Paul Makonda alivyomalizana na mgogoro wa ardhi wa Mzee Sumaye na Wananchi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 01. 2016
  • Jan 29 2016 Kikao kilichoandaliwa na mkuu wa wilaya ya Kinondoni Paul Makonda kusuluisha mgogoro wa ardhi Mabwepande kati ya Wananchi na mwenye shamba waziri mkuu mstaafu Frederick Sumaye
  • Zábava

Komentáře • 160

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj Před 2 měsíci +1

    Makonda hapa alikuwa kijana sana❤piga kazi sasa mkuu wa mkoa Arusha sasa 2024

  • @christophermlaponi534
    @christophermlaponi534 Před 4 lety +7

    Huyu mama hana adabu!!
    Huyo ni waziri mkuu mstaafu, mpeni heshima yake hata kama ameamia upinzani !!

  • @amanijosiah5205
    @amanijosiah5205 Před 6 lety +5

    Huyo mama mwehu tu mbona wapo wenye maeneo makubwa zaidi ya sumaye hasemi aache siasa zake

  • @Blessedhopefamily
    @Blessedhopefamily Před 7 lety +4

    unajua kuna baadhi ya watu wanazungumza tu ilimradi waonekane mtandaoni. kila kitu kina utaratibu wake, mara nyingi nasema mwanadamu ni mwema wakati wa mema tu, ni kiumbe hatari sana kwani huweza babaikia jambo ambalo hata halimhusu na wala halijui, sasa ona haya waliohoji wengine, ndg yangu ali ali, yaani eti huyo sumaye mwizi amezoea kuiba. yaani unamtusi waziri wako mstaafu kisa Dc ambaye ana malengo huenda sawasawa na mstaafu. watanzania tuache kushabikia kila jambo, sasa mnaona hata DC mwenyewe amejibu kisaikolojia, acheni usiasa watz hata JPM amesema hapa kazi tu, acheni haya, mnaudhi.safi sana Makonda

  • @zakayomepuyinywe1400
    @zakayomepuyinywe1400 Před 8 lety +8

    conglaturations Millard Ayo kwa kutuhabarisha!keep it up!

  • @anthonykusita7102
    @anthonykusita7102 Před 7 lety +4

    heshima yako mh. makondo. piga kazi tunakubari kazi yako.

  • @f.a6043
    @f.a6043 Před 4 lety

    Makonda safi hapo Mh.RC umeongea vizuri Mkuu Ubarikiwe sana

  • @nyanda427
    @nyanda427 Před 8 lety +8

    nimekuwa nikimfuatilia sana DC Makonda juu ya utendaji wake; nadhani hekima anayo huyu ni kiongozi safi anaweza kazi. Pia nadhani raia hawajamtendea haki Mzee Sumaye

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Před 2 lety +5

    Viongozi wastaafu walizakilishwa Sana awamu ya 5 ilaaniwe

  • @santusmiyonjo9676
    @santusmiyonjo9676 Před 7 lety

    kazi nzuri kwa maendeleo ya nchi yetu

  • @charleselijah-vq3hq
    @charleselijah-vq3hq Před 5 měsíci

    Mwenye kipaji cha uongozi siku zote Mungu anamjalia Poul Makonda wewe ni Kiongozi mwenye Busara kubwa sana Ndugu yangu. Ubarikiwe siku zote.

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Před 5 měsíci

      Tatizo anakashfa nyingi ambazo zinamfanya asikubaliwe na wananchi wengi

  • @johnnsabimana245
    @johnnsabimana245 Před 2 lety

    Don’t mess with these old folks😂😂 they’ve got BARZ( tukiruhusu uvamizi wanaovamia watavaamiwa😂😂😂😂)

  • @geraldmmass7627
    @geraldmmass7627 Před 7 lety +3

    Herman mkalilo ujumbe wako umetumia maneno ya busara sana wakujifunza atajifunza

  • @kelvinngoda7114
    @kelvinngoda7114 Před 6 lety +1

    Pole sana muheshimiwa wakuachie haki yako

  • @stevenmamba2464
    @stevenmamba2464 Před 8 lety

    Safi sana

  • @labandauson515
    @labandauson515 Před 7 lety +1

    Nimeipenda

  • @mercymichael799
    @mercymichael799 Před 8 lety +5

    Sijaona point ya uyo mama zaidi ya kutumika kisiasa chafu

  • @PetroKapama
    @PetroKapama Před 3 měsíci

    Hapana , tawala za nyumba mlifanya mambo na kutatua shida za wanachi Kwa matakwa yenu,kuweni wa haki mmefanya madudu mengi sana

