HOJA ZA DP WORLD HALIMA MDEE NA SPIKA WATIBUANA VIKALI/SISI SOTE NI WANASHERIA TUELEWANE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 06. 2023

Komentáře • 373

  • @eugenyraphael4334
    @eugenyraphael4334 Před rokem +13

    Mimi sipo,ila msikilizeni Halima kwanza alafu uchama baadae

  • @GeogeMagari-bq4bp
    @GeogeMagari-bq4bp Před rokem +8

    Mmh spika kanishinda Tabia halima mungu azidi kukupa maono yakuona mbal

  • @user-by9fz4mw5y
    @user-by9fz4mw5y Před rokem +7

    Nakukubali sana halima mungu akutetee na akulinde na hawa mafisadi wasije kukufanya kama amina chifupa

  • @festoyakobo
    @festoyakobo Před rokem +5

    Hilo bunge naona wabunge wanaounga mkono mkataba hawajawa na sehemu ya uelewa kwenye Ubongo wao , dada halima MUNGU awe na naw daima cmama kwakweli

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Před rokem +8

    HALIMA MDEE safiiiiiii sana teteeni haki zaa wana nchi

  • @atheeralmusanah3904
    @atheeralmusanah3904 Před rokem +10

    Halima mdee wewe ni kichwa sana yani huyo spika ni zaidi ya fisadi huyo

  • @neemamakeja1054
    @neemamakeja1054 Před rokem +7

    Duuuh hatari sana , sheria inahitajika ifatwe aisee dada halima upo sahihi kabsaaa

  • @NainkwaMnyone-uc5or
    @NainkwaMnyone-uc5or Před rokem +9

    Viongozi wa nchi acheni ufisadi kuweni wazalendo kumbukeni mtahukumiwa na aliye juu.Hongera dada Mdee MUNGU akulinde

    • @mrishoathumani-wx7gq
      @mrishoathumani-wx7gq Před rokem +1

      Kama kweli mkataba hauna mwisho na unasema hauvunjiki Kwa namba yoyote,haiwezekani kuupitisha

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 Před 11 měsíci +6

    Halima safi sana, komaa mwanangu, ila pole kwa alivyokubana na kukupotezea dakika zako, uzalendo hoyeeee. Halima hoyeeeee.

  • @ArifMuhamed-jp9nr
    @ArifMuhamed-jp9nr Před rokem +9

    Halima mdee kazi mzur sijuw nikusifie vipi ili nimalize kiu yangu ila kiufupi you are very talented👍👍 tukiwa na watu watano tu kama wewe basi tungesonga mbele na ww ndo msomi uliesoma na unaeleweka

    • @richgambi6694
      @richgambi6694 Před rokem

      Vipi HUMU shida wabunge Wa CCM Ni wengi mnampinga hlm mdeee

  • @denismlwati3285
    @denismlwati3285 Před rokem +16

    Kweli wasomi wetu wamesomea kuibia watu tu😭😭😭

  • @philipomasudya-hy6fj
    @philipomasudya-hy6fj Před rokem +5

    Ahsant mheshimiwa Halima mdee umetishaaaah

  • @samirazuberi186
    @samirazuberi186 Před rokem +8

    Tulia kahongwa mihela ndio mna mnaona anawazuiya wazalendo kuendelea kutoa hoja zao

    • @notbulgamnenuka1766
      @notbulgamnenuka1766 Před 11 měsíci +1

      Hela za Nini hazina kazi kwake ,ataziacha tuu wataokota wengine ila ameshauza nchi Kwa waarabu mhhh

  • @hildamaziku4385
    @hildamaziku4385 Před rokem +12

    Nakukubali sana Halima James❤

  • @user-rr1lw7sz6h
    @user-rr1lw7sz6h Před rokem +5

    Halima james mungu azidi kuklinda unapointi nzr sana

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 Před rokem +15

    Huyu Tulia naye hatakiwi kurudi 2025 ni sehemu ya wauza nchi! Ningefurahi sehemu kubwa ya wabunge Hawa hawatakiwi kurudi bungeni tutawaadhibu labda kama huo mlungula mlichukua ili kuiuza hii nchi utawahukumu!

    • @hamispaul3214
      @hamispaul3214 Před rokem +1

      Ni kweli ukichunguza kwa makini tulia kama ana kitu ndani yake

    • @IgnasKiyanga-im3cv
      @IgnasKiyanga-im3cv Před 11 měsíci

      Ni sahihi kabisa , hasitahili kabisa, hata uanasheria wake unatia wasiwasi .

