Mbarikiwa ahoji. Je kikwete atakamatwa na simu yake...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 07. 2023

Komentáře • 897

  • @honoratamafala6968
    @honoratamafala6968 Před 11 měsíci +20

    Huyu Mchungaji,alifiwa na mwanae ,badala ya kuliwazwa aliendelea kuchomwa moyo.anahitaji sana kutulizwa na kusikilizwa kwa ukaribu.

  • @Focusm-se2sd
    @Focusm-se2sd Před 11 měsíci +22

    Kikwete ni mtu mbaya sana ila mungu atasimama juu ya nchi hii

    • @khalfaniutaly1303
      @khalfaniutaly1303 Před 11 měsíci

      wewe ni mtu jeuri mwache mzee apumzike acha roho mbaya itakusaidia nn

  • @NokorenKuluo-xd7wn
    @NokorenKuluo-xd7wn Před 11 měsíci +13

    Pole San mtumishi wamungu kwaunayo yapitia hao wote mungu atawajibu kwayote yanayo fanya kwa mtumishi wa mungu na kwa watanzania wote mungu yu hai

  • @davisnkoba2683
    @davisnkoba2683 Před 11 měsíci +21

    Mtumishi wa BWANA Mbarikiwa Daniel wa sasa God be with you in all in Jesus mighty name amen

    • @user-ie2to4iz8m
      @user-ie2to4iz8m Před 11 měsíci +3

      Taarifa kwa yeyete aliyeshiriki kifo Cha mtoto huyu wa mtumishi huyu malipo haya hapa hapa duniani😢

    • @agustinohizza1395
      @agustinohizza1395 Před 11 měsíci +1

      Kama unauwezo wa kuona mbali muiteni mmalizane kutatokea kitu kibaya mbele

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Před 11 měsíci +15

    Ameeen yawarudie wenyewe kwakweli🙏🤲

  • @sayunimkongwa9830
    @sayunimkongwa9830 Před 11 měsíci +22

    R c o mbeya yatakurudia sio muda.

  • @mzuandamlalli8654
    @mzuandamlalli8654 Před 11 měsíci +13

    🎉❤baba mungu yupo nasi

  • @HamzaFamily-sw4td
    @HamzaFamily-sw4td Před 11 měsíci +7

    Machungu ya wa Tanzania 🇹🇿 yatajibiwa na mungu asiye lala .

  • @personalitiesan9806
    @personalitiesan9806 Před 11 měsíci +5

    Human beings of this caliber are very few and they're ever straight away, discerned and very strong in their spiritual world......he literally speaks from his very bottom of his heart and He's been injured internally please jmn mwacheni Aishi vizuri kama watanzania wengine.#let Mr mbarikiwa live peacefully and let's not hold grudges over each other please please please 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @linkreuben3108
    @linkreuben3108 Před 11 měsíci +16

    Serikali ingeyamaliza tu na huyu Pastor; UPANGA unaokuja mbele ni HATARI!!!

    • @Pharadge
      @Pharadge Před 11 měsíci

      kama ya Mackenzie

    • @sifawayesu7079
      @sifawayesu7079 Před 11 měsíci

      ​​@@Pharadgea Mackenzi amekujaje hapa??

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 Před 11 měsíci

      @@sifawayesu7079 Amekuja kwa bajaji😆😆😆

    • @mohdsaid7488
      @mohdsaid7488 Před 11 měsíci

      Sasa wewe mungu humuogopi then yeye tu ndie atakaekuokoa hebu tuliza fuvu kwanza

    • @yohanayohana5558
      @yohanayohana5558 Před měsícem

      Hakika huyu baba ameongea kwa ukali sana

  • @NellyMadeni-yv6fd
    @NellyMadeni-yv6fd Před 11 měsíci +2

    Mbarikiwa ni mtu mwenyehaki, Mungu hawezi kumwacha. Poleni mnyemtesa mtu huyu kwakua hamjui nguvu ya Mungu, mtajuta sana