  • @donpablo2651
    @donpablo2651 Před 8 lety +5

    safi sana makonda una hekima sana respect

  • @khadijamalifedha5862
    @khadijamalifedha5862 Před 8 lety

    asante kwa habari kaka millard

  • @kulwajames855
    @kulwajames855 Před 7 lety +6

    jimama zima akil amna

  • @radhiambwana2026
    @radhiambwana2026 Před 4 lety +1

    Makonda anatosha kwakweli ! Tujifunze kuongoza Nchi kwakufuata sheria.

  • @vizdag1
    @vizdag1 Před 8 lety +6

    Good work, Millard Ayo

  • @carendaniel6117
    @carendaniel6117 Před 7 lety +2

    kwahiyo mtu hatakiwi kuchimba kisima chake?kisa yeye ni waziri? ni uwamuzi wake kutoa au kutokutoa kwani ni haki yake,kuhusu shule hospital atajengaje yeye na pesa zake?iyo ni kazi ya serikali.

  • @richardcleophace9932
    @richardcleophace9932 Před 8 lety

    Mr Paul Christian Maconda hongera kk kwa kazi nzur

    • @aliali189
      @aliali189 Před 8 lety +1

      snaye awachie wananch eneo we miaka ningap hujajenga chuo mbona anababaika jaman mwez mkubwa huyo eneo likikaa miaka zaid ya mitano bla maendereo wapewe watu wajenge

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před měsícem

    Kubakwa watu kwenye eneo sio tiketi ya kuvamia eneo ,kama kweli mlikuwa na Nia njema simngechukua mapanga mkafyeka ili kutoa vichaka😂😂😂roho mbaya tu,nyinyi hao hao vijijini kwenu mna MAENEO makubwa lkn Serikali ikitaka hata barabara tu mnagoma na kutaka fidia

  • @ramadhanimagomba1586
    @ramadhanimagomba1586 Před 7 lety +1

    mmmh!

  • @mwakasegeshukuru3720
    @mwakasegeshukuru3720 Před 6 lety

    upo vzr sn makonda

  • @alven5202
    @alven5202 Před 5 lety +1

    Hawa ndo akina mama huruma,suala LA maji na aridhi limeingiliaje,afu mbona mashamba ya mkapa hamyasemi,mgodi wa kiwira umeibiwa na mzee hakuna chochote walichofanyiwa hao viongozi

  • @loatalothi8784
    @loatalothi8784 Před 8 lety +2

    Hekima ni ishara nzuri ya uongozi,maneno ya uchochezi haukupelekei kuwa kiongozi mtetezi.

  • @blessbenson7366
    @blessbenson7366 Před 8 lety +2

    hapa kazi tu

  • @juliusalistidnguvumali5161

    mmmm

  • @rahmashaban8693
    @rahmashaban8693 Před 7 lety +3

    hii ndo athari ya mwanamke kuwa kiongozi. hahahahaha et hapa kazi tuu. jamani kuchonganisha huko tena mama yetu sio vizuri.

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 Před 5 měsíci +1

    mpeni haki yake sumay acheni ujinga nyiee sindio ccm??? mmewawezesha viongozi wa ccm??

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Před 2 lety

    Mwendazake alikua hajui uongozi na kuwazalilisha wastaafu

  • @kharidyblauda7046
    @kharidyblauda7046 Před 7 lety +2

    heee chezea wa mama wew!!!?

  • @christinashirima2238
    @christinashirima2238 Před 2 lety

    Huyo Mama sijui DC sijui

  • @idrisajuma9314
    @idrisajuma9314 Před rokem

    Sumayai anakili sana anasema hvi wakina mama wanao bakwa jawabu nikuvamia eneo

  • @severinifulgensi2686
    @severinifulgensi2686 Před 5 lety

    Mh mstafu usiwe na wasi mbona wengi tumepata maeneo kibao ,kila mtu anaangalia eneo kulingana na uwezo wake na sii kuvamia maeneo ya wengine,wengi tumeingia dar na tumekuta watu wanamaeneo makubwa na hatujavamia tumenunu kwa haohao wenye maeneo makubwa,hao wanaovamia shamba ndohaohao wanamafunzo mabaya hatawatotowao wanapiga ngetA mtaani

  • @maxwelllubambe3817
    @maxwelllubambe3817 Před 6 lety

    dc kaongea point. Kwanza huyo mama alieongea aache chuki wangeenda kumwambia hayo matatizo kabla kwa upendo wangepata suluhu Zuri Tu.

