Kwahio miaka 20 alio kua mwenyekiti wa kitongoji na mi Tano alio kuwa Diwan Bado hamkujua kama sio raia au ni raia 😅😅😅TUNACHEKA ILA SIO YA KUCHEKA INAUMIZA SANA😢😢
Makonda ndio rais ila ingekua kila mwaka iwekwe miezi malum ya kusikiliza kero za watu sio mpaka iwe uchakuzi itakuwa wanaogopa kutumbuliwa kutakua na haki na uadilifu
Hii ndo tatizo la mkoa wa kigoma kila mtu ni afisa migration ndo mana mkoa upo nyuma na wilaya zake zote zipo nyuma alafu chahajabu nimchaganyiko wa inchi mbili .
Hiii ikiendelea itatutia moyo na itafanya baazi ya viongozi kuwa makini na kuishi sawa na wananchi ukweli kwamba wananchi wanateswa na baazi ya viongozi makonda endeleaa mama hapa kaupga mwingi kumluhusu makonda
Lazima ichunguzwe maan watu wanchi nyingine kuw ktk madaraka ni rahisi kutuletea vita katk nchi yetu maan watakuwa watatoa siri za nchi hata lugha inaonekana haipo sawa n ndugu yake hapo unamsikia lugha
Kweli RUSHWA ni ADUI wa HAKI. "Uchunguzi unaonyesha sio raia " swali je wewe kama ni afisa uhamiaji huyu ni raia au sio raia "Siwezi kutoa majibu" Je hapo kuna harufu gani neno ni moja tu TUWE WAADILIFU KATIKA MAJUKUMU YA KULITUMIKIA TAIFA. Tanzania kwanza.
Makonda chapa kazi hata malaika ALIZAWA Haki nisawa na mathematics ukienda tofauti latina ukose majibu respect Sana Sana Mukubari ushauli kutoka Kwa Wananchi wenu napale utakapo ona mkojuu basi uskubali ushuke bila kujua shida nini Nchi yenye Amani ni Tanzania basi wale wanao Kuja Kwa manufaa Yao binafsi basi wafukuzwe Kaz au kufuta kabisa vyete vyao TENA IFANYIKE IKIWA WAPO KWENYE MAJUKWAA YA MIHADHALA WAZIWAZI
Ase wanaichi wamikoa ya mipakani wanapo pata nafasi ya uongozi wakitaka kusimamia ukweli hivo divo wanavo tesa wanaichi wanaoishi mipakani wanayo shida hiyohiyo ase taifa retu naviongozi wetu muriangalie kwajicho raukaribu wanaichi wanateseka sana kwenye hiro
Makonda oyee love from Burundi
I salute you mako nda you are the man of men🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mh. Paul Makonda hongera sana Mungu akupe nguvu na hekima hakika narudia hakika umetenda vyema 🙏
Mungu akubariki Makonda naona Mungu anatuponya majeraha ya Baba kuondokewa na baba yetu mtetezi wawa nyonge
Arusha makonda leo 😊
Tanzania mko sawa kabisa ..hope we had this in Kenya
Kwahio miaka 20 alio kua mwenyekiti wa kitongoji na mi Tano alio kuwa Diwan Bado hamkujua kama sio raia au ni raia 😅😅😅TUNACHEKA ILA SIO YA KUCHEKA INAUMIZA SANA😢😢
lpk la ok f get for l ok
❤makonda ninashida sana nasumbuliwa najirani yangu.alikuja aridhi
Yangu alinipeleka mahakamani.na mm naumwa sana nahitaji msaada
Mungu akulinde raise wa baadae Mungu akupe umri mrefu
Mweshimiwa makonda hongera yako kwakuwa saidia wananchi mungu akujalie maisha marefu
Mh. Makonda mwenyezi Mungu tunamuomba akutunze uzidi kusaidia wanainchi Hakika tuna farijika sana mungu ametuletea mkombozi
Makonda kazi unafanya hongera sana 🔥🔥🔥🔥
Mweshimiwa Makonda mwenyezi mungu akupe umli mlefu
Kwa kweli makonda mungu akuweke nakupendaas sana
Mungu akulinde raisi wetu wa baadaye ❤❤❤
Makonda anatufariji, watanzania hii ni huruma ya mungu. Tumkumbuke JPM WETU.
Tuna kukubali sana Ndugu Christian Makonda.wew Jembe kabisa.
