Halima mdee kazi mzur sijuw nikusifie vipi ili nimalize kiu yangu ila kiufupi you are very talented👍👍 tukiwa na watu watano tu kama wewe basi tungesonga mbele na ww ndo msomi uliesoma na unaeleweka
Huyu Tulia naye hatakiwi kurudi 2025 ni sehemu ya wauza nchi! Ningefurahi sehemu kubwa ya wabunge Hawa hawatakiwi kurudi bungeni tutawaadhibu labda kama huo mlungula mlichukua ili kuiuza hii nchi utawahukumu!
Ivi we Mama Unacho kiongea unakierewa au sababu ni Spika Hongera Dadangu Mdee Mungu Akusimamie huyo Spika hajui anacho ongea sababu ni Spika Mungu Ata waukumu Acha Wafanye ivyo
Jamani dada Halima mdee yupo sawa anakanushwa sababu ya chama chake so wanataka wamtoe mchezoni daaah sababu chama chake ndo tatizo yupo sahihi Sana Ila Mungu ataamua kuhusu Tanzania kama umenielewa mdau like nyingi kwangu 🙏🙏Mungu simama uitetee Tanzania yetu😭😭🙏🙏
Kwanza itakiwa nchi yetu itawaliwe na vijana unaona alivyoaema halima yeye anaona mbele sio alipo inamaana hakili yake inawaza kizazi kijacho sio mtu una zaidi ya miaka sitini bado mnangangania uongozi achieni wenye mawazo ya mbele
Yani kiongozi wa bunge anaonyesha dhahiri anatambua kinachoendelea. Kwnn mlete ajenda ambayo haijakaa sawa kwamba mnampa mwekezaji wapi Hadi wapi kw ili mkileta bungeni watu wajue mapema ni wp na wap anawekeza? Hapo ni tatizo sana kwenu wakuu wa nchi. Baadhi ya wabunge pia ni chawa. Na wanafiki. Halima wanakupotezea muda makusudi. Pole sana dada .
Siasa ifanyike nje ya bunge sio ndani ya bunge jamani,mumeingia bungeni kwakura zawatu sio kwasheria mlizo somea,jadilini mkataba wa bandari mungu awape maona.tanzania sio malumbano tena spika usijifanye wewe unajua wapo watu wenye tanzania kwahili acheni siasa.tunataka kusikia hoja zenye mshiko.
Mungu atutete. Mungu alitukabidhi nchi yetu sisi!! Watanzania tujiamini. Kinachotakiwa ni kujadili kukubali au kukataa huo mradi!!! Lakini inaonesha kwamba limeshapitishwa na kinachoendelea ni kwenda kuweka msingi. Kilicho kizuri ni kwamba bandari tusimamie watanzania kwa uaminifu na kujiamini. Hakuna cha kuwapa wageni tuendeshe bandari wenyewe watanzania.
Hakuna nchi itakayo uzwa hapo kunabaadhi wanalenga manufaa yao mfano kipindi kontena zilipo potea bandarini nanialihusika na kama yupo alipelekwa wapi mwacheni mama apige kazi
Halina umeeleweka vizuri sana , hao wengine wababaishaji tu ! Ndiyo maana hawataki uongee taarifa kila wakati ,, tumekuelewa halima na sisi hatumtaki mwarabu na bandari yetu
One great thing I can do is that this government and Ccm MPs meet in stuttered settings, what we can do is to talk and let them decide, except by the day we enter the depths of their ignorance
Nakupongeza supika ukosahii mungu awenawe Mimi bishop s.sewando raisi Yuko sahihi. Ila mkataba ni nizuli Ila muda ndiyo uwekwe sawa upunguswe tumuunge mikono raisi wetu tumuombee .
Kama tumeishiwa maarifa yakukuza bandari yetu nakuiendesha kisasa niheri tuwe wavumilivu kwanza huku tukijipanga ili tufikie taget inayotakiwa kuriko kuwapa walabu huko nikukaribisha ukoloni mambo leo.
Lazima apewe yeyeimeonekana katika maandamano ya serikali na chama wapo kwenye Nyanja Nyahga nyanga vieti vya mawakili tupandani mawakili wanaopinga haya ndiyo matokeo ya Bunge lake tulia.
