"WANANITESA MAKONDA"DIWANI CCM AONDOLEWA ADAIWA SI RAIA WA TANZANIA HANA HAKI YA KUHUDUMIYA WANANCHI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 02. 2024
  • #AdilTV

Komentáře • 194

  • @muhimpundukasongometusera5956

    Makonda oyee love from Burundi

  • @khadjahsaba1889
    @khadjahsaba1889 Před měsícem +2

    I salute you mako nda you are the man of men🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @davidngowo9459
    @davidngowo9459 Před 2 měsíci +7

    Mh. Paul Makonda hongera sana Mungu akupe nguvu na hekima hakika narudia hakika umetenda vyema 🙏

  • @user-le5ft5ic5g
    @user-le5ft5ic5g Před 4 měsíci +6

    Mungu akubariki Makonda naona Mungu anatuponya majeraha ya Baba kuondokewa na baba yetu mtetezi wawa nyonge

  • @mikemuchemi593
    @mikemuchemi593 Před 2 měsíci +3

    Tanzania mko sawa kabisa ..hope we had this in Kenya

  • @user-ex6bj3qs2e
    @user-ex6bj3qs2e Před 5 měsíci +12

    Kwahio miaka 20 alio kua mwenyekiti wa kitongoji na mi Tano alio kuwa Diwan Bado hamkujua kama sio raia au ni raia 😅😅😅TUNACHEKA ILA SIO YA KUCHEKA INAUMIZA SANA😢😢

  • @peacemwesiga
    @peacemwesiga Před měsícem +2

    ❤makonda ninashida sana nasumbuliwa najirani yangu.alikuja aridhi
    Yangu alinipeleka mahakamani.na mm naumwa sana nahitaji msaada

  • @danieltsaxara9199
    @danieltsaxara9199 Před 5 měsíci +8

    Mungu akulinde raise wa baadae Mungu akupe umri mrefu

  • @user-sf2kw8yj1m
    @user-sf2kw8yj1m Před měsícem

    Mweshimiwa makonda hongera yako kwakuwa saidia wananchi mungu akujalie maisha marefu

  • @rithamatiko4952
    @rithamatiko4952 Před měsícem

    Mh. Makonda mwenyezi Mungu tunamuomba akutunze uzidi kusaidia wanainchi Hakika tuna farijika sana mungu ametuletea mkombozi

  • @charlesmbembela4080
    @charlesmbembela4080 Před 4 měsíci +2

    Makonda kazi unafanya hongera sana 🔥🔥🔥🔥

  • @rajabuhassan2525
    @rajabuhassan2525 Před 5 měsíci +6

    Mweshimiwa Makonda mwenyezi mungu akupe umli mlefu

  • @sophialiganga1419
    @sophialiganga1419 Před 2 měsíci +1

    Kwa kweli makonda mungu akuweke nakupendaas sana

  • @user-bb2xi3vi7y
    @user-bb2xi3vi7y Před 4 měsíci +1

    Mungu akulinde raisi wetu wa baadaye ❤❤❤

  • @user-iw8vl8ri4o
    @user-iw8vl8ri4o Před 4 měsíci +2

    Makonda anatufariji, watanzania hii ni huruma ya mungu. Tumkumbuke JPM WETU.

  • @user-kl8jy1ij2i
    @user-kl8jy1ij2i Před 5 měsíci +5

    Tuna kukubali sana Ndugu Christian Makonda.wew Jembe kabisa.

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 Před 4 měsíci +1

    Makonda 🎉🎉🎉🎉🎉 yako hiyo mungu akubariki

  • @aggreyouma-hz3lh
    @aggreyouma-hz3lh Před 3 měsíci +1

    Hongera Makonda shujaa magufuli amefufka kwa mara Tena maradufu

  • @FatmaKambanga-cj4wn
    @FatmaKambanga-cj4wn Před 4 měsíci +5

    Makonda 2025 Ugombee Ulais Kula yangu Ipo Nitakupatia Ishahallah

  • @VeronicaSimon-v8f
    @VeronicaSimon-v8f Před 4 dny +1

    Nakubali

  • @JudikaKivuyo
    @JudikaKivuyo Před 27 dny

    Hongera bb sema tupone

  • @CaftyLema
    @CaftyLema Před 3 měsíci +1

    Asante akuna haki ndani ya ccm

  • @JlmwinukaOnlineTv
    @JlmwinukaOnlineTv Před 3 měsíci +2

    Makonda kazi nzuli.

