Human beings of this caliber are very few and they're ever straight away, discerned and very strong in their spiritual world......he literally speaks from his very bottom of his heart and He's been injured internally please jmn mwacheni Aishi vizuri kama watanzania wengine.#let Mr mbarikiwa live peacefully and let's not hold grudges over each other please please please 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Walikuwepo watu kama HERODE nk,but mwisho wao haukuwa mzuri,hakuna aliyewaumiza watu wa MUNGU wakabaki salama,R.C.O mbeya na wenzako mnaotumia vyeo vyenu kuwaumiza watu kwa nia OVU,kuna haja ya kujitafakari,hayo madaraka hamjazaliwa nayo,hivyo hamtakufa nayo,kumbukeni nje ya vyeo kuna maisha mengine.NB:Mmezaa na mnavizazi,hawa mnaowatesa nao wamezaa na wanavizazi,kuweni makini sana ktk kila mfanyalo juu ya bin Adam wenzenu,yatakuja kuwaghalimu ninyi au vizazi vyenu.
Mbarikiwa kakaangu umtumishi wa mungu wa walio hai mungu akulinde sana watoto wako wako salama kwa jina la yesu usihangaike nao maumivu uliyo nayo ni makali sana najua unafahamu kwa habari ya mungu wa dunia hii hagai alishaongea mungu anasema usiogope
Sikutegemea kama Tanzania inaweza kutesa wana inchi wake kwa namna hiyo juteni kabla siku za Bwana hazijatimia kwani Bwana alisema ukiua kwa upanga kwa upanga itakufa
Hiyo Zaburi 89:7 Mungu huogopwa Sana barazani pa watakatifu wake.Anachomaanisha hapa Ni kwamba Mungu anaheshimiwa Sana.Mtu wa haki hatakiwi kuwa mwoga.2Tim 1:7 Mungu hakutupa roho ya woga.hata ufunuo 21:8 Mungu anawakataa waoga.Sisi tunatakiwa tuogope kutenda dhambi ila Mungu tumheshimu Sana.Mtu utamwogopa Mungu endapo unatenda dhambi,,Kama ni mwema Basi Mungu utamheshimu na kumfurahia Sana,na hauwezi kumfurahia unayemuogopa.Hata ktk familia mtoto anayemuogopa sana baba ni yule anayetenda mabaya lkn anayetenda mema Sana anakuwa rafiki mkubwa wa baba.Mungu anapenda sisi tuwe huru Sana kwake kwa maana ya kwamba kila tunaloliona gumu kwetu tuwe radhi kumweleza ili atusaidie,Sasa tutamwelezaje Kama tunamuogopa?.Hata falsafa pastor aliyosema ame copy kwa Marehemu Ruge Mtahaba kuwa Muogope Sana Mungu na teknolojia,Maana yake tumuheshimu Mungu,yaani tuwe makini na tunayoyafanya ili tusikosane na Mungu.Lkn tuziheshimu teknolojia kwa maana ya kwamba tuwe makini na tunayoyafanya kwenye teknolojia kwakuwa yanaweza kuhifadhi kumbu kumbu za tuliyowahi kuyafanya kwenye teknolojia.Kama yalikuwa ni mabaya kisha sisi tukakataa basi teknolojia inaweza kuyaonyesha kwa dunia nzima.hata ukisikia mtu anakwambia wewe uwe na hofu ya Mungu,anamaanisha Mheshimu Mungu,au uwe makini ktk matendo yako usimkosee au usimkere Mungu,Maana unayemshimu ni lazima utapenda utendee mema sio mabaya.
Vita si yenu bali ni ya Bwana , Bwana atawapigania nanyi mtanyamaza kimya. Nyamaza kimya mtumikie Mungu aliyekuita naye atapigana vita yako mtumishi wa Bwana. Haya yanatokea kukutoa kwenye mstari, mwache Mungu akutetee.
Shida ni kwamba shamba la Bwana heri, ng' ombe za Bwana heri, majani ya Bwana heri, mwendesha mashitaka ni Bwana heri, mtoa hukumu ni Bwana heri, mahakama ni ya Bwana heri, kwahiyo watanzania hatuthaminiwi Ila asiye na mtu ana Mungu. Wana wa Israeli walilia mbele za Mungu baada ya mateso, lakin Bwana wa majeshi aliwasikia kilio chao na hatimaye Mungu aliunyosha mkono wake. Wakawa guru.
