SAKATA LA WAZIRI KUVUNJA NYUMBA LAMUIBUA RC CHALAMILA/JESHI LA POLISI LATAJWA/MATAPELI WATAJWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 03. 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►CZcams: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Komentáře • 235

  • @tangamwalimu514
    @tangamwalimu514 Před 4 měsíci +14

    Am commenting from Mombasa Kenya.... great wise leader congratulations RC Chalamila

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmk Před 4 měsíci +6

    Umeongea sawa Rc Leo nime kukubali.matapeli wana tapeli mamilioni ,arafu wanakimbilia kesi ya madai ,mahakammah zetu Hovyo sana.

  • @edwardpeter8569
    @edwardpeter8569 Před 4 měsíci +27

    RC anaongea logic halafu kichwa cha habari cha hovyo, waandishi wa form 4 failure hii ndio shida, badala ya kueleza Mhutasari wa kikao cha RCC tittle ety sakatabla waziri kuvunja nyumba poor journalism

    • @m404msigara7
      @m404msigara7 Před 4 měsíci +1

      Wenzio wanafnya kukushawishi wewe ili wapate viewers.. baada yakuona muhtasali.. umekimbia moja kwa moja kutaka kujua nini Kimetokea.. wenzio wanaangalia kitu kilichosambaa zaid ndani ya mwezi huu kinacho relate na habar yao

    • @gressnamika
      @gressnamika Před 4 měsíci +3

      Unaweza kuwa unasema ukweli. Kuna class mate wangu alipata zero o-level hajawahi rudia mtihani wala kujiendeleza ila ni mtangazaji na mwandishi pia.

  • @PhilipMsasa-uj6cu
    @PhilipMsasa-uj6cu Před 4 měsíci +8

    ,,huyu ndo chalamila yule tunayemjua sio yule wa masiala mengi,,💪💪

  • @Ntambala-oy2us
    @Ntambala-oy2us Před 4 měsíci +2

    Mlilo ana fanya kazi sana wananchi tuendelee kumpa ushirikiano wa kutosha.

  • @aaroneu07
    @aaroneu07 Před 4 měsíci +4

    Mheshimiwa RC unajua kujenga hoja vizuri sana sana. Keep it up, my brother.

  • @mwassajoseph8675
    @mwassajoseph8675 Před 4 měsíci +2

    Mama Samia usituhamishie huyu RC ndo anaweza kufanya kazi na wanajiji hili! Congole Mr RC

  • @DM_15
    @DM_15 Před 4 měsíci +11

    Safi sana kaka hongera sana kaka Mungu akubariki. Imagine kiongozi anaongeapoint hiv halafu anao waongelesha hawahifadhi kumbukumbu kwakuandika . Naona tuu wanageuka geukatuu nikama vitoto vyashule kamanda polis tuu ndoonaona yupomakini anasikiliza haowengine wengiwao wana zungusha zungusha shingo tuu adhiif wanasikia mwangwituu hawajuinani anaongea

    • @makongorowassira6593
      @makongorowassira6593 Před 4 měsíci

      Umeangalia vizuri sana, na hiyo ndo kawaida ya vikao na mikutano ya serikali yetu. Hakuna anaejali kihivyooo😂😂

  • @AbrahamKyejo
    @AbrahamKyejo Před 4 měsíci +1

    Point zakuzidi Mungu akupe maisha marefu ya uongozi❤❤

  • @jacksonndabhisiye4848
    @jacksonndabhisiye4848 Před 4 měsíci +2

    Mkuu umeongea mambo muhimu sana yakifanyiwa kazi kwa asilimia kubwa yataleta impact kubwa vile vile kwa jamii husika

  • @praygodlema5166
    @praygodlema5166 Před 4 měsíci +1

    Hongera sana Mheshimiwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam mawazo na mtazamo wako vikiweza kuigwa na watendaji tutakuwa na Jiji safi lenye kuvutia
    Nimeikubali speech yako mkuu

  • @lindermuro8113
    @lindermuro8113 Před 4 měsíci +1

    Mheshimiwa Chalamila Hongera sana una maono put it into perspective

  • @Jayhood28
    @Jayhood28 Před 4 měsíci +2

    Asante Sana..