  • @user-eg4pm4cg6y
    @user-eg4pm4cg6y Před 4 měsíci

    Makonda mungu akulinde kazi unaweza

  • @user-yn4te8mc3c
    @user-yn4te8mc3c Před 5 měsíci +2

    Makonda chapa kazi malaika nae ALIZAWA❤

  • @user-sq1mh5np8v
    @user-sq1mh5np8v Před měsícem

    magufuru wa pili fanya kazi baba mungu akupe cheo uwe rais

  • @akidabakary9198
    @akidabakary9198 Před 5 měsíci +4

    Jamani kumbe hukokunamadudukweli

  • @ShadrackKapange
    @ShadrackKapange Před měsícem +2

    Apa kweli magufuli amefufuka ongela makonda 👏💪(from Malawi)

  • @BakariRajabuMikalo
    @BakariRajabuMikalo Před 3 měsíci +1

    Napenda kweli mnayo yatenda huko kwanini hukumikoani hayapo,huku hakuna watu kama nyie kuna mambo mengisana yanaendelea huku

  • @GetrudeRashid-be8bs
    @GetrudeRashid-be8bs Před 5 měsíci +2

    Yaan hawa Wana nchi,walikuwa wap kusema huyo co raia Wa Tanzanian,,,,,,hiyo sio kwel,,waache wivu,,,makonda simamia hak

  • @user-lf1po9vd7l
    @user-lf1po9vd7l Před 5 měsíci +2

    Salut makonda

  • @silikonnyondo3751
    @silikonnyondo3751 Před 4 měsíci +2

    Walane wao kwawao

  • @wta_Tanzania
    @wta_Tanzania Před 28 dny

    29:02 Mh. Poul makonda ilikuwa ngumu sada kukuelewa ila Mungu akupe Nguvu na akuepushe na tamaaaaaa

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 Před měsícem

    The spirit of JPM.

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Před 5 měsíci +2

    UYOOOOO NWANAMKEEE JAIBFWAAAA LOOOOOO. AFUKUZWEEE KAZIIIIIIIU. MWIZIIIIII SANA HUYOOOO

  • @gervasrwegasira4723
    @gervasrwegasira4723 Před 4 měsíci

    Woooooo😊

  • @GodfreyMbilinyi-kx7qb
    @GodfreyMbilinyi-kx7qb Před měsícem

    Kila kiongozi na aelee na ajae kwe nafasi yake🤗🤗 ila wengi wao wanazama kabisa 😄😄

  • @hategekimanamariespeciose5701

    😂😂😂😂😂😂 Nakuombea makonda uichi myaka myingi😂❤❤❤

  • @PureSoul-rf4xd
    @PureSoul-rf4xd Před 2 měsíci +1

    Ukiwakuta wako uko maofifsini sasa utafikiri wanamilkini sayari ya mars,kumbe wako earth,

  • @user-rp6ev9ux1o
    @user-rp6ev9ux1o Před 4 měsíci

    Mungu akulinde my brother Paulo Makonda ,pigs kazi Kaka tunaimani kubwa Sana na wewe .

  • @rwezahurabarthazary7938
    @rwezahurabarthazary7938 Před 4 měsíci +1

    Tumeyazoea kwetu mwenyekiti wa Kijiji chetu alitutangaza familia yetu si raia kwa sababu tu mzee kagombea asichezee Mali yake

  • @ashurakhamis5787
    @ashurakhamis5787 Před měsícem

    Ilove u makonda❤❤

  • @singidaprincetz1883
    @singidaprincetz1883 Před 5 měsíci +1

    Mungu azidi kumjalia bwana po makondaaa uyu atatusaidia mbeleni

  • @user-wy4fv9vd7w
    @user-wy4fv9vd7w Před 5 měsíci

    makonda mungu akulinde

  • @mosessheella894
    @mosessheella894 Před měsícem

    Nchi hii pasua kichwa Tu,Mungu amlinde makonda,tatizo raia hawana namba za Makonda,mwenye namba ya Makonda aitowe