Mtu wa Mungu yaache Haya Mambo hayana Manufaa Kwako wala kwa Watu wa Kanisani Kwako kama Unahitaji Kuingia kwenye Siasa sawa ila Kama hauna Maono na Siasa tuendelee kuihubiri Injili tuliyoagizwa haya ya Siasa hata Samweli aliyempaka Sauli Mafuta ya Ufalme alikaa nayo Mbali
mashetana tutawakabili kwa dua za mangamizi ALLAH atadilili nao madamu watu wana dai haki NAWAKABIZI KWA, ALLAH ANAJUA KULIPAMACHUNGU MWENYE NGUVU ANAYEBIGA MAPIGO MAZITO YASIO NA MFANO AMEEN
HUYU JAMAA ALICHOKUWA ANATAFUTA KAKIPATA, MWANA KULITAFUTA MWANA KULIPATA, KAMA NI KAZI YA UTUMISHI FANYA UTUMISHI ACHANA NA WATU WAKUBWA, JELA WELLCOME,😂😂😂, MR
Ni lazima uteswe kama kristo achilia umpe Mungu nafasi akujibie wala usijitaabishe maana kisasi chetu ni Bwana atulipiae ebu nyamaza Mungu akuonyeshe namna anashughulika na mambo yetu
Haki ya kuwa hai sheria ya 1984 na. 15 ib.6, Kama serikali wameshindwa kusikiliza kero na malakamiko ya huyu mtu ni dhahiri kuwa wanajua alichokifanya mtu wao wa usalama wa taifa na badala yake kumpa mtu wa MUNGU kesi ya jinai N.k hiyo sheria wametunga wao Hakuna mwenyehaki ya kutoa uhai wa mwenzake inakuwaje huyo jamaa bado yupo uraiani na kwenye ajira wakati mwenzake analalamika kamuulia mtoto alafu kunawatu wapuuzi humu wanakujaku comment utumbo aise kama haki haita tokea kwa kuongea kunawatu watajilipua nawaambia tunaomba haki ionekane maana jambo hili lipo wazi.
Ila huyu mwamba nimeekuwa nikimfatilia kwa karib sana ila mwisho wa siku kwa udogo wa elimu yang na ufaham wang nahis huwenda afya yake ya akil haiko vizur ,sawa umefanyiwa ubaya lakn ww umekuwa mtu wa kulaum kila siku ,na siku zote unaambiwa unapo laumu usimalize maneno mana kuna siku utashindwa pa kuanzia ,we n mtu mzima eb kuna mambo jarb kuyapotezea mana hata mtu akikufatilia inafikia hatua anakuchoka mana unaongea upumbavu ,ni mtu wa guru chuki zimekujaa ww eb tupumzishe mchunguj unazingua...hata hy clip ukiangalia n ya mda sana ila una ungamisha unganisha ili kuwaaminisha watu na unachokieleza
@user-oh8sk4wy3r. Yeye katuma ujumbe wewe unaanza kumsikiliza si utakuwa mpumbavu? Ukiona clip yake we pita. Hivi kuna haja gani kumfuatilia mtu anaye kukera?
Maneno ya Kikwete yanahusika viipi hadi unaanza kumtuhumu Baba wa watu. Nimesikiliza kwa umakini maneno ya kikwete ,kwanza alikua anajibu maswali aliyokuwa anaulizwa na waandishi wa habari. Kikwete hakufahamu bro, hawezi kuhangaika na wewe!! Watumishi wa Mungu tuungane kumuombea mwenzetu hajatulia kiakili bado!!!.
