Mke wa Mbarikiwa aongea baada ya mumewake KUHUKUMIWA MIAKA3 JELA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 09. 2023

Komentáře • 500

  • @obedimunguachiza8434
    @obedimunguachiza8434 Před 10 měsíci +11

    Moto wa Bwana umewaka, dunia nzima itashuhudia Mungu wa Israel, Mungu wa Isaka na Yakobo, uwe hodari dadangu Solome Bwana yu pamoja nanyi.

  • @adorchmassimba4413
    @adorchmassimba4413 Před 10 měsíci +8

    Mama m,barikiwa Mungu akutie nguvu ya imani na akupe moyo wa uvumilivu kwa magumu unayopitia

  • @user-su6xu7ks7m
    @user-su6xu7ks7m Před 10 měsíci +16

    Serikali kufunga watu wa Mungu inajidhalilisha na kuwapa maarufu wenye Haki.

  • @ngendakuriyotriphose8109
    @ngendakuriyotriphose8109 Před 10 měsíci +13

    Tunachojuwa Mungu atajibu kwa wakati wake.

  • @June-dq6pr
    @June-dq6pr Před 9 měsíci +3

    Let mbarikiwa Preach the gospel in those prison God has a purpose for him to be there let the gospel go on

  • @mikbete
    @mikbete Před 10 měsíci +2

    Mtumishi you are great, keep moving.

  • @nurutakatifu
    @nurutakatifu Před 10 měsíci +11

    Africa hakuna jipya, unyanyasaji tu hakuna haki yoyote. Ila mtu mwovu hawezi baki salama. Serikali hizi za kidunia ndiyo chanzo kikubwa cha uovu wote unaotokea hii leo haswa Bara letu la Africa. Watumishi wa Mungu wa kweli lazima kukemea maovu mana hii ndiyo kazi katika ufalme wa Mungu.

    • @jurdanforwardersltd1460
      @jurdanforwardersltd1460 Před 9 měsíci

      TATIZO UNAKEMEAJE,HATA WEWE UKIAMBIWA JAMBO KWA UZALILISHAJI UTAKUBALI KWELI/KUA MKWELI JUU YA ILI.KAMA KIONGOZI WA KIRORHO UNATOKA NA KUWASEMA WENZIO ADHARANI TENA KWA KUWADHALILISHA NI SAHIHI?MBONA HAYA USEMI.HATA MUGU AKUTUFUNDISHA HIVYO TUACHE UBINAFSI KWA KUA UNAPENDA SEHEMU KWA HIYO ILI AKIFANYIWA MWINGIE WEWE UNAHONA SAWA.

  • @Mathiasamani202
    @Mathiasamani202 Před 8 měsíci +1

    Samia usicheze na watumishi wa Mungu haswa waktisto hutakufa tu Bali utateseka sana kabla ya kufa kama una skio sikia utajutia siku Moja,poleni sana kikosi KAZI ❤

  • @medardtaligilsa8938
    @medardtaligilsa8938 Před 10 měsíci +1

    Pole sana mke wa mwakipesile ninachoweza kusema kwa roho ni hiki watoe vinywani mwenu wapakwa mafuta wa bwana.ongoza watu ktk utakatifu hiyo tu ndo muliyoitiwa namuombea mwakipesile akiwa gerezani awaombe radhi watumishi wa mungu anaowaita panya nk

  • @frankraphael7546
    @frankraphael7546 Před 9 měsíci +4

    Pole sana mama mungu yupo Samia Samia Samia watanzania tunakuona

  • @perucebuhomaosward8512
    @perucebuhomaosward8512 Před 9 měsíci +2

    Pole sana Dada, machozi yako yatalipwa na Mungu. Mungu akutie nguvu🙏

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 Před 10 měsíci +25

    Pole sana mama Salome, Mungu awatienguvu kikosi kazi wote katika kipindi hiki kigumu, ila Mungu bado aweza kufanya jambo jipya.