  • @woah.africa99
    @woah.africa99 Před 5 měsíci +2

    Makonda ndio rais ila ingekua kila mwaka iwekwe miezi malum ya kusikiliza kero za watu sio mpaka iwe uchakuzi itakuwa wanaogopa kutumbuliwa kutakua na haki na uadilifu

    • @mercyherbert8978
      @mercyherbert8978 Před 4 měsíci

      Nahisi akija huku atasikia kero zetu na utatuzi utapatikana hongera makonda msaidie mh rais

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k Před 5 měsíci +3

    Uongozi wa nchi hii haufuati sheria bali ufuata maelekezo hakuna litakalobadilika chini ya Uongozi wa ccm uovu umekuwa tabia ya serikali ya ccm

    • @user-rc1dp6ux3k
      @user-rc1dp6ux3k Před 5 měsíci

      Ukitaka kuendelea kuwa uongozi ndani serikali ya ccm ukubali kuwa mungo na fisadi

    • @user-rc1dp6ux3k
      @user-rc1dp6ux3k Před 5 měsíci

      Hakuna jipya ndani ya ccm

    • @user-rc1dp6ux3k
      @user-rc1dp6ux3k Před 5 měsíci

      Kweli serikali isiyowajibika na watendaji wabovu kero tupu nchi nzima

    • @user-rc1dp6ux3k
      @user-rc1dp6ux3k Před 5 měsíci

      Makonda na misheni ya kupata kura 2025 hakuna mwenye mpango na maisha na umaskini wa watanzania

  • @bensonmgaya5693
    @bensonmgaya5693 Před měsícem

    Nimeangalia huyu anaye piga makofi aliye vaa nguo za ccm nimegundua jambo flani mwisho akipiga makofi Kuna ........

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Před měsícem

    hii barabara ikachekiwe jmni...Muenezi wa sasa alishughulikie kwa haraka sana. hiii ni nchi yetu sote..chekini hii barabara tupewe majibu HARAKAAA!!

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k Před 5 měsíci +1

    Ni kawaida ya nchi hii kuwazushia watu siyo raia

  • @user-lg6dd2qn2k
    @user-lg6dd2qn2k Před 4 měsíci

    Ukweli nawoo lazima mseme 💯💯

  • @DanfordMboka
    @DanfordMboka Před 3 měsíci

    hapo sawa

  • @lubungaetienealmasi1059
    @lubungaetienealmasi1059 Před 4 měsíci

    Hii ndo tatizo la mkoa wa kigoma kila mtu ni afisa migration ndo mana mkoa upo nyuma na wilaya zake zote zipo nyuma alafu chahajabu nimchaganyiko wa inchi mbili .

  • @PeterDaniel-ju8kz
    @PeterDaniel-ju8kz Před 4 měsíci +1

    Uyo mwenye cm ya itel

  • @user-ch2qb3mm2x
    @user-ch2qb3mm2x Před 5 měsíci +1

    Hili zoezi raisi alipigie mhuri Kila mwaka liendelee hawa wanao wanao ichakachua serikali watakuws na hofu yakulitumikia taifa