Ila mchungaji unaogopa kufa 😂😂😂 Kama Yesu angeogopa watesi wake tungekombolewa? Wewe jitoleee tu kuwa mtesi na sisi tukombolewe bhana... usiogope kufa mwanangu 😂😂😂
ni ujinga mtupu,mmejazwa kwa ujinga wenu,TICTS waliomaliza mda wao pale bandarini walikuwa ni wawekezaji wamedumu pale kwa miaka 30 wameingia toka utawala wa mkapa wamemaliza mkataba wao juzi tu hapa walikuwa ni wawekezaji wewe mbumbumbu hilo ulikuwa hujui
TANZANIA VICHAA WANEZIDI KUONGEZEKA hahahaha Mzee anamcheka tuuu baba msamehe ni kichaaa laana ile ya kumzulia yesu ni Mungu na yesu Mwenyewe anakataa mimi sio Mungu wakati wake umefika
Ukiendlea kuhubiri tu itapendeza Sana hayo mambo ya kujieleza sana ni kama kujipigania mwenyewe *Biblia inasema vita si vyetu ni vya Bwana*. Kujibu na kujieleza sana ni kama unajipigania mwenyewe
Sikiliza full kupitia link hii ameulizwa nini kuhusu nani na kajibu nini. Ndipo ufananishe na vitendo vya askari wa samia kuwaumiza wanaokosoa czcams.com/users/livexrP98R31iDc?feature=share
😂😂😂 mambo mengne jaman duuh..🤔 Lia na huyo r.c.o lakn kikwete isiwe n semeo lako, maana kaul yake haikuonesha kuthihilisha udkteta wa rais unaousemea, bal amesema kutoruhusu hoja nk n udkteta then Samia s dekteta ndy maana bado mna nafas ya kubwabwaja mitandaon na kwingne hadhalan. So deel na huyo r.c.o tu
Tanzania tunakoelekea kubaya wazi wananchi walishaumia sana na wizi mkubwa kwa mali ya umma na hasa pale wanapoona baadhi ya viongozi wanashiriki kuhujumu uchumi
Huyu Mchungaji,alifiwa na mwanae ,badala ya kuliwazwa aliendelea kuchomwa moyo.anahitaji sana kutulizwa na kusikilizwa kwa ukaribu.
Atulizwe na mme wake tuko busy
@@princemahamba242 ww choko ujafiwa
hebu nifahamishe hapo kikwete kamchomaje moto huyu bwana?
Sanasana unachokisema kweli MUNGU Ana ahadi nakikwete mnaemchukia
Wapi kamtaja Samia, acha kuchanganya mafile mchungaji. Wewe, mara humuogopi Mungu 😂
Kikwete ni mtu mbaya sana ila mungu atasimama juu ya nchi hii
wewe ni mtu jeuri mwache mzee apumzike acha roho mbaya itakusaidia nn
Pole San mtumishi wamungu kwaunayo yapitia hao wote mungu atawajibu kwayote yanayo fanya kwa mtumishi wa mungu na kwa watanzania wote mungu yu hai
Mtumishi wa BWANA Mbarikiwa Daniel wa sasa God be with you in all in Jesus mighty name amen
Taarifa kwa yeyete aliyeshiriki kifo Cha mtoto huyu wa mtumishi huyu malipo haya hapa hapa duniani😢
Kama unauwezo wa kuona mbali muiteni mmalizane kutatokea kitu kibaya mbele
Ameeen yawarudie wenyewe kwakweli🙏🤲
R c o mbeya yatakurudia sio muda.
🎉❤baba mungu yupo nasi
Machungu ya wa Tanzania 🇹🇿 yatajibiwa na mungu asiye lala .
Human beings of this caliber are very few and they're ever straight away, discerned and very strong in their spiritual world......he literally speaks from his very bottom of his heart and He's been injured internally please jmn mwacheni Aishi vizuri kama watanzania wengine.#let Mr mbarikiwa live peacefully and let's not hold grudges over each other please please please 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Serikali ingeyamaliza tu na huyu Pastor; UPANGA unaokuja mbele ni HATARI!!!
kama ya Mackenzie
@@Pharadgea Mackenzi amekujaje hapa??