  • @jamalmwenda3278
    @jamalmwenda3278 Před 3 měsíci

    RC Chalamila Hongera sana. Umeongea vitu very logical. Ni jicho sahihi la Mama kwa Dar Es salaam. Unastahiki kuwepo Dar Es salaam. Hofu watekelezaji. Japo Heading ya habari hii haikuwekwa vizuri. Very Wise RC.❤❤

    • @jamalmwenda3278
      @jamalmwenda3278 Před 3 měsíci

      RC Chalamila Tena umeongea kwa mapemzi makubwa kwa Wana Dar Es salaam wako.🎉

  • @alih561
    @alih561 Před 4 měsíci +8

    uko vizuri chukua tano kaka

  • @rev.livingstoneelihuruma-fk7es
    @rev.livingstoneelihuruma-fk7es Před 4 měsíci +1

    Powerful said

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 Před 4 měsíci +2

    viongzi wote watoke maofisi maana wengi wanakula mishahare ya bure ...chalamila mungu akusimamie katika kazi zako

  • @prosperkullaya6721
    @prosperkullaya6721 Před 4 měsíci +3

    Anafaa sana kuwa rais wa tz akimaliza muda wake mama yetu na mungu atubariki wote Tanzania

  • @abdulpagali7476
    @abdulpagali7476 Před 4 měsíci

    Kweli Mwalimu hasahau kazi yake. Kanipa somo: mwanafunzi anayeigizia mwenzake ataendelea kumuigizia mwenzake hadi anapokuwa kiongozi kwa jambo fulani la kufanya na hata namna ya kulifanya. Please leaders, be pro-active, creative, innovative and effective in whatever undertakingin the areas of jurisdiction. Dar ed Salaam is the economic hub of our nation. We the citizens of Tanzania take your city as role model for our communities in the peripheries. May God bless Tabzania's good-willed leaders.

  • @apostle_AngazaGN
    @apostle_AngazaGN Před 4 měsíci +2

    Bro ukituliaga una mawe ya kujenga nchi kabisa, keep it up

  • @deven.oauditx7547
    @deven.oauditx7547 Před 4 měsíci +11

    Tatizo kwenye kuongea mko vizuri sana ila utendaji zero. Kila mtu analalamika hata wafanya maamuzi wanalalamika.

  • @eliasmwakalindile8939
    @eliasmwakalindile8939 Před 4 měsíci +1

    Godbless one day in future contest presidential post.🌹

  • @user-vm7cp8gx7e
    @user-vm7cp8gx7e Před 4 měsíci

    well said brother

  • @user-yy7zw4ks4h
    @user-yy7zw4ks4h Před 4 měsíci

    hongera sana mkuu wa mkoa kwakulisemea suala la usafi katika jiji letu, ila zile sehemu zoto zilizo katazwa kufanyabiashara na hawekewa matangazo ya hairuhusiwi kufanya biashara hapa watu wamerudi kama kawaida wanaendelea na biashara kama kawaida na hakuna anaeshuhulika nao?
    Jambo lingine hebu liangalie pia hili la askari wa usalama barabarani /trafic police hawa jamaa sasa wanakoelekea ni kubaya, yaani baada ya kufanya kazi wanayo takiwa kuifanya, wao ni kujibanza vichochoroni na kuchukua rushwa , ni kero kubwa, na pia wanalipaka matope jeshi la police

  • @NeemaMlay-jb6zj
    @NeemaMlay-jb6zj Před 4 měsíci

    Point sana

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes9536 Před 4 měsíci +5

    Nakuona mbali sana mheshimiwa. Hongera sana.Unamaono mazuri kwa Tz.

  • @roselinemoshi5008
    @roselinemoshi5008 Před 4 měsíci

    Thank you ❤

  • @user-rh6uk4jl1k
    @user-rh6uk4jl1k Před 4 měsíci +1

    Safi sana mheshimiwa 1000%

  • @user-bp2cc9eo6g
    @user-bp2cc9eo6g Před 4 měsíci

    Good speech🎉🎉🎉

  • @ahmadiomari6913
    @ahmadiomari6913 Před 4 měsíci +2

    Waambie kabisa nakupenda mkuu wetu uko vizuri.

  • @georgebossgg
    @georgebossgg Před 4 měsíci +1

    From Nairobi I like listening to this guy.

    • @amirmahanyu740
      @amirmahanyu740 Před 4 měsíci

      Mkuu ameonge mambo muhimu ,sahihi na mazuri sana. Nampongeza lakini sikuzote mtu akihukumia kwa makosa yake huwa hafurahii!!! Piga kazi RC-Dar

  • @oscarngomuo7450
    @oscarngomuo7450 Před 4 měsíci

    Very good speech our RC Chalamila.