  • @ERICKSAM-wd1ni
    @ERICKSAM-wd1ni Před rokem +9

    Mngu akulinde dada yetu simama Imala

  • @PaulAnord-rt1tg
    @PaulAnord-rt1tg Před rokem +5

    Ivi we Mama Unacho kiongea unakierewa au sababu ni Spika Hongera Dadangu Mdee Mungu Akusimamie huyo Spika hajui anacho ongea sababu ni Spika Mungu Ata waukumu Acha Wafanye ivyo

  • @hamispaul3214
    @hamispaul3214 Před rokem +8

    Halima uko sawa kabisa kwa mchango wako / ila umenyimwa uhuru wa kuongea zaidi ya moyoni

  • @abeidndyamukama445
    @abeidndyamukama445 Před rokem +6

    Hayo yote yanatokana na msingi wa katiba mbovu ya nchi hivyo mwenye mkataba ni mwenye nyumba Wala siyo wabunge au sisi wapangishaji!

  • @steveg9659
    @steveg9659 Před rokem +12

    Jamani dada Halima mdee yupo sawa anakanushwa sababu ya chama chake so wanataka wamtoe mchezoni daaah sababu chama chake ndo tatizo yupo sahihi Sana Ila Mungu ataamua kuhusu Tanzania kama umenielewa mdau like nyingi kwangu 🙏🙏Mungu simama uitetee Tanzania yetu😭😭🙏🙏

    • @felixmsale9244
      @felixmsale9244 Před 10 měsíci

      Pia sema Mungu atuongezee nguvu na maono y kuendlea kuitetea Tzania .Mu gu hatakuja hapa kuitetea Tzania

  • @benedictndahani7192
    @benedictndahani7192 Před rokem +6

    hamna kuuza hiyo bandari tuwape Watanzania wenzetu🎉

  • @neemamajana3078
    @neemamajana3078 Před 10 měsíci +2

    ❤ Harima nakupenda sana siku zote kwa msimamo wako wa kutokuyumbishwa❤ Mungu akulinde sana na kukutetea.

  • @FebroniaMassawe
    @FebroniaMassawe Před rokem +5

    Nakukubali mwanangu mndee

  • @dicksonmagesa7602
    @dicksonmagesa7602 Před rokem +7

    Kwanza itakiwa nchi yetu itawaliwe na vijana unaona alivyoaema halima yeye anaona mbele sio alipo inamaana hakili yake inawaza kizazi kijacho sio mtu una zaidi ya miaka sitini bado mnangangania uongozi achieni wenye mawazo ya mbele

  • @user-fh1zm4sr7c
    @user-fh1zm4sr7c Před rokem +6

    Kwani kunahaja gani ya kuwapatia maana mkataba huo hauna baraka za wananchi kama vipi tupige kura😢😢😢

  • @emmanuelmbwambo6571
    @emmanuelmbwambo6571 Před rokem +3

    That's a good and beautiful woman in contribution 🤔.

  • @shadidumabote9262
    @shadidumabote9262 Před rokem +2

    Exlent Sana madam halima mdee uko sawa, kwanini wanakupinga ? Tatizo lao elimu za wabunge wetu elimu zao zinafanana, ndo tatizo na msiba watanzania

  • @gaudencevenance4707
    @gaudencevenance4707 Před rokem +2

    Yani kiongozi wa bunge anaonyesha dhahiri anatambua kinachoendelea. Kwnn mlete ajenda ambayo haijakaa sawa kwamba mnampa mwekezaji wapi Hadi wapi kw ili mkileta bungeni watu wajue mapema ni wp na wap anawekeza? Hapo ni tatizo sana kwenu wakuu wa nchi. Baadhi ya wabunge pia ni chawa. Na wanafiki. Halima wanakupotezea muda makusudi. Pole sana dada .

  • @mushiamrani8308
    @mushiamrani8308 Před rokem +3

    Mbona hata mkataba wenyewe umeandikwa tuu kizungu jamani sie tusiojua kizungu tunatafasiriwa na nani .kumbe lugha ya Taifa ni KINGEREZAAA.

  • @user-oq4vz6we2r
    @user-oq4vz6we2r Před rokem +4

    Siasa ifanyike nje ya bunge sio ndani ya bunge jamani,mumeingia bungeni kwakura zawatu sio kwasheria mlizo somea,jadilini mkataba wa bandari mungu awape maona.tanzania sio malumbano tena spika usijifanye wewe unajua wapo watu wenye tanzania kwahili acheni siasa.tunataka kusikia hoja zenye mshiko.

