Komentáře •

  • @shilatusabuni89
    @shilatusabuni89 Před rokem +44

    Asante mheshimiwa spika. Taifa hili tunahitaji watu wakweli ili tufike. Dr. Tulia Mungu akutunze mama yangu😍...Msukuma tunakupa PhD nyingine tena😍

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Před rokem

      Mweshimiwa sipika sisi tunakushukuru kwa pointi

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Před rokem

      Wewe acha ujinga unatoa ela hizo ela ni zako wewe ela ni zetu za walipa kodi

  • @emmanuelgeorge3262
    @emmanuelgeorge3262 Před rokem +22

    Dr.Tulia Akson ..big up,so smart

  • @chuchumeta8374
    @chuchumeta8374 Před rokem +34

    Tulia unafanya watu wajivunie watoto wa kike

  • @nurunewz103
    @nurunewz103 Před rokem +29

    Mh. Tulia wewe ni mlezi na mwenye haki moyoni mwako.

  • @mosesmwita7906
    @mosesmwita7906 Před rokem +36

    Tulia sio kwa kumnyuka hivyo mwiguru😂😂atakuwa akikuona anatamani kulia😂😂

  • @plujorilugano9489
    @plujorilugano9489 Před rokem +26

    Hongera sana Mh. Spika kwa kutokukubali uongo wa baadhi ya mawaziri kama walivyozoea business as.....

    • @meryshekoloa961
      @meryshekoloa961 Před rokem

      Bila kua muongo nchi hii utateseka sana hongera Sana spika

  • @ibutilehyila9146
    @ibutilehyila9146 Před rokem +36

    Hii ndio raha ya kuwa na Spika Daktari wa Sheria, Big up sana Mama Speaker, Uishi miaka mingi bungeni mama👏👏👏🙌🙌🙌🤝🤝🤝🙏🙏🙏

    • @auntdorah9141
      @auntdorah9141 Před rokem

      Raha ya kuwa na kiongozi mwanamke( mama🥰) anayejua uchungu wa kubeba ndoo
      Nakupenda mpk naumwa🥰🥰

    • @godwinshoo5032
      @godwinshoo5032 Před rokem

      Hongera sana Mheshimiwa spika kwa elimu unayotowa mara kwa mara kwa mawaziri na wabunge wanaojifanya wajuaji!

    • @henrychaula1174
      @henrychaula1174 Před rokem

      Sijajua Mwigulu anashindwa wapi kumwelewa Spika

    • @banzimtizii5020
      @banzimtizii5020 Před rokem +2

      Mwigulu kaelewa ila hana jibu la uhakika

    • @edigarfurumericus3745
      @edigarfurumericus3745 Před rokem

      Huyu jamaa mchumi lakin 🫥 kabisa

  • @drKanti865
    @drKanti865 Před rokem +59

    I see the bright future for this woman...May God bless her

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Před rokem +44

    Big up sana Dr.Tulia Akson, speaker wa bunge la Tanzania. Tungepata pia na wabunge hata 7 wa upinzani ambao ni machachari hakika tungefika mbali sana.

    • @georgemassebu2083
      @georgemassebu2083 Před rokem +2

      Upinzani ndo nini we nae! Mlishajiaminisha mtu kua mpinzani ndo anakua mkweli? Humo ndani huwaoni wabunge walio machachali kutetea wananchi? We unawaza upinzani tu, mpinzani ni mTanzania na hao CCM ni waTanzania

    • @malugukushaha6764
      @malugukushaha6764 Před rokem

      @@georgemassebu2083usifikili kuwa kila mtu anayesema wawepo na wapinzani ukahisi na yeye ni mpinzani. Inabidi uangalie mbali ni kwanini huyu mtu kasema hivyo. Ipo siku utakubaliana nami.

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 Před rokem

      Muda wote waliokuwemo mlifika wapi au unaleta ushabiki wa kitoto tu hapa

    • @wechemakambo2182
      @wechemakambo2182 Před rokem +1

      Ile kulewa mpaka kuvunjika miguu?

