Paul Makonda hongera sana kwa kusimamia haki.. IQ..100+ (G)
Mungu akusimamie sana mkuu Wa kituo.nimeumia kwa udhalishaji huo.kila mmoja ana mapungufu Yake.umekamata umepeleka mahakamani ,walitegemea ufanye nini.kwa hili lililokukuta naamin ndio fursa ya kufika mbali ,Mungu atakupandisha mbali
Dah! Asiyekupenda Mh. Makonda, siyo bure ana chuki zake binafsi. #Chapa kazi Mh. @I'm really appreciating you
Mw. RC Makonda big up kwa juhudi na busara juu ya majukumu yakazi unazozifanya hongera
Nakubal mkuu wa mkoa tangu nime kujua Leo ndo umenifurahisha zaidii piga kaziiiii mkuu
Daaaa safi sana mkuu wa mkoa Paul Makonda,,,,,kweli unawapigania wananchi. ....umeweza hadi kumtumbua mkuu wa kituo,,, Sadie Sana..... Bora iwage hivyo,,, askar watafanya kazi kwa mujibu wa Sheri's, yamezoea Sana kuvunja Sheri's,,,, wakati sisi wanansheria tunafuata Sheria...
Afande upo vizuri...... Achana na hao politicians
makonda wanaokuchukia walaniwe na tunamuomba mungu raisi akuache apo apo miaka mingi!!!akuna asosemwa ata raisi wetu anasema piga kazi usiogope!!!usiposemwa jua huna kitu.
Mnaonea watu kupita kiasi mpaka imefikia liwalo naliwe km kufa kila mtu atakufa safiiii sana mama mungu akulinde
Big up mama kwa kuwa jasiri na Mkuu wa Mkoa kwa Kukusikiliza
Buguruni ni Sawa kabisa atolewe uyo ocd kuna mambo ya kinyama Sana apo Buguruni
itakuwa nyinyi Shelia amuijuw makonda anaweza akafanya lolote juu ya ocd yeye makonda yupo kwenye kamati ya ulinz nausalama ya mkoa
Mkuu wa mkoa umekosa ethics za uongozi kabisa kuna uchunguzi gani uliofanya hapo. Muige ata kidogo Mh.Mtaka angalau awe lesson plan yako kidogo
Iko siku tunaweza.juta kwa huu ushabiki wa ajabu ambao unadhohofisha morali za makamanda wetu wa ulinzi na usalama. Wisdom is an integral component of good leadership.
Kwa hili, nitatofautiana na Mh. mkuu wangu wa mkoa. Sidhani kama haki imetendeka. Ingawa hatua iliyochukuliwa sio kubwa sana ila nadhani mkuu wa kituo ameabishwa mbele ya wananchi bila sababu.
Majibishano ya bimkubwa na mkuu wa kituo hayakuwa na umuhimu wowote. Nadhani mkuu wa mkoa alipaswa achukue taarifa ya mama, pamoja na maelezo mafupi ya polisi halafu akalishughulikie hilo suala baadae.
Kwanini polisi waing'ang'anie nyumba ya huyo mama tu bila sababu? Mama angesema huwa wanaomba rushwa tungemuelewa.
Pole sana kwa mkuu wa kituo cha Buguruni.
wewe unajuaje kama mku wa mkoa hana talifa nyingne kumhusu yeye kwani yeye mjinga achukue hatua bila kufatilia et hapo lazma co xhida yakwanza alixhapata talifa nyingii t kumhusu
Ila kusema kweli polis wanaonea sana. Mi mwenyewe waliwahi kunikamata wakanipa kes ya kuuza gongo yaani aisee😓😓😓😓
Mm mwenyewe kaka yangu amekamatwa saa tatu anarud kazini wamempa kes ya ukabaji ukiangalia hana tabia hiyo toka azaliwe, inauma sana na mpk bado yupo chang'ombe
magu ameibadili nchi ss wananchi tunajua thamani ya nchi yetu ,akuna brabra tena nisheria tu,magufuli mungu akubariki uishi miaka mingi sn ,eeh mungu mrinde mtoto wako maguful
Salam kw maofsa.mcpo kuwa na umoja.mtasumbuliw n watu ambao.hawajui taratibu za majeshi.