@@sifawayesu7079 Amekuja kwa bajaji😆😆😆
Sasa wewe mungu humuogopi then yeye tu ndie atakaekuokoa hebu tuliza fuvu kwanza
Hakika huyu baba ameongea kwa ukali sana
Mbarikiwa ni mtu mwenyehaki, Mungu hawezi kumwacha. Poleni mnyemtesa mtu huyu kwakua hamjui nguvu ya Mungu, mtajuta sana
Wamemkosea Mtumishi wa Mungu Sasa watakula ujinga wao tuko pamoja mtumishi
Walikuwepo watu kama HERODE nk,but mwisho wao haukuwa mzuri,hakuna aliyewaumiza watu wa MUNGU wakabaki salama,R.C.O mbeya na wenzako mnaotumia vyeo vyenu kuwaumiza watu kwa nia OVU,kuna haja ya kujitafakari,hayo madaraka hamjazaliwa nayo,hivyo hamtakufa nayo,kumbukeni nje ya vyeo kuna maisha mengine.NB:Mmezaa na mnavizazi,hawa mnaowatesa nao wamezaa na wanavizazi,kuweni makini sana ktk kila mfanyalo juu ya bin Adam wenzenu,yatakuja kuwaghalimu ninyi au vizazi vyenu.
Na nikweli amekamatwa au niongo tuu kama nikweli alikamatwa makofi kwa kila mwananchi
I'm
@@DanielOrkijape-qi4xkpum
3:11
Vita yetu si juu ya damu na nyama
Mungu ana Siri nyingi tumwachie yeye
Huyu msoga anacheza kete anajua kuwa swala la a bandari limenuka na litawalipukia na anatafuta mahala pa kujinasua yeye na familia na genge lake.
Kabisa kanafiki tu kumbe unakajua eee!
Pamoja na yoooote anayohusishwa kikwete lkn ktk utawala wake alitoa Uhuru wa kukosolewa Kwa SERIKALI yake
@@mashramadhani1989 uhuru wa kukosolewa hautoki kwa raisi bali katiba ndiyo inayoruhusu freedom of speech
@@getitdoneright1938 kweli, ila wakati wa magufuli hakuna freedom of speach. Jee katiba ilibadilika au?
Ni sasa unamsikiliza??
Pole sana kuishi kwetu ni Kristo kufa ni faida usiogope
Huyo RCO Mbeya anashindana na Mungu mwenyewe na apandae ubaya atavuna ubaya alioupanda.
Mtumishi wa Mungu, Mungu akutie nguvu zaidi ulivuke hili nalo. Naweza pata mawasiliano yako kama hutojali🙏
Mtumishi gani mpumbavu kama huyu
Huyu ndo mtumishi wa Mungu sasa siyo hao wengine wasaka tonge! Hakuna wa kukugusa mtumishi watakufa wao kwa jina la YESU MWANA WA MUNGU ALIYE HAI.
Wape vidonge vyao kwani serikali hii inaonea sana kuanzia serikali kuu hadi vijijini mungu anawaona
Mbarikiwa kakaangu umtumishi wa mungu wa walio hai mungu akulinde sana watoto wako wako salama kwa jina la yesu usihangaike nao maumivu uliyo nayo ni makali sana najua unafahamu kwa habari ya mungu wa dunia hii hagai alishaongea mungu anasema usiogope
Mungu mkubwa, Tunakaribia kufika, na tuta fika kwa kishindo kikubwaaa.
Kweli mtumishi wa mungu hawatakuwa salama na hio bandali maana wananchi wengi wameumizwa
Sema bandari siyo bandali
Tumeumizwa sana wa Tz mioyo yetu inavuja damu.lkn mwenye dunia yake yupo,naye ni Mungu naye atahukumu kwa haki.Amen
Amen mtumishi wa mungu, ongea mtu wa mungu,,
Sikutegemea kama Tanzania inaweza kutesa wana inchi wake kwa namna hiyo juteni kabla siku za Bwana hazijatimia kwani Bwana alisema ukiua kwa upanga kwa upanga itakufa
Samia ni dictator na ni jambazi alishauza nchi hii long time
Kumbe Hata Rais Kikwete anajua Kuna Kukamatana Kuzuia Watu wasitoe Maoni, Kwa Hiyo Anajua Watu Wanagogwa!
Pole Sana mtumishi wa mungu japo mungu yuko upande ya watumishi wake soma yeremia 29,11 usijali mungu yuko upande wako
Sijui ndugu yangu kama ni Mungu kakutuma...ila kwa maoni yangu ungefanya kazi ya Mungu uliyoitiwa...