Makonda 🎉🎉🎉🎉🎉 yako hiyo mungu akubariki
Hongera Makonda shujaa magufuli amefufka kwa mara Tena maradufu
Makonda 2025 Ugombee Ulais Kula yangu Ipo Nitakupatia Ishahallah
Nakubali
Hongera bb sema tupone
Asante akuna haki ndani ya ccm
Makonda kazi nzuli.
Makonda mungu akulinde kazi unaweza
Makonda chapa kazi malaika nae ALIZAWA❤
magufuru wa pili fanya kazi baba mungu akupe cheo uwe rais
Jamani kumbe hukokunamadudukweli
Apa kweli magufuli amefufuka ongela makonda 👏💪(from Malawi)
Hakika
Kweli makonda mungu amutuze daim
Napenda kweli mnayo yatenda huko kwanini hukumikoani hayapo,huku hakuna watu kama nyie kuna mambo mengisana yanaendelea huku
Yaan hawa Wana nchi,walikuwa wap kusema huyo co raia Wa Tanzanian,,,,,,hiyo sio kwel,,waache wivu,,,makonda simamia hak
Salut makonda
Walane wao kwawao
29:02 Mh. Poul makonda ilikuwa ngumu sada kukuelewa ila Mungu akupe Nguvu na akuepushe na tamaaaaaa
The spirit of JPM.
UYOOOOO NWANAMKEEE JAIBFWAAAA LOOOOOO. AFUKUZWEEE KAZIIIIIIIU. MWIZIIIIII SANA HUYOOOO
Woooooo😊
Kila kiongozi na aelee na ajae kwe nafasi yake🤗🤗 ila wengi wao wanazama kabisa 😄😄
😂😂😂😂😂😂 Nakuombea makonda uichi myaka myingi😂❤❤❤
Ukiwakuta wako uko maofifsini sasa utafikiri wanamilkini sayari ya mars,kumbe wako earth,
Mungu akulinde my brother Paulo Makonda ,pigs kazi Kaka tunaimani kubwa Sana na wewe .
Tumeyazoea kwetu mwenyekiti wa Kijiji chetu alitutangaza familia yetu si raia kwa sababu tu mzee kagombea asichezee Mali yake
Ilove u makonda❤❤
Mungu azidi kumjalia bwana po makondaaa uyu atatusaidia mbeleni
makonda mungu akulinde
Nchi hii pasua kichwa Tu,Mungu amlinde makonda,tatizo raia hawana namba za Makonda,mwenye namba ya Makonda aitowe
Makonda ndio rais ila ingekua kila mwaka iwekwe miezi malum ya kusikiliza kero za watu sio mpaka iwe uchakuzi itakuwa wanaogopa kutumbuliwa kutakua na haki na uadilifu
Nahisi akija huku atasikia kero zetu na utatuzi utapatikana hongera makonda msaidie mh rais
Uongozi wa nchi hii haufuati sheria bali ufuata maelekezo hakuna litakalobadilika chini ya Uongozi wa ccm uovu umekuwa tabia ya serikali ya ccm
Ukitaka kuendelea kuwa uongozi ndani serikali ya ccm ukubali kuwa mungo na fisadi
Hakuna jipya ndani ya ccm
Kweli serikali isiyowajibika na watendaji wabovu kero tupu nchi nzima
Makonda na misheni ya kupata kura 2025 hakuna mwenye mpango na maisha na umaskini wa watanzania
Nimeangalia huyu anaye piga makofi aliye vaa nguo za ccm nimegundua jambo flani mwisho akipiga makofi Kuna ........
hii barabara ikachekiwe jmni...Muenezi wa sasa alishughulikie kwa haraka sana. hiii ni nchi yetu sote..chekini hii barabara tupewe majibu HARAKAAA!!
Ni kawaida ya nchi hii kuwazushia watu siyo raia
Ukweli nawoo lazima mseme 💯💯
hapo sawa
Hii ndo tatizo la mkoa wa kigoma kila mtu ni afisa migration ndo mana mkoa upo nyuma na wilaya zake zote zipo nyuma alafu chahajabu nimchaganyiko wa inchi mbili .