    • @ibutilehyila9146
      @ibutilehyila9146 Před rokem +1

      Unaona ee!!! big up sana asee!!!!

  • @jumaseseme1654
    @jumaseseme1654 Před rokem +21

    dada tulia mungu akulinde nakupenda tu

  • @besttrendingcovers1838
    @besttrendingcovers1838 Před rokem +25

    dr Tulia your the best and you deserve to be in that position

  • @subirajohn8298
    @subirajohn8298 Před rokem +19

    Mzimu wa magufuli umemuingia Tulia Acson . Big up mama

  • @muharamiesther5908
    @muharamiesther5908 Před rokem +29

    TRAB NA TRAT😎🎼🎶🎵🎧

    • @godwinananias5358
      @godwinananias5358 Před rokem +2

      Akuna kitu hapo hyooo msanii tyu

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 Před rokem +1

      🤣🤣

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 Před rokem +2

      Nakumbuka Magufuli aliwahi kumpiga gwala toka siku ile ndio nikatambua kabisaa ya kwamba Magufuli anaona mbali sana 🤣🤣

    • @sebastianzongoro8915
      @sebastianzongoro8915 Před rokem

      Hapo ndiyo unafahamu kwamba spika ni msomi anasimamia haki hatetei ujinga

    • @annastellalugayana8454
      @annastellalugayana8454 Před rokem

      Asante madam Kama Jimbo letu la kibamba ni asilimia moja tu ya watu wanaopata maji asilimia 99 hatujui maji ya bomba tunatumia maji chumvi je uko vijijini si ndio kabisa

  • @celinamutta5058
    @celinamutta5058 Před rokem +17

    Asante spika Tulia. Nimekukubali kwa kusimamia hoja. Keep it up💪💪👍

  • @nelsonludovick3360
    @nelsonludovick3360 Před rokem +16

    Huyo jamaa hakuna kitu kabisa

  • @taichi5370
    @taichi5370 Před rokem +23

    This Lady is future Head of State!!

  • @tangaoldtv1067
    @tangaoldtv1067 Před rokem +13

    KUNAKITU NINAKIONA HAPA KIZURI SANA NAOMBA ENDELEA HIVYO HIVYO ILI UJE KUWA HAFITHI NZURI KATIKA TAIFA Ila utakuwa MWANAMKE wa 1 MZALENDO mpaka Sasa unakaribia Ila MUNGU akujalie kwa Imani yako mama angu hongera Ila ww NI MZALENDO unakaribia MUNGU akujalie usije ukawa upande wa hao majambazi hongera sana

  • @RafikimediaTZ
    @RafikimediaTZ Před rokem +8

    Ubarikiwe sana Mhe.Spika Tulia Akson. Ninaiman na wewe kwa haki unayointenda katika nafasi yako.

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION Před rokem +25

    Mwigulu bwana!!! Hoja IPO wazi,,,,,msukuma anaweza kuwa mbunge no 1 kwa hoja ambazo Ni real

  • @amiria.mustafa9859
    @amiria.mustafa9859 Před rokem +16

    Yan mwaka huu, kiukwery aisee dah😥😥😥yan hata kwenye maj bado watu wanajing'ata ng'ata eeh mungu weeeeh😥😥😥

  • @ladislauslyagula4096
    @ladislauslyagula4096 Před rokem +16

    Hongera sana mh tulia mana umetusaidia nasisi wananchi kujua/ kupata ufafanuzi zaidi ubalikiwe sana.

  • @joelmwanza6009
    @joelmwanza6009 Před rokem +12

    Unajua Haya majibu ya serikali lzm ya we yanajitosheleza. Naona Kama Waziri hayuko happy sana kubanwa hivyo.

    • @jacobmsigwa383
      @jacobmsigwa383 Před rokem

      Mzee wa TRAT na TRAB anazingua

    • @machaggechacha3422
      @machaggechacha3422 Před rokem

      Shauri yake kubanwa. Ndiyo maana kuwa waziri wa michongo. Mwigulu ni tunda bovu.

