Amen Eee Mungu simama na taifa letu nyosha mkono wako lipiganie taifa letu na udharimu wa watawala na dhuruma juu ya rasilimali za nchi yetu wasimamie watanzania katika kipindi hiki kigumu wanachopitia ukawe sauti ya kutusemea watanzania wanyonge juu ya watawala wanaokandamiza haki uhuru wa maisha yao kainue watumishi watu wako wa kututetea kasimame juu ya watawala ili wakujue kuwa wewe ni Mungu
AMEN,ninaamini sana ktk uweza wa Mungu mtakatifu hakuna mamlaka yoyote ya mapepo inayoweza kuishinda mamlaka ya Mungu kwa maombi hayo ya mtumishi wa Mungu aliyehai kitaeleweka
Mungu akubariki Mtu wa Mungu ,haki kwanza bandari ibaki kwa wananchi,viongozi wetu wawaelewe wenye nchi,Mungu akulinde na akuhifadhi vyema ndani ya taifa lako.
Mungu Mkuu, hata lini unakwenda kusikiliza sauti ya kilio cha Watanzania? Wewe Mungu ni mwenye haki. Saa ya ukombozi ikifika tu, ukombozi wa kweli unakwenda kutokea katika Nchi hii. Amina.
Mungu hawez shindwa kwamachifu na wachawi wote hao nivifinyango vimefinyangwa Kwa mikono yake mungu atatenda vita vyetu si vya dam na nyama mungu awashughulikie
@@coolpara8192 Haha huna hoja, nenda kwa mwamposa uone ndugu zako wanaomuita yesu kama wewe, wako kule na hijabu zao kila jumapili wanasema yesu ni Mungu, wanasema yesu kaniponya... 🤣🤣🤣 nenda kawaulize ndugu zako hao wakupe jibu yesu ni Mungu au la!!
@@kefajoseph158yesu anakujua ww alie ibiwa na wazungu mnafata wazungu wanawaita manyani mwamposa si ndio.fremason kwa kumsingizia yesu yani isa amuache ibrahim na akufate ww na mzungu kwa kumsingizia wapi chuki mmezidi
Machozi ya watanzania yata futwa na mungu wa mbinu na ardhi na vilivyo ndani yake. Tanzania ni ya watanzania wenyewe na siyo muwekezaji. Rest in power magufuli , Julius nyerere true son of Afrika ❤
Maana ya Mwanaume ni uwezo wa kusimama peke yako katika kile unachokiamini bila kujali ni wangapi wanakupinga na wana uwezo mkubwa kiasi gani. Tofauti na kwamba wewe ni mtumishi wa Mungu hakika Mbarikiwa ni Mwanaume, nilichojifunza kwako ni Msimamo thabiti umebarikiwa Sana
@@hassanmsumari1200 Ee Mungu Wa Yakobo na Israel utujibu sala zetu Ee mungu Sikia kilio chetu Ee Mungu wetu simama na Wenye haki SIKIA KILIO CHETU MUNGU WA HURUMA
Yeremia 17 5 Bwana asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha Bwana. 6 Maana atakuwa kama fukara nyikani, Hataona yatakapotokea mema; Bali atakaa jangwani palipo ukame, Katika nchi ya chumvi isiyokaliwa na watu. 7 Amebarikiwa mtu yule anayemtegemea Bwana, Ambaye Bwana ni tumaini lake. 8 Maana atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji, Uenezao mizizi yake karibu na mto; Hautaona hofu wakati wa hari ujapo, Bali jani lake litakuwa bichi; Wala hautahangaika mwaka wa uchache wa mvua, Wala hautaacha kuzaa matunda.
Bwana gani huyo. Kwanza huyo bwana unayemjuwa wewe siye. Yesu ni mtume A.S. Wawatetea wapigaji. Tokea lini Slaa kutetea Nchi. Huyu ni njaa na tuziache trillion 26 kutoka trillion 7 kwasababu ya hawa wapigaji. Wamenasa mtegoni na sasa HIVI washajuilikana kumbe ndio hao. Mzee Magu aliwasaka Sana walijificha lkn sasa wamezuka automatic mchanaaaaaa. Hawa hawafai kuwemo ndani ya CCM cause NI wApigaji bandarini.
Endelea kuomba na kutoa unabii unao kinzana na mpango wa adui, hata kama unaona hivyo Imani yako ndiyo tarajio lako kili mema kataa usiyoyataka kwa wkt Wake Mungu atafanya jambo ktk NCH hii kinyume na maadui wa Mungu
Msicheze na Mungu Aliye hai. Hilo tamko la kukabidhi watu kwa machifu waadhibu watu huko ni kutegemea uchawi na mizimu. Mungu Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo imefika wakati ufanye maamuzi mazito juu ya Taifa la Tanzania.
USIWE NA WASI WASI KARIBU HUYO MUNGU ATAMLINDA TULIA TUU MUNGU AMLINDE KWA KUWA TUKANA VIONGOZI WETU KWANINI KAMA WEWE UMEOKOKA USIMKATAZE KUTUKANA VIONGOZI WETU ETI MLINDE UMTETE ATALINDWA USIWE NA WASI WASI
@@BobNgagi2023tena wazungu wanaleta ushoga wamekaa kimya watoto wako bora au bandari ikiwa africa watoto watakua mashoga bandari si ndio itapote rais mna chuki nae tu hajauza bandari sema mkataba uwe sawa na warabu ni matajiri sio mwizi ww
Kiongozi,mch mwakipesile,jambo la Kwanza, MUNGU wa mbinguni, akubariki Sana na kukuinua. Pili;Taifa letu,tupate wapi tena,mtu kama wewe?umemlingana MUNGU,na biblia pia.Sema mtu wa MUNGU,na BWANA you Pamoja nawe.ninakushukuru sana.songa mbele, BWANA wa majeshi anakutangulia.asante Sana.
Pole mtumishi! Aliyeko upande wetu ni mkuu kuliko walioko upande wao!! Sisi tuna Mungu ambaye ni Bwana wa majeshi asiyeshindwa. Wao wana wanadamu ambao watakufa tu. Hatutaweza kuwaogopa hata kidogo.
Maneno kama haya sikuwahi kuyasikia katika maisha yangu yote, leo ninapo yasikia ninaamini ni ishara ya anguko. Pole Nchi yangu Tanzania naona siku zinakuja za maombolezo
Mliomuua MAGUFULI damu yake imeanza kuwatafuna. Laana haitamuacha mtu salama... Kwa Sasa inchi ipo engo mbaya sana.. Zibeni masikioni yenu tu .. lakini laana yake haitawaacha salama....
Damu ya magufuli ilio mwagika inawaandama maana wa Tanzania tulilia sana kumlilia mungu tumpate wap mzalendo kama magufuli. Cc wananchi tupo tayr kwa maandamano tuifie nchi yetu
Kwelii kabisa. Na wakatudanganya kuwa ni Corona. Daaa nataka walaaniwe kwelikweli. Magufuli alikuwa ni Raisi bora sana Africa. Daaa ilikuwa pigo kubwa kwetu Watanganyika Wazalendo Raisi Magu alipotutoka...
@@BabaBalingasi-hp6gd laana sasa inawatafuna na bado kila mmoja atalipwa na mungu kwa kadrii alivyo husika mungu atawa zihirisha siku sio nyingi maana hizi ni dalili tu.
Ubarikiwe kwa nguvu za damu ya Yesu Kristo na wote wale wanaopingana na kuhodhiwa kwa Bandari yetu nao wavuviwe na roho Mtakatifu wawe na nguvu ya umoja kwa kuilinda nchi yetu AMINA
Eee Mungu sikia maombi ya huyu jasusi wako aliyeutoa uhai wake kwa ajili ya haki kwa watu wako. Sikia vilio vya watanzania na waafrika wanaouawa na waovu kinyumbu_nyumbu. Mlinde mtumishi wako dhidi ya hawa madubu wafu ili makusudi yako aliyoyabeba yakatimie sawa na mapenzi yako. Amen!
Wao wamekuja kwa miungu mimi nakuja kwa jina la Bwana wa majeshi Mungu wa Majeshi ya Israeli leo ninyi viongozi mnao fanya hovyo kwenye nchi hi ambayo ni agano la Mungu leo Bwana atawatia mkononi mwangu na kuwateka nyara miungu yote y kichifu kwa jina la YESU n ijulikane leo kwamba yeye ni Mungu wa miungu Bwana wama BWANA mtakatifu wa watakatifu,muumba mbingu na nchi,naikabidhi nchi y Tanzania mikononi mwako we Bwana Mungu ulie hai milele n milele 🙏🙏
Amen..Wahuni hawa wakapotee wakaanguke mmoja mmoja na wasionekane tena kwenye uso wa dunia.Amen.
Amen
Amen
Mungu anasikia maombi ya wenye haki,naamini Mungu yuko kazini kulikomboa Taifa
Niko pamoja na wewe Baba, wapigweeeeeee machifu na viongozi wa hivyo kwa jina la Yesu.Amen.
Ameen mchungaji watanzania tuko nyuma yako ,asante sana ,...ee Mungu tusaidie sana
Mungu wa mbinguni tusaidie simama kwa miguu yako Bwana
😊
Mambo mengine yooote sawa ila CHADEMA hapo umeikwaa mchungaji. Waqpinzani wakwel ni Chdema na 2025 tunachukua nchi.Peopleeeeeeessssss✌✌✌
Mungu sikia maombi ya mtumishi wako huyu Amen
Amen Man of God
MUNGU sikia maombi ya mtumishi wako alie jitoa kwa ajili ya haki, MUNGU sikia maombi ya watanzania tunalia tunaugua.
Amina
Amina
Amen Eee Mungu simama na taifa letu nyosha mkono wako lipiganie taifa letu na udharimu wa watawala na dhuruma juu ya rasilimali za nchi yetu wasimamie watanzania katika kipindi hiki kigumu wanachopitia ukawe sauti ya kutusemea watanzania wanyonge juu ya watawala wanaokandamiza haki uhuru wa maisha yao kainue watumishi watu wako wa kututetea kasimame juu ya watawala ili wakujue kuwa wewe ni Mungu
AMEN,ninaamini sana ktk uweza wa Mungu mtakatifu hakuna mamlaka yoyote ya mapepo inayoweza kuishinda mamlaka ya Mungu kwa maombi hayo ya mtumishi wa Mungu aliyehai kitaeleweka
Mungu akubariki Mtu wa Mungu ,haki kwanza bandari ibaki kwa wananchi,viongozi wetu wawaelewe wenye nchi,Mungu akulinde na akuhifadhi vyema ndani ya taifa lako.
Mungu Mkuu, hata lini unakwenda kusikiliza sauti ya kilio cha Watanzania?
Wewe Mungu ni mwenye haki. Saa ya ukombozi ikifika tu, ukombozi wa kweli unakwenda kutokea katika Nchi hii.
Amina.
Amen 🙏🙏 mtu wa mungu,, waambie ukweli labda watakuelewa,kabla hawaja chelewa.
Mungu hawez shindwa kwamachifu na wachawi wote hao nivifinyango vimefinyangwa Kwa mikono yake mungu atatenda vita vyetu si vya dam na nyama mungu awashughulikie
Msalaba ndio asili ya ushindi wetu.. Tunashinda na zaidi ya kushinda
Awamu hii ni moto moto, na hawa wa mama wanajitafutia laana za watanzania bora watulie tu... Mungu wetu ni mkubwa sana.
Yesu kwan ni Mungu Wacha ushirikina na ukafir
@@coolpara8192 Haha huna hoja, nenda kwa mwamposa uone ndugu zako wanaomuita yesu kama wewe, wako kule na hijabu zao kila jumapili wanasema yesu ni Mungu, wanasema yesu kaniponya... 🤣🤣🤣 nenda kawaulize ndugu zako hao wakupe jibu yesu ni Mungu au la!!
@@coolpara8192 waisilamu tunawajuwa mnaabudu shetani hamuwezi kuona wema wa YESU kiristo aliye hai
@@richardboaz-mashagospel2346wewe kafir izo hijab zawagaratia wanavaa ili kuficha ushirikina wenu ..usione baibui ukazan waislamu acha ubwege wako 😂
@@kefajoseph158yesu anakujua ww alie ibiwa na wazungu mnafata wazungu wanawaita manyani mwamposa si ndio.fremason kwa kumsingizia yesu yani isa amuache ibrahim na akufate ww na mzungu kwa kumsingizia wapi chuki mmezidi
Emungu wangu uisikie kilio hichi jionyeshe mungu
Mungu inusuru nchi yetu
Big Amen mtumishi wa Mungu 🙏🙏🙏
Mungu adhalilishe wote wnyonyaji
Machozi ya watanzania yata futwa na mungu wa mbinu na ardhi na vilivyo ndani yake. Tanzania ni ya watanzania wenyewe na siyo muwekezaji. Rest in power magufuli , Julius nyerere true son of Afrika ❤
Roho ya Eliya ijuu ya mbarikiwa, kunatukio lajaa kutoka kwa Mungu
Mbalikiwa una akili sana, ubongo wako unafanya kazi vizuri sana, uko smart. Hongera
Maana ya Mwanaume ni uwezo wa kusimama peke yako katika kile unachokiamini bila kujali ni wangapi wanakupinga na wana uwezo mkubwa kiasi gani. Tofauti na kwamba wewe ni mtumishi wa Mungu hakika Mbarikiwa ni Mwanaume, nilichojifunza kwako ni Msimamo thabiti umebarikiwa Sana
Maombi yangu usiku wa leo Samia, Tulie,Majarie alaanie.Aliyaona haya Ndugai kuwa nchi inauzwa
Tushangilie kwasababu Samia ameshaondolewa kwenye kiti tayari ktk ulimwengu wa roho, ndivyo itakavyokuwa
Mungu afundisha watu katika njia zake. Hakika kazi yake itakamilika kwa wakati wake
This is the real man of God...God bless you man of God.
Mungu okoa taifa letu nzuri ambalo umetupa. Usiwaache hawa wafilisiti wasio tahiriwa wadhihaki ukuu wako.
Mungu ziangushe falme za giza katika jina la YESU
Ngoja tuwakabidhi kwa mungu tu, mungu shugulika nao amen🙏🏽🙏🏽
Ubarikiwe mtumishi
Amina mtumishi wa Mungu maneno yako Mungu ayakusanye ayakusanye
Hasira ya Mungu itakuwa juu ya viongozi wote wa ccm
Bangi iyo
@@hassanmsumari1200
Ee Mungu Wa Yakobo na Israel utujibu sala zetu
Ee mungu
Sikia kilio chetu
Ee Mungu wetu simama na Wenye haki
SIKIA KILIO CHETU MUNGU WA HURUMA
Safi sana Kwa harakati hizo hawa hawafai kuwepo katika ulimwengu wa wanyonge hatutaki utumwa
Yeremia 17
5 Bwana asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha Bwana.
6 Maana atakuwa kama fukara nyikani, Hataona yatakapotokea mema; Bali atakaa jangwani palipo ukame, Katika nchi ya chumvi isiyokaliwa na watu.
7 Amebarikiwa mtu yule anayemtegemea Bwana, Ambaye Bwana ni tumaini lake.
8 Maana atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji, Uenezao mizizi yake karibu na mto; Hautaona hofu wakati wa hari ujapo, Bali jani lake litakuwa bichi; Wala hautahangaika mwaka wa uchache wa mvua, Wala hautaacha kuzaa matunda.