Sikutegemea Kama spika anaeza akawa upande wa wauza nchi Ila dhuruma mnayotaka kuifanya kwa watanzania mtakuja kujibu mbele za mungu,,hizo pesa mnazopewa ili lifanyike hili wate mnae pambania ili bandali ibinafsishwe zatakuja kuwatokea puani,,tutamkumbuka Sana raisi JPM
Nikweliii ni mnafiki anajifanya kukanusha ila ukweli umewapata hao "alafu wengi wao wanatetea nafasi zao ila ukweli wanaujua alafu wanajifanya kuzuga tu
Serikali chonde chonde bandari Msi iweke kwenye mkataba iyo ni mali yetu watanzania ebu angalien nchi ngap apa Africa mashariki Wana itegemea bandari yetu
Ahsante spika kwa kuharibu hoja ya mbuge mdee, Siku zote dhambi huwa haimuchi mtu salama Mzee magu alifanya mengi mazur lakini alikosea Sana kuua demokrasia ya kisiasa ,..... Acha Nchi ipelekwe tu hivyo Leo sijaamini kabisa spika huyu..... kweli muuaji mbaya Ni yule anayekuua huku akicheka
Iv hii nchi nanialiwapeleka hao wabunge waccm huko bungen mbona hawajitambui au maskio wamekalia hawaelew hakiya mungu mungu saidia nchi hii tunusuru wananchi wako nchi inauzwa tunaona
Da!!Kuna wabunge wengine bwanaa ...kwa nn kuongeza vitu ..ambavyo haiviko hapo...anaulizwa hana Cha kujibu anaongezea vitu ambavyo havikoo viko kwenye kichwa chakr ili tu apate kukaa bungeni tumboola kwakee tu!!..sijajuaa kwa nn Yuko hapo...mdee
😢😢 ni kam halima hajate dewa haki ni kama anataka kuongea zaidi ili aeleweke lakin watu hawataki aeleweke bc fanyeni ilo Jambo kama ni jema kwa taifa na kama litakuwa baya bac acha iwe maana mbona wote mmelikubali
kiongozi mwenye utimamu waakili lazima aone mbele kuhusu huu mkataba kama mh halima mdee... speaker tunajua akili Yako iko limited Sana you can't think outbox,what gonna happen after the contract that's why unalazimisha watanzania wote tuwe na uelewa mdogo kama wako
Tatizo lenu munachuki na waarabu namwaitaka bandari muiongoze haliyakuwa hamna pesa hamuwezi kutatua changamoto za bandari usumbufu mtupu bandarini ushirikiano ni muhimu achani kupotosha watu kwa maslahi yetu ya kisiasa kwa kujipigia kampeni elfu mbili na ishirini na tano
Hiki kimwanamke chenye ushungi ndo wale wanahitaji tuuzwe kwa waarabu. Hiki kimwanamke kina bahasha, ndiyo maana kinamziba Harima asizimgumze, taarifa, taarifa.
Hakuna kukodisha bandari kwa waarabu!!!. Tanzania tujitathimini namna ya kusimamia kazi zetu. Kwasababu hatusimamii mapato vizuri , tunaiba mapato na hatukemeani!!!. Nafikiri nyuma ya hao wanatarajiwa kupewa bandari kuna vigogo wa Tanzania. Tuachane na mambo ya kuwapa wageni bali tujenge uwezo wetu!! Mbona watanzania hakuna nafasi ya kwenda nchi za hao na kupata miradi kwao tuendeshe!!
Hivi hili binge ni la shule ya msingi au chekechea !! Aliyemteua huyo motot kuwa spiker ni nani ? Ndyo maana mataifa yote yaliyoendelea mabunge yanaendeshwa na wazee , watu wazima wakizingatia uzoefu was uongozi, busara, hekima, alivolitumikia taiga , tabia na mwenendo kiutendaji nk. Leo unaangali Degree, pH d kumbe ni zile za kutengenezwa marekani baada ya kukubaliana kuwa kibaraka wao..!!!!!!!!!!!