  • @CanisiusJohnKayombo-ch6fw

    Mungu atutete. Mungu alitukabidhi nchi yetu sisi!! Watanzania tujiamini. Kinachotakiwa ni kujadili kukubali au kukataa huo mradi!!! Lakini inaonesha kwamba limeshapitishwa na kinachoendelea ni kwenda kuweka msingi. Kilicho kizuri ni kwamba bandari tusimamie watanzania kwa uaminifu na kujiamini. Hakuna cha kuwapa wageni tuendeshe bandari wenyewe watanzania.

    • @hamisiramadhani3538
      @hamisiramadhani3538 Před 10 měsíci

      Hakuna nchi itakayo uzwa hapo kunabaadhi wanalenga manufaa yao mfano kipindi kontena zilipo potea bandarini nanialihusika na kama yupo alipelekwa wapi mwacheni mama apige kazi

  • @edysonzakayo3239
    @edysonzakayo3239 Před 10 měsíci +1

    Hongera sana dada yake kazi yako nzuri

  • @IgnasKiyanga-im3cv
    @IgnasKiyanga-im3cv Před rokem +8

    Halina umeeleweka vizuri sana , hao wengine wababaishaji tu ! Ndiyo maana hawataki uongee taarifa kila wakati ,, tumekuelewa halima na sisi hatumtaki mwarabu na bandari yetu

    • @tysonmgabe1460
      @tysonmgabe1460 Před rokem +1

      That is the truth brother nimeona tulia na wenzake hawataki ukweli zaidi wanapinga kwa unafiki but taarifa zakweli kabisa

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 Před 11 měsíci +2

    Sawa mdee uko vizuri power woman 💪🏻💪🏻💪🏻

  • @juliusgwegime3463
    @juliusgwegime3463 Před rokem +4

    Afadhali Mkubaliano ya angaliewe Mapema kablaya kuingia Mkataba

  • @user-bx3em9jc6m
    @user-bx3em9jc6m Před 10 měsíci +2

    Mdee big up wee una hofu ya Mungu sio hao

  • @tielyelibariki8958
    @tielyelibariki8958 Před rokem +8

    Ukweli utabaki kuwa ukweli tu. Hata mfanyeje Halima akiongea ukweli Tulia anamkatisha haijakaa vizuri hii

  • @user-fx9zo1eq4o
    @user-fx9zo1eq4o Před rokem +4

    Nakushukulusana dada halima kwamawazo yakomazuri illa nilichokiona unavotoa mawazo unashambuliwasana katika Hilo tujifunze kitu,😮😮😊,

  • @reginamashauri3884
    @reginamashauri3884 Před 10 měsíci +1

    Taifa linatakiwa like na viongozi kama halima more Acha Hawa bendela hufuata upepo

  • @georgemchele8719
    @georgemchele8719 Před rokem +5

    TANZANIA hatuna wasomi Bali watu wanaojua kusoma tu

  • @kijukuuchamkawa6037
    @kijukuuchamkawa6037 Před 10 měsíci +2

    One great thing I can do is that this government and Ccm MPs meet in stuttered settings, what we can do is to talk and let them decide, except by the day we enter the depths of their ignorance

  • @SingaSinga-hm9of
    @SingaSinga-hm9of Před rokem +6

    Nakukubali sana dada angu mdee

  • @SamwelSewando-nt6qv
    @SamwelSewando-nt6qv Před 10 měsíci +1

    Nakupongeza supika ukosahii mungu awenawe Mimi bishop s.sewando raisi Yuko sahihi. Ila mkataba ni nizuli Ila muda ndiyo uwekwe sawa upunguswe tumuunge mikono raisi wetu tumuombee .

  • @athumansaidi7663
    @athumansaidi7663 Před rokem +3

    Uyy spika wa bunge ni 🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙌🙌🙌

  • @ClaudJamesVapalila
    @ClaudJamesVapalila Před rokem +3

    Tuwapate wapi akina mdee wengine jamanii

  • @nurdinrashid9722
    @nurdinrashid9722 Před rokem +6

    Kama tumeishiwa maarifa yakukuza bandari yetu nakuiendesha kisasa niheri tuwe wavumilivu kwanza huku tukijipanga ili tufikie taget inayotakiwa kuriko kuwapa walabu huko nikukaribisha ukoloni mambo leo.

