Nikweri kabisa mimi sijapata kusikia watu kama nyie.Yaani mateso mliyoyapata ni ya kusikitisha sana sana na Bado mnaendelea Kuteseka .Asa mama Ana roho ya ushupavu sana sirahisi wakina mama kuwa hivyo.Wengi wanakuwa hawawezi kusimama.Mungu awatie nguvu. Siku moja mtafutwa machozi Mungu hayo yote anayajua na kuyaona.Mungu awatie nguvu zaidi muyashinde mapito hayo.
Hivi hii ni serikali gani. Kama wanaweza kutesa watanganyika wa kawaida hivi? Wao wanaweza kuteswa hivyo? Pole sana nami naelewa unamaumivu ya makubwa sana wapenzi. Mungu awape nguvu mama. Inchi inamatatizo makubwa sana. Wekeni Solar muachane.
Dah pole sana nakuonea huruma sana siku zote watu wengi wanachukia haki usikate tamaa pambana bada shida kuna faraja nakutakia kila la heri nyinyi ni tofauti sana Gwajima, maana Gwajima inaonekana ana shetani wa kijini
Mama Mbarikiwa yao maosifi yataisha muda wake hata kama anafanya miaka mia. Watajuta siku ya kuzaluwa kwao Mungu hawezi kuwa. Ya Duniani ni ya dunia watakuja kupata mlipo yake hapahapa na kisha moto wa milele huko mbinguni. Watu wa Mungu maisha ya hapa ni mafupi sana kwahiyo mkaze mwendo wenu wa kumpenda Mungu hata katika mateso ya serikali hii. Mungu atawavusha wapendwa. Yesu yuko Isaya 41:10 inawatosha. Acha waendelee kushindana na Mungu watajua nani mshindi. Kwani Nebkadereza yaliyo mpata hata huyo. Siku moja atamjua yeye ninani.
Mungu wa mbinguni Yesu Kirsto akutie Nguvu mama yangu lakin kama aivyo Mungu wa mbinguni Mwaka huu hautaisha pasipo kisasi cha Mungu juu yao na nafsi zao na family's zao. Na mbarikiwa atashinda zaid na zaid...
SEMA ukweli MAMA MUNGU ulie nae ni mkubwa na jinsi ulivyoitunza sura ya Mungu mabinti mjifunze Kwa Mama yetu HUYU ona hata hajaweka NYWELE bandia ana asili ya MUNGU lakini pia ona alivyoumizwa lakini Bado anasema YESU ni Bwana je wewe ambae hautaki kuokoka una Nini Kanisa la Mungu madhehebu yote tujifunze Kwa kanisa la mbalikiwa ni la MUNGU kabisa hakuna Cha mitindo Wala Cha ubabaishaji wa neno la MUNGU EAGT, AGGCI,FPCT,TAG,EFATHA ñk Mimi ni KIJANA wa MIAKA 20 MUNGU amenisemesha kuhusu jumbe hizi zinazotolewa ni kusudi la MUNGU kabisa la TANZANIA na AFRICA Mjifunze Maaskofu mujifunze kutoka Kwa watu Hawa kanisa la MUNGU linachukuliwa kemea udhalimu dhambi zote na mitindo michafu ya kimavazi Okokeni Wachungajii na Maaskofu Tazama shoka LIKO tayali ...
Unaeleweka mtumishi dunian sio kwetu ,hii ndio dunia,ndio maana YESU alisema naenda kuwaandalia mahali nitakapokuwepo nanyi muwepo,,,, Mungu awatie nguvu tufike kwake,
Bwana Yesu akasema duniani mnayo dhiki lakini jipeni moyo mimi nimeushinda ulimwengu. Adui yetu mkubwa ni shetani roho atendaye kazi katika wana wa kuasi. Tukimshughulikia huyo Kwa mamlaka ya jina la Yesu ushindi ni dhahiri. Ukiwagusa manabii wa uongo umemgusa shetani mwenyewe so lazima atareact kupitia vyombo vyake ambavyo ni wale waovu. Hao hutenda mambo ya kinyama maana wanayatenda mapenzi ya baba yao, hata hivyo sisi tumepewa jina lipitalo majina yote lenye nguvu, uwezo na mamlaka ya ajabu tulitumie hilo kumshinda adui yetu.
Mama Mimi nimekuelewa na hekima Yako nimeiona lakin kusema ukweli mume wako mara nyingi nafuatilie clip zake naona hekima yake ni ndogo sana . Mara nyingi nimeshuhudia wachungaji wenzake waki mshaul nae akiwajibu vibaya! Hilo ndo Mimi nimeona Mahubiri yake Yana ukakasi Kwa mengine Sena Neno ila Mungu atasaidia atatoka ila uwe unamshauri awe na hekima
pole sana mtumishi sasa mambo ya ulimwengu wa roho yafanye ktk kiroho .usilaumu mtu yoyote maana shetani anatumia watu wasamehe jao watu omba Mungu akisaidie kusamehe..ili Mungu aingile kati achilia vinyongo kwa watu dafa hakuna atakae kuhurumia shetani hana huruma
Mary Mremi hii sio ya ulimwengu wa roho yametendeka kwenye macho haya kama una watoto omba yasikukute na utaenda kudai haki yako popote ni safari ndefu mpaka nimekuja kusema haya
Ezra 10:4 [4]Arise; for this matter belongeth unto thee: we also will be with thee: be of good courage, and do it. Inuka; maana shughuli hii yakuhusu wewe; na sisi tu pamoja nawe; uwe na moyo mkuu, ukaitende.
Tafadhari huyu mchungaji wangeyachana nayeye atakama anaongea vibaya MUNGU amhukumu mwenyewe because hao wanasema kama wanamwamini MUNGU wangewachana tu nayeye MUNGU huwa anateteya mafuta yake
Hivyo hao watumishi wengine wahawezi kusimama na Mtumishi katika dhiki aliyo nayo. je uko wapi upendo wa Kirsto kina Gwajima ,mwingira, maboya ,gwamanjwa mko wap? au ndo mnafurahia injili yenu iko wapi au ndo hamuon# very sorry am nothing to say.
CJAJUA SANA KAMA MNAJUA MNAYEPIGANA NAYE. HAO C SERIKALI BALI ULIMWENGU WA GIZA, NAFKIRI MAOMBI NA KUFUNGA KWA SANA IKIWEZEKANA KUA NA KIKUNDI CHA MAOMBI KABISA SPECIAL KWA AJILI YA KUSHUGHULIKIA HIZO MAMLAKA. PIGA, SAMBARATISHA, VUNJA HARIBU. KTK ROHO NA HIVYO HUTAVIONA TENA KTK MWILI. AMEN
UNYAMA kama HUO sijawahi kuuona yangu nizaliwe Au ndoo tumeingia kwenye ziki kuu ?? KIUKWELI anajikita nalichukia andiko lililo andikwa kisasi ni juu yangu😭😭😭 MUNGU AGETUACHA KIDOGO ILI TIJILIPIZIE KISASI SISI WENYEWE
Mama Wokovu naomba kujua...mtoto aliwekewa sumu kwa chakula?alafu naamini lazima kulikua na mtu kati ambae alitumwa kumwekea mtoto sumu.Sababu mkurugenzi asingeweza kumfikia mtt..lazima kulikua na mtu karibu na nyny aliyeweza kumfikia wokovu nakumpa sumu.Tueleweshe kwa hili mama
Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu, pia endeleeni kusoma kitabu cha Ayubu muone jinsi Ayubu alivyojaribiwa ili mpate kutiwa moyo, Majaribu yapo kwa ajili yetu binadamu chamsingi hata tupitapo kwenye majaribu tusimsahau Mungu aliyetuumba.
Hekma ya Mungu iwawezeshe katika yote,kimya cha Yesu kilisitiri wingi wa dhambi,jifunzeni kukaa kimya na ombeni Mungu awape la kunena kwa utukufu wake.
Daaa we mama nimtu wa mungu kweli kweli mungu anakupa ujasiri naomba mungu anijalie japo kipande kidogo Cha roho yako
Pole mama. Jamani! Ni mambo gani hayo? Mungu awasaidie sana! Yataisha kwa uweza wa mwenyezi Mungu.
Poleni sana ni magumu ni machungu sana.nishayapitia naelewe yesu zidi kuwatetea watu wako
Hakika hata hivo MUNGU amekuvisha ujasili mama kiatu chako kinakutosha mwenyewe mama
Pole sana mama yangu .Mungu wa mbinguni akutie nguvu mama yangu
Polesana mama hatamimi niliumia Sana sku nayasikia nakuyaona mtandaoni mungu awafunge mikanda
Nikweri kabisa mimi sijapata kusikia watu kama nyie.Yaani mateso mliyoyapata ni ya kusikitisha sana sana na Bado mnaendelea Kuteseka .Asa mama Ana roho ya ushupavu sana sirahisi wakina mama kuwa hivyo.Wengi wanakuwa hawawezi kusimama.Mungu awatie nguvu. Siku moja mtafutwa machozi
Mungu hayo yote anayajua na kuyaona.Mungu awatie nguvu zaidi muyashinde mapito hayo.
Hivi hii ni serikali gani. Kama wanaweza kutesa watanganyika wa kawaida hivi? Wao wanaweza kuteswa hivyo? Pole sana nami naelewa unamaumivu ya makubwa sana wapenzi. Mungu awape nguvu mama. Inchi inamatatizo makubwa sana. Wekeni Solar muachane.
Tupo pamoja .mama yesu yupo upande wetu tutashinda to mama
Dah pole sana nakuonea huruma sana siku zote watu wengi wanachukia haki usikate tamaa pambana bada shida kuna faraja nakutakia kila la heri nyinyi ni tofauti sana Gwajima, maana Gwajima inaonekana ana shetani wa kijini
Mungu atashughulika nao na watajuta sana. Mungu atawalipia kabisa.
Hakika wakristo watapatwa na mabaya Sana lakini mungu atalipa kipimo utakachopimia wengine ndicho utakachopimia, auae kwa upunga atakufa kwa huo.
Mama Mbarikiwa yao maosifi yataisha muda wake hata kama anafanya miaka mia. Watajuta siku ya kuzaluwa kwao Mungu hawezi kuwa. Ya Duniani ni ya dunia watakuja kupata mlipo yake hapahapa na kisha moto wa milele huko mbinguni. Watu wa Mungu maisha ya hapa ni mafupi sana kwahiyo mkaze mwendo wenu wa kumpenda Mungu hata katika mateso ya serikali hii. Mungu atawavusha wapendwa. Yesu yuko Isaya 41:10 inawatosha. Acha waendelee kushindana na Mungu watajua nani mshindi. Kwani Nebkadereza yaliyo mpata hata huyo. Siku moja atamjua yeye ninani.
Poleni sana watu wa Mungu awatie nguvu
Mungu tuhurumie sana tusaidie tukumbuke Mungu
nawapenda saana jamani nikija mbeya lazima nifike kwenye kanisa lenu
Mungu wa mbinguni Yesu Kirsto akutie Nguvu mama yangu lakin kama aivyo Mungu wa mbinguni Mwaka huu hautaisha pasipo kisasi cha Mungu juu yao na nafsi zao na family's zao. Na mbarikiwa atashinda zaid na zaid...
Pole sanaa
Pole sana
MUNGU yuko Duniani na Mbinguni,Amina.
Mungu aendelee kukutia ujasiri.
EE mungu mtie nguvu huyu mama
Yesu akutie nguvu sana
Mh! inaumiza sana
Pole Sana
SEMA ukweli MAMA MUNGU ulie nae ni mkubwa na jinsi ulivyoitunza sura ya Mungu mabinti mjifunze Kwa Mama yetu HUYU ona hata hajaweka NYWELE bandia ana asili ya MUNGU lakini pia ona alivyoumizwa lakini Bado anasema YESU ni Bwana je wewe ambae hautaki kuokoka una Nini
Kanisa la Mungu madhehebu yote tujifunze Kwa kanisa la mbalikiwa ni la MUNGU kabisa hakuna Cha mitindo Wala Cha ubabaishaji wa neno la MUNGU EAGT, AGGCI,FPCT,TAG,EFATHA ñk Mimi ni KIJANA wa MIAKA 20 MUNGU amenisemesha kuhusu jumbe hizi zinazotolewa ni kusudi la MUNGU kabisa la TANZANIA na AFRICA Mjifunze Maaskofu mujifunze kutoka Kwa watu Hawa kanisa la MUNGU linachukuliwa kemea udhalimu dhambi zote na mitindo michafu ya kimavazi
Okokeni Wachungajii na Maaskofu Tazama shoka LIKO tayali
...
Unaeleweka mtumishi dunian sio kwetu ,hii ndio dunia,ndio maana YESU alisema naenda kuwaandalia mahali nitakapokuwepo nanyi muwepo,,,, Mungu awatie nguvu tufike kwake,
Emungu TUSAIDIE Sana na udie nguvu mama maana leo ndoo mama na ndoo baba MAMA NAKUPENDA SANA
MUNGU akamwambia Musa liko pigo Moja tu nitapiga farao nae atajua ya kwamba mimi ni MUNGU niliye kuagiza ukachukue Wana wa Israel
Mungu anawaangali tu akishusha pigo hilo moja cjui itakuwaje jamani muogopeni Mungu
Tuongee ukweli tuifie kweli Ata Bwana wetu Yesu kristo Alifia kweli
Bwana Yesu akasema duniani mnayo dhiki lakini jipeni moyo mimi nimeushinda ulimwengu. Adui yetu mkubwa ni shetani roho atendaye kazi katika wana wa kuasi. Tukimshughulikia huyo Kwa mamlaka ya jina la Yesu ushindi ni dhahiri. Ukiwagusa manabii wa uongo umemgusa shetani mwenyewe so lazima atareact kupitia vyombo vyake ambavyo ni wale waovu. Hao hutenda mambo ya kinyama maana wanayatenda mapenzi ya baba yao, hata hivyo sisi tumepewa jina lipitalo majina yote lenye nguvu, uwezo na mamlaka ya ajabu tulitumie hilo kumshinda adui yetu.
Mungu aturehemu Sana kizazi hiki
Kila mtu anajari mambo ya kwake
Hatujawa tayari kubeba maumivu ya wenzetu
Kweli upendo wa Mungu umepotea kiasi hiki?!
Mh mh mh
Mungu akutie nguvu mama wokovu
Mama Mimi nimekuelewa na hekima Yako nimeiona lakin kusema ukweli mume wako mara nyingi nafuatilie clip zake naona hekima yake ni ndogo sana .
Mara nyingi nimeshuhudia wachungaji wenzake waki mshaul nae akiwajibu vibaya!
Hilo ndo Mimi nimeona
Mahubiri yake Yana ukakasi
Kwa mengine Sena Neno ila Mungu atasaidia atatoka ila uwe unamshauri awe na hekima
pole sana mtumishi sasa mambo ya ulimwengu wa roho yafanye ktk kiroho .usilaumu mtu yoyote maana shetani anatumia watu wasamehe jao watu omba Mungu akisaidie kusamehe..ili Mungu aingile kati achilia vinyongo kwa watu dafa hakuna atakae kuhurumia shetani hana huruma
Mary Mremi hii sio ya ulimwengu wa roho yametendeka kwenye macho haya kama una watoto omba yasikukute na utaenda kudai haki yako popote ni safari ndefu mpaka nimekuja kusema haya
Kumbe mlijipangia kuzaa Mtoto mmoja kwanza aya Bwana.
Mungu wachukue waliotenda tukio hili kwa mama huyu na umjibu kwa wakt kwa uovu huu
Ezra 10:4
[4]Arise; for this matter belongeth unto thee: we also will be with thee: be of good courage, and do it.
Inuka; maana shughuli hii yakuhusu wewe; na sisi tu pamoja nawe; uwe na moyo mkuu, ukaitende.
Mama ninakupenda saana,wewe ni shujaa kabisa
Chapa Injili Mama Mbarikiwa, Hao Watesi Wako Si Kitu
Hivi baada ya ajali alifanyiwa full checkup kweli?hili la kutaja mtu si zuri sana.Lakini katika yote Mungu awasaidie sana.
Sasa nimeelewa kwanini mbarikiwa huwa anaongea kwa uchungu Sana khs hii serikali.
Tafadhari huyu mchungaji wangeyachana nayeye atakama anaongea vibaya MUNGU amhukumu mwenyewe because hao wanasema kama wanamwamini MUNGU wangewachana tu nayeye MUNGU huwa anateteya mafuta yake
Hivyo hao watumishi wengine wahawezi kusimama na Mtumishi katika dhiki aliyo nayo. je uko wapi upendo wa Kirsto kina Gwajima ,mwingira, maboya ,gwamanjwa mko wap? au ndo mnafurahia injili yenu iko wapi au ndo hamuon# very sorry am nothing to say.
CJAJUA SANA KAMA MNAJUA MNAYEPIGANA NAYE. HAO C SERIKALI BALI ULIMWENGU WA GIZA, NAFKIRI MAOMBI NA KUFUNGA KWA SANA IKIWEZEKANA KUA NA KIKUNDI CHA MAOMBI KABISA SPECIAL KWA AJILI YA KUSHUGHULIKIA HIZO MAMLAKA. PIGA, SAMBARATISHA, VUNJA HARIBU. KTK ROHO NA HIVYO HUTAVIONA TENA KTK MWILI. AMEN
MAOMBI KWETU NI KILA SIKU NA KUFUNGA NI KILA SIKU PIA 1TIMOTHEO 5:20 TUNAITEKELEZA VIZURI.
UNYAMA kama HUO sijawahi kuuona yangu nizaliwe
Au ndoo tumeingia kwenye ziki kuu ?? KIUKWELI anajikita nalichukia andiko lililo andikwa kisasi ni juu yangu😭😭😭 MUNGU AGETUACHA KIDOGO ILI TIJILIPIZIE KISASI SISI WENYEWE
2thesolanike 1:6
Inauma sana ,lkn nimesha jua mwadamu ni shetani heri uishi na wanyama polini ,ikiwa mtu wa haki anateswa hivi mweee
Sawa kama anahatia afunguliwe mashitaka wala asisumbuliwe bure
Iko siku atainuliwa Yehu katika Tanzania naye atafanya kwa bidii.
POLENI SANA
Nini kusujudu! Kwaio wewe ni muislam kusujudu ni kuweka paji la uso sakafuni
siri yako na mumeo munasiri kubwa
Mama Wokovu naomba kujua...mtoto aliwekewa sumu kwa chakula?alafu naamini lazima kulikua na mtu kati ambae alitumwa kumwekea mtoto sumu.Sababu mkurugenzi asingeweza kumfikia mtt..lazima kulikua na mtu karibu na nyny aliyeweza kumfikia wokovu nakumpa sumu.Tueleweshe kwa hili mama
Tabby Ni vema ungejiuliza kwanini mkurungenzi anasema Mbarikiwa ni kaidi je walikutana wapi mpaka akawa kaidi?
@@Mbarikiwa_Mwakipesile mh kisomi zaidi walikutana wapi mpaka akajua ni mkaidi?
@@Mbarikiwa_Mwakipesile hata aliyesoma hawezi kujibu Kama mama alivyojibu
Ikiwa kwako ndo unaweza kujua uchungu wa Mama kwa mwana Tabby?
Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu, pia endeleeni kusoma kitabu cha Ayubu muone jinsi Ayubu alivyojaribiwa ili mpate kutiwa moyo, Majaribu yapo kwa ajili yetu binadamu chamsingi hata tupitapo kwenye majaribu tusimsahau Mungu aliyetuumba.
Pole sana
Yesu akutie nguvu sana
Yesu uonae sirini ona hili tenda muujiza juu ya mbarikiwa na mke wake
Maneno yako yamenigusa sana,mungu akutia nguvu sana dada na mungu atusaidie sana
Hekma ya Mungu iwawezeshe katika yote,kimya cha Yesu kilisitiri wingi wa dhambi,jifunzeni kukaa kimya na ombeni Mungu awape la kunena kwa utukufu wake.
Mbarikiwa na familia ninachowaomba tubuni Kwanza kwa kumkufuru Roho Mtakatifu Mimi lisiki siku moja anamkufuru Roho mtakatifu
Duu pole mama inauma Sana LAKINI. nipe moyo Mungu awatunze