Alafu hiyo hakusema wangapi wanaafiki pigeni kura ya maoni yakiandika kwenye vikaratasi ndipo utaona hapowengi hawakubali huo mkataba hapo bungeni msitetee maslahi yenu baadae mkajutia
Mimi sipo,ila msikilizeni Halima kwanza alafu uchama baadae
Mmh spika kanishinda Tabia halima mungu azidi kukupa maono yakuona mbal
Nakukubali sana halima mungu akutetee na akulinde na hawa mafisadi wasije kukufanya kama amina chifupa
Hilo bunge naona wabunge wanaounga mkono mkataba hawajawa na sehemu ya uelewa kwenye Ubongo wao , dada halima MUNGU awe na naw daima cmama kwakweli
HALIMA MDEE safiiiiiii sana teteeni haki zaa wana nchi
Halima mdee wewe ni kichwa sana yani huyo spika ni zaidi ya fisadi huyo
Duuuh hatari sana , sheria inahitajika ifatwe aisee dada halima upo sahihi kabsaaa
Viongozi wa nchi acheni ufisadi kuweni wazalendo kumbukeni mtahukumiwa na aliye juu.Hongera dada Mdee MUNGU akulinde
Kama kweli mkataba hauna mwisho na unasema hauvunjiki Kwa namba yoyote,haiwezekani kuupitisha
Halima safi sana, komaa mwanangu, ila pole kwa alivyokubana na kukupotezea dakika zako, uzalendo hoyeeee. Halima hoyeeeee.
Halima mdee kazi mzur sijuw nikusifie vipi ili nimalize kiu yangu ila kiufupi you are very talented👍👍 tukiwa na watu watano tu kama wewe basi tungesonga mbele na ww ndo msomi uliesoma na unaeleweka
Vipi HUMU shida wabunge Wa CCM Ni wengi mnampinga hlm mdeee
Kweli wasomi wetu wamesomea kuibia watu tu😭😭😭
Watu wanaangalia masirahi ndugu
Ahsant mheshimiwa Halima mdee umetishaaaah
Tulia kahongwa mihela ndio mna mnaona anawazuiya wazalendo kuendelea kutoa hoja zao
Hela za Nini hazina kazi kwake ,ataziacha tuu wataokota wengine ila ameshauza nchi Kwa waarabu mhhh
Nakukubali sana Halima James❤
Halima james mungu azidi kuklinda unapointi nzr sana
Huyu Tulia naye hatakiwi kurudi 2025 ni sehemu ya wauza nchi! Ningefurahi sehemu kubwa ya wabunge Hawa hawatakiwi kurudi bungeni tutawaadhibu labda kama huo mlungula mlichukua ili kuiuza hii nchi utawahukumu!
Ni kweli ukichunguza kwa makini tulia kama ana kitu ndani yake
Ni sahihi kabisa , hasitahili kabisa, hata uanasheria wake unatia wasiwasi .
Mngu akulinde dada yetu simama Imala
Ivi we Mama Unacho kiongea unakierewa au sababu ni Spika Hongera Dadangu Mdee Mungu Akusimamie huyo Spika hajui anacho ongea sababu ni Spika Mungu Ata waukumu Acha Wafanye ivyo
Halima uko sawa kabisa kwa mchango wako / ila umenyimwa uhuru wa kuongea zaidi ya moyoni
Hayo yote yanatokana na msingi wa katiba mbovu ya nchi hivyo mwenye mkataba ni mwenye nyumba Wala siyo wabunge au sisi wapangishaji!
Jamani dada Halima mdee yupo sawa anakanushwa sababu ya chama chake so wanataka wamtoe mchezoni daaah sababu chama chake ndo tatizo yupo sahihi Sana Ila Mungu ataamua kuhusu Tanzania kama umenielewa mdau like nyingi kwangu 🙏🙏Mungu simama uitetee Tanzania yetu😭😭🙏🙏
Pia sema Mungu atuongezee nguvu na maono y kuendlea kuitetea Tzania .Mu gu hatakuja hapa kuitetea Tzania
hamna kuuza hiyo bandari tuwape Watanzania wenzetu🎉
❤ Harima nakupenda sana siku zote kwa msimamo wako wa kutokuyumbishwa❤ Mungu akulinde sana na kukutetea.
Nakukubali mwanangu mndee
Kwanza itakiwa nchi yetu itawaliwe na vijana unaona alivyoaema halima yeye anaona mbele sio alipo inamaana hakili yake inawaza kizazi kijacho sio mtu una zaidi ya miaka sitini bado mnangangania uongozi achieni wenye mawazo ya mbele
Kwani kunahaja gani ya kuwapatia maana mkataba huo hauna baraka za wananchi kama vipi tupige kura😢😢😢
That's a good and beautiful woman in contribution 🤔.
