Africa hakuna jipya, unyanyasaji tu hakuna haki yoyote. Ila mtu mwovu hawezi baki salama. Serikali hizi za kidunia ndiyo chanzo kikubwa cha uovu wote unaotokea hii leo haswa Bara letu la Africa. Watumishi wa Mungu wa kweli lazima kukemea maovu mana hii ndiyo kazi katika ufalme wa Mungu.
TATIZO UNAKEMEAJE,HATA WEWE UKIAMBIWA JAMBO KWA UZALILISHAJI UTAKUBALI KWELI/KUA MKWELI JUU YA ILI.KAMA KIONGOZI WA KIRORHO UNATOKA NA KUWASEMA WENZIO ADHARANI TENA KWA KUWADHALILISHA NI SAHIHI?MBONA HAYA USEMI.HATA MUGU AKUTUFUNDISHA HIVYO TUACHE UBINAFSI KWA KUA UNAPENDA SEHEMU KWA HIYO ILI AKIFANYIWA MWINGIE WEWE UNAHONA SAWA.
Samia usicheze na watumishi wa Mungu haswa waktisto hutakufa tu Bali utateseka sana kabla ya kufa kama una skio sikia utajutia siku Moja,poleni sana kikosi KAZI ❤
Pole sana mke wa mwakipesile ninachoweza kusema kwa roho ni hiki watoe vinywani mwenu wapakwa mafuta wa bwana.ongoza watu ktk utakatifu hiyo tu ndo muliyoitiwa namuombea mwakipesile akiwa gerezani awaombe radhi watumishi wa mungu anaowaita panya nk
Dah nafurahi kwa sababu Mungu ameenda kuongeza jeshi la kikosi kazi cha injili kutokea gereza la Tanzania..nasema hivi kabla na baada ya miaka 3 kikosi kazi cha injili kitawatoa povu saana, maaana upuuzi wote wa gerezani unakuja kuwekwa hadharani sasa Mungu awatie nguvu saana
Asante Moseskita hii Farao alishindikana,hii nimeipenda zaiiidi lakn Farao Firaun alizamishwa katka Bahar ya sham na MUNGU WA MUSSA sante mama MBARIKIWA dua za wa Tanganyika mungu atusaidie kuazibu,
Farao alifikiri ameshindikana sana kwa sababu alikuw anaitwa mfalme na kulindwa sana lakn saa na wakati Mungu alipoamua kuwaokoa watu wake walokuwa wakiteswa katika nchi ya misri na huyo mfalme na watumishi wake,wote waliangamia.Yuleyule Mungu aliyetenda kipindi kile hajafa na wala hajapungua nguvu na uwezo wa kutenda na kuwaokoa watu wake,bado anaishi Namwomba asiyaache machozi ya wenye haki yakaendelea kutililika.Nakuomba Mungu usimame uwatetee watu wako.
Dada Salome mungu akutie nguvu pamoja na kikosi kazi Kwa ujumla mungu wetu ni mkuu hajawah shindwa rohon tunaumia sana Kwa haya unayo yapitia mungu akutie nguvu mama
Nimeangalia hii video Imeniumiza sana. Ukweli kama ningekuwa peke yangu ningelia sana.. Yeyote anayejitokeza kupinga uovu anakuwa mbaya, vyombo vya dola vinamuandama, haijalishi ni mwanachama wa ccm au laah! Dunia iko hiv, kwenye hili la kumfunga mtumishi wa Mungu tena anayehubiri haki ni kumdhihaki Mwenyezi Mungu mwenyewe.
Mama mubarkiwa Pole ni jambo rahis kutendewwa ila unae tenda tafakar kbla hajatenda kwa mwingine mungu simama na mioyo na wenye haki na sio uson petu mungu anaish na mioyo yetu na atalipa kadri ya ukweli uliopo mioyon mwetu
Mbalikiwa ni mtu wa mungu .mungu ameona mateso shida ziki huzuni mioyo ya watu inaumia . Kwaiyo mungu ameona bola ampeleke mwakipesile kule gelezani ili akawakomboe watu wa mungu . Kwaiyo kwangu siwezi kuuzunika hata kidogo wala kuumia kwani mageleza yanaitaji huduma kama ya mwakipesile .