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Před 9 měsíci +1

      mungu awatie ngufu ila yupo mungu

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Před 9 měsíci +1

      yupo mungu mwenye haki anayesimamia haki

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Před 9 měsíci +1

      uyo hakimu ipo siku atasimama mble za mungu ata toa esabu mble za mungu

  • @noeleliasi8401
    @noeleliasi8401 Před 10 měsíci +1

    Dah nafurahi kwa sababu Mungu ameenda kuongeza jeshi la kikosi kazi cha injili kutokea gereza la Tanzania..nasema hivi kabla na baada ya miaka 3 kikosi kazi cha injili kitawatoa povu saana, maaana upuuzi wote wa gerezani unakuja kuwekwa hadharani sasa Mungu awatie nguvu saana

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Před 10 měsíci

    Asante Moseskita hii Farao alishindikana,hii nimeipenda zaiiidi lakn Farao Firaun alizamishwa katka Bahar ya sham na MUNGU WA MUSSA sante mama MBARIKIWA dua za wa Tanganyika mungu atusaidie kuazibu,

  • @gadyjohn3815
    @gadyjohn3815 Před 9 měsíci +3

    Kiukweli huyu mama namkubali sana kuliko mbarakiwa, Mungu akusaidie sana.

  • @user-ik3fb9ic7s
    @user-ik3fb9ic7s Před 10 měsíci +7

    Trials and afflictions are part and parcel of the righteous. As the Lord lives, nothing by any means shall hurt you.

  • @RoseMayige-gn9qb
    @RoseMayige-gn9qb Před 10 měsíci +9

    Yesu yupo kazini mama mchungaji, atafanya njia pasipo na njia....Yesu Kristo akupe moyo mkuu.

    • @violetnasiche3535
      @violetnasiche3535 Před 10 měsíci

      Hahaha mko na kelekele muñgu nyinyu hii ni Dunia mhubiri injili kushugukika na sirikali ni nini hiyo

    • @MagufuliKamsamba-qq4ck
      @MagufuliKamsamba-qq4ck Před 9 měsíci

      Mmechokoza nyuki kwenye mzinga wake wauaji mmewafumbati

    • @user-wv9wc6yr1u
      @user-wv9wc6yr1u Před měsícem

      Wewe msicheze na Mwenyezi Mungu wa haki atayanyosha mapito yake

  • @turi386
    @turi386 Před 10 měsíci

    Poleni sana wandugu katika Kristo .Musiwe na wasiwasi Mbarikiwa anaingia kazini kuliko mbele.
    Muwe na nguvu Yesu ni mtawala wa milele

  • @moseskita4251
    @moseskita4251 Před 10 měsíci +14

    Farao alifikiri ameshindikana sana kwa sababu alikuw anaitwa mfalme na kulindwa sana lakn saa na wakati Mungu alipoamua kuwaokoa watu wake walokuwa wakiteswa katika nchi ya misri na huyo mfalme na watumishi wake,wote waliangamia.Yuleyule Mungu aliyetenda kipindi kile hajafa na wala hajapungua nguvu na uwezo wa kutenda na kuwaokoa watu wake,bado anaishi Namwomba asiyaache machozi ya wenye haki yakaendelea kutililika.Nakuomba Mungu usimame uwatetee watu wako.

    • @robertabel6984
      @robertabel6984 Před 10 měsíci

      @@hamisijuma8124 kelele wewe kafiri unakazwa beki nini?

    • @mamakoku5123
      @mamakoku5123 Před 10 měsíci

      mchungaji nilishasema watakufunga tu maana wanamamlaka ya dunia sio mbinguni utarudi uraiani tu.Tutamiss clip zako mpya, utaukosa uchaguzi wa urais

    • @SophiaCharo-cb7wp
      @SophiaCharo-cb7wp Před 9 měsíci

      ​@@hamisijuma8124🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😭

    • @rehemakanyere4188
      @rehemakanyere4188 Před 9 měsíci

      @@robertabel6984 mhhh

    • @jumaomari3842
      @jumaomari3842 Před 9 měsíci

      Viongozi.wadini.mimi.nasema.lazimi.muwe.na.hekima.busara.heshima.usiseme.maneno.ambayo.hayafai.kwa.watu.wengine.alafu.wewe.usijione.kanakwamba.wewe.uko.vizuri.kwamba.huna.mapungufu.hakuna.mume.wa.waume.msishindane.na.dola.dola.ni.kubwa.kuliko.kitu.chochote.

