INASIKITISHA: NENO LA MWISHO YA MFANYABIASHARA BABU RAMA NA MWANAHALISI TV KABLA HAJAJIPIGA RISASI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 03. 2024
  • 🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 767 400402)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

Komentáře • 260

  • @mawazoaliselemani
    @mawazoaliselemani Před 4 měsíci +38

    Waziri mkuu ajiuzulu.kwa Hili naomba mheshimiwa majaliwa ujiuzulu umeshindwa majukumu yako kwa heshima na taadhima mheshimiwa Majaliwa achia ngazi umeshindwa kazi!

    • @stevenkomanya1442
      @stevenkomanya1442 Před 4 měsíci +1

      Uongoze wewe apo

    • @mawazoaliselemani
      @mawazoaliselemani Před 4 měsíci

      @@stevenkomanya1442 .duh mtanzania mwenzangu watanzania Tupo milioni 63 na ziada hivi unafikiria hakuna mtanzania anayeweza kuziba nafasi ya uwaziri Mkuu?kweli.
      Hata kama una chuki binafsi tumia basi hata busara kuelewa komenti yangu.
      Mimi Sina haja ya kuwa na Wala siwezi kuja kuwa waziri hata wa maji ukiacha huo uwaziri Mkuu.
      Hata udiwani siuwezi/siutaki.ila wapo watanzania wenye uwezo zaidi ..na sizungumzii siasa hapa..maana siasa ni upofu Ngoma Kila mtu uvutia kwake🙏🏿

    • @naimatemba8061
      @naimatemba8061 Před 4 měsíci +1

      Kabisa

    • @heritier5119
      @heritier5119 Před 4 měsíci

      Familia yake utailisha wewe

    • @mariyammariyam1454
      @mariyammariyam1454 Před 4 měsíci

      😅😮😮

  • @user-lu8ny2gu7t
    @user-lu8ny2gu7t Před 4 měsíci +24

    Umeteseka sana umepambana vya kutosha yoyote aliesababisha mpaka uchukuwe maamuzi magumu Mungu atashughulika nae Pumzika kwa Amani

    • @heritier5119
      @heritier5119 Před 4 měsíci

      Ujinga wake

    • @AminaKweya
      @AminaKweya Před 4 měsíci

    • @abdirizakibrahim1975
      @abdirizakibrahim1975 Před 4 měsíci +6

      Kuna mtanzania kaandike ni ujinga wa Marehem umekosea labda nawewe umedhulumu

    • @anodearsulusi7536
      @anodearsulusi7536 Před 4 měsíci +2

      ​@@heritier5119na hujui unachokisema ndo maana ila siku yakikukuta utajua ni ujinga au vipi msongo wa makwazo ni mbaya sana

    • @patsonanyitike9584
      @patsonanyitike9584 Před 4 měsíci +1

      Wengi tutapotea mjambazi tamaaaaaaa unyaga nyi

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 Před 4 měsíci +32

    Selikari ya CCM ni majizi 99%

    • @oyay2821
      @oyay2821 Před 4 měsíci +1

      Chama Cha Maharamia

    • @neemamasimba2981
      @neemamasimba2981 Před 4 měsíci +1

      Yaani kama tungeweza tusiwape kura kabisa ,maana wanongea kwa kiburi ,hawatujali ,wanajijali wao tu, wanajilimbikia mali ili hali sisi tuanakufa na umaskini ,maisha yamekuwa magumu ili hali wanaishi kama malaika . So sad

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid2488 Před 4 měsíci +13

    Yaani ukiwa masikini mtihani ukisema ujikwamue kimaisha mtihani yaani dah mungu ndie hakimu wa haki atalipa wote mungu alali wala, asinzii

  • @hashimmziray7416
    @hashimmziray7416 Před 4 měsíci +12

    Mwenyezi Mungu tujaalie Mwisho mwema

  • @mpetafrank7195
    @mpetafrank7195 Před 4 měsíci +4

    Nimefatilia story nzima ya mfanyabiashara huyu Ina umiza kiukwel na inakatisha tamaa nikiendelee kuandika kitu naweza nikatukana nikachukuliwa hatua bure 🤬 maana watu kufatilia haki za mtu wagumu ila kufatilia ujinga wepes na wanajua kutu nyoosha ila mungu yupo Ipo siku