Exlent Sana madam halima mdee uko sawa, kwanini wanakupinga ? Tatizo lao elimu za wabunge wetu elimu zao zinafanana, ndo tatizo na msiba watanzania
Yani kiongozi wa bunge anaonyesha dhahiri anatambua kinachoendelea. Kwnn mlete ajenda ambayo haijakaa sawa kwamba mnampa mwekezaji wapi Hadi wapi kw ili mkileta bungeni watu wajue mapema ni wp na wap anawekeza? Hapo ni tatizo sana kwenu wakuu wa nchi. Baadhi ya wabunge pia ni chawa. Na wanafiki. Halima wanakupotezea muda makusudi. Pole sana dada .
Mbona hata mkataba wenyewe umeandikwa tuu kizungu jamani sie tusiojua kizungu tunatafasiriwa na nani .kumbe lugha ya Taifa ni KINGEREZAAA.
Siasa ifanyike nje ya bunge sio ndani ya bunge jamani,mumeingia bungeni kwakura zawatu sio kwasheria mlizo somea,jadilini mkataba wa bandari mungu awape maona.tanzania sio malumbano tena spika usijifanye wewe unajua wapo watu wenye tanzania kwahili acheni siasa.tunataka kusikia hoja zenye mshiko.
Mungu atutete. Mungu alitukabidhi nchi yetu sisi!! Watanzania tujiamini. Kinachotakiwa ni kujadili kukubali au kukataa huo mradi!!! Lakini inaonesha kwamba limeshapitishwa na kinachoendelea ni kwenda kuweka msingi. Kilicho kizuri ni kwamba bandari tusimamie watanzania kwa uaminifu na kujiamini. Hakuna cha kuwapa wageni tuendeshe bandari wenyewe watanzania.
Hakuna nchi itakayo uzwa hapo kunabaadhi wanalenga manufaa yao mfano kipindi kontena zilipo potea bandarini nanialihusika na kama yupo alipelekwa wapi mwacheni mama apige kazi
Hongera sana dada yake kazi yako nzuri
Halina umeeleweka vizuri sana , hao wengine wababaishaji tu ! Ndiyo maana hawataki uongee taarifa kila wakati ,, tumekuelewa halima na sisi hatumtaki mwarabu na bandari yetu
That is the truth brother nimeona tulia na wenzake hawataki ukweli zaidi wanapinga kwa unafiki but taarifa zakweli kabisa
Sawa mdee uko vizuri power woman 💪🏻💪🏻💪🏻
Afadhali Mkubaliano ya angaliewe Mapema kablaya kuingia Mkataba
Mdee big up wee una hofu ya Mungu sio hao
Ukweli utabaki kuwa ukweli tu. Hata mfanyeje Halima akiongea ukweli Tulia anamkatisha haijakaa vizuri hii
Nakushukulusana dada halima kwamawazo yakomazuri illa nilichokiona unavotoa mawazo unashambuliwasana katika Hilo tujifunze kitu,😮😮😊,
Taifa linatakiwa like na viongozi kama halima more Acha Hawa bendela hufuata upepo
TANZANIA hatuna wasomi Bali watu wanaojua kusoma tu
One great thing I can do is that this government and Ccm MPs meet in stuttered settings, what we can do is to talk and let them decide, except by the day we enter the depths of their ignorance
Nakukubali sana dada angu mdee
Nakukubali san dd halima
Nakupongeza supika ukosahii mungu awenawe Mimi bishop s.sewando raisi Yuko sahihi. Ila mkataba ni nizuli Ila muda ndiyo uwekwe sawa upunguswe tumuunge mikono raisi wetu tumuombee .
Uyy spika wa bunge ni 🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙌🙌🙌
Tuwapate wapi akina mdee wengine jamanii
Kama tumeishiwa maarifa yakukuza bandari yetu nakuiendesha kisasa niheri tuwe wavumilivu kwanza huku tukijipanga ili tufikie taget inayotakiwa kuriko kuwapa walabu huko nikukaribisha ukoloni mambo leo.
hongera sn Bi Halima kwa jinsi unavyocheza mpira uanja huu umeutawala vizr mno, ada yako shuleni ilifanya kazi vzr
Makofi ni mengi, ila tunajuaaaaa halima usijali dadaetu.
