Paul Makonda alivyomalizana na mgogoro wa ardhi wa Mzee Sumaye na Wananchi
Vložit
- čas přidán 29. 01. 2016
- Jan 29 2016 Kikao kilichoandaliwa na mkuu wa wilaya ya Kinondoni Paul Makonda kusuluisha mgogoro wa ardhi Mabwepande kati ya Wananchi na mwenye shamba waziri mkuu mstaafu Frederick Sumaye
- Zábava
Makonda hapa alikuwa kijana sana❤piga kazi sasa mkuu wa mkoa Arusha sasa 2024
Huyu mama hana adabu!!
Huyo ni waziri mkuu mstaafu, mpeni heshima yake hata kama ameamia upinzani !!
Tatizo ni upinzani siyo sili
Huyo mama mwehu tu mbona wapo wenye maeneo makubwa zaidi ya sumaye hasemi aache siasa zake
unajua kuna baadhi ya watu wanazungumza tu ilimradi waonekane mtandaoni. kila kitu kina utaratibu wake, mara nyingi nasema mwanadamu ni mwema wakati wa mema tu, ni kiumbe hatari sana kwani huweza babaikia jambo ambalo hata halimhusu na wala halijui, sasa ona haya waliohoji wengine, ndg yangu ali ali, yaani eti huyo sumaye mwizi amezoea kuiba. yaani unamtusi waziri wako mstaafu kisa Dc ambaye ana malengo huenda sawasawa na mstaafu. watanzania tuache kushabikia kila jambo, sasa mnaona hata DC mwenyewe amejibu kisaikolojia, acheni usiasa watz hata JPM amesema hapa kazi tu, acheni haya, mnaudhi.safi sana Makonda
conglaturations Millard Ayo kwa kutuhabarisha!keep it up!
heshima yako mh. makondo. piga kazi tunakubari kazi yako.
Makonda safi hapo Mh.RC umeongea vizuri Mkuu Ubarikiwe sana
nimekuwa nikimfuatilia sana DC Makonda juu ya utendaji wake; nadhani hekima anayo huyu ni kiongozi safi anaweza kazi. Pia nadhani raia hawajamtendea haki Mzee Sumaye
Nyanda Mlanzi upo sahihi
Nyanda Mlanzi ww. Ndolijinga kumsifu makonda
+azah ally ni4lo
Viongozi wastaafu walizakilishwa Sana awamu ya 5 ilaaniwe
Pole naona huna cha kusema
Ulaaniwe ww pamoja na kizazi chako.
kazi nzuri kwa maendeleo ya nchi yetu
Mwenye kipaji cha uongozi siku zote Mungu anamjalia Poul Makonda wewe ni Kiongozi mwenye Busara kubwa sana Ndugu yangu. Ubarikiwe siku zote.
Tatizo anakashfa nyingi ambazo zinamfanya asikubaliwe na wananchi wengi
Don’t mess with these old folks😂😂 they’ve got BARZ( tukiruhusu uvamizi wanaovamia watavaamiwa😂😂😂😂)
Herman mkalilo ujumbe wako umetumia maneno ya busara sana wakujifunza atajifunza
Pole sana muheshimiwa wakuachie haki yako
Safi sana
Nimeipenda
Sijaona point ya uyo mama zaidi ya kutumika kisiasa chafu
mercy michael www.SitA
Huyo mama gana heshima kwasababu huwezi ongea vileza mbele ya mtuhumiwa
Hapana , tawala za nyumba mlifanya mambo na kutatua shida za wanachi Kwa matakwa yenu,kuweni wa haki mmefanya madudu mengi sana
safi sana makonda una hekima sana respect
asante kwa habari kaka millard
jimama zima akil amna
Makonda anatosha kwakweli ! Tujifunze kuongoza Nchi kwakufuata sheria.
Good work, Millard Ayo
mmh
kwahiyo mtu hatakiwi kuchimba kisima chake?kisa yeye ni waziri? ni uwamuzi wake kutoa au kutokutoa kwani ni haki yake,kuhusu shule hospital atajengaje yeye na pesa zake?iyo ni kazi ya serikali.
Mr Paul Christian Maconda hongera kk kwa kazi nzur
snaye awachie wananch eneo we miaka ningap hujajenga chuo mbona anababaika jaman mwez mkubwa huyo eneo likikaa miaka zaid ya mitano bla maendereo wapewe watu wajenge
Kubakwa watu kwenye eneo sio tiketi ya kuvamia eneo ,kama kweli mlikuwa na Nia njema simngechukua mapanga mkafyeka ili kutoa vichaka😂😂😂roho mbaya tu,nyinyi hao hao vijijini kwenu mna MAENEO makubwa lkn Serikali ikitaka hata barabara tu mnagoma na kutaka fidia
mmmh!
upo vzr sn makonda
Hawa ndo akina mama huruma,suala LA maji na aridhi limeingiliaje,afu mbona mashamba ya mkapa hamyasemi,mgodi wa kiwira umeibiwa na mzee hakuna chochote walichofanyiwa hao viongozi
Hekima ni ishara nzuri ya uongozi,maneno ya uchochezi haukupelekei kuwa kiongozi mtetezi.
