Dr.Tulia Akson ..big up,so smart
Tulia unafanya watu wajivunie watoto wa kike
Mh. Tulia wewe ni mlezi na mwenye haki moyoni mwako.
Tulia sio kwa kumnyuka hivyo mwiguru😂😂atakuwa akikuona anatamani kulia😂😂
Lazma aanze kumuogopa, maana siku zile alihojiwa hadi tukapata ile trab na trant...leo tena kajaa kwenye 18 tena
Hongera sana Mh. Spika kwa kutokukubali uongo wa baadhi ya mawaziri kama walivyozoea business as.....
Hii ndio raha ya kuwa na Spika Daktari wa Sheria, Big up sana Mama Speaker, Uishi miaka mingi bungeni mama👏👏👏🙌🙌🙌🤝🤝🤝🙏🙏🙏
Raha ya kuwa na kiongozi mwanamke( mama🥰) anayejua uchungu wa kubeba ndoo
Nakupenda mpk naumwa🥰🥰
Hongera sana Mheshimiwa spika kwa elimu unayotowa mara kwa mara kwa mawaziri na wabunge wanaojifanya wajuaji!
I see the bright future for this woman...May God bless her
Big up sana Dr.Tulia Akson, speaker wa bunge la Tanzania. Tungepata pia na wabunge hata 7 wa upinzani ambao ni machachari hakika tungefika mbali sana.
Upinzani ndo nini we nae! Mlishajiaminisha mtu kua mpinzani ndo anakua mkweli? Humo ndani huwaoni wabunge walio machachali kutetea wananchi? We unawaza upinzani tu, mpinzani ni mTanzania na hao CCM ni waTanzania
@@georgemassebu2083usifikili kuwa kila mtu anayesema wawepo na wapinzani ukahisi na yeye ni mpinzani. Inabidi uangalie mbali ni kwanini huyu mtu kasema hivyo. Ipo siku utakubaliana nami.
Muda wote waliokuwemo mlifika wapi au unaleta ushabiki wa kitoto tu hapa
dada tulia mungu akulinde nakupenda tu
dr Tulia your the best and you deserve to be in that position
Mzimu wa magufuli umemuingia Tulia Acson . Big up mama
TRAB NA TRAT😎🎼🎶🎵🎧
Nakumbuka Magufuli aliwahi kumpiga gwala toka siku ile ndio nikatambua kabisaa ya kwamba Magufuli anaona mbali sana 🤣🤣
Hapo ndiyo unafahamu kwamba spika ni msomi anasimamia haki hatetei ujinga
Asante madam Kama Jimbo letu la kibamba ni asilimia moja tu ya watu wanaopata maji asilimia 99 hatujui maji ya bomba tunatumia maji chumvi je uko vijijini si ndio kabisa
Asante spika Tulia. Nimekukubali kwa kusimamia hoja. Keep it up💪💪👍
KUNAKITU NINAKIONA HAPA KIZURI SANA NAOMBA ENDELEA HIVYO HIVYO ILI UJE KUWA HAFITHI NZURI KATIKA TAIFA Ila utakuwa MWANAMKE wa 1 MZALENDO mpaka Sasa unakaribia Ila MUNGU akujalie kwa Imani yako mama angu hongera Ila ww NI MZALENDO unakaribia MUNGU akujalie usije ukawa upande wa hao majambazi hongera sana
Ubarikiwe sana Mhe.Spika Tulia Akson. Ninaiman na wewe kwa haki unayointenda katika nafasi yako.
Mwigulu bwana!!! Hoja IPO wazi,,,,,msukuma anaweza kuwa mbunge no 1 kwa hoja ambazo Ni real
Yan mwaka huu, kiukwery aisee dah😥😥😥yan hata kwenye maj bado watu wanajing'ata ng'ata eeh mungu weeeeh😥😥😥
Hongera sana mh tulia mana umetusaidia nasisi wananchi kujua/ kupata ufafanuzi zaidi ubalikiwe sana.
Unajua Haya majibu ya serikali lzm ya we yanajitosheleza. Naona Kama Waziri hayuko happy sana kubanwa hivyo.
Shauri yake kubanwa. Ndiyo maana kuwa waziri wa michongo. Mwigulu ni tunda bovu.