Hamad Shein taratibu Za majeshi zipi Hizo tufahamishe Au kuonea wananchi?
Makonda mungu akupe maisha marefu kazi njema.
Ahsante mh mkuu wa mkoa paul makonda kwa uamuzi ulio ufanya
Mungu akulinde mkuu wa mkoa wetu
Haufai hata kidogo, nimesononeka sana Kwani nilitamani siku moja niwe askari but kwa style hii, umechafua jeshi mpumbavu kabisa, haiwezekan Kamanda Siro huyu Bashite ana mamlaka gani yakuingilia mambo ya jeshi, nakwann askamatwe yeye nnani wakufanya hayo, kaiba makontena tumemuacha, au kunakitu nyuma yake, maana sio bule, angekuwa Nape chapu kidogo.
mp Jackson we nikipofu acha kutapika ko ulitaman uaskal ukanyanyase RAIA ,sio utawala wa magu,subilien msenge mwenzenu ajae mtese watu sio utawala wa baba magu
Ww huna akiri unasema mkuu wa mkoa anamamlaka gani ...unajielewa kweli www
tetea haki baba nakupenda sana makonda mungu akujalie afya njema
Hongera OCD wa polisi Buguruni kazi yako Mungu anaiona. Achana na political temper za rc
Flavian Pangah hana cha hongera hapo ni jambo la aibu sehemu ambayo watu ingekuwa Tumaini lao inapotokea tatizo ndo inaonea watu, anasahau miiko ya kazi yake na kuweka tamaa mbele
Polis wanakazi ngumu na raia wengi hawapendi polis wanafurah kutokezea tatiz ila ocd usijal pig kaz kawaida ya raia hat ufany jema gan hawawez kulisem hat viongoz wapime wao mbon wanatajw wanamakos na hawan
Hongera saaana mama, sina cha kukupa isipo kuwa tu kukushukuru kwa ukakamavu wako.
shukrani sana mkuu wetu kwa kutenda haki
makonda safi sana hongera kabisa. nashangaa ukiona koment wanaokataa niwalewale wanataka ushahidi gan tena juu yahuyo mama? ukiwa na akili timamu huwezi kuacha kumwamini huyo mama. maaskari wengi wao ndowalivyo bana.
makonda safi sana Allah akujalie
Safi sana mheshimiwa Makonda,Sio tu apangiwe kazi nyingine fukuza tu huyo askari ndo wailvyo hao kuonea Maskini
Mpaka polisi wanakupeleka mahakamani ,unasema wanakuonea,nimeumia sana kwa kauli ya kusema ocd njoo utudanganye,ni udhalilishaji mkubwa sana kwa chombo kikubwa.huyo ocd katoa maelezo ya kisomi na uweledi ila kama kuna insue pembeni Sawa.
watu wanashindwa kutofautisha mamlaka na taaluma unaeza ukawa mkubwa ukawa huna taaluma husika kwahyo hizo ni kiki na misiifa isiyo na sababu
sisi ndo tunaishi Buguruni na ndo tunaojua Mapolisi zetu Alichosema Uyo Mama ni kwel Mtupu Mapolisi Wa kituo kdogo hadi kikubwa Wanawatesa sana Wananchi na Kuwapa kesi Ambazo sio na Hao Hao Mapolisi Ushilikiano Hawatoi wao Wanachojua n kupiga Pesa tu
Kiukweli hiii nchii inapoelekea sii pazuriii siasa imekuwa fimboo kwa watendajiii na hata mtuuu afanyee mazrii vp kosa moja la funika mazriii yotee.hakika najuta kuajiliwa mora nipe nguvuu nitafute mtajiii nijiajili.amina
Mkonda mh ubarikiwe sana, awo wapo wengi sana nchi hii.
