INASIKITISHA: NENO LA MWISHO YA MFANYABIASHARA BABU RAMA NA MWANAHALISI TV KABLA HAJAJIPIGA RISASI
Vložit
- čas přidán 5. 03. 2024
- 🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 400402)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com
Waziri mkuu ajiuzulu.kwa Hili naomba mheshimiwa majaliwa ujiuzulu umeshindwa majukumu yako kwa heshima na taadhima mheshimiwa Majaliwa achia ngazi umeshindwa kazi!
Uongoze wewe apo
@@stevenkomanya1442 .duh mtanzania mwenzangu watanzania Tupo milioni 63 na ziada hivi unafikiria hakuna mtanzania anayeweza kuziba nafasi ya uwaziri Mkuu?kweli.
Hata kama una chuki binafsi tumia basi hata busara kuelewa komenti yangu.
Mimi Sina haja ya kuwa na Wala siwezi kuja kuwa waziri hata wa maji ukiacha huo uwaziri Mkuu.
Hata udiwani siuwezi/siutaki.ila wapo watanzania wenye uwezo zaidi ..na sizungumzii siasa hapa..maana siasa ni upofu Ngoma Kila mtu uvutia kwake🙏🏿
Kabisa
Familia yake utailisha wewe
😅😮😮
Umeteseka sana umepambana vya kutosha yoyote aliesababisha mpaka uchukuwe maamuzi magumu Mungu atashughulika nae Pumzika kwa Amani
Ujinga wake
❤
Kuna mtanzania kaandike ni ujinga wa Marehem umekosea labda nawewe umedhulumu
@@heritier5119na hujui unachokisema ndo maana ila siku yakikukuta utajua ni ujinga au vipi msongo wa makwazo ni mbaya sana
Wengi tutapotea mjambazi tamaaaaaaa unyaga nyi
Selikari ya CCM ni majizi 99%
Chama Cha Maharamia
Yaani kama tungeweza tusiwape kura kabisa ,maana wanongea kwa kiburi ,hawatujali ,wanajijali wao tu, wanajilimbikia mali ili hali sisi tuanakufa na umaskini ,maisha yamekuwa magumu ili hali wanaishi kama malaika . So sad
Yaani ukiwa masikini mtihani ukisema ujikwamue kimaisha mtihani yaani dah mungu ndie hakimu wa haki atalipa wote mungu alali wala, asinzii
Mwenyezi Mungu tujaalie Mwisho mwema
Nimefatilia story nzima ya mfanyabiashara huyu Ina umiza kiukwel na inakatisha tamaa nikiendelee kuandika kitu naweza nikatukana nikachukuliwa hatua bure 🤬 maana watu kufatilia haki za mtu wagumu ila kufatilia ujinga wepes na wanajua kutu nyoosha ila mungu yupo Ipo siku
Late rais moi alisema, shinda ya mwafrika ni mwafrika mwenyewe. Yaani mwafrika mwenzako anakuangisha mpaka umauti. Pole kwa marafiki na familia
duuh kumbee hiii statement ni kutoka kwa Rais Moi ivi eh?
Our legend Daniel toroitich arap moi.🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Inaumiza sana,tulippewa dhamana tutimize wajibu wetu
Makonda Makonda Makonda nakuita Mara 3 unaona serkali unayo itetea hata imenzarau Makufuli kweli hivi wataenda kwa wananchi utawaambia nini na Juwa Mungu atawalipa nyinyi nyote mulio sababisha umauti wa Ramadhani
Tena wataanza kuungua hapahapa duniani
Wote walio husika Kudhulumu haki ya huyu Baba Mungu na awahukumu!
Achana na maswala ya Mungu hapa duniani ni vita alitakiwa kuwa maliza mtandao wote .
Mungu kwanza yeye ndiyo analipa kilamtenda mabaya. Duniani na Allhlah
Kamanimtukamuua huyu baba atakiona chamoto sijuiyeye atakufaje mana hatobaki
Unamtoa Mungu embu acha ujinga wewe@@kaaakwakutuliaa5179
Mungu atakulipia na hao majambazi
We mtangazaji unacheka cheka nini kwa swala serious kama hilo. Haileti picha nzuri. Kuwa serious.
Poleni sana inauma kweli kweli😩😩
Alafu watu waje kuleta mitaji yao nchi hii kufanya biashara;mtasubiri sana nchi ya ajabu sana hii.
Walimvuta wakijua watammaliza na watamdhulumu haki yake ..
