Mbarikiwa aitwa tena polisi mkoa. Aongea kwa hisia kali na kuweka msimamo mkali. Niko tayari hata ku

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 07. 2023

Komentáře • 753

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd Před rokem +20

    Serikali ya Tanzania mnajidanganya sana yaani Sasa hivi mmekuwa madui wa nchi nzima SI mwakipesile tu wananchi wote ninyi ni madui na matokeo yake Yako mbele mtayaona endeleeni mtakuja kujuta maana mnaongoza watu bila utaratibu mtu akikosea mpeleke mahakama I je mahakama Yako Kwa ajili ya nini

  • @bugwemakaruti5658
    @bugwemakaruti5658 Před rokem +23

    Mbarikiwa tuko nyuma yako baba sema ukweli,waambie wapone wana mapepo hawa watawala

  • @Geoglemdoe-uh8ch
    @Geoglemdoe-uh8ch Před rokem +16

    Wanasubiri watu waanze kuuwana halafu wao wakimbie,maana dalili naziona hazipo mbali

  • @laurentngussa1735
    @laurentngussa1735 Před rokem +27

    Nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi, mwenye haki ni jasiri kama simba, Mungu akutangulie baba, Amen!

    • @wilsonmkumbo7199
      @wilsonmkumbo7199 Před rokem

      Huyu bwana mdogo akapimwe akili,haya maneno sio ya MTU aliye na mungu no!wewe upungufu WA akili,(ukilo)

    • @assahalex356
      @assahalex356 Před rokem

      @@wilsonmkumbo7199 wendio huna Akiri

    • @simonzakaria4770
      @simonzakaria4770 Před rokem

      Mungu huwaga hawapi ujasiri waropokaji

    • @laurentngussa1735
      @laurentngussa1735 Před 11 měsíci

      @simonzakaria4770, hujui usemalo na inawezekana una maisha ya hovyo sana na yasiyo ya haki maana uovu hupofusha mtu asiye haki asione jambo la haki na jema machoni pake. Muda utaongea na utajua kama Mbarikiwa mtu wa haki au la.

    • @simonzakaria4770
      @simonzakaria4770 Před 11 měsíci

      @@laurentngussa1735 huenda ukawa umerogwa kimitazamo na hiyo kiumbe asiyejitambua

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 Před rokem +14

    Mungu mbele yako mch Mwakipesile tuko pamoja pole kwa masumbufu unayoyapitia

  • @hezronsanga5197
    @hezronsanga5197 Před rokem +13

    Mungu akusimamie na akulinde sana Mtumishi wa Mungu

  • @alexelegwa4327
    @alexelegwa4327 Před rokem +17

    Sisi wa kenya 🇰🇪🇰🇪hatupendi watu wa mungu kuteswa Mara kwa Mara, ishindwe malengo Yao ya ukandamizaji,

  • @alunekyusa4905
    @alunekyusa4905 Před rokem +15

    Mungu yuko upande wako baba ,hawa viongozi kazi yao ni kuumiza wananchi tu,na hawawezi kusimama na haki au kumsimamia mtu wa haki.

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 Před rokem +8

    Asante sana Mbarikiwa. Sasa wanaume wa Tanganyika wanaongea

  • @malingazeboss9351
    @malingazeboss9351 Před rokem +9

    Huyu mwamba Yuko vizur asipuuzwe nashauri asikilizwe ...watanganyika hata mkiogopa kufa Bado mtakufa tu,,. Amken tuungane tudai haki zetu

  • @missmwayway4704
    @missmwayway4704 Před rokem +13

    Utafika wakati Mungu atatenda Haki tuu 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @moseshaule586
    @moseshaule586 Před rokem +15

    Uko sahihi, wanaoikosoa serikali na rais wako kila mahali

  • @berthatz
    @berthatz Před rokem +13

    Walio nasi ni wengi kuliko tunao waona..Mungu akusimamie kaka yangu..🫡

  • @vitusjackson1354
    @vitusjackson1354 Před rokem +8

    Kauli ya gadafi alisema ,,Bola kufa umesimama kuliko kufa umepiga magoti hiyo ni fedheha

  • @EliaHiluka-ep3tp
    @EliaHiluka-ep3tp Před rokem +10

    Namshauri mkuu wa MKOA mbeya mjini amwite huyu mtumishi wa Mungu nakumsikiliza matatizo yake na malalamiko yake hampswi kunyamaza kimya ikiwa Mwenye HAKI analalamika hadharani

  • @ndavadumayai4250
    @ndavadumayai4250 Před rokem +5

    Bwana Yesu akulinde& asikie kilio cha watumishi wake wa ukweli Tz

  • @DAVDChalse-db6tz
    @DAVDChalse-db6tz Před rokem +7

    Mungu awasambaratishe wote wanaotaka kutuuza na kuwafedhehesha Mungu akusimamie Baba Mchungaji Naamin tutashinda katika Vita hii ya kutaka kurudishwa utumwan

  • @noeljacob9644
    @noeljacob9644 Před rokem +5

    Jamaa nimemsikiliza sana mara mbili mbili Anaonekana anahoja nzuri sana,,, asipuuziwe

  • @kenedymwambegele7490
    @kenedymwambegele7490 Před rokem +15

    Mungu ni mkuu sanaa awe nawe kwa kila jambo

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 Před rokem +6

    Mimi nampenda mkewe sana kwa kuambatana Giant la MBINGUNI

  • @mathiaspmashibe5696
    @mathiaspmashibe5696 Před rokem +6

    Kama Mungu aishivyo na Roho yake iishivyo round hii kila walichokipanda watakivuna MUNGU WETU HADHIHAKIWI

  • @stephanomsuya9414
    @stephanomsuya9414 Před rokem +7

    Pole sana, hakika Mungu atasimama

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 Před rokem +19

    Kuna watu wengine mnashangaza xana yani ishu ya kuuliwa kwa mtoto wa mbarikiwa mnaona jambo la kawaida msiombe liwafike mtajinyea

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 Před rokem

      ​@@salimmalaka256nawanaouliwaa sasahivi huoni wale mliokua mnauwa ili kupaka doa ya serkal ya 5 mbona sasahiv kwenye serkal yenu wanauwawa wengisana na viloba vingapi vimeokotwa serkal yenu hii hemu ingia you tube za Millard ayo na global tazama watu wangapi wameuwawa na wasio julikana miaka 2 hii ya serkal yenu yakishetan ? hiyo mait 1 iliokotwa wakat wa magu baharin ambayo mliiuwa nyie mafisad nawachukia sana waislam wenzangu nyie wenye roho zakishwtan Mungu awangalie kwa jicho la 2 mnaumiza sana watu na kuwatoa uhai serkal yenu sasahivi ukipiga hesabu watu waliouwawa makundi kwa makundu familia nzima inauwawa naserkal wako kimya wamefika watu elfu 2 nakitu ila mko kimya mafiraon wakubwa nyie 😡

    • @janviersobhane6492
      @janviersobhane6492 Před 11 měsíci

      Kama sio uzushi ni nini, mpaka anawataja waliohusika maana yake ana ushahidi wa kutosha jamani si akafungue kesi ya mauaji ya manae kipenzi! kama hawezi anapaswa aachilie na kunyamaza kimya,

    • @salomemakene9241
      @salomemakene9241 Před 8 měsíci

      Mnajichanganya wenyewe kwasababu, mara mnasema wokovu aliomba yeye mwenyewe kifo

    • @AbdulqadirChamakope
      @AbdulqadirChamakope Před 2 měsíci

      Kumtaja Rais tena, wataka shiiida!!!

  • @mtumishiDanny
    @mtumishiDanny Před rokem +21

    Mungu Akutangulie sana Shujaa na mtetezi wa utu na haki za binadamu walio hai duniani

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 Před rokem +5

    Du!😮 hadi mwili unasisimka aisee,Mungu akulinde maana mengi ya hayo ni facts 💯

  • @sarahfundimkuu935
    @sarahfundimkuu935 Před rokem +9

    Ee Mungu macho yetu na mioyo yetu tumeinua kwako tu atuna msaada mwengine tusaidie Bwana

  • @sikalumea9028
    @sikalumea9028 Před rokem +8

    Mungu awe pamoja nawe kaka yanngu

  • @shukranimpomwa7460
    @shukranimpomwa7460 Před rokem +12

    INYESHE MVUA LIWAKE JUA, NYEUPE NI NYEUPE.
    TUKO TAYARI KWA KUFUNGWA,KUPIGWA AMA KUUMIZWA

    • @mahembe23
      @mahembe23 Před rokem

      Sicho mlichoitiwa kaz yetu nikufanya dunia na Tanzania wa we wanafunzi wa Yesu.

  • @alunekyusa4905
    @alunekyusa4905 Před rokem +4

    Huyo Saidi hussen nasoro ,kwa uuwaji huo tena kwa kusema mwenye tunaomba serikali iangalie maana hii ni hatari maana atakuwa ameuwa wengi sana

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 Před rokem +9

    Mungu awenawe kukupigania dhidi ya waovu

  • @rubberbandman3398
    @rubberbandman3398 Před rokem +2

    Dah pole brother Mbarikiwa Allah yuko pamoja nawe

  • @mikbete
    @mikbete Před rokem +7

    Jitu la Mbinguni muda hautachelea, the time is about to tell. Asante kwa kutupigania kwa gharama zako, YOU ARE JOHN THE BABTIST THE SPIRIT OF ELIAJAH ON EARTH AGAIN , Ole wa nchi na bahari , ole kwenu wafalme wa nchi na wasidizi wake. The anger of Almight is upon you.

  • @user-or8ow5vr7m
    @user-or8ow5vr7m Před rokem +3

    Amina baba nikweri muungano huo Nyerere arimlubuni karume wazanzibar hawakutaka

  • @davidmwandiga3465
    @davidmwandiga3465 Před rokem +6

    Nakukubali mbalikiwa hata pale ulipoimba wimbo wababu zea

  • @cathelinematondo3992
    @cathelinematondo3992 Před rokem +16

    MUNGU wewe utabaki kuwa Mungu wa Nyakati zote na majira yote.Jidhihirishe Baba.

  • @afwililenisaidie9597
    @afwililenisaidie9597 Před rokem +6

    Hakika Mungu wa mbinguni atakuwa naw kama Eliya sisi wazalendo tuko pamoja

  • @filbertkumburu8015
    @filbertkumburu8015 Před rokem +14

    Nguvu ya Mungu na farasi za moto zikuzingire kabisa hadi kote kote walikokuita..Amin!

  • @ChristinaWengae-ps5jr
    @ChristinaWengae-ps5jr Před rokem +2

    Asante kaka kwaku sema ukweli mungu akubariki sana

  • @magrethmanintveld5477
    @magrethmanintveld5477 Před rokem +4

    Mungu umlinde huyu mtumishi wako🙏Mungu 🙏

  • @mbondelotv8380
    @mbondelotv8380 Před rokem +5

    Kila penye mia wenye kukupinga ,Tunao kuunga tupo 10000,tunaona unaanza nasi tuna kuza na kuendeleza zaodi

  • @denismlwati3285
    @denismlwati3285 Před rokem +6

    Haki itasimama tu wafanye wajuavyo Ila Mungu yupo muamuzi wa haki 🧎🙏🙏🙏

  • @user-dv9jv9dk2s
    @user-dv9jv9dk2s Před 9 měsíci

    Abarikiwe na ashukuriwe Mungu aliyekupa ujasiri pastor. Najua kuna gharama pengine ya hadi kufa katika kuitafuta haki. Mungu akufanyie wepesi mtumish

  • @fredimtaze9982
    @fredimtaze9982 Před rokem +4

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 baba mimi niko pomoja nawewe wafanye yote wanayo fanya ya kutu onea na kutu uumiza heri ya kufia kwenye haki kuliko kugeuzwa mazuzu na hawa ccm

  • @user-or8ow5vr7m
    @user-or8ow5vr7m Před rokem +8

    Pole mbarikiwa mungu yupamoja nawewe amina

    • @zabronyoshua
      @zabronyoshua Před 10 měsíci

      Daa kweli mbalikiwa chakwanza polesana namngu atajibu hitaji lamoyowako naimani

  • @erneststephano1843
    @erneststephano1843 Před rokem +5

    Tanzania yetu!! 😢😢 God help us to get another president like Magufuli JPM, Duuh!!! Now we are suffering so much.
    Kwanini mungu alikuchukua?😢😢

  • @user-zq1ky3we2x
    @user-zq1ky3we2x Před rokem +3

    Mungu akupe nguvu na ujasili na uinuriwe juu zaidi kuimene haki🙏🙏🙏🙏

  • @EliaHiluka-ep3tp
    @EliaHiluka-ep3tp Před rokem +8

    Naomba watumishi wa Mungu tujitokeze hadharani tulaani vikali vitendo vyote vya kikatili na kinyama anavyofanyiwa huyu mtu wa Mungu kwani mateso ya Mwenye HAKI ni mengi lakini Mungu humponya nayo yote!!! Mimi binfsi nimeguswa na kushikwa na hudhuni JUU ya malalamiko JUU ya mbarikiwa nyuma ya maneno yake yuko Mungu na wahusika wakinyamaza Mungu atainua mawe kumsaidia mbarikiwa

  • @annapeter-wb6iv
    @annapeter-wb6iv Před rokem +2

    Wewe ni kiongozi Bora sana kuwahi kutokea❤

  • @UswegeJohn-ov3ym
    @UswegeJohn-ov3ym Před 11 měsíci

    God be with you Pastor!

  • @hakitv4717
    @hakitv4717 Před 2 měsíci

    Wewe ni Chuma, nakupenda mwanajeshi wangu...Nimependa sana ulivyoyatandika majeshi

  • @eliahmhanzi6357
    @eliahmhanzi6357 Před rokem +6

    Mungu awe na wewe ila ninacho jua Haki ni adui wa waovu, nenda baba tutasikia baadae wamesemaje

  • @tumaini_nkinda
    @tumaini_nkinda Před rokem +3

    Kuna shida mahali! ondoa uchungu moyoni mwako! weka msamaha mbele yako! Achilia watu waliokuumiza moyoni mwako. ili shetani asije akapata nafasi kwenye maisha yako na huduma yako! Mungu akubariki sana sana.

    • @Hapomwanzo
      @Hapomwanzo Před rokem +1

      Sasa wewe ndugu ulishawahi kuona wapi mtu anasamehewa bila ya kutubia UOVU wake kwa aliyemkosea?, hiyo unayoisema wewe ni toba mliofundishwa na wazungu.

    • @mahembe23
      @mahembe23 Před rokem

      Me nishukuru kuliona hilo.... Mtumishi anakoenda sio kuzuri

    • @leticiageorge
      @leticiageorge Před rokem +1

      @@mahembe23 hongera wewe uendaye kuzuri kusikojulikana

    • @sarahwawuda5164
      @sarahwawuda5164 Před rokem +1

      Kweli kabisa msamaha ni kwa ajili yake mwenyewe either mwenye alimkosea atakubali kuomba msamaha au laa....

    • @itikamwaseba4156
      @itikamwaseba4156 Před rokem

      Umeongea ukweli ingawa hawatakuelewa
      Kuweka uchungu moyoni kiasi hicho🤭🤭maana mtoto hatarudi sijui mke wakw nae kashindwa kumcancel Mumewe

  • @user-fh2sn2we7u
    @user-fh2sn2we7u Před rokem +2

    Huyo mtanzania Alie amua uipigania nchiyake naolewenu mumu peleke kusikojulikana mungu anawaona

  • @bartolomeuhenrique1574
    @bartolomeuhenrique1574 Před rokem +4

    ❤Nimependa iyo mtumishi wa bwana Yesu jasusi wa mbinguniiiii

  • @emmanuelbernard9552
    @emmanuelbernard9552 Před rokem +2

    Mungu muumba mbingu na nchi atasimama na ww popote pale.Nimependa sana wimbo huo,ni mzur sana na uanasikitisha sana.Barikiwa mtu wa Mungu

  • @pastorgodsonjohn8562
    @pastorgodsonjohn8562 Před rokem +3

    Nakuelewa sana Mtumishi Mungu atakutetea

  • @shukranimpomwa7460
    @shukranimpomwa7460 Před rokem +6

    WEWE NI MKOMBOZI WETU KATIKA TAIFA HILI LA TANZANIA, HATA WAKITIMIZA YOTE WATAKAYOTAKA.

  • @user-jk4gg4qu4h
    @user-jk4gg4qu4h Před 10 měsíci

    mungu yu mwema kwako kwajina lake watashindwa tu uko sahihi sana mtumishi wa mungu bola kutengana kuliko mambo wanayo fanya❤❤❤

  • @user-wd9gq3lu1s
    @user-wd9gq3lu1s Před rokem +2

    Dah mungu akulinde maana watu wa namuna hio hua hamu ishi mda mkefu

  • @sayunimkongwa9830
    @sayunimkongwa9830 Před rokem +4

    The man of God

  • @killysamky9373
    @killysamky9373 Před rokem +2

    Mungu akulinde sana mtumishi

  • @pendokimathi99
    @pendokimathi99 Před rokem

    Amina p1 sna nenda Mungu atawaaibisha hao watesi wako na wanchi hiiiiii

  • @jumanassoro1552
    @jumanassoro1552 Před rokem +6

    Wakati wa mungu ni wakati sahii

  • @nicolaskalunde
    @nicolaskalunde Před rokem +5

    ee Mungu ingilia kati utusaidie Watanzania.

  • @Hassan_Mengi
    @Hassan_Mengi Před rokem +3

    Mungu okoa taifa hili linaloongozwa na bundi… Amina!

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855 Před rokem +3

    Mungu yupo nawe❤❤❤❤❤ mtumishi

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 Před rokem +5

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢tunanyanyaswa kwenye nchi yetu wenyewe

  • @christiansokorot
    @christiansokorot Před rokem +2

    Dah mungu akusimamie mtumishi

  • @gib3888
    @gib3888 Před 10 měsíci

    Mungu aliye juu mbinguni yu pamoja nawe mtumishi wa mungu, mungu atapikana nao wanao kupika vita bali vita sio viko n via mungu 🧎‍♂️🤲🙏

  • @maalimwenga452
    @maalimwenga452 Před rokem

    Mtumishi samehe tuu kama Mungu ananyosema mtu asipo msamehe ndugu yake na BaBa yetu wa mbinguni hatasamehe makosa yetu najua huu ni uchungu mwingi lakini kumbuka alicho kifanya Yesu pale msalabani amen

  • @teachingtruthmission2140

    Sijui kwanini nahisi kumuhurumia sana huyu pastor

    • @mathayomwashambwa1238
      @mathayomwashambwa1238 Před rokem

      NI AINA YA MTU ALIYEAMUA KUWA ALIVYO, DUNIA NI CHUO KIMOJA KIGUMU SANA KUWAHI KUWEPO..

  • @LeonardDerepha
    @LeonardDerepha Před rokem +5

    Jamaa yupo sahihi ila bas2

  • @agustinoandrea6030
    @agustinoandrea6030 Před rokem +1

    Uko vzr xna na Mungu akucmamie ktk Kila magum yyte unayoyaptia

  • @JosmanSwila-qq6gs
    @JosmanSwila-qq6gs Před rokem +2

    Uko sawa mungu akulinde

  • @emmanuelmodest7457
    @emmanuelmodest7457 Před rokem +2

    Pole sana, Mungu aiweke salama njia unayopita ikawe nyepesi

  • @user-mb2dy1cp7v
    @user-mb2dy1cp7v Před rokem +1

    Daaah! Aisee inatisha sanaa. Yani Nawaambieni Tena Watanzania wenzangu.. TOKENI TUKAMUUE HUYU MAMA SAMIA SULUHU HASSAN HAFAI KUISHI KABISA

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 Před rokem +1

    Amena Mtumishi wa Mungu Mungu akulinde 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @kefajoseph158
    @kefajoseph158 Před rokem +4

    WATANGANYIKA TUNAUZWA kwà sababu ya kupenda kujipendekeza na kushabikia viongozi kwà mabaya wanayotutendea hasa waisilamu wanapenda sana kutetea ujinga

    • @omaryseshambi6468
      @omaryseshambi6468 Před rokem

      Acha ubaguzi we mpuuzi kefajosef

    • @Hapomwanzo
      @Hapomwanzo Před rokem +1

      Hajakosea hata kidogo, yuko sahihi saaana, kila wanapotawala hawa viumbe, watu lazima waumie, fuatilia vizuri utaelewa haya.

    • @kisangageorgethomasi2830
      @kisangageorgethomasi2830 Před rokem +1

      Wengi wao elimu yao ipo kwenye madrassa na niwale wa umoja wa bakwata isipokuwa wale walio nje ya bakwata wao wanatetea nchi

  • @ugalidona-cs2yn
    @ugalidona-cs2yn Před rokem +2

    NENO La MUNGU Litaendeleaga kukemea UOVU NA MAOVU YA kila Binadamu Anae Mkosoa MUNGU au KUUPINGA UKWELI WA MUNGU.
    Ukihikataa HAKI YA MUNGU Ya KWELI, Unakuwa Umemkosoa MUNGU Pia.
    Binadamu Sote Tu Mali YA BWANA Siku Zote, Leo hata Milele,Amina.

  • @josephmahando493
    @josephmahando493 Před rokem +1

    Sema mtumishi hata wakina Petro walishikiwa kwa uongo lakini walipo pewa nafasi ya kusema maeno yake yaliichoma mioyoo ya washitaki wake, Maneno na msimamo wako vitaishii. MUNGU akusaidie mtumishi

  • @ahmedhamis
    @ahmedhamis Před rokem +1

    Huu sio muungano ni Fikra finyu tu Tanganyika imepotea lkn Zanzibar bado ipo

  • @nurdinahmed9063
    @nurdinahmed9063 Před rokem +1

    Hivi huyo anaejiita mkurugenzi mkuu ndio Nani ktk dunia hii ya Allah mwingi wa rahma? Wallahi wabillahi Mungu atamuadhibu kweli kweli

  • @ibrahimgwasma1223
    @ibrahimgwasma1223 Před rokem +3

    Watu Kama hao wanasaidia katika kujua jinsi ya kuwaongoza watu,
    kuna watu Kama hao ,
    Kuna wale wa kukosoa kila kitu

  • @reginafrolence
    @reginafrolence Před rokem

    Munguu akubariki Sana mtumishi, mm Niko Tanzania nimuimbaji pia wimboo nimzur sana

  • @uwezohekima-qk8ss
    @uwezohekima-qk8ss Před rokem +3

    Maskni wa mungu jamani mbarkiwa!..Pole sana kipenzi cha Yesu!...Mungu akusmamie!...binafs naguswa mno na nyakat unazoptia!

  • @gideonmwaweza8177
    @gideonmwaweza8177 Před 11 měsíci +1

    Baba mtumishi Mungu wetu yu pamoja nawe matendo 12 :16

  • @paschalvenance1833
    @paschalvenance1833 Před rokem +1

    Kumbe roho ya Eliya inaishi sijawahi kuona mtu jasiri kama huyu baba,Mungu atakuvusha kwa namna ya ajabu atakaye kugusa Mungu ananyooka nae mazima hata awe na cheo gani,kuna mtu amezima kama barafu (Gwajima) toka ajiunge huko hekima mafundisho ya imani tuliyokuwa tunajifunza kwisha kabsa.

  • @helbertsoneka2008
    @helbertsoneka2008 Před rokem +4

    Aise Mungu yuko pamoja na wewe maana toka umeanza kuandamwa kama si Mungu wangekuwa wamekuondoa na kiukweli umesema ukweli na kila aliye fuatilia toka umeanza kupata matatizo atakuwa ameshaelewa kinachoendelea katika nchi hii (ahahaha, allah akbar)

  • @user-go6ht5vv8r
    @user-go6ht5vv8r Před rokem +4

    SAUTI YA MTU ALIAE NYIKANI PAMOJA SANA MTUMISHI WA MUNGU
    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @barakahhawu2324
    @barakahhawu2324 Před rokem +3

    Mungu fanya wepesi kwa kamanda huuu

  • @bururemnanka73
    @bururemnanka73 Před rokem +2

    Tanganyika badilikeni kuwa kama wakurya.
    Wakurya hawatishiki kwa binduki wala virungu ni moto kwa keenda mbele. Ndo maana wilaya tu ikafanywa kanda maalum.

  • @MeckZakaria
    @MeckZakaria Před 11 měsíci +1

    Yesu ni jibu,lazima Yesu atatenda makuu na ijulikane Yesu yupo

  • @evarestkway-md1qn
    @evarestkway-md1qn Před 10 měsíci

    Mungu akuinue zaidi km danieli mbarikiwa

  • @ayoubmwampeta
    @ayoubmwampeta Před rokem +1

    Asante mungu azidi kukutumia Zaid

  • @MeckZakaria
    @MeckZakaria Před 11 měsíci

    Naomba mjue kitu kimoja,hatuja pewa roho ya woga mpaka kieleweke maana Yesu ashindwi kwa chochote,na ijulikene Mungu yupi tuna mwabudu,maana walokole wamekuwa wa kuonewa sn,ila najua kuna jambo Mungu anafanya sina shaka na Yesu wangu,Mungu akupiganie.

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo3983 Před rokem +1

    Uko sawa ingawa kuna mapungufu machache, ila Mungu yupo nawe.

  • @HenryAnatoly-jg3df
    @HenryAnatoly-jg3df Před rokem +2

    Mzee kikwete alimanura akiangamize hik chama, Magu akakiheshimisha hiki chama mpaka vijana tukakipenda tena. Lkn huyu aloachiwa bl kuchaguliwa amekichafua tena. Saiv kl m2 anamchukia huyu rais na chama chake

  • @sadallahbataza1906
    @sadallahbataza1906 Před rokem +3

    Ubarikiwe sana sanaaa!

  • @user-ww8mf3yj9d
    @user-ww8mf3yj9d Před rokem +2

    mungu akutangurie kamanda

  • @damasjoachim4451
    @damasjoachim4451 Před rokem +1

    Mungu wa Israel akutetee, wanaua mtoto wako then wanakuwa wakali juu yako