  • @gwaluganoa.mwakatobe3183
    @gwaluganoa.mwakatobe3183 Před 3 měsíci

    Press briefing bora kabisa kutoka kwa RC wa Dar

  • @mwandoimma123
    @mwandoimma123 Před 4 měsíci

    Good speaking and speech

  • @samwelipeter8410
    @samwelipeter8410 Před 4 měsíci +1

    Mkuu wa mkoa dar es Salaam hongera sana unachapa kazi mwenyezi mungu akulinde

  • @denisstanslaus8839
    @denisstanslaus8839 Před 4 měsíci

    Dar es Salaam Ragional Commissioner has a greatest vision with this City. Let's his subordinates support him.

  • @ramadhanlesso3455
    @ramadhanlesso3455 Před 4 měsíci

    Hongera sana Muheshimiwa kwa kazi nzuri. Ushauri wangu muingie mpaka ofisi za ardhi kuwasaka maofisa wanaosaidia matapeli.

  • @anthonymgina3893
    @anthonymgina3893 Před 4 měsíci +5

    A Great RC ever, hongera Mh Chalamila.

  • @othannmpoli9896
    @othannmpoli9896 Před 4 měsíci

    Uncle your very good my God bless your good targets!!

  • @levinachuwa7622
    @levinachuwa7622 Před 4 měsíci

    Big up kiongozi wetu! Mwenyezi Mungu akupe HEKIMA kama ya mfalme Suleman kwa UTUKUFU wake. Mungu akupe ulinzi unapotumika shambani mwake 🙏🏿

  • @emmanuelaaronlyatuu8208
    @emmanuelaaronlyatuu8208 Před 4 měsíci

    Hongera mkuu wa mkoa, hili la machinga linatesa sana ata wapita njia, Mwenge na kwingineko ikifika jioni wanapanga bidhaa kwenye njia za miguu zilizojengewa kwa paving, watembea Kwa miguu wanakosa Haki yake.
    Na ni wababe ukitembea unasukumana na hutakiwi kukanyaga bidhaa zake.

  • @dorismargarethmgone2658
    @dorismargarethmgone2658 Před 4 měsíci

    ❤❤❤Great leader 👏

  • @mathiasmuhochi435
    @mathiasmuhochi435 Před 4 měsíci

    Hongera Kiongozi...Umeongea points👊

  • @maryamsuleiman6340
    @maryamsuleiman6340 Před 4 měsíci +8

    Kwanini mnasema mazuri lkn matendo hayazingatii haki ,kila 1 anaona anahaki yakufanya atakalo ,mbona marehem aliweza kw mda mfupi?

  • @taisonkalinga5711
    @taisonkalinga5711 Před 4 měsíci

    Asante kiongozi wetu@RC DSM mageuzi ya kifikra na mitizamo ni dawa kwa taifa letu. Hayo ni maono mazuri

  • @azzaalhabsi1505
    @azzaalhabsi1505 Před 4 měsíci +1

    Kweli maneno yako muheshimiwa.leo nilikuwa beach moja hapa dubai nikaikumbuka coco beach yetu ya tz nikajichekea moyoni.yaani ukienda pale unaishia kukalia kinyes na mikojo japo panatuliwaza kwa kias fulan. Point nyingine nilioipenda hapo hao wafanyabiashara wanao vuta pesa za watu baadae wanafungua kesi ya madai kuwasumbua wateja wametoa cash.hii ni sawa kabisa watafutwe na wakomeshwe.

  • @robertsimpungwe3901
    @robertsimpungwe3901 Před 4 měsíci +3

    Hakika leo umezungumza point sana hasa kwa hawa matapeli wanachukua pesa za watu halafu anakuambia madai kale kasheria ka utakatishaji kalikua kiboko yao tusingewaona hawa matapeli wenye backup ya vyombo vya dola na mahakama.