  • @edwardnatharyblessed7067

    Mama yetu Dr. Tulia you have wisdom God bless you mum🇹🇿

  • @josephdidas325
    @josephdidas325 Před rokem +10

    Yaan huyu jamaa huwa simuelewi Haki ya Mungu asee huyu jamaaa liwekwe jiwe na yeye bora nichague jiwe kuliko huyu jamaa asee

  • @abdulabdy6822
    @abdulabdy6822 Před rokem +10

    You are so smart madam Speaker..all the best

    • @kazembe987
      @kazembe987 Před rokem

      Punguzeni Saisa nchi mnaitia hasara kubwa

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Před rokem +18

    Mzee wa trab na trat big up Dr Tulia unatufurahisha

  • @goodwellmutambo7607
    @goodwellmutambo7607 Před rokem +11

    Huyu mama kiboko

  • @pitysimon9731
    @pitysimon9731 Před rokem +16

    ....Trab na trat 😂😂😂😂

  • @lusticendokole9385
    @lusticendokole9385 Před rokem +33

    Mwigulu has attended the class in a Parliament Meeting Hall. Congratulations Dr. Tulia Ackson

  • @chrithicksambo2287
    @chrithicksambo2287 Před rokem +11

    huyu mwanamke saiz kabadilika aiseee 🤣🤣🤣 ahsant sana 🙏

  • @amsiabbas3809
    @amsiabbas3809 Před rokem +7

    😂😂😂 Siku akiwa kwenye kiti Docter Tulia Nafurahi sana kulitazama Bunge Maana sio Spika Wamchongo hata kidogo

  • @ajuayelubano9595
    @ajuayelubano9595 Před rokem +4

    tuwe tu wastaarabu jamani kwa suala la waziri wa fedha tumepigwa, naomba kuwasilisha.

  • @williamchongeraj
    @williamchongeraj Před rokem +7

    Huyu Mwigulu atupishe kazi imemshinda

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před rokem

      Nashangaa Raisi sijui kwa nini anambeba mtu hawezi kabisa

  • @poolkingservices6928
    @poolkingservices6928 Před rokem +5

    Huu siyo u daktar wa darasani. Tuna madoctors wengii Tanzania. Huo ni udoctor wa damu. Anajua kutetea haki na ukweli bila kigugumizi. Hongera sana dada Yetu na Spika wa Bunge la 🇹🇿 Nimeupenda msimamo na hoja zake.🙏

  • @edwardnatharyblessed7067

    Congratulations sana mama yetu Dkt.Tulia, waziri ameshindwa kuelewa swali kabisa kabisa

  • @muharamiesther5908
    @muharamiesther5908 Před rokem +11

    Msukuma😂😂😂😍

  • @maryshirima1234
    @maryshirima1234 Před rokem +11

    Kwa kweli mwenyewe nimekuelewa spika toka mwanzo maana haihitaji kwenda shule kuelewa concept hizo mbili ziko sahihi kulingana na kila mmoja anapovutia sema waziri wa fedha kwa hapo kazingua.

  • @joshuamassawe2474
    @joshuamassawe2474 Před rokem +27

    I like her. Give this woman the presidency.

  • @meddydoubledi1675
    @meddydoubledi1675 Před rokem +11

    Huyu dada tulia anajua xana pia ni anajielewa sana

  • @mikemollel8396
    @mikemollel8396 Před rokem +5

    dah tunapigwa sana waziri hajui kit

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před rokem +2

    Mheshimiwa Raisi mtoe huyu Waziri wa Fedha hafai hata kidogo kwa nini unamngangania nini?anakutia aibu tu kwani msomi ni yeye tu

  • @mbakijonas6792
    @mbakijonas6792 Před rokem +4

    Tulia huyu mhuuuuuh 😁😁😁😁😁😁😁😁atawanyoosha afu inaonekana anamalengo mapana kuliko hako kausipika