  • @eliudgathuthi8601
    @eliudgathuthi8601 Před 4 měsíci +6

    Late rais moi alisema, shinda ya mwafrika ni mwafrika mwenyewe. Yaani mwafrika mwenzako anakuangisha mpaka umauti. Pole kwa marafiki na familia

  • @sethnyenzitv6617
    @sethnyenzitv6617 Před 4 měsíci +12

    Inaumiza sana,tulippewa dhamana tutimize wajibu wetu

  • @user-tn7ic2ky3i
    @user-tn7ic2ky3i Před 4 měsíci +12

    Makonda Makonda Makonda nakuita Mara 3 unaona serkali unayo itetea hata imenzarau Makufuli kweli hivi wataenda kwa wananchi utawaambia nini na Juwa Mungu atawalipa nyinyi nyote mulio sababisha umauti wa Ramadhani

  • @sofiaantonioantonio7265
    @sofiaantonioantonio7265 Před 4 měsíci +21

    Wote walio husika Kudhulumu haki ya huyu Baba Mungu na awahukumu!

    • @kaaakwakutuliaa5179
      @kaaakwakutuliaa5179 Před 4 měsíci +3

      Achana na maswala ya Mungu hapa duniani ni vita alitakiwa kuwa maliza mtandao wote .

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl Před 4 měsíci +1

      Mungu kwanza yeye ndiyo analipa kilamtenda mabaya. Duniani na Allhlah
      Kamanimtukamuua huyu baba atakiona chamoto sijuiyeye atakufaje mana hatobaki

    • @user-ut3gf1tg2n
      @user-ut3gf1tg2n Před 4 měsíci

      Unamtoa Mungu embu acha ujinga wewe​@@kaaakwakutuliaa5179

  • @arafahhh5574
    @arafahhh5574 Před 4 měsíci +12

    Mungu atakulipia na hao majambazi

  • @ABSTemu
    @ABSTemu Před 3 měsíci +2

    We mtangazaji unacheka cheka nini kwa swala serious kama hilo. Haileti picha nzuri. Kuwa serious.

  • @VeronicaMacha-pl3xt
    @VeronicaMacha-pl3xt Před 4 měsíci +12

    Poleni sana inauma kweli kweli😩😩

  • @pascalntandu1217
    @pascalntandu1217 Před 4 měsíci +9

    Alafu watu waje kuleta mitaji yao nchi hii kufanya biashara;mtasubiri sana nchi ya ajabu sana hii.

    • @nixonjohnson4908
      @nixonjohnson4908 Před 4 měsíci

      Walimvuta wakijua watammaliza na watamdhulumu haki yake ..

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz Před 4 měsíci +20

    Wamemdhulum huyu m2 lakini kila alie husika Allah atamhukum hapa hapa duniani na wa2 watashuhudia

  • @fredgonga
    @fredgonga Před 4 měsíci +6

    Mimi sasa hivi nafundisha watoto wangu jinsi ya kwenda kuishi inchi za watu... Hii ni dunia yetu sote.. hii inchi ni taabu tupu uwe na hela usiwe na hela.

  • @SurprisedAtom-vp5qe
    @SurprisedAtom-vp5qe Před 4 měsíci +9

    Hamza hamza hamza nimekuita mara 3 tunaitaji watu kama ww mzee asingejiuwa mwenyewe angeenda huko tra awe kama hmza

  • @daudiniyonsaba1113
    @daudiniyonsaba1113 Před 4 měsíci +2

    Japo kuwa magazeti mnatangaza kuwa amejipiga risasi; nahisi, ameuliwa! Kujipiga risasi ni kisingizio tu!
    Tunaomba uchunguzi wa kina na ufanywe na FBI.