Mdee uko poa Sana yaani dah ❤
Acharya mudamhe. Sipika
tulia ni spika wa hajabu kuliko woote maana huyu hatendi sawa yupo upande badala ya kusimama kuongoza mjadala. hafai yupo upande mmoja
Asante sana Halima Mzee umejivua lawama.
Lazima apewe yeyeimeonekana katika maandamano ya serikali na chama wapo kwenye Nyanja Nyahga nyanga vieti vya mawakili tupandani mawakili wanaopinga haya ndiyo matokeo ya Bunge lake tulia.
Sikutegemea Kama spika anaeza akawa upande wa wauza nchi Ila dhuruma mnayotaka kuifanya kwa watanzania mtakuja kujibu mbele za mungu,,hizo pesa mnazopewa ili lifanyike hili wate mnae pambania ili bandali ibinafsishwe zatakuja kuwatokea puani,,tutamkumbuka Sana raisi JPM
Si kahongwa
Pesa ndg
Uyo ndo halima
Tulia kaa kimya huna jipya kichefuchefu kwenye bunge hili hunachakutetea rasilimali zetu 😢
Mdee nakukubali sana endelea kuwasha moto bungeni achana na wapotoshaji
Pamoja sana nawatakia kazi njema
Mungu akulinde usitoke bungeni
Respected to halima
Another Job ndgy in the house
LAKIN KUNA WATU WANAO
KOSOA KWA KUFUATA MIKUMBO
NA SIYO KIHELIMU WENGI WAO
NI WAPOTOSHAJI TU!
Good sana mdee naona kama umeingia kwenye jumba la mazo........mb ha
Huyu supika Turia ni zaidi ya Yuda ni mnafki mno.
Nikweliii ni mnafiki anajifanya kukanusha ila ukweli umewapata hao "alafu wengi wao wanatetea nafasi zao ila ukweli wanaujua alafu wanajifanya kuzuga tu
Dawa wasirudi bungeni watu kama Spika wa bunge
Tunamuamini mdee kuliko spika anavyopindisha maneno nyie mna hisa zenu binfsi kwa huyo mwarabu kitawaramba
Serikali chonde chonde bandari Msi iweke kwenye mkataba iyo ni mali yetu watanzania ebu angalien nchi ngap apa Africa mashariki Wana itegemea bandari yetu
Ahsante spika kwa kuharibu hoja ya mbuge mdee,
Siku zote dhambi huwa haimuchi mtu salama
Mzee magu alifanya mengi mazur lakini alikosea Sana kuua demokrasia ya kisiasa ,.....
Acha Nchi ipelekwe tu hivyo
Leo sijaamini kabisa spika huyu..... kweli muuaji mbaya Ni yule anayekuua huku akicheka
Duuuuh kweli hili bunge kazi lipo mungu Anawaona
Wapeni wananchi watoemaoni .magnificent.
Mwezi wakwanza mlipo indakusaini humkufahamu haya mtatizo wabunge wanapiga makofi hawaelewi kwani magufuli aliiendeshaje, halima yuko sahihi msifichefiche onawabunge wapigaji wanapiga makofi
Dada mdei unastahili sana kuwa kiongozi unamawazo ya kishujaa kuzidi hats wanaume walioko bungeni
Miyayusho tu wabunge wengine,,,halima Yuko Sasa hihi
kuna mambo ya hovyo sana yanaendele mkataba huu haufai
Iv hii nchi nanialiwapeleka hao wabunge waccm huko bungen mbona hawajitambui au maskio wamekalia hawaelew hakiya mungu mungu saidia nchi hii tunusuru wananchi wako nchi inauzwa tunaona
Da!!Kuna wabunge wengine bwanaa ...kwa nn kuongeza vitu ..ambavyo haiviko hapo...anaulizwa hana Cha kujibu anaongezea vitu ambavyo havikoo viko kwenye kichwa chakr ili tu apate kukaa bungeni tumboola kwakee tu!!..sijajuaa kwa nn Yuko hapo...mdee
Ni majadiliano Mazuri. Ni vizuri kupembua Kila kipengere nakuangalia mbele Kwa masilahi ya Taifa.
maamuzi ya wabunge asilimia mia Moja yanafanywa Kwa kupotosha kitu na sio kujenga kitu
Nakukubali sana dada
Mngu mpiganie halima kwa kuitetea tanzania.