Wamemdhulum huyu m2 lakini kila alie husika Allah atamhukum hapa hapa duniani na wa2 watashuhudia
sema iyo bunduki hajaitendea haki kabisa ilitakiwa jino kwa jino
Allah awazalil8she wote kamakweri wamemxurumu nafsi yake. Inaumiza sana Ila Munguyupo atawalipa kwani akuna atakae baki
Amin
Amiiin 🙏
Ah wapi
Mimi sasa hivi nafundisha watoto wangu jinsi ya kwenda kuishi inchi za watu... Hii ni dunia yetu sote.. hii inchi ni taabu tupu uwe na hela usiwe na hela.
Upo sahihi kabisa ndugu..
Hamza hamza hamza nimekuita mara 3 tunaitaji watu kama ww mzee asingejiuwa mwenyewe angeenda huko tra awe kama hmza
Lingekuwa jambo jema
Angekufa hata na watu wa tra kama kumi kwakua ana silaha
Japo kuwa magazeti mnatangaza kuwa amejipiga risasi; nahisi, ameuliwa! Kujipiga risasi ni kisingizio tu!
Tunaomba uchunguzi wa kina na ufanywe na FBI.
Hivi Mama Samia haoni haya,badala ya wafanyabiashara kutiwa moyo na kuwezeshwa wanadidimizwa,inatakiwa wafanyabiashara wanyanyuliwe hata kama ni kwakusamehewa kodi,hili suala linawachafulia CV viongozi wa nchi
Tunashukuru sana Mungu kwa kuweka muda wa kuishi miaka isiyozodi 120 kwa kila mwanadamu ,kuna baadhi ya watu wako Duniani kama wataishi milele ,
Makonda makonda unaona Aya madudu ya chama chako kweli waziri mkuu anajua yote Aya mungu anawaona
Huyu majaliwa kwa nini asijiuzulu kwa hichi kilichotokea
Baba alikuwa na akili sana huyu Tena sana amepambana sana mpaka akachoka amewapa ushindi TRA wezi wakubwa ili wale vizuri pesa zake Pumzika salama Baba laana uliyowaachia sio ndogo. 😢😢
Kweli jasho la mtu haliliki wataungua duniani mpaka kwa mwenyezimungu
Inalillah wa inaillah Rajuuun ,Haki tutaipata siku ya Hukumu Duniani tuishi kwa Tahadhari tu pumzika salama Mzee wetu .🎉🎉🎉😢😢😢
inaumiza huyu Mz. amejipingania haki yake huwezi amini watanzania tunaoneana
Duuuuh siamin jmn polen sana wadogo zang Sharifu,karmu,najaty najua maumiv mlionayo kumpoteza baba nawapenda na nawamis sana ni mda sasa tumepotezana
Hii nchi ngumu sana hata ufanyeje ni mateso tu
Nimeumia sana nimeishi nae na nimelea watoto wake wakiwa wanaishi urambo mtaa wa majengo ya tabora Allah akuweke pahal pazur
Daah inasikitisha sana...am shocked,
Daa inasikitisha sana!😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Eeeh mwenyezimungu uwalipe mabaya wale wote waliochangia kumdhulumu huyu jamaa yani damu yake haitaenda bure ni stress na mawazo kuona familia itaadhirika na ilihali alikua na mtaji wake itawagarimu wote walioshiriki na hawana mda mrefu mungu atawaonyesha wakati wa mungu ni sahihi
Haitoshi
@@smarty1064 Dua tosha hilo yani mwaka huu litajibu kwanza naskia walosababisha kumdhulumu huyo jamaa watu wanasoma albadiri ya dhulma
😮😮
Mungu hatanyamaza kwa hili
Yaniiii duuu kunakutu siyo bule lala salama mzee pole kwa familia
Mungu wetu, atawalipia wanyonge, Mungu tunakuomba, tenda
Wamemuua hii nchi jaman ishakuwa haina aman hatjazoea hv
🤔wanasema kajiua 😢waongo, wamemuua huyu 😢
pale TRA angeendq kufanya kama hamza
Una mawazo kama yangu yaani.
MH. RAIS SAMIA....MH. WAZIRI MKUU....DA
U YA MAREHEMU RAMADHANI IKO MIKONONI MWENU....NA WOTE WALIOHUSIKA KWENYE KASHFA YA KUMDHULUMU WA TRA WAWAJIBISHWE! FAMILIA YAKE ILIPWE HAKI YAKE!
Kwakweli inauma sana Mungu akupokee maana kupitia ayo yote akuna anaejua vita uliokua unapigana Mungu ibariki Tanzania.
Mungu na shetani hawapokei mtu aliyejiua
Very Sad! Kwanini tunafanya hivi? Akili timamu kweli hawa watu wetu viongozi wetu?