  • @AbrahamSekuza
    @AbrahamSekuza Před 4 měsíci +1

    Kumbe sasa nimekuelewa safi sana hizo ndio busara za uongozi lakini CCM watasema usiwabudhi wapiga kura wao

  • @mariambelwa1644
    @mariambelwa1644 Před 4 měsíci

    Hongera mnooo RC Chalamila..Daressalaam inanukaa,hakuna mpangilio, mabaa kwenye maeneo ya makazi,kelele zinazokosesha utulivu,uchafu Kila Kona..we have to take action immediately ..UTATUSAIDIA MNOO MKUU..DAR iwe Jiji la hadhi

    • @mariambelwa1644
      @mariambelwa1644 Před 4 měsíci

      Hakika Sasa nakuona unaenda kuchukua hatua stahiki.. UBARIKIWE SANA

  • @talgwuconfidential
    @talgwuconfidential Před 3 měsíci

    RC yupo vizuri sana, piga kazi kaka

  • @user-le7cc9zk4d
    @user-le7cc9zk4d Před 4 měsíci +1

    Mimi kila siku huwa nasema huyu RC Yani anakitu kikubwa sana kichwani mwake Yani Mungu akupe maisha marefu mimi nakuelewa kwelikweli

  • @petercley6230
    @petercley6230 Před 4 měsíci

    Speech nzuri

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 Před 4 měsíci

    Mungu wa mbinguni akulinde sana

  • @user-ef7hs4sb7w
    @user-ef7hs4sb7w Před 3 měsíci

    Jambo tv kichwa Cha habari mmezingua

  • @sultanhamad4924
    @sultanhamad4924 Před 4 měsíci

    Namuona kabisa magufuli mpya hongera sana mheshimiwa chalamila umeongea points tupu ishi katika mwenekano huu wewe nikuongozi mkubwa huko mbeleni

  • @DNT-Ministries
    @DNT-Ministries Před 4 měsíci

    Respect!

  • @mohammedsaqry3036
    @mohammedsaqry3036 Před 4 měsíci

    Well said ulikuwa wapi siku zote Dar es Salaam imekuwa zogo vurugu msongamano shida tupu

  • @scolastikapeter5892
    @scolastikapeter5892 Před 4 měsíci

    Maelekezo na taarifa nzuri tayari VITENDO tuendelee kusubiri

  • @bonifacedanielmwakisunga9638
    @bonifacedanielmwakisunga9638 Před 4 měsíci +1

    Shida kubwa ni viongozi wengi si watendaji wanakaa ofisini si wabunifu kabisa Hilo ndio shida chalamila Sheria zipo awazifuati kutekeleza jiji lingekuwa nzuri sana

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmk Před 4 měsíci

    Kuhusu matapeli Baba kazia hapoooo.sikuhizi imekuwa kawaida mtu kufungua kampani kiharali na kuanza kutapeli watu ,akikusudia.kurudisha pesa kidogo kidogo. Safisha jiji hilo kwa chuma💪

  • @minanikafugugu6035
    @minanikafugugu6035 Před 4 měsíci +1

    Huyu jamaa akiweka chini pombe na masihara ni kichwa kizuri sana, big up sana anakitu ccm hawajawahi kosea

    • @joachimedifon9919
      @joachimedifon9919 Před 4 měsíci

      CCM wasingekosea Makonda asingepata midudu ziarano.
      Lkn Chalamila ni kichws kina mafini.

  • @livingstonempuso4200
    @livingstonempuso4200 Před 4 měsíci +1

    Leo braza
    Upewe maua yako 🌹🌹🌹

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 Před 4 měsíci +4

    Nashangaa magari kupaki sehemu ya njia ya watembea kwa miguu.

    • @allymohamed2724
      @allymohamed2724 Před 4 měsíci

      TENA OFISINI KWAKE, AJABU DEREVA WA SERIKALI PIA HIVYO HIVYO

  • @samwelidomayo6195
    @samwelidomayo6195 Před 4 měsíci

    Minakukubali sana mngepatikana kama 6 tz ungenyooka mahakamani shida had police mungu2 akupeujasiri usifike huko

  • @fidekalinga2777
    @fidekalinga2777 Před 4 měsíci

    Hongera sana

  • @mswaki_newstz
    @mswaki_newstz Před 4 měsíci

    Hongera kiongozi

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před 4 měsíci +2

    Aliyetaka kuwekeza si alikuwa manji kama nakumbuka . Alikuwa na michoro ya coco beach

  • @jack2010ization
    @jack2010ization Před 4 měsíci +3

    Kiongozi nimependa maelezo na maono yako hongera sana naongeza jambo hapa kuhusu njia zawapita kwa mguu sehemu zenye watu wengi kama vituo vya mabasi wenye pikipiki wanaziba njia bila kujali wapita kwa miguu

    • @wadhhasuleiman2621
      @wadhhasuleiman2621 Před 4 měsíci

      Kuongea na kutenda tofaut Wana mipango mizur lkn utekelezaji 0

    • @barakamanga5502
      @barakamanga5502 Před 4 měsíci

      Na ukisema wakupishe wanagoma au Wana kutukana ,

  • @alhajikangalawe6178
    @alhajikangalawe6178 Před 3 měsíci

    Nimeona points nyingi sana... Na huu ndo uongozi

  • @user-mortone
    @user-mortone Před 4 měsíci

    Great

  • @user-dk5kk4rf3v
    @user-dk5kk4rf3v Před 4 měsíci +8

    Waziri anavunja gorofa... sio akili hiyo...