  • @lordsmenas3267
    @lordsmenas3267 Před rokem +3

    Du! Nimeamin kweli tulia ni zaidi ya NDUGAI

  • @amsiabbas3809
    @amsiabbas3809 Před rokem +1

    Mwigulu awe waziri wa Nchi za mchongo tu kwanza Jeuri sana huyo na kauli zake zakejili kwa raia

  • @victorkalolo9517
    @victorkalolo9517 Před rokem +3

    Yan Katka viongoz huyu mweshimiwa sjawaig kukuelewa.🙇🙇🙇🙇

  • @ramazonejohnson2831
    @ramazonejohnson2831 Před rokem +5

    KWELI TUNAPIGWA AISE😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @emmanuelkisusu2465
    @emmanuelkisusu2465 Před rokem +3

    Waziri bwana😂😂 mama Tulia Ackson ni 🔥🔥🎻🎷🎷🎷🎸

  • @clevisaboytz544
    @clevisaboytz544 Před rokem +13

    Dr Tulia 🔥

    • @obeidmpombwe9951
      @obeidmpombwe9951 Před rokem

      Mwigulu ni tatizo sijuwi sijawahi kumwelewa kabisa

    • @amanichuwa6687
      @amanichuwa6687 Před rokem

      Mama amtoe huyu mtu watu wanamshambulia sana uwezo wake wa kutatua mambo ni mdogo

  • @juliusjoseph4889
    @juliusjoseph4889 Před rokem +3

    mwigulu amezoea kutudanganya😂😂😂😂😂😂😂leo kapatikana,i appreciate you tulia ackson

  • @michaelmachango3730
    @michaelmachango3730 Před rokem +1

    Huyu ni mbishi tu! Uhalisia wa takwimu za maji kitaifa sio sahihi!

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 Před rokem +2

    Huyu mwingulu nasemaga kila siku hakunaga kitu kwenye kichwa chake nakama anajua achokifanya Basi huyu ni mwanasiasa

  • @isaya43.12
    @isaya43.12 Před rokem +2

    Shkamoo mh spika nakuombea sana wasije wakakuuwa

  • @dismassmariki6985
    @dismassmariki6985 Před rokem +2

    Madame speaker your doing an amazing job na hongera sana kwa kweli.

  • @manasentazi5692
    @manasentazi5692 Před rokem +7

    Mwigulu mpaka umueleze vzr madame spika uwazir uliupataje pataje😎😎😂😂😂

  • @abdullherry3072
    @abdullherry3072 Před rokem +6

    Tulia anaupiga mwingi kuliko mama yenu

  • @fazeelshomary2704
    @fazeelshomary2704 Před rokem +12

    Mzee wa Trab na Trap kabananishwa tena😆😆😆

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 Před rokem +3

    Mwigulu na Makamba hawaaminiwi na wananchi wengi

    • @joeaub2185
      @joeaub2185 Před rokem +1

      weka na nape hao watu ni wa mchongo...

  • @amiria.mustafa9859
    @amiria.mustafa9859 Před rokem +3

    Sema waziri, mmh, hv unashindwa kumuelewesha spika wako, hiv asa unatusikilizaje wananch wako, 😥

  • @ludoviclymo2044
    @ludoviclymo2044 Před rokem +2

    Hatuna waziri wafedha tanzania

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 Před rokem +3

    Tulia ndio kiongozi tunaowataka sio zungu mpigaji tu na hana faida yeyote bungeni afukuzwe

  • @iddykivu1336
    @iddykivu1336 Před rokem +1

    Huyu mwizi huyu Yani Nchi Inaviongozi wa hovyo sana

  • @michaewilliam945
    @michaewilliam945 Před rokem +5

    Mimi ni mmoja kati watu ambao walikua awakufagilii sasa nikili tu kunakitu nimekiona kikubwa sana kwako niseme tu kuanzia Leo nimekukubali aisee na ninaomba uendelee ivyo ivyo tusaidie kama Taifa

  • @babujinga5819
    @babujinga5819 Před rokem +2

    Waziri kachemka huyo ndio waziri huyo..... Mhuu kazi kweli kweli

  • @makoye8388
    @makoye8388 Před rokem +3

    Mheshimiwa Tulia Mungu wa mbinguni akutunze🙏

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb Před rokem +1

    Kwa hiyo Mwigulu kama takwimu za kitaifa ni 74 percnt then kila kijiji ni asilimia hiyo hiyo.... ??? Ni kwamba kuna vijijini vitakuwa havina maji na kuna ambayo vitakuwa na asilimia zaidi ya 90.....

