VURUGU ZAIBUKA! MKURUGENZI na Wanachama CHADEMA Nusura WAZICHAPE, Akataa KUPOKEA FOMU za WAGOMBEA...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • VURUGU ZAIBUKA! MKURUGENZI na Wanachama CHADEMA Nusura WAZICHAPE, Akataa KUPOKEA FOMU za WAGOMBEA...
    KATIKA hali isiyo ya kawaida, Mkurugenzi wa uchaguzi Moshi ameingia katika mgogoro na wanachama wa Chadema chanzo kikiwa ni fomu ya wagombea wa Chadema.....
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Komentáře • 602

  • @marymremi1241
    @marymremi1241 Před 4 lety +3

    ,Mungu Mungu Mungu Mungu Mungu Mungu Mungu Baba ulieumba mbingu na nchi vyote vilivyomo Baba simama tusaidie uchaguzi wa amani tunakuangalia wewe hatutaona mwingine na jua unaweza njia zako hazichunguziki uliefanya njia ktkt ya bahari fanya njia zako Mungu wewe unatujua kuliko tunavyojijua unaona mpaka mioyo iliyofichika damu ya mtanzania yoyote ilindwe na wewe

  • @ceciliajimmy5652
    @ceciliajimmy5652 Před 4 lety +1

    Asanteni sana kina mama kwa ujasiri wenu.

  • @ramadhanimbulu6716
    @ramadhanimbulu6716 Před 4 lety +14

    Daah! angekuwepo Adamu mchomvu angefupisha mazungumzo tu...!! huyu mkurugenzi ni jeuri Sana.

  • @gasperswai6963
    @gasperswai6963 Před 4 lety +39

    Mkurugenzi tumia hekima na wajibika, ni accountability yake hao ni wateja wako kujua form ni feki a u receipt ni wewe, jua receipt inatumika ku-acknowledge payment, na wewe mkurgenzi ndiyo process owner, unavyo Tiba Shaka Nani wa kutoa wajibu hayo zaidi ya ofisi yako?

  • @damsonwillison435
    @damsonwillison435 Před 4 lety +39

    Huyu mkurugenzi Ana kiburi Mi sio Chadema lakini kwa hili mkurugenzi unakera

    • @abassmtemekelemkovizuritv7231
      @abassmtemekelemkovizuritv7231 Před 4 lety +3

      Piga makofii ya maan upuuz kama huo wanini mnanlea hvo

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 Před 4 lety +3

      CHADEMA kwa kuzua maneno huwawezi. Unamsikiliza kuwa waliambiwa na NCCR mageuzi
      Wanachakachua mwenyewe kisha waanazua kesi hawa watu ni wajinga sana

    • @verdianabanabi5943
      @verdianabanabi5943 Před 4 lety +3

      Kweli mkurugenzi anakela ila hajui cheo siyo dhamana

    • @mathiasmsese6128
      @mathiasmsese6128 Před 4 lety

      hapana hawa wazee wanataka mbango mbona mkurugenzi amewaambia wapeleke tena aliwaambia muda mrefu tu

    • @amosikabalata6381
      @amosikabalata6381 Před 4 lety +1

      Ndugu yangu unajua hawa watu ambao wako upande wa utawala wana jeuri sana

  • @lukagulagekidehele5788
    @lukagulagekidehele5788 Před 4 lety +7

    Mkurugenzi wa Moshi ujue kuna utawala wa mpito nchi hii haina mwenyewe, mwenywe ni Mungu tu. Utakuja jutia kijana

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 Před 4 lety +36

    Huyu msimamizi anachokitafuta atakipata! Huu sio uchaguzi wa serikali za mitaa

    • @martinemaganga2546
      @martinemaganga2546 Před 4 lety

      Tatizo ni kwamba wanaochukua form wanamchanganya kwanini wao mara aliyechukua form siyo yeye

    • @givenkigahe8116
      @givenkigahe8116 Před 4 lety +1

      @@martinemaganga2546 acha ujinga ww

    • @laghanganuwagi7602
      @laghanganuwagi7602 Před 4 lety

      We ulijuaje kwamba wsnamchanganya?

    • @verdianabanabi5943
      @verdianabanabi5943 Před 4 lety

      Mkurugenzi tumia busara katika kazi yako na hekima usije ukaleta shida

  • @bonnyngowo7567
    @bonnyngowo7567 Před 4 lety +1

    Kwa mambo ya kipuuzi kama haya tutawezaje kudumisha amani.Huyu mkurugenzi aache kucheza na haki za watu wa Moshi

  • @kibotvkibo7877
    @kibotvkibo7877 Před 4 lety +10

    Duh shida nn wakurugenzi mbona mnawatesa sa wapinzani jmn!!!

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 Před 4 lety +30

    Ndomana tulipendekeza kwamba msimamizi wa uchaguzi asiwe mkurugenzi mana ni walewale

  • @philipgerald9646
    @philipgerald9646 Před 4 lety +38

    Hawa wakurugenzi mwaka huu tutaimba nao iyenaiyena ama zetu ama zao

    • @aidanhamza4656
      @aidanhamza4656 Před 4 lety

      Uwe mbele mbele ili wakutegue kiuno mkeo wakulele wenzio

    • @mwambamkombozi4672
      @mwambamkombozi4672 Před 4 lety

      Aidan Hamza mbona jina alifanani na majibu unayomuandia mtu au jina bandia?!!

