#PART2
Vložit
- čas přidán 22. 05. 2024
- #PART2: ''HAUONGEI na MCHUMBA WAKO HAPA - MIMI NINA MKE na NI MZURI - UNAFANYA DHARAU?'' - MAKONDA
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Engineer nimekupenda unajiamini na hoja zako safi
Uko vizuri saaaana Dada Mungu akujalie uende juu zaidi Waziri wetu Mtarajiwa❤❤
Professional and competent engineer, congrats sister!
Huyu ndo mwanamke super wangu wa mwaka 2024 very strong very talented very smart very important very education big brain mwanmke wa nguvu so biuty fully achana na wapaka poda dada nimekupenda bure by the way makonda nae ni binaadam
Ingenia yuko safi, mzee wangu Makonda amejaribu kumugombeza lakini kajikwamuwa. Huyu dada anastahili na yuko makini.
Mkuu Umejibu huyo dada vibaya, dada mwenyewe Mrembo na anajielewa sana.pole dada na hongera sana kwa kazi nzuri
My opinion is that we as strong females we have to avoid crush to males na hiyo ndio suluhisho peke yake maana yeye alikuwa akiulizwa alikuwa anacheke cheka kwa nini hii ndio CRUSH 💯 NA NDIO MAANA ALISEMA HIVYO MSITAFUTE CHA KUSEMA WACHA MH AFANYE KAZI MPENI USHIRIKIANO. ACHENI WIVU.
Makonda yupo vizuri.kilichomponza.kuingiza maswala ya uzuri mm Nina mke.siyo.haiba ya uongozi.
Jamaaani tujitahidi kuheshim fani za watu, Dada jipe moyo haya ni maisha tu hongera unajitahidi.
Huyo dada hajazalilushwa ila kashindwa kujieleza Kwa sababu ya wizi wanao ufanya wanasababisha wananchi huku chini tuna pata shida Kwa ujinga Wa hao wajinga walio pata nafasi wanaitumia vibaya kutesea wananchi
@@wamburasungura6812ukipewa siku kusimamia ujenzi uttaelewa kuwaa umekosea kutyp
Qddq wewe embu jitambue basi 17:38
Huyu dada ni msomi kweli na ana punch si kidogo, ametoboa maswali kwa kujiamini mno, na uzuri toka awali aligundua pesa isingetosha, hongera dada muhandisi.
Hakuna mkamilifu,anafanya mengi mazuri ya kusaidia wengi.Hiyo weakness moja isiwe sababu ya kucrash mema yake mengi .Asiye na udhaifu hata kidogo na awe wa kwanza kumpiga mawe!
Kabisa
SAHIHI kabisa.Mungu amlinde usiku na mchana Mh: MAKONDA
Mdogo wangu Grace hongera sana kwa ujasili na kuwa competent kwenye field yako
Amekuwa jasiri kujibu utumbo. Imeundwa kamati ya uvhunguzi utasikia majibu nyiebmko mbali na mradi. Hii shule inawaramba wote.
Dada hongera umejiitaid sana maana maswali ya Mh makonda ni moto sana
Pole dada umejibu vizuri sana, pia umejitahidi kuwa mpole na mwenye busara
Shida wabongo tumekalili sanaa wanaona kila viongoz wa mladi ni wapigajiii,, sio kwer huyu dada yuko vizuri ana confidence haogopi sijui mkuu wa mkoa!! Anajiamini
Huyo dada pia ni mwananchi anayefanya kazi kwa jasho na kodi yake ndiyo imekuweka wewe mkuu wa mkoa hapo so you need to talk to her with respect. No human being should be embarrassed like this, this guy is not a leader, what lesson are you giving to the younger generation?
Yaani nmeumia na kumhurumia sana huyu dada
Makonda umemdhalilisha huyo dada sio poa
Huyu Mwana Dada Engineer anafaa kabisa kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri, mtulivu kweli kwenye kujibu maswali, hana panic, yuko calm. Safi sana
Makonda usiwe mkali sana utaharibu
Pia kuongea sana nako ni tatizo
@@GeofreyKalo-ot3we Bila ukali bongo hii inakula kwako!!! Sishangai wanaotaka uzembe uendelee maana asilimia kubwa hawajielewi!!!
Makonda nimekuelewa kabisa unapokuwa mkali tiyari una taarifa mbele yake
Huyu ni magufuli kabisa yani anakuuliza swali mbalo tiyari ana majibu yake
Naamini kabisa hata makonda alimkubari huyu Eng dada,Makonda unafanya kazi nzuri na safi sana.
Makonda hongera sana kwa ufuatiliaji huu,watu wanafanya kazi kwa mazoea wanafikiria ulaji na siyo kazi
Kwenye mahojiano hayo umeuona ulaji??
@@amaninyekele5002 acha kutetea uovu😯
Hongera, Hongera sana Mh, Makonda Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Mungu akupe maisha marefu. Kazi iendeleee.
Itabidi tupige kura kwa Baba Mungu muumbaji, maana wajinga ama waliopachikwa pakacha la upumbavu nao ni wengi. Kura yenyewe iwe hivi " Wanaosema Mungu ampe Makonda maisha marefu na Wanaosema Mungu ampe Makonda chango la tumbo Afe tusimuone kelele zake za kinafiki kama Mwenda zake, tumuachie mwamuzi.
Huyu dada ametulia YUKO VIZURI makonda amejaribu kumbabaisha LAKINI YUKO VIZURI
Makonda, unakubalika. Chapa kazi, baadhi ya watumishi wa serikali wamekuwa siyo waaminifu.
Nchi unapaswa kuwa na viongozi wa namna hii Safi sana mhe makonda
Makonda Yuko vizuri saana,naomba tu awe mvumilivu asikate hoja ya mtu hasa watumishi katikati ,anawatoa kwenye hoja wanaingia woga.Injinia Dada naomba apandishwe cheo huyo nimempenda.
ukiwa mtaalam, unatakiwa kutoa majibu manyoofu, sasa watendaji wengi wana majibu ya siasa, Dada anaulizwa, mil 400 za ziada zinatoka wapi? sikiliza jibu lake,...blaaa blaaa nyingi, hapo ndipo Mh. Makonda anapokerwa, maana anahitaji jibu nyoofu, mfano alitakiwa kusema...tutafanya funds raising event kupata mil 400, ...Jambo lingine la msingi, wao kama wataalam + kamati ya Ujenzi walitakiwa kukaa kikao, kuandaa muhutasari wenye hoja za kusema mapema kwamba makadirio yaliyofanyika na TAMISEMI hayana uhalisia, so mradi hautaweza kukamilika kwa wakati wala kwa ubora ambao umetarajiwa sababu ya mfumuko qa bei, so way forward wapatiwe ongezeko la pesa ama maelekezo ambayo yatawaongoza kutekeleza mradi kwa budget iliyopo ambayo ni pungufu. ! (Tupeni kazi, tuchape kazi !!)
Hujamwelewa huyo dada kajitahidi sana kujibu
Sure hajaelewa
Binafsi mkuu wa shuke na engineer waamejtahd sana gharama zao zipo secified kuna mrad mtu anakutajia ghrama had maini yana cheza mwl mkuu anasema gharama ambazo taasisi za serikali zinadhibitsha kwannza mkuu wa shule kajjtahid kuongonza waliomzd elimu
@@GeofreyKalo-ot3wehamna Kitu Huyo Dada kilaza
Umeongea vizuri nyongeza ni kwamba ukishaona umepewa kazi ambayo mwisho wake unaweza kupokea lawama unapaswa uiandikie tamisemi barua ya aina ya mapungufu kwenye budget yao waliyotoa ,huku ukibainisha changamoto ya kimanzingira .mfano gharama ya ujenzi dar ni tofauti na shinyanga , mwanza,Arusha ,moshi.kutokana na mazingira ya kijiografia.sasa wataamu wetu .awaendi zaidi .
UKISIKIA “MWANAMKE NA NUSU” (Harmonize” NI HUYU INJINIA. KEEP IT UP MAMA UNAWEZA!
Sometimes viongozi tumieni busara mtu anjibu vizuri una intaract as if hukutaka hayo majibu...tuheshim kaz za watu
Majibu yapi hapo yaniumwache mtu ajiandae kudanganya. Chapa wafujaji wote
Sababu ya Interaction haikuwa ufujaji bali maringo.
Mm nimetazama hii clip, sioni maringo kuhusu huyu Engineer.
Hakika
Yes tena anamuongelea maneno yakukaraisha ila injinia kasimama vzr yuko vzr anamjibu kila kona
Makonda anavuka mipaka mda mwingine
Dada hongera kupambana na hiki chuma sio kazi rahisi. Bright with brain. Mm ningeshazimia
Halafu kuwa na cheo haina maana mtu una akili nyingi kuliko wengine.
🎉
Huyu engineer ndiyo chanzo cha kuliwa hela za shule,makonda piga kazi
Huyu dada safi sana.Mungu amjaalie
Mhe. Makonda kuhoji kwako kumesaidia kupatikana kwa ukweli juu ya changamoto ya wataalamu waliopo Wizarani kufanya makadirio ya kiwango cha chini ukilinganisha na gharama halisi za ujenzi wa Mradi. Matokeo yake miradi inashindwa kukamilika na kuonekana wasimamizi wamekula fedha. Hongera sana wanaokubeza wameangalia upande mmoja tu.
Engenier ndio amekuja kuokoa wenzake
Dada yupo smart 🙌🏽 kajibu kwa facts, Ameku outsmart mkuu wa mkoa dah🙄
😅dada kampa mrejesho huo muuliza maswali,kampigapiga na vingereza vya kikazi muuliza maswali hoi umbea wote kwisha.ndio maana anakuuliza kwa hasira mwenyewe hajielewi😂😂😂 safi sana dada eng.
dada huyu ni zaidi ya mkuu wa mkoa
Dada ni moto sana popote ana kaa huyu hajakubali kutingishika hata alipotingishwa dadeki nimeipenda sana hii Japo mwamba nae fresh anapambania wananchi Japo sikuona kama dada Kuna alichozingua kias Cha kumwambia maneno Yale ya mchumba sijui na nn
Mwalimu umepambana hongera huyu jamaa ni moto
Aisee kwanza nimecheka...huyu jamaa ni mwanaume..ana maswali nondo
Yani ninamuona makonda kama Rais wa Arusha, yani najihisi kama nipo kwenye nchi iitwayo Arusha ambapo Rais wake anakagua maendeleo ya wananchi wake !! Yani ukuu wa mkoa ni kazi ndogo sana kwako unastahili kuihudumia nchi nzima kwa mamlaka kamili isiyo na kizuizi. Ninamuomba Mungu siku moja nimshuhudie Amiri Jeshi mkuu anayeitwa Paul Christian Makonda !! Viva Baba viva
Dada huyu very intelligent kabisa
Eti ana mke mzuri ,Mungu tusamehe hatujui tutendalo.dharau iyo
Yaaani mambo ya mke wake sijui yanahusikaje hapo daaaah
Jamani sijapenda kabisa maneno ya Makonda huyo dada yupo kikazi hizo kashfa za nini huyu dada nae anamumewe mzuri tu unadhalilisha siyo powa
Siyo lazima uyapende
Engineer yupo vizur tu mbona
Makonda the big brain 🎉
Injinia hongera huko vizuri sanaaaaaa unafaa kapandishwa cheo hongera hongera
Pole Dada izo ni changamoto tu za kazi
Da!we acha hakuna kazi rahisi kwakweli
Huyu dada naamini alilia sana jamn pole ndo maisha tujitahidi kufanya kazi jamn
Uongozi ni kazi hivi angekujibu na mimi nina mwanaume handsome ingekuwaje sasa nadhani hata mkuu amejutia tumsamehe bure sisi wanawake maana wanawake wote ni wazuri kwa namna ya uumbaji wa.Mungu
Hongera sana mdogo wangu Grace, keep it up with calmness
Daaaaajh najuta kuagalia hii leo Brother Makonda this isBig Noo, muombe msamahaa huyu dada kama unampenda Mungu
Wapendwa tutumie lugha, nzuri. Haijalishi mtu unamzidi kazi.
Kabisa
Ulimi huteleza na ikitokea yafaa kuomba radhi
Makonda Ni Wa Hovyo Wewe Unalazimisha Tuhuma Zisizo Na Maana Ili kuwaingiza Kwenye Makosa Watumishi
mbona makonda yuko vizuri sana wewe unachuki tu
HAWA WANAOSHANGILIA NASHINDWA KUELEWA VICHWA VYAO VINAFKIRI NN NAVINAUWEZO WAKUSMAMIA NN kiukweli nmeumia sana dada usifunjike MOYO Mungu yupa1 naww.
Big up Engineer
Mheshimiwa piga kazi,usiwasikilize hawa wasojua lolote zaidi ya kupinga haki za wananchi zisitimizwe upo sahihi kuhoji swali lolote maana huo ni wajibu wako ndani ya mkoa kwa masilahi ya Watanzania@kazi iendelee👍
Mh naona maneno yako yamekua makali kidogo! Mchmba tena jamani! Hapo anaongea kwa kujikaza! Wewe ni mtu mkubwa lazima mtu awe na kiwewe na ndipo anapoharibu! Msamehe bure huyu Eng wetu!😢😢😢
Huyu mama anaongea vizuri sana jamani anajua kufafanua Mambo
Boc anafanya kazi nzri sana. Ila hapa kama binaadam na nikijana alikengeuka. Maybe totoz lilimkomfuse. Si unaona anamashauzi ya kibinti lazima udenda ukutoke.❤😂
😂😂 hapa Makonda ameomba poo….. mdada ako safi sana kitaalamu. Amesoma na amenyooka.
Mwalimu Uko vizuri sana una sitahili sana hongera sana
Ukiona watu wengi wanatetea ujinga jua hao ni wanufaika sijaona mtu akiwaonea huruma wananchi.
Sasa kweli atakama nini usikilize mtu kwanza ulivyo mwongelesha uyo mwanadada so poa usiongeleshe mtu kwa matharau hivyo mh
Makonda anatabia ya kudhalilisha watu sana
HAKUNA MTU MUOVU ATAMKUBALI MAKONDA ABADAN 😂 UKIONA MTU ANAMPONDA MAKONDA JUA NDO WALE WALE TU WAPIGAJI😂
@@KhmsNsr na we nawe hujui tunachoongeleahapa! Tumesema makonda anafanya Kazi vizuri Ila kwa swala lahyudada tu kachemka hauwezi ujambabaisha mtu hivo na kauli mbovu kama hujaelewa bs
HAKUNA MPIGAJI YEYOTE ATAMPENDA MAKONDA ABADAN ATATAFUTA CHAKA TU.
Engner mama SSH teua uyo binti yuko Vizuri mpe nafasi akusaidie kazi siyo kilaza msomi mzuri
Mh. uko sawa kabisa: sio mambo ya kuangalia sula ya mtu. Swali ulikuwepo.!! sikuwepo sasa unajibu nn.
Makonda acha kumkolomea huyu dada msikilize kwanza huyo dada
Yaaaani ata hamsikilizi anamkatisha kila saa
Dada wawatu kajibiwa vby maskini sjui vipi ee mungu naomba mwanangu awe natabia nzuri zakumpendeza mungu na jamii asiwe namajivuno kam mwafulani
Makonda yuko sahihi na mama Engineer yuko sahihi
makonda hunaakili achakudhalilisha wanawake kama unamke mzuli wakwako nyumbani kwako
Kweli
Sema Ngoma imeenda droo,nipe nkupe in short sijajua imeishaje kwa kwel
Maana kama budget ipo hivyo na kabla ya mradi walikieleza kwamba mzigo hautoshi mpaka wakazama kwenye force account lakini bado akachengwa akiwa kama mhandisi halikua na maulizo nikulianzisha mje mkikuta limesimama kama hivyo mchanganue na mpaka hapo mtaelewa kulazimisha upigaji na eneo lenyewe ni uwanda wa rift Valley lazima nguzo ziwepo kama hivyo tena imara so on this broo nasimama na mhandisi yupo sahihi maana kiforce ili hela yenu itoshe likishukia watoto mtamtafuta na kesi ya kuuwa so bi dada nipo nyuma yako tujipongeze wakike kwa wakiume tunaosimamia misimamo ya haki na uhalisia
tunaitaji kiongozi kama makonda, tumeajili wote kwanzia raisi mpka mwenyekiti, ahsante mama kwa zawadi hii ya makonda
Vzur dada , hapoo n kaz kaz ,makondo anafanya kaz ajari n kwaidaa tuu usjar
Mbona mke wako siyo mzuri tunamjua
Mwambie huyo labda sisi wengine sio wanawake ila ni mifano ya wanawake
Mwl.kufanya kazi mbili.inasumbua
Makonda una makosa saaaanaa wewe. Hongera Dads Engineer
Makosa gani ?
Ana makosa yap au kosa kuuliza kukamilika mradi
Mnatetea ujinga Acha watu watumbuliwe😂
Vitu vongine nafikiri vinahitaji mkuu wa mkoa awaite hao watu ofisini sioni kama hapa panaweza pakawa na majibu mazuri . Wakati mwingine ni kudhalilishana tu.
Weweeeee yaani watu wanapiga pesa za wananchi afu useme kudhalilishana
Kuelewa naelewa kazi kubwa anayofanya mweshumiwa makonda lakini vilevile najua maswali ya hapo kwa hapo mengine yanataka majibu yaloandikwa . Watu wanaweza fikiri kila mtu mwizi kumbe ni kwa sababu hana majibu kichwani ila kila kitu kiko sawa . Isionekane kila mladi unapigwa hapa ni hesabu na watu hawa wanapashwa kukaa na watu wa ofisi yako ijulikane wapi kuna upungufu . Kwa namna hii ya maswali kila mtu kapiga pesa na wananchi Watson pesa zinaliwa kila sehemu
Kwani mkuu wa mkoa si alitoa mapema ratiba ya ziara zake wilayani?
Kwanin watendaji wasiandae majibu mapema?
Bungeni Mawaziri hupewa maswali watakayo ulizwa kabla ya kikao kuanza.
Sasa hapo ni kama Bunge dogo, Je walipewa maswali watakayo ulizwa? Halafu yapo yale ya papo kwa papo yatokanayo na swali la msingi (yanaitwa ya nyongeza)
Lakini ijulikane tu kuwa, upande mzuri ni ule wa kuuliza maswali na siyo ule wa kujibu maswali
Hawako serious na kazi zao, ukiwa kwenye kitengo chako unatakiwa kuwa makini hata ukiulizawa barabarani unajibu bila kutetemeka so unafanya kazi kwa kukadiria
Yaani,hii style mmh,ila nampongeza huyu Injinia kwa ujasiri na KUSIMAMA kwenye professional yake.
Madam Mhandisi has nailed it. Very composed
Makonda mungu akulinde unafanya kazi. Naomba siku moja uwe mkuu wa mkoa wa Tanga
Awe raisi
Makonda maswal mengne unamuonea huyo mtaalam kama hela haitoshi yy afanye nn
Quotation ilishafanyika
Makonda Mda mwingine anapotea
M 1 amesema hawadaiwi mwingine 80 millions 😢😢
Hapana makonda mm ni shabiki yako mda mwingne nawish uwe rais WA nchi hii lkn busara zako ni kdogo
pigakazi poul makonda. china wa lieka sheria kali watumiwash wa serikali wamepiga hatua huku kwetu tunataka kulea maovu
Pongezi kwako mwl.kazi umefanya.
Mwalimu nimemkubali
Yani kama ndo hivi mwizi utapungua kwa 70%
Yeye mwenyewe mwizi na mama yake kwani report za CAG wakipewa wanazifungia makabatini hakuna mtu anaechukuliwa hatua yote mijizi inafanya usanii tu hapo
Ni mkuu wa mkoa moja tu Mh. Makonda anae ongea na wananchi waka sana kujuwa na kutoa ufumbuzi wa shida zao bila kuingilia Sheria (maamuzi ya mahakama) fanya kazi Mh. Achana na wababaishaji hao na wakandamizaji tu. Etaga milimo wa ng'wa Mami.
Huyu dada kabila gani? Mbona kama anayumbayumba sana? Makokda amekasirika sana kwa sababu ya ubadhilifu wa pesa zinaliwa ovyo ovyo na hakuna wanachokifanya
Hujui utendalo. Makonda kakasirishwa na nini? Mwizi kamkamata nani? Yupi asiye mwizi? Kutoka juu serikalini mpaka mfyagiaji? Huyo Bashite je, ugomvi aliokuwa analalamikia nyumba ya watu dar, nini kilimshinda? Wote ni MANZAGALA.
@@nanguniMtaita-hz4ztendelea hivyo hivyo mwenzio anapiga kazi watu kama nyie hamkosekanagi
I like the confidence of that woman I call her ( IRON LADY)
Bible inasema " wenye haki ni majasiri kama simba. Mkuu wa mkoa amejaribu kumpa pressure lakini Eng. anatoa point safiiii
Big up dada, Mungu akutunze sanaaaa
Hongera dada hukupanic, wala hukuruhusu hasira. Una shule ya maana.
Umeona ee huyo ni kiongozi kabisa
Raisi wetu mama Samia tunaomba utupe sisi wananchi wa mkoa wa pwani utupe makonda awe mkuu wetu wetu wa pwani angalao Kwa muda wa mwaka mmoja tu ili tusonge mbele namkubali sana ni mtendaji mzuri sana na ni mfuatiliaji Kijiji Hadi Kijiji atatupa maendeleo sana. Tunakuomba mama Samia.
ingeneer yupo vizur dada mashaallah
Mweshimiwa Mkoa
KUMBE ULISIKIA KAMA MM 😂😂😂😂😂
😂😂 injinia kishazoea ma SI UNITS kuanza kuhangaika na " mheshimiwa mkuu wa mkoa" maneno mengi sana kwa injinia😂😂
Nimecheka jmn
😂😂😂😂
Nimegundua kwanini Makonda yuko anawauliza maswali hivyo, huwenda tarifa alizonazo na namba wanazozitoa hazifanani.
Ata Kama huyo dada anakosa haukupaswa kumjibu hivo unaroho mbaya sana ww jamaa
Mimi huyu mpuuzi hajanijibu hivi
Kashtuliwa jamaniii siunaona kaweka microphone 🎤 vizuri??? 😂😂😂
Good questions Mh Makonda ,well done
Engineer yupo sahihi,mh Makonda anadictate maongezi na kuwadepress wakati wanajieleza.
Hapo makonda angewaacha wajieleze kwanza anawababaisha
Huyu bwana akijiskia kukudhalilisha hufanya hivyo. Huyu dada ni mtu makini na mjuzi sana lakini Makonda kaamua tu kumtoa kafara aonekane wa ovyo. Ati mi nina mke kwanza mzuri. Alaaaa!! Ya nini yote hayo? Tuheshimiane bwana
Fanya kazi hivyo na wewe
Yale yale mlio tuaminisha kua maguful ni dictator afu leo tuna ona kumbe alikua sahh ndio haya una taka kuaminisha watu kua makonda ni dictator wake kubal kufanya kaz bas lazma wafanye kaz
Ndugu zangu naomba sikiliza comments za engineer na mwalimu utajua kuna ulaji hapo.