Ee Mungu tunakuomba usikie maombi na dua za watoto wako. Tumekuwa kama watu wasiokuwa na haki. Lakini tunaamini utakuwa pamoja nasi katika kipindi hiki ambacho tunakuhitaji zaidi ya kipindi chochote. Baba maumivu yetu ni makali sana hata wewe unajua,. Tutawezaje kuvuka hapa bila wewe? Mungu tunaomba utukumbuke. Tutaendelea kuliitia jina lako hata kwa kugugumia, . Asante Mungu kwasababu bado tunaishi.
Kama ni Mungu wakweli anaye mtumikia hata mwacha gerezani hata mitume walifugwa kwa kuhubili kweli huko nako kuna watu ataende kuokoa wengine kwa anjili ya kweli mwisho Mungu atamtoa 😭😭😭😭 tusimwachie Mungu tu jitihada ziendelee za wanasheria huku tukiomba Mungu
Mungu akutie nguvu mama mchungaji hebu mwachie Mungu ndo ajuaye Mungu akufute machozi hebu ongea na baba wa mbinguni pole sana mwombee mmewe mkono wa Mungu ndo wenye haki acha kulia jamani
Mzee wngu babangu role model wng Mimi aliko nimeumia sana Tena San Mungu yupo anaish Tena Yu hai ata Kama mtakuwa washind kwa mti huyu huyu bas tuonane bandarini kila tone la haki litalipwq ss tu watu was Mungu had kutufanyia haya hi nch niyamajitu
Tanzania ni nchi ya ajabu sana yaani Mchungaji anafungwa miaka mitatu kwa kuanzisha kanisa bila usajili?? ni ajabu sana lazima hpo kuna mkono wa mtu kutoka juu kwani si kosa la kifungo ni civil disobedience ni kosa la kupigwa faini tena ndogo tu halafu afuate utaratibu wa kusajili kanisa lake. kateni rufaa haraka sana tumeni namba hapa ya kuchangia pesa za kukatia rufaa please.
Mama nakuomba mjatahidi kufunga ilikuomba malipizi haiwezekani mambo haya mungu wa mbinguni ayafumbie macho kama hawa wawili aliye uliwa na aliyefungwa kama wana haki mbele za mungu mungu ni mwema atajibu emungu anaye tulinda siku zote za maisha yetu ya tabu na yaraha umefika wakati wa kuwaibisha hawa maherode bila kuficha kwa wamevaa mamlaka mpaka wamekuzidi ww uliye waumba kanisa sema eime
Ee Mungu wa mbinguni nyoosha mkono wako haya mateso ya watu wako nimechoka kuyasikia naomba palipo na haki usiwaache manyanyaso yakome kwa jina la yesu na iwe kwel
😢😢😢😢😢😢 Mungu simama mwenyewe katika haki hii tetea kanisa lako tetea wanao baba hakimu mkuu niwewe tu haya yote angekuwepo magufuli yasingekuwepo haya Ila Mungu ni miuu zaidi Kuna sababu juu ya hili atafanya Jambo kwa wakati
Daaa,nimejisikia kutokwa machozi. Lakini Mungu mwema atajibu, haiwezekani wenye haki ndio ndio wawe wa kuteseka na waovu wafurahiye maisha, ipo siku Mungu atageuza
Roho imeniuma sana kusikiliza kilio cha mama mchungaji mimi naamini bwana wetu Yesu kristo awezi kukaa kimya lazima atajibu maombi ya wanao simama na haki
Pole saana ni hivi kila jaribu Lina mlango wa kutokea,yajayo ni mazuri,atatoka na injili yake tunaielewa,nyimbo zake zinatubariki saaana hata Kama yupo huko anaendelea kuhubili hata sasa.
Unafugwaje kwakuto sajili tu kanisa wakati baa zinafunguliwa hovyo tu mitaani? Lakini tushukuru kwakila jambo kwakua yote nimapenzi ya mungu, poleni sana kikosi kazi imalikeni kwa hili.