Kama ipo sauti na maoni ya Mungu juu ya anachofanya hakuna wa kumzuwia ndugu
Hawa watu wanataka kujamba wajambe wao Tu, tukijamba Sisi tunaharisha
Apandaye ubaya atavuna ubaya anaoupanda kwa wakati asioutarajia, Mungu ni mhukumu wa haki siku zote.
Mungu akutangulie mtumishi pole sana kwa pito lako mwachie mungu ashugulikenao🙏
Zaburi 89:7
[7]Mungu huogopwa sana barazani pa watakatifu,
Ni wa kuhofiwa kuliko wote wanaomzunguka.
Hiyo Zaburi 89:7 Mungu huogopwa Sana barazani pa watakatifu wake.Anachomaanisha hapa Ni kwamba Mungu anaheshimiwa Sana.Mtu wa haki hatakiwi kuwa mwoga.2Tim 1:7 Mungu hakutupa roho ya woga.hata ufunuo 21:8 Mungu anawakataa waoga.Sisi tunatakiwa tuogope kutenda dhambi ila Mungu tumheshimu Sana.Mtu utamwogopa Mungu endapo unatenda dhambi,,Kama ni mwema Basi Mungu utamheshimu na kumfurahia Sana,na hauwezi kumfurahia unayemuogopa.Hata ktk familia mtoto anayemuogopa sana baba ni yule anayetenda mabaya lkn anayetenda mema Sana anakuwa rafiki mkubwa wa baba.Mungu anapenda sisi tuwe huru Sana kwake kwa maana ya kwamba kila tunaloliona gumu kwetu tuwe radhi kumweleza ili atusaidie,Sasa tutamwelezaje Kama tunamuogopa?.Hata falsafa pastor aliyosema ame copy kwa Marehemu Ruge Mtahaba kuwa Muogope Sana Mungu na teknolojia,Maana yake tumuheshimu Mungu,yaani tuwe makini na tunayoyafanya ili tusikosane na Mungu.Lkn tuziheshimu teknolojia kwa maana ya kwamba tuwe makini na tunayoyafanya kwenye teknolojia kwakuwa yanaweza kuhifadhi kumbu kumbu za tuliyowahi kuyafanya kwenye teknolojia.Kama yalikuwa ni mabaya kisha sisi tukakataa basi teknolojia inaweza kuyaonyesha kwa dunia nzima.hata ukisikia mtu anakwambia wewe uwe na hofu ya Mungu,anamaanisha Mheshimu Mungu,au uwe makini ktk matendo yako usimkosee au usimkere Mungu,Maana unayemshimu ni lazima utapenda utendee mema sio mabaya.
Mungu huogopwa na waovu ila wema humsogelea na amesema maovu ya wanadamu ndio hufanya Mungu aonekane ni mbaya.
Amina
Dah,,,,, mbarikiwa baba MUNGU akutunze mtumishi,, jaribu ni kipimo Cha imani yakupasa uvumilie mtumishi kwa uchungu nakuskiliza 😢😢
Baba mungu atasimama kwa RCO na wenzake hao mungu yupo ,mungu yupo,,,,,,,,,!
Kila mtu aombe kwa iman yake,maan MUNGU ndo hana mpinzan.Nimwanzo na mwisho.🙏🙏
Vita si yenu bali ni ya Bwana , Bwana atawapigania nanyi mtanyamaza kimya. Nyamaza kimya mtumikie Mungu aliyekuita naye atapigana vita yako mtumishi wa Bwana. Haya yanatokea kukutoa kwenye mstari, mwache Mungu akutetee.
Mbona sasa wewe haujanyamaza na komenti haijajiweka yenyewe??
Ni neno LA Mungu ndo linasema hivyo mpendwa, kwamba Bwana atatupigania nasi tutanyamaza kimya, sio maneno yangu.
Hakuna tatizo hapo tatizo niufahamu walugha ,mchungaji afunzwe kiswahili,na sanaa yalugha.