Mama yetu Dr. Tulia you have wisdom God bless you mum🇹🇿
Yaan huyu jamaa huwa simuelewi Haki ya Mungu asee huyu jamaaa liwekwe jiwe na yeye bora nichague jiwe kuliko huyu jamaa asee
Huyu mama kiboko
....Trab na trat 😂😂😂😂
Mwigulu has attended the class in a Parliament Meeting Hall. Congratulations Dr. Tulia Ackson
😂😂😂 Siku akiwa kwenye kiti Docter Tulia Nafurahi sana kulitazama Bunge Maana sio Spika Wamchongo hata kidogo
tuwe tu wastaarabu jamani kwa suala la waziri wa fedha tumepigwa, naomba kuwasilisha.
Huu siyo u daktar wa darasani. Tuna madoctors wengii Tanzania. Huo ni udoctor wa damu. Anajua kutetea haki na ukweli bila kigugumizi. Hongera sana dada Yetu na Spika wa Bunge la 🇹🇿 Nimeupenda msimamo na hoja zake.🙏
Congratulations sana mama yetu Dkt.Tulia, waziri ameshindwa kuelewa swali kabisa kabisa
Msukuma😂😂😂😍
Kwa kweli mwenyewe nimekuelewa spika toka mwanzo maana haihitaji kwenda shule kuelewa concept hizo mbili ziko sahihi kulingana na kila mmoja anapovutia sema waziri wa fedha kwa hapo kazingua.
Huyu dada tulia anajua xana pia ni anajielewa sana
dah tunapigwa sana waziri hajui kit
Mheshimiwa Raisi mtoe huyu Waziri wa Fedha hafai hata kidogo kwa nini unamngangania nini?anakutia aibu tu kwani msomi ni yeye tu
Tulia huyu mhuuuuuh 😁😁😁😁😁😁😁😁atawanyoosha afu inaonekana anamalengo mapana kuliko hako kausipika
Du! Nimeamin kweli tulia ni zaidi ya NDUGAI
Mwigulu awe waziri wa Nchi za mchongo tu kwanza Jeuri sana huyo na kauli zake zakejili kwa raia
Yan Katka viongoz huyu mweshimiwa sjawaig kukuelewa.🙇🙇🙇🙇
KWELI TUNAPIGWA AISE😭😭😭😭😭😭😭😭
Waziri bwana😂😂 mama Tulia Ackson ni 🔥🔥🎻🎷🎷🎷🎸
Dr Tulia 🔥
Mama amtoe huyu mtu watu wanamshambulia sana uwezo wake wa kutatua mambo ni mdogo
mwigulu amezoea kutudanganya😂😂😂😂😂😂😂leo kapatikana,i appreciate you tulia ackson
Huyu ni mbishi tu! Uhalisia wa takwimu za maji kitaifa sio sahihi!
Huyu mwingulu nasemaga kila siku hakunaga kitu kwenye kichwa chake nakama anajua achokifanya Basi huyu ni mwanasiasa
Shkamoo mh spika nakuombea sana wasije wakakuuwa
Madame speaker your doing an amazing job na hongera sana kwa kweli.
Mzee wa Trab na Trap kabananishwa tena😆😆😆
Sema waziri, mmh, hv unashindwa kumuelewesha spika wako, hiv asa unatusikilizaje wananch wako, 😥
Hatuna waziri wafedha tanzania
Tulia ndio kiongozi tunaowataka sio zungu mpigaji tu na hana faida yeyote bungeni afukuzwe
Huyu mwizi huyu Yani Nchi Inaviongozi wa hovyo sana
Mimi ni mmoja kati watu ambao walikua awakufagilii sasa nikili tu kunakitu nimekiona kikubwa sana kwako niseme tu kuanzia Leo nimekukubali aisee na ninaomba uendelee ivyo ivyo tusaidie kama Taifa
Waziri kachemka huyo ndio waziri huyo..... Mhuu kazi kweli kweli
Mheshimiwa Tulia Mungu wa mbinguni akutunze🙏
Kwa hiyo Mwigulu kama takwimu za kitaifa ni 74 percnt then kila kijiji ni asilimia hiyo hiyo.... ??? Ni kwamba kuna vijijini vitakuwa havina maji na kuna ambayo vitakuwa na asilimia zaidi ya 90.....
Hivi Mama kuweka tahila kama huyu kwenye wizara kubwa kama hii ya fedha aliona nini hivi Kwa hali kama hii tutatoboa kweli?