😂😂😂😂😂😂😂 Chokoza wote usichokoze Kitengo, imeisha hiyo Sasa itabaki yeye na Familia yake tu Mashabiki wote watapotea, tusubirie mropokaji mwingine Sasa, mshaambiwa uhuru una mipaka, kwa yeyote alieshiriki kutekeleza Hukumu Abarikiwe saana , mshukuru saana awamu hii hakuna mambo mengi ni vufungu vya sheria tu
Soon mama nawe utafata,ila jipe moyo kuna wasagaji na mashoga huko Mungu anawataka waisikie Injili.pole mama,pole kwa kanisa, baada ya hapo ni Yufu ajaye.mzee atatoka tu soon na mijamaa itaingia jela soon
Ila mlipowaonya sana na mkaona hawageuki ilibidi muwaache na muwe salama mbele ya Mungu na wanadamu,na hapo unapolia inamaana umeumia Sana kwa haya mnayopitia! Na mzazi wako hawezi kukuponda Kwa wale unao watuma wakawaulize.
Moto wa Bwana umewaka, dunia nzima itashuhudia Mungu wa Israel, Mungu wa Isaka na Yakobo, uwe hodari dadangu Solome Bwana yu pamoja nanyi.
Mama m,barikiwa Mungu akutie nguvu ya imani na akupe moyo wa uvumilivu kwa magumu unayopitia
Serikali kufunga watu wa Mungu inajidhalilisha na kuwapa maarufu wenye Haki.
Tunachojuwa Mungu atajibu kwa wakati wake.
Let mbarikiwa Preach the gospel in those prison God has a purpose for him to be there let the gospel go on
Mtumishi you are great, keep moving.
Africa hakuna jipya, unyanyasaji tu hakuna haki yoyote. Ila mtu mwovu hawezi baki salama. Serikali hizi za kidunia ndiyo chanzo kikubwa cha uovu wote unaotokea hii leo haswa Bara letu la Africa. Watumishi wa Mungu wa kweli lazima kukemea maovu mana hii ndiyo kazi katika ufalme wa Mungu.
TATIZO UNAKEMEAJE,HATA WEWE UKIAMBIWA JAMBO KWA UZALILISHAJI UTAKUBALI KWELI/KUA MKWELI JUU YA ILI.KAMA KIONGOZI WA KIRORHO UNATOKA NA KUWASEMA WENZIO ADHARANI TENA KWA KUWADHALILISHA NI SAHIHI?MBONA HAYA USEMI.HATA MUGU AKUTUFUNDISHA HIVYO TUACHE UBINAFSI KWA KUA UNAPENDA SEHEMU KWA HIYO ILI AKIFANYIWA MWINGIE WEWE UNAHONA SAWA.
Samia usicheze na watumishi wa Mungu haswa waktisto hutakufa tu Bali utateseka sana kabla ya kufa kama una skio sikia utajutia siku Moja,poleni sana kikosi KAZI ❤
Pole sana mke wa mwakipesile ninachoweza kusema kwa roho ni hiki watoe vinywani mwenu wapakwa mafuta wa bwana.ongoza watu ktk utakatifu hiyo tu ndo muliyoitiwa namuombea mwakipesile akiwa gerezani awaombe radhi watumishi wa mungu anaowaita panya nk
Pole sana mama mungu yupo Samia Samia Samia watanzania tunakuona
Pole sana Dada, machozi yako yatalipwa na Mungu. Mungu akutie nguvu🙏
Pole sana mama Salome, Mungu awatienguvu kikosi kazi wote katika kipindi hiki kigumu, ila Mungu bado aweza kufanya jambo jipya.
mungu awatie ngufu ila yupo mungu
yupo mungu mwenye haki anayesimamia haki
uyo hakimu ipo siku atasimama mble za mungu ata toa esabu mble za mungu
Dah nafurahi kwa sababu Mungu ameenda kuongeza jeshi la kikosi kazi cha injili kutokea gereza la Tanzania..nasema hivi kabla na baada ya miaka 3 kikosi kazi cha injili kitawatoa povu saana, maaana upuuzi wote wa gerezani unakuja kuwekwa hadharani sasa Mungu awatie nguvu saana
Asante Moseskita hii Farao alishindikana,hii nimeipenda zaiiidi lakn Farao Firaun alizamishwa katka Bahar ya sham na MUNGU WA MUSSA sante mama MBARIKIWA dua za wa Tanganyika mungu atusaidie kuazibu,
Kiukweli huyu mama namkubali sana kuliko mbarakiwa, Mungu akusaidie sana.