Bwana gani huyo. Kwanza huyo bwana unayemjuwa wewe siye. Yesu ni mtume A.S. Wawatetea wapigaji. Tokea lini Slaa kutetea Nchi. Huyu ni njaa na tuziache trillion 26 kutoka trillion 7 kwasababu ya hawa wapigaji. Wamenasa mtegoni na sasa HIVI washajuilikana kumbe ndio hao. Mzee Magu aliwasaka Sana walijificha lkn sasa wamezuka automatic mchanaaaaaa. Hawa hawafai kuwemo ndani ya CCM cause NI wApigaji bandarini.
1. Sema الله ni mmoja
2. الله ndio anastahiki kuombwa hajaza waja
3.Hakuzaa wala hakuzaliwa
4. Na Hana mfano wake
@@kitosioKama hakuza mbona Shetani ambaye ni mwislamu ana watoto bila mke,soma kitabu asili ya majini ndiyo utajua hayo
@@mwassamwassa7264 Acheni masuala ya DINI.
HAMJUI TUMEOANA?????
Mama,.Kwa jinsi hii mbona kaam nchi om imejigawaa?!¡!!
Asante sana Mungu mwema
THIS IS TRUE MAN OF GOD...MSIMAMO THABITI.
Nchi yetu inaenda pabaya sana,ila mungu ni mwema sana anajua yaliyo ndani ya mioyo ya wanadamu,hakika nchi hii itaanguka
Endelea kuomba na kutoa unabii unao kinzana na mpango wa adui, hata kama unaona hivyo Imani yako ndiyo tarajio lako kili mema kataa usiyoyataka kwa wkt Wake Mungu atafanya jambo ktk NCH hii kinyume na maadui wa Mungu
Amen.mwenyezi mungu atalipa kwa mabaya wayafanyao waovu hao
Watumishi tuko pamoja na wote wanao tetea nchi yetu Mungu hata waacha kabisa.
Tupo pamoja kutetea Taifa letu kwa namna yoyote ambayo Mungu atatuonyesha
Kweli mungu atawaazibu hao wanyanganyi wa nchi hii
UTAANZA KUADHIBIWA WEWE KWANZA KWA JINA LA ALLAH
Msicheze na Mungu Aliye hai. Hilo tamko la kukabidhi watu kwa machifu waadhibu watu huko ni kutegemea uchawi na mizimu. Mungu Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo imefika wakati ufanye maamuzi mazito juu ya Taifa la Tanzania.
@@salumjuma9072 waisilamu nyie tunawajuwa mnaabudu shetani
@@salumjuma9072
Dua litamrejea Mwenyewe Kwa Wizi wa Sadaqa za Waumini na kuabudu Viumbe
MUNGU ni zaidi ya machifu
Pole sana mdogo wangu Tulia
Kumbe ni muumini wa machifu wala sio MUNGU!!!!
Mungu akubariki mtumishi nakuombea uishi miaka mingi
amina mungu akulinde utokapo na uwingiapo pomoja na watanzania
Amen baba mchungaji...Mwenyezi Mungu akuzidishie maisha marefu sana..pia pole sana kwa kumpoteza mwanao...
God bless you
Mungu muumba mbingu na nchi ulisema hutatuacha Tanzania 🇹🇿 Mungu tulinde we ndiye kimbilio letu na ngome yetu
Amen
Ameen
Kila chifu alie kabidhiwa kuloga watanzania afe leo kwa jina la YESU KRISTO! Kila mtu aseme amina
Usiombe hivyo MUNGU hapendi
Amina
Ubarikiwe sana Kwa maombi kwa ajili ya nchi yetu, ulindwe kwa damu ya Yesu
MUNGU akulinde milele kwa kujitowa ku tetea wa Tanzania hili sio jambo jepesi MUNGU n'a azidi kwako milele amina
Tunakuelewa mtu wa Mungu
Mungu mtetee nakumlinda huyu mtumishi wako ktk Jina la Yesukristo Amen.
Kukoka 3:7-10 Mungu amesikia kilio cha watanzania Mwanzo 9:6.
Kutoka 3:7-10 Mwanzo 9:6. Mungu Ahsante kwakusikia kilio cha watanzania.
USIWE NA WASI WASI KARIBU HUYO MUNGU ATAMLINDA TULIA TUU MUNGU AMLINDE KWA KUWA TUKANA VIONGOZI WETU KWANINI KAMA WEWE UMEOKOKA USIMKATAZE KUTUKANA VIONGOZI WETU ETI MLINDE UMTETE ATALINDWA USIWE NA WASI WASI
Zaburi 34:7. Zaburi 91:2-16. Mungu na akulinde kwa Jina la Yesukristo! Amen.
@@BobNgagi2023tena wazungu wanaleta ushoga wamekaa kimya watoto wako bora au bandari ikiwa africa watoto watakua mashoga bandari si ndio itapote rais mna chuki nae tu hajauza bandari sema mkataba uwe sawa na warabu ni matajiri sio mwizi ww
Amina mungu atafanya njia pasipo njia
Kiongozi,mch mwakipesile,jambo la Kwanza, MUNGU wa mbinguni, akubariki Sana na kukuinua.
Pili;Taifa letu,tupate wapi tena,mtu kama wewe?umemlingana MUNGU,na biblia pia.Sema mtu wa MUNGU,na BWANA you Pamoja nawe.ninakushukuru sana.songa mbele, BWANA wa majeshi anakutangulia.asante Sana.
Very good keep it up
Tulia ni mshirikina! Mungu muumba wa mbingu na nchi amwaibishe mchana kweupe!
Kaz nzuri mtumishi wa mungu
Pole mtumishi! Aliyeko upande wetu ni mkuu kuliko walioko upande wao!! Sisi tuna Mungu ambaye ni Bwana wa majeshi asiyeshindwa. Wao wana wanadamu ambao watakufa tu. Hatutaweza kuwaogopa hata kidogo.
Amiin inshallah mungu yupo pamoja na cc 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Mungu akulinde akupenguvu zidi ya wakuwaziyao mabaya
Maneno kama haya sikuwahi kuyasikia katika maisha yangu yote, leo ninapo yasikia ninaamini ni ishara ya anguko. Pole Nchi yangu Tanzania naona siku zinakuja za maombolezo
Amen 🇹🇿🇹🇿 Tanzania yetu MUNGU lisimamie Taifa letu 🙏🙏🙏🇹🇿naipenda sana tena zaidi yasana😭😭😭😭
Asante mtumishi barikiwa sana Mungu wa mbinguni akutunze
Mliomuua MAGUFULI damu yake imeanza kuwatafuna. Laana haitamuacha mtu salama... Kwa Sasa inchi ipo engo mbaya sana.. Zibeni masikioni yenu tu .. lakini laana yake haitawaacha salama....
Kwelii kabisa. Watajuta. Na mimi nataka wafe vifo vibaya na vya aibu...
Damu ya magufuli ilio mwagika inawaandama maana wa Tanzania tulilia sana kumlilia mungu tumpate wap mzalendo kama magufuli. Cc wananchi tupo tayr kwa maandamano tuifie nchi yetu
Kwelii kabisa. Na wakatudanganya kuwa ni Corona. Daaa nataka walaaniwe kwelikweli. Magufuli alikuwa ni Raisi bora sana Africa. Daaa ilikuwa pigo kubwa kwetu Watanganyika Wazalendo Raisi Magu alipotutoka...
@@BabaBalingasi-hp6gd laana sasa inawatafuna na bado kila mmoja atalipwa na mungu kwa kadrii alivyo husika mungu atawa zihirisha siku sio nyingi maana hizi ni dalili tu.
@@emanuelymichael9759 kabisa aiseee ningetaka hata wasifike 2025
@@BabaBalingasi-hp6gd miaka mi 3 mingi
Ewe MWENYEZI MUNGU simama katikati utuhukumu kwa haki yako
Mungu akulinde
Kikosi kazi karibuni tarehe 22 mwezi huu dar ili tuungane kusimamia vizuri hii safari ninyi ndio akina joshua na akina kareb
Rais Samia kamtuma mkuu wa mkoa chalamila apeleke Sayaka kanisani kajua kakosea eti na yeye pia ana hofu
Amiina
Ubarikiwe kwa nguvu za damu ya Yesu Kristo na wote wale wanaopingana na kuhodhiwa kwa Bandari yetu nao wavuviwe na roho Mtakatifu wawe na nguvu ya umoja kwa kuilinda nchi yetu AMINA
Tusaidie mungu kwa kila jambo
Public coments
Maombi haya, ni kwa utetezi wa umma, au yanachochewa na uchungu/chuki binafsi ?
Watuachie bandari zete
Amen
Yaani sisi utupambanishe na machief what a shame 😄😄😄😄😄😄😄😄 hebu chief mmoja asimame tumkaushe kwa Damu ya Yesu
Yeah man of God.
Mungu simama na wenye haki uokowe taifa lako
Eee Mungu sikia maombi ya huyu jasusi wako aliyeutoa uhai wake kwa ajili ya haki kwa watu wako. Sikia vilio vya watanzania na waafrika wanaouawa na waovu kinyumbu_nyumbu. Mlinde mtumishi wako dhidi ya hawa madubu wafu ili makusudi yako aliyoyabeba yakatimie sawa na mapenzi yako. Amen!
Balikiwa mtumishi kwadamu ya YESU ameen
Yupo Mungu kwakweli.....ataonekana tuu.
Haleluya.... Hakika nimefurahi mnoooo
Mludishe bandari yetu kwa jina la yesu kristo msituchezee nchi hii wote tumejikutamo
Amen amen àmen amen. Good bless you my father
Aisee hawa ccm wamepoza sanaa.
Hawana mvuto,hawapendwi lkn wanatumia manguvu kwa manufaa yao pekee.
Kiukweli mioyo yetu imechoka tayari.
Amaina mtumishi wa mungu Mungu Akuogoze uendelee kuipapania Taifa letu linauuswua na uyu mama mzanzibari pamoja na waziri mkuu majaliwa
Asant mutumishi mungu akulinde hawa viongoz tunamajonzi
Mungu tutetee ktk hili janga la ccm
Amina mtumishi wa mungu mungu asimame mbele yetu
Roho wa Mungu yu juu yako mch Mbarikiwa.
Wewe hakika ni mtumishi wa Mungu
Ee Mungu Baba, ni mkono wako tu ndiyo tu utakaotukomboa Watanzania nyoosha mkono wako Ee Bwana utukomboe kwa Jina la mwanao YESU Kristo Amina!
AMEN AMEN BABA.
Lisipungue neno baba
Amina maombi yako ni maombi ya wengi tukitamani haki hivyo tuko pamoja mkuu
Asante sn Mtumishi wa Mungu , kwa Maombi mazuri❤
Hii kali, mutumishi wa Bwana ujumbe umeeleweka, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸
Mtumishi ametoa neno. Bandari imekuwa sintofahamu 😢
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🎉
Kumbe tunasipika mshirikina kiasi hiki
acheni.unafiki.mapumba.nyie
Amen
Wao wamekuja kwa miungu mimi nakuja kwa jina la Bwana wa majeshi Mungu wa
Majeshi ya Israeli leo ninyi viongozi mnao fanya hovyo kwenye nchi hi ambayo ni agano la Mungu leo Bwana atawatia mkononi mwangu na kuwateka nyara miungu yote y kichifu kwa jina la YESU n ijulikane leo kwamba yeye ni Mungu wa miungu Bwana wama BWANA mtakatifu wa watakatifu,muumba mbingu na nchi,naikabidhi nchi y Tanzania mikononi mwako we Bwana Mungu ulie hai milele n milele 🙏🙏
BARIKIWA SANA NA MUNGU WAMBINGUN
Be blessed pastor
Amen Amen🙏🙏
Amina ❤
Umetumwa na Mungu sio akiliyako baba na Mungu Akitangulie kweli ni kikosi kazi
Mungu tunakuomba uirinde Tanzania tunakutegemeq hakuna mwingine