  • @mage1799
    @mage1799 Před rokem +3

    hongera sn Bi Halima kwa jinsi unavyocheza mpira uanja huu umeutawala vizr mno, ada yako shuleni ilifanya kazi vzr

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui Před 11 měsíci +2

    Makofi ni mengi, ila tunajuaaaaa halima usijali dadaetu.

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l Před rokem +3

    Mdee uko poa Sana yaani dah ❤

  • @user-lp5gm9se7y
    @user-lp5gm9se7y Před 10 měsíci +1

    Acharya mudamhe. Sipika

  • @fredrickjohnson2692
    @fredrickjohnson2692 Před rokem +2

    tulia ni spika wa hajabu kuliko woote maana huyu hatendi sawa yupo upande badala ya kusimama kuongoza mjadala. hafai yupo upande mmoja

  • @kaundavyoseena6514
    @kaundavyoseena6514 Před 11 měsíci +1

    Asante sana Halima Mzee umejivua lawama.

  • @bryanmagee5681
    @bryanmagee5681 Před 11 měsíci +1

    Lazima apewe yeyeimeonekana katika maandamano ya serikali na chama wapo kwenye Nyanja Nyahga nyanga vieti vya mawakili tupandani mawakili wanaopinga haya ndiyo matokeo ya Bunge lake tulia.

  • @user-zg4vo8yr3d
    @user-zg4vo8yr3d Před rokem +9

    Sikutegemea Kama spika anaeza akawa upande wa wauza nchi Ila dhuruma mnayotaka kuifanya kwa watanzania mtakuja kujibu mbele za mungu,,hizo pesa mnazopewa ili lifanyike hili wate mnae pambania ili bandali ibinafsishwe zatakuja kuwatokea puani,,tutamkumbuka Sana raisi JPM

  • @mariamumechara3398
    @mariamumechara3398 Před rokem +4

    Uyo ndo halima

  • @tumainiezekia5873
    @tumainiezekia5873 Před 11 měsíci +2

    Tulia kaa kimya huna jipya kichefuchefu kwenye bunge hili hunachakutetea rasilimali zetu 😢

  • @user-hh3hu4eg1z
    @user-hh3hu4eg1z Před 10 měsíci +1

    Mdee nakukubali sana endelea kuwasha moto bungeni achana na wapotoshaji

  • @NgassaSupila
    @NgassaSupila Před rokem +3

    Pamoja sana nawatakia kazi njema

  • @jumasaghida5492
    @jumasaghida5492 Před rokem +3

    Mungu akulinde usitoke bungeni

  • @chrissjully6524
    @chrissjully6524 Před rokem +4

    Respected to halima

  • @praisesamson8298
    @praisesamson8298 Před rokem +1

    Another Job ndgy in the house

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Před 10 měsíci +2

    LAKIN KUNA WATU WANAO
    KOSOA KWA KUFUATA MIKUMBO
    NA SIYO KIHELIMU WENGI WAO
    NI WAPOTOSHAJI TU!

  • @maliknditi4336
    @maliknditi4336 Před 10 měsíci +1

    Good sana mdee naona kama umeingia kwenye jumba la mazo........mb ha

  • @HenryAnatoly-jg3df
    @HenryAnatoly-jg3df Před rokem +5

    Huyu supika Turia ni zaidi ya Yuda ni mnafki mno.

    • @tysonmgabe1460
      @tysonmgabe1460 Před rokem +2

      Nikweliii ni mnafiki anajifanya kukanusha ila ukweli umewapata hao "alafu wengi wao wanatetea nafasi zao ila ukweli wanaujua alafu wanajifanya kuzuga tu

    • @manenojaka
      @manenojaka Před rokem +1

      Dawa wasirudi bungeni watu kama Spika wa bunge

  • @lidyageorge6548
    @lidyageorge6548 Před rokem +8

    Tunamuamini mdee kuliko spika anavyopindisha maneno nyie mna hisa zenu binfsi kwa huyo mwarabu kitawaramba

  • @user-tu7nq5lk7b
    @user-tu7nq5lk7b Před rokem +2

    Serikali chonde chonde bandari Msi iweke kwenye mkataba iyo ni mali yetu watanzania ebu angalien nchi ngap apa Africa mashariki Wana itegemea bandari yetu

  • @ATHUMANIHAMISI-iq2jw
    @ATHUMANIHAMISI-iq2jw Před 11 měsíci +1

    Ahsante spika kwa kuharibu hoja ya mbuge mdee,
    Siku zote dhambi huwa haimuchi mtu salama
    Mzee magu alifanya mengi mazur lakini alikosea Sana kuua demokrasia ya kisiasa ,.....
    Acha Nchi ipelekwe tu hivyo
    Leo sijaamini kabisa spika huyu..... kweli muuaji mbaya Ni yule anayekuua huku akicheka

  • @user-ko7pv1fh7d
    @user-ko7pv1fh7d Před 6 měsíci +1

    Duuuuh kweli hili bunge kazi lipo mungu Anawaona

  • @user-lp5gm9se7y
    @user-lp5gm9se7y Před 10 měsíci +1

    Wapeni wananchi watoemaoni .magnificent.