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 Před 11 měsíci +22

    Wamemkosea Mtumishi wa Mungu Sasa watakula ujinga wao tuko pamoja mtumishi

  • @jacksoncharles5411
    @jacksoncharles5411 Před 11 měsíci +44

    Walikuwepo watu kama HERODE nk,but mwisho wao haukuwa mzuri,hakuna aliyewaumiza watu wa MUNGU wakabaki salama,R.C.O mbeya na wenzako mnaotumia vyeo vyenu kuwaumiza watu kwa nia OVU,kuna haja ya kujitafakari,hayo madaraka hamjazaliwa nayo,hivyo hamtakufa nayo,kumbukeni nje ya vyeo kuna maisha mengine.NB:Mmezaa na mnavizazi,hawa mnaowatesa nao wamezaa na wanavizazi,kuweni makini sana ktk kila mfanyalo juu ya bin Adam wenzenu,yatakuja kuwaghalimu ninyi au vizazi vyenu.

  • @getitdoneright1938
    @getitdoneright1938 Před 11 měsíci +20

    Huyu msoga anacheza kete anajua kuwa swala la a bandari limenuka na litawalipukia na anatafuta mahala pa kujinasua yeye na familia na genge lake.

    • @aristidesvedasto7855
      @aristidesvedasto7855 Před 11 měsíci +5

      Kabisa kanafiki tu kumbe unakajua eee!

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 Před 11 měsíci +1

      Pamoja na yoooote anayohusishwa kikwete lkn ktk utawala wake alitoa Uhuru wa kukosolewa Kwa SERIKALI yake

    • @getitdoneright1938
      @getitdoneright1938 Před 11 měsíci +5

      @@mashramadhani1989 uhuru wa kukosolewa hautoki kwa raisi bali katiba ndiyo inayoruhusu freedom of speech

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před 11 měsíci

      @@getitdoneright1938 kweli, ila wakati wa magufuli hakuna freedom of speach. Jee katiba ilibadilika au?

    • @sifawayesu7079
      @sifawayesu7079 Před 11 měsíci

      Ni sasa unamsikiliza??

  • @GeraldYamoya-hx3wc
    @GeraldYamoya-hx3wc Před 11 měsíci +4

    Pole sana kuishi kwetu ni Kristo kufa ni faida usiogope

  • @sifawayesu7079
    @sifawayesu7079 Před 11 měsíci +2

    Huyo RCO Mbeya anashindana na Mungu mwenyewe na apandae ubaya atavuna ubaya alioupanda.

  • @psgospel3490
    @psgospel3490 Před 11 měsíci +7

    Mtumishi wa Mungu, Mungu akutie nguvu zaidi ulivuke hili nalo. Naweza pata mawasiliano yako kama hutojali🙏

  • @emanuelkinoko9126
    @emanuelkinoko9126 Před 11 měsíci +3

    Huyu ndo mtumishi wa Mungu sasa siyo hao wengine wasaka tonge! Hakuna wa kukugusa mtumishi watakufa wao kwa jina la YESU MWANA WA MUNGU ALIYE HAI.

  • @SamweliZaburi
    @SamweliZaburi Před 11 měsíci +8

    Wape vidonge vyao kwani serikali hii inaonea sana kuanzia serikali kuu hadi vijijini mungu anawaona

  • @WillBat-gc9ex
    @WillBat-gc9ex Před 2 měsíci

    Mbarikiwa kakaangu umtumishi wa mungu wa walio hai mungu akulinde sana watoto wako wako salama kwa jina la yesu usihangaike nao maumivu uliyo nayo ni makali sana najua unafahamu kwa habari ya mungu wa dunia hii hagai alishaongea mungu anasema usiogope

  • @juliusjohnii7823
    @juliusjohnii7823 Před 11 měsíci +7

    Mungu mkubwa, Tunakaribia kufika, na tuta fika kwa kishindo kikubwaaa.