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj Před 2 měsíci

    Mabakuli...ma sufuria😂😂😂Makonda tunakuombea uje kuwa rais❤

  • @user-vf1zk6eu5t
    @user-vf1zk6eu5t Před 4 měsíci

    Hongela kwakazi unayoifanya kwawanao nyimwahaki mungu akulipe nitazidi kukuombea

  • @yohanamadati1793
    @yohanamadati1793 Před 5 měsíci +1

    Jeshi

  • @samsonmgaya4306
    @samsonmgaya4306 Před měsícem

    Mwanasheria anaonewa hayo maswali walitakiwa wajibu Watu wa Uhamiaji

  • @brianmoshi1156
    @brianmoshi1156 Před 4 měsíci

    Kuna jamaa anaongea sna yni 😂😂😂 yupo pembeni ana kihelehele

  • @BarakaLonare
    @BarakaLonare Před měsícem

    ❤❤❤❤

  • @OdasiBuchumi
    @OdasiBuchumi Před 5 měsíci +1

    Kuna mwananchi
    Anachombeza😅

  • @MaraboyJames
    @MaraboyJames Před 3 měsíci

    Wanyama poli

  • @user-rf8ip1cn5l
    @user-rf8ip1cn5l Před 4 měsíci

    Hiii ikiendelea itatutia moyo na itafanya baazi ya viongozi kuwa makini na kuishi sawa na wananchi ukweli kwamba wananchi wanateswa na baazi ya viongozi makonda endeleaa mama hapa kaupga mwingi kumluhusu makonda

  • @TumainBarack-vo7bs
    @TumainBarack-vo7bs Před 5 měsíci +1

    Yani magufuli alivyo kufa watu wanakelo makonda baba fanya Kanzi tunajua magu kafufuka

  • @vitalniyonkuru7693
    @vitalniyonkuru7693 Před měsícem

    Kasuru ishugulikiwe haki wanateseka sana wala tunawaombea sana

  • @DanyMuhindo
    @DanyMuhindo Před měsícem

    🎉🎉🎉🎉❤

  • @peterfania1005
    @peterfania1005 Před měsícem

    Lazima ichunguzwe maan watu wanchi nyingine kuw ktk madaraka ni rahisi kutuletea vita katk nchi yetu maan watakuwa watatoa siri za nchi hata lugha inaonekana haipo sawa n ndugu yake hapo unamsikia lugha

  • @user-xi9wi1rm5g
    @user-xi9wi1rm5g Před 5 měsíci

    Kweli RUSHWA ni ADUI wa HAKI. "Uchunguzi unaonyesha sio raia " swali je wewe kama ni afisa uhamiaji huyu ni raia au sio raia "Siwezi kutoa majibu" Je hapo kuna harufu gani neno ni moja tu TUWE WAADILIFU KATIKA MAJUKUMU YA KULITUMIKIA TAIFA. Tanzania kwanza.

  • @EmmanuelAkyoo-bm9zb
    @EmmanuelAkyoo-bm9zb Před 5 měsíci

    Muenezi njooo kiteto nakuomba Kuna migogoro imezidi sana

  • @Abu-Hamza254
    @Abu-Hamza254 Před měsícem

    Icho Kiswahili hata kama yy ni foreigner apewe tu uraia!..🇰🇪🇸🇴

  • @user-xz6qb5cb1y
    @user-xz6qb5cb1y Před 4 měsíci

    Ningekuwa mm ndo afsa uhamiaji nicngemjibu huyu kenge asiyejua profession za wa2. Uyo dada kajitaid sn ht hvo.

  • @MiriamNyoni-gc5fo
    @MiriamNyoni-gc5fo Před 3 měsíci

    Mm naitaji

  • @magangiralucas6516
    @magangiralucas6516 Před 5 měsíci

    CCM ni nzuri sana lakini ndan yake kunawatu hatari sana wabaya

  • @KhelefuBashiru
    @KhelefuBashiru Před 5 měsíci +1

    Akuna mtu wapo wa huamiaji akikuangalia tuu anajua

  • @amanimyolo1478
    @amanimyolo1478 Před 5 měsíci

    • @user-yn4te8mc3c
      @user-yn4te8mc3c Před 5 měsíci

      Makonda chapa kazi hata malaika ALIZAWA
      Haki nisawa na mathematics ukienda tofauti latina ukose majibu respect Sana Sana
      Mukubari ushauli kutoka Kwa Wananchi wenu napale utakapo ona mkojuu basi uskubali ushuke bila kujua shida nini
      Nchi yenye Amani ni Tanzania basi wale wanao Kuja Kwa manufaa Yao binafsi basi wafukuzwe Kaz au kufuta kabisa vyete vyao TENA IFANYIKE IKIWA WAPO KWENYE MAJUKWAA YA MIHADHALA WAZIWAZI