  • @yusuphchankwa4759
    @yusuphchankwa4759 Před rokem +1

    Hivi Mama kuweka tahila kama huyu kwenye wizara kubwa kama hii ya fedha aliona nini hivi Kwa hali kama hii tutatoboa kweli?

  • @waltertesha3312
    @waltertesha3312 Před rokem +2

    Upinzani ulikua unachangamsha bunge bwana🤣🤣🤣🤣 hili bunge limepoa sana

  • @immapeter640
    @immapeter640 Před rokem +5

    Mh spika🔥🔥

  • @noberthmsuyah884
    @noberthmsuyah884 Před rokem +2

    Ndio kabisa tulia spk upo sahihi wabunge wanatakiwa waelezee mpk mwananch wa huku kijijini nielewe

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 Před rokem +2

    Hapo Sawa kila Mhimili ufanye kazi yake...Taarifa kama haipo Sawa kutoka Serikalini lazima isimwe haipo Sawa na hiyo ndo kazi ya Bunge na haki isipopatikana Mahakama Lazima isimamie haki ipatikane🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @AmiriJuma-pp2xf
    @AmiriJuma-pp2xf Před rokem +1

    Hawa mawazili mnawatowa wapi akachunge mbuzi singia hakuna wazili hapo

  • @poolkingservices6928
    @poolkingservices6928 Před rokem +1

    Hongera sana Spika wetu. Unasimamia ukweli. Hicho kiti kinakutosha sana. 👏👏👏👏

  • @misanjolivigha2396
    @misanjolivigha2396 Před rokem +2

    MWIGULU UNACHEMKA, WAKATI WENZAKO WANAWATETEA WANANCHI WEWE UNATETEA MASLAHI YAKO BINAFSI UTAFIKIRI KIJIJINI KWENU HAWANA SHIDA KABISA....Yaani kila kitu kwako ni "TRAB & TRAT" tu.

  • @silaskojwando2450
    @silaskojwando2450 Před rokem

    sawa sana spika,mwigulu anakawaida ya kujibu kipuuzi

  • @rosemary3816
    @rosemary3816 Před rokem +2

    Big up mama uko vizuri👏👏

  • @adkajisi4536
    @adkajisi4536 Před rokem +4

    Hatari Sana hwa Mawaziri

  • @cosmaslunyembeleka251
    @cosmaslunyembeleka251 Před rokem +1

    Hapa ndipo SHULE inapofanya kazi kwa Dk Tulia

  • @nyangakaomari
    @nyangakaomari Před rokem +1

    Uelewa wa Mwigulu ni Mdogo alichosema na kilichosemwa ni kile kile ama kweli kichwa yake nzito.

  • @amisimudigo3726
    @amisimudigo3726 Před rokem +1

    huyu waziri wa fedha hakuna anachokijua zaidi ya wizi tu sijui huyu mama kamtoa wapi

  • @kishakisha730
    @kishakisha730 Před rokem

    Safi Sanaa Do Rulia umemwuliza swali gumu kwa mwugulu. Ana Cha kujibu.