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 Před 4 měsíci +3

    Hivi Mama Samia haoni haya,badala ya wafanyabiashara kutiwa moyo na kuwezeshwa wanadidimizwa,inatakiwa wafanyabiashara wanyanyuliwe hata kama ni kwakusamehewa kodi,hili suala linawachafulia CV viongozi wa nchi

  • @isacktesha6659
    @isacktesha6659 Před 4 měsíci +7

    Tunashukuru sana Mungu kwa kuweka muda wa kuishi miaka isiyozodi 120 kwa kila mwanadamu ,kuna baadhi ya watu wako Duniani kama wataishi milele ,

  • @frankraphael7546
    @frankraphael7546 Před 4 měsíci +6

    Makonda makonda unaona Aya madudu ya chama chako kweli waziri mkuu anajua yote Aya mungu anawaona

    • @naimatemba8061
      @naimatemba8061 Před 4 měsíci

      Huyu majaliwa kwa nini asijiuzulu kwa hichi kilichotokea

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 Před 4 měsíci +7

    Baba alikuwa na akili sana huyu Tena sana amepambana sana mpaka akachoka amewapa ushindi TRA wezi wakubwa ili wale vizuri pesa zake Pumzika salama Baba laana uliyowaachia sio ndogo. 😢😢

    • @amanimyolo1478
      @amanimyolo1478 Před 4 měsíci

      Kweli jasho la mtu haliliki wataungua duniani mpaka kwa mwenyezimungu

  • @user-vs2nf8qe1x
    @user-vs2nf8qe1x Před 4 měsíci +2

    Inalillah wa inaillah Rajuuun ,Haki tutaipata siku ya Hukumu Duniani tuishi kwa Tahadhari tu pumzika salama Mzee wetu .🎉🎉🎉😢😢😢

  • @gorettimtungwe9011
    @gorettimtungwe9011 Před 4 měsíci +3

    inaumiza huyu Mz. amejipingania haki yake huwezi amini watanzania tunaoneana

  • @YusufFamau-w2x
    @YusufFamau-w2x Před 20 dny +1

    Duuuuh siamin jmn polen sana wadogo zang Sharifu,karmu,najaty najua maumiv mlionayo kumpoteza baba nawapenda na nawamis sana ni mda sasa tumepotezana

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 Před 4 měsíci +9

    Hii nchi ngumu sana hata ufanyeje ni mateso tu

  • @YusufFamau-w2x
    @YusufFamau-w2x Před 20 dny

    Nimeumia sana nimeishi nae na nimelea watoto wake wakiwa wanaishi urambo mtaa wa majengo ya tabora Allah akuweke pahal pazur

  • @philipomwazyunga4572
    @philipomwazyunga4572 Před 4 měsíci +5

    Daah inasikitisha sana...am shocked,

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge8222 Před 4 měsíci +3

    Daa inasikitisha sana!😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 Před 4 měsíci +8

    Eeeh mwenyezimungu uwalipe mabaya wale wote waliochangia kumdhulumu huyu jamaa yani damu yake haitaenda bure ni stress na mawazo kuona familia itaadhirika na ilihali alikua na mtaji wake itawagarimu wote walioshiriki na hawana mda mrefu mungu atawaonyesha wakati wa mungu ni sahihi

    • @smarty1064
      @smarty1064 Před 4 měsíci

      Haitoshi

    • @mussakimaro5588
      @mussakimaro5588 Před 4 měsíci

      @@smarty1064 Dua tosha hilo yani mwaka huu litajibu kwanza naskia walosababisha kumdhulumu huyo jamaa watu wanasoma albadiri ya dhulma