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 Před 4 měsíci +1

    honger kiongzi uko vizuri

    • @mwalagokache375
      @mwalagokache375 Před 4 měsíci

      Namuelewa sana huyu ndugu madini anayoyatoa ni great yachukulowe kizalendo
      Simuoni kuongea kichawa huyu anasimama kizalendo popote awapo kana kwamba ni home hivi ndivyo tunataka kuisogeza Tanzania naipenda Tanzania Kwa moyo wangu wote Mwenyezi Mungu amuhifadhi kaka yetu kiongozi mahiri jicho la ubadhilifu na asadi limuhepuke

  • @wanyalugendo4776
    @wanyalugendo4776 Před 4 měsíci

    Sawa ila tuangalie na upande wa pili coco beach ikiwekezwa wale wanaenda kupungupa upepo bure watatoeka, bia zitapanda bei zita lingana na slipway, mihogo ya wazawa hatutaiona, itakua sehemu ya kitajili, na wajasilia mali watatoeka, na fikiri ndio maana hao wengne wana geuka geuka, wanaona tutakosa sehemu za mtanzania mwenye hali ya chini ku enjoy

  • @silvesterrichardhelenya1319
    @silvesterrichardhelenya1319 Před 4 měsíci +1

    Subiri hao walioitwa wameua wamepora utawaona uraiani muda si mrefu maana polisi kumpa mtu kesi ni swala la kwaida ndiyi maana huwa hawafungwi kwa sababu frem kesi za polis huwa siyo nzuri

  • @mauzo_production
    @mauzo_production Před 4 měsíci

    Respect

  • @franknzowa22
    @franknzowa22 Před 4 měsíci

    Safi sana mkuu

  • @bonifacedanielmwakisunga9638
    @bonifacedanielmwakisunga9638 Před 4 měsíci +1

    Shida sio kujifunza kw wenzetu Bali ni utekelezaji wanaenda kutembea tu wakirudi ukiwauliza umeona Nini wanashindwa kusema awajui kuandika wakati sisi inatakiwa tuwe mbali ni viongozi kubadilika Awana maono kabisa inauma sana unaona akuna wanachofanya

  • @gloriousmushi3551
    @gloriousmushi3551 Před 4 měsíci

    RC UPO VIZURI SANA.Wewe ni kiongozi Mwenye maono

  • @mushiwamaua5089
    @mushiwamaua5089 Před 4 měsíci

    Nakubaliana kabisa na hotuba yako Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam

  • @user-du6su6mh1h
    @user-du6su6mh1h Před 4 měsíci +1

    Kuanzia China plaza kwenye mtalo adi mataa pananuka hv ninyi viongozi mnapitaga wapi?? Mikojo kwenye mtalo

  • @peternyambui7492
    @peternyambui7492 Před 4 měsíci +2

    Safi sana ndg. Chalamila!

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188 Před 4 měsíci +1

    Chalamila oyeee safi sana mkuu wetu

  • @evaemil856
    @evaemil856 Před 4 měsíci +1

    Sasa itabidi kabla mtu hajajenga asiamini kibali cha ujenzi Bali akapate OK from mkuu wa mkoa na waziri wa Ardhi ndiyo ajenge. Maana mahakama haina nguvu. Je mahakama imeamuru hizo nyumba kubomolewa? Si bora mngezinadia tu watu walipwe pesa au mvamizi mtuhumiwa amlipe huyo mshtaki pesa kulingana na thamani Ya kiwanja, pain and suffering. Ubabe mwingine mmh kifo.

  • @ruwaidamabrouk1797
    @ruwaidamabrouk1797 Před 4 měsíci

    Mh mkuu wa mkoa Unaongea logic sana kuna wasenge hawatakuelewa respect sana kwako mkuuu

  • @emmanuelmchome3071
    @emmanuelmchome3071 Před 4 měsíci

    Huu ndio uongozi Tunao utaka, unao balance Sheria,haki,wajibu,fursa za Maendeleo, haki za mnyonge na tajiri wakati hjohuo kuheshimu viongozi ,kuonya,kukemea, kutambua mchango wa kimaendeleo wa viongozi wenzake nk. Hakika Chalamila wewe ni Kiongozi. Bwana akuongezee hekima na maarifa zaidi.

