe ukihoji mkataba huo wa bandari inakuwa kosa tena duuh ama kweli nchi hii haki nikizungumukuti Mungu tutetee na utusaidie pia
Sio kweli huyu mzee muongo hakuna mkataba wa bandari kunabmakubaliano ya Dubai na Tanzania.. maana yake mkataba wa bandari hakuna na hawa wote wanatumika na wale wanufaika wa bandari
Amina mtu wa Mungu. Mwenye masikio na asikie sababu inauma sana kweli sikumtegemea rais kufanya maamuzi haya
#KATIBA MPYA #OKOA BANDARI ZETU. Wao ccm kama serikali wakikutana na viongozi wa dini,ni halali lakini wananchi kupitia chadema wakiwaomba watumishi kukutana nao ni haramu,ni tishio kwa Amani ya nchi!!? Ajabu kabisa! Wakipitisha mkataba bila kuwashirikisha wananchi,ni halali,lakini wananchi wakihoji ni kuchochea vurugu, kupinga maendeleo, ni kushirikiana na mabeberu kuipinga serikali ili kuvuruga Amani ya nchi!!? Hii ndio lugha ya wachache katika serikali ya ccm kwa wananchi tuliowapa dhamana! Isaya33:1,7-10 Tuwalaani kwa sauti kuu, wasikie,na Mungu atusikie vilio vyetu.
Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema na Neema wajalie viongozi wetu walete umoja na amani wawezi kutuongoza vema ktk hili la bandari lisituumize kwa maslahi ya wachache
Huo ndiyo utumishi bora wenye kumpendeza Mungu badala ya kumpendeza binadamu atakayekufa kama wengine
Hongera,watanzania tuwe wamoja
Msema kweli huyu Mtu. Viongozi wengine waoga yumkini hata wa dini!
Mungu wetu tunakuomba utusimamie Kwa ajili ya hili
Amina Baba Ubarikiwe umenena bila hata kuogopa
Jamani kiukweli hii nchi tusikae kuogapana, sasa mnatupa elimu ya nini Jamani. God bless our country give us peaceful mind.
Eee Mungu Tunusuru,Tusaidie,Ingilia kati.Tupe hekma na busara za kuchanganua mambo.Aameni
❤❤❤❤❤❤❤ Aminaa kiongozi nyinyi ndio mboni zetuwaTZ
Hili ni taifa nzuri saana, Kuna mahala tunapenda....
Mungu you pamoja na wasema kweli watanzania atujalala bunge limepowa Sana ata miradi mingi atujui atima yake.
Safi sana Askofu, ikibidi tufunge na kuomba walau siku 3 ili liwakute jambo zito mpaka mkataba ufutwe
Kwa nini hawana uchungu na nchi yetu, hawakumbuki waarabu walitufanyia nini wakati wa ukoloni, rushwa imewapiga upofu Tunataka bandari zetu zibaki.
Kwel na tumbo zao zinatufanya tutaumia wote
Wewe baba ni mshumaha kwetu mungu akupe maisha marefu
Viongozi wetu ni wezi sana Tanzania
Acheni kupotoswa nyinyii, kuenimakini
@@omarkabogo1580kupotosha kwani hujauma tugawane kama nawe umetafuna Asali
Watanzania tuendelee kupiga kelele mpaka kieleweke,Mungu awabariki na kuwalinda.
Sasa basi hii DP World tuwape Zanzibar,Zanzibar wanaitaka leo DP World,sababu itakuwa Dubai ya Afrika,lakini basi, msije mkafanya choyo na husuda,
Zanzibar ni Tanzania
@@elikarimugayewi3105 sasa ni sawa Zanzibar ni sehemu ya Tanzania,na bandari Tanganyika ina mamlaka yake na Zanzibari ina mamlaka yake y bandari,kama hamuwataki DP world wapeni Zanzibar,msimsingizie Mama yetu Samia mambo mabaya,msitunge mambo ya uwongo,umesema kuna genge,hilo sio kweli,maaskofu wenzako wamesema,mama anaiuza nchi,leteni ushahidi,wacha ujanja ujanja,una Jambo lakini utalitapika
Hawa ndo watumishi wa mungu tunao wahitaji! Mbona kwenye mikutano ya ccm waga wanakwenda? Baadhi ya viongozi wa dini siku izi wamekuwa wanafiki sana na wachumia tumbo tu
Mungu ni mwema Mungu akubariki sana
Nafrah kaka umeweka udini kando
semeni Saba watu wa mungu, tuko nanyi pamoja
Ongera baba kwa maneno ya kujenga
Ameeeeen! Ubarikiwe sana.