Trials and afflictions are part and parcel of the righteous. As the Lord lives, nothing by any means shall hurt you.
Yesu yupo kazini mama mchungaji, atafanya njia pasipo na njia....Yesu Kristo akupe moyo mkuu.
Hahaha mko na kelekele muñgu nyinyu hii ni Dunia mhubiri injili kushugukika na sirikali ni nini hiyo
Mmechokoza nyuki kwenye mzinga wake wauaji mmewafumbati
Wewe msicheze na Mwenyezi Mungu wa haki atayanyosha mapito yake
Poleni sana wandugu katika Kristo .Musiwe na wasiwasi Mbarikiwa anaingia kazini kuliko mbele.
Muwe na nguvu Yesu ni mtawala wa milele
Farao alifikiri ameshindikana sana kwa sababu alikuw anaitwa mfalme na kulindwa sana lakn saa na wakati Mungu alipoamua kuwaokoa watu wake walokuwa wakiteswa katika nchi ya misri na huyo mfalme na watumishi wake,wote waliangamia.Yuleyule Mungu aliyetenda kipindi kile hajafa na wala hajapungua nguvu na uwezo wa kutenda na kuwaokoa watu wake,bado anaishi Namwomba asiyaache machozi ya wenye haki yakaendelea kutililika.Nakuomba Mungu usimame uwatetee watu wako.
@@hamisijuma8124 kelele wewe kafiri unakazwa beki nini?
mchungaji nilishasema watakufunga tu maana wanamamlaka ya dunia sio mbinguni utarudi uraiani tu.Tutamiss clip zako mpya, utaukosa uchaguzi wa urais
@@hamisijuma8124🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😭
@@robertabel6984 mhhh
Viongozi.wadini.mimi.nasema.lazimi.muwe.na.hekima.busara.heshima.usiseme.maneno.ambayo.hayafai.kwa.watu.wengine.alafu.wewe.usijione.kanakwamba.wewe.uko.vizuri.kwamba.huna.mapungufu.hakuna.mume.wa.waume.msishindane.na.dola.dola.ni.kubwa.kuliko.kitu.chochote.
Mungu awatie nguvu na muendelee kumtevemea ktk jina la yesu kristo
Poleni. Nawaomba msipigane kinwili, msilalamike, mwambieni Mungu mnayemwamini, pekekeni malalamiko yenu kwake.
Pole sana mama mchungaji na washirika wote, hakika Mungu yupo upande wenu kuwapigania.
Pole my mother,mungu yupo nasi ,na atajibu kwa wakati kwa haya waliyokutendea
Dada Salome mungu akutie nguvu pamoja na kikosi kazi Kwa ujumla mungu wetu ni mkuu hajawah shindwa rohon tunaumia sana Kwa haya unayo yapitia mungu akutie nguvu mama
Pole sana mamchungaji,Mungu ajachoka wala hajakusahau ipo siku usiyoijua miujiza itatendeka juu yako,
Nimeangalia hii video
Imeniumiza sana.
Ukweli kama ningekuwa peke yangu ningelia sana..
Yeyote anayejitokeza kupinga uovu anakuwa mbaya, vyombo vya dola vinamuandama, haijalishi ni mwanachama wa ccm au laah! Dunia iko hiv, kwenye hili la kumfunga mtumishi wa Mungu tena anayehubiri haki ni kumdhihaki Mwenyezi Mungu mwenyewe.