Tanzania oyeeeeeeeeee!! Nakupenda nchi yangu.
Safi sana mheshimiwa Makonda 👍
Makonda uko poa sana mungu AKUONGOZE sana kaka
Mama umetisha sana
ahsante mkuu makonda,sio huyo ocd tu baba wapo wengii,mwajili jeri muro afanye utafiti akupe repoti ni aibu trAfic ndo usiseme
Hiyo ni kweli kabisa,maaskari wanashirikiana Sana na wauza madawa ya kulevya
Wewe ni Magufuli kabisa yaani nakupongeza kabisa Mheshimiwa makonda MUNGU AKURINDE 📖📖📖📖🙏
kwakweli Mkuu wa mkoa ktk hili umekosea sana, kuvichonganisha vyombo vya ulinzi Na wananchi. Nimakosa makubwa
Leo makonda umenikuna sana hawa jamaa siyo mungu akubariki sana
Hongera sana mama.shikamoo,,
Big up Mh Makonda
Safi sana Askari!!!
Kwakwel wew kaskana ulituonea sana mungu amejibu maombi Kwakwel
Mtihani sana.
Sio vizuri kumueka polisi kulumbana Na RAIA hadharani kama hivi haipendezi
Unajua makonda ww ni msubutu sana jitoe kaka utapata malipo kutoka kwa MUNGU endelea kutetea wanyonge nakumbea heri insha'Allah
Makonda nakukubali sana hujawahi kukurupuka !! Kweli unafaa kuinyoosha daressalaam
Safi sana mama
RC hana mamlaka ya kumuwajibisha OCD na niwaambie tu hata OCD asipopangiwa majukumu mengine RC hana cha kumfanya
Hapa nimeshindwa kuelewa yaan Mkuu wa mkoa amekubali kudanganywa na huyo mama mpaka anamsimamisha kazi OCD. Kwa yeyote asiyewajua wamama wa aina ya huyu mama anaweza akaona anchoongea hapo ni cha maana sana. Lakini ukweli uliopo hapo anaujua yeye mwenyewe. Hapo Makonda naona ameamua maamuzi yasiyo na busara kabisa. Kwanza siyo sahihi kuruhusu huyo mama kujibizana na OCD namna hiyo.
Issa ocd alicho feli ni kuto kuwa straight speaking mama kapata point of weakness kashinda angekuwa straight kwamba nimewai shika mtu huy huyu na kesi zao zikaenda ivi lkn mama kamuuliza tu uliwai mshika nani na kitu gani hakuna jawabu ndio ubabaishaji wenyewe
safi sana . Apangiwe kazi nyingine .
Mkuu wa mkoa yupo sawa. Ili aweze kulinda mkoa lazima afanyekazi na watu anaowaamini. Si ajenda ya siasa.
Hongera mama kwakuongea ukweri
Asant sana Mh Makonda
Mm makona namkubal saana
Safi saaana kiongozi mkuu Wa mkoa
Hapa kazi tu
Jamani kasikana ni mbaya muno MUNGU ni mukubwa nimefulai muno kama munakataa waulizen MAGUFURI TEMINAL alikua anakamata watu na kuwapeleka MAHAKA yajiji na kisha kuto sh 50,000
Safi sana mkuu
mama nimekupenda kwa ujasili wako💪💪💪💪💪
Ee MUNGU tuludishe kwenye imani ya kuwa na uwoga na kuamini kuwa upo
By up mommy 😘😘😘 kujiamin ndo kuweza mekupenda bureee
Hapo sawa sasa
Makonda hongera sana
Uko safi mkuu
Makonda we kweli ukovzr Sana baba
bigup mkuu Wa mkoa
Blabla kushneiiiiiii huu utawala sio wa kuogopana hongera mama
Hivi nikuzalilishana kama ni mimi najihuzuru kazi kiukweli makonda unapenda sifa.