Pole sana hata hivyo mshukuru Mungu bado una afya njema
Duuu!!? Muha mwenzangu pole sana mungu anawaona ,yan hii nchi sijui kama inaviongozi ,yani mda wote huo hawakumsikiliza ?mpaka anaamua maamuzi magumu hivo!!?mm namuombea kwa mungu hiyo damu iwe juu yao waliomfanyia ushenzi huo na mungu akawalani
Ewe mungu tunahurumie.Kiukweli tunahishi kwaneema zamungu tu.Lakini hii nchi inawatu wenye rohoo zaajabu sana pamoja NAKUWA navyeo VIKUBWA mishahara mikubwa wanauwezo wakukopa wakupata chochote ndani yamadaraka yao,lakini unaweza kuteseka mpka ukakataa TAMAA yakuishi.Upumzike Kwaamani shujaa wetu mfanyabiashara uliekuwa unalipa Kodi mlipa Kodi Mtanzania mwema.
Daah! Inauma sana 😢😢😢
Kwa simulizi yake, ikiwa hakujiua wakati ule, taarifa kuwa kajiua linatia shaka.
Allah akurehemu akusamehe iwe umejiuwa au umeuliwa
Inasikitisha sana .nchi hii inahitaji raisi mwwnye maamuzi magumu kama hayati Magu.tutamkumbuka daima
Mtangazaji Uwe na hekima ya kuhoji kulingana na hali ya maudhui ya unachohoji.
Ktk jambo hilo kicheko kitatokea wapi??!!
MUNGU ailaze roho yake mahala pema Amina
Mmmmm inaumaaaaa sanaa
Mama Samia,mana samia,mama samia, jmn Makonda,Makondoka, Makonda jmn Wazir mkuu Wazir mkuu jmn Wazir mkuu nyie ndio viongozi wateteze jmn mfuatilieni huyu baba inaumiza sana tunapinga umaskini lkn bado kumbe kuna watu wanahitaji nchi yetu watu wake wabaki kua maskini 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Alishakufa huyu.amefariki juzi juzi tu inasadikiwa amejipiga risasi😭😭
Uko kawaida sana kujipga risasi, tena mungu amekuongaza sana amepgana naww toka 2017 hadi 2024 mungu akuweke mahala salama mzee wangu.
Daaaah inaumiza sanaa
Ndiyo maana hawataki kuleta katiba mpya wanaogopa kushitakiwa
Pole kaka hii selikali hatari
Pole sana kaka
Mwandishi wa habali badilisha hio logo ya mailing mbona imechakaa sana inatia aibu😂😂😂😂
Haki ya kweli iko kwa Mungu hivyo pamoja na kuwa kimantiki una haki muombe Mungu kwani wanaosimamia dhamana wengi wao wanajifanya ni miungu watu, wanasahau kuwa yupo Mungu mkuu anaejua mambo yote yaliyo wazi na yaliyo sirini.
Maisha yote tumtumaini Mungu wala tusiwatumaini wanadamu ambao nao wako chini ya hukumu.
Kweli na haki huwa havifi vinaishi milele ila magumashi (njia za uongo) vina mwisho na mwisho huo ni mbaya.
Mungu tutee tutee tutee.
Kumbe jamaa alikuja kujiua?!, very painful!.Hakika damu yake ni juu ya wote walioshindwa kutatua hili jambo lake!.
Inaumiza xn 😭😭😭😭😭kwa mtu huyu ukimfatilia mkasa wake Mungu anawaona😭😭😭 hata waziri mkuu yuko ni mmoja wa wahusika kumzurumu ukisikiliza vizuri hii stor
Inna lillah wa Inna ilayhi raajiun 😭 m kumbe ulijiua mzee wangu!!! Kwaniniiii!!!!!? Imeniuma Sana kwakweli
Pole ndugu jamani
Ccm kweli mnavaa nguo zenu mnatembelea v8 mnasababisha kifo cha ntunzwe kisa kudai haki yake innalilahi wainnailah rajiun pumzika Kwa aman 🕯️🕯️🕯️😭🕯️ nch hi inagiza totoro
Kweli wa afrika mwafrika mwezao akiaza kupata mafanikio inakuwa shida ila wengine wa ngozi nyeupe ndio halali kwa mafanikio kweli wakoloni wameondoka ila wamebaki wakoloni uchwara
Nch yetu ni yatima tutapata Rais 2025 ..na wote wanaojiona ni wanyonyaji watanyea debe juani
Laaa inauma sana
Nimegundua tanzania kuna mauaji sana Ila ya chini kwa chini 😮 Hujajiua wamekuua mbwaa hao
Mungu muhukumu wa haki yupo!
Mhe: Rais tunaomba haki ya huyu mtu itendeke hata kama amefariki familia yake ilipwe hizo pesa,
Kabisa
😊😊.
Innalillah wainnalilah rajiun 🙏🙏
Da Mungu atunusuru.
