RIDHIWANI KIKWETE Amwambia MZEE OLE SENDEKA - "WEWE na BABA ni MARAFIKI, Kwanini Mmekuwa WAONGO?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 02. 2023
  • RIDHIWANI KIKWETE Amwambia MZEE OLE SENDEKA - "WEWE na BABA ni MARAFIKI, Kwanini Mmekuwa WAONGO?
    NAIBU waziri wa ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi, Ridhiwani Kikwete ameendelea na ziara yake ya kutatua migogoro ya ardhi wilayani Simanjiro mkoani Arusha.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 697

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před rokem +19

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @pierremkelemi5548
    @pierremkelemi5548 Před rokem +17

    Hongera Muheshimiwa Ridhiwani unamuheshisha baba yetu Mh. Jakaya Mrisho Kikwete 💪

  • @hermanmathias1960
    @hermanmathias1960 Před rokem +30

    Nimemwelewaridhiwani leo mwanzoni niliona labda kapewa upendeleo kwenye uwaziri kumbe jamaa yuko Bright piga kazi Mheshimiwa kazi nzuri unaifanya

  • @Expedito2512
    @Expedito2512 Před 4 měsíci +6

    Ni kweli hata mimi leo ndo nashtuka Ridhiwani ni mtu wa mtindo gani. Hongera Ridhiwan. You deserve it

  • @amosafrica2350
    @amosafrica2350 Před rokem +21

    Riziwani ni kama mzee wake kamtuma kijana wangu kafanye kazi ufute rekodi mbaya kwenye familia yetu🙌🙌🙌

  • @enedictmchau1053
    @enedictmchau1053 Před rokem +5

    Mheshimiwa Ridhiwani wewe jembe Mungu aendelee kukubariki Kwa kazi nzuri.

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 Před rokem +15

    Nilimwelewaga sana mhshmw Kikwete, leo naanza kumwelewa mhshmw Ridhiwani, asante sana kwa msimamo wako👏👏 this is it!

  • @jeremiahkaliwa741
    @jeremiahkaliwa741 Před rokem +38

    Huyu Mzee anajifanya mjuaji sana mungu atamnyosha tu

  • @mkambamaulid447
    @mkambamaulid447 Před rokem +29

    Mh.Ridhiwani hapo kuna jambo limejificha safi Sanaa🙏🏼
    Msimamie huyo Dada🤗

    • @waziriuledi6322
      @waziriuledi6322 Před rokem +3

      Mbunge anagombania Ardhi aibu hiii

    • @dandassimon3116
      @dandassimon3116 Před rokem +4

      Unajua kuna ujanja hpo waziri fanya kazi yko nakusikiliza kuna kiongozi mjanja sna hpo

    • @dandassimon3116
      @dandassimon3116 Před rokem +3

      NI AIBU SANA KIONGOZI KUGOMBEA ARDHI.

    • @allynassoro8448
      @allynassoro8448 Před rokem +2

      Ridhwa unatatua mgogoro Arusha.wakati wapiga kura.wako wa kitongoji Cha costo kijiji.cha Sadan.wananyanyaswa na campuni ya.majambazi ya sea.salt wananchi wanazuwa.huduma muhimu ,ikiwemo.mji chakula nyumba za ibada zinavunjwa watu wanabomolewa nyumba zao kinyume Cha Sheria Ridhwani umeshindwa kuwatetea Muhjndi anajitamba anasema Serikali kaitia.mfukoni,

    • @EstherClement-wb4jo
      @EstherClement-wb4jo Před měsícem

      Hongera Sana liziwan

  • @herrykilele4622
    @herrykilele4622 Před rokem +2

    Mimi nilitamani MAMA angekuacha kwenye hiyo Nafasi ya Naibu Waziri Wa Ardhi well done Brother.

  • @silviamelkizedek1516
    @silviamelkizedek1516 Před rokem +13

    Hyu wazir ana hekima mno! Hongera Rais Samia

  • @noelnoel4916
    @noelnoel4916 Před rokem +13

    Masha Allah kazi nzuri Ridhiwani umeifanya Allah akubariki zaidi na uongozi mwema wenye wisdom and good judgment

  • @mathewnyahuru9009
    @mathewnyahuru9009 Před rokem +21

    Aisee leo nimejua riziwan anafaa kuwa kiongozi kwa mujibu alichokifanya mungu akusimamie amina

    • @valenakomba7686
      @valenakomba7686 Před 4 měsíci

      WAZIRI UCHWARA. SIKIA HATA UONGEAJI WAKE. WALA HAJIELEWI. HATA UONGEAJI WAKE HAUNA BUSARA. UHUNI MTUPUU.