  • @PaulosalvatoriBwahama-lp3yl
    @PaulosalvatoriBwahama-lp3yl Před 10 měsíci +2

    Mwezi wakwanza mlipo indakusaini humkufahamu haya mtatizo wabunge wanapiga makofi hawaelewi kwani magufuli aliiendeshaje, halima yuko sahihi msifichefiche onawabunge wapigaji wanapiga makofi

  • @josephmajagi9583
    @josephmajagi9583 Před rokem +4

    Dada mdei unastahili sana kuwa kiongozi unamawazo ya kishujaa kuzidi hats wanaume walioko bungeni

  • @ZuuMainya-by9cx
    @ZuuMainya-by9cx Před rokem +1

    Miyayusho tu wabunge wengine,,,halima Yuko Sasa hihi

  • @ombenikweka7222
    @ombenikweka7222 Před rokem +4

    kuna mambo ya hovyo sana yanaendele mkataba huu haufai

  • @ThomasMwinuka-kg5kz
    @ThomasMwinuka-kg5kz Před 10 měsíci +1

    Iv hii nchi nanialiwapeleka hao wabunge waccm huko bungen mbona hawajitambui au maskio wamekalia hawaelew hakiya mungu mungu saidia nchi hii tunusuru wananchi wako nchi inauzwa tunaona

  • @user-bl6nv8od1i
    @user-bl6nv8od1i Před 10 měsíci +1

    Da!!Kuna wabunge wengine bwanaa ...kwa nn kuongeza vitu ..ambavyo haiviko hapo...anaulizwa hana Cha kujibu anaongezea vitu ambavyo havikoo viko kwenye kichwa chakr ili tu apate kukaa bungeni tumboola kwakee tu!!..sijajuaa kwa nn Yuko hapo...mdee

  • @gracengole2773
    @gracengole2773 Před rokem +1

    Ni majadiliano Mazuri. Ni vizuri kupembua Kila kipengere nakuangalia mbele Kwa masilahi ya Taifa.

  • @IsakaMsemwa-dz4rc
    @IsakaMsemwa-dz4rc Před rokem +2

    maamuzi ya wabunge asilimia mia Moja yanafanywa Kwa kupotosha kitu na sio kujenga kitu

  • @user-ch7uf6wq5d
    @user-ch7uf6wq5d Před rokem +2

    Nakukubali sana dada

  • @CarbonChriphord-pv1wf
    @CarbonChriphord-pv1wf Před rokem +1

    Mngu mpiganie halima kwa kuitetea tanzania.

  • @user-rs1in4ds4y
    @user-rs1in4ds4y Před 10 měsíci +1

    😢😢 ni kam halima hajate dewa haki ni kama anataka kuongea zaidi ili aeleweke lakin watu hawataki aeleweke bc fanyeni ilo Jambo kama ni jema kwa taifa na kama litakuwa baya bac acha iwe maana mbona wote mmelikubali

  • @uwezohekima-qk8ss
    @uwezohekima-qk8ss Před rokem +2

    Alaf wewe spika kwann hutaki kutoa nafas halima azungumze bali unamkatisha????....acha izo weweee!

  • @kijukuuchamkawa6037
    @kijukuuchamkawa6037 Před 10 měsíci +1

    Wewe halima unahangaika na mapungu ambao wamelishwa walichokula, zima mic watakuja kuelewa hata miaka 70 baadae

  • @victorcharles1794
    @victorcharles1794 Před 11 měsíci +3

    kiongozi mwenye utimamu waakili lazima aone mbele kuhusu huu mkataba kama mh halima mdee... speaker tunajua akili Yako iko limited Sana you can't think outbox,what gonna happen after the contract that's why unalazimisha watanzania wote tuwe na uelewa mdogo kama wako

