Awamu hii CCM mtaondoka bila hata ya vyama vya upinzani. machief vs Mungu!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 07. 2023
  • Edited by VideoGuru:videoguru.page.link/Best

Komentáře • 989

  • @berthatz
    @berthatz Před rokem +44

    Amen..Wahuni hawa wakapotee wakaanguke mmoja mmoja na wasionekane tena kwenye uso wa dunia.Amen.

  • @sebastianmwantuge5597
    @sebastianmwantuge5597 Před rokem +32

    Mungu anasikia maombi ya wenye haki,naamini Mungu yuko kazini kulikomboa Taifa

  • @pastorjimsonchengula844
    @pastorjimsonchengula844 Před rokem +14

    Niko pamoja na wewe Baba, wapigweeeeeee machifu na viongozi wa hivyo kwa jina la Yesu.Amen.

  • @sadanishabani3321
    @sadanishabani3321 Před rokem +19

    Ameen mchungaji watanzania tuko nyuma yako ,asante sana ,...ee Mungu tusaidie sana

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 Před rokem +30

    Mungu wa mbinguni tusaidie simama kwa miguu yako Bwana

    • @yusuphkichawele1009
      @yusuphkichawele1009 Před rokem +1

      😊

    • @yusuphkichawele1009
      @yusuphkichawele1009 Před rokem

      Mambo mengine yooote sawa ila CHADEMA hapo umeikwaa mchungaji. Waqpinzani wakwel ni Chdema na 2025 tunachukua nchi.Peopleeeeeeessssss✌✌✌

  • @jacksonchaula6010
    @jacksonchaula6010 Před rokem +18

    Mungu sikia maombi ya mtumishi wako huyu Amen

  • @emiltonmartin4399
    @emiltonmartin4399 Před rokem +36

    Amen Man of God

  • @titonsimbazi5532
    @titonsimbazi5532 Před rokem +37

    MUNGU sikia maombi ya mtumishi wako alie jitoa kwa ajili ya haki, MUNGU sikia maombi ya watanzania tunalia tunaugua.

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso2424 Před rokem +13

    Amen Eee Mungu simama na taifa letu nyosha mkono wako lipiganie taifa letu na udharimu wa watawala na dhuruma juu ya rasilimali za nchi yetu wasimamie watanzania katika kipindi hiki kigumu wanachopitia ukawe sauti ya kutusemea watanzania wanyonge juu ya watawala wanaokandamiza haki uhuru wa maisha yao kainue watumishi watu wako wa kututetea kasimame juu ya watawala ili wakujue kuwa wewe ni Mungu

  • @majutobakari3447
    @majutobakari3447 Před rokem +16

    AMEN,ninaamini sana ktk uweza wa Mungu mtakatifu hakuna mamlaka yoyote ya mapepo inayoweza kuishinda mamlaka ya Mungu kwa maombi hayo ya mtumishi wa Mungu aliyehai kitaeleweka

  • @PeterNkilijiwa-ij3rw
    @PeterNkilijiwa-ij3rw Před rokem +13

    Mungu akubariki Mtu wa Mungu ,haki kwanza bandari ibaki kwa wananchi,viongozi wetu wawaelewe wenye nchi,Mungu akulinde na akuhifadhi vyema ndani ya taifa lako.

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 Před rokem +2

    Mungu Mkuu, hata lini unakwenda kusikiliza sauti ya kilio cha Watanzania?
    Wewe Mungu ni mwenye haki. Saa ya ukombozi ikifika tu, ukombozi wa kweli unakwenda kutokea katika Nchi hii.
    Amina.

  • @emmanueltamnaay5781
    @emmanueltamnaay5781 Před rokem +16

    Amen 🙏🙏 mtu wa mungu,, waambie ukweli labda watakuelewa,kabla hawaja chelewa.

  • @michaelmwambije3603
    @michaelmwambije3603 Před rokem +14

    Mungu hawez shindwa kwamachifu na wachawi wote hao nivifinyango vimefinyangwa Kwa mikono yake mungu atatenda vita vyetu si vya dam na nyama mungu awashughulikie

  • @puregospelmusic9746
    @puregospelmusic9746 Před rokem +18

    Msalaba ndio asili ya ushindi wetu.. Tunashinda na zaidi ya kushinda

  • @richardboaz-mashagospel2346

    Awamu hii ni moto moto, na hawa wa mama wanajitafutia laana za watanzania bora watulie tu... Mungu wetu ni mkubwa sana.

    • @coolpara8192
      @coolpara8192 Před rokem +1

      Yesu kwan ni Mungu Wacha ushirikina na ukafir

    • @richardboaz-mashagospel2346
      @richardboaz-mashagospel2346 Před rokem +2

      @@coolpara8192 Haha huna hoja, nenda kwa mwamposa uone ndugu zako wanaomuita yesu kama wewe, wako kule na hijabu zao kila jumapili wanasema yesu ni Mungu, wanasema yesu kaniponya... 🤣🤣🤣 nenda kawaulize ndugu zako hao wakupe jibu yesu ni Mungu au la!!

    • @kefajoseph158
      @kefajoseph158 Před rokem +3

      @@coolpara8192 waisilamu tunawajuwa mnaabudu shetani hamuwezi kuona wema wa YESU kiristo aliye hai

    • @selasboy3966
      @selasboy3966 Před rokem +1

      ​@@richardboaz-mashagospel2346wewe kafir izo hijab zawagaratia wanavaa ili kuficha ushirikina wenu ..usione baibui ukazan waislamu acha ubwege wako 😂

    • @woah.africa99
      @woah.africa99 Před rokem +1

      ​@@kefajoseph158yesu anakujua ww alie ibiwa na wazungu mnafata wazungu wanawaita manyani mwamposa si ndio.fremason kwa kumsingizia yesu yani isa amuache ibrahim na akufate ww na mzungu kwa kumsingizia wapi chuki mmezidi

  • @LemaRapoi-np2gs
    @LemaRapoi-np2gs Před rokem +17

    Emungu wangu uisikie kilio hichi jionyeshe mungu

  • @josephndugai3598
    @josephndugai3598 Před rokem +25

    Mungu inusuru nchi yetu

  • @zuleyvendor6577
    @zuleyvendor6577 Před rokem +20

    Big Amen mtumishi wa Mungu 🙏🙏🙏

    • @Bikhafija
      @Bikhafija Před rokem +1

      Mungu adhalilishe wote wnyonyaji

  • @HamzaFamily-sw4td
    @HamzaFamily-sw4td Před rokem +8

    Machozi ya watanzania yata futwa na mungu wa mbinu na ardhi na vilivyo ndani yake. Tanzania ni ya watanzania wenyewe na siyo muwekezaji. Rest in power magufuli , Julius nyerere true son of Afrika ❤

  • @princenelsonsinko5237
    @princenelsonsinko5237 Před rokem +10

    Roho ya Eliya ijuu ya mbarikiwa, kunatukio lajaa kutoka kwa Mungu

  • @poncegk5263
    @poncegk5263 Před rokem +11

    Mbalikiwa una akili sana, ubongo wako unafanya kazi vizuri sana, uko smart. Hongera

  • @francisseleman7840
    @francisseleman7840 Před rokem +8

    Maana ya Mwanaume ni uwezo wa kusimama peke yako katika kile unachokiamini bila kujali ni wangapi wanakupinga na wana uwezo mkubwa kiasi gani. Tofauti na kwamba wewe ni mtumishi wa Mungu hakika Mbarikiwa ni Mwanaume, nilichojifunza kwako ni Msimamo thabiti umebarikiwa Sana

  • @ombendaud5938
    @ombendaud5938 Před rokem +21

    Maombi yangu usiku wa leo Samia, Tulie,Majarie alaanie.Aliyaona haya Ndugai kuwa nchi inauzwa

  • @asungushepatrick5414
    @asungushepatrick5414 Před rokem +9

    Tushangilie kwasababu Samia ameshaondolewa kwenye kiti tayari ktk ulimwengu wa roho, ndivyo itakavyokuwa

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 Před rokem +11

    Mungu afundisha watu katika njia zake. Hakika kazi yake itakamilika kwa wakati wake

  • @newtonmwewa6220
    @newtonmwewa6220 Před rokem +8

    This is the real man of God...God bless you man of God.

  • @luciamaganga210
    @luciamaganga210 Před rokem +8

    Mungu okoa taifa letu nzuri ambalo umetupa. Usiwaache hawa wafilisiti wasio tahiriwa wadhihaki ukuu wako.

  • @HelenaDaniel-xw9yo
    @HelenaDaniel-xw9yo Před rokem +7

    Mungu ziangushe falme za giza katika jina la YESU

  • @leonardramiye8207
    @leonardramiye8207 Před rokem +9

    Ngoja tuwakabidhi kwa mungu tu, mungu shugulika nao amen🙏🏽🙏🏽

  • @dicksonlwambo4306
    @dicksonlwambo4306 Před rokem +2

    Ubarikiwe mtumishi

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 Před rokem +6

    Amina mtumishi wa Mungu maneno yako Mungu ayakusanye ayakusanye

  • @jonasmushi5145
    @jonasmushi5145 Před rokem +18

    Hasira ya Mungu itakuwa juu ya viongozi wote wa ccm

    • @hassanmsumari1200
      @hassanmsumari1200 Před rokem

      Bangi iyo

    • @kawiche4911
      @kawiche4911 Před rokem

      @@hassanmsumari1200
      Ee Mungu Wa Yakobo na Israel utujibu sala zetu
      Ee mungu
      Sikia kilio chetu
      Ee Mungu wetu simama na Wenye haki
      SIKIA KILIO CHETU MUNGU WA HURUMA

  • @muhidiniabdallah4211
    @muhidiniabdallah4211 Před rokem +3

    Safi sana Kwa harakati hizo hawa hawafai kuwepo katika ulimwengu wa wanyonge hatutaki utumwa

  • @eltabusenzia765
    @eltabusenzia765 Před rokem +49

    Yeremia 17
    5 Bwana asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha Bwana.
    6 Maana atakuwa kama fukara nyikani, Hataona yatakapotokea mema; Bali atakaa jangwani palipo ukame, Katika nchi ya chumvi isiyokaliwa na watu.
    7 Amebarikiwa mtu yule anayemtegemea Bwana, Ambaye Bwana ni tumaini lake.
    8 Maana atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji, Uenezao mizizi yake karibu na mto; Hautaona hofu wakati wa hari ujapo, Bali jani lake litakuwa bichi; Wala hautahangaika mwaka wa uchache wa mvua, Wala hautaacha kuzaa matunda.

    • @kitosio
      @kitosio Před rokem

      Bwana gani huyo. Kwanza huyo bwana unayemjuwa wewe siye. Yesu ni mtume A.S. Wawatetea wapigaji. Tokea lini Slaa kutetea Nchi. Huyu ni njaa na tuziache trillion 26 kutoka trillion 7 kwasababu ya hawa wapigaji. Wamenasa mtegoni na sasa HIVI washajuilikana kumbe ndio hao. Mzee Magu aliwasaka Sana walijificha lkn sasa wamezuka automatic mchanaaaaaa. Hawa hawafai kuwemo ndani ya CCM cause NI wApigaji bandarini.

    • @kitosio
      @kitosio Před rokem +1

      1. Sema الله ni mmoja
      2. الله ndio anastahiki kuombwa hajaza waja
      3.Hakuzaa wala hakuzaliwa
      4. Na Hana mfano wake

    • @mwassamwassa7264
      @mwassamwassa7264 Před rokem

      ​@@kitosioKama hakuza mbona Shetani ambaye ni mwislamu ana watoto bila mke,soma kitabu asili ya majini ndiyo utajua hayo

    • @judicalosika7642
      @judicalosika7642 Před rokem

      ​@@mwassamwassa7264 Acheni masuala ya DINI.
      HAMJUI TUMEOANA?????

    • @judicalosika7642
      @judicalosika7642 Před rokem

      Mama,.Kwa jinsi hii mbona kaam nchi om imejigawaa?!¡!!

  • @christophermalango1433
    @christophermalango1433 Před rokem +2

    Asante sana Mungu mwema

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole7441 Před rokem +25

    THIS IS TRUE MAN OF GOD...MSIMAMO THABITI.

  • @jumakilinja6341
    @jumakilinja6341 Před rokem +22

    Nchi yetu inaenda pabaya sana,ila mungu ni mwema sana anajua yaliyo ndani ya mioyo ya wanadamu,hakika nchi hii itaanguka

    • @anafikamugisha8834
      @anafikamugisha8834 Před rokem +1

      Endelea kuomba na kutoa unabii unao kinzana na mpango wa adui, hata kama unaona hivyo Imani yako ndiyo tarajio lako kili mema kataa usiyoyataka kwa wkt Wake Mungu atafanya jambo ktk NCH hii kinyume na maadui wa Mungu

  • @user-kq1rv4bm4n
    @user-kq1rv4bm4n Před rokem +6

    Amen.mwenyezi mungu atalipa kwa mabaya wayafanyao waovu hao

  • @Pastorsteverotali
    @Pastorsteverotali Před rokem +9

    Watumishi tuko pamoja na wote wanao tetea nchi yetu Mungu hata waacha kabisa.

  • @EdwardMarera-le5qt
    @EdwardMarera-le5qt Před rokem +8

    Tupo pamoja kutetea Taifa letu kwa namna yoyote ambayo Mungu atatuonyesha

  • @CHRISTOPHERKIMWAGA
    @CHRISTOPHERKIMWAGA Před rokem +25

    Kweli mungu atawaazibu hao wanyanganyi wa nchi hii

    • @salumjuma9072
      @salumjuma9072 Před rokem

      UTAANZA KUADHIBIWA WEWE KWANZA KWA JINA LA ALLAH

    • @adriannebatakanwa6904
      @adriannebatakanwa6904 Před rokem +4

      Msicheze na Mungu Aliye hai. Hilo tamko la kukabidhi watu kwa machifu waadhibu watu huko ni kutegemea uchawi na mizimu. Mungu Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo imefika wakati ufanye maamuzi mazito juu ya Taifa la Tanzania.

    • @kefajoseph158
      @kefajoseph158 Před rokem +1

      @@salumjuma9072 waisilamu nyie tunawajuwa mnaabudu shetani

    • @alhadajjmohammedsmith9042
      @alhadajjmohammedsmith9042 Před rokem

      @@salumjuma9072
      Dua litamrejea Mwenyewe Kwa Wizi wa Sadaqa za Waumini na kuabudu Viumbe

    • @stevinedson
      @stevinedson Před rokem +1

      MUNGU ni zaidi ya machifu

  • @user-gv2zc2wd8x
    @user-gv2zc2wd8x Před rokem +2

    Pole sana mdogo wangu Tulia
    Kumbe ni muumini wa machifu wala sio MUNGU!!!!

  • @anithajustus50
    @anithajustus50 Před rokem +2

    Mungu akubariki mtumishi nakuombea uishi miaka mingi

  • @mrimimarwa6485
    @mrimimarwa6485 Před rokem +3

    amina mungu akulinde utokapo na uwingiapo pomoja na watanzania

  • @peternyambui7492
    @peternyambui7492 Před rokem +13

    Amen baba mchungaji...Mwenyezi Mungu akuzidishie maisha marefu sana..pia pole sana kwa kumpoteza mwanao...

  • @user-es4jm6jm6v
    @user-es4jm6jm6v Před rokem +2

    God bless you

  • @beatricefilbert1171
    @beatricefilbert1171 Před rokem +9

    Mungu muumba mbingu na nchi ulisema hutatuacha Tanzania 🇹🇿 Mungu tulinde we ndiye kimbilio letu na ngome yetu

  • @yohanamakoye1004
    @yohanamakoye1004 Před rokem +7

    Kila chifu alie kabidhiwa kuloga watanzania afe leo kwa jina la YESU KRISTO! Kila mtu aseme amina

  • @fabianenock1276
    @fabianenock1276 Před 11 měsíci +3

    Ubarikiwe sana Kwa maombi kwa ajili ya nchi yetu, ulindwe kwa damu ya Yesu

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 Před rokem +2

    MUNGU akulinde milele kwa kujitowa ku tetea wa Tanzania hili sio jambo jepesi MUNGU n'a azidi kwako milele amina

  • @user-iz3tu9vw8e
    @user-iz3tu9vw8e Před rokem +13

    Tunakuelewa mtu wa Mungu

  • @tumaini_nkinda
    @tumaini_nkinda Před rokem +17

    Mungu mtetee nakumlinda huyu mtumishi wako ktk Jina la Yesukristo Amen.

    • @tumaini_nkinda
      @tumaini_nkinda Před rokem +1

      Kukoka 3:7-10 Mungu amesikia kilio cha watanzania Mwanzo 9:6.

    • @tumaini_nkinda
      @tumaini_nkinda Před rokem +1

      Kutoka 3:7-10 Mwanzo 9:6. Mungu Ahsante kwakusikia kilio cha watanzania.

    • @salumjuma9072
      @salumjuma9072 Před rokem

      USIWE NA WASI WASI KARIBU HUYO MUNGU ATAMLINDA TULIA TUU MUNGU AMLINDE KWA KUWA TUKANA VIONGOZI WETU KWANINI KAMA WEWE UMEOKOKA USIMKATAZE KUTUKANA VIONGOZI WETU ETI MLINDE UMTETE ATALINDWA USIWE NA WASI WASI

    • @tumaini_nkinda
      @tumaini_nkinda Před rokem +2

      Zaburi 34:7. Zaburi 91:2-16. Mungu na akulinde kwa Jina la Yesukristo! Amen.

    • @woah.africa99
      @woah.africa99 Před rokem +1

      ​@@BobNgagi2023tena wazungu wanaleta ushoga wamekaa kimya watoto wako bora au bandari ikiwa africa watoto watakua mashoga bandari si ndio itapote rais mna chuki nae tu hajauza bandari sema mkataba uwe sawa na warabu ni matajiri sio mwizi ww

  • @lilykarim8968
    @lilykarim8968 Před rokem +3

    Amina mungu atafanya njia pasipo njia

  • @abrahamnyagawa1304
    @abrahamnyagawa1304 Před rokem +2

    Kiongozi,mch mwakipesile,jambo la Kwanza, MUNGU wa mbinguni, akubariki Sana na kukuinua.
    Pili;Taifa letu,tupate wapi tena,mtu kama wewe?umemlingana MUNGU,na biblia pia.Sema mtu wa MUNGU,na BWANA you Pamoja nawe.ninakushukuru sana.songa mbele, BWANA wa majeshi anakutangulia.asante Sana.

  • @danielmrashani8710
    @danielmrashani8710 Před rokem +2

    Very good keep it up

  • @jonasmushi5145
    @jonasmushi5145 Před rokem +12

    Tulia ni mshirikina! Mungu muumba wa mbingu na nchi amwaibishe mchana kweupe!

  • @daudcharles264
    @daudcharles264 Před rokem +7

    Kaz nzuri mtumishi wa mungu

  • @danielchacha1305
    @danielchacha1305 Před rokem +1

    Pole mtumishi! Aliyeko upande wetu ni mkuu kuliko walioko upande wao!! Sisi tuna Mungu ambaye ni Bwana wa majeshi asiyeshindwa. Wao wana wanadamu ambao watakufa tu. Hatutaweza kuwaogopa hata kidogo.

  • @nurumohammed1310
    @nurumohammed1310 Před 11 měsíci +1

    Amiin inshallah mungu yupo pamoja na cc 🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @user-ph5kq3ij9q
    @user-ph5kq3ij9q Před rokem +3

    Mungu akulinde akupenguvu zidi ya wakuwaziyao mabaya

  • @user-ig7tb1cf8z
    @user-ig7tb1cf8z Před rokem +6

    Maneno kama haya sikuwahi kuyasikia katika maisha yangu yote, leo ninapo yasikia ninaamini ni ishara ya anguko. Pole Nchi yangu Tanzania naona siku zinakuja za maombolezo

  • @DanielSinavangi
    @DanielSinavangi Před 11 měsíci +2

    Amen 🇹🇿🇹🇿 Tanzania yetu MUNGU lisimamie Taifa letu 🙏🙏🙏🇹🇿naipenda sana tena zaidi yasana😭😭😭😭

  • @bisamwansakanile7219
    @bisamwansakanile7219 Před 11 měsíci +1

    Asante mtumishi barikiwa sana Mungu wa mbinguni akutunze

  • @jolitabukabengwe3070
    @jolitabukabengwe3070 Před rokem +9

    Mliomuua MAGUFULI damu yake imeanza kuwatafuna. Laana haitamuacha mtu salama... Kwa Sasa inchi ipo engo mbaya sana.. Zibeni masikioni yenu tu .. lakini laana yake haitawaacha salama....

    • @BabaBalingasi-hp6gd
      @BabaBalingasi-hp6gd Před rokem

      Kwelii kabisa. Watajuta. Na mimi nataka wafe vifo vibaya na vya aibu...

  • @emanuelymichael9759
    @emanuelymichael9759 Před rokem +10

    Damu ya magufuli ilio mwagika inawaandama maana wa Tanzania tulilia sana kumlilia mungu tumpate wap mzalendo kama magufuli. Cc wananchi tupo tayr kwa maandamano tuifie nchi yetu

    • @BabaBalingasi-hp6gd
      @BabaBalingasi-hp6gd Před rokem +3

      Kwelii kabisa. Na wakatudanganya kuwa ni Corona. Daaa nataka walaaniwe kwelikweli. Magufuli alikuwa ni Raisi bora sana Africa. Daaa ilikuwa pigo kubwa kwetu Watanganyika Wazalendo Raisi Magu alipotutoka...

    • @emanuelymichael9759
      @emanuelymichael9759 Před rokem +1

      @@BabaBalingasi-hp6gd laana sasa inawatafuna na bado kila mmoja atalipwa na mungu kwa kadrii alivyo husika mungu atawa zihirisha siku sio nyingi maana hizi ni dalili tu.

    • @BabaBalingasi-hp6gd
      @BabaBalingasi-hp6gd Před rokem +1

      @@emanuelymichael9759 kabisa aiseee ningetaka hata wasifike 2025

    • @emanuelymichael9759
      @emanuelymichael9759 Před rokem +1

      @@BabaBalingasi-hp6gd miaka mi 3 mingi

  • @abdallahshaibu6106
    @abdallahshaibu6106 Před rokem +2

    Ewe MWENYEZI MUNGU simama katikati utuhukumu kwa haki yako

  • @shedrackmeli5045
    @shedrackmeli5045 Před rokem +2

    Mungu akulinde

  • @richardboaz-mashagospel2346

    Kikosi kazi karibuni tarehe 22 mwezi huu dar ili tuungane kusimamia vizuri hii safari ninyi ndio akina joshua na akina kareb

    • @Bikhafija
      @Bikhafija Před rokem +1

      Rais Samia kamtuma mkuu wa mkoa chalamila apeleke Sayaka kanisani kajua kakosea eti na yeye pia ana hofu

    • @Bikhafija
      @Bikhafija Před rokem

      Amiina

  • @fanuelruhaga2960
    @fanuelruhaga2960 Před rokem +26

    Ubarikiwe kwa nguvu za damu ya Yesu Kristo na wote wale wanaopingana na kuhodhiwa kwa Bandari yetu nao wavuviwe na roho Mtakatifu wawe na nguvu ya umoja kwa kuilinda nchi yetu AMINA

  • @mathiaspmashibe5696
    @mathiaspmashibe5696 Před rokem +2

    Yaani sisi utupambanishe na machief what a shame 😄😄😄😄😄😄😄😄 hebu chief mmoja asimame tumkaushe kwa Damu ya Yesu

  • @maxneemanngunda4911
    @maxneemanngunda4911 Před rokem +2

    Yeah man of God.

  • @ziyadanyandwi2908
    @ziyadanyandwi2908 Před rokem +8

    Mungu simama na wenye haki uokowe taifa lako

  • @nicholaswaemmanuel7221
    @nicholaswaemmanuel7221 Před rokem +3

    Eee Mungu sikia maombi ya huyu jasusi wako aliyeutoa uhai wake kwa ajili ya haki kwa watu wako. Sikia vilio vya watanzania na waafrika wanaouawa na waovu kinyumbu_nyumbu. Mlinde mtumishi wako dhidi ya hawa madubu wafu ili makusudi yako aliyoyabeba yakatimie sawa na mapenzi yako. Amen!

  • @KenedyMboma-zb4cq
    @KenedyMboma-zb4cq Před rokem +2

    Balikiwa mtumishi kwadamu ya YESU ameen

  • @dorismzumbwe8921
    @dorismzumbwe8921 Před rokem +2

    Yupo Mungu kwakweli.....ataonekana tuu.

  • @fredrickshantiwa9710
    @fredrickshantiwa9710 Před rokem +3

    Haleluya.... Hakika nimefurahi mnoooo

  • @eliakisinga5360
    @eliakisinga5360 Před rokem +8

    Mludishe bandari yetu kwa jina la yesu kristo msituchezee nchi hii wote tumejikutamo

  • @roseaidan-yo3rr
    @roseaidan-yo3rr Před rokem

    Amen amen àmen amen. Good bless you my father

  • @kitutujuma9602
    @kitutujuma9602 Před rokem +2

    Aisee hawa ccm wamepoza sanaa.
    Hawana mvuto,hawapendwi lkn wanatumia manguvu kwa manufaa yao pekee.
    Kiukweli mioyo yetu imechoka tayari.

  • @laiserkuyan6075
    @laiserkuyan6075 Před rokem +3

    Amaina mtumishi wa mungu Mungu Akuogoze uendelee kuipapania Taifa letu linauuswua na uyu mama mzanzibari pamoja na waziri mkuu majaliwa

  • @LusajoMwajeka-tf1nj
    @LusajoMwajeka-tf1nj Před rokem +3

    Asant mutumishi mungu akulinde hawa viongoz tunamajonzi

  • @christophermatupila7165
    @christophermatupila7165 Před rokem +2

    Mungu tutetee ktk hili janga la ccm

  • @tatoorashedi1787
    @tatoorashedi1787 Před rokem +2

    Amina mtumishi wa mungu mungu asimame mbele yetu

  • @joelmaroa4.
    @joelmaroa4. Před rokem +8

    Roho wa Mungu yu juu yako mch Mbarikiwa.

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 Před rokem +7

    Wewe hakika ni mtumishi wa Mungu

  • @eliassamson617
    @eliassamson617 Před rokem +2

    Ee Mungu Baba, ni mkono wako tu ndiyo tu utakaotukomboa Watanzania nyoosha mkono wako Ee Bwana utukomboe kwa Jina la mwanao YESU Kristo Amina!

  • @jofreymbembela7810
    @jofreymbembela7810 Před rokem +7

    AMEN AMEN BABA.

  • @petermwenda6470
    @petermwenda6470 Před rokem +7

    Lisipungue neno baba

  • @user-wb8xg4st1w
    @user-wb8xg4st1w Před 10 měsíci +1

    Amina maombi yako ni maombi ya wengi tukitamani haki hivyo tuko pamoja mkuu

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 Před rokem +1

    Asante sn Mtumishi wa Mungu , kwa Maombi mazuri❤

  • @Byondorujulika17
    @Byondorujulika17 Před rokem +4

    Hii kali, mutumishi wa Bwana ujumbe umeeleweka, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸

  • @Satier47
    @Satier47 Před rokem +20

    Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🎉

  • @mamasmartcollection7063
    @mamasmartcollection7063 Před rokem +1

    Wao wamekuja kwa miungu mimi nakuja kwa jina la Bwana wa majeshi Mungu wa
    Majeshi ya Israeli leo ninyi viongozi mnao fanya hovyo kwenye nchi hi ambayo ni agano la Mungu leo Bwana atawatia mkononi mwangu na kuwateka nyara miungu yote y kichifu kwa jina la YESU n ijulikane leo kwamba yeye ni Mungu wa miungu Bwana wama BWANA mtakatifu wa watakatifu,muumba mbingu na nchi,naikabidhi nchi y Tanzania mikononi mwako we Bwana Mungu ulie hai milele n milele 🙏🙏

  • @bnmwasuku3210
    @bnmwasuku3210 Před rokem +1

    BARIKIWA SANA NA MUNGU WAMBINGUN

  • @ChrisMwilafi
    @ChrisMwilafi Před rokem +18

    Be blessed pastor

  • @MUSSAPAUL-qo8hj
    @MUSSAPAUL-qo8hj Před rokem +6

    Amen Amen🙏🙏

  • @mellandc3995
    @mellandc3995 Před rokem +2

    Amina ❤

  • @indalesiohenery6124
    @indalesiohenery6124 Před rokem +1

    Umetumwa na Mungu sio akiliyako baba na Mungu Akitangulie kweli ni kikosi kazi

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Před rokem +3

    Mungu tunakuomba uirinde Tanzania tunakutegemeq hakuna mwingine