  • @ThadeoJohn-or2uw
    @ThadeoJohn-or2uw Před 11 měsíci +9

    Kweli mtumishi wa mungu hawatakuwa salama na hio bandali maana wananchi wengi wameumizwa

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 Před 11 měsíci

      Sema bandari siyo bandali

    • @rosemarysulle9288
      @rosemarysulle9288 Před 10 měsíci

      Tumeumizwa sana wa Tz mioyo yetu inavuja damu.lkn mwenye dunia yake yupo,naye ni Mungu naye atahukumu kwa haki.Amen

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 Před 11 měsíci +9

    Amen mtumishi wa mungu, ongea mtu wa mungu,,

  • @eleonorabokewarioba4420
    @eleonorabokewarioba4420 Před 11 měsíci +10

    Sikutegemea kama Tanzania inaweza kutesa wana inchi wake kwa namna hiyo juteni kabla siku za Bwana hazijatimia kwani Bwana alisema ukiua kwa upanga kwa upanga itakufa

  • @user-pd1kk3xd4u
    @user-pd1kk3xd4u Před 11 měsíci +5

    Samia ni dictator na ni jambazi alishauza nchi hii long time

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Před 11 měsíci +1

    Kumbe Hata Rais Kikwete anajua Kuna Kukamatana Kuzuia Watu wasitoe Maoni, Kwa Hiyo Anajua Watu Wanagogwa!

  • @user-uo9tv6cb2z
    @user-uo9tv6cb2z Před 2 měsíci

    Pole Sana mtumishi wa mungu japo mungu yuko upande ya watumishi wake soma yeremia 29,11 usijali mungu yuko upande wako

  • @alloycejames5285
    @alloycejames5285 Před 3 měsíci +2

    Sijui ndugu yangu kama ni Mungu kakutuma...ila kwa maoni yangu ungefanya kazi ya Mungu uliyoitiwa...

    • @mckobatz5861
      @mckobatz5861 Před měsícem

      Kama ipo sauti na maoni ya Mungu juu ya anachofanya hakuna wa kumzuwia ndugu

  • @petermwenda6470
    @petermwenda6470 Před 11 měsíci +22

    Hawa watu wanataka kujamba wajambe wao Tu, tukijamba Sisi tunaharisha

  • @laurentngussa1735
    @laurentngussa1735 Před 11 měsíci +5

    Apandaye ubaya atavuna ubaya anaoupanda kwa wakati asioutarajia, Mungu ni mhukumu wa haki siku zote.

  • @user-on3sb4fn7w
    @user-on3sb4fn7w Před 11 měsíci +2

    Mungu akutangulie mtumishi pole sana kwa pito lako mwachie mungu ashugulikenao🙏

  • @PMMakula
    @PMMakula Před 11 měsíci +3

    Zaburi 89:7
    [7]Mungu huogopwa sana barazani pa watakatifu,
    Ni wa kuhofiwa kuliko wote wanaomzunguka.

    • @RobertGwelela
      @RobertGwelela Před 11 měsíci +3

      Hiyo Zaburi 89:7 Mungu huogopwa Sana barazani pa watakatifu wake.Anachomaanisha hapa Ni kwamba Mungu anaheshimiwa Sana.Mtu wa haki hatakiwi kuwa mwoga.2Tim 1:7 Mungu hakutupa roho ya woga.hata ufunuo 21:8 Mungu anawakataa waoga.Sisi tunatakiwa tuogope kutenda dhambi ila Mungu tumheshimu Sana.Mtu utamwogopa Mungu endapo unatenda dhambi,,Kama ni mwema Basi Mungu utamheshimu na kumfurahia Sana,na hauwezi kumfurahia unayemuogopa.Hata ktk familia mtoto anayemuogopa sana baba ni yule anayetenda mabaya lkn anayetenda mema Sana anakuwa rafiki mkubwa wa baba.Mungu anapenda sisi tuwe huru Sana kwake kwa maana ya kwamba kila tunaloliona gumu kwetu tuwe radhi kumweleza ili atusaidie,Sasa tutamwelezaje Kama tunamuogopa?.Hata falsafa pastor aliyosema ame copy kwa Marehemu Ruge Mtahaba kuwa Muogope Sana Mungu na teknolojia,Maana yake tumuheshimu Mungu,yaani tuwe makini na tunayoyafanya ili tusikosane na Mungu.Lkn tuziheshimu teknolojia kwa maana ya kwamba tuwe makini na tunayoyafanya kwenye teknolojia kwakuwa yanaweza kuhifadhi kumbu kumbu za tuliyowahi kuyafanya kwenye teknolojia.Kama yalikuwa ni mabaya kisha sisi tukakataa basi teknolojia inaweza kuyaonyesha kwa dunia nzima.hata ukisikia mtu anakwambia wewe uwe na hofu ya Mungu,anamaanisha Mheshimu Mungu,au uwe makini ktk matendo yako usimkosee au usimkere Mungu,Maana unayemshimu ni lazima utapenda utendee mema sio mabaya.

    • @sifawayesu7079
      @sifawayesu7079 Před 11 měsíci

      Mungu huogopwa na waovu ila wema humsogelea na amesema maovu ya wanadamu ndio hufanya Mungu aonekane ni mbaya.

    • @user-wv9wc6yr1u
      @user-wv9wc6yr1u Před 27 dny

      Amina

  • @KabonekeFathili
    @KabonekeFathili Před 3 měsíci

    Dah,,,,, mbarikiwa baba MUNGU akutunze mtumishi,, jaribu ni kipimo Cha imani yakupasa uvumilie mtumishi kwa uchungu nakuskiliza 😢😢

  • @stevennjalika-in1fo
    @stevennjalika-in1fo Před 11 měsíci +2

    Baba mungu atasimama kwa RCO na wenzake hao mungu yupo ,mungu yupo,,,,,,,,,!

  • @prisilakimario2102
    @prisilakimario2102 Před 10 měsíci +2

    Kila mtu aombe kwa iman yake,maan MUNGU ndo hana mpinzan.Nimwanzo na mwisho.🙏🙏

  • @gloriousmwankotwa882
    @gloriousmwankotwa882 Před 11 měsíci +2

    Vita si yenu bali ni ya Bwana , Bwana atawapigania nanyi mtanyamaza kimya. Nyamaza kimya mtumikie Mungu aliyekuita naye atapigana vita yako mtumishi wa Bwana. Haya yanatokea kukutoa kwenye mstari, mwache Mungu akutetee.

    • @sifawayesu7079
      @sifawayesu7079 Před 11 měsíci

      Mbona sasa wewe haujanyamaza na komenti haijajiweka yenyewe??

    • @gloriousmwankotwa882
      @gloriousmwankotwa882 Před 11 měsíci

      Ni neno LA Mungu ndo linasema hivyo mpendwa, kwamba Bwana atatupigania nasi tutanyamaza kimya, sio maneno yangu.

  • @shahiidabdallah3579
    @shahiidabdallah3579 Před 11 měsíci +1

    Hakuna tatizo hapo tatizo niufahamu walugha ,mchungaji afunzwe kiswahili,na sanaa yalugha.

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 Před 11 měsíci +2

    USITUMIE MANENO YA KIKWETE VIBAYA KIKWETE ANAONGRLEA UONGOZI KWA UJUMLA UNAVYOPASWA KUA

  • @emanuelandedela7901
    @emanuelandedela7901 Před 11 měsíci +1

    Mtumishi kafanyaje jamani mbona sielewi!! Hadi naogopa anavyoongea

  • @mohammedgogo3327
    @mohammedgogo3327 Před 11 měsíci +2

    Shida ni kwamba shamba la Bwana heri, ng' ombe za Bwana heri, majani ya Bwana heri, mwendesha mashitaka ni Bwana heri, mtoa hukumu ni Bwana heri, mahakama ni ya Bwana heri, kwahiyo watanzania hatuthaminiwi Ila asiye na mtu ana Mungu. Wana wa Israeli walilia mbele za Mungu baada ya mateso, lakin Bwana wa majeshi aliwasikia kilio chao na hatimaye Mungu aliunyosha mkono wake. Wakawa guru.

  • @fatmaallyabdul1732
    @fatmaallyabdul1732 Před 11 měsíci +1

    Mungu akuponye na hasira Mch.