  • @eliwandoakituku3713
    @eliwandoakituku3713 Před rokem +3

    Mbegu yamagufur

  • @annakisiga889
    @annakisiga889 Před rokem +1

    mwiguru hakuna kitu hapo tumepigwa ndio maana jpm alimtumbua akabaki na ubunge tu yaan hapo hakuna kitu kabisa

  • @alexkamba5264
    @alexkamba5264 Před rokem +1

    Ukweli Spika uko vzr xana big up

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 Před rokem +2

    Kwani lazima kuwa na wabunge wasielewa jamani , Dr tulia leo umenikosha na msukuma

  • @CyprianBCTanzania
    @CyprianBCTanzania Před rokem +5

    hebu Mwigulu ifike mahali aache MBAMBAMBA katika maisha ya watu

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před rokem

      Hafai huyu jamaa,Makamba,Nape hawafai hata kidogo

  • @zenj1986
    @zenj1986 Před rokem +1

    Asante Spika. Uko sawa kabisa

  • @nurunewz103
    @nurunewz103 Před rokem +2

    Waziri wa fedha gani anaeshindwa na hesabu ndogo.

  • @moshiomarymnyeda8907
    @moshiomarymnyeda8907 Před rokem +1

    Tulia ajengewe Mnara pale Nyerere square pembeni 😊😊😊😊💥💥💥

  • @niyimpumurizamoise2256
    @niyimpumurizamoise2256 Před rokem +1

    I really love mh msukumu from Burundi. Dr wa mathematics.

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Před rokem +1

    Waziri kama huyo Alitakiwa aachia ngazi.. ni mzingo . Harafu anajifanya eti amesoma uchumi. Hovyo..

  • @seifsaidseifsaid1210
    @seifsaidseifsaid1210 Před rokem +1

    Huyu waziri ni zero!

  • @simoncharles683
    @simoncharles683 Před rokem +1

    Yan Dr tulia anaakili Sana Mungu akubariki Sana ! Huyo mwingine anajiita dokta wa hesabu ona sasa udaktar wake sasa zero plus

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Před rokem +2

    Wababaishaji watanyoooka tu hivi u Dr mwigulu aliupataje??maana anaonekana zero brain

  • @zaikiumba7861
    @zaikiumba7861 Před rokem +3

    Hakika ww Ni mpenda haki

  • @happymarchiusnjungani1138

    Mh .Spika barikiwa Sana hawa mawazir hawatatufikisha

  • @barakaelkaaya40
    @barakaelkaaya40 Před rokem +1

    waziri wa fedha anapaniki, wa nishati naye hivyo hivyo ndo awamu ya 5 hawakuwepo.hawa wapigaji ndo maana wanapaniki

  • @efraimrichard6440
    @efraimrichard6440 Před rokem +2

    Safi sana tulia napenda unavowabana huwangalii sura ya mtu sio waziri sio sio nani ukiona vitu haviendi sawa unambana Safi Sana hupendelei nakuelewa sawa doct TULIA ACKSON

  • @musabarnabas7628
    @musabarnabas7628 Před rokem +5

    Huyu ni waziri mzigo sana. Rais inabidi amtumbue. Yeye kama waziri:
    1. Anatuwakilisha wananchi kuisimamia wizara
    2. Anaiwakilisha wizara kuisemea bungeni
    Nasikitika kusema kuwa vyote viwili havifanyi ipasavyo.
    Kwenye kuiwakilisha wizara bungeni, achukue mfano wa Profesa Mkenda. Aliwatendea haki watumishi wa wizara ya Elimu kufafanua suala la kupanga shule bora.
    Yeye Mwigulu, inapokuja suala la kufafanua mambo kwa niaba ya wizara, yeye anachagua jazba badala ya hekima. Naanza kuwa na wasiwasi na huyu ndugu. Inawezekana huwa hazingatii briefing kutoka kwa wataalam wa wizara yake.

    • @raybby9291
      @raybby9291 Před rokem

      Yani me sijui kwanini mpaka leo awajamvua hicho cheo kila siku yy kimeo uyu angefanya hivi enzi za magu angezaa wima simpendi ata kidogo

    • @athumanimhina1869
      @athumanimhina1869 Před rokem

      Ukweli ukidhihiri uongo hujitenga huyu waziri ni hafai sijui kwanini rais hamtumbui

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 Před rokem +1

    Yaani enzi za JPM angekuwa ameshapigwa chini huyu Waziri wa Fedha.

  • @pelegrinmwamba1594
    @pelegrinmwamba1594 Před rokem +1

    I love you mama