Baba askofu ubarikiwe wew umeitwa kwa jina la yesu kristu Bwana wetu, barkiwa sana,
Safi sana Askofu, wachane ukweli Samia na ccm yake
Jeremia mugeta kutoka mara tz@@@😢😢😢
Asante sana baba askofu mungu akulinde,maana umewambia haki na kwel kuhusu bandari yetu maana ndio injini ya nchi,,,na wazo langu Kama sio katiba ya nchi huyo rais alikuwa ni WA kunyonga,
Mungu akulinde mtumishi umenena vema
Safi sana askof hiyo ni mzr, kitu vzr so serikalini tu ata vitu vyako binafsi huwezi kuachia kiholela jamn ,
Baba mungu akufunike asante kutuwakilisha Sauti yetu
Mungu atusaidie ktk ili
Selekali yeti mungu aitazame kwajicho la husuda tunateseka sana wenyehali ya chini
Amina❤
Hongera sana baba umeongea kama baba ujapendelea chadema wala ccm unaimarisha amani na uhuru
Kwakweli kizuri akidumu mtangulizeni mungu sana katika ukweli wenu nakujitoa mbele yetu na mbele ya mungu
Lord of mercy 😢 tunakuhitaji🙏
Mchugaji tumwombe sana mungu tuko nyakati za mwisho paspo mungu hatujui twedako
Sasa naanza kujifunza Jambo naninakumbuka, maneno ya magufuli kuwa mtanikumbuka kwa mazuri ai kwa mabaya,sasa tunamkumbuka , mungu mrehemu ,yaani sunia hii basi tu,tuliombee Taifa letu
Hongera sana Asikofu
Mama mimi ni muisilamu
Ila mama mh SAMIA
Chukua haya Maneno
Yafanyie kazi haya
Mimi nimemwelewa
HanaBay yako xaiiii
Iiii imeogea kasikazini
Bado kuxali
Nenda wewe
Kwa uislam was mama Samia umefanya nini
Mungu akutetee mungu akutunze baba ,,mama nakuomba fuata ushauri huu
Wapenda bure mmekwisha
Sawa kabisa
Safi sana Baba Askofu, mwenye masikio na alisikie neno hili.
Nchi imekuwa ya kidicteter mungu na ashuke kilio tunachokililia mungu ukaonekane
Ubarikiwa mtu wa mungu
Tatizo lao wanajikubali sana hao walio pita bila kupingwe kuna siku mungu atatulipia kilio chetu
Nchi itakua salama two sisi tumuombe mungu na inatakiwa watapigwa namungu hao wote nawatake wasitake wataelewa two mungu awabariki viongozi wetu wa dini kwakupiania haki ya nchi hii
Hongera udin mbali na maslah ya nchi
Tumepat mtu sahihi wakutusemea jmn Mungu tusaidie lipite
Tuokolee inchi huyu rais hafai kutongoza kwa mwana mke ni kiumbe dhaifuu
Genge la wahuni achia nchi yetu kwa Jina la Yesu
Mungu amekutoa mtumshi Asante
Kwa kweli inakatisha tamaa juu ya nchi yetu ya tanzania
Nyie makafir ni mbwaaa ngurue inawadhuru
@@shabanbaheza4711 Sasa nyie waisilamu kutwa kutukana ndivyo mnavyofundishwa misiktini?
Tuna hitaji watu wa Mungu zaidi kama ww wakufundisha watu,
Asante sana askofu kwa kusema ukweli bila kumung'unya mungu akusimamie katika hilo
Huyu ni mchungajia au ni mwekiti wa chadema, amekoza maadili za kazi zake
Amina
Mungu akulinde Askofu
Nikweli tunakupenda sana
Hayo mapya na mazuri sana.. jmn nchi hii ni watu wote wenye elimu, masikini, kipofu,kirema,bubu,mtoto hivyo muliopewa mamlaka na makundi yote haya ebu jitafakarini kwa hali hii mtafanya kirema atembee na bubu aongee.. Dah namkumbuka JPM
safi sana askof
Tuwape zanzibar huomkataba.kama mali zote nizamuungano
Uko vizur askofu
Mikataba mingi imefungwa na wewe ulikuwepo ukakaa kimy leo bandari unakuja juu kisa udini tu hakuna jengine
Brother Hilo halivumiliki
Semaaaa
Yes muheshi miwa Samia tunakuombo waznzibari tupe sisi hiyo dp world
Rais Mwinyi siyo mjinga ...HAWEZI KUUKUBALI MKATABA KAMA HUU.