  • @GabrielPetro-qj2mk
    @GabrielPetro-qj2mk Před 11 měsíci +2

    Amen San, masihi wa mungu

  • @nurdinahmed9063
    @nurdinahmed9063 Před 11 měsíci +1

    Wallahi wabillahi naapa mbele za Allah hii himaya Ni uovu utupu na Mungu tupe majibu kwa mahasdi wa tz

  • @ShepherdMfuse
    @ShepherdMfuse Před 10 měsíci

    Mtu wa Mungu yaache Haya Mambo hayana Manufaa Kwako wala kwa Watu wa Kanisani Kwako kama Unahitaji Kuingia kwenye Siasa sawa ila Kama hauna Maono na Siasa tuendelee kuihubiri Injili tuliyoagizwa haya ya Siasa hata Samweli aliyempaka Sauli Mafuta ya Ufalme alikaa nayo Mbali

  • @titonsimbazi5532
    @titonsimbazi5532 Před 11 měsíci +16

    Mikataba ya badali hatuitaki.

  • @nurdinahmed9063
    @nurdinahmed9063 Před 11 měsíci +2

    Huyo rcu mbeya mwisho wake mbaya na Mungu atampiga pigo kubwa sana Ila!

  • @NywageTv
    @NywageTv Před 11 měsíci +5

    R c o mbeya mabaya haya anayopitia mchungaji huyu yatakua juu yako

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in Před 9 měsíci +1

    Wachungaji wa mbeya Wana majungu 🤣🤣🤣🤣

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed8875 Před 10 měsíci

    mashetana tutawakabili kwa dua za mangamizi ALLAH atadilili nao madamu watu wana dai haki NAWAKABIZI KWA, ALLAH ANAJUA KULIPAMACHUNGU MWENYE NGUVU ANAYEBIGA MAPIGO MAZITO YASIO NA MFANO AMEEN

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 Před 11 měsíci +1

    Shujaa wa Mungu hongera sana. Hao watu tunawatumia kitu kizito chenye ncha kali toka kwa Mungu

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy1523 Před 10 měsíci

    Pimwa akili kwanza. Yaani kupewa uhuru wa kuabudu mnajidai kumaliza amani ya nchi. Acheni ubinafsi kwani mambo hayaongeleki. Acha zako😊😊😊😊😊

  • @ShukuruHashim-re4kb
    @ShukuruHashim-re4kb Před 11 měsíci +1

    pole sana pastor kwa mapito yote

  • @winnyleonardkapere661
    @winnyleonardkapere661 Před 10 měsíci +2

    Tusicheze na mtumishi wa Mungu!

  • @victorkivuyo6126
    @victorkivuyo6126 Před 4 měsíci

    HUYU JAMAA ALICHOKUWA ANATAFUTA KAKIPATA, MWANA KULITAFUTA MWANA KULIPATA, KAMA NI KAZI YA UTUMISHI FANYA UTUMISHI ACHANA NA WATU WAKUBWA, JELA WELLCOME,😂😂😂, MR

  • @user-sr3vb7fs9y
    @user-sr3vb7fs9y Před 10 měsíci

    Ni lazima uteswe kama kristo achilia umpe Mungu nafasi akujibie wala usijitaabishe maana kisasi chetu ni Bwana atulipiae ebu nyamaza Mungu akuonyeshe namna anashughulika na mambo yetu

  • @gloryngowo2663
    @gloryngowo2663 Před 8 měsíci

    Wewe mwenyewe umesema haumwogopi mungu na wewe ni mtumishi wa mungu je wao wanawezaje kumwogopa mungu mmmmmmm

  • @atomicexposior6012
    @atomicexposior6012 Před 11 měsíci +1

    Awo watoto wa pwan kumama zao wanatuma sungu sungu wawapige wavuvi Awana resen ya elfu ishilini watu wanaiba mabilion ya era Kofi awapigwii

  • @LusajoMwajeka-tf1nj
    @LusajoMwajeka-tf1nj Před 6 měsíci

    Daah loho yangu inauma kumfunga mtu kama mbalikiw daaa hakik mungu anajua

  • @user-ih4kw5eb3d
    @user-ih4kw5eb3d Před 2 měsíci

    Huyu jamaa anaongea kwauchungu sana naujue kama nikweli yatafanyika kweli hii kweli inauma sana

  • @IbrahimuJaphet-hx2ns
    @IbrahimuJaphet-hx2ns Před 11 měsíci +1

    Haki ya kuwa hai sheria ya 1984 na. 15 ib.6, Kama serikali wameshindwa kusikiliza kero na malakamiko ya huyu mtu ni dhahiri kuwa wanajua alichokifanya mtu wao wa usalama wa taifa na badala yake kumpa mtu wa MUNGU kesi ya jinai N.k hiyo sheria wametunga wao Hakuna mwenyehaki ya kutoa uhai wa mwenzake inakuwaje huyo jamaa bado yupo uraiani na kwenye ajira wakati mwenzake analalamika kamuulia mtoto alafu kunawatu wapuuzi humu wanakujaku comment utumbo aise kama haki haita tokea kwa kuongea kunawatu watajilipua nawaambia tunaomba haki ionekane maana jambo hili lipo wazi.