Loata Lothi .
iij
Uko sawa mstaafu waziri mkuu
hapa kazi tu
mmmm
hii ndo athari ya mwanamke kuwa kiongozi. hahahahaha et hapa kazi tuu. jamani kuchonganisha huko tena mama yetu sio vizuri.
Ali kaba
mpeni haki yake sumay acheni ujinga nyiee sindio ccm??? mmewawezesha viongozi wa ccm??
Mwendazake alikua hajui uongozi na kuwazalilisha wastaafu
Mama Yako alijua kuongoza kulikonmwenda zake
heee chezea wa mama wew!!!?
Huyo Mama sijui DC sijui
Sumayai anakili sana anasema hvi wakina mama wanao bakwa jawabu nikuvamia eneo
Mh mstafu usiwe na wasi mbona wengi tumepata maeneo kibao ,kila mtu anaangalia eneo kulingana na uwezo wake na sii kuvamia maeneo ya wengine,wengi tumeingia dar na tumekuta watu wanamaeneo makubwa na hatujavamia tumenunu kwa haohao wenye maeneo makubwa,hao wanaovamia shamba ndohaohao wanamafunzo mabaya hatawatotowao wanapiga ngetA mtaani
dc kaongea point. Kwanza huyo mama alieongea aache chuki wangeenda kumwambia hayo matatizo kabla kwa upendo wangepata suluhu Zuri Tu.
Makonda hapo uko sahihi sana bila kuegemea upande wowote
Najikumbusha Enzi za makonda
huyu makonda atakuja kuwa raisi wa Tz
hamna
mheshimiwa jambo zuri sana hilo
Rahhi William
unjust way can't be used to get the right
washamba sana hao akina mama
makonda safi umenena
akuna zahanati akuna shule ya msingi we unataka kujenga chuo mbona unashangaza watu ata icho kisima inawezekana kilikua kinahatalisha maisha ya watt ndio maana wakatia mawe
Mimi nawapenda Sana hawa viongozi watanzania waliopita na walikuwapo katika ngazi. Hawana ubaguzi wa dini hawana ubaguzi wa rangi wala hawana ubaguzi wa kabila. Hii ndio siasa inabidi watanzania wairingie
Aheshimiwe kuwa chama pizan cyo tatizo huy niwazir mbona hatuna heshima hiv
Uyu mama simwelewi
nomaaaa
Wamama tafuteni mali yenu, acheni kuvamia mali ya watu.
makonda kila siku mimi nasema ukijaaliwa uzima baada ya magufuli ugombee urais.
tetetete
Kwanini umiliki Ardhi yote hiyo ekari zote wananchi wateseke kisa wewe ULIKUWA WAZIRI MKUU MAKURUNGE HIVYO HIVYO ACHIA ARDHI WANYONGE WACHUKUE HIYO ARDHI WAJENGE FISADI MKUBWA WEWE
Clouds nao walijaribu kumsafisha sabaya..
uyo mama anaongea vitu ambavyo akiambiwa atoe ushaidi atatoa mnyonge mnyongeni haki yake mpeni shamba la mweshomiwa kwa ishaidi na nyaraka anazo pia
Waziri Pazi mjinga hyo mama ana mihemuko na sifa za kijinga
Yuko xawa
Mama tahira kwelll umenunua eneo sumaye akupe arithi?? Tz nchiyangu nakupenda Ila huyo mama ni mpuuz tuuuu
Uitwe kwa sababu ipi kuwa na imani mzee wagaiye kidogo wenzio baba
mshenz huyu sumaye kumbe mnajijua mliokuwa na maeneo makubwa acheni kujimilikisha maeneo uendi nayo mbinguni unaacha duniani muongo umenunuaicho kiwanja si umejimilikisha mpo wengi mtakufa mtaacha duniani
Pamela Charles uuuuuuuhhhh
n
this is an insult to former PM, wananchi hawana hoja ni wahuni na majangiri kama wahuni wengine, yaani mimi hata nisingejisumbua kuwasikiliza, ningeenda zangu mahakamani....upuuzi huu hauvumiliki'
Ibrahim Ally www,sita
Ukihamia upinzani tayari umekua adui
kisima kinaweza jazwa mawe sababu ya hasra ya wananchi kama haki haitendeki Alaf unajenga chuo kikuu wakat primary hakuna hehehehe mtanyoka tu
Binti Rashid Antybaby vvv
Binti Rashid Antybaby haki ipi km anamiliki kihalali?
Sawa
ungekuwa unawapa maji wasingejaza mawe mzee
Mnagombea ardhi KM mtaishi milele duniani
Acheni haki ya mtuu itabaki ya mtuu,mali ya mheshimiwa ubaki kuwa yale
Ukiona umefika level ya juu ya madaraka then unakuja nyanyashwa na vinyangalika ujuwe wewe ni Tatizo
Huyu Diwani mpuuz sana,anazungumza vitu kishabiki tena kwa dharau eti hapa kazi tu,malengo yake amdharilishe Mh sumaye,yaan ni mpuuz sana,kumilik aridhi siyo dhambi,wanabakwa so suluhisho ni hilo?
HAPA KAZI TU HAIWEZI KUWA APPLIED HAPO, UTAKUWA NI USHETANI,MWACHIENI ARDHI YAKE, MNAPIGA KELELE, WATU KAWAIDA YENU KUKODOLEA MACHO MALI ZA WATU, KISA HAMNA CHENU, TUMIENI KIDOGO MLICHONACHO MUNGU ATAWABARIKIA, ACHENI UVIVU WA KUFIKIRI
Kudadeki kwahiyo tufyeke mapori yote watu wasibakwe😂😂😂
Viogozi nyie mtakuja kuulizwa siku ya qiyama
Viongozi wastaafu walizalilishwa San na awamu ya 5 wametumwa na mwendaze
Unajua baazi ya vichwa vya magufuli vipo vzuri
Sumaye fisadiiiiii katuriaaaaaa
Thibitisha hoja yako.. acha hisia na mihemuko
kila mtu ana nafasi kwa wakati wake makonda upo juu
Mhe Makonda umesema vyema , hongera sana kwa hekima!
Napita tu
yaan hyo mama anaongea pumb xnaa
Hilo tatizo la kisiasa nac vingine
hivi wakina mama wakibakwa jawabu ni kuvamia eneo?
Hyo mama ypo sahihi kabsa hyo mr 0 kipindi akiwa waziri mkuu alkuwa fala
Marrey Master kila mvamizi naye huvamiwa. Kama Sumaye anamiliki ardhi kihalali kuna shida gani? Alivyokua waziri mkuu alifanya kazi nzuri.
Fanyeni kazi mnunue yakwenu acheni kupenda vyabure nyie baadhi wananchi wa magwepande waulizen wenzenu waliotangulia maeneo hayo walivamia?kama ni mwombeni apende mwenyi na sii kwalazima,hapo kijijin wote mnafanyiana kama mnavyomfanyia msafu?shetan gani kawadanganya kuwa serekali ya Mh JPm inashiriki ktk unyang'anyi?
We waachie au utayapeleka wapi
Duh tatizo ujinga unatuharibu wa Tanzania... Asa huyo mama kapewa uongozi na nani kiwanja cha mtu anataka apewe ajenge zahanati hahahahaaaaaaaa pumbavu sana anataka kuchota maji kwa mheshimiwa au sio hahahaaaaaa foolish sumaye weka chuo bhn na zahanati iwe ya wanachuo pekee wanadhani wewe serikal
Hebu kuwa naadabu wewe mama kwa muheshimiwa sumaye hatakama ameamia upinzani kumbuka hisani alipokuwa madarakani acheni uharamia
"
kisanga
Acheni umbea,kwa hiyo msaada ni lazima? Pumbavu kabisa ninyi nyumbu wa Kinondo
kwanza huyo mama anabakwa kwake sio kwenye shamba lako sumae
Huyo mama pamoja na kuongea kwa uchungu, sijaona point alioyo isema yenye msimamo mzuri
Mama ameongea vizuri Sana kwa Sababu huyu mstaafu nae anaongea upuuzi kwa Sababu amekwisha staafu na hajafanya kitu chochote kwa wananchi
jefason kingy ww kanyaboya kweli,
+WILHELM IBAGANISA kanyaboya ni ww kwani waanza matusi na sidhani Kama nimekutaja kwa hii comment kisha njoo na hekma Sana
huyo mama hajaenda akiambiwa arudie tena maneno yake ataweza .makonda nae ataongea nini wakati cheo kapewa janat2
huyo mama hajaenda akiambiwa arudie tena maneno yake ataweza .makonda nae ataongea nini wakati cheo kapewa janat2
Dada acha unafikiri?
Makonda nakukubali sana
Arudi Tena mh makonda
Huyo aliwanyima hata Makurunge maji huyo siyo kiongozi mzuri ksbisa Sumsye
Ni jukumu la serikali inayochukua kodi kuleta huduma za jamii sio Sumaye
Sumaye kachunge ng'ombe acha kuwadhulumu wananchi ardhi yao we huna mamlaka ya kuwagawia ardhi wananchi usituletee story huna jipya.
Juma Makuri
.
Ongeaga poit naww
mama unachuki binafsi
umeongea vizuri Nakonda tena kwa nidhamu kubwa kwa Mzee Sumaye