Uyo mwenye cm ya itel
Hili zoezi raisi alipigie mhuri Kila mwaka liendelee hawa wanao wanao ichakachua serikali watakuws na hofu yakulitumikia taifa
Mabakuli...ma sufuria😂😂😂Makonda tunakuombea uje kuwa rais❤
Hongela kwakazi unayoifanya kwawanao nyimwahaki mungu akulipe nitazidi kukuombea
Jeshi
Mwanasheria anaonewa hayo maswali walitakiwa wajibu Watu wa Uhamiaji
Kuna jamaa anaongea sna yni 😂😂😂 yupo pembeni ana kihelehele
❤❤❤❤
Kuna mwananchi
Anachombeza😅
Wanyama poli
Hiii ikiendelea itatutia moyo na itafanya baazi ya viongozi kuwa makini na kuishi sawa na wananchi ukweli kwamba wananchi wanateswa na baazi ya viongozi makonda endeleaa mama hapa kaupga mwingi kumluhusu makonda
Yani magufuli alivyo kufa watu wanakelo makonda baba fanya Kanzi tunajua magu kafufuka
Kasuru ishugulikiwe haki wanateseka sana wala tunawaombea sana
🎉🎉🎉🎉❤
Lazima ichunguzwe maan watu wanchi nyingine kuw ktk madaraka ni rahisi kutuletea vita katk nchi yetu maan watakuwa watatoa siri za nchi hata lugha inaonekana haipo sawa n ndugu yake hapo unamsikia lugha
Kweli RUSHWA ni ADUI wa HAKI. "Uchunguzi unaonyesha sio raia " swali je wewe kama ni afisa uhamiaji huyu ni raia au sio raia "Siwezi kutoa majibu" Je hapo kuna harufu gani neno ni moja tu TUWE WAADILIFU KATIKA MAJUKUMU YA KULITUMIKIA TAIFA. Tanzania kwanza.
Muenezi njooo kiteto nakuomba Kuna migogoro imezidi sana
Icho Kiswahili hata kama yy ni foreigner apewe tu uraia!..🇰🇪🇸🇴
Ningekuwa mm ndo afsa uhamiaji nicngemjibu huyu kenge asiyejua profession za wa2. Uyo dada kajitaid sn ht hvo.
Mm naitaji
CCM ni nzuri sana lakini ndan yake kunawatu hatari sana wabaya
Akuna mtu wapo wa huamiaji akikuangalia tuu anajua
❤
Makonda chapa kazi hata malaika ALIZAWA
Haki nisawa na mathematics ukienda tofauti latina ukose majibu respect Sana Sana
Mukubari ushauli kutoka Kwa Wananchi wenu napale utakapo ona mkojuu basi uskubali ushuke bila kujua shida nini
Nchi yenye Amani ni Tanzania basi wale wanao Kuja Kwa manufaa Yao binafsi basi wafukuzwe Kaz au kufuta kabisa vyete vyao TENA IFANYIKE IKIWA WAPO KWENYE MAJUKWAA YA MIHADHALA WAZIWAZI
Wakamizaji aooooooo
Eti masufulia au sahani 😂😂 😂
Wanahongana rushwa ya ngona hao wanaubaguzi
Huyu ni raia isipokuwa uongozi wake ndiyo hauna sheria 😂😂😂😂😂😂 amakweli Makonda saidie Huyu baba wanamnyanyasa sana
Mimi namupenda makonda Kaka baba yagu
Kifo cha babu sea
Hao Ndio wapiga dili Mkuu Yaan miaka mi3 Yote????
Mh, Pol Makonda mpitishe Diwani Wanamhujumu
Huo ndio ujanja wa ccm wao ndio husababisha tatizo alafu wao ndio ujifanya kutatua tatizo
Daaaa awaviongoz ndio wanao takiwa katika kujenga taifa
😢
Mpk anakataliwa inamaana wana uhakika,sasa huyo dada wa uhamiaji kwann anasema hawez kulitolea majibu?penye ukwel uongo hujitenga.
Niamby
IKIWA HIVYO! INASEMWA AU KUKABIDJIWA WAZI KABISA SIO AL8SEMA AU NILISEMA.SERIKALI IPO HADI VIJIJINI
1985nyasanga 26:16
Hapo makonda alikua anabbishana na propaganda team kasoro huyo mdai haki
🙏🙏🙏🙏💅🙏
MAKONDA JESHI LA MTU MMOJA KTK UBORA WAKE.
Makonda chapa kazi bb
Kasuru hakuna viongozi niwezi tuu yani majambazi sugu 😂😂😂😂😂😂
Hatar sana
Huyu dada akalime kijijini kwao hana kazi ya kufanya
Ase wanaichi wamikoa ya mipakani wanapo pata nafasi ya uongozi wakitaka kusimamia ukweli hivo divo wanavo tesa wanaichi wanaoishi mipakani wanayo shida hiyohiyo ase taifa retu naviongozi wetu muriangalie kwajicho raukaribu wanaichi wanateseka sana kwenye hiro
😢😢😢😢😢😢😢😢
Ww itamakondatuu😂😂