  • @OmAn-jw4jt
    @OmAn-jw4jt Před 8 měsíci

    Mungu akutie nguvu mtumishi wa bwana akuwezeshe kushinda hayo unayopitia

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz Před 11 měsíci +2

    Huyu mwamba aise anaongea kwa hisia sn

  • @JosephKulwa-rc7en
    @JosephKulwa-rc7en Před 11 měsíci +4

    Utawala ulikua kwa magufuli saivi maumivutu

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh Před měsícem

    Mungu atajibu kwa wakati pole baba

  • @YohanaSimon-sy3ih
    @YohanaSimon-sy3ih Před 10 měsíci +1

    Amen mtumishi wa mungu

  • @omarhemed448
    @omarhemed448 Před 11 měsíci +12

    Watanganyika waoga. Muche ni mbarikiwa atememadini

    • @PiusMapunda-gx8pu
      @PiusMapunda-gx8pu Před měsícem

      Na woga wetu ndio unaotuumiza,Nchi inatawaliwa na wapemba. jamani watznia tuamke wachache wanauza Nnchi jamani tuamke.tuamke.

    • @PiusMapunda-gx8pu
      @PiusMapunda-gx8pu Před měsícem

      Rais wa katika huyo hatufai hatujamchagua cc.Oooh Bai bai Tanzania tukija kushtuka hatuna kitu.

  • @abrahamnyagawa1304
    @abrahamnyagawa1304 Před 11 měsíci +1

    Asante Sana, mtumishi wa MUNGU aliye juu!Kwamba,who are they,by the way,unanitia nguvu na ujasiri mkuu.keep it up, God's there,with you endeed!

  • @user-jf1yq9fc6d
    @user-jf1yq9fc6d Před 10 měsíci

    Umechanganyikiwa jaribukuwa mtulivu bro

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in Před 9 měsíci

    Manabiii wa mbeya🤣🤣🤣🤣🤣wachungaji wa hovyo

  • @user-wv9wc6yr1u
    @user-wv9wc6yr1u Před 27 dny

    Yesu alipigwa mpaka akauwawa lakini wale walomtenda hayo wako wapi Mungu akiwa anamsukuma kufanya haya muacheni aseme msimzuie wala kumkamata

  • @daviddaniel4810
    @daviddaniel4810 Před 11 měsíci +1

    Nchi ya ovyo sana hiii..ubabe unatumika kwa mgongo wa democrasia

  • @ashaomari-rb1uu
    @ashaomari-rb1uu Před 11 měsíci

    Mungu akulinde na kila baya mtumishi wa mungu

  • @user-ny1tf2gg8g
    @user-ny1tf2gg8g Před 11 měsíci +3

    Mungu wangu akulinde na maadui kila wakati mtumishi wa Mungu, vita ni vya Bwana mwenyewe

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Před 11 měsíci

    Asanteni wa Tanganyika hatujielewi hatuwawezi hawa mungu atusaidie Tena Kama mwaka uleee,

  • @jawahiriaelmy
    @jawahiriaelmy Před 2 měsíci

    Huyu jamaa ni chizi au shetani lome mvaa kw kimsingizia kristo😅😅😅 hovyo sana

  • @user-oh8sk4wy3r
    @user-oh8sk4wy3r Před 10 měsíci +8

    Ila huyu mwamba nimeekuwa nikimfatilia kwa karib sana ila mwisho wa siku kwa udogo wa elimu yang na ufaham wang nahis huwenda afya yake ya akil haiko vizur ,sawa umefanyiwa ubaya lakn ww umekuwa mtu wa kulaum kila siku ,na siku zote unaambiwa unapo laumu usimalize maneno mana kuna siku utashindwa pa kuanzia ,we n mtu mzima eb kuna mambo jarb kuyapotezea mana hata mtu akikufatilia inafikia hatua anakuchoka mana unaongea upumbavu ,ni mtu wa guru chuki zimekujaa ww eb tupumzishe mchunguj unazingua...hata hy clip ukiangalia n ya mda sana ila una ungamisha unganisha ili kuwaaminisha watu na unachokieleza