Japo kituo hiki cha buguruni hakifai kutokana na urasimu uliopo na ht kutumikia matajiri kama 92 hadware na mama wahenga kuwabambika kesi wananchi lkn sijapenda huu utaratibu uliotumika kumdhalilisha ocd
Upo sahihi mkuu we Mkoa,polisi wengi maadili hakuna
Mama Ambaye Mwanae Ni Mtuhumiwa Wa Kesi Za Bangi Polisi Zaidi Ya Mara Moja Hawezi Kuwapenda Polisi, Na Hiyo Nyumba Itakuwa Ni kijiwe Cha Wavuta Bangi Tu, Ndio Maana Safari Za Polisi Haziishi Kwenye Huo Mji.
yes my boy
makonda safiiii
Amenisisimua my RC😍😍😍
Mama nomaa aisee
Safi
Jamani yangu macho tutawasiliana 2020
safi makonda
Safi sanaaaaaaa
OCD safiiii unajibu vizuri sana kwa kujiamini
MAMA INSHAALLAH
LEO NI SIKU AMBAYO PEPO NI HAKI YAKOOOOOOOO
ckilizen watanzania wenzangu jeshi lapolice liache mambo Yale yakizamani yakuonea wanachi na kubambikizia kesi enzi zile akuna tena,makonda uko vizuri sn sn!!!!
zamani police alikua anauezo wakumpa kesi yoyote ile anakosana nae au kutompa pesa ASA ivi thubutu kwa utawala Wa magu!!!!!
Waonezi sana
huyu mama ni noma sana....
Kero ni nyingi sana vituoni tuanze navyo
Mama mzaramo uyoo cyo kwa kujiamin uko
RC makonda nakukubali sana ila kwa hili umechemka .
Siasa mbaya sana, ukimsikiliza huyo mama anasema nyumba yake haiuzwi Bangi toka 2006 inamaana ina historia yakufanya hivyo kipindi cha nyuma
Huku ni kusutana sasa kati ya OCD na huyo mama. Sijajua ni sheria ipi inatumika mpaka maamuzi ya kupangiwa kazi nyingine hapo? Yaan huyo mama anaonekana wazi kabisa anatetea maovu. Sijaona kosa la OCD ila Mkuu wa Mkoa umeamua kumuonea huruma huyu mama.
Kiukweli Buguruni police station kuna shida sana...Nimeupongeza uamuzi wa Makonda
Mh.Mkuu wa Mkoa endelea na spidi hiyo na msaidie mama na Ocd.
Duh mama alikua amejiandaa, yaani anazo taarifa zote.
hawa wananchi nyinyi serekari munawaminije hapohapo janmani kumbukeni majungu makonda wewe babaangu wangeamini yote birakuchunguza kweri ungekuwa mtumishi kweri ndugu naumeokoka zichunguze roho zingine amina
Makonda ww ni mwanasiasa tu na hivyo haupo juu ya majeshi na huna uwezo wa kumpangia kazi askari yeyote
respect noo,,tenda hAki i
utaheshimiwa ukkiwa mbAdhilifu noo respect,hakuna haki sana toka polisi kuja wananchi..saafi mkuu makonda... hakii
Mh makonda katika harakati zako leo sasa ndo nimekuelewa hakika chapa kazi kama ulivyoambiwa na rais wa nchi makonda chapa kazi
Axante mkuu
ndio maana wazungu wanatudharau sana
Tungekuwa na wanawake wenye uwezo wa kujieleza km huyu mama,basi Tanzania Tungekuwa mbali sana. Mwanamke kujiamini bwana.
Hawa Madiwa propaganda tu hapo
lulyeho madale z see ß a za zß CCC CCC x
Nikweli kabisa