    • @AminaKweya
      @AminaKweya Před 4 měsíci

      😮😮

    • @NazaeliMollel
      @NazaeliMollel Před 4 měsíci +1

      Mungu hatanyamaza kwa hili

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Před 4 měsíci +3

    Yaniiii duuu kunakutu siyo bule lala salama mzee pole kwa familia

  • @christianlutego1288
    @christianlutego1288 Před 4 měsíci +2

    Mungu wetu, atawalipia wanyonge, Mungu tunakuomba, tenda

  • @IrenePhilip-ek4lw
    @IrenePhilip-ek4lw Před 4 měsíci +7

    Wamemuua hii nchi jaman ishakuwa haina aman hatjazoea hv

  • @babuafya3446
    @babuafya3446 Před 4 měsíci +7

    pale TRA angeendq kufanya kama hamza

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u Před 4 měsíci +3

    MH. RAIS SAMIA....MH. WAZIRI MKUU....DA
    U YA MAREHEMU RAMADHANI IKO MIKONONI MWENU....NA WOTE WALIOHUSIKA KWENYE KASHFA YA KUMDHULUMU WA TRA WAWAJIBISHWE! FAMILIA YAKE ILIPWE HAKI YAKE!

  • @selemsigala4771
    @selemsigala4771 Před 4 měsíci +6

    Kwakweli inauma sana Mungu akupokee maana kupitia ayo yote akuna anaejua vita uliokua unapigana Mungu ibariki Tanzania.

    • @heritier5119
      @heritier5119 Před 4 měsíci

      Mungu na shetani hawapokei mtu aliyejiua

  • @ABSTemu
    @ABSTemu Před 3 měsíci +1

    Very Sad! Kwanini tunafanya hivi? Akili timamu kweli hawa watu wetu viongozi wetu?

  • @muturidorcas6798
    @muturidorcas6798 Před 15 dny

    Pole sana hata hivyo mshukuru Mungu bado una afya njema

  • @winfredkaroli5065
    @winfredkaroli5065 Před 4 měsíci +1

    Duuu!!? Muha mwenzangu pole sana mungu anawaona ,yan hii nchi sijui kama inaviongozi ,yani mda wote huo hawakumsikiliza ?mpaka anaamua maamuzi magumu hivo!!?mm namuombea kwa mungu hiyo damu iwe juu yao waliomfanyia ushenzi huo na mungu akawalani

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 Před 4 měsíci +1

    Ewe mungu tunahurumie.Kiukweli tunahishi kwaneema zamungu tu.Lakini hii nchi inawatu wenye rohoo zaajabu sana pamoja NAKUWA navyeo VIKUBWA mishahara mikubwa wanauwezo wakukopa wakupata chochote ndani yamadaraka yao,lakini unaweza kuteseka mpka ukakataa TAMAA yakuishi.Upumzike Kwaamani shujaa wetu mfanyabiashara uliekuwa unalipa Kodi mlipa Kodi Mtanzania mwema.

  • @user-jj3nc9rn2q
    @user-jj3nc9rn2q Před 4 měsíci +7

    Daah! Inauma sana 😢😢😢

  • @ednalugano2906
    @ednalugano2906 Před 4 měsíci +1

    Kwa simulizi yake, ikiwa hakujiua wakati ule, taarifa kuwa kajiua linatia shaka.

  • @nusalim3389
    @nusalim3389 Před 4 měsíci +2

    Allah akurehemu akusamehe iwe umejiuwa au umeuliwa

  • @mussamalick1045
    @mussamalick1045 Před 4 měsíci +1

    Inasikitisha sana .nchi hii inahitaji raisi mwwnye maamuzi magumu kama hayati Magu.tutamkumbuka daima

  • @missarepafra3973
    @missarepafra3973 Před 4 měsíci +1

    Mtangazaji Uwe na hekima ya kuhoji kulingana na hali ya maudhui ya unachohoji.
    Ktk jambo hilo kicheko kitatokea wapi??!!

  • @eaglecrown1101
    @eaglecrown1101 Před 4 měsíci +1

    MUNGU ailaze roho yake mahala pema Amina

  • @henryyuda2989
    @henryyuda2989 Před 4 měsíci +5

    Mmmmm inaumaaaaa sanaa

  • @user-qi2bt7mw4x
    @user-qi2bt7mw4x Před 4 měsíci

    Mama Samia,mana samia,mama samia, jmn Makonda,Makondoka, Makonda jmn Wazir mkuu Wazir mkuu jmn Wazir mkuu nyie ndio viongozi wateteze jmn mfuatilieni huyu baba inaumiza sana tunapinga umaskini lkn bado kumbe kuna watu wanahitaji nchi yetu watu wake wabaki kua maskini 😭😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @mussamalick1045
      @mussamalick1045 Před 4 měsíci

      Alishakufa huyu.amefariki juzi juzi tu inasadikiwa amejipiga risasi😭😭

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e Před 4 měsíci

    Uko kawaida sana kujipga risasi, tena mungu amekuongaza sana amepgana naww toka 2017 hadi 2024 mungu akuweke mahala salama mzee wangu.

  • @williamgeorge-hd2tn
    @williamgeorge-hd2tn Před 4 měsíci +2

    Daaaah inaumiza sanaa

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 Před 4 měsíci +1

    Ndiyo maana hawataki kuleta katiba mpya wanaogopa kushitakiwa

  • @gwaluganosaiba629
    @gwaluganosaiba629 Před 4 měsíci +2

    Pole kaka hii selikali hatari

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Před 4 měsíci +1

    Pole sana kaka

  • @user-ii6gs2jg4g
    @user-ii6gs2jg4g Před 4 měsíci +1

    Mwandishi wa habali badilisha hio logo ya mailing mbona imechakaa sana inatia aibu😂😂😂😂

  • @missarepafra3973
    @missarepafra3973 Před 4 měsíci

    Haki ya kweli iko kwa Mungu hivyo pamoja na kuwa kimantiki una haki muombe Mungu kwani wanaosimamia dhamana wengi wao wanajifanya ni miungu watu, wanasahau kuwa yupo Mungu mkuu anaejua mambo yote yaliyo wazi na yaliyo sirini.
    Maisha yote tumtumaini Mungu wala tusiwatumaini wanadamu ambao nao wako chini ya hukumu.
    Kweli na haki huwa havifi vinaishi milele ila magumashi (njia za uongo) vina mwisho na mwisho huo ni mbaya.
    Mungu tutee tutee tutee.

  • @dismasmtui729
    @dismasmtui729 Před 4 měsíci

    Kumbe jamaa alikuja kujiua?!, very painful!.Hakika damu yake ni juu ya wote walioshindwa kutatua hili jambo lake!.

  • @ZachariaNgesse-el1ge
    @ZachariaNgesse-el1ge Před 4 měsíci

    Inaumiza xn 😭😭😭😭😭kwa mtu huyu ukimfatilia mkasa wake Mungu anawaona😭😭😭 hata waziri mkuu yuko ni mmoja wa wahusika kumzurumu ukisikiliza vizuri hii stor

  • @sadasaid7212
    @sadasaid7212 Před 4 měsíci

    Inna lillah wa Inna ilayhi raajiun 😭 m kumbe ulijiua mzee wangu!!! Kwaniniiii!!!!!? Imeniuma Sana kwakweli

  • @oscarwasenga1333
    @oscarwasenga1333 Před 4 měsíci +1

    Pole ndugu jamani

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda Před 23 dny

    Ccm kweli mnavaa nguo zenu mnatembelea v8 mnasababisha kifo cha ntunzwe kisa kudai haki yake innalilahi wainnailah rajiun pumzika Kwa aman 🕯️🕯️🕯️😭🕯️ nch hi inagiza totoro

  • @JumaMambo-dp6bj
    @JumaMambo-dp6bj Před 2 měsíci

    Kweli wa afrika mwafrika mwezao akiaza kupata mafanikio inakuwa shida ila wengine wa ngozi nyeupe ndio halali kwa mafanikio kweli wakoloni wameondoka ila wamebaki wakoloni uchwara

  • @user-du6su6mh1h
    @user-du6su6mh1h Před 4 měsíci +1

    Nch yetu ni yatima tutapata Rais 2025 ..na wote wanaojiona ni wanyonyaji watanyea debe juani

  • @user-pr6jq1st1q
    @user-pr6jq1st1q Před 4 měsíci +1

    Laaa inauma sana

  • @miraculolopa
    @miraculolopa Před 4 měsíci

    Nimegundua tanzania kuna mauaji sana Ila ya chini kwa chini 😮 Hujajiua wamekuua mbwaa hao

  • @edmundmakoye7322
    @edmundmakoye7322 Před 4 měsíci

    Mungu muhukumu wa haki yupo!

  • @modestamashoke9038
    @modestamashoke9038 Před 4 měsíci +5

    Mhe: Rais tunaomba haki ya huyu mtu itendeke hata kama amefariki familia yake ilipwe hizo pesa,

  • @norbertkyando
    @norbertkyando Před 4 měsíci

    😊😊.

  • @user-fl1xz3ln3c
    @user-fl1xz3ln3c Před 4 měsíci

    Innalillah wainnalilah rajiun 🙏🙏

  • @alexkamba5264
    @alexkamba5264 Před 4 měsíci

    Da Mungu atunusuru.

  • @braggadachu1723
    @braggadachu1723 Před 4 měsíci +2

    Mungu atakuinua baba

  • @shamimukanju8402
    @shamimukanju8402 Před 4 měsíci

    Pole kwa familia inauma sana

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 Před 4 měsíci

    Yaani nyie mliomdhulum huyu baba mungu atahukum mmechangia sana hili laleo

  • @johnkapesula122
    @johnkapesula122 Před 4 měsíci

    Laaah Eee Mungu.

  • @AminaKweya
    @AminaKweya Před 4 měsíci

    ❤🎉

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Před 4 měsíci

    Waziri mkuu ni mmoja ya walio mhujumu huyu mtu kwa sababu yeye ndiye aliyekuwa kwenye serikali iliyosema huyu mfanyabiashara alipwe.Inaudhi tena inaumiza sana

  • @user-se9no4rg3k
    @user-se9no4rg3k Před 4 měsíci

    Pole mungu akuondoleer adhabu ya kaburii

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Před 4 měsíci

    Mungu akutie nguvu hii ni dhuruma ya wazi

  • @user-dz4ob1xj8g
    @user-dz4ob1xj8g Před 4 měsíci

    INNAA LILLAHI WAINNAA ILAHI RAAJIUN
    HUYU MZEE TAYARI AMESHAFARIKI TAARIFA KUTOKA URAMBO TABORA

  • @injilinjeyakutazakanisa
    @injilinjeyakutazakanisa Před 4 měsíci

    Kuna kazi ukikosa laana, ni neema tu. Lkn ni lazima

  • @amanimyolo1478
    @amanimyolo1478 Před 4 měsíci

    ❤❤❤

  • @KhaleedHamad-vl7lz
    @KhaleedHamad-vl7lz Před 4 měsíci

    Father hukupata elimu vzr ya skuli lkn uko vzr sana kuliko hao watendaji wa serikali uko brain sana

  • @rogatianmtenga7265
    @rogatianmtenga7265 Před 4 měsíci

    Huyu walimuua, hakujiuwa wanavyosema! Maono Yangu tu!

  • @lailafakhihaji
    @lailafakhihaji Před 4 měsíci +6

    Ivi viongozi wa nchi yetu hamuoni aibu watu mliowakabidhi kazi hawatendi haki kwa wananchi au hao trą mnagawana nao pesa trą imo mikononi mwa majambazi waziri mkuu mungu anakuona ivi kweli ulishindwa kumsaidia huyu baba mpaka amejiua mnawaogopa wafanyakazi mliowaajiri wenyewe kwa ajili ya rushwa hatuna imani na serikali yenu

    • @vickylupemba6055
      @vickylupemba6055 Před 4 měsíci +1

      Jmn imeniuma kupita kiasi, miaka yote Hii hakuna solution. Dada pia mkewe waliadhirika. Hakika ni wangapi wanapitia Haya🙏🏾