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 10 měsíci +1

      @user-oh8sk4wy3r. Yeye katuma ujumbe wewe unaanza kumsikiliza si utakuwa mpumbavu? Ukiona clip yake we pita. Hivi kuna haja gani kumfuatilia mtu anaye kukera?

    • @philemonkageleja3858
      @philemonkageleja3858 Před 9 měsíci +3

      Kaa kimya kuhusu Mwakipesire wewe! Tunampenda na wamtoe gerezani haraka sana!.

    • @GraceMhoja-zc7yg
      @GraceMhoja-zc7yg Před 6 měsíci

      Mungu ndo ajuaye

  • @jacksonshira786
    @jacksonshira786 Před 11 měsíci +1

    Mungu hatawaua wote watezi wetu hacha wakutese lakini mungu tupo pamoja usiogope mungu atakupiginia

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 Před 2 měsíci

    Maneno ya Kikwete yanahusika viipi hadi unaanza kumtuhumu Baba wa watu.
    Nimesikiliza kwa umakini maneno ya kikwete ,kwanza alikua anajibu maswali aliyokuwa anaulizwa na waandishi wa habari.
    Kikwete hakufahamu bro, hawezi kuhangaika na wewe!!
    Watumishi wa Mungu tuungane kumuombea mwenzetu hajatulia kiakili bado!!!.

  • @yusuphmwambete2777
    @yusuphmwambete2777 Před 6 měsíci

    Mchungaji bora ni yule anaeshinda majaribu kama Ayubu.
    Huyu sio Mchungaji bali amejificha kama Mchungaji.

  • @ramsonhudson4013
    @ramsonhudson4013 Před 11 měsíci +1

    Ila mchungaji unaogopa kufa 😂😂😂 Kama Yesu angeogopa watesi wake tungekombolewa? Wewe jitoleee tu kuwa mtesi na sisi tukombolewe bhana... usiogope kufa mwanangu 😂😂😂

  • @tielyelibariki8958
    @tielyelibariki8958 Před 11 měsíci +1

    Mungu akatende bandari yetu haiwekezwe wenye nchi pamoja na wanasheria wetu tumegoma

    • @popekatalango9409
      @popekatalango9409 Před 11 měsíci

      ni ujinga mtupu,mmejazwa kwa ujinga wenu,TICTS waliomaliza mda wao pale bandarini walikuwa ni wawekezaji wamedumu pale kwa miaka 30 wameingia toka utawala wa mkapa wamemaliza mkataba wao juzi tu hapa walikuwa ni wawekezaji wewe mbumbumbu hilo ulikuwa hujui

  • @user-dv8lm4ko5i
    @user-dv8lm4ko5i Před měsícem

    TANZANIA VICHAA WANEZIDI KUONGEZEKA hahahaha Mzee anamcheka tuuu baba msamehe ni kichaaa laana ile ya kumzulia yesu ni Mungu na yesu Mwenyewe anakataa mimi sio Mungu wakati wake umefika

  • @BennRich
    @BennRich Před 11 měsíci +1

    Iv huyo mkuu wa mkoa anajidai nini au yeye ananguvu sana kuliko wananchi akome kuwatisha watumish wa Mungu

  • @user-dv8lm4ko5i
    @user-dv8lm4ko5i Před měsícem

    MAMA HUYO JAMAA AKAPIMWE AKILI TAFADHALI 😂

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k Před 11 měsíci +9

    Viongozi wa serkali wanacheka watanganyika wanalia

  • @barakamachard1944
    @barakamachard1944 Před 10 měsíci

    Ukiendlea kuhubiri tu itapendeza Sana hayo mambo ya kujieleza sana ni kama kujipigania mwenyewe *Biblia inasema vita si vyetu ni vya Bwana*. Kujibu na kujieleza sana ni kama unajipigania mwenyewe