Kaka Mchungaji amechanganyikiwa
USITUMIE MANENO YA KIKWETE VIBAYA KIKWETE ANAONGRLEA UONGOZI KWA UJUMLA UNAVYOPASWA KUA
Mtumishi kafanyaje jamani mbona sielewi!! Hadi naogopa anavyoongea
Shida ni kwamba shamba la Bwana heri, ng' ombe za Bwana heri, majani ya Bwana heri, mwendesha mashitaka ni Bwana heri, mtoa hukumu ni Bwana heri, mahakama ni ya Bwana heri, kwahiyo watanzania hatuthaminiwi Ila asiye na mtu ana Mungu. Wana wa Israeli walilia mbele za Mungu baada ya mateso, lakin Bwana wa majeshi aliwasikia kilio chao na hatimaye Mungu aliunyosha mkono wake. Wakawa guru.
😊😅
Mungu akuponye na hasira Mch.
Amen San, masihi wa mungu
Wallahi wabillahi naapa mbele za Allah hii himaya Ni uovu utupu na Mungu tupe majibu kwa mahasdi wa tz
Mtu wa Mungu yaache Haya Mambo hayana Manufaa Kwako wala kwa Watu wa Kanisani Kwako kama Unahitaji Kuingia kwenye Siasa sawa ila Kama hauna Maono na Siasa tuendelee kuihubiri Injili tuliyoagizwa haya ya Siasa hata Samweli aliyempaka Sauli Mafuta ya Ufalme alikaa nayo Mbali
Mikataba ya badali hatuitaki.
Sema bandari siyo badali
@@edsonnelson4464writing error
Huyo rcu mbeya mwisho wake mbaya na Mungu atampiga pigo kubwa sana Ila!
R c o mbeya mabaya haya anayopitia mchungaji huyu yatakua juu yako
Wachungaji wa mbeya Wana majungu 🤣🤣🤣🤣
mashetana tutawakabili kwa dua za mangamizi ALLAH atadilili nao madamu watu wana dai haki NAWAKABIZI KWA, ALLAH ANAJUA KULIPAMACHUNGU MWENYE NGUVU ANAYEBIGA MAPIGO MAZITO YASIO NA MFANO AMEEN
Shujaa wa Mungu hongera sana. Hao watu tunawatumia kitu kizito chenye ncha kali toka kwa Mungu
Pimwa akili kwanza. Yaani kupewa uhuru wa kuabudu mnajidai kumaliza amani ya nchi. Acheni ubinafsi kwani mambo hayaongeleki. Acha zako😊😊😊😊😊
pole sana pastor kwa mapito yote
Tusicheze na mtumishi wa Mungu!
HUYU JAMAA ALICHOKUWA ANATAFUTA KAKIPATA, MWANA KULITAFUTA MWANA KULIPATA, KAMA NI KAZI YA UTUMISHI FANYA UTUMISHI ACHANA NA WATU WAKUBWA, JELA WELLCOME,😂😂😂, MR
Ni lazima uteswe kama kristo achilia umpe Mungu nafasi akujibie wala usijitaabishe maana kisasi chetu ni Bwana atulipiae ebu nyamaza Mungu akuonyeshe namna anashughulika na mambo yetu
Wewe mwenyewe umesema haumwogopi mungu na wewe ni mtumishi wa mungu je wao wanawezaje kumwogopa mungu mmmmmmm
Awo watoto wa pwan kumama zao wanatuma sungu sungu wawapige wavuvi Awana resen ya elfu ishilini watu wanaiba mabilion ya era Kofi awapigwii
Daah loho yangu inauma kumfunga mtu kama mbalikiw daaa hakik mungu anajua
Huyu jamaa anaongea kwauchungu sana naujue kama nikweli yatafanyika kweli hii kweli inauma sana
Haki ya kuwa hai sheria ya 1984 na. 15 ib.6, Kama serikali wameshindwa kusikiliza kero na malakamiko ya huyu mtu ni dhahiri kuwa wanajua alichokifanya mtu wao wa usalama wa taifa na badala yake kumpa mtu wa MUNGU kesi ya jinai N.k hiyo sheria wametunga wao Hakuna mwenyehaki ya kutoa uhai wa mwenzake inakuwaje huyo jamaa bado yupo uraiani na kwenye ajira wakati mwenzake analalamika kamuulia mtoto alafu kunawatu wapuuzi humu wanakujaku comment utumbo aise kama haki haita tokea kwa kuongea kunawatu watajilipua nawaambia tunaomba haki ionekane maana jambo hili lipo wazi.