    • @reginas1832
      @reginas1832 Před 4 měsíci

      Viongozi au majambazi na wauwaji

    • @lailafakhihaji
      @lailafakhihaji Před 4 měsíci

      @@reginas1832 viongozi ndio majambawazi wakubwa wateuliwa wsuwani yaani ni team

  • @siyabamnubimohamed-yr9jx
    @siyabamnubimohamed-yr9jx Před 4 měsíci

    🤔wezi wanalindana

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 4 měsíci

    👊✌️🙏

  • @jediokokoma8670
    @jediokokoma8670 Před 4 měsíci

    Hii CCM mnatawala kwa Damu za Wazalendo wa Nchi hii ya Tanzania

  • @user-ir5mc7vk8b
    @user-ir5mc7vk8b Před 4 měsíci

    Ni Bora kumtumainia Mungu kuliko wanadamu

  • @denisnjaila2182
    @denisnjaila2182 Před 4 měsíci

    Duh

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 Před 4 měsíci +1

    Watu wengi wanaumizwa na hatuoni kama kuna kuumizwa hadi mtu wa karibu yako yamfike. Tunapoambiwa kuna uonezi huwa hatukubali. Tutakuwa hivi hadi lini ?

  • @saudmohammed3390
    @saudmohammed3390 Před 4 měsíci

    Aibu kubwaaaaa Tanzania siyo nchi ya wafanya biashara ila ya wizi ukiwa mwizi utaishi vizuri saaaana

  • @KhaleedHamad-vl7lz
    @KhaleedHamad-vl7lz Před 4 měsíci

    Unajua wzr mkuu nae mwizi mkubwa kwani hawezi kutatua ttz hilo ana machafu yake mengi sana

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u Před 4 měsíci

    KWA HAKIKA HAKUSTAHILI KUJIUA.....ALITAKIWA AMWEKE MWENYEZI MUNGU MTUKUFU MBELE BILA KUJALI HALI YAKE KIUCHUMI.....NA KWA WALIOMDHULUMU WOTE MWENYEZI MUNGU MTUKUFU HATAWAACHA SALAMA....KUANZIA HAPA DUNIANI MPAKA KESHO BAADA YA KIFO!

  • @kaguripenina63
    @kaguripenina63 Před 4 měsíci

    Mm nashangaa wanao shobokea ccm ujue hayajawakuta

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před 4 měsíci

    EE MWENYE ENZI MUNGU 😢😢😢😢RIP MPENDWA WETU

  • @olivernyange2349
    @olivernyange2349 Před 4 měsíci

    ccm n serikali yake ndo tatizo la kwanza katika hii nchi

  • @doiabel3793
    @doiabel3793 Před 4 měsíci

    Kiukweli waziri mkuu alishindwa kutekeleza majukumu yake anafaa kuachia nafasi hiyo

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před 4 měsíci

    Kwanini huwezi sikia mfanyabiashara wa Asia yanawakumba haya , jamaa wanajua maafisa wa ushuru wa TRA wananuka Rushwa kwahiyo hutumia huo mwanya , Ndo utakuta wanao ongoza kuwa mijengo ya Maana Ni wao, Rushwa wanaipata wapi? Kwenye makadirio ya kulipa Kodi, lipa hii au hii , kama huchukui Rushwa vita ya Rushwa huwa Ni nyepesi Saaana tena mno

  • @jaligawesa
    @jaligawesa Před 4 měsíci

    Ila hiyo damu itawalilia milele! Wanasheria wake wako wapi? Waendelee na hiyo kesi kwa ajili ya watoto wake!

  • @user-vw4fn5pj3n
    @user-vw4fn5pj3n Před 4 měsíci

    Bashe bashe bashe
    Pamoja na khatibu wa Ccm dk nchimbi
    Nyie mnaevunja moyo makonda asiendele na ziara zake kwa kisa ety anawazalilisha watumishi wa serikali na wengne hamtak kuhojiwa kiukwel mjitathimini wakuu
    Hii nchi imefikia sehemu mbaya sana huyo ni mmoja wny tatizo kama hilo ila wapo wengi wanaoumia na haya mambo.
    Muunge mkono makonda msipe vijembe vijembe sisawa wakuu

  • @HADSONPAUL
    @HADSONPAUL Před 4 měsíci

    Hiii nchi ndivyo ilivyo tafuta kwa shida ukikipata cha serikali