😢😢 ni kam halima hajate dewa haki ni kama anataka kuongea zaidi ili aeleweke lakin watu hawataki aeleweke bc fanyeni ilo Jambo kama ni jema kwa taifa na kama litakuwa baya bac acha iwe maana mbona wote mmelikubali
Alaf wewe spika kwann hutaki kutoa nafas halima azungumze bali unamkatisha????....acha izo weweee!
Wewe halima unahangaika na mapungu ambao wamelishwa walichokula, zima mic watakuja kuelewa hata miaka 70 baadae
kiongozi mwenye utimamu waakili lazima aone mbele kuhusu huu mkataba kama mh halima mdee... speaker tunajua akili Yako iko limited Sana you can't think outbox,what gonna happen after the contract that's why unalazimisha watanzania wote tuwe na uelewa mdogo kama wako
Tatizo lenu munachuki na waarabu namwaitaka bandari muiongoze haliyakuwa hamna pesa hamuwezi kutatua changamoto za bandari usumbufu mtupu bandarini ushirikiano ni muhimu achani kupotosha watu kwa maslahi yetu ya kisiasa kwa kujipigia kampeni elfu mbili na ishirini na tano
We speaker hujielewi, bado unasisitizia kuangalia vifungu gani vina shida. Simply huo mkataba hatuupendi watz. Kama umegaiwa mshiko uambieeee
Hiki kimwanamke chenye ushungi ndo wale wanahitaji tuuzwe kwa waarabu. Hiki kimwanamke kina bahasha, ndiyo maana kinamziba Harima asizimgumze, taarifa, taarifa.
Spika unaajenda ya Siri ,huu mkataba ni wa hovyo hachaneni nao kabisaa
Hakuna kukodisha bandari kwa waarabu!!!. Tanzania tujitathimini namna ya kusimamia kazi zetu. Kwasababu hatusimamii mapato vizuri , tunaiba mapato na hatukemeani!!!. Nafikiri nyuma ya hao wanatarajiwa kupewa bandari kuna vigogo wa Tanzania. Tuachane na mambo ya kuwapa wageni bali tujenge uwezo wetu!! Mbona watanzania hakuna nafasi ya kwenda nchi za hao na kupata miradi kwao tuendeshe!!
Hongera sana dada wewe ni shujaa tutetee watanzania tumeisha
Huna uwezo wa kojikro wewe makonda aliingiza makontena majibu yake mpaka leo yapo wapi
Wengine wanamwogopa mama wanachakaza mabench Bungen mnasapot hasara mnapinga faida 😅 pumbaavu hongera halima
Mungu akubalik mdee kwa maneno mazuri
Mdee nakupendaga sana upewe mauwa yako
Huyu spica yeye ndio alilazimisha azzimio lipite .hana maana kabisa.inaonyesha, Rushwa alipewa, hawezi kwepa lawama.
Hivi hili binge ni la shule ya msingi au chekechea !! Aliyemteua huyo motot kuwa spiker ni nani ? Ndyo maana mataifa yote yaliyoendelea mabunge yanaendeshwa na wazee , watu wazima wakizingatia uzoefu was uongozi, busara, hekima, alivolitumikia taiga , tabia na mwenendo kiutendaji nk. Leo unaangali Degree, pH d kumbe ni zile za kutengenezwa marekani baada ya kukubaliana kuwa kibaraka wao..!!!!!!!!!!!
Mtamkumbuka alima
Kweli ww unaona mbali kuliko rais
Dar, amma kweli lakin ndo speaker wetu jaman tutafanyaje
Nikweli kabisa
ndg yang Denis kwa mstakabali huu hawa cyo wasomi ni vibataka was mabeberu
Alafu hiyo hakusema wangapi wanaafiki pigeni kura ya maoni yakiandika kwenye vikaratasi ndipo utaona hapowengi hawakubali huo mkataba hapo bungeni msitetee maslahi yenu baadae mkajutia
Mungu akulinde