  • @hassankajembe4118
    @hassankajembe4118 Před 11 měsíci

    Mbn cjamuelewa huyu!!!kikwete ameongea Baya gani hapo😂😂😂😂

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 11 měsíci

      Sikiliza full kupitia link hii ameulizwa nini kuhusu nani na kajibu nini. Ndipo ufananishe na vitendo vya askari wa samia kuwaumiza wanaokosoa czcams.com/users/livexrP98R31iDc?feature=share

  • @elizabethringo7154
    @elizabethringo7154 Před 11 měsíci +2

    Sema ukweli na mungu akusimamie utashinda yote

  • @stafordfelician3050
    @stafordfelician3050 Před 11 měsíci

    😂😂😂 mambo mengne jaman duuh..🤔
    Lia na huyo r.c.o lakn kikwete isiwe n semeo lako, maana kaul yake haikuonesha kuthihilisha udkteta wa rais unaousemea, bal amesema kutoruhusu hoja nk n udkteta then Samia s dekteta ndy maana bado mna nafas ya kubwabwaja mitandaon na kwingne hadhalan. So deel na huyo r.c.o tu

  • @user-gi5zb9tp5c
    @user-gi5zb9tp5c Před 6 měsíci

    Ukweli kuhusu bandari jpm.aliipigania Sanaa alikuwa na uchungu na inauma kwa hayo wanayo ya fanya.

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu9971 Před 11 měsíci +1

    Kwakweli hilo swala la bandari lazima washindwe lasivyo serikali ya ccm itataka vita kubwa na wananchi wake

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 11 měsíci

    Yeye Kikwete yuko juu ya sheria hasa hao wakina Kikwete. Hata akiwa dictator ni sawa tu mradi ni ccm.

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 Před 11 měsíci +3

    Tanzania tunakoelekea kubaya wazi wananchi walishaumia sana na wizi mkubwa kwa mali ya umma na hasa pale wanapoona baadhi ya viongozi wanashiriki kuhujumu uchumi

    • @abi-onlinetv4181
      @abi-onlinetv4181 Před 11 měsíci

      Ndugu yangu. Unafuata hizi propaganda bila kujua

    • @Jal210
      @Jal210 Před 11 měsíci

      Hasa hao walikuwa wakiendesha nchi hapo awali

    • @mnanasuly2585
      @mnanasuly2585 Před 10 měsíci

      Yes tena kanisa katoliki wapetuibia sana kwa kupitisha vitu vingi bandarini bila kulipa kodi

  • @babajay3445
    @babajay3445 Před 10 měsíci

    Magufuli alifungia vichaa kumiliki mitandao mama ukaruhusu wakakufurahia Sasa wamekurudia mwenyewe hao ukimbeba chizi lazima akuchafue

  • @jumaomari3842
    @jumaomari3842 Před 11 měsíci

    Kipindi.hiki.cha.samia.tutona.tutasikia.mengi.sana.ukweli.mlikuwa.mnauficha.nyinyi.wenyewe.sasa.mliyo.yafichaa.kwenye.nyoyoo.zenu.mtayatoa.wenyewe.kwasababu.roho.zenu.mmeficha.mengi.sana.mungu.ibariki.DuNIA

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855 Před 11 měsíci +1

    Mungu msaidie Mtumishi wako.

  • @DoctorRengeda
    @DoctorRengeda Před 2 měsíci

    Hakika tunge pata watu wenye maono Kama hawa bungeni hii nchi ingekuwa mbali sana

  • @StewartUkason
    @StewartUkason Před 2 měsíci

    Duuuh ... Kwa kweli huyu mtu ameamua kujitoa mhanga.

  • @DoctorWamchongo-nw2so
    @DoctorWamchongo-nw2so Před 11 měsíci +1

    Uyo Kikwete kumbuka babu sea kumbuka mtwra

  • @UswegeJohn-ov3ym
    @UswegeJohn-ov3ym Před 2 měsíci

    Mbarikiwa anasema ukweli kabisa bila ya unafiki, siku zote DHULUMA mwisho wake ni mauti