    • @nabothngailo6594
      @nabothngailo6594 Před 4 lety +1

      Ndo.maana.tulikataa.wakulugenzi.kusimamia.uchaguzi

    • @aidanhamza4656
      @aidanhamza4656 Před 4 lety

      @@mwambamkombozi4672 jibu lenye uhalisia kabisa hilo yeye anasema ataimba naye iyena iyena wakat anao wapigania wao wapo makwao wanakula raha , sasa ndio namwambia awe mbele mbele kule kwenye kupamba ili akione cha moto c anataka kuimba naye

    • @hadija846
      @hadija846 Před 4 lety

      Haahaaaahaaaaa nyimbo mzuri sana iyenaiyena ama zetu ama zao 👍😍

  • @solemba595
    @solemba595 Před 4 lety +11

    Hawa Viongozi gani wasio na hekima, baadae wanasema tutangulize Mungu, yaan aibu tupu

  • @augustinemwalongo2580
    @augustinemwalongo2580 Před 4 lety +17

    Mbona vizingiti vinakua vingi kwa wagombea wa chadema jaman!!!🤔🤔🤔

  • @mussasualehe7146
    @mussasualehe7146 Před 4 lety +14

    Yaani wametangaza kukubalika leo wameanza wizi.
    Si wanapendwa?
    Figisu za nini?

  • @emmanuelndaki7942
    @emmanuelndaki7942 Před 4 lety

    Mkurugenzi ahahoja ya msingi. Msikilize anasema formu ziko sahihi. Kama unashaka nenda polisi wathibitishe theni rudisha lakini kwa kibali cha polisi. Sasas shida iko wapi? Mkurugeni uko vizuri sana kimaelezo hao wahuni achana nao wafate taratibu.

  • @duoxmasisa6529
    @duoxmasisa6529 Před 4 lety +5

    Hapa hakuna mkurugenzi,sasa FOMU c za kwako hutaki kupokea huyu itakuwa alitaka kuwachomekea ili bde aje awakatae sasa pale ishu ishabumbuluka atakufa nazo mwenyewe

  • @msuo7215
    @msuo7215 Před 4 lety +14

    Mwaka huu ccm wajiangarie sana

    • @twaibumikidadi7377
      @twaibumikidadi7377 Před 4 lety +1

      kbsaa kabsaaa
      maaana wanaaanhaika sanaaaaa!

    • @petermwacha9909
      @petermwacha9909 Před 4 lety +2

      CCM wanahusikaje? Nyie mnatengeneza comed zenu mnasumbua WASIMAMIZI wa uchaguzi

    • @gideonstephen6879
      @gideonstephen6879 Před 4 lety

      Hi Nicole mbinu mpya na sct juzi ubungo nao wakafanya wanapeleka barua haina hata reference namba halafu mgombea mwenyewe ni mwna sheria huu ni utoto

    • @msuo7215
      @msuo7215 Před 4 lety +1

      @@gideonstephen6879 mh ni shida kwakweli

    • @naomimabula2660
      @naomimabula2660 Před 4 lety +1

      Mkurugenzi uelewa mdogo sana jaman, hilo suala sio la kifamilia, ni dhamana tu umepewa, sikiliza Wananchi

  • @geraldgodsontv7982
    @geraldgodsontv7982 Před 4 lety +12

    Huu uchaguz wa mwaka huu Mungu tuvushe😭😭

  • @kiandangulwi3546
    @kiandangulwi3546 Před 4 lety

    Hatari sana. God help Tz, Tuondolee wahujumu haki wote hata kama wanania njema kwa mawazo yao

  • @isaacsongoro6278
    @isaacsongoro6278 Před 4 lety +5

    Nimemfatilia sana mkurugenzi, nimegundua chadema mnakwenda kwa mihemuko, na jazba mnatakiwa kuwa watulivu mpewewe maelekezo sahihi

    • @charzwilson9494
      @charzwilson9494 Před 4 lety

      Chunguza akiriyako Kisha Pima ujue Kama hujanasiriwa na maisha

  • @margarethalyimo5475
    @margarethalyimo5475 Před 4 lety +13

    Kama CCM wanapendwa, hizi figusi zote za nn??

    • @mlapikauma7660
      @mlapikauma7660 Před 4 lety

      Huku kwetu tumetiliwa mageti barabarani..Hahaaa hofuuuuuuu

    • @mathiasmsese6128
      @mathiasmsese6128 Před 4 lety +1

      ukiondoa ushabiki wa vyama hawa wazee wamekua na mbango zisizo na maana. walitakiwa waendee kwa police waconfirm

    • @sweetbertrwiza5982
      @sweetbertrwiza5982 Před 4 lety

      Apo sasa!!!