  • @washingtonngullo1988
    @washingtonngullo1988 Před 10 měsíci +2

    Mungu awatie nguvu na muendelee kumtevemea ktk jina la yesu kristo

  • @stevesungura6789
    @stevesungura6789 Před 10 měsíci +1

    Poleni. Nawaomba msipigane kinwili, msilalamike, mwambieni Mungu mnayemwamini, pekekeni malalamiko yenu kwake.

  • @abinussamba6718
    @abinussamba6718 Před 9 měsíci +1

    Pole sana mama mchungaji na washirika wote, hakika Mungu yupo upande wenu kuwapigania.

  • @theodosigeorge8089
    @theodosigeorge8089 Před 10 měsíci

    Pole my mother,mungu yupo nasi ,na atajibu kwa wakati kwa haya waliyokutendea

  • @anethkalinga8160
    @anethkalinga8160 Před 9 měsíci

    Dada Salome mungu akutie nguvu pamoja na kikosi kazi Kwa ujumla mungu wetu ni mkuu hajawah shindwa rohon tunaumia sana Kwa haya unayo yapitia mungu akutie nguvu mama

  • @monicarobert7053
    @monicarobert7053 Před 9 měsíci

    Pole sana mamchungaji,Mungu ajachoka wala hajakusahau ipo siku usiyoijua miujiza itatendeka juu yako,

  • @ivanjeromemujaki9709
    @ivanjeromemujaki9709 Před 9 měsíci

    Nimeangalia hii video
    Imeniumiza sana.
    Ukweli kama ningekuwa peke yangu ningelia sana..
    Yeyote anayejitokeza kupinga uovu anakuwa mbaya, vyombo vya dola vinamuandama, haijalishi ni mwanachama wa ccm au laah! Dunia iko hiv, kwenye hili la kumfunga mtumishi wa Mungu tena anayehubiri haki ni kumdhihaki Mwenyezi Mungu mwenyewe.

  • @noreenenock5279
    @noreenenock5279 Před 10 měsíci +2

    Nimeumia sana jaman polen

  • @juliusgitonga363
    @juliusgitonga363 Před 10 měsíci

    Pole sana Mtumishi kwa kweli mwenye haki ako hatarini kubwa

  • @veronicanzingula5426
    @veronicanzingula5426 Před 9 měsíci +1

    Mungu ni mwema Mama yangu Mungu atakupigania wew n mshind mama.

  • @medsonulendo4221
    @medsonulendo4221 Před 10 měsíci

    Mama mubarkiwa Pole ni jambo rahis kutendewwa ila unae tenda tafakar kbla hajatenda kwa mwingine mungu simama na mioyo na wenye haki na sio uson petu mungu anaish na mioyo yetu na atalipa kadri ya ukweli uliopo mioyon mwetu

  • @ukumbushoadam5691
    @ukumbushoadam5691 Před 9 měsíci

    Pole sana mama Mbarikiwa
    Mungu wetu ni mkuu sana Atatenda jambo Ila nao hawa waovu Mungu atafanya jambo kwao.🤔🙏🙏

  • @user-il8wn9ko9y
    @user-il8wn9ko9y Před 10 měsíci +1

    Mbalikiwa ni mtu wa mungu .mungu ameona mateso shida ziki huzuni mioyo ya watu inaumia . Kwaiyo mungu ameona bola ampeleke mwakipesile kule gelezani ili akawakomboe watu wa mungu . Kwaiyo kwangu siwezi kuuzunika hata kidogo wala kuumia kwani mageleza yanaitaji huduma kama ya mwakipesile .

  • @simonkipondo1453
    @simonkipondo1453 Před 10 měsíci +1

    Hii ni laana Kwa watawala, maana Hawa watu maisha Yao wamemkabizi Mungu, Sasa Mungu lazima atawaonekania tu

  • @muchirihenry3732
    @muchirihenry3732 Před 6 dny

    Pole sana,Mungu atatenda maajabu na adui wote wataangamia

  • @user-kd6xr8lz1x
    @user-kd6xr8lz1x Před 10 měsíci +2

    Pole sana mama ,pia na watumishi wote

  • @samwelilulandala2384
    @samwelilulandala2384 Před 9 měsíci

    Wamepisha uchaguzi usiharibika! Niseme mungu awe pamoja nanyi na kamwe hatawapungukia wenye haki! Amina

  • @mfirimassawe9023
    @mfirimassawe9023 Před 10 měsíci

    Mungu akutoe nguvu mama,wahuni watafia najisi TU,Bali wenye haki watafia katika haki

  • @fatumatandika6220
    @fatumatandika6220 Před 10 měsíci

    Pole sana mzazi Mungu anaona na halali tuvute subirà

  • @gililwise
    @gililwise Před 10 měsíci

    Mama salome.aishivyo Mungu atasimama na hao watesi wa mbarikiwa.tuvae magunia na kuomboleza na tusimamie zaburi 109.

  • @user-xs7gz9uq8i
    @user-xs7gz9uq8i Před 10 měsíci

    Polen sana kikosi kazi injili mungu yupo kila mtu anayehusika atalipa

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 Před 10 měsíci

    Duu hii tanzania inawatu wenye rohoo mbaya kma pilato .Mungu atusamehee ampe nguvu namoyo wakumwamini Mungu hko magereza

  • @sarahkeivaly3351
    @sarahkeivaly3351 Před 10 měsíci

    Poleni kwa ajili ya kiongozi wenu Mbarikiwa.
    Lkn naona pole hazijawa nyingi sana sababu ya kumu-atack mtumishi mwal Mwakasege

  • @antidiusmushobozisospeter
    @antidiusmushobozisospeter Před 10 měsíci

    Poleni sana familia Mungu yuko kazini

  • @stevenvictor437
    @stevenvictor437 Před 10 měsíci +3

    Yanamwisho, ilivyo maisha ya mwanadamu pia. Mungu akutie nguvu mama mchungaji.

  • @sayunimkongwa9830
    @sayunimkongwa9830 Před 10 měsíci +2

    Mama mchungaji Mungu akushike

  • @patrickmathiasnsalanga3401
    @patrickmathiasnsalanga3401 Před 9 měsíci

    Ee Mungu tunakuomba usikie maombi na dua za watoto wako. Tumekuwa kama watu wasiokuwa na haki. Lakini tunaamini utakuwa pamoja nasi katika kipindi hiki ambacho tunakuhitaji zaidi ya kipindi chochote. Baba maumivu yetu ni makali sana hata wewe unajua,. Tutawezaje kuvuka hapa bila wewe? Mungu tunaomba utukumbuke. Tutaendelea kuliitia jina lako hata kwa kugugumia, . Asante Mungu kwasababu bado tunaishi.

  • @user-ex9gt9np8i
    @user-ex9gt9np8i Před 9 měsíci

    Poleni watu wangu hayo no mapito msiogope mungu you pamoja nanyi pole salome

  • @user-jc8el6je5e
    @user-jc8el6je5e Před 10 měsíci

    Pole mama...

  • @amoniTv1148
    @amoniTv1148 Před 10 měsíci +4

    Kufungwa kwa kamanda sio mwisho wa mapambano

  • @happyiskaka
    @happyiskaka Před 10 měsíci

    Mungu awatie nguvu.Mungu awasimamie Mungu asinyamaze kwenu inauma mno

  • @ayoubmwangonji2357
    @ayoubmwangonji2357 Před 10 měsíci

    Kama ni Mungu wakweli anaye mtumikia hata mwacha gerezani hata mitume walifugwa kwa kuhubili kweli huko nako kuna watu ataende kuokoa wengine kwa anjili ya kweli mwisho Mungu atamtoa 😭😭😭😭 tusimwachie Mungu tu jitihada ziendelee za wanasheria huku tukiomba Mungu

  • @nicolaskalunde
    @nicolaskalunde Před 10 měsíci

    Dunia ni mapito hiki ni kipindi Mungu ametaka kiwepo. Poleni sn watu wa Mungu.

  • @asubisye16
    @asubisye16 Před 10 měsíci +1

    Poleni sana haya yatapita. Nadhani hapa ukombozi ndipo utakapoanzia

  • @faustinemavere1450
    @faustinemavere1450 Před 10 měsíci

    Mungu akutie nguvu mama mchungaji hebu mwachie Mungu ndo ajuaye Mungu akufute machozi hebu ongea na baba wa mbinguni pole sana mwombee mmewe mkono wa Mungu ndo wenye haki acha kulia jamani

  • @davinesfarm2178
    @davinesfarm2178 Před 10 měsíci

    Mungu yeye ajua ya takao fuata, eeeeeeeeeeh binadam hawa ambao hawana utu .Mama Mungu akutie nguvu nasi pia asitusahau Ameeeen.

  • @nellykanyiki4365
    @nellykanyiki4365 Před 10 měsíci

    Mzee wngu babangu role model wng Mimi aliko nimeumia sana Tena San Mungu yupo anaish Tena Yu hai ata Kama mtakuwa washind kwa mti huyu huyu bas tuonane bandarini kila tone la haki litalipwq ss tu watu was Mungu had kutufanyia haya hi nch niyamajitu

  • @user-fr7jj1bo7y
    @user-fr7jj1bo7y Před 10 měsíci +11

    Tanzania ni nchi ya ajabu sana yaani Mchungaji anafungwa miaka mitatu kwa kuanzisha kanisa bila usajili?? ni ajabu sana lazima hpo kuna mkono wa mtu kutoka juu kwani si kosa la kifungo ni civil disobedience ni kosa la kupigwa faini tena ndogo tu halafu afuate utaratibu wa kusajili kanisa lake. kateni rufaa haraka sana tumeni namba hapa ya kuchangia pesa za kukatia rufaa please.

    • @zawadiluvanda8162
      @zawadiluvanda8162 Před 10 měsíci

      poleni sana ila hayo ni.mapito Mungu wa mbinguni yu pamoja nasi
      tupia namba ya kukataa rufani hapo hamna kesi

    • @hildandumbalo5827
      @hildandumbalo5827 Před 10 měsíci

      Poleni sana mdogo wangu Salome Mbarikiwa ni shujaa tu Serikali hii ukatili umezidi

    • @nebortshango728
      @nebortshango728 Před 10 měsíci +1

      Pole mama ila kateni rufaa tu mapema hakuna sheria hiyo

    • @LastdayJesu4153
      @LastdayJesu4153 Před 10 měsíci

      Yohana mbatizaji alifugwa wakamkata kichwa hayo ni sehemu ya maisha ya ushindi tunapanda na kuvuna

    • @venancenkoronko9250
      @venancenkoronko9250 Před měsícem

      Na nyie muwe mnafuata uataratibu ,. Shida ya hata madhehebu madogomadogo hata elimu dunia hawana wanafanya vitu kienyejienyeji

  • @deuskamugisha3627
    @deuskamugisha3627 Před 10 měsíci

    Pole sana mama ....ila amini nakwambia kwamba wakati wa Bwana ni sasa

  • @gwantwamwaipungu9652
    @gwantwamwaipungu9652 Před 10 měsíci +1

    Mungu awatie nguvu msiache kushikama kama Baba yenu alivyo kuwepo nimesikia kulia kwa uchungu Mungu atalipa

  • @neemamwalende9740
    @neemamwalende9740 Před 10 měsíci

    Amen imeenda hy

  • @piusanthony3907
    @piusanthony3907 Před 10 měsíci

    Mwenyezi Mungu awatie nguvu katika magumu yote.Akika Mungu atasimama

  • @VesterAndrea-tx2ox
    @VesterAndrea-tx2ox Před 10 měsíci +2

    Pole mama yangu, mungu awatie nguvu kikos kaz, naamini mungu atafanya njia pasipo na njia . Nawaombea

  • @BotulphusAugustine
    @BotulphusAugustine Před 10 měsíci +1

    Mungu yu hai anajua acha awezi aibika atajibu tu kufunga si mwisho wakusudi la Mungu

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 Před 10 měsíci +1

    Tatizo unaweza ukawa mbele alafu ukiangalia nyuma unakuta amna mtu kwatanzania sio poa 🇹🇿 dada ata wewe uwe makini please 🙏 please 🙏 uwe makini

  • @princenelsonsinko5237
    @princenelsonsinko5237 Před 10 měsíci

    Mungu akutie nguvu mama mbarikiwa

  • @yoshubikalizi4185
    @yoshubikalizi4185 Před 9 měsíci

    Poleni sasa Mungu atatenda kazi

  • @PatricisAmani-ip4pm
    @PatricisAmani-ip4pm Před 9 měsíci

    Poleni sana sana Mungu awatie nguvu

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq Před 10 měsíci

    Mama nakuomba mjatahidi kufunga ilikuomba malipizi haiwezekani mambo haya mungu wa mbinguni ayafumbie macho kama hawa wawili aliye uliwa na aliyefungwa kama wana haki mbele za mungu mungu ni mwema atajibu emungu anaye tulinda siku zote za maisha yetu ya tabu na yaraha umefika wakati wa kuwaibisha hawa maherode bila kuficha kwa wamevaa mamlaka mpaka wamekuzidi ww uliye waumba kanisa sema eime

  • @ambakisyemwailongano6078
    @ambakisyemwailongano6078 Před 10 měsíci

    Amina mama mlefu

  • @IreneMwanaa-zo2wz
    @IreneMwanaa-zo2wz Před 9 měsíci

    Mwenyehaki wangu ataishi kwa Imani mungu awakumbuke

  • @YonaCharles-or6px
    @YonaCharles-or6px Před 9 měsíci

    Ee Mungu wa mbinguni nyoosha mkono wako haya mateso ya watu wako nimechoka kuyasikia naomba palipo na haki usiwaache manyanyaso yakome kwa jina la yesu na iwe kwel

  • @rachelkihaka9204
    @rachelkihaka9204 Před 8 měsíci

    😢😢😢😢😢😢 Mungu simama mwenyewe katika haki hii tetea kanisa lako tetea wanao baba hakimu mkuu niwewe tu haya yote angekuwepo magufuli yasingekuwepo haya Ila Mungu ni miuu zaidi Kuna sababu juu ya hili atafanya Jambo kwa wakati

  • @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
    @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp Před 10 měsíci

    Mungu nimwema mama wanao fanya haya mungu atalipa hata wakaye kwenye vti vilefu mungu atatenda bado kidogo

  • @MM-pd9ys
    @MM-pd9ys Před 10 měsíci +3

    "Kila mtu atakifia kitu fulani. Sisi tumechagua kufia haki"......maneno yanye nguvu sana. Mungu yupo na anaona kila jambo!

    • @denismugisha2
      @denismugisha2 Před 10 měsíci +1

      Doh kwa mtu mwenye kutafakari yanachoma mnoo

  • @yoshuasalum8623
    @yoshuasalum8623 Před 9 měsíci

    Daaa,nimejisikia kutokwa machozi. Lakini Mungu mwema atajibu, haiwezekani wenye haki ndio ndio wawe wa kuteseka na waovu wafurahiye maisha, ipo siku Mungu atageuza

  • @blanikamgaya-hh6ie
    @blanikamgaya-hh6ie Před 9 měsíci

    Pole Mama Mungu atajibu kwa wakati wake

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Před 10 měsíci

    Pole sana mama

  • @ezekielmirambo8704
    @ezekielmirambo8704 Před 10 měsíci

    Poleni sana!

  • @judithgodfrey6503
    @judithgodfrey6503 Před 10 měsíci

    Poleni watumishi. Mungu awatunze jamani

  • @saigonernest7631
    @saigonernest7631 Před 10 měsíci +1

    Mungu atawatia nguvuni simuda mahakimu wote walioahiriki na serikali motoulao unakuja son

  • @user-ze5yc9fl2z
    @user-ze5yc9fl2z Před 10 měsíci

    Pole sana mama mbarikiwa malipo ni hapa hapa duniani we subili tu

  • @zuwena2997
    @zuwena2997 Před 10 měsíci +1

    Mungu atawashugulikiya serikali ya Tanzanie kumfunga mtumishi wa Mungu bila kosa maombi ni silaha kubwa

    • @zuwena2997
      @zuwena2997 Před 10 měsíci

      Munaliza watumishi wa Mungu

    • @zuwena2997
      @zuwena2997 Před 10 měsíci

      Mungu atafanya kitu yupo kazini na malipo ni hapa chini ya juwa

  • @emiltonmartin4399
    @emiltonmartin4399 Před 10 měsíci

    Roho imeniuma sana kusikiliza kilio cha mama mchungaji mimi naamini bwana wetu Yesu kristo awezi kukaa kimya lazima atajibu maombi ya wanao simama na haki

  • @user-ft5uu3wm8d
    @user-ft5uu3wm8d Před 10 měsíci

    Ooh ni kweli mnyonge hana aki ila kunaye Mungu wa binguni anayeona haya yote na atasimama mwenyewe

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Před 10 měsíci

    Kwa hili wememgusa mboni ya jicho la Mungu....
    Subiri siku 7 tu Mungu atajitokeza kama mtetezi wetu. Nina hakika na hakika ya Mwenyezi Mungu.

  • @kilumiletvonline2001
    @kilumiletvonline2001 Před 10 měsíci

    Pole saana ni hivi kila jaribu Lina mlango wa kutokea,yajayo ni mazuri,atatoka na injili yake tunaielewa,nyimbo zake zinatubariki saaana hata Kama yupo huko anaendelea kuhubili hata sasa.

  • @MariaMsigwa-bh7tk
    @MariaMsigwa-bh7tk Před 9 měsíci

    Mwache mungu akupiganie mama pole siraisi kutokuwa nahasira

  • @erizabethiyohana7300
    @erizabethiyohana7300 Před 10 měsíci +3

    Mama mungu kaluhusu hili lakini naisikitikia tazania mungu anakuja namapigo yake

  • @samoramussa5336
    @samoramussa5336 Před 10 měsíci

    Unafugwaje kwakuto sajili tu kanisa wakati baa zinafunguliwa hovyo tu mitaani? Lakini tushukuru kwakila jambo kwakua yote nimapenzi ya mungu, poleni sana kikosi kazi imalikeni kwa hili.

  • @likimaro6
    @likimaro6 Před 10 měsíci +1

    Inauma sana

  • @user-hu1kc3ij9i
    @user-hu1kc3ij9i Před 9 měsíci +1

    Imeniuma sana tuombeane nchi hii imrudie Mungu .

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před 10 měsíci +4

    😂😂😂😂😂😂😂 Chokoza wote usichokoze Kitengo, imeisha hiyo Sasa itabaki yeye na Familia yake tu Mashabiki wote watapotea, tusubirie mropokaji mwingine Sasa, mshaambiwa uhuru una mipaka, kwa yeyote alieshiriki kutekeleza Hukumu Abarikiwe saana , mshukuru saana awamu hii hakuna mambo mengi ni vufungu vya sheria tu

  • @pastorjoshuajuma.2601
    @pastorjoshuajuma.2601 Před 9 měsíci

    Mungu akutie nguvu sana.

  • @omaryyusuph7877
    @omaryyusuph7877 Před 10 měsíci +3

    Uovu autadumu kwenye taifa la tanzania mungu atajibu soon

  • @RehemaAdamu-xu8xv
    @RehemaAdamu-xu8xv Před 9 měsíci

    Daah imeniuma sana jamani poleni sana ila naamini mungu hawezi kumwacha mtumishi wake ila mhhh hii sirikali

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest646 Před 10 měsíci

    Soon mama nawe utafata,ila jipe moyo kuna wasagaji na mashoga huko Mungu anawataka waisikie Injili.pole mama,pole kwa kanisa, baada ya hapo ni Yufu ajaye.mzee atatoka tu soon na mijamaa itaingia jela soon

  • @ebenezerchurchsupremetv9490
    @ebenezerchurchsupremetv9490 Před 9 měsíci

    Ila mlipowaonya sana na mkaona hawageuki ilibidi muwaache na muwe salama mbele ya Mungu na wanadamu,na hapo unapolia inamaana umeumia Sana kwa haya mnayopitia! Na mzazi wako hawezi kukuponda Kwa wale unao watuma wakawaulize.

  • @bigirimanairad2883
    @bigirimanairad2883 Před 10 měsíci +2

    Tunaye Mungu asiyeshindwa, yote anayaweza. Pia Mungu yupo pamoja nanyi.

  • @user-zt8vf9nf3u
    @user-zt8vf9nf3u Před 9 měsíci

    Pole sana, MUNGU tupo nanyi

  • @sayunimkongwa9830
    @sayunimkongwa9830 Před 10 měsíci

    Pole Sana mama Salome lakini bado Mchungaji Mbarikiwa Ana heri Sana.