Komentáře •

  • @nataemsuya
    @nataemsuya Před 5 lety +38

    Tungekuwa na wanawake wenye uwezo wa kujieleza km huyu mama,basi Tanzania Tungekuwa mbali sana. Mwanamke kujiamini bwana.

  • @mahamoudmakotaperfumes8788

    Paul Makonda hongera sana kwa kusimamia haki.. IQ..100+ (G)

  • @Tango696
    @Tango696 Před 5 lety +1

    Mungu akusimamie sana mkuu Wa kituo.nimeumia kwa udhalishaji huo.kila mmoja ana mapungufu Yake.umekamata umepeleka mahakamani ,walitegemea ufanye nini.kwa hili lililokukuta naamin ndio fursa ya kufika mbali ,Mungu atakupandisha mbali

  • @jumamwatanda1478
    @jumamwatanda1478 Před 5 lety

    Dah! Asiyekupenda Mh. Makonda, siyo bure ana chuki zake binafsi. #Chapa kazi Mh. @I'm really appreciating you

  • @yahayamaulana8215
    @yahayamaulana8215 Před 5 lety +1

    Mw. RC Makonda big up kwa juhudi na busara juu ya majukumu yakazi unazozifanya hongera

  • @denismasawe2574
    @denismasawe2574 Před 5 lety +1

    Nakubal mkuu wa mkoa tangu nime kujua Leo ndo umenifurahisha zaidii piga kaziiiii mkuu

  • @kechbowkech9138
    @kechbowkech9138 Před 5 lety +2

    Daaaa safi sana mkuu wa mkoa Paul Makonda,,,,,kweli unawapigania wananchi. ....umeweza hadi kumtumbua mkuu wa kituo,,, Sadie Sana..... Bora iwage hivyo,,, askar watafanya kazi kwa mujibu wa Sheri's, yamezoea Sana kuvunja Sheri's,,,, wakati sisi wanansheria tunafuata Sheria...

  • @nyerere1259
    @nyerere1259 Před 5 lety +5

    Afande upo vizuri...... Achana na hao politicians

  • @fokasiinnocent3448
    @fokasiinnocent3448 Před 5 lety +24

    makonda wanaokuchukia walaniwe na tunamuomba mungu raisi akuache apo apo miaka mingi!!!akuna asosemwa ata raisi wetu anasema piga kazi usiogope!!!usiposemwa jua huna kitu.

  • @azizauledi4108
    @azizauledi4108 Před 5 lety +1

    Mnaonea watu kupita kiasi mpaka imefikia liwalo naliwe km kufa kila mtu atakufa safiiii sana mama mungu akulinde

  • @emmymkonyi9309
    @emmymkonyi9309 Před 5 lety +2

    Big up mama kwa kuwa jasiri na Mkuu wa Mkoa kwa Kukusikiliza

  • @sampatrick917
    @sampatrick917 Před 5 lety +6

    Buguruni ni Sawa kabisa atolewe uyo ocd kuna mambo ya kinyama Sana apo Buguruni

    • @djmarashimartin7707
      @djmarashimartin7707 Před 5 lety

      itakuwa nyinyi Shelia amuijuw makonda anaweza akafanya lolote juu ya ocd yeye makonda yupo kwenye kamati ya ulinz nausalama ya mkoa

  • @faustinemasao5641
    @faustinemasao5641 Před 5 lety +2

    Mkuu wa mkoa umekosa ethics za uongozi kabisa kuna uchunguzi gani uliofanya hapo. Muige ata kidogo Mh.Mtaka angalau awe lesson plan yako kidogo

  • @kaisarimkuu3685
    @kaisarimkuu3685 Před 5 lety +2

    Iko siku tunaweza.juta kwa huu ushabiki wa ajabu ambao unadhohofisha morali za makamanda wetu wa ulinzi na usalama. Wisdom is an integral component of good leadership.

  • @tumpaleluhanga1396
    @tumpaleluhanga1396 Před 5 lety +4

    Kwa hili, nitatofautiana na Mh. mkuu wangu wa mkoa. Sidhani kama haki imetendeka. Ingawa hatua iliyochukuliwa sio kubwa sana ila nadhani mkuu wa kituo ameabishwa mbele ya wananchi bila sababu.
    Majibishano ya bimkubwa na mkuu wa kituo hayakuwa na umuhimu wowote. Nadhani mkuu wa mkoa alipaswa achukue taarifa ya mama, pamoja na maelezo mafupi ya polisi halafu akalishughulikie hilo suala baadae.
    Kwanini polisi waing'ang'anie nyumba ya huyo mama tu bila sababu? Mama angesema huwa wanaomba rushwa tungemuelewa.
    Pole sana kwa mkuu wa kituo cha Buguruni.

    • @rajabuwiliam5854
      @rajabuwiliam5854 Před 5 měsíci

      wewe unajuaje kama mku wa mkoa hana talifa nyingne kumhusu yeye kwani yeye mjinga achukue hatua bila kufatilia et hapo lazma co xhida yakwanza alixhapata talifa nyingii t kumhusu

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před 5 měsíci

      Nimependa maelezo ya askari

    • @PasichalFrancis
      @PasichalFrancis Před 4 měsíci

      Ilahuyujamaa .basitu hajuituanachokifanya

    • @RwegoshoraPatt-os2ik
      @RwegoshoraPatt-os2ik Před 4 měsíci

      Hata mama anamdomo kumbuka hilo pia

  • @mayungarichard7443
    @mayungarichard7443 Před 5 lety +16

    Ila kusema kweli polis wanaonea sana. Mi mwenyewe waliwahi kunikamata wakanipa kes ya kuuza gongo yaani aisee😓😓😓😓

    • @priscahongerasanaabel9893
      @priscahongerasanaabel9893 Před 5 lety

      hahahahah jaman kweli

    • @mwanaidimtwiku9983
      @mwanaidimtwiku9983 Před 5 lety

      Mm mwenyewe kaka yangu amekamatwa saa tatu anarud kazini wamempa kes ya ukabaji ukiangalia hana tabia hiyo toka azaliwe, inauma sana na mpk bado yupo chang'ombe

  • @fokasiinnocent3448
    @fokasiinnocent3448 Před 5 lety +21

    magu ameibadili nchi ss wananchi tunajua thamani ya nchi yetu ,akuna brabra tena nisheria tu,magufuli mungu akubariki uishi miaka mingi sn ,eeh mungu mrinde mtoto wako maguful

  • @hamadshein935
    @hamadshein935 Před 5 lety +9

    Salam kw maofsa.mcpo kuwa na umoja.mtasumbuliw n watu ambao.hawajui taratibu za majeshi.

    • @ugaboy4736
      @ugaboy4736 Před 5 lety

      Jamani polis ngum tuulizeni sisi

    • @mariawilbrod9786
      @mariawilbrod9786 Před 5 lety +2

      Hamad Shein taratibu Za majeshi zipi Hizo tufahamishe Au kuonea wananchi?

  • @bernardchibwana2564
    @bernardchibwana2564 Před 5 lety

    Makonda mungu akupe maisha marefu kazi njema.

  • @soudbwaxtv3804
    @soudbwaxtv3804 Před 5 lety

    Ahsante mh mkuu wa mkoa paul makonda kwa uamuzi ulio ufanya

  • @mussasaleh6712
    @mussasaleh6712 Před 5 lety +1

    Mungu akulinde mkuu wa mkoa wetu

  • @mpjackson9543
    @mpjackson9543 Před 5 lety +9

    Haufai hata kidogo, nimesononeka sana Kwani nilitamani siku moja niwe askari but kwa style hii, umechafua jeshi mpumbavu kabisa, haiwezekan Kamanda Siro huyu Bashite ana mamlaka gani yakuingilia mambo ya jeshi, nakwann askamatwe yeye nnani wakufanya hayo, kaiba makontena tumemuacha, au kunakitu nyuma yake, maana sio bule, angekuwa Nape chapu kidogo.

    • @eliphaziamon8794
      @eliphaziamon8794 Před 5 lety

      mp Jackson we nikipofu acha kutapika ko ulitaman uaskal ukanyanyase RAIA ,sio utawala wa magu,subilien msenge mwenzenu ajae mtese watu sio utawala wa baba magu

    • @gabrielresti1710
      @gabrielresti1710 Před 5 lety

      Angalia akili zako vizuri na ujipime kwa maneno yako

    • @yudithshayo4057
      @yudithshayo4057 Před 5 lety

      mp Jackson raisi wako wamkoa huyo ana mamlaka yote kwa Dar

    • @mohamedykabwanga1647
      @mohamedykabwanga1647 Před 5 lety

      Ww huna akiri unasema mkuu wa mkoa anamamlaka gani ...unajielewa kweli www

    • @fransiskahaule3343
      @fransiskahaule3343 Před 5 lety

      Wewe unaongea nini sasa polisi ndio yao hayo..

  • @fredykephacy9230
    @fredykephacy9230 Před 5 lety

    tetea haki baba nakupenda sana makonda mungu akujalie afya njema

  • @flavian-augustino.pangah
    @flavian-augustino.pangah Před 5 lety +9

    Hongera OCD wa polisi Buguruni kazi yako Mungu anaiona. Achana na political temper za rc

    • @mariawilbrod9786
      @mariawilbrod9786 Před 5 lety +1

      Flavian Pangah hana cha hongera hapo ni jambo la aibu sehemu ambayo watu ingekuwa Tumaini lao inapotokea tatizo ndo inaonea watu, anasahau miiko ya kazi yake na kuweka tamaa mbele

    • @ahmednoor1412
      @ahmednoor1412 Před 5 lety

      Unasifia ujinga

    • @flavian-augustino.pangah
      @flavian-augustino.pangah Před 5 lety

      Ahmed noor asante kwa jibu lako

    • @sharifasharifa7680
      @sharifasharifa7680 Před 5 lety +1

      Polis wanakazi ngumu na raia wengi hawapendi polis wanafurah kutokezea tatiz ila ocd usijal pig kaz kawaida ya raia hat ufany jema gan hawawez kulisem hat viongoz wapime wao mbon wanatajw wanamakos na hawan

  • @smwakaglobaltv4010
    @smwakaglobaltv4010 Před 5 lety

    Hongera saaana mama, sina cha kukupa isipo kuwa tu kukushukuru kwa ukakamavu wako.

  • @maelezombwilo9129
    @maelezombwilo9129 Před 5 lety

    shukrani sana mkuu wetu kwa kutenda haki

  • @mosesboniphace4733
    @mosesboniphace4733 Před 5 lety

    makonda safi sana hongera kabisa. nashangaa ukiona koment wanaokataa niwalewale wanataka ushahidi gan tena juu yahuyo mama? ukiwa na akili timamu huwezi kuacha kumwamini huyo mama. maaskari wengi wao ndowalivyo bana.

  • @shabanikombo6351
    @shabanikombo6351 Před 5 lety +1

    makonda safi sana Allah akujalie

  • @omarikessy2339
    @omarikessy2339 Před 5 lety

    Safi sana mheshimiwa Makonda,Sio tu apangiwe kazi nyingine fukuza tu huyo askari ndo wailvyo hao kuonea Maskini

  • @Tango696
    @Tango696 Před 5 lety +11

    Mpaka polisi wanakupeleka mahakamani ,unasema wanakuonea,nimeumia sana kwa kauli ya kusema ocd njoo utudanganye,ni udhalilishaji mkubwa sana kwa chombo kikubwa.huyo ocd katoa maelezo ya kisomi na uweledi ila kama kuna insue pembeni Sawa.

    • @michaelmathayo2582
      @michaelmathayo2582 Před 5 lety

      makonda upo sahihi

    • @titosindei6016
      @titosindei6016 Před 5 lety

      watu wanashindwa kutofautisha mamlaka na taaluma unaeza ukawa mkubwa ukawa huna taaluma husika kwahyo hizo ni kiki na misiifa isiyo na sababu

    • @adamsclassic9306
      @adamsclassic9306 Před 5 lety +1

      sisi ndo tunaishi Buguruni na ndo tunaojua Mapolisi zetu Alichosema Uyo Mama ni kwel Mtupu Mapolisi Wa kituo kdogo hadi kikubwa Wanawatesa sana Wananchi na Kuwapa kesi Ambazo sio na Hao Hao Mapolisi Ushilikiano Hawatoi wao Wanachojua n kupiga Pesa tu

  • @robsonevarist5803
    @robsonevarist5803 Před 5 lety +1

    Kiukweli hiii nchii inapoelekea sii pazuriii siasa imekuwa fimboo kwa watendajiii na hata mtuuu afanyee mazrii vp kosa moja la funika mazriii yotee.hakika najuta kuajiliwa mora nipe nguvuu nitafute mtajiii nijiajili.amina

  • @kingwatabata4230
    @kingwatabata4230 Před 5 lety

    Mkonda mh ubarikiwe sana, awo wapo wengi sana nchi hii.

  • @christinetimothy5805
    @christinetimothy5805 Před 5 lety +2

    Tanzania oyeeeeeeeeee!! Nakupenda nchi yangu.

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 Před 5 lety +1

    Safi sana mheshimiwa Makonda 👍

  • @waziriislam2455
    @waziriislam2455 Před 5 lety

    Makonda uko poa sana mungu AKUONGOZE sana kaka

  • @edwinndege6432
    @edwinndege6432 Před 5 lety

    Mama umetisha sana

  • @furahamwajeka3708
    @furahamwajeka3708 Před 5 lety

    ahsante mkuu makonda,sio huyo ocd tu baba wapo wengii,mwajili jeri muro afanye utafiti akupe repoti ni aibu trAfic ndo usiseme

  • @thabithamagnus638
    @thabithamagnus638 Před 7 měsíci

    Hiyo ni kweli kabisa,maaskari wanashirikiana Sana na wauza madawa ya kulevya

  • @saleheluvanga9929
    @saleheluvanga9929 Před 4 měsíci

    Wewe ni Magufuli kabisa yaani nakupongeza kabisa Mheshimiwa makonda MUNGU AKURINDE 📖📖📖📖🙏

  • @ramadhansylvesta1952
    @ramadhansylvesta1952 Před 5 lety

    kwakweli Mkuu wa mkoa ktk hili umekosea sana, kuvichonganisha vyombo vya ulinzi Na wananchi. Nimakosa makubwa

  • @davidngatunga7167
    @davidngatunga7167 Před 5 lety

    Leo makonda umenikuna sana hawa jamaa siyo mungu akubariki sana

  • @xavierycelsus3751
    @xavierycelsus3751 Před 5 lety

    Hongera sana mama.shikamoo,,

  • @idrisasimha9029
    @idrisasimha9029 Před 5 lety

    Big up Mh Makonda

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před 5 měsíci

    Safi sana Askari!!!

  • @gloriousabraham128
    @gloriousabraham128 Před 5 lety

    Kwakwel wew kaskana ulituonea sana mungu amejibu maombi Kwakwel

  • @hemedwow8802
    @hemedwow8802 Před 5 lety

    Mtihani sana.

  • @MohdRashid-cu9qb
    @MohdRashid-cu9qb Před 5 lety +1

    Sio vizuri kumueka polisi kulumbana Na RAIA hadharani kama hivi haipendezi

  • @kassimkingai564
    @kassimkingai564 Před 5 lety +1

    Unajua makonda ww ni msubutu sana jitoe kaka utapata malipo kutoka kwa MUNGU endelea kutetea wanyonge nakumbea heri insha'Allah

  • @abdulhamidkagina1409
    @abdulhamidkagina1409 Před 5 lety

    Makonda nakukubali sana hujawahi kukurupuka !! Kweli unafaa kuinyoosha daressalaam

  • @janejoseph4600
    @janejoseph4600 Před 5 lety

    Safi sana mama

  • @samsonmgaya4306
    @samsonmgaya4306 Před 5 lety +7

    RC hana mamlaka ya kumuwajibisha OCD na niwaambie tu hata OCD asipopangiwa majukumu mengine RC hana cha kumfanya

    • @issahamza6820
      @issahamza6820 Před 5 lety

      Hapa nimeshindwa kuelewa yaan Mkuu wa mkoa amekubali kudanganywa na huyo mama mpaka anamsimamisha kazi OCD. Kwa yeyote asiyewajua wamama wa aina ya huyu mama anaweza akaona anchoongea hapo ni cha maana sana. Lakini ukweli uliopo hapo anaujua yeye mwenyewe. Hapo Makonda naona ameamua maamuzi yasiyo na busara kabisa. Kwanza siyo sahihi kuruhusu huyo mama kujibizana na OCD namna hiyo.

    • @danielmsoma4741
      @danielmsoma4741 Před 5 lety

      naona watu wanadhani police nao wanateuliwa.

    • @martinezsiwale4419
      @martinezsiwale4419 Před 5 lety

      Samson Mgaya na ndio maana kasema nitaongea na wakubwa zako

    • @martinezsiwale4419
      @martinezsiwale4419 Před 5 lety

      Issa ocd alicho feli ni kuto kuwa straight speaking mama kapata point of weakness kashinda angekuwa straight kwamba nimewai shika mtu huy huyu na kesi zao zikaenda ivi lkn mama kamuuliza tu uliwai mshika nani na kitu gani hakuna jawabu ndio ubabaishaji wenyewe

  • @pasiankimario2268
    @pasiankimario2268 Před 5 lety

    safi sana . Apangiwe kazi nyingine .

  • @hindisaidi5097
    @hindisaidi5097 Před 5 lety

    Mkuu wa mkoa yupo sawa. Ili aweze kulinda mkoa lazima afanyekazi na watu anaowaamini. Si ajenda ya siasa.

  • @madunaukovizuribabukazabut6763

    Hongera mama kwakuongea ukweri

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Před 2 měsíci

    Asant sana Mh Makonda

  • @edrisalusonge4141
    @edrisalusonge4141 Před 29 dny

    Mm makona namkubal saana

  • @wazirilugazo6746
    @wazirilugazo6746 Před 5 lety

    Safi saaana kiongozi mkuu Wa mkoa

  • @rashidngwawile9062
    @rashidngwawile9062 Před 5 lety +6

    Hapa kazi tu

    • @user-wu8oi7jk7s
      @user-wu8oi7jk7s Před 4 měsíci

      Jamani kasikana ni mbaya muno MUNGU ni mukubwa nimefulai muno kama munakataa waulizen MAGUFURI TEMINAL alikua anakamata watu na kuwapeleka MAHAKA yajiji na kisha kuto sh 50,000

  • @emmanueljsemwaiko1442
    @emmanueljsemwaiko1442 Před 5 lety

    Safi sana mkuu

  • @fatmamajuu5255
    @fatmamajuu5255 Před 5 lety

    mama nimekupenda kwa ujasili wako💪💪💪💪💪

  • @paulomgan2064
    @paulomgan2064 Před 5 lety +2

    Ee MUNGU tuludishe kwenye imani ya kuwa na uwoga na kuamini kuwa upo

  • @aseelaaseela4913
    @aseelaaseela4913 Před 5 lety

    By up mommy 😘😘😘 kujiamin ndo kuweza mekupenda bureee

  • @unclesamtz6048
    @unclesamtz6048 Před 5 lety

    Hapo sawa sasa

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 Před 5 lety

    Makonda hongera sana

  • @mshobozikamgisha7496
    @mshobozikamgisha7496 Před 5 lety

    Uko safi mkuu

  • @flownluvanda5263
    @flownluvanda5263 Před 5 lety

    Makonda we kweli ukovzr Sana baba

  • @amrimavara2042
    @amrimavara2042 Před 5 lety

    bigup mkuu Wa mkoa

  • @stukiaally4690
    @stukiaally4690 Před 5 lety

    Blabla kushneiiiiiii huu utawala sio wa kuogopana hongera mama

  • @cleanbosco70
    @cleanbosco70 Před 5 lety +1

    Hivi nikuzalilishana kama ni mimi najihuzuru kazi kiukweli makonda unapenda sifa.

  • @mkombozikiratv.9733
    @mkombozikiratv.9733 Před 5 lety +1

    Japo kituo hiki cha buguruni hakifai kutokana na urasimu uliopo na ht kutumikia matajiri kama 92 hadware na mama wahenga kuwabambika kesi wananchi lkn sijapenda huu utaratibu uliotumika kumdhalilisha ocd

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 Před 5 lety

    Upo sahihi mkuu we Mkoa,polisi wengi maadili hakuna

  • @menikojohn2782
    @menikojohn2782 Před 3 měsíci

    Mama Ambaye Mwanae Ni Mtuhumiwa Wa Kesi Za Bangi Polisi Zaidi Ya Mara Moja Hawezi Kuwapenda Polisi, Na Hiyo Nyumba Itakuwa Ni kijiwe Cha Wavuta Bangi Tu, Ndio Maana Safari Za Polisi Haziishi Kwenye Huo Mji.

  • @rubyatv4067
    @rubyatv4067 Před 5 lety

    yes my boy

  • @jacklinemushi4326
    @jacklinemushi4326 Před 5 lety

    makonda safiiii

  • @usher_bambi9413
    @usher_bambi9413 Před 5 lety

    Amenisisimua my RC😍😍😍

  • @abdulkadir9814
    @abdulkadir9814 Před 5 lety

    Mama nomaa aisee

  • @nimrodmareges3131
    @nimrodmareges3131 Před 5 lety

    Safi

  • @godymashana1968
    @godymashana1968 Před 5 lety

    Jamani yangu macho tutawasiliana 2020

  • @lodrickshoo3958
    @lodrickshoo3958 Před 5 lety

    safi makonda

  • @barakaenock7581
    @barakaenock7581 Před 5 lety

    Safi sanaaaaaaa

  • @samsonmgaya4306
    @samsonmgaya4306 Před 5 lety

    OCD safiiii unajibu vizuri sana kwa kujiamini

  • @akimmbwego797
    @akimmbwego797 Před 5 lety

    MAMA INSHAALLAH
    LEO NI SIKU AMBAYO PEPO NI HAKI YAKOOOOOOOO

  • @fokasiinnocent3448
    @fokasiinnocent3448 Před 5 lety

    ckilizen watanzania wenzangu jeshi lapolice liache mambo Yale yakizamani yakuonea wanachi na kubambikizia kesi enzi zile akuna tena,makonda uko vizuri sn sn!!!!

  • @fokasiinnocent3448
    @fokasiinnocent3448 Před 5 lety +3

    zamani police alikua anauezo wakumpa kesi yoyote ile anakosana nae au kutompa pesa ASA ivi thubutu kwa utawala Wa magu!!!!!

  • @user-ch2xi5zm8y
    @user-ch2xi5zm8y Před 29 dny

    Waonezi sana

  • @norahkimuyu9097
    @norahkimuyu9097 Před 5 lety

    huyu mama ni noma sana....

  • @dennischarles8524
    @dennischarles8524 Před 5 lety

    Kero ni nyingi sana vituoni tuanze navyo

  • @pilihassan8085
    @pilihassan8085 Před měsícem

    Mama mzaramo uyoo cyo kwa kujiamin uko

  • @maxmbotta5734
    @maxmbotta5734 Před 5 lety

    RC makonda nakukubali sana ila kwa hili umechemka .

  • @rugijofrey3685
    @rugijofrey3685 Před 5 lety

    Siasa mbaya sana, ukimsikiliza huyo mama anasema nyumba yake haiuzwi Bangi toka 2006 inamaana ina historia yakufanya hivyo kipindi cha nyuma

  • @issahamza6820
    @issahamza6820 Před 5 lety +1

    Huku ni kusutana sasa kati ya OCD na huyo mama. Sijajua ni sheria ipi inatumika mpaka maamuzi ya kupangiwa kazi nyingine hapo? Yaan huyo mama anaonekana wazi kabisa anatetea maovu. Sijaona kosa la OCD ila Mkuu wa Mkoa umeamua kumuonea huruma huyu mama.

  • @dedememe2725
    @dedememe2725 Před 5 lety

    Kiukweli Buguruni police station kuna shida sana...Nimeupongeza uamuzi wa Makonda

  • @pastorypastory1366
    @pastorypastory1366 Před 5 lety

    Mh.Mkuu wa Mkoa endelea na spidi hiyo na msaidie mama na Ocd.

  • @lawmaina78
    @lawmaina78 Před 5 lety

    Duh mama alikua amejiandaa, yaani anazo taarifa zote.

  • @fabianimbilinyi3787
    @fabianimbilinyi3787 Před 5 lety +1

    hawa wananchi nyinyi serekari munawaminije hapohapo janmani kumbukeni majungu makonda wewe babaangu wangeamini yote birakuchunguza kweri ungekuwa mtumishi kweri ndugu naumeokoka zichunguze roho zingine amina

  • @aishadevid5463
    @aishadevid5463 Před 5 lety

    Makonda ww ni mwanasiasa tu na hivyo haupo juu ya majeshi na huna uwezo wa kumpangia kazi askari yeyote

  • @furahamwajeka3708
    @furahamwajeka3708 Před 5 lety

    respect noo,,tenda hAki i
    utaheshimiwa ukkiwa mbAdhilifu noo respect,hakuna haki sana toka polisi kuja wananchi..saafi mkuu makonda... hakii

  • @barnabastanford3500
    @barnabastanford3500 Před 5 lety

    Mh makonda katika harakati zako leo sasa ndo nimekuelewa hakika chapa kazi kama ulivyoambiwa na rais wa nchi makonda chapa kazi

  • @wilsonkifaru2374
    @wilsonkifaru2374 Před 5 lety

    Axante mkuu

  • @jumaedward7110
    @jumaedward7110 Před 5 lety +4

    ndio maana wazungu wanatudharau sana