    • @muhsiniissa8151
      @muhsiniissa8151 Před 3 měsíci

      Mmmh,we ulitaka aongee vipi!?

  • @noelnoel4916
    @noelnoel4916 Před rokem +2

    Good job Mh Ridwiwani K ukijua muongo Kati Yao, usimsikilize tena. Kazi nzuri unafanya haki itajulikana

  • @ericbalige1781
    @ericbalige1781 Před rokem +4

    Kwenye hili Mh.Ridhiwan Kikwete umesema vyema sana. Migoro mingi ya ardhi ni migumu sana,ila watu wakiacha kuwa waongo na busara za wahusika wenyewe zikitumika kama ulivyosema inasadia kuondoa kesi zisizo za msingi na zinazopoteza muda na rasilimali zingine.

  • @lucasturuka8385
    @lucasturuka8385 Před rokem +10

    Hii ndio maana ya uongozi! Hongera sana Mh N. Waziri 👏👏

  • @alfredcharles8029
    @alfredcharles8029 Před rokem +14

    Safi sana Ridhiwan kwa umakini wako

  • @hazibonplatformafrica9617

    Sendeka ujuaji mwingi; hongera sana mhe.Ridhiwani hakika wewe ni kiongozi busara yako na hekima yako imesaidia pakubwa hakikisha haki inatendeka.

  • @oscarkasalile3966
    @oscarkasalile3966 Před rokem +18

    Safi waziri

  • @sapikiwanga6154
    @sapikiwanga6154 Před rokem +7

    Mh.ridhwani msaidie Huyo dada na ndugu zake,usikubali Hilo swala walipeleke kwenye vikao vya madiwa au vikao vyao vya kimila,umasaini mwanamke Hana dhamani kabisa.Hao jamaa ni wakorofi mno mno Kisha wanafki sana sana.plse WAZIRI.

  • @muhundaramadhani5057
    @muhundaramadhani5057 Před rokem +20

    Kwa namna nilivyooangalia mwanzo mwisho Huyo Mzee Ana shida na siyo Mkweli hata kumwangalia tu akiongeongea unajua hii janjajanja porojo za kisiasa .
    Mh Naibu wa Waziri Big up Broo uko vizuri kwenye kutenda haki. Keep it up

    • @albertmbise2670
      @albertmbise2670 Před rokem

      Ni mshemzi na hao wote wanamsupport ni jamaaa zake hawataki kabisa watu wa kuja kumiliki ardhi

  • @fridaernestmkedege900
    @fridaernestmkedege900 Před rokem +8

    Haya mambo yanaumiza sana...mtoto unashindwa kuacha mali ya baba yako inachezewa...na unahisi km marehemu anazalaulika...mkijitahidi mpiganie haki ya baba yenu ambaye ni marehemu mnakutana na usaliti uliovuka mipaka! Mungu walaani wote wanaodhulumu mali za marehemu!

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před rokem +58

    KUMBE RIDHIWANI NI ZAIDI YA KIONGOZI
    ALLAH AKULINDE NA MAHASIDI

  • @kaundavyoseena6514
    @kaundavyoseena6514 Před rokem +1

    Ridhiwani umenipa picha tofauti. Wewe ni jasiri, kiongozi imara. Sasa kama watakupa Uraia mbeleni sina kipingamizi. Mungu akulinde mno.

  • @oscarmario466
    @oscarmario466 Před rokem +18

    Mh waziri Sasa hiyo ndio kazi tunayohitaji kuiona Mungu azidi kukuongeza hekima

  • @br.samwelmparange4986
    @br.samwelmparange4986 Před rokem +13

    Hapo sasa Ridhiwani nakuelewa. Jitahidi kuwa hivyo ulivyo.

  • @user-jx8ix3yv4k
    @user-jx8ix3yv4k Před 3 měsíci +1

    Tatzo hapa ni sendeka,big up sana Ridhiwani busara ya hali ya juu

  • @salumujabiri2061
    @salumujabiri2061 Před rokem +3

    hongela sana kaka LIDHIWANI kwa kazi nzuli 👏👏👏

  • @linnamlay3643
    @linnamlay3643 Před rokem +14

    Nyie huyu kaka namuelewaga sana . Piga kazi jembe letu Mungu akulinde . Simamia haki na Mungu akubariki.

  • @monicaashery1
    @monicaashery1 Před rokem +1

    Ridhiwani mi Mwanasheria, mawasli yake yote kutoa maoni ni ya mtu aliye si tu soma sheria bali aliyefanya kazi ya sheria. Kwa hiyo wana Kijiji hawakuwa tu wanaongea na Waziri wa Ardhi bali pia Mwanasheria. Natumaini mgogoro huo wa ardhi uliisha vizuri. Baraka za Mungu kwa watoto. Nasi tuna shida hiyo na watu wa zamani wanaojua yote hawataki kuwa mashahidi.

  • @lilianmbilinyi5019
    @lilianmbilinyi5019 Před rokem +2

    Mungu akubariki sana kwa kazi nzuri

  • @saadomari7150
    @saadomari7150 Před rokem +5

    Sendeka seems like he can't get enough.

    • @albertmbise2670
      @albertmbise2670 Před rokem +1

      Uyo sendeka na wamasai wenzie hawataki watu kutoka maeneno mengine mkutoka pande za Tanzania kumiliki ardhi

  • @christinamselle4490
    @christinamselle4490 Před 3 měsíci

    Mheshimiwa hongera sana uko vizuri. Njoo na huku Kahama tunasumbuliwa sana na watu wa ardhi, tunanyanyaswa sana. Makonda alipokuja tulisaidika kidogo ila Bado shida ni kubwa Mh. Njoo utusaidie

  • @deborahcharles79
    @deborahcharles79 Před rokem +3

    Hongera wazir ridhiwani safi sana unapenda haki

  • @bayonawe-el2os
    @bayonawe-el2os Před rokem

    Mheshimiwa Naibu Waziri Ridhiwani, you have done a great job, hongera sana sana....

  • @mcgomy2153
    @mcgomy2153 Před rokem +4

    Hekima nyingi sana Brother Ridhiwan 🤝🇹🇿

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 Před rokem +15

    Nimekupenda sana leo😭😭huyo mzee atageuk humo kaburini😭😭 imenigusa sana, mimi pia nimepitia ktk kudhulumiwa ardhi ya familia yangu baada ya mume wangu kufariki, na documents zote tunazo...tumemwachia Mungu...
    Mngemalizana tuu ki rafiki jamani..hizi ardhi tunaziacha.

  • @mr.t6411
    @mr.t6411 Před rokem +38

    Mimi ni mkazi wa Arusha nilifanya kazi bagamoyo kwa miaka zaidi ya 8 toka 1999 hadi 2008 namjua huyu mtoto ana roho nzuri sana, na moyo wake mwema, jasiri kama baba yake. Baba yake alishindwa tu kumsemeya huyu mtoto ili asijeambiwa anamsifia mtoto wake kwa sababu zake. Lakini huyu mtoto Ridhiwani ana zaidi ya hekima. Wanyonge kaeni mkao kula kwa huyu kijana Mh. Ridhiwani.

  • @israelgershom4198
    @israelgershom4198 Před rokem +6

    Ridhiwani kikwete umeivaaaaaaaaaaaaa

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 Před rokem +10

    Unafanyia kazo site.Asante kwa kazi nziri Ridhiwan

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 Před 4 měsíci +1

    My brother Ridhiwani kumbe wewe ni Comrade you are rich but very intelligent

  • @Malemajrtv
    @Malemajrtv Před rokem +1

    msiwadhurumu wanyonge haki yao mzee mtoto wa kikwete Mungu akutunze nimekuelewa Vizuri sana

  • @peacemwesiga
    @peacemwesiga Před 3 měsíci

    Ridhiwani Mungu akulinde nisaidie na mimi pale vigwaza kuna mtu amekuta nimeshanunua eneo miaka 3 nyuma akaja akang'oa nguzo nakujenga banda la ngurue nikamshitaki ktk baraza kesi ilikaa miaka 2 maana mke wake.anafanya kazi ktk baraza hilo.amewahi kunitishia kwa panga hadi kutuma mtoto wake kunfanyia fuji matusi n.k.ishahidi wote upon na aligeuza kesi yangu na kunipeleka tena mahakamani naomba msaada namesake sana

  • @liberiaamo5953
    @liberiaamo5953 Před rokem +5

    Good job, ridhiwan uko na mungu. Akulinde daima ukweli utabaki kuwa ukweli.