Mungu akutie nguvu mtumishi wa bwana akuwezeshe kushinda hayo unayopitia
Huyu mwamba aise anaongea kwa hisia sn
Utawala ulikua kwa magufuli saivi maumivutu
Mungu atajibu kwa wakati pole baba
Amen mtumishi wa mungu
Watanganyika waoga. Muche ni mbarikiwa atememadini
Na woga wetu ndio unaotuumiza,Nchi inatawaliwa na wapemba. jamani watznia tuamke wachache wanauza Nnchi jamani tuamke.tuamke.
Rais wa katika huyo hatufai hatujamchagua cc.Oooh Bai bai Tanzania tukija kushtuka hatuna kitu.
Asante Sana, mtumishi wa MUNGU aliye juu!Kwamba,who are they,by the way,unanitia nguvu na ujasiri mkuu.keep it up, God's there,with you endeed!
Umechanganyikiwa jaribukuwa mtulivu bro
Manabiii wa mbeya🤣🤣🤣🤣🤣wachungaji wa hovyo
Yesu alipigwa mpaka akauwawa lakini wale walomtenda hayo wako wapi Mungu akiwa anamsukuma kufanya haya muacheni aseme msimzuie wala kumkamata
Nchi ya ovyo sana hiii..ubabe unatumika kwa mgongo wa democrasia
Mungu akulinde na kila baya mtumishi wa mungu
Mungu wangu akulinde na maadui kila wakati mtumishi wa Mungu, vita ni vya Bwana mwenyewe
Asanteni wa Tanganyika hatujielewi hatuwawezi hawa mungu atusaidie Tena Kama mwaka uleee,
Huyu jamaa ni chizi au shetani lome mvaa kw kimsingizia kristo😅😅😅 hovyo sana
kama huelewi tuliza ukichaa wako.
Ila huyu mwamba nimeekuwa nikimfatilia kwa karib sana ila mwisho wa siku kwa udogo wa elimu yang na ufaham wang nahis huwenda afya yake ya akil haiko vizur ,sawa umefanyiwa ubaya lakn ww umekuwa mtu wa kulaum kila siku ,na siku zote unaambiwa unapo laumu usimalize maneno mana kuna siku utashindwa pa kuanzia ,we n mtu mzima eb kuna mambo jarb kuyapotezea mana hata mtu akikufatilia inafikia hatua anakuchoka mana unaongea upumbavu ,ni mtu wa guru chuki zimekujaa ww eb tupumzishe mchunguj unazingua...hata hy clip ukiangalia n ya mda sana ila una ungamisha unganisha ili kuwaaminisha watu na unachokieleza
@user-oh8sk4wy3r. Yeye katuma ujumbe wewe unaanza kumsikiliza si utakuwa mpumbavu? Ukiona clip yake we pita. Hivi kuna haja gani kumfuatilia mtu anaye kukera?
Kaa kimya kuhusu Mwakipesire wewe! Tunampenda na wamtoe gerezani haraka sana!.
Mungu ndo ajuaye
Mungu hatawaua wote watezi wetu hacha wakutese lakini mungu tupo pamoja usiogope mungu atakupiginia
Maneno ya Kikwete yanahusika viipi hadi unaanza kumtuhumu Baba wa watu.
Nimesikiliza kwa umakini maneno ya kikwete ,kwanza alikua anajibu maswali aliyokuwa anaulizwa na waandishi wa habari.
Kikwete hakufahamu bro, hawezi kuhangaika na wewe!!
Watumishi wa Mungu tuungane kumuombea mwenzetu hajatulia kiakili bado!!!.
Usilojua ni sawa na usiku WA Giza
Mchungaji bora ni yule anaeshinda majaribu kama Ayubu.
Huyu sio Mchungaji bali amejificha kama Mchungaji.
