Serikali ya Tanzania mnajidanganya sana yaani Sasa hivi mmekuwa madui wa nchi nzima SI mwakipesile tu wananchi wote ninyi ni madui na matokeo yake Yako mbele mtayaona endeleeni mtakuja kujuta maana mnaongoza watu bila utaratibu mtu akikosea mpeleke mahakama I je mahakama Yako Kwa ajili ya nini
@simonzakaria4770, hujui usemalo na inawezekana una maisha ya hovyo sana na yasiyo ya haki maana uovu hupofusha mtu asiye haki asione jambo la haki na jema machoni pake. Muda utaongea na utajua kama Mbarikiwa mtu wa haki au la.
Namshauri mkuu wa MKOA mbeya mjini amwite huyu mtumishi wa Mungu nakumsikiliza matatizo yake na malalamiko yake hampswi kunyamaza kimya ikiwa Mwenye HAKI analalamika hadharani
Mungu awasambaratishe wote wanaotaka kutuuza na kuwafedhehesha Mungu akusimamie Baba Mchungaji Naamin tutashinda katika Vita hii ya kutaka kurudishwa utumwan
@@salimmalaka256nawanaouliwaa sasahivi huoni wale mliokua mnauwa ili kupaka doa ya serkal ya 5 mbona sasahiv kwenye serkal yenu wanauwawa wengisana na viloba vingapi vimeokotwa serkal yenu hii hemu ingia you tube za Millard ayo na global tazama watu wangapi wameuwawa na wasio julikana miaka 2 hii ya serkal yenu yakishetan ? hiyo mait 1 iliokotwa wakat wa magu baharin ambayo mliiuwa nyie mafisad nawachukia sana waislam wenzangu nyie wenye roho zakishwtan Mungu awangalie kwa jicho la 2 mnaumiza sana watu na kuwatoa uhai serkal yenu sasahivi ukipiga hesabu watu waliouwawa makundi kwa makundu familia nzima inauwawa naserkal wako kimya wamefika watu elfu 2 nakitu ila mko kimya mafiraon wakubwa nyie 😡
Kama sio uzushi ni nini, mpaka anawataja waliohusika maana yake ana ushahidi wa kutosha jamani si akafungue kesi ya mauaji ya manae kipenzi! kama hawezi anapaswa aachilie na kunyamaza kimya,
Jitu la Mbinguni muda hautachelea, the time is about to tell. Asante kwa kutupigania kwa gharama zako, YOU ARE JOHN THE BABTIST THE SPIRIT OF ELIAJAH ON EARTH AGAIN , Ole wa nchi na bahari , ole kwenu wafalme wa nchi na wasidizi wake. The anger of Almight is upon you.
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 baba mimi niko pomoja nawewe wafanye yote wanayo fanya ya kutu onea na kutu uumiza heri ya kufia kwenye haki kuliko kugeuzwa mazuzu na hawa ccm
Naomba watumishi wa Mungu tujitokeze hadharani tulaani vikali vitendo vyote vya kikatili na kinyama anavyofanyiwa huyu mtu wa Mungu kwani mateso ya Mwenye HAKI ni mengi lakini Mungu humponya nayo yote!!! Mimi binfsi nimeguswa na kushikwa na hudhuni JUU ya malalamiko JUU ya mbarikiwa nyuma ya maneno yake yuko Mungu na wahusika wakinyamaza Mungu atainua mawe kumsaidia mbarikiwa
Kuna shida mahali! ondoa uchungu moyoni mwako! weka msamaha mbele yako! Achilia watu waliokuumiza moyoni mwako. ili shetani asije akapata nafasi kwenye maisha yako na huduma yako! Mungu akubariki sana sana.
Sasa wewe ndugu ulishawahi kuona wapi mtu anasamehewa bila ya kutubia UOVU wake kwa aliyemkosea?, hiyo unayoisema wewe ni toba mliofundishwa na wazungu.
Mtumishi samehe tuu kama Mungu ananyosema mtu asipo msamehe ndugu yake na BaBa yetu wa mbinguni hatasamehe makosa yetu najua huu ni uchungu mwingi lakini kumbuka alicho kifanya Yesu pale msalabani amen
WATANGANYIKA TUNAUZWA kwà sababu ya kupenda kujipendekeza na kushabikia viongozi kwà mabaya wanayotutendea hasa waisilamu wanapenda sana kutetea ujinga
NENO La MUNGU Litaendeleaga kukemea UOVU NA MAOVU YA kila Binadamu Anae Mkosoa MUNGU au KUUPINGA UKWELI WA MUNGU. Ukihikataa HAKI YA MUNGU Ya KWELI, Unakuwa Umemkosoa MUNGU Pia. Binadamu Sote Tu Mali YA BWANA Siku Zote, Leo hata Milele,Amina.
Sema mtumishi hata wakina Petro walishikiwa kwa uongo lakini walipo pewa nafasi ya kusema maeno yake yaliichoma mioyoo ya washitaki wake, Maneno na msimamo wako vitaishii. MUNGU akusaidie mtumishi
Kumbe roho ya Eliya inaishi sijawahi kuona mtu jasiri kama huyu baba,Mungu atakuvusha kwa namna ya ajabu atakaye kugusa Mungu ananyooka nae mazima hata awe na cheo gani,kuna mtu amezima kama barafu (Gwajima) toka ajiunge huko hekima mafundisho ya imani tuliyokuwa tunajifunza kwisha kabsa.
Aise Mungu yuko pamoja na wewe maana toka umeanza kuandamwa kama si Mungu wangekuwa wamekuondoa na kiukweli umesema ukweli na kila aliye fuatilia toka umeanza kupata matatizo atakuwa ameshaelewa kinachoendelea katika nchi hii (ahahaha, allah akbar)
Tanganyika badilikeni kuwa kama wakurya. Wakurya hawatishiki kwa binduki wala virungu ni moto kwa keenda mbele. Ndo maana wilaya tu ikafanywa kanda maalum.
Naomba mjue kitu kimoja,hatuja pewa roho ya woga mpaka kieleweke maana Yesu ashindwi kwa chochote,na ijulikene Mungu yupi tuna mwabudu,maana walokole wamekuwa wa kuonewa sn,ila najua kuna jambo Mungu anafanya sina shaka na Yesu wangu,Mungu akupiganie.
Mzee kikwete alimanura akiangamize hik chama, Magu akakiheshimisha hiki chama mpaka vijana tukakipenda tena. Lkn huyu aloachiwa bl kuchaguliwa amekichafua tena. Saiv kl m2 anamchukia huyu rais na chama chake
Serikali ya Tanzania mnajidanganya sana yaani Sasa hivi mmekuwa madui wa nchi nzima SI mwakipesile tu wananchi wote ninyi ni madui na matokeo yake Yako mbele mtayaona endeleeni mtakuja kujuta maana mnaongoza watu bila utaratibu mtu akikosea mpeleke mahakama I je mahakama Yako Kwa ajili ya nini
Mbarikiwa tuko nyuma yako baba sema ukweli,waambie wapone wana mapepo hawa watawala
Wanasubiri watu waanze kuuwana halafu wao wakimbie,maana dalili naziona hazipo mbali
Nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi, mwenye haki ni jasiri kama simba, Mungu akutangulie baba, Amen!
Huyu bwana mdogo akapimwe akili,haya maneno sio ya MTU aliye na mungu no!wewe upungufu WA akili,(ukilo)
@@wilsonmkumbo7199 wendio huna Akiri
Mungu huwaga hawapi ujasiri waropokaji
@simonzakaria4770, hujui usemalo na inawezekana una maisha ya hovyo sana na yasiyo ya haki maana uovu hupofusha mtu asiye haki asione jambo la haki na jema machoni pake. Muda utaongea na utajua kama Mbarikiwa mtu wa haki au la.
@@laurentngussa1735 huenda ukawa umerogwa kimitazamo na hiyo kiumbe asiyejitambua
Mungu mbele yako mch Mwakipesile tuko pamoja pole kwa masumbufu unayoyapitia
Mungu akusimamie na akulinde sana Mtumishi wa Mungu
Sisi wa kenya 🇰🇪🇰🇪hatupendi watu wa mungu kuteswa Mara kwa Mara, ishindwe malengo Yao ya ukandamizaji,
Kweli amehangaishwa sanaa huyu mtumishi wa Mungu huwa namhurumia sana
czcams.com/video/Pa_4xn8tMuc/video.html
Mungu yuko upande wako baba ,hawa viongozi kazi yao ni kuumiza wananchi tu,na hawawezi kusimama na haki au kumsimamia mtu wa haki.
Asante sana Mbarikiwa. Sasa wanaume wa Tanganyika wanaongea
Huyu mwamba Yuko vizur asipuuzwe nashauri asikilizwe ...watanganyika hata mkiogopa kufa Bado mtakufa tu,,. Amken tuungane tudai haki zetu
Utafika wakati Mungu atatenda Haki tuu 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Uko sahihi, wanaoikosoa serikali na rais wako kila mahali
Walio nasi ni wengi kuliko tunao waona..Mungu akusimamie kaka yangu..🫡
Kauli ya gadafi alisema ,,Bola kufa umesimama kuliko kufa umepiga magoti hiyo ni fedheha
Namshauri mkuu wa MKOA mbeya mjini amwite huyu mtumishi wa Mungu nakumsikiliza matatizo yake na malalamiko yake hampswi kunyamaza kimya ikiwa Mwenye HAKI analalamika hadharani
czcams.com/video/Pa_4xn8tMuc/video.html
Ni kweli kabsaa
Bwana Yesu akulinde& asikie kilio cha watumishi wake wa ukweli Tz
Mungu awasambaratishe wote wanaotaka kutuuza na kuwafedhehesha Mungu akusimamie Baba Mchungaji Naamin tutashinda katika Vita hii ya kutaka kurudishwa utumwan
Jamaa nimemsikiliza sana mara mbili mbili Anaonekana anahoja nzuri sana,,, asipuuziwe
Mungu ni mkuu sanaa awe nawe kwa kila jambo
Mimi nampenda mkewe sana kwa kuambatana Giant la MBINGUNI
Kama Mungu aishivyo na Roho yake iishivyo round hii kila walichokipanda watakivuna MUNGU WETU HADHIHAKIWI
Pole sana, hakika Mungu atasimama
Kuna watu wengine mnashangaza xana yani ishu ya kuuliwa kwa mtoto wa mbarikiwa mnaona jambo la kawaida msiombe liwafike mtajinyea
@@salimmalaka256nawanaouliwaa sasahivi huoni wale mliokua mnauwa ili kupaka doa ya serkal ya 5 mbona sasahiv kwenye serkal yenu wanauwawa wengisana na viloba vingapi vimeokotwa serkal yenu hii hemu ingia you tube za Millard ayo na global tazama watu wangapi wameuwawa na wasio julikana miaka 2 hii ya serkal yenu yakishetan ? hiyo mait 1 iliokotwa wakat wa magu baharin ambayo mliiuwa nyie mafisad nawachukia sana waislam wenzangu nyie wenye roho zakishwtan Mungu awangalie kwa jicho la 2 mnaumiza sana watu na kuwatoa uhai serkal yenu sasahivi ukipiga hesabu watu waliouwawa makundi kwa makundu familia nzima inauwawa naserkal wako kimya wamefika watu elfu 2 nakitu ila mko kimya mafiraon wakubwa nyie 😡
Kama sio uzushi ni nini, mpaka anawataja waliohusika maana yake ana ushahidi wa kutosha jamani si akafungue kesi ya mauaji ya manae kipenzi! kama hawezi anapaswa aachilie na kunyamaza kimya,
Mnajichanganya wenyewe kwasababu, mara mnasema wokovu aliomba yeye mwenyewe kifo
Kumtaja Rais tena, wataka shiiida!!!
Mungu Akutangulie sana Shujaa na mtetezi wa utu na haki za binadamu walio hai duniani
Mungu atanyamza lazima atakupigania
Du!😮 hadi mwili unasisimka aisee,Mungu akulinde maana mengi ya hayo ni facts 💯
czcams.com/video/Pa_4xn8tMuc/video.html
Ee Mungu macho yetu na mioyo yetu tumeinua kwako tu atuna msaada mwengine tusaidie Bwana
BWANA.YESU.AKULINDE.NA.KUKUTUNZA
Mungu awe pamoja nawe kaka yanngu
INYESHE MVUA LIWAKE JUA, NYEUPE NI NYEUPE.
TUKO TAYARI KWA KUFUNGWA,KUPIGWA AMA KUUMIZWA
Sicho mlichoitiwa kaz yetu nikufanya dunia na Tanzania wa we wanafunzi wa Yesu.
Huyo Saidi hussen nasoro ,kwa uuwaji huo tena kwa kusema mwenye tunaomba serikali iangalie maana hii ni hatari maana atakuwa ameuwa wengi sana
Mungu awenawe kukupigania dhidi ya waovu
Dah pole brother Mbarikiwa Allah yuko pamoja nawe
Jitu la Mbinguni muda hautachelea, the time is about to tell. Asante kwa kutupigania kwa gharama zako, YOU ARE JOHN THE BABTIST THE SPIRIT OF ELIAJAH ON EARTH AGAIN , Ole wa nchi na bahari , ole kwenu wafalme wa nchi na wasidizi wake. The anger of Almight is upon you.
Amina baba nikweri muungano huo Nyerere arimlubuni karume wazanzibar hawakutaka
Nakukubali mbalikiwa hata pale ulipoimba wimbo wababu zea
MUNGU wewe utabaki kuwa Mungu wa Nyakati zote na majira yote.Jidhihirishe Baba.
Hakika Mungu wa mbinguni atakuwa naw kama Eliya sisi wazalendo tuko pamoja
Nguvu ya Mungu na farasi za moto zikuzingire kabisa hadi kote kote walikokuita..Amin!
Uhuu Ni upuuzi tu we do myu wa mungu
Asante kaka kwaku sema ukweli mungu akubariki sana
Mungu umlinde huyu mtumishi wako🙏Mungu 🙏
Kila penye mia wenye kukupinga ,Tunao kuunga tupo 10000,tunaona unaanza nasi tuna kuza na kuendeleza zaodi
Haki itasimama tu wafanye wajuavyo Ila Mungu yupo muamuzi wa haki 🧎🙏🙏🙏
Abarikiwe na ashukuriwe Mungu aliyekupa ujasiri pastor. Najua kuna gharama pengine ya hadi kufa katika kuitafuta haki. Mungu akufanyie wepesi mtumish
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 baba mimi niko pomoja nawewe wafanye yote wanayo fanya ya kutu onea na kutu uumiza heri ya kufia kwenye haki kuliko kugeuzwa mazuzu na hawa ccm
Pole mbarikiwa mungu yupamoja nawewe amina
Daa kweli mbalikiwa chakwanza polesana namngu atajibu hitaji lamoyowako naimani
Tanzania yetu!! 😢😢 God help us to get another president like Magufuli JPM, Duuh!!! Now we are suffering so much.
Kwanini mungu alikuchukua?😢😢
Mungu akupe nguvu na ujasili na uinuriwe juu zaidi kuimene haki🙏🙏🙏🙏
Naomba watumishi wa Mungu tujitokeze hadharani tulaani vikali vitendo vyote vya kikatili na kinyama anavyofanyiwa huyu mtu wa Mungu kwani mateso ya Mwenye HAKI ni mengi lakini Mungu humponya nayo yote!!! Mimi binfsi nimeguswa na kushikwa na hudhuni JUU ya malalamiko JUU ya mbarikiwa nyuma ya maneno yake yuko Mungu na wahusika wakinyamaza Mungu atainua mawe kumsaidia mbarikiwa
Hakika atainua mawe...
Atajitokeza Mungu tu!!
Wewe ni kiongozi Bora sana kuwahi kutokea❤
God be with you Pastor!
Wewe ni Chuma, nakupenda mwanajeshi wangu...Nimependa sana ulivyoyatandika majeshi
Mungu awe na wewe ila ninacho jua Haki ni adui wa waovu, nenda baba tutasikia baadae wamesemaje
Kuna shida mahali! ondoa uchungu moyoni mwako! weka msamaha mbele yako! Achilia watu waliokuumiza moyoni mwako. ili shetani asije akapata nafasi kwenye maisha yako na huduma yako! Mungu akubariki sana sana.
Sasa wewe ndugu ulishawahi kuona wapi mtu anasamehewa bila ya kutubia UOVU wake kwa aliyemkosea?, hiyo unayoisema wewe ni toba mliofundishwa na wazungu.
Me nishukuru kuliona hilo.... Mtumishi anakoenda sio kuzuri
@@mahembe23 hongera wewe uendaye kuzuri kusikojulikana
Kweli kabisa msamaha ni kwa ajili yake mwenyewe either mwenye alimkosea atakubali kuomba msamaha au laa....
Umeongea ukweli ingawa hawatakuelewa
Kuweka uchungu moyoni kiasi hicho🤭🤭maana mtoto hatarudi sijui mke wakw nae kashindwa kumcancel Mumewe
Huyo mtanzania Alie amua uipigania nchiyake naolewenu mumu peleke kusikojulikana mungu anawaona
❤Nimependa iyo mtumishi wa bwana Yesu jasusi wa mbinguniiiii
Jasusi sijaelewa
Mungu muumba mbingu na nchi atasimama na ww popote pale.Nimependa sana wimbo huo,ni mzur sana na uanasikitisha sana.Barikiwa mtu wa Mungu
Nakuelewa sana Mtumishi Mungu atakutetea
WEWE NI MKOMBOZI WETU KATIKA TAIFA HILI LA TANZANIA, HATA WAKITIMIZA YOTE WATAKAYOTAKA.
mungu yu mwema kwako kwajina lake watashindwa tu uko sahihi sana mtumishi wa mungu bola kutengana kuliko mambo wanayo fanya❤❤❤
Dah mungu akulinde maana watu wa namuna hio hua hamu ishi mda mkefu
The man of God
Mungu akulinde sana mtumishi
Amina p1 sna nenda Mungu atawaaibisha hao watesi wako na wanchi hiiiiii
Wakati wa mungu ni wakati sahii
ee Mungu ingilia kati utusaidie Watanzania.
Mungu okoa taifa hili linaloongozwa na bundi… Amina!
Mungu yupo nawe❤❤❤❤❤ mtumishi
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢tunanyanyaswa kwenye nchi yetu wenyewe
Dah mungu akusimamie mtumishi
Mungu aliye juu mbinguni yu pamoja nawe mtumishi wa mungu, mungu atapikana nao wanao kupika vita bali vita sio viko n via mungu 🧎♂️🤲🙏
Mtumishi samehe tuu kama Mungu ananyosema mtu asipo msamehe ndugu yake na BaBa yetu wa mbinguni hatasamehe makosa yetu najua huu ni uchungu mwingi lakini kumbuka alicho kifanya Yesu pale msalabani amen
Sijui kwanini nahisi kumuhurumia sana huyu pastor
NI AINA YA MTU ALIYEAMUA KUWA ALIVYO, DUNIA NI CHUO KIMOJA KIGUMU SANA KUWAHI KUWEPO..
Jamaa yupo sahihi ila bas2
Uko vzr xna na Mungu akucmamie ktk Kila magum yyte unayoyaptia
Uko sawa mungu akulinde
Pole sana, Mungu aiweke salama njia unayopita ikawe nyepesi
czcams.com/video/Pa_4xn8tMuc/video.html
Daaah! Aisee inatisha sanaa. Yani Nawaambieni Tena Watanzania wenzangu.. TOKENI TUKAMUUE HUYU MAMA SAMIA SULUHU HASSAN HAFAI KUISHI KABISA
Amena Mtumishi wa Mungu Mungu akulinde 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
WATANGANYIKA TUNAUZWA kwà sababu ya kupenda kujipendekeza na kushabikia viongozi kwà mabaya wanayotutendea hasa waisilamu wanapenda sana kutetea ujinga
Acha ubaguzi we mpuuzi kefajosef
Hajakosea hata kidogo, yuko sahihi saaana, kila wanapotawala hawa viumbe, watu lazima waumie, fuatilia vizuri utaelewa haya.
Wengi wao elimu yao ipo kwenye madrassa na niwale wa umoja wa bakwata isipokuwa wale walio nje ya bakwata wao wanatetea nchi
NENO La MUNGU Litaendeleaga kukemea UOVU NA MAOVU YA kila Binadamu Anae Mkosoa MUNGU au KUUPINGA UKWELI WA MUNGU.
Ukihikataa HAKI YA MUNGU Ya KWELI, Unakuwa Umemkosoa MUNGU Pia.
Binadamu Sote Tu Mali YA BWANA Siku Zote, Leo hata Milele,Amina.
Sema mtumishi hata wakina Petro walishikiwa kwa uongo lakini walipo pewa nafasi ya kusema maeno yake yaliichoma mioyoo ya washitaki wake, Maneno na msimamo wako vitaishii. MUNGU akusaidie mtumishi
Huu sio muungano ni Fikra finyu tu Tanganyika imepotea lkn Zanzibar bado ipo
Hivi huyo anaejiita mkurugenzi mkuu ndio Nani ktk dunia hii ya Allah mwingi wa rahma? Wallahi wabillahi Mungu atamuadhibu kweli kweli
Watu Kama hao wanasaidia katika kujua jinsi ya kuwaongoza watu,
kuna watu Kama hao ,
Kuna wale wa kukosoa kila kitu
Munguu akubariki Sana mtumishi, mm Niko Tanzania nimuimbaji pia wimboo nimzur sana
Maskni wa mungu jamani mbarkiwa!..Pole sana kipenzi cha Yesu!...Mungu akusmamie!...binafs naguswa mno na nyakat unazoptia!
Baba mtumishi Mungu wetu yu pamoja nawe matendo 12 :16
Kumbe roho ya Eliya inaishi sijawahi kuona mtu jasiri kama huyu baba,Mungu atakuvusha kwa namna ya ajabu atakaye kugusa Mungu ananyooka nae mazima hata awe na cheo gani,kuna mtu amezima kama barafu (Gwajima) toka ajiunge huko hekima mafundisho ya imani tuliyokuwa tunajifunza kwisha kabsa.
Aise Mungu yuko pamoja na wewe maana toka umeanza kuandamwa kama si Mungu wangekuwa wamekuondoa na kiukweli umesema ukweli na kila aliye fuatilia toka umeanza kupata matatizo atakuwa ameshaelewa kinachoendelea katika nchi hii (ahahaha, allah akbar)
SAUTI YA MTU ALIAE NYIKANI PAMOJA SANA MTUMISHI WA MUNGU
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mungu fanya wepesi kwa kamanda huuu
Tanganyika badilikeni kuwa kama wakurya.
Wakurya hawatishiki kwa binduki wala virungu ni moto kwa keenda mbele. Ndo maana wilaya tu ikafanywa kanda maalum.
Yesu ni jibu,lazima Yesu atatenda makuu na ijulikane Yesu yupo
Amen
Mungu akuinue zaidi km danieli mbarikiwa
Asante mungu azidi kukutumia Zaid
Naomba mjue kitu kimoja,hatuja pewa roho ya woga mpaka kieleweke maana Yesu ashindwi kwa chochote,na ijulikene Mungu yupi tuna mwabudu,maana walokole wamekuwa wa kuonewa sn,ila najua kuna jambo Mungu anafanya sina shaka na Yesu wangu,Mungu akupiganie.
Uko sawa ingawa kuna mapungufu machache, ila Mungu yupo nawe.
Mzee kikwete alimanura akiangamize hik chama, Magu akakiheshimisha hiki chama mpaka vijana tukakipenda tena. Lkn huyu aloachiwa bl kuchaguliwa amekichafua tena. Saiv kl m2 anamchukia huyu rais na chama chake
Ubarikiwe sana sanaaa!
mungu akutangurie kamanda
Mungu wa Israel akutetee, wanaua mtoto wako then wanakuwa wakali juu yako