  • @TINO2DADY
    @TINO2DADY Před rokem +2

    It just hit me right now kwamba I've been looking at Nancy. God be with you my sister. I know your not a lier

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855 Před rokem +2

    Hongera sana Waziri nimekupenda sana

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy1523 Před 4 měsíci +1

    Ridhiwan upo vizuri hongera kwa hekima zako hao dharau ni kwa vile ni mtoto wa kike❤❤

  • @johnmtumishi8554
    @johnmtumishi8554 Před rokem +6

    Hongera waziri

  • @ishengomanelson
    @ishengomanelson Před rokem +1

    Maturity! Nimekukubali

  • @petermwawa5769
    @petermwawa5769 Před rokem +1

    hongera

  • @elianicholaus7199
    @elianicholaus7199 Před rokem +2

    Hapo kuna kazi kubwa sana, kumnyang’anya masai eneo la malisho ni Sawa na kutaka kumtoa uhai, Mbunge anatetea eneo la wananchi wake.Busara itumike kutatua mgogoro huo
    Sendeka ni mtu makini
    Ridhiwani pia ni waziri makini
    Haki itolewe sawa.
    Japo wengi wape

  • @leonardrichard3032
    @leonardrichard3032 Před rokem

    Mkuu ridhiwani kwa hapa nimekukubali unafanya kazi kwakujiamini hongera sana

  • @user-yh3gk4fg1b
    @user-yh3gk4fg1b Před 4 měsíci

    Your smart like your dady i wish mungu akupe uwezo wanupeo wa kuona mbari km baba yako

  • @jumbekipeme1441
    @jumbekipeme1441 Před rokem +4

    Kweli mkuu mungu akurinde

  • @joasitz9559
    @joasitz9559 Před rokem

    Mh Ridhiwani your very smart. I wish tungeonana utusaidie shida ya mgogoro wa shamba pia.

  • @minaelnathanael1846
    @minaelnathanael1846 Před rokem

    Hongera sana muheshimiwa Naibu waziri wa aridhi. Safi sana

  • @christopherkachenjela-ex4jr

    Nimekuelewa vizuri sana mkuu maneno ya hekima sana hayo

  • @danstanpanga8490
    @danstanpanga8490 Před rokem +1

    Hongera sana Comrade Mwamba Rizzy

  • @davidbenezer8701
    @davidbenezer8701 Před rokem

    Ndugu comrade Ridhiwani kazi nzur ingawaje kwa sasa umebadlishwa wizara

  • @julygabrieltv9093
    @julygabrieltv9093 Před rokem

    Uko vizuri waziri good speech

  • @waltersesuru43
    @waltersesuru43 Před rokem +3

    Riziwanu safi sana chapa kazi

  • @maigajohn5828
    @maigajohn5828 Před rokem +1

    Naibu waziri hekima ipo nyingi sana hongera sana pia dada ana hekima sana

  • @hamishassan6784
    @hamishassan6784 Před rokem

    Mh mbona kama nimemuelewa Ridhwani. Anafaa sana Shukran kaka

  • @fayeezabdallah2217
    @fayeezabdallah2217 Před rokem

    MashaAllah Allah akup busara zaid

  • @thomaskwibonelwa9240
    @thomaskwibonelwa9240 Před rokem +10

    Naiona hekima kubwa kwa Ridhiwani.

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi6584 Před rokem +9

    Msema ukweli mpenzi
    W Mungu.....
    Mwenyeezi Mungu.ndiye
    Mwamua haki....

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Před rokem +7

    Sio bule kuna kitu hapa tena kikubwa tu ila sili nzima anaijua Mungu mwenyewe Mungu tenda haki juu ya hili🙏

    • @elisifajoshua6155
      @elisifajoshua6155 Před rokem +1

      umeonaeeeee!

    • @rogersiddy
      @rogersiddy Před rokem +1

      @@elisifajoshua6155 Kbs ndugu yangu hawa wana siasa sio wakuwaaamini kbs

  • @tinamasunga.
    @tinamasunga. Před rokem +2

    Big Up Boss Ridhiwani😍😍😍😍

  • @alfalupiambili1431
    @alfalupiambili1431 Před rokem +1

    Nimefurahi kuona both Royal sons katika majukumu muhimu

  • @HusseinAyoubKijazi
    @HusseinAyoubKijazi Před 2 měsíci

    Goood jobu

  • @pendomarco8928
    @pendomarco8928 Před rokem

    Hongera viongozi wetu siyo kukaa ofisini kuzunguka na vitu na wakati wananchi wanataabika

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 Před rokem +4

    Daah Ridhiwani leo nimekuelewa mno.Mungu akuongezee hekima hizo

  • @eaglecrown6470
    @eaglecrown6470 Před rokem +4

    Leader can make change. Safi Sana naibu wazili komaaa kutumika wanainchi Issues sio majina ya ukoo issues ni unafanya nn unapokuwa madarakani. 🙏🏿🇹🇿🤔

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 Před 3 měsíci +1

    Sikuwahi kufikiri hata kidogo kuwa Ridhiwan yupo hivi. Nilidhani ni kijana fulani wa michongo michongo hivi, lakini kumbe sivyo.
    Kwa hili, amejitahidi sana.