  • @khamishassan4834
    @khamishassan4834 Před 4 měsíci

    Yaani mheshimiwa unapita mle ambamo akiki yng inawaza, ni vitu vizr Sana yaan

  • @bongo39
    @bongo39 Před 4 měsíci +1

    Safii sanaa

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před 2 měsíci

    Mahakama zilishakuwa za hovyo. Kila anayetaka kuiba anakimbilia mahakamani maana anajua huko anaweza kununua haki.
    Sasa ifikie watafutwe mahakimu wakufanana na chalamila au makonda ili mahakama zetu zipate hadhi.
    Siyo mahakama liwe kimbilio la majizi

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j Před 4 měsíci +1

    Waigilizaji ni wazuri and app wataigiliza yale mazur

  • @kazinaimwishehe-ec3xu
    @kazinaimwishehe-ec3xu Před 4 měsíci +2

    Ccm sio mbaya bali baadhi ya watendajiwake si watu wazuri kwamaana sisi kisukuru tunakata mbili kata A na B atuna ata open space ata moja tulikuwa na kiwanjaa champila ambacho tulicheza apo kwamiaka 30 leo viongozi wamesema kuwa et kuna mwenyekiti ccm kapigasimu kwa kuwa eneo lawatu du ali hii sinzur mataperi wengi wanazurumu maendeleo yetu embu njooni kisukuru mujionee almashauli wanavyo vavanga

    • @Official83640
      @Official83640 Před 4 měsíci

      Kila kona viwanja hakuna tazama Mbezi Luis uwanja wa mpira ulikuwapo pale shuleni lkn walichofanya wamejenga soko baadae uwanja ukawa kule kwa Beda lkn wakaona haitoshi ndy imejengwa stand kubwa ya Ma bus Magufuli Teminal haya wapi watu wafanye mazoezi ya mpira😂

  • @user-rn1en4tq5z
    @user-rn1en4tq5z Před 4 měsíci +1

    Safi nimeshinda haki sipati

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu64 Před 4 měsíci +1

    Una akili, ila wakati mwingine inajizima data inaendekeza uchawa

  • @user-wu3ld2ti1k
    @user-wu3ld2ti1k Před 4 měsíci +2

    Maneno mazuri muheshimiwa, but utendaji zero

  • @user-ij3eg3nf6k
    @user-ij3eg3nf6k Před 4 měsíci

    Chalamila nikiongozi wa mfano unamaono mungu akubariki akupe nguvu uendeleze mapambano

  • @allymohamed2724
    @allymohamed2724 Před 4 měsíci +1

    MH, NJE YA OFISI YAKO, JE DALADALA ZINAZOZIBA BARABARA ASUSANI KAWAWA ROAD.....................
    WANAPIGA DEBE MAGARI HADI YAJAYE BADALA YA KUSHUSHA NA KUPAKIA KISHA KUONDOKA.
    LATRA WANATAKIWA KUWEKA VIBAO KUJONYESHA, MF 1. KAWE, MBEZI, COCA COLA. 2, MAKUMBUSHO CM 2000, 3. MBURAHATI, MANZESE, MABIBO. HII ITAONDOA FOLENI NJE YA OFISI YA UMMA.

  • @user-wm4sf8ke8e
    @user-wm4sf8ke8e Před 4 měsíci

    Amina jembe letu

  • @peacemwesiga
    @peacemwesiga Před 4 měsíci

    ❤❤❤❤❤❤❤Chelamilaaaaa❤❤❤❤❤❤❤

  • @handenitakuru6696
    @handenitakuru6696 Před 4 měsíci +1

    Kkoo acha kabisa

  • @gabrielmajaliwa1988
    @gabrielmajaliwa1988 Před 4 měsíci

    Nawauliza ninyi watia habari hiki kichwa Cha habari mlichoweka hapa na haya yanayosemwa na Mh RC yanaendana kweli ?
    Ila hii migogoro ya Ardhi Kwa kweli ni changamoto sana Huku Temeke sisi tunadhurumia kila iitwapo leo

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j Před 4 měsíci +1

    Mbona sikusikii ukisema.juu ya kampuni binafsi za ukinzi kupiga watu na nawe kinondoni?