Nimeumia sana jaman polen
Pole sana Mtumishi kwa kweli mwenye haki ako hatarini kubwa
Mungu ni mwema Mama yangu Mungu atakupigania wew n mshind mama.
Mama mubarkiwa Pole ni jambo rahis kutendewwa ila unae tenda tafakar kbla hajatenda kwa mwingine mungu simama na mioyo na wenye haki na sio uson petu mungu anaish na mioyo yetu na atalipa kadri ya ukweli uliopo mioyon mwetu
Pole sana mama Mbarikiwa
Mungu wetu ni mkuu sana Atatenda jambo Ila nao hawa waovu Mungu atafanya jambo kwao.🤔🙏🙏
Mbalikiwa ni mtu wa mungu .mungu ameona mateso shida ziki huzuni mioyo ya watu inaumia . Kwaiyo mungu ameona bola ampeleke mwakipesile kule gelezani ili akawakomboe watu wa mungu . Kwaiyo kwangu siwezi kuuzunika hata kidogo wala kuumia kwani mageleza yanaitaji huduma kama ya mwakipesile .
Hii ni laana Kwa watawala, maana Hawa watu maisha Yao wamemkabizi Mungu, Sasa Mungu lazima atawaonekania tu
Pole sana,Mungu atatenda maajabu na adui wote wataangamia
Pole sana mama ,pia na watumishi wote
Wamepisha uchaguzi usiharibika! Niseme mungu awe pamoja nanyi na kamwe hatawapungukia wenye haki! Amina
Mungu akutoe nguvu mama,wahuni watafia najisi TU,Bali wenye haki watafia katika haki
Pole sana mzazi Mungu anaona na halali tuvute subirà
Mama salome.aishivyo Mungu atasimama na hao watesi wa mbarikiwa.tuvae magunia na kuomboleza na tusimamie zaburi 109.
Polen sana kikosi kazi injili mungu yupo kila mtu anayehusika atalipa
Duu hii tanzania inawatu wenye rohoo mbaya kma pilato .Mungu atusamehee ampe nguvu namoyo wakumwamini Mungu hko magereza
Poleni kwa ajili ya kiongozi wenu Mbarikiwa.
Lkn naona pole hazijawa nyingi sana sababu ya kumu-atack mtumishi mwal Mwakasege
Poleni sana familia Mungu yuko kazini
Yanamwisho, ilivyo maisha ya mwanadamu pia. Mungu akutie nguvu mama mchungaji.
Mama mchungaji Mungu akushike
Ee Mungu tunakuomba usikie maombi na dua za watoto wako. Tumekuwa kama watu wasiokuwa na haki. Lakini tunaamini utakuwa pamoja nasi katika kipindi hiki ambacho tunakuhitaji zaidi ya kipindi chochote. Baba maumivu yetu ni makali sana hata wewe unajua,. Tutawezaje kuvuka hapa bila wewe? Mungu tunaomba utukumbuke. Tutaendelea kuliitia jina lako hata kwa kugugumia, . Asante Mungu kwasababu bado tunaishi.
Poleni watu wangu hayo no mapito msiogope mungu you pamoja nanyi pole salome
Pole mama...
Kufungwa kwa kamanda sio mwisho wa mapambano
Mungu awatie nguvu.Mungu awasimamie Mungu asinyamaze kwenu inauma mno
Kama ni Mungu wakweli anaye mtumikia hata mwacha gerezani hata mitume walifugwa kwa kuhubili kweli huko nako kuna watu ataende kuokoa wengine kwa anjili ya kweli mwisho Mungu atamtoa 😭😭😭😭 tusimwachie Mungu tu jitihada ziendelee za wanasheria huku tukiomba Mungu
Dunia ni mapito hiki ni kipindi Mungu ametaka kiwepo. Poleni sn watu wa Mungu.
Poleni sana haya yatapita. Nadhani hapa ukombozi ndipo utakapoanzia
Mungu akutie nguvu mama mchungaji hebu mwachie Mungu ndo ajuaye Mungu akufute machozi hebu ongea na baba wa mbinguni pole sana mwombee mmewe mkono wa Mungu ndo wenye haki acha kulia jamani
Mungu yeye ajua ya takao fuata, eeeeeeeeeeh binadam hawa ambao hawana utu .Mama Mungu akutie nguvu nasi pia asitusahau Ameeeen.