  • @IddyDaruweshi-jv1fu
    @IddyDaruweshi-jv1fu Před 2 měsíci

    CONGRATULATIONS NAIBU WAZIRI RAFIKI YANGU UMEKUWA VIZURI SANA NEXT TO BE WAZIRI KAMILI . FANYA KAZI USIANGALIE SULA HUYU NANI FATA HAKI SEMA UKWELI. NAKUPA MAUWA YAKO BRO

  • @kmotivation1130
    @kmotivation1130 Před rokem +13

    Waziri samahani sana kwa hii kauli , wamasai ni wanafki sana sanaaa nimeishi nao, na vigeu geu sana

  • @nancysiama8428
    @nancysiama8428 Před rokem +4

    Born with it. 👏🏽👏🏽👏🏽😇

  • @JlmwinukaOnlineTv
    @JlmwinukaOnlineTv Před 4 měsíci +1

    Nice nice

  • @EserianEnglishMediumSchool
    @EserianEnglishMediumSchool Před 4 měsíci

    ULIPOPIGA HATUA KWENDA KWENYE MIPAKA HAPO MH ULIONESHA DHAMIRI YA DHATI KUTATUA MGOGORO, HUO UMBALI SIO MCHEZO....NA NI PORI KAMA UNA DHAMIRA YA KWELI USINGEJICHOSHA, BIG UP SANA. HAKI IDUMU

  • @mbundabeatz
    @mbundabeatz Před 2 měsíci

    Good job

  • @atupeleyokonia9142
    @atupeleyokonia9142 Před 4 měsíci

    big up ridhiwan brother nimekuelewa unahekima.sana kaka

  • @heraldloshi1864
    @heraldloshi1864 Před rokem +3

    Ridhwani uko sawa kwenye usimamizi wa uma. I am more than impressed. Endelea kuusimamia ukweli.

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 Před rokem +10

    Ridhiwani unakili kubwa xana,mwenyezi mungu akutangulie huyo mzee olesendeka hopeless kabisa amekalia kukandamiza watu tu

  • @hassanmahundi5264
    @hassanmahundi5264 Před rokem

    Hongera sana Riz,upo sahihi

  • @andrew29468
    @andrew29468 Před rokem +1

    RIZ anaongea kama MZEE JK daa damu kali aiseeee, nice nice

  • @ramadhanihalifa131
    @ramadhanihalifa131 Před rokem +2

    My roll model

  • @langenimrindoko9769
    @langenimrindoko9769 Před rokem

    Nimemuelewa sna Mh.Ridhiwani,namuona JK

  • @pascaljohn-7801
    @pascaljohn-7801 Před rokem +1

    Safi sana Mhes.. Riz1

  • @AmosiLainas
    @AmosiLainas Před měsícem

    Smart sana

  • @jumaharuna9899
    @jumaharuna9899 Před rokem

    Hongera, mali safi

  • @mtangag774
    @mtangag774 Před rokem

    Nimesikiliza mpaka mwisho Kwa mara ya kwanza nimemuelewa akiwa hivi safiiiiiii

  • @mandelakizango8769
    @mandelakizango8769 Před rokem

    Hongera sana Mh Wazir

  • @scolabajuta6626
    @scolabajuta6626 Před rokem

    Nimependa sana ulivyo wapa ukweli riziwani mungu akutiye nguvu wasiwarushe hao mabinti

  • @abdulshija3715
    @abdulshija3715 Před 2 měsíci

    Hongera ridhiwani umemuelewa vzuri ole sendeka

  • @yvonneivo6617
    @yvonneivo6617 Před 4 měsíci

    Congrats Ridhiwani

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama4407 Před rokem +8

    Ubarikiwe Mheshimiwe Kikwete hapo Safi Sana

  • @yusuphgadau
    @yusuphgadau Před rokem +1

    Safi Sana ridhiwan

  • @ElishadaiSam-rq3hl
    @ElishadaiSam-rq3hl Před 2 měsíci

    Mhe. Wape mabinti haki yao mimi naifahamu hiyo nyumba ya Mzee Yese. Uko vizuri mhe Waziri. Tuna ushahidi wa kutosha. Pia wakumbuke waliokufa wanaona.

  • @pendomarco8928
    @pendomarco8928 Před rokem +1

    Mungu wetu asante kwa viongozi Wa hivi lakin Haya yote alianzisha Mzee wetu najua watanzania wengi mnamfaham

  • @akimmbwego797
    @akimmbwego797 Před rokem +1

    Aibu sanaaa