  • @AbdallahFahm
    @AbdallahFahm Před rokem +1

    Tatizo lenu munachuki na waarabu namwaitaka bandari muiongoze haliyakuwa hamna pesa hamuwezi kutatua changamoto za bandari usumbufu mtupu bandarini ushirikiano ni muhimu achani kupotosha watu kwa maslahi yetu ya kisiasa kwa kujipigia kampeni elfu mbili na ishirini na tano

  • @benjaminjoseph1747
    @benjaminjoseph1747 Před 10 měsíci +1

    We speaker hujielewi, bado unasisitizia kuangalia vifungu gani vina shida. Simply huo mkataba hatuupendi watz. Kama umegaiwa mshiko uambieeee

  • @neemamajana3078
    @neemamajana3078 Před 10 měsíci +1

    Hiki kimwanamke chenye ushungi ndo wale wanahitaji tuuzwe kwa waarabu. Hiki kimwanamke kina bahasha, ndiyo maana kinamziba Harima asizimgumze, taarifa, taarifa.

  • @annamushiaminaaa4367
    @annamushiaminaaa4367 Před 10 měsíci +1

    Spika unaajenda ya Siri ,huu mkataba ni wa hovyo hachaneni nao kabisaa

  • @CanisiusJohnKayombo-ch6fw

    Hakuna kukodisha bandari kwa waarabu!!!. Tanzania tujitathimini namna ya kusimamia kazi zetu. Kwasababu hatusimamii mapato vizuri , tunaiba mapato na hatukemeani!!!. Nafikiri nyuma ya hao wanatarajiwa kupewa bandari kuna vigogo wa Tanzania. Tuachane na mambo ya kuwapa wageni bali tujenge uwezo wetu!! Mbona watanzania hakuna nafasi ya kwenda nchi za hao na kupata miradi kwao tuendeshe!!

    • @Anneth-ch7yh
      @Anneth-ch7yh Před rokem +1

      Hongera sana dada wewe ni shujaa tutetee watanzania tumeisha

    • @hamisiramadhani3538
      @hamisiramadhani3538 Před 10 měsíci

      Huna uwezo wa kojikro wewe makonda aliingiza makontena majibu yake mpaka leo yapo wapi

  • @Anethjuma-qj5uf
    @Anethjuma-qj5uf Před rokem +2

    Wengine wanamwogopa mama wanachakaza mabench Bungen mnasapot hasara mnapinga faida 😅 pumbaavu hongera halima

  • @blanikamgaya-hh6ie
    @blanikamgaya-hh6ie Před 9 měsíci +1

    Mdee nakupendaga sana upewe mauwa yako

  • @humphrehnkya9370
    @humphrehnkya9370 Před 10 měsíci +1

    Huyu spica yeye ndio alilazimisha azzimio lipite .hana maana kabisa.inaonyesha, Rushwa alipewa, hawezi kwepa lawama.

  • @izamahmasaki4795
    @izamahmasaki4795 Před rokem +1

    Hivi hili binge ni la shule ya msingi au chekechea !! Aliyemteua huyo motot kuwa spiker ni nani ? Ndyo maana mataifa yote yaliyoendelea mabunge yanaendeshwa na wazee , watu wazima wakizingatia uzoefu was uongozi, busara, hekima, alivolitumikia taiga , tabia na mwenendo kiutendaji nk. Leo unaangali Degree, pH d kumbe ni zile za kutengenezwa marekani baada ya kukubaliana kuwa kibaraka wao..!!!!!!!!!!!

  • @peterdaimon-ug6fd
    @peterdaimon-ug6fd Před rokem +1

    Mtamkumbuka alima

  • @habibab8062
    @habibab8062 Před rokem +3

    Kweli ww unaona mbali kuliko rais

  • @mabulakazuka6499
    @mabulakazuka6499 Před 11 měsíci +1

    Dar, amma kweli lakin ndo speaker wetu jaman tutafanyaje

  • @eliasletemasailepu
    @eliasletemasailepu Před rokem +2

    Nikweli kabisa

  • @izamahmasaki4795
    @izamahmasaki4795 Před rokem +1

    ndg yang Denis kwa mstakabali huu hawa cyo wasomi ni vibataka was mabeberu

  • @EmmyKanjanja-qi1vl
    @EmmyKanjanja-qi1vl Před rokem +1

    Alafu hiyo hakusema wangapi wanaafiki pigeni kura ya maoni yakiandika kwenye vikaratasi ndipo utaona hapowengi hawakubali huo mkataba hapo bungeni msitetee maslahi yenu baadae mkajutia

  • @samhadas788
    @samhadas788 Před rokem +1

    Mungu akulinde