    • @babylonyNgwembe
      @babylonyNgwembe Před 4 lety

      CHADEMA wanatakiwa wajfunze zama zmebadlka na siyo kama awali kutafuta kiki za kujiboost

  • @ndimesady7467
    @ndimesady7467 Před 4 lety +22

    Hawa jamaa wanatutesa sana ila ipo siku wataumbuka tup pamja na chadema wawo wangake tunataka mabadiliko ccm tumeichoka jaman

    • @petermwacha9909
      @petermwacha9909 Před 4 lety +2

      Vitu vingine vinatengenezwa na vyama vyenu kisha baadae wanaanza kueneza uongo. Angalia yule mtu wa ACT aliekamatwa kule KIBAMBA.

    • @timorpathsullusi7055
      @timorpathsullusi7055 Před 4 lety +1

      Wapuuzi hao, si wafate taratibu za Tume, wenyewe wanabishania nje ya ofisi. Na majibu yao watapewa hovyohovyo

    • @victormneney8789
      @victormneney8789 Před 4 lety

      Mnapo jibu humu comment mjue kuna vipanya pandikizi vyakutetea upuuzi kama vile vya hai leo vinanyea ndoo kisa buku ten

    • @lindambilinyi6253
      @lindambilinyi6253 Před 4 lety

      Tumeichoka,wasubil oct 28 ccm tutawanyoosha shenzy zao

  • @magrethsomi4318
    @magrethsomi4318 Před 4 lety

    Ndugu haya ni maisha tu, kila apandacho mtu ndicho atakachovuna. Tutendeane wema.

  • @gaspermatee3970
    @gaspermatee3970 Před 2 lety

    Kama ni kenya 🇰🇪 huyu jamaa sijui kweli form tu

  • @allydilunga9621
    @allydilunga9621 Před 4 lety +3

    Dah 😯😯😯😯

  • @xerxespersian1384
    @xerxespersian1384 Před 4 lety

    AIBU KUBWAAAAAAA
    ME NAWAOGOPA BINADAM MAANA WALIMUUA YESU PIA WALICHUKIWA NA MARAIKA MKUU WA BODI YA MASIFU YA MUNGU NA NDIO MAANA NAWAOGOPA BINADAMUUUUUUUU🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🛌

  • @christianmumwi3166
    @christianmumwi3166 Před 4 lety

    Ok

  • @salumuhamissi3492
    @salumuhamissi3492 Před 4 lety +2

    Ccm inakata roho bado kuzikwa tu

  • @robertsemaganga9168
    @robertsemaganga9168 Před 4 lety

    Tunduuuuuuuuuuuuuu.😂😀😁😂😀😁🚵🚵🚵🚵 kubwaaaaaa sana

  • @msetikebwasi6895
    @msetikebwasi6895 Před 4 lety

    Hatareeeee sana.

  • @noahmboma1759
    @noahmboma1759 Před 4 lety

    Dah, lakini tukumbuke kuwa baada ya uchaguzi kuna maisha yanaendelea

  • @fahamnitwahir9249
    @fahamnitwahir9249 Před 4 lety +6

    Aisee kiukwel mm huyu mkurugenz ningkuwa hpo angerud nyumbani na maundu au meno hana

  • @godymbanyi1878
    @godymbanyi1878 Před 4 lety

    Inauma sana unapoona mtu Kwa mamlaka aliyopewa, anataka kusababisha vurugu bila sababu. Very sad.

  • @josefusamki8294
    @josefusamki8294 Před 4 lety +13

    Huyu mkurugenz hatufai moshi tunaongozwaje na mtu kma huyu?

  • @agneskigongo217
    @agneskigongo217 Před 4 lety +9

    Mwaka huu hakika tutashuhudia mengi

  • @Tanzaniawildcats
    @Tanzaniawildcats Před 4 lety +1

    Dah noma hii

  • @shanelisessoa6319
    @shanelisessoa6319 Před 4 lety +26

    Huyu niwakupiga na inatakiwa apigwe kabla ya uchaguzi na ikibidi akajue cheo nidhama siyo uungu

    • @shanelisessoa6319
      @shanelisessoa6319 Před 4 lety

      Ndugu zangu hawa Miungu watu ndio watakao tuleta vita vya wenyewe kwawenyewe,na mwisho nikuwa ng'oa mapema kwa nia ya kuleta amani ya nchi,
      Huyu niwa kushughulikia yawezekana nimaelekezo

    • @kaishozigodfrey3476
      @kaishozigodfrey3476 Před 4 lety +2

      Hujielewi kwani maelekezo ya mkurugenzi hayajaeleweka? Tatizo tushajua tu kuwa CDM wazee wakiki. NCCR na ACT unamaana hawajielewi? Pumbavu CDM fuata kanuni na taratibu za nchi fala nyinyi

    • @JOSEVEGAS001
      @JOSEVEGAS001 Před 4 lety

      🏋‍♀️🏌🏻‍♂🤸🏿‍♂🤺🤣🤣🤣

    • @willymgogo6975
      @willymgogo6975 Před 4 lety

      Tendeni haki tulinde amani

    • @danielