Kwa mara ya kwanza nataja aliyeua MWANANGU, mke wa Mbarikiwa aongea kwa uchungu

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 04. 2023

Komentáře • 71

  • @rehemabrown8241
    @rehemabrown8241 Před rokem +5

    Daaa we mama nimtu wa mungu kweli kweli mungu anakupa ujasiri naomba mungu anijalie japo kipande kidogo Cha roho yako

  • @AgathaHaule
    @AgathaHaule Před měsícem

    Pole mama. Jamani! Ni mambo gani hayo? Mungu awasaidie sana! Yataisha kwa uweza wa mwenyezi Mungu.

  • @catherinemutindi5031
    @catherinemutindi5031 Před rokem +4

    Poleni sana ni magumu ni machungu sana.nishayapitia naelewe yesu zidi kuwatetea watu wako

  • @OnesmoEmmanuel-xr2rf
    @OnesmoEmmanuel-xr2rf Před 7 měsíci +1

    Hakika hata hivo MUNGU amekuvisha ujasili mama kiatu chako kinakutosha mwenyewe mama

  • @osanamgallah4297
    @osanamgallah4297 Před rokem +2

    Pole sana mama yangu .Mungu wa mbinguni akutie nguvu mama yangu

  • @gadisanga-ee2il
    @gadisanga-ee2il Před rokem +2

    Polesana mama hatamimi niliumia Sana sku nayasikia nakuyaona mtandaoni mungu awafunge mikanda

  • @mbuerecarlos1396
    @mbuerecarlos1396 Před rokem +1

    Nikweri kabisa mimi sijapata kusikia watu kama nyie.Yaani mateso mliyoyapata ni ya kusikitisha sana sana na Bado mnaendelea Kuteseka .Asa mama Ana roho ya ushupavu sana sirahisi wakina mama kuwa hivyo.Wengi wanakuwa hawawezi kusimama.Mungu awatie nguvu. Siku moja mtafutwa machozi
    Mungu hayo yote anayajua na kuyaona.Mungu awatie nguvu zaidi muyashinde mapito hayo.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 11 měsíci

    Hivi hii ni serikali gani. Kama wanaweza kutesa watanganyika wa kawaida hivi? Wao wanaweza kuteswa hivyo? Pole sana nami naelewa unamaumivu ya makubwa sana wapenzi. Mungu awape nguvu mama. Inchi inamatatizo makubwa sana. Wekeni Solar muachane.

  • @jacksonsamweli1150
    @jacksonsamweli1150 Před 10 měsíci +1

    Tupo pamoja .mama yesu yupo upande wetu tutashinda to mama

  • @salehal-oufy5380
    @salehal-oufy5380 Před rokem

    Dah pole sana nakuonea huruma sana siku zote watu wengi wanachukia haki usikate tamaa pambana bada shida kuna faraja nakutakia kila la heri nyinyi ni tofauti sana Gwajima, maana Gwajima inaonekana ana shetani wa kijini

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 11 měsíci +1

    Mungu atashughulika nao na watajuta sana. Mungu atawalipia kabisa.

  • @maduuikangira9864
    @maduuikangira9864 Před rokem +1

    Hakika wakristo watapatwa na mabaya Sana lakini mungu atalipa kipimo utakachopimia wengine ndicho utakachopimia, auae kwa upunga atakufa kwa huo.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 11 měsíci

    Mama Mbarikiwa yao maosifi yataisha muda wake hata kama anafanya miaka mia. Watajuta siku ya kuzaluwa kwao Mungu hawezi kuwa. Ya Duniani ni ya dunia watakuja kupata mlipo yake hapahapa na kisha moto wa milele huko mbinguni. Watu wa Mungu maisha ya hapa ni mafupi sana kwahiyo mkaze mwendo wenu wa kumpenda Mungu hata katika mateso ya serikali hii. Mungu atawavusha wapendwa. Yesu yuko Isaya 41:10 inawatosha. Acha waendelee kushindana na Mungu watajua nani mshindi. Kwani Nebkadereza yaliyo mpata hata huyo. Siku moja atamjua yeye ninani.

  • @FaithHozza
    @FaithHozza Před 2 měsíci

    Poleni sana watu wa Mungu awatie nguvu

  • @johnsonjohn-qz7cq
    @johnsonjohn-qz7cq Před rokem +2

    Mungu tuhurumie sana tusaidie tukumbuke Mungu

  • @lilianwaflotina1288
    @lilianwaflotina1288 Před rokem +1

    nawapenda saana jamani nikija mbeya lazima nifike kwenye kanisa lenu

  • @ruthysarakikya1813
    @ruthysarakikya1813 Před rokem +2

    Mungu wa mbinguni Yesu Kirsto akutie Nguvu mama yangu lakin kama aivyo Mungu wa mbinguni Mwaka huu hautaisha pasipo kisasi cha Mungu juu yao na nafsi zao na family's zao. Na mbarikiwa atashinda zaid na zaid...

  • @momylaviel
    @momylaviel Před 3 měsíci

    Pole sanaa

  • @bokechacha9802
    @bokechacha9802 Před 2 měsíci

    Pole sana

  • @ugalidona-cs2yn
    @ugalidona-cs2yn Před rokem +1

    MUNGU yuko Duniani na Mbinguni,Amina.

  • @HalimaHinga-zs1hq
    @HalimaHinga-zs1hq Před rokem

    Mungu aendelee kukutia ujasiri.

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md Před 2 měsíci

    EE mungu mtie nguvu huyu mama

  • @EmilianaInnocent-yv4pm
    @EmilianaInnocent-yv4pm Před rokem +2

    Yesu akutie nguvu sana

  • @leticiageorge
    @leticiageorge Před rokem +1

    Mh! inaumiza sana

  • @magrethmanintveld5477

    Pole Sana

  • @aivanalexander
    @aivanalexander Před 10 měsíci +1

    SEMA ukweli MAMA MUNGU ulie nae ni mkubwa na jinsi ulivyoitunza sura ya Mungu mabinti mjifunze Kwa Mama yetu HUYU ona hata hajaweka NYWELE bandia ana asili ya MUNGU lakini pia ona alivyoumizwa lakini Bado anasema YESU ni Bwana je wewe ambae hautaki kuokoka una Nini
    Kanisa la Mungu madhehebu yote tujifunze Kwa kanisa la mbalikiwa ni la MUNGU kabisa hakuna Cha mitindo Wala Cha ubabaishaji wa neno la MUNGU EAGT, AGGCI,FPCT,TAG,EFATHA ñk Mimi ni KIJANA wa MIAKA 20 MUNGU amenisemesha kuhusu jumbe hizi zinazotolewa ni kusudi la MUNGU kabisa la TANZANIA na AFRICA Mjifunze Maaskofu mujifunze kutoka Kwa watu Hawa kanisa la MUNGU linachukuliwa kemea udhalimu dhambi zote na mitindo michafu ya kimavazi
    Okokeni Wachungajii na Maaskofu Tazama shoka LIKO tayali
    ...

  • @jeremiatitus4414
    @jeremiatitus4414 Před rokem

    Unaeleweka mtumishi dunian sio kwetu ,hii ndio dunia,ndio maana YESU alisema naenda kuwaandalia mahali nitakapokuwepo nanyi muwepo,,,, Mungu awatie nguvu tufike kwake,

  • @edwardhoney4854
    @edwardhoney4854 Před 9 měsíci

    Emungu TUSAIDIE Sana na udie nguvu mama maana leo ndoo mama na ndoo baba MAMA NAKUPENDA SANA

  • @MsafiriKasigi-tn6nl
    @MsafiriKasigi-tn6nl Před 7 měsíci

    MUNGU akamwambia Musa liko pigo Moja tu nitapiga farao nae atajua ya kwamba mimi ni MUNGU niliye kuagiza ukachukue Wana wa Israel

  • @MsafiriKasigi-tn6nl
    @MsafiriKasigi-tn6nl Před 7 měsíci

    Mungu anawaangali tu akishusha pigo hilo moja cjui itakuwaje jamani muogopeni Mungu

  • @jacksonsamweli1150
    @jacksonsamweli1150 Před 10 měsíci

    Tuongee ukweli tuifie kweli Ata Bwana wetu Yesu kristo Alifia kweli

  • @perufamily6941
    @perufamily6941 Před rokem +3

    Bwana Yesu akasema duniani mnayo dhiki lakini jipeni moyo mimi nimeushinda ulimwengu. Adui yetu mkubwa ni shetani roho atendaye kazi katika wana wa kuasi. Tukimshughulikia huyo Kwa mamlaka ya jina la Yesu ushindi ni dhahiri. Ukiwagusa manabii wa uongo umemgusa shetani mwenyewe so lazima atareact kupitia vyombo vyake ambavyo ni wale waovu. Hao hutenda mambo ya kinyama maana wanayatenda mapenzi ya baba yao, hata hivyo sisi tumepewa jina lipitalo majina yote lenye nguvu, uwezo na mamlaka ya ajabu tulitumie hilo kumshinda adui yetu.

  • @evangelistpetropiason6202

    Mungu aturehemu Sana kizazi hiki
    Kila mtu anajari mambo ya kwake
    Hatujawa tayari kubeba maumivu ya wenzetu
    Kweli upendo wa Mungu umepotea kiasi hiki?!

  • @user-ci9qw7on4q
    @user-ci9qw7on4q Před 10 měsíci

    Mungu akutie nguvu mama wokovu

  • @joycegeorge-mf5kn
    @joycegeorge-mf5kn Před 9 měsíci

    Mama Mimi nimekuelewa na hekima Yako nimeiona lakin kusema ukweli mume wako mara nyingi nafuatilie clip zake naona hekima yake ni ndogo sana .
    Mara nyingi nimeshuhudia wachungaji wenzake waki mshaul nae akiwajibu vibaya!
    Hilo ndo Mimi nimeona
    Mahubiri yake Yana ukakasi
    Kwa mengine Sena Neno ila Mungu atasaidia atatoka ila uwe unamshauri awe na hekima

  • @marymremi1051
    @marymremi1051 Před rokem

    pole sana mtumishi sasa mambo ya ulimwengu wa roho yafanye ktk kiroho .usilaumu mtu yoyote maana shetani anatumia watu wasamehe jao watu omba Mungu akisaidie kusamehe..ili Mungu aingile kati achilia vinyongo kwa watu dafa hakuna atakae kuhurumia shetani hana huruma

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před rokem

      Mary Mremi hii sio ya ulimwengu wa roho yametendeka kwenye macho haya kama una watoto omba yasikukute na utaenda kudai haki yako popote ni safari ndefu mpaka nimekuja kusema haya

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 Před 9 měsíci

    Kumbe mlijipangia kuzaa Mtoto mmoja kwanza aya Bwana.

  • @nurdinahmed9063
    @nurdinahmed9063 Před 11 měsíci

    Mungu wachukue waliotenda tukio hili kwa mama huyu na umjibu kwa wakt kwa uovu huu

  • @aivanalexander
    @aivanalexander Před 10 měsíci

    Ezra 10:4
    [4]Arise; for this matter belongeth unto thee: we also will be with thee: be of good courage, and do it.
    Inuka; maana shughuli hii yakuhusu wewe; na sisi tu pamoja nawe; uwe na moyo mkuu, ukaitende.

  • @mediavumbi9243
    @mediavumbi9243 Před rokem +3

    Mama ninakupenda saana,wewe ni shujaa kabisa

  • @paulsibu5770
    @paulsibu5770 Před rokem

    Chapa Injili Mama Mbarikiwa, Hao Watesi Wako Si Kitu

  • @jacksonsilvery5963
    @jacksonsilvery5963 Před rokem

    Hivi baada ya ajali alifanyiwa full checkup kweli?hili la kutaja mtu si zuri sana.Lakini katika yote Mungu awasaidie sana.

  • @jayson.chanel.9870
    @jayson.chanel.9870 Před 10 měsíci

    Sasa nimeelewa kwanini mbarikiwa huwa anaongea kwa uchungu Sana khs hii serikali.

  • @estherwairimu8760
    @estherwairimu8760 Před 9 měsíci

    Tafadhari huyu mchungaji wangeyachana nayeye atakama anaongea vibaya MUNGU amhukumu mwenyewe because hao wanasema kama wanamwamini MUNGU wangewachana tu nayeye MUNGU huwa anateteya mafuta yake

  • @ruthysarakikya1813
    @ruthysarakikya1813 Před rokem +1

    Hivyo hao watumishi wengine wahawezi kusimama na Mtumishi katika dhiki aliyo nayo. je uko wapi upendo wa Kirsto kina Gwajima ,mwingira, maboya ,gwamanjwa mko wap? au ndo mnafurahia injili yenu iko wapi au ndo hamuon# very sorry am nothing to say.

  • @eneamahengeonlinetv9185

    CJAJUA SANA KAMA MNAJUA MNAYEPIGANA NAYE. HAO C SERIKALI BALI ULIMWENGU WA GIZA, NAFKIRI MAOMBI NA KUFUNGA KWA SANA IKIWEZEKANA KUA NA KIKUNDI CHA MAOMBI KABISA SPECIAL KWA AJILI YA KUSHUGHULIKIA HIZO MAMLAKA. PIGA, SAMBARATISHA, VUNJA HARIBU. KTK ROHO NA HIVYO HUTAVIONA TENA KTK MWILI. AMEN

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před rokem

      MAOMBI KWETU NI KILA SIKU NA KUFUNGA NI KILA SIKU PIA 1TIMOTHEO 5:20 TUNAITEKELEZA VIZURI.

  • @Kamandapendo
    @Kamandapendo Před rokem

    UNYAMA kama HUO sijawahi kuuona yangu nizaliwe
    Au ndoo tumeingia kwenye ziki kuu ?? KIUKWELI anajikita nalichukia andiko lililo andikwa kisasi ni juu yangu😭😭😭 MUNGU AGETUACHA KIDOGO ILI TIJILIPIZIE KISASI SISI WENYEWE

  • @alunekyusa4905
    @alunekyusa4905 Před rokem +1

    Inauma sana ,lkn nimesha jua mwadamu ni shetani heri uishi na wanyama polini ,ikiwa mtu wa haki anateswa hivi mweee

  • @RaphaelHhari
    @RaphaelHhari Před 10 měsíci

    Sawa kama anahatia afunguliwe mashitaka wala asisumbuliwe bure

  • @rubefabi8366
    @rubefabi8366 Před rokem

    Iko siku atainuliwa Yehu katika Tanzania naye atafanya kwa bidii.

  • @jayson.chanel.9870
    @jayson.chanel.9870 Před 10 měsíci

    POLENI SANA

  • @salehal-oufy5380
    @salehal-oufy5380 Před rokem

    Nini kusujudu! Kwaio wewe ni muislam kusujudu ni kuweka paji la uso sakafuni

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Před 10 měsíci

    siri yako na mumeo munasiri kubwa

  • @tabby6064
    @tabby6064 Před rokem +3

    Mama Wokovu naomba kujua...mtoto aliwekewa sumu kwa chakula?alafu naamini lazima kulikua na mtu kati ambae alitumwa kumwekea mtoto sumu.Sababu mkurugenzi asingeweza kumfikia mtt..lazima kulikua na mtu karibu na nyny aliyeweza kumfikia wokovu nakumpa sumu.Tueleweshe kwa hili mama

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před rokem

      Tabby Ni vema ungejiuliza kwanini mkurungenzi anasema Mbarikiwa ni kaidi je walikutana wapi mpaka akawa kaidi?

    • @modestapeter2997
      @modestapeter2997 Před rokem +1

      ​​@@Mbarikiwa_Mwakipesile mh kisomi zaidi walikutana wapi mpaka akajua ni mkaidi?

    • @barakahhawu2324
      @barakahhawu2324 Před rokem

      ​@@Mbarikiwa_Mwakipesile hata aliyesoma hawezi kujibu Kama mama alivyojibu

    • @juhuditete
      @juhuditete Před rokem

      Ikiwa kwako ndo unaweza kujua uchungu wa Mama kwa mwana Tabby?

    • @barakayekonia7468
      @barakayekonia7468 Před rokem

      Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu, pia endeleeni kusoma kitabu cha Ayubu muone jinsi Ayubu alivyojaribiwa ili mpate kutiwa moyo, Majaribu yapo kwa ajili yetu binadamu chamsingi hata tupitapo kwenye majaribu tusimsahau Mungu aliyetuumba.

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 Před 10 měsíci

    Pole sana

  • @EmilianaInnocent-yv4pm

    Yesu akutie nguvu sana

    • @richardkajigili-cq9zq
      @richardkajigili-cq9zq Před rokem

      Yesu uonae sirini ona hili tenda muujiza juu ya mbarikiwa na mke wake

    • @lucymerchioly711
      @lucymerchioly711 Před rokem

      Maneno yako yamenigusa sana,mungu akutia nguvu sana dada na mungu atusaidie sana

    • @nsungwilwesikana1342
      @nsungwilwesikana1342 Před rokem

      Hekma ya Mungu iwawezeshe katika yote,kimya cha Yesu kilisitiri wingi wa dhambi,jifunzeni kukaa kimya na ombeni Mungu awape la kunena kwa utukufu wake.

    • @marymassawemassawe
      @marymassawemassawe Před rokem

      Mbarikiwa na familia ninachowaomba tubuni Kwanza kwa kumkufuru Roho Mtakatifu Mimi lisiki siku moja anamkufuru Roho mtakatifu

    • @priscaaron4813
      @priscaaron4813 Před rokem

      Duu pole mama inauma Sana LAKINI. nipe moyo Mungu awatunze