Mzee wngu babangu role model wng Mimi aliko nimeumia sana Tena San Mungu yupo anaish Tena Yu hai ata Kama mtakuwa washind kwa mti huyu huyu bas tuonane bandarini kila tone la haki litalipwq ss tu watu was Mungu had kutufanyia haya hi nch niyamajitu
Tanzania ni nchi ya ajabu sana yaani Mchungaji anafungwa miaka mitatu kwa kuanzisha kanisa bila usajili?? ni ajabu sana lazima hpo kuna mkono wa mtu kutoka juu kwani si kosa la kifungo ni civil disobedience ni kosa la kupigwa faini tena ndogo tu halafu afuate utaratibu wa kusajili kanisa lake. kateni rufaa haraka sana tumeni namba hapa ya kuchangia pesa za kukatia rufaa please.
poleni sana ila hayo ni.mapito Mungu wa mbinguni yu pamoja nasi
tupia namba ya kukataa rufani hapo hamna kesi
Poleni sana mdogo wangu Salome Mbarikiwa ni shujaa tu Serikali hii ukatili umezidi
Pole mama ila kateni rufaa tu mapema hakuna sheria hiyo
Yohana mbatizaji alifugwa wakamkata kichwa hayo ni sehemu ya maisha ya ushindi tunapanda na kuvuna
Na nyie muwe mnafuata uataratibu ,. Shida ya hata madhehebu madogomadogo hata elimu dunia hawana wanafanya vitu kienyejienyeji
Pole sana mama ....ila amini nakwambia kwamba wakati wa Bwana ni sasa
Mungu awatie nguvu msiache kushikama kama Baba yenu alivyo kuwepo nimesikia kulia kwa uchungu Mungu atalipa
Amen imeenda hy
Mwenyezi Mungu awatie nguvu katika magumu yote.Akika Mungu atasimama
Pole mama yangu, mungu awatie nguvu kikos kaz, naamini mungu atafanya njia pasipo na njia . Nawaombea
Mungu yu hai anajua acha awezi aibika atajibu tu kufunga si mwisho wakusudi la Mungu
Tatizo unaweza ukawa mbele alafu ukiangalia nyuma unakuta amna mtu kwatanzania sio poa 🇹🇿 dada ata wewe uwe makini please 🙏 please 🙏 uwe makini
Mungu akutie nguvu mama mbarikiwa
Poleni sasa Mungu atatenda kazi
Poleni sana sana Mungu awatie nguvu
Mama nakuomba mjatahidi kufunga ilikuomba malipizi haiwezekani mambo haya mungu wa mbinguni ayafumbie macho kama hawa wawili aliye uliwa na aliyefungwa kama wana haki mbele za mungu mungu ni mwema atajibu emungu anaye tulinda siku zote za maisha yetu ya tabu na yaraha umefika wakati wa kuwaibisha hawa maherode bila kuficha kwa wamevaa mamlaka mpaka wamekuzidi ww uliye waumba kanisa sema eime
Amina mama mlefu
Mwenyehaki wangu ataishi kwa Imani mungu awakumbuke
Ee Mungu wa mbinguni nyoosha mkono wako haya mateso ya watu wako nimechoka kuyasikia naomba palipo na haki usiwaache manyanyaso yakome kwa jina la yesu na iwe kwel
😢😢😢😢😢😢 Mungu simama mwenyewe katika haki hii tetea kanisa lako tetea wanao baba hakimu mkuu niwewe tu haya yote angekuwepo magufuli yasingekuwepo haya Ila Mungu ni miuu zaidi Kuna sababu juu ya hili atafanya Jambo kwa wakati
Mungu nimwema mama wanao fanya haya mungu atalipa hata wakaye kwenye vti vilefu mungu atatenda bado kidogo
"Kila mtu atakifia kitu fulani. Sisi tumechagua kufia haki"......maneno yanye nguvu sana. Mungu yupo na anaona kila jambo!