  • @bonigrey9623
    @bonigrey9623 Před 5 lety +2

    Makonda hapo uko sahihi sana bila kuegemea upande wowote

  • @nyandamisana3630
    @nyandamisana3630 Před 10 měsíci

    Najikumbusha Enzi za makonda

  • @oyay2821
    @oyay2821 Před 8 lety +4

    huyu makonda atakuja kuwa raisi wa Tz

  • @hamiscosmas4667
    @hamiscosmas4667 Před 7 lety +1

    hamna

  • @rahhiwilliam8147
    @rahhiwilliam8147 Před 8 lety +1

    mheshimiwa jambo zuri sana hilo

  • @samwelnaal7952
    @samwelnaal7952 Před 8 lety +3

    unjust way can't be used to get the right

  • @hamiscosmas4667
    @hamiscosmas4667 Před 7 lety

    washamba sana hao akina mama

  • @aizackdidas9792
    @aizackdidas9792 Před 7 lety

    makonda safi umenena

  • @t33pelos77
    @t33pelos77 Před 7 lety +3

    akuna zahanati akuna shule ya msingi we unataka kujenga chuo mbona unashangaza watu ata icho kisima inawezekana kilikua kinahatalisha maisha ya watt ndio maana wakatia mawe

  • @hamadali5062
    @hamadali5062 Před 5 lety

    Mimi nawapenda Sana hawa viongozi watanzania waliopita na walikuwapo katika ngazi. Hawana ubaguzi wa dini hawana ubaguzi wa rangi wala hawana ubaguzi wa kabila. Hii ndio siasa inabidi watanzania wairingie

  • @edinaluoga7019
    @edinaluoga7019 Před 5 lety

    Aheshimiwe kuwa chama pizan cyo tatizo huy niwazir mbona hatuna heshima hiv

  • @stanleyfocas8250
    @stanleyfocas8250 Před 5 lety +1

    Uyu mama simwelewi

  • @augustinoambrose9969
    @augustinoambrose9969 Před 7 lety

    nomaaaa

  • @victorkisilu6383
    @victorkisilu6383 Před 7 lety +2

    Wamama tafuteni mali yenu, acheni kuvamia mali ya watu.

  • @rahmashaban8693
    @rahmashaban8693 Před 7 lety +1

    makonda kila siku mimi nasema ukijaaliwa uzima baada ya magufuli ugombee urais.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 5 měsíci

    Kwanini umiliki Ardhi yote hiyo ekari zote wananchi wateseke kisa wewe ULIKUWA WAZIRI MKUU MAKURUNGE HIVYO HIVYO ACHIA ARDHI WANYONGE WACHUKUE HIYO ARDHI WAJENGE FISADI MKUBWA WEWE

  • @victorishengoma4599
    @victorishengoma4599 Před 2 lety

    Clouds nao walijaribu kumsafisha sabaya..

  • @waziripazi3401
    @waziripazi3401 Před 8 lety +3

    uyo mama anaongea vitu ambavyo akiambiwa atoe ushaidi atatoa mnyonge mnyongeni haki yake mpeni shamba la mweshomiwa kwa ishaidi na nyaraka anazo pia

  • @labandauson515
    @labandauson515 Před 7 lety +1

    Yuko xawa

  • @lamecksilayo5689
    @lamecksilayo5689 Před 2 lety

    Mama tahira kwelll umenunua eneo sumaye akupe arithi?? Tz nchiyangu nakupenda Ila huyo mama ni mpuuz tuuuu

  • @jamalmmoja1277
    @jamalmmoja1277 Před 5 lety

    Uitwe kwa sababu ipi kuwa na imani mzee wagaiye kidogo wenzio baba

  • @pamelacharles2352
    @pamelacharles2352 Před 7 lety +2

    mshenz huyu sumaye kumbe mnajijua mliokuwa na maeneo makubwa acheni kujimilikisha maeneo uendi nayo mbinguni unaacha duniani muongo umenunuaicho kiwanja si umejimilikisha mpo wengi mtakufa mtaacha duniani

  • @ibrahimally7506
    @ibrahimally7506 Před 8 lety +2

    this is an insult to former PM, wananchi hawana hoja ni wahuni na majangiri kama wahuni wengine, yaani mimi hata nisingejisumbua kuwasikiliza, ningeenda zangu mahakamani....upuuzi huu hauvumiliki'

  • @bintirashidantybaby8146
    @bintirashidantybaby8146 Před 7 lety +3

    kisima kinaweza jazwa mawe sababu ya hasra ya wananchi kama haki haitendeki Alaf unajenga chuo kikuu wakat primary hakuna hehehehe mtanyoka tu

  • @DerickDanieli-cg4uf
    @DerickDanieli-cg4uf Před 4 měsíci

    Sawa

  • @zuwenasalim38
    @zuwenasalim38 Před 7 lety +1

    ungekuwa unawapa maji wasingejaza mawe mzee

  • @sabrinaislam4200
    @sabrinaislam4200 Před 4 lety

    Mnagombea ardhi KM mtaishi milele duniani

  • @kassimmuktarymurji4242
    @kassimmuktarymurji4242 Před 5 měsíci

    Acheni haki ya mtuu itabaki ya mtuu,mali ya mheshimiwa ubaki kuwa yale

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 Před 5 lety +1

    Ukiona umefika level ya juu ya madaraka then unakuja nyanyashwa na vinyangalika ujuwe wewe ni Tatizo

  • @gtmalanga6953
    @gtmalanga6953 Před 2 lety

    Huyu Diwani mpuuz sana,anazungumza vitu kishabiki tena kwa dharau eti hapa kazi tu,malengo yake amdharilishe Mh sumaye,yaan ni mpuuz sana,kumilik aridhi siyo dhambi,wanabakwa so suluhisho ni hilo?

  • @mlimilachannel3047
    @mlimilachannel3047 Před 8 lety

    HAPA KAZI TU HAIWEZI KUWA APPLIED HAPO, UTAKUWA NI USHETANI,MWACHIENI ARDHI YAKE, MNAPIGA KELELE, WATU KAWAIDA YENU KUKODOLEA MACHO MALI ZA WATU, KISA HAMNA CHENU, TUMIENI KIDOGO MLICHONACHO MUNGU ATAWABARIKIA, ACHENI UVIVU WA KUFIKIRI

  • @mybrain8940
    @mybrain8940 Před 2 lety

    Kudadeki kwahiyo tufyeke mapori yote watu wasibakwe😂😂😂

  • @leilasaid3623
    @leilasaid3623 Před rokem

    Viogozi nyie mtakuja kuulizwa siku ya qiyama

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Před 2 lety

    Viongozi wastaafu walizalilishwa San na awamu ya 5 wametumwa na mwendaze

  • @wagadugu7224
    @wagadugu7224 Před 2 lety

    Unajua baazi ya vichwa vya magufuli vipo vzuri

  • @ommyregga5829
    @ommyregga5829 Před rokem

    Sumaye fisadiiiiii katuriaaaaaa

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Před 26 dny

      Thibitisha hoja yako.. acha hisia na mihemuko

  • @MohamedHassan-zc5bl
    @MohamedHassan-zc5bl Před 7 lety +1

    kila mtu ana nafasi kwa wakati wake makonda upo juu

    • @dezruh
      @dezruh Před 6 lety

      Mhe Makonda umesema vyema , hongera sana kwa hekima!

  • @emmanueldeus1542
    @emmanueldeus1542 Před 6 lety

    Napita tu

  • @abubakaryvan7093
    @abubakaryvan7093 Před 7 lety

    yaan hyo mama anaongea pumb xnaa

  • @hamismindika7513
    @hamismindika7513 Před 7 lety +3

    Hilo tatizo la kisiasa nac vingine

  • @harithwhite589
    @harithwhite589 Před 7 lety

    hivi wakina mama wakibakwa jawabu ni kuvamia eneo?

  • @marreymaster9308
    @marreymaster9308 Před 5 lety

    Hyo mama ypo sahihi kabsa hyo mr 0 kipindi akiwa waziri mkuu alkuwa fala

    • @abdallahelbali4200
      @abdallahelbali4200 Před 5 lety

      Marrey Master kila mvamizi naye huvamiwa. Kama Sumaye anamiliki ardhi kihalali kuna shida gani? Alivyokua waziri mkuu alifanya kazi nzuri.

  • @severinifulgensi2686
    @severinifulgensi2686 Před 5 lety

    Fanyeni kazi mnunue yakwenu acheni kupenda vyabure nyie baadhi wananchi wa magwepande waulizen wenzenu waliotangulia maeneo hayo walivamia?kama ni mwombeni apende mwenyi na sii kwalazima,hapo kijijin wote mnafanyiana kama mnavyomfanyia msafu?shetan gani kawadanganya kuwa serekali ya Mh JPm inashiriki ktk unyang'anyi?

  • @nsodyaphilimon9153
    @nsodyaphilimon9153 Před 6 lety

    We waachie au utayapeleka wapi

  • @omegaamir908
    @omegaamir908 Před 6 lety +2

    Duh tatizo ujinga unatuharibu wa Tanzania... Asa huyo mama kapewa uongozi na nani kiwanja cha mtu anataka apewe ajenge zahanati hahahahaaaaaaaa pumbavu sana anataka kuchota maji kwa mheshimiwa au sio hahahaaaaaa foolish sumaye weka chuo bhn na zahanati iwe ya wanachuo pekee wanadhani wewe serikal

  • @MariaCassian-ys7pt
    @MariaCassian-ys7pt Před 3 měsíci

    Hebu kuwa naadabu wewe mama kwa muheshimiwa sumaye hatakama ameamia upinzani kumbuka hisani alipokuwa madarakani acheni uharamia

  • @victoryteodory2750
    @victoryteodory2750 Před 7 lety +1

    "

  • @nachaone5983
    @nachaone5983 Před 7 lety

    kisanga

  • @modestalois2535
    @modestalois2535 Před 2 lety

    Acheni umbea,kwa hiyo msaada ni lazima? Pumbavu kabisa ninyi nyumbu wa Kinondo

  • @sazafsuma7542
    @sazafsuma7542 Před 7 lety

    kwanza huyo mama anabakwa kwake sio kwenye shamba lako sumae

  • @Teksani
    @Teksani Před 8 lety +7

    Huyo mama pamoja na kuongea kwa uchungu, sijaona point alioyo isema yenye msimamo mzuri

    • @sallykanze
      @sallykanze Před 8 lety

      Mama ameongea vizuri Sana kwa Sababu huyu mstaafu nae anaongea upuuzi kwa Sababu amekwisha staafu na hajafanya kitu chochote kwa wananchi

    • @wilhelmibaganisa1635
      @wilhelmibaganisa1635 Před 8 lety

      jefason kingy ww kanyaboya kweli,

    • @sallykanze
      @sallykanze Před 8 lety

      +WILHELM IBAGANISA kanyaboya ni ww kwani waanza matusi na sidhani Kama nimekutaja kwa hii comment kisha njoo na hekma Sana

    • @libuimshamu2401
      @libuimshamu2401 Před 8 lety

      huyo mama hajaenda akiambiwa arudie tena maneno yake ataweza .makonda nae ataongea nini wakati cheo kapewa janat2

    • @libuimshamu2401
      @libuimshamu2401 Před 8 lety

      huyo mama hajaenda akiambiwa arudie tena maneno yake ataweza .makonda nae ataongea nini wakati cheo kapewa janat2

  • @machinjashabani1518
    @machinjashabani1518 Před 5 lety

    Dada acha unafikiri?

  • @jackisonijackisoni6715

    Makonda nakukubali sana

  • @eddomgaya5059
    @eddomgaya5059 Před 2 lety

    Arudi Tena mh makonda

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 5 měsíci

    Huyo aliwanyima hata Makurunge maji huyo siyo kiongozi mzuri ksbisa Sumsye

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Před 26 dny

      Ni jukumu la serikali inayochukua kodi kuleta huduma za jamii sio Sumaye

  • @jumamakuri3218
    @jumamakuri3218 Před 7 lety

    Sumaye kachunge ng'ombe acha kuwadhulumu wananchi ardhi yao we huna mamlaka ya kuwagawia ardhi wananchi usituletee story huna jipya.

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 Před 2 lety

    .

  • @ofalirichardi9786
    @ofalirichardi9786 Před rokem

    Ongeaga poit naww

  • @makalanimau4649
    @makalanimau4649 Před 6 lety

    mama unachuki binafsi

  • @adelaidedaycareprenurseryk6324

    umeongea vizuri Nakonda tena kwa nidhamu kubwa kwa Mzee Sumaye