Upinzani ulikua unachangamsha bunge bwana🤣🤣🤣🤣 hili bunge limepoa sana
Mh spika🔥🔥
Ndio kabisa tulia spk upo sahihi wabunge wanatakiwa waelezee mpk mwananch wa huku kijijini nielewe
Hapo Sawa kila Mhimili ufanye kazi yake...Taarifa kama haipo Sawa kutoka Serikalini lazima isimwe haipo Sawa na hiyo ndo kazi ya Bunge na haki isipopatikana Mahakama Lazima isimamie haki ipatikane🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Hawa mawazili mnawatowa wapi akachunge mbuzi singia hakuna wazili hapo
Hongera sana Spika wetu. Unasimamia ukweli. Hicho kiti kinakutosha sana. 👏👏👏👏
MWIGULU UNACHEMKA, WAKATI WENZAKO WANAWATETEA WANANCHI WEWE UNATETEA MASLAHI YAKO BINAFSI UTAFIKIRI KIJIJINI KWENU HAWANA SHIDA KABISA....Yaani kila kitu kwako ni "TRAB & TRAT" tu.
sawa sana spika,mwigulu anakawaida ya kujibu kipuuzi
Big up mama uko vizuri👏👏
Hatari Sana hwa Mawaziri
Hapa ndipo SHULE inapofanya kazi kwa Dk Tulia
Uelewa wa Mwigulu ni Mdogo alichosema na kilichosemwa ni kile kile ama kweli kichwa yake nzito.
huyu waziri wa fedha hakuna anachokijua zaidi ya wizi tu sijui huyu mama kamtoa wapi
Safi Sanaa Do Rulia umemwuliza swali gumu kwa mwugulu. Ana Cha kujibu.
Mbegu yamagufur
mwiguru hakuna kitu hapo tumepigwa ndio maana jpm alimtumbua akabaki na ubunge tu yaan hapo hakuna kitu kabisa
Ukweli Spika uko vzr xana big up
Kwani lazima kuwa na wabunge wasielewa jamani , Dr tulia leo umenikosha na msukuma
Asante Spika. Uko sawa kabisa
Waziri wa fedha gani anaeshindwa na hesabu ndogo.
Tulia ajengewe Mnara pale Nyerere square pembeni 😊😊😊😊💥💥💥
I really love mh msukumu from Burundi. Dr wa mathematics.
Waziri kama huyo Alitakiwa aachia ngazi.. ni mzingo . Harafu anajifanya eti amesoma uchumi. Hovyo..
Huyu waziri ni zero!
Yan Dr tulia anaakili Sana Mungu akubariki Sana ! Huyo mwingine anajiita dokta wa hesabu ona sasa udaktar wake sasa zero plus
Wababaishaji watanyoooka tu hivi u Dr mwigulu aliupataje??maana anaonekana zero brain
Hakika ww Ni mpenda haki
Mh .Spika barikiwa Sana hawa mawazir hawatatufikisha
waziri wa fedha anapaniki, wa nishati naye hivyo hivyo ndo awamu ya 5 hawakuwepo.hawa wapigaji ndo maana wanapaniki
Safi sana tulia napenda unavowabana huwangalii sura ya mtu sio waziri sio sio nani ukiona vitu haviendi sawa unambana Safi Sana hupendelei nakuelewa sawa doct TULIA ACKSON
Huyu ni waziri mzigo sana. Rais inabidi amtumbue. Yeye kama waziri:
1. Anatuwakilisha wananchi kuisimamia wizara
2. Anaiwakilisha wizara kuisemea bungeni
Nasikitika kusema kuwa vyote viwili havifanyi ipasavyo.
Kwenye kuiwakilisha wizara bungeni, achukue mfano wa Profesa Mkenda. Aliwatendea haki watumishi wa wizara ya Elimu kufafanua suala la kupanga shule bora.
Yeye Mwigulu, inapokuja suala la kufafanua mambo kwa niaba ya wizara, yeye anachagua jazba badala ya hekima. Naanza kuwa na wasiwasi na huyu ndugu. Inawezekana huwa hazingatii briefing kutoka kwa wataalam wa wizara yake.
Yani me sijui kwanini mpaka leo awajamvua hicho cheo kila siku yy kimeo uyu angefanya hivi enzi za magu angezaa wima simpendi ata kidogo
Ukweli ukidhihiri uongo hujitenga huyu waziri ni hafai sijui kwanini rais hamtumbui
Yaani enzi za JPM angekuwa ameshapigwa chini huyu Waziri wa Fedha.
I love you mama
Asante mheshimiwa spika. Taifa hili tunahitaji watu wakweli ili tufike. Dr. Tulia Mungu akutunze mama yangu😍...Msukuma tunakupa PhD nyingine tena😍
Mweshimiwa sipika sisi tunakushukuru kwa pointi
Wewe acha ujinga unatoa ela hizo ela ni zako wewe ela ni zetu za walipa kodi