  • @HemedDunda
    @HemedDunda Před měsícem

    Wakamizaji aooooooo

  • @user-yg8yo3ul8h
    @user-yg8yo3ul8h Před měsícem

    Eti masufulia au sahani 😂😂 😂

  • @joahsteve-wc3gp
    @joahsteve-wc3gp Před 10 dny

    Wanahongana rushwa ya ngona hao wanaubaguzi

  • @MariaCassian-ys7pt
    @MariaCassian-ys7pt Před 3 měsíci

    Huyu ni raia isipokuwa uongozi wake ndiyo hauna sheria 😂😂😂😂😂😂 amakweli Makonda saidie Huyu baba wanamnyanyasa sana

  • @user-xx3wo1yi3g
    @user-xx3wo1yi3g Před 4 měsíci

    Mimi namupenda makonda Kaka baba yagu

  • @user-vv7gg9tc7s
    @user-vv7gg9tc7s Před 4 měsíci

    Kifo cha babu sea

  • @kissarungereuwalemuuya1715
    @kissarungereuwalemuuya1715 Před 4 měsíci

    Hao Ndio wapiga dili Mkuu Yaan miaka mi3 Yote????
    Mh, Pol Makonda mpitishe Diwani Wanamhujumu

  • @salumumkumbalu4032
    @salumumkumbalu4032 Před 4 měsíci

    Huo ndio ujanja wa ccm wao ndio husababisha tatizo alafu wao ndio ujifanya kutatua tatizo

  • @user-uw5lk5nc4n
    @user-uw5lk5nc4n Před 4 měsíci

    Daaaa awaviongoz ndio wanao takiwa katika kujenga taifa

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Před 5 měsíci

    😢

  • @user-tq5kn6xt6v
    @user-tq5kn6xt6v Před 4 měsíci

    Mpk anakataliwa inamaana wana uhakika,sasa huyo dada wa uhamiaji kwann anasema hawez kulitolea majibu?penye ukwel uongo hujitenga.

  • @user-ii8qb9gj4q
    @user-ii8qb9gj4q Před 4 měsíci

    Niamby

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 Před 4 měsíci

    IKIWA HIVYO! INASEMWA AU KUKABIDJIWA WAZI KABISA SIO AL8SEMA AU NILISEMA.SERIKALI IPO HADI VIJIJINI

  • @Nyasanga
    @Nyasanga Před 17 dny

    1985nyasanga 26:16

  • @BennyMakombe
    @BennyMakombe Před měsícem

    Hapo makonda alikua anabbishana na propaganda team kasoro huyo mdai haki

  • @DanielWamungu-ub3wf
    @DanielWamungu-ub3wf Před měsícem

    🙏🙏🙏🙏💅🙏

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf Před 5 měsíci +1

    MAKONDA JESHI LA MTU MMOJA KTK UBORA WAKE.

  • @Dismance
    @Dismance Před 5 měsíci

    Makonda chapa kazi bb

  • @vitalniyonkuru7693
    @vitalniyonkuru7693 Před měsícem

    Kasuru hakuna viongozi niwezi tuu yani majambazi sugu 😂😂😂😂😂😂

  • @Hilimu-qk2uw
    @Hilimu-qk2uw Před 5 měsíci

    Hatar sana

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 Před 4 měsíci

    Huyu dada akalime kijijini kwao hana kazi ya kufanya

  • @RamsonBosco
    @RamsonBosco Před 5 měsíci

    Ase wanaichi wamikoa ya mipakani wanapo pata nafasi ya uongozi wakitaka kusimamia ukweli hivo divo wanavo tesa wanaichi wanaoishi mipakani wanayo shida hiyohiyo ase taifa retu naviongozi wetu muriangalie kwajicho raukaribu wanaichi wanateseka sana kwenye hiro

  • @DanielWamungu-ub3wf
    @DanielWamungu-ub3wf Před měsícem

    😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @user-yj3gy4jc1t
    @user-yj3gy4jc1t Před 5 měsíci

    Ww itamakondatuu😂😂