Ila mchungaji unaogopa kufa 😂😂😂 Kama Yesu angeogopa watesi wake tungekombolewa? Wewe jitoleee tu kuwa mtesi na sisi tukombolewe bhana... usiogope kufa mwanangu 😂😂😂
Mungu akatende bandari yetu haiwekezwe wenye nchi pamoja na wanasheria wetu tumegoma
ni ujinga mtupu,mmejazwa kwa ujinga wenu,TICTS waliomaliza mda wao pale bandarini walikuwa ni wawekezaji wamedumu pale kwa miaka 30 wameingia toka utawala wa mkapa wamemaliza mkataba wao juzi tu hapa walikuwa ni wawekezaji wewe mbumbumbu hilo ulikuwa hujui
TANZANIA VICHAA WANEZIDI KUONGEZEKA hahahaha Mzee anamcheka tuuu baba msamehe ni kichaaa laana ile ya kumzulia yesu ni Mungu na yesu Mwenyewe anakataa mimi sio Mungu wakati wake umefika
Iv huyo mkuu wa mkoa anajidai nini au yeye ananguvu sana kuliko wananchi akome kuwatisha watumish wa Mungu
MAMA HUYO JAMAA AKAPIMWE AKILI TAFADHALI 😂
Viongozi wa serkali wanacheka watanganyika wanalia
Ukiendlea kuhubiri tu itapendeza Sana hayo mambo ya kujieleza sana ni kama kujipigania mwenyewe *Biblia inasema vita si vyetu ni vya Bwana*. Kujibu na kujieleza sana ni kama unajipigania mwenyewe
Mbn cjamuelewa huyu!!!kikwete ameongea Baya gani hapo😂😂😂😂
Sikiliza full kupitia link hii ameulizwa nini kuhusu nani na kajibu nini. Ndipo ufananishe na vitendo vya askari wa samia kuwaumiza wanaokosoa czcams.com/users/livexrP98R31iDc?feature=share
Sema ukweli na mungu akusimamie utashinda yote
😂😂😂 mambo mengne jaman duuh..🤔
Lia na huyo r.c.o lakn kikwete isiwe n semeo lako, maana kaul yake haikuonesha kuthihilisha udkteta wa rais unaousemea, bal amesema kutoruhusu hoja nk n udkteta then Samia s dekteta ndy maana bado mna nafas ya kubwabwaja mitandaon na kwingne hadhalan. So deel na huyo r.c.o tu
Ukweli kuhusu bandari jpm.aliipigania Sanaa alikuwa na uchungu na inauma kwa hayo wanayo ya fanya.
Kwakweli hilo swala la bandari lazima washindwe lasivyo serikali ya ccm itataka vita kubwa na wananchi wake
Yeye Kikwete yuko juu ya sheria hasa hao wakina Kikwete. Hata akiwa dictator ni sawa tu mradi ni ccm.
Tanzania tunakoelekea kubaya wazi wananchi walishaumia sana na wizi mkubwa kwa mali ya umma na hasa pale wanapoona baadhi ya viongozi wanashiriki kuhujumu uchumi
Ndugu yangu. Unafuata hizi propaganda bila kujua
Hasa hao walikuwa wakiendesha nchi hapo awali
Yes tena kanisa katoliki wapetuibia sana kwa kupitisha vitu vingi bandarini bila kulipa kodi
Magufuli alifungia vichaa kumiliki mitandao mama ukaruhusu wakakufurahia Sasa wamekurudia mwenyewe hao ukimbeba chizi lazima akuchafue
Kipindi.hiki.cha.samia.tutona.tutasikia.mengi.sana.ukweli.mlikuwa.mnauficha.nyinyi.wenyewe.sasa.mliyo.yafichaa.kwenye.nyoyoo.zenu.mtayatoa.wenyewe.kwasababu.roho.zenu.mmeficha.mengi.sana.mungu.ibariki.DuNIA
Mungu msaidie Mtumishi wako.
Hakika tunge pata watu wenye maono Kama hawa bungeni hii nchi ingekuwa mbali sana
Duuuh ... Kwa kweli huyu mtu ameamua kujitoa mhanga.
Uyo Kikwete kumbuka babu sea kumbuka mtwra
Mbarikiwa anasema ukweli kabisa bila ya unafiki, siku zote DHULUMA mwisho wake ni mauti