Mungu atakuinua baba
Kashajiua tayari, ni marehemu. INAUMA SANA😭
Pole kwa familia inauma sana
Yaani nyie mliomdhulum huyu baba mungu atahukum mmechangia sana hili laleo
Laaah Eee Mungu.
❤🎉
Waziri mkuu ni mmoja ya walio mhujumu huyu mtu kwa sababu yeye ndiye aliyekuwa kwenye serikali iliyosema huyu mfanyabiashara alipwe.Inaudhi tena inaumiza sana
Pole mungu akuondoleer adhabu ya kaburii
Mungu apokei mtu anaejiua
Mungu akutie nguvu hii ni dhuruma ya wazi
INNAA LILLAHI WAINNAA ILAHI RAAJIUN
HUYU MZEE TAYARI AMESHAFARIKI TAARIFA KUTOKA URAMBO TABORA
Kuna kazi ukikosa laana, ni neema tu. Lkn ni lazima
❤❤❤
Father hukupata elimu vzr ya skuli lkn uko vzr sana kuliko hao watendaji wa serikali uko brain sana
Huyu walimuua, hakujiuwa wanavyosema! Maono Yangu tu!
Ivi viongozi wa nchi yetu hamuoni aibu watu mliowakabidhi kazi hawatendi haki kwa wananchi au hao trą mnagawana nao pesa trą imo mikononi mwa majambazi waziri mkuu mungu anakuona ivi kweli ulishindwa kumsaidia huyu baba mpaka amejiua mnawaogopa wafanyakazi mliowaajiri wenyewe kwa ajili ya rushwa hatuna imani na serikali yenu
Jmn imeniuma kupita kiasi, miaka yote Hii hakuna solution. Dada pia mkewe waliadhirika. Hakika ni wangapi wanapitia Haya🙏🏾
Viongozi au majambazi na wauwaji
@@reginas1832 viongozi ndio majambawazi wakubwa wateuliwa wsuwani yaani ni team
🤔wezi wanalindana
👊✌️🙏
Hii CCM mnatawala kwa Damu za Wazalendo wa Nchi hii ya Tanzania
Ni Bora kumtumainia Mungu kuliko wanadamu
Duh
Watu wengi wanaumizwa na hatuoni kama kuna kuumizwa hadi mtu wa karibu yako yamfike. Tunapoambiwa kuna uonezi huwa hatukubali. Tutakuwa hivi hadi lini ?
Aibu kubwaaaaa Tanzania siyo nchi ya wafanya biashara ila ya wizi ukiwa mwizi utaishi vizuri saaaana
Unajua wzr mkuu nae mwizi mkubwa kwani hawezi kutatua ttz hilo ana machafu yake mengi sana
KWA HAKIKA HAKUSTAHILI KUJIUA.....ALITAKIWA AMWEKE MWENYEZI MUNGU MTUKUFU MBELE BILA KUJALI HALI YAKE KIUCHUMI.....NA KWA WALIOMDHULUMU WOTE MWENYEZI MUNGU MTUKUFU HATAWAACHA SALAMA....KUANZIA HAPA DUNIANI MPAKA KESHO BAADA YA KIFO!
Mm nashangaa wanao shobokea ccm ujue hayajawakuta
EE MWENYE ENZI MUNGU 😢😢😢😢RIP MPENDWA WETU
ccm n serikali yake ndo tatizo la kwanza katika hii nchi
Kiukweli waziri mkuu alishindwa kutekeleza majukumu yake anafaa kuachia nafasi hiyo
Kwanini huwezi sikia mfanyabiashara wa Asia yanawakumba haya , jamaa wanajua maafisa wa ushuru wa TRA wananuka Rushwa kwahiyo hutumia huo mwanya , Ndo utakuta wanao ongoza kuwa mijengo ya Maana Ni wao, Rushwa wanaipata wapi? Kwenye makadirio ya kulipa Kodi, lipa hii au hii , kama huchukui Rushwa vita ya Rushwa huwa Ni nyepesi Saaana tena mno
Ila hiyo damu itawalilia milele! Wanasheria wake wako wapi? Waendelee na hiyo kesi kwa ajili ya watoto wake!
Bashe bashe bashe
Pamoja na khatibu wa Ccm dk nchimbi
Nyie mnaevunja moyo makonda asiendele na ziara zake kwa kisa ety anawazalilisha watumishi wa serikali na wengne hamtak kuhojiwa kiukwel mjitathimini wakuu
Hii nchi imefikia sehemu mbaya sana huyo ni mmoja wny tatizo kama hilo ila wapo wengi wanaoumia na haya mambo.
Muunge mkono makonda msipe vijembe vijembe sisawa wakuu
Hiii nchi ndivyo ilivyo tafuta kwa shida ukikipata cha serikali