Tunaomba viongozi wetu wanapokosolewa wasiwe wakali na kutoa vitisho maana yake ni kwamba hatuko huru na basi elimu isiwepo kwa watu basi wawe wote wajinga katika taifa fanya kazi ya watu viongozi na wasikilize watanzani wanataka nini na nini hawataki hapo haki itakuwapo
Uko sawa bro,mimi niko zambia ila kila kona wazambia wanaokuja Tanzania sasa hivi wanasema Tanzania ni kama new York,na kubwa wanaongelea watu walivyokuwa wakarimu na usalama,maadui hawapendi hii watatumia kila njia tukuharibia ni wakati wa kushikana
Nimeamua salama na family yangu nimetafuta mikono imepeleka kinywani nashkru Mungu..,, maana nchi hii hakuna mwanasiasa wala mwanadini naona wote waigizaji tu.
Hilo genge la majasusi was magharibi, wanalinda uchimi wa nchi zao zinazopigwa na urusi. Mama ana kazi Moja tu ...........
Ni NENO la wakati ndilo litaiponya SI Tanzania tu bali dunia nzima, naomba mnipe nafasi ya kufundisha katika media zenu .
Ubalikiwe mtumishi
Kunawatu wanazani watanzania ni wapumbavu ,nawaonea huruma sana maana Kila dhambi italipwa hapa hapa duniani
Kwa hili la Bandari hekima lazima itumike kwa kudumidha amani na usalama wa nchi, Serekari, na vyama pinzani sharti vikae pamoja na vilimalize jambo hill.
Mbona hamuongelei memorandum of understanding Kati ya serikali na kanisa?mnalenu jambo.😮
Well said our bishop, tupambanieni waumini wenu Bishop 😢
Wanauza moyo wa nchi
Nililia sana nikamwambia mungu amsha watu waseme leo nalala kwa Amani nimefurahi Mungu ametenda
Tanzania niya mungu
The contract should be read to the public so that everyone to know what is inside.
No
😄😄😄Ukiona Mtumishi wa Mungu anajihusisha na siasa ujue mbele za MUNGU hasomekiii huwezi kumtumikia MUNGU na siasa 🇹🇿🇹🇿
Wanaoongozwa na ROHO wa MUNGU hao ndio wana wa MUNGU
shida bandari yetu imeingiana na siasa na udini tufate dini . tuache siasa alafu chadema Kuna ukabila na udini mwalimu Nyerere. alikaza udini mama yupo vizuri tuache udini
Una akiri
Mnasifia vitu hsta pale watu wanapikuwa wamepotoka kwenye tafsiri! Mungu atusaidie
Ni hatari kubwa sana viongozi wa dini kuhutubia kwenye majukwaa ya siasa😢😢
Maana ya hiyo kitu ni kwamba kuna viongozi wa dini na viongozi wanaotumia kivuli cha dini kujipigania
Nchi imevamiwa
Mungu akubaliki sana askofu
Mungu anawaona
Nimipango ya Samia kikwete nk
Gazeti la mwanahalisi Limewataja wenye mkataba huo wa bandari mubovu Wamelitishia kulishitaki gazeti hilo
Haya matusi yote mnamtukana mama hamjui majukumu yenu makanisa yamewashinda kazi kula sadaka za watu tu
Msitutishe bwana mkataba uendelee kama bunge limelizia
Kuna wala nchi,wenye nchi na wana nchi, ila ipo siku kama hakita chimbika basi kitaumana.
DAMU YA YESU UKUFUNIKE MTUMISHI WA MUNGU . SIMAMIA HAKI NA MUNGU WA HAKI ATAKUWA UPANDE WETU.
Mbona muanzilishi wa huu Mkataba amenyamaza ila ajua kuwapigia Mahakama kubadilisha maamuzi ya kesi.
Huo ndiyo ukweli baba
Ifike wakati watu waoji haki za muungano inakuwaje mzazibari aruhusiwe kumiki ardhi bara lakini mtanganyika hawarusiwi kumiliki ardhi Zanzibar muungano wa haina gani isiyo na haki katika usawa huu ni ukiukwaji wa katiba ya nchi inaongelea usawa
Shida ni huo uislam tu,kama kweli huo sio mkutano wa dini huyo yesu unamuimba hapo wa nini,wee payuka tu lakini muwakilishi wako kashaupitisha
Wachungaji mnajiingiza kwenye siasa
Askofu ilo genge linalomkosesha Rais wetu,mnapaswa viongoz wa din kulikabis ilo genge kwa Mungu Alie hai aliangamize kabisa lisiwepo katika Nchi hii ya Tanzania.