Doh kwa mtu mwenye kutafakari yanachoma mnoo
Daaa,nimejisikia kutokwa machozi. Lakini Mungu mwema atajibu, haiwezekani wenye haki ndio ndio wawe wa kuteseka na waovu wafurahiye maisha, ipo siku Mungu atageuza
Pole Mama Mungu atajibu kwa wakati wake
Pole sana mama
Poleni sana!
Poleni watumishi. Mungu awatunze jamani
Mungu atawatia nguvuni simuda mahakimu wote walioahiriki na serikali motoulao unakuja son
Pole sana mama mbarikiwa malipo ni hapa hapa duniani we subili tu
Mungu atawashugulikiya serikali ya Tanzanie kumfunga mtumishi wa Mungu bila kosa maombi ni silaha kubwa
Munaliza watumishi wa Mungu
Mungu atafanya kitu yupo kazini na malipo ni hapa chini ya juwa
Roho imeniuma sana kusikiliza kilio cha mama mchungaji mimi naamini bwana wetu Yesu kristo awezi kukaa kimya lazima atajibu maombi ya wanao simama na haki
Ooh ni kweli mnyonge hana aki ila kunaye Mungu wa binguni anayeona haya yote na atasimama mwenyewe
Kwa hili wememgusa mboni ya jicho la Mungu....
Subiri siku 7 tu Mungu atajitokeza kama mtetezi wetu. Nina hakika na hakika ya Mwenyezi Mungu.
Pole saana ni hivi kila jaribu Lina mlango wa kutokea,yajayo ni mazuri,atatoka na injili yake tunaielewa,nyimbo zake zinatubariki saaana hata Kama yupo huko anaendelea kuhubili hata sasa.
Mwache mungu akupiganie mama pole siraisi kutokuwa nahasira
Mama mungu kaluhusu hili lakini naisikitikia tazania mungu anakuja namapigo yake
Unafugwaje kwakuto sajili tu kanisa wakati baa zinafunguliwa hovyo tu mitaani? Lakini tushukuru kwakila jambo kwakua yote nimapenzi ya mungu, poleni sana kikosi kazi imalikeni kwa hili.
Inauma sana
Imeniuma sana tuombeane nchi hii imrudie Mungu .
😂😂😂😂😂😂😂 Chokoza wote usichokoze Kitengo, imeisha hiyo Sasa itabaki yeye na Familia yake tu Mashabiki wote watapotea, tusubirie mropokaji mwingine Sasa, mshaambiwa uhuru una mipaka, kwa yeyote alieshiriki kutekeleza Hukumu Abarikiwe saana , mshukuru saana awamu hii hakuna mambo mengi ni vufungu vya sheria tu
Muovu kama wewe hautosimama unafurahia uovu na uonevu
Umefurahi nini sasa? Ujinga mtupu
Ujafa haujaumbika wacheka nini wafurahi ninii
Mungu akutie nguvu sana.
Uovu autadumu kwenye taifa la tanzania mungu atajibu soon
Daah imeniuma sana jamani poleni sana ila naamini mungu hawezi kumwacha mtumishi wake ila mhhh hii sirikali
Soon mama nawe utafata,ila jipe moyo kuna wasagaji na mashoga huko Mungu anawataka waisikie Injili.pole mama,pole kwa kanisa, baada ya hapo ni Yufu ajaye.mzee atatoka tu soon na mijamaa itaingia jela soon
Ila mlipowaonya sana na mkaona hawageuki ilibidi muwaache na muwe salama mbele ya Mungu na wanadamu,na hapo unapolia inamaana umeumia Sana kwa haya mnayopitia! Na mzazi wako hawezi kukuponda Kwa wale unao watuma wakawaulize.
Tunaye Mungu asiyeshindwa, yote anayaweza. Pia Mungu yupo pamoja nanyi.
😊😊
Pole sana, MUNGU tupo nanyi
Pole Sana mama Salome lakini bado Mchungaji Mbarikiwa Ana heri Sana.