#PART2

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 05. 2024
  • #PART2: ''HAUONGEI na MCHUMBA WAKO HAPA - MIMI NINA MKE na NI MZURI - UNAFANYA DHARAU?'' - MAKONDA
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 519

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před 24 dny +31

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @upendosanga9205
    @upendosanga9205 Před 23 dny +47

    Engineer nimekupenda unajiamini na hoja zako safi

  • @ndetiefredielmushi9978
    @ndetiefredielmushi9978 Před 22 dny +12

    Uko vizuri saaaana Dada Mungu akujalie uende juu zaidi Waziri wetu Mtarajiwa❤❤

  • @ezekielmirambo8704
    @ezekielmirambo8704 Před 21 dnem +12

    Professional and competent engineer, congrats sister!

  • @maingwamaingwa9887
    @maingwamaingwa9887 Před 19 dny +6

    Huyu ndo mwanamke super wangu wa mwaka 2024 very strong very talented very smart very important very education big brain mwanmke wa nguvu so biuty fully achana na wapaka poda dada nimekupenda bure by the way makonda nae ni binaadam

  • @ajuwazaglodim7645
    @ajuwazaglodim7645 Před 23 dny +26

    Ingenia yuko safi, mzee wangu Makonda amejaribu kumugombeza lakini kajikwamuwa. Huyu dada anastahili na yuko makini.

  • @geoffreyanundatv9836
    @geoffreyanundatv9836 Před 23 dny +27

    Mkuu Umejibu huyo dada vibaya, dada mwenyewe Mrembo na anajielewa sana.pole dada na hongera sana kwa kazi nzuri

    • @salminasalim5630
      @salminasalim5630 Před 5 dny +1

      My opinion is that we as strong females we have to avoid crush to males na hiyo ndio suluhisho peke yake maana yeye alikuwa akiulizwa alikuwa anacheke cheka kwa nini hii ndio CRUSH 💯 NA NDIO MAANA ALISEMA HIVYO MSITAFUTE CHA KUSEMA WACHA MH AFANYE KAZI MPENI USHIRIKIANO. ACHENI WIVU.

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 Před 20 dny +12

    Makonda yupo vizuri.kilichomponza.kuingiza maswala ya uzuri mm Nina mke.siyo.haiba ya uongozi.

  • @ndetiefredielmushi9978
    @ndetiefredielmushi9978 Před 22 dny +15

    Jamaaani tujitahidi kuheshim fani za watu, Dada jipe moyo haya ni maisha tu hongera unajitahidi.

    • @wamburasungura6812
      @wamburasungura6812 Před 20 dny +4

      Huyo dada hajazalilushwa ila kashindwa kujieleza Kwa sababu ya wizi wanao ufanya wanasababisha wananchi huku chini tuna pata shida Kwa ujinga Wa hao wajinga walio pata nafasi wanaitumia vibaya kutesea wananchi

    • @flova7022
      @flova7022 Před 20 dny

      ​@@wamburasungura6812ukipewa siku kusimamia ujenzi uttaelewa kuwaa umekosea kutyp

    • @petromgaya1746
      @petromgaya1746 Před 19 dny

      Qddq wewe embu jitambue basi 17:38

  • @nassercurtis9579
    @nassercurtis9579 Před 23 dny +7

    Huyu dada ni msomi kweli na ana punch si kidogo, ametoboa maswali kwa kujiamini mno, na uzuri toka awali aligundua pesa isingetosha, hongera dada muhandisi.

  • @lulumatawalo7805
    @lulumatawalo7805 Před 21 dnem +13

    Hakuna mkamilifu,anafanya mengi mazuri ya kusaidia wengi.Hiyo weakness moja isiwe sababu ya kucrash mema yake mengi .Asiye na udhaifu hata kidogo na awe wa kwanza kumpiga mawe!

  • @hoseasteven6241
    @hoseasteven6241 Před 21 dnem +21

    Mdogo wangu Grace hongera sana kwa ujasili na kuwa competent kwenye field yako

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo Před 20 dny +2

      Amekuwa jasiri kujibu utumbo. Imeundwa kamati ya uvhunguzi utasikia majibu nyiebmko mbali na mradi. Hii shule inawaramba wote.

  • @HADSONPAUL
    @HADSONPAUL Před 21 dnem +7

    Dada hongera umejiitaid sana maana maswali ya Mh makonda ni moto sana

  • @NeemaSamson-ti8pc
    @NeemaSamson-ti8pc Před 19 dny +4

    Pole dada umejibu vizuri sana, pia umejitahidi kuwa mpole na mwenye busara

  • @gabrielkyando2632
    @gabrielkyando2632 Před 18 dny +8

    Shida wabongo tumekalili sanaa wanaona kila viongoz wa mladi ni wapigajiii,, sio kwer huyu dada yuko vizuri ana confidence haogopi sijui mkuu wa mkoa!! Anajiamini

  • @steynjohnr5930
    @steynjohnr5930 Před 20 dny +8

    Huyo dada pia ni mwananchi anayefanya kazi kwa jasho na kodi yake ndiyo imekuweka wewe mkuu wa mkoa hapo so you need to talk to her with respect. No human being should be embarrassed like this, this guy is not a leader, what lesson are you giving to the younger generation?

  • @user-ns2jx7qs7n
    @user-ns2jx7qs7n Před 22 dny +11

    Makonda umemdhalilisha huyo dada sio poa

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob Před 23 dny +30

    Huyu Mwana Dada Engineer anafaa kabisa kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri, mtulivu kweli kwenye kujibu maswali, hana panic, yuko calm. Safi sana

    • @GeofreyKalo-ot3we
      @GeofreyKalo-ot3we Před 23 dny +2

      Makonda usiwe mkali sana utaharibu

    • @evertheobald1811
      @evertheobald1811 Před 15 dny

      Pia kuongea sana nako ni tatizo

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 Před 15 dny

      @@GeofreyKalo-ot3we Bila ukali bongo hii inakula kwako!!! Sishangai wanaotaka uzembe uendelee maana asilimia kubwa hawajielewi!!!

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 Před 23 dny +14

    Makonda nimekuelewa kabisa unapokuwa mkali tiyari una taarifa mbele yake

  • @user-xg2kq4ym8w
    @user-xg2kq4ym8w Před 21 dnem +4

    Naamini kabisa hata makonda alimkubari huyu Eng dada,Makonda unafanya kazi nzuri na safi sana.

  • @eliaskangabo779
    @eliaskangabo779 Před 22 dny +8

    Makonda hongera sana kwa ufuatiliaji huu,watu wanafanya kazi kwa mazoea wanafikiria ulaji na siyo kazi

  • @user-kg3wo9tl9k
    @user-kg3wo9tl9k Před 21 dnem +4

    Hongera, Hongera sana Mh, Makonda Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Mungu akupe maisha marefu. Kazi iendeleee.

    • @nanguniMtaita-hz4zt
      @nanguniMtaita-hz4zt Před 17 dny +1

      Itabidi tupige kura kwa Baba Mungu muumbaji, maana wajinga ama waliopachikwa pakacha la upumbavu nao ni wengi. Kura yenyewe iwe hivi " Wanaosema Mungu ampe Makonda maisha marefu na Wanaosema Mungu ampe Makonda chango la tumbo Afe tusimuone kelele zake za kinafiki kama Mwenda zake, tumuachie mwamuzi.

  • @bishopmosesmagadula7572
    @bishopmosesmagadula7572 Před 23 dny +11

    Huyu dada ametulia YUKO VIZURI makonda amejaribu kumbabaisha LAKINI YUKO VIZURI

  • @johnmbatta9872
    @johnmbatta9872 Před 22 dny +7

    Makonda, unakubalika. Chapa kazi, baadhi ya watumishi wa serikali wamekuwa siyo waaminifu.

  • @stevenmrama3123
    @stevenmrama3123 Před 23 dny +9

    Nchi unapaswa kuwa na viongozi wa namna hii Safi sana mhe makonda

  • @vedastusmdapo3837
    @vedastusmdapo3837 Před 22 dny +3

    Makonda Yuko vizuri saana,naomba tu awe mvumilivu asikate hoja ya mtu hasa watumishi katikati ,anawatoa kwenye hoja wanaingia woga.Injinia Dada naomba apandishwe cheo huyo nimempenda.

  • @franciskassanga7999
    @franciskassanga7999 Před 23 dny +13

    ukiwa mtaalam, unatakiwa kutoa majibu manyoofu, sasa watendaji wengi wana majibu ya siasa, Dada anaulizwa, mil 400 za ziada zinatoka wapi? sikiliza jibu lake,...blaaa blaaa nyingi, hapo ndipo Mh. Makonda anapokerwa, maana anahitaji jibu nyoofu, mfano alitakiwa kusema...tutafanya funds raising event kupata mil 400, ...Jambo lingine la msingi, wao kama wataalam + kamati ya Ujenzi walitakiwa kukaa kikao, kuandaa muhutasari wenye hoja za kusema mapema kwamba makadirio yaliyofanyika na TAMISEMI hayana uhalisia, so mradi hautaweza kukamilika kwa wakati wala kwa ubora ambao umetarajiwa sababu ya mfumuko qa bei, so way forward wapatiwe ongezeko la pesa ama maelekezo ambayo yatawaongoza kutekeleza mradi kwa budget iliyopo ambayo ni pungufu. ! (Tupeni kazi, tuchape kazi !!)

    • @GeofreyKalo-ot3we
      @GeofreyKalo-ot3we Před 23 dny

      Hujamwelewa huyo dada kajitahidi sana kujibu

    • @paulpaschal4798
      @paulpaschal4798 Před 23 dny

      Sure hajaelewa

    • @paulpaschal4798
      @paulpaschal4798 Před 23 dny +1

      Binafsi mkuu wa shuke na engineer waamejtahd sana gharama zao zipo secified kuna mrad mtu anakutajia ghrama had maini yana cheza mwl mkuu anasema gharama ambazo taasisi za serikali zinadhibitsha kwannza mkuu wa shule kajjtahid kuongonza waliomzd elimu

    • @barikimollel7890
      @barikimollel7890 Před 23 dny

      ​@@GeofreyKalo-ot3wehamna Kitu Huyo Dada kilaza

    • @stevenmrama3123
      @stevenmrama3123 Před 23 dny

      Umeongea vizuri nyongeza ni kwamba ukishaona umepewa kazi ambayo mwisho wake unaweza kupokea lawama unapaswa uiandikie tamisemi barua ya aina ya mapungufu kwenye budget yao waliyotoa ,huku ukibainisha changamoto ya kimanzingira .mfano gharama ya ujenzi dar ni tofauti na shinyanga , mwanza,Arusha ,moshi.kutokana na mazingira ya kijiografia.sasa wataamu wetu .awaendi zaidi .

  • @gaudenciamallya9779
    @gaudenciamallya9779 Před 21 dnem +3

    UKISIKIA “MWANAMKE NA NUSU” (Harmonize” NI HUYU INJINIA. KEEP IT UP MAMA UNAWEZA!

  • @jumahalfani6789
    @jumahalfani6789 Před 23 dny +29

    Sometimes viongozi tumieni busara mtu anjibu vizuri una intaract as if hukutaka hayo majibu...tuheshim kaz za watu

    • @saidisheha5366
      @saidisheha5366 Před 23 dny +2

      Majibu yapi hapo yaniumwache mtu ajiandae kudanganya. Chapa wafujaji wote

    • @user-kr9xx8br4o
      @user-kr9xx8br4o Před 23 dny +3

      Sababu ya Interaction haikuwa ufujaji bali maringo.
      Mm nimetazama hii clip, sioni maringo kuhusu huyu Engineer.

    • @dezruh
      @dezruh Před 21 dnem

      Hakika

    • @tausikiyabo6302
      @tausikiyabo6302 Před 21 dnem

      Yes tena anamuongelea maneno yakukaraisha ila injinia kasimama vzr yuko vzr anamjibu kila kona

    • @YusuphLyatenga
      @YusuphLyatenga Před 20 dny +1

      Makonda anavuka mipaka mda mwingine

  • @lilylema5292
    @lilylema5292 Před 22 dny +8

    Dada hongera kupambana na hiki chuma sio kazi rahisi. Bright with brain. Mm ningeshazimia

  • @engzuberir.akilenza1764
    @engzuberir.akilenza1764 Před 21 dnem +10

    Halafu kuwa na cheo haina maana mtu una akili nyingi kuliko wengine.

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před 22 dny +6

    Huyu engineer ndiyo chanzo cha kuliwa hela za shule,makonda piga kazi

  • @user-mf2ll7nz5g
    @user-mf2ll7nz5g Před 23 dny +15

    Huyu dada safi sana.Mungu amjaalie

  • @jaywi5681
    @jaywi5681 Před 17 dny +1

    Mhe. Makonda kuhoji kwako kumesaidia kupatikana kwa ukweli juu ya changamoto ya wataalamu waliopo Wizarani kufanya makadirio ya kiwango cha chini ukilinganisha na gharama halisi za ujenzi wa Mradi. Matokeo yake miradi inashindwa kukamilika na kuonekana wasimamizi wamekula fedha. Hongera sana wanaokubeza wameangalia upande mmoja tu.

  • @johnsway5253
    @johnsway5253 Před 23 dny +9

    Engenier ndio amekuja kuokoa wenzake

  • @samuelemmanuel3400
    @samuelemmanuel3400 Před 15 dny +1

    Dada yupo smart 🙌🏽 kajibu kwa facts, Ameku outsmart mkuu wa mkoa dah🙄

  • @lightwilliam4443
    @lightwilliam4443 Před 17 dny +1

    😅dada kampa mrejesho huo muuliza maswali,kampigapiga na vingereza vya kikazi muuliza maswali hoi umbea wote kwisha.ndio maana anakuuliza kwa hasira mwenyewe hajielewi😂😂😂 safi sana dada eng.

  • @isikezuberi4292
    @isikezuberi4292 Před 20 dny +5

    dada huyu ni zaidi ya mkuu wa mkoa

  • @HenrickNyahi
    @HenrickNyahi Před 19 dny +2

    Dada ni moto sana popote ana kaa huyu hajakubali kutingishika hata alipotingishwa dadeki nimeipenda sana hii Japo mwamba nae fresh anapambania wananchi Japo sikuona kama dada Kuna alichozingua kias Cha kumwambia maneno Yale ya mchumba sijui na nn

  • @lilylema5292
    @lilylema5292 Před 22 dny +5

    Mwalimu umepambana hongera huyu jamaa ni moto

    • @HatibuHatibu-cd7hs
      @HatibuHatibu-cd7hs Před 17 dny

      Aisee kwanza nimecheka...huyu jamaa ni mwanaume..ana maswali nondo

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 Před 22 dny +3

    Yani ninamuona makonda kama Rais wa Arusha, yani najihisi kama nipo kwenye nchi iitwayo Arusha ambapo Rais wake anakagua maendeleo ya wananchi wake !! Yani ukuu wa mkoa ni kazi ndogo sana kwako unastahili kuihudumia nchi nzima kwa mamlaka kamili isiyo na kizuizi. Ninamuomba Mungu siku moja nimshuhudie Amiri Jeshi mkuu anayeitwa Paul Christian Makonda !! Viva Baba viva

  • @user-gt5yd4no7c
    @user-gt5yd4no7c Před 18 dny +2

    Dada huyu very intelligent kabisa

  • @Stellastella-yi5vu
    @Stellastella-yi5vu Před 22 dny +5

    Eti ana mke mzuri ,Mungu tusamehe hatujui tutendalo.dharau iyo

  • @saidakiwale9227
    @saidakiwale9227 Před 19 dny +3

    Jamani sijapenda kabisa maneno ya Makonda huyo dada yupo kikazi hizo kashfa za nini huyu dada nae anamumewe mzuri tu unadhalilisha siyo powa

  • @AyshaMussa-xs2ut
    @AyshaMussa-xs2ut Před 23 dny +8

    Engineer yupo vizur tu mbona

  • @user-gp2ue2ny6n
    @user-gp2ue2ny6n Před 21 dnem +3

    Makonda the big brain 🎉

  • @tausikiyabo6302
    @tausikiyabo6302 Před 21 dnem +3

    Injinia hongera huko vizuri sanaaaaaa unafaa kapandishwa cheo hongera hongera

  • @FatumaTupa
    @FatumaTupa Před 20 dny +3

    Pole Dada izo ni changamoto tu za kazi

  • @JennipherGabriel-rx6jc

    Huyu dada naamini alilia sana jamn pole ndo maisha tujitahidi kufanya kazi jamn

  • @user-bm5zm8ls2d
    @user-bm5zm8ls2d Před 19 dny +5

    Uongozi ni kazi hivi angekujibu na mimi nina mwanaume handsome ingekuwaje sasa nadhani hata mkuu amejutia tumsamehe bure sisi wanawake maana wanawake wote ni wazuri kwa namna ya uumbaji wa.Mungu

  • @Godlove-yh5pp
    @Godlove-yh5pp Před 19 dny

    Hongera sana mdogo wangu Grace, keep it up with calmness

  • @annemateo2999
    @annemateo2999 Před 7 dny

    Daaaaajh najuta kuagalia hii leo Brother Makonda this isBig Noo, muombe msamahaa huyu dada kama unampenda Mungu

  • @SHIJADAVIS
    @SHIJADAVIS Před 20 dny +3

    Wapendwa tutumie lugha, nzuri. Haijalishi mtu unamzidi kazi.

  • @gwantwamwalyaje8515
    @gwantwamwalyaje8515 Před 23 dny +5

    Makonda Ni Wa Hovyo Wewe Unalazimisha Tuhuma Zisizo Na Maana Ili kuwaingiza Kwenye Makosa Watumishi

  • @MnyamaTolu-kd5ct
    @MnyamaTolu-kd5ct Před 19 dny +1

    HAWA WANAOSHANGILIA NASHINDWA KUELEWA VICHWA VYAO VINAFKIRI NN NAVINAUWEZO WAKUSMAMIA NN kiukweli nmeumia sana dada usifunjike MOYO Mungu yupa1 naww.

  • @margaretjoseph6501
    @margaretjoseph6501 Před 23 dny +5

    Big up Engineer

  • @WillyKasala255
    @WillyKasala255 Před 18 dny +1

    Mheshimiwa piga kazi,usiwasikilize hawa wasojua lolote zaidi ya kupinga haki za wananchi zisitimizwe upo sahihi kuhoji swali lolote maana huo ni wajibu wako ndani ya mkoa kwa masilahi ya Watanzania@kazi iendelee👍

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 Před 22 dny +3

    Mh naona maneno yako yamekua makali kidogo! Mchmba tena jamani! Hapo anaongea kwa kujikaza! Wewe ni mtu mkubwa lazima mtu awe na kiwewe na ndipo anapoharibu! Msamehe bure huyu Eng wetu!😢😢😢

  • @isayakalinga6475
    @isayakalinga6475 Před 20 dny +2

    Huyu mama anaongea vizuri sana jamani anajua kufafanua Mambo

  • @husseinshabani3306
    @husseinshabani3306 Před 20 dny +1

    Boc anafanya kazi nzri sana. Ila hapa kama binaadam na nikijana alikengeuka. Maybe totoz lilimkomfuse. Si unaona anamashauzi ya kibinti lazima udenda ukutoke.❤😂

  • @AK-rd5zr
    @AK-rd5zr Před 23 dny +3

    😂😂 hapa Makonda ameomba poo….. mdada ako safi sana kitaalamu. Amesoma na amenyooka.

  • @user-cz7bd9tc5k
    @user-cz7bd9tc5k Před 19 dny +1

    Mwalimu Uko vizuri sana una sitahili sana hongera sana

  • @user-gx4jx4gv9l
    @user-gx4jx4gv9l Před 20 dny +3

    Ukiona watu wengi wanatetea ujinga jua hao ni wanufaika sijaona mtu akiwaonea huruma wananchi.

  • @user-de1wm3of2l
    @user-de1wm3of2l Před 23 dny +6

    Sasa kweli atakama nini usikilize mtu kwanza ulivyo mwongelesha uyo mwanadada so poa usiongeleshe mtu kwa matharau hivyo mh

    • @GeofreyKalo-ot3we
      @GeofreyKalo-ot3we Před 23 dny +2

      Makonda anatabia ya kudhalilisha watu sana

    • @KhmsNsr
      @KhmsNsr Před 21 dnem

      HAKUNA MTU MUOVU ATAMKUBALI MAKONDA ABADAN 😂 UKIONA MTU ANAMPONDA MAKONDA JUA NDO WALE WALE TU WAPIGAJI😂

    • @GeofreyKalo-ot3we
      @GeofreyKalo-ot3we Před 21 dnem

      @@KhmsNsr na we nawe hujui tunachoongeleahapa! Tumesema makonda anafanya Kazi vizuri Ila kwa swala lahyudada tu kachemka hauwezi ujambabaisha mtu hivo na kauli mbovu kama hujaelewa bs

    • @KhmsNsr
      @KhmsNsr Před 21 dnem

      HAKUNA MPIGAJI YEYOTE ATAMPENDA MAKONDA ABADAN ATATAFUTA CHAKA TU.

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 Před 23 dny +2

    Engner mama SSH teua uyo binti yuko Vizuri mpe nafasi akusaidie kazi siyo kilaza msomi mzuri

  • @dannysix4475
    @dannysix4475 Před 20 dny +2

    Mh. uko sawa kabisa: sio mambo ya kuangalia sula ya mtu. Swali ulikuwepo.!! sikuwepo sasa unajibu nn.

  • @gracewilliam4102
    @gracewilliam4102 Před 23 dny +7

    Makonda acha kumkolomea huyu dada msikilize kwanza huyo dada

  • @estherdalleiy1461
    @estherdalleiy1461 Před 19 dny +6

    Dada wawatu kajibiwa vby maskini sjui vipi ee mungu naomba mwanangu awe natabia nzuri zakumpendeza mungu na jamii asiwe namajivuno kam mwafulani

  • @samlutubija1229
    @samlutubija1229 Před 20 dny +3

    Makonda yuko sahihi na mama Engineer yuko sahihi

  • @user-uv1gk9og4n
    @user-uv1gk9og4n Před 21 dnem +3

    makonda hunaakili achakudhalilisha wanawake kama unamke mzuli wakwako nyumbani kwako

  • @user-hb9pv2pt8x
    @user-hb9pv2pt8x Před 17 dny +1

    Sema Ngoma imeenda droo,nipe nkupe in short sijajua imeishaje kwa kwel

  • @omaryjudasymwanga7172
    @omaryjudasymwanga7172 Před 21 dnem +2

    Maana kama budget ipo hivyo na kabla ya mradi walikieleza kwamba mzigo hautoshi mpaka wakazama kwenye force account lakini bado akachengwa akiwa kama mhandisi halikua na maulizo nikulianzisha mje mkikuta limesimama kama hivyo mchanganue na mpaka hapo mtaelewa kulazimisha upigaji na eneo lenyewe ni uwanda wa rift Valley lazima nguzo ziwepo kama hivyo tena imara so on this broo nasimama na mhandisi yupo sahihi maana kiforce ili hela yenu itoshe likishukia watoto mtamtafuta na kesi ya kuuwa so bi dada nipo nyuma yako tujipongeze wakike kwa wakiume tunaosimamia misimamo ya haki na uhalisia

  • @juliusabdul-cc9wn
    @juliusabdul-cc9wn Před 14 dny

    tunaitaji kiongozi kama makonda, tumeajili wote kwanzia raisi mpka mwenyekiti, ahsante mama kwa zawadi hii ya makonda

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 Před 21 dnem +2

    Vzur dada , hapoo n kaz kaz ,makondo anafanya kaz ajari n kwaidaa tuu usjar

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai Před 22 dny +4

    Mbona mke wako siyo mzuri tunamjua

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc Před 19 dny

      Mwambie huyo labda sisi wengine sio wanawake ila ni mifano ya wanawake

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 Před 23 dny +7

    Mwl.kufanya kazi mbili.inasumbua

  • @emmanuelmziray1073
    @emmanuelmziray1073 Před 23 dny +18

    Makonda una makosa saaaanaa wewe. Hongera Dads Engineer

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 Před 23 dny +6

    Vitu vongine nafikiri vinahitaji mkuu wa mkoa awaite hao watu ofisini sioni kama hapa panaweza pakawa na majibu mazuri . Wakati mwingine ni kudhalilishana tu.

    • @deonicemollel4205
      @deonicemollel4205 Před 23 dny

      Weweeeee yaani watu wanapiga pesa za wananchi afu useme kudhalilishana

    • @mugemainyas5241
      @mugemainyas5241 Před 23 dny +2

      Kuelewa naelewa kazi kubwa anayofanya mweshumiwa makonda lakini vilevile najua maswali ya hapo kwa hapo mengine yanataka majibu yaloandikwa . Watu wanaweza fikiri kila mtu mwizi kumbe ni kwa sababu hana majibu kichwani ila kila kitu kiko sawa . Isionekane kila mladi unapigwa hapa ni hesabu na watu hawa wanapashwa kukaa na watu wa ofisi yako ijulikane wapi kuna upungufu . Kwa namna hii ya maswali kila mtu kapiga pesa na wananchi Watson pesa zinaliwa kila sehemu

    • @godlovemrosso5973
      @godlovemrosso5973 Před 23 dny

      Kwani mkuu wa mkoa si alitoa mapema ratiba ya ziara zake wilayani?
      Kwanin watendaji wasiandae majibu mapema?

    • @user-kr9xx8br4o
      @user-kr9xx8br4o Před 23 dny

      Bungeni Mawaziri hupewa maswali watakayo ulizwa kabla ya kikao kuanza.
      Sasa hapo ni kama Bunge dogo, Je walipewa maswali watakayo ulizwa? Halafu yapo yale ya papo kwa papo yatokanayo na swali la msingi (yanaitwa ya nyongeza)
      Lakini ijulikane tu kuwa, upande mzuri ni ule wa kuuliza maswali na siyo ule wa kujibu maswali

    • @martinabayyo9982
      @martinabayyo9982 Před 22 dny

      Hawako serious na kazi zao, ukiwa kwenye kitengo chako unatakiwa kuwa makini hata ukiulizawa barabarani unajibu bila kutetemeka so unafanya kazi kwa kukadiria

  • @suleimanabdillah7490
    @suleimanabdillah7490 Před 22 dny +3

    Yaani,hii style mmh,ila nampongeza huyu Injinia kwa ujasiri na KUSIMAMA kwenye professional yake.

  • @bensonmhone4822
    @bensonmhone4822 Před 23 dny

    Madam Mhandisi has nailed it. Very composed

  • @user-ze2nk8cw5s
    @user-ze2nk8cw5s Před 19 dny +1

    Makonda mungu akulinde unafanya kazi. Naomba siku moja uwe mkuu wa mkoa wa Tanga

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c Před 23 dny +16

    Makonda maswal mengne unamuonea huyo mtaalam kama hela haitoshi yy afanye nn

  • @isaacvtv547
    @isaacvtv547 Před 23 dny +5

    M 1 amesema hawadaiwi mwingine 80 millions 😢😢

  • @nellynathan-hf2by
    @nellynathan-hf2by Před 21 dnem +4

    Hapana makonda mm ni shabiki yako mda mwingne nawish uwe rais WA nchi hii lkn busara zako ni kdogo

  • @husseinc
    @husseinc Před 18 dny +2

    pigakazi poul makonda. china wa lieka sheria kali watumiwash wa serikali wamepiga hatua huku kwetu tunataka kulea maovu

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 Před 23 dny +7

    Pongezi kwako mwl.kazi umefanya.

  • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k

    Yani kama ndo hivi mwizi utapungua kwa 70%

    • @wajinajecha5029
      @wajinajecha5029 Před 21 dnem +1

      Yeye mwenyewe mwizi na mama yake kwani report za CAG wakipewa wanazifungia makabatini hakuna mtu anaechukuliwa hatua yote mijizi inafanya usanii tu hapo

  • @telesphorymajumbi
    @telesphorymajumbi Před 15 dny

    Ni mkuu wa mkoa moja tu Mh. Makonda anae ongea na wananchi waka sana kujuwa na kutoa ufumbuzi wa shida zao bila kuingilia Sheria (maamuzi ya mahakama) fanya kazi Mh. Achana na wababaishaji hao na wakandamizaji tu. Etaga milimo wa ng'wa Mami.

  • @joycekalago532
    @joycekalago532 Před 20 dny +4

    Huyu dada kabila gani? Mbona kama anayumbayumba sana? Makokda amekasirika sana kwa sababu ya ubadhilifu wa pesa zinaliwa ovyo ovyo na hakuna wanachokifanya

    • @nanguniMtaita-hz4zt
      @nanguniMtaita-hz4zt Před 17 dny

      Hujui utendalo. Makonda kakasirishwa na nini? Mwizi kamkamata nani? Yupi asiye mwizi? Kutoka juu serikalini mpaka mfyagiaji? Huyo Bashite je, ugomvi aliokuwa analalamikia nyumba ya watu dar, nini kilimshinda? Wote ni MANZAGALA.

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 Před 16 dny

      ​@@nanguniMtaita-hz4ztendelea hivyo hivyo mwenzio anapiga kazi watu kama nyie hamkosekanagi

  • @judicamunisi1548
    @judicamunisi1548 Před 22 dny

    I like the confidence of that woman I call her ( IRON LADY)
    Bible inasema " wenye haki ni majasiri kama simba. Mkuu wa mkoa amejaribu kumpa pressure lakini Eng. anatoa point safiiii
    Big up dada, Mungu akutunze sanaaaa

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 Před 19 dny +1

    Hongera dada hukupanic, wala hukuruhusu hasira. Una shule ya maana.

  • @DandasiKundi
    @DandasiKundi Před 2 dny

    Raisi wetu mama Samia tunaomba utupe sisi wananchi wa mkoa wa pwani utupe makonda awe mkuu wetu wetu wa pwani angalao Kwa muda wa mwaka mmoja tu ili tusonge mbele namkubali sana ni mtendaji mzuri sana na ni mfuatiliaji Kijiji Hadi Kijiji atatupa maendeleo sana. Tunakuomba mama Samia.

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 Před 23 dny +1

    ingeneer yupo vizur dada mashaallah

  • @mussakayenze2276
    @mussakayenze2276 Před 23 dny +9

    Mweshimiwa Mkoa

  • @isaacvtv547
    @isaacvtv547 Před 23 dny +9

    Nimegundua kwanini Makonda yuko anawauliza maswali hivyo, huwenda tarifa alizonazo na namba wanazozitoa hazifanani.

  • @konderaeriasi6251
    @konderaeriasi6251 Před 19 dny +2

    Ata Kama huyo dada anakosa haukupaswa kumjibu hivo unaroho mbaya sana ww jamaa

  • @dorambaga2667
    @dorambaga2667 Před 23 dny +4

    Mimi huyu mpuuzi hajanijibu hivi

  • @aminamaulid7371
    @aminamaulid7371 Před 18 dny +1

    Kashtuliwa jamaniii siunaona kaweka microphone 🎤 vizuri??? 😂😂😂

  • @tiffanymo9453
    @tiffanymo9453 Před 14 dny

    Good questions Mh Makonda ,well done

  • @Mendietadiamante7971
    @Mendietadiamante7971 Před 23 dny +10

    Engineer yupo sahihi,mh Makonda anadictate maongezi na kuwadepress wakati wanajieleza.

    • @GeofreyKalo-ot3we
      @GeofreyKalo-ot3we Před 23 dny +1

      Hapo makonda angewaacha wajieleze kwanza anawababaisha

    • @Brunn-mh2bq
      @Brunn-mh2bq Před 23 dny +3

      Huyu bwana akijiskia kukudhalilisha hufanya hivyo. Huyu dada ni mtu makini na mjuzi sana lakini Makonda kaamua tu kumtoa kafara aonekane wa ovyo. Ati mi nina mke kwanza mzuri. Alaaaa!! Ya nini yote hayo? Tuheshimiane bwana

    • @majaliwabwitonde6900
      @majaliwabwitonde6900 Před 23 dny +1

      Fanya kazi hivyo na wewe

    • @amymobilesphone4241
      @amymobilesphone4241 Před 23 dny +1

      Yale yale mlio tuaminisha kua maguful ni dictator afu leo tuna ona kumbe alikua sahh ndio haya una taka kuaminisha watu kua makonda ni dictator wake kubal kufanya kaz bas lazma wafanye kaz

    • @felixluguga645
      @felixluguga645 Před 23 dny +3

      Ndugu zangu naomba sikiliza comments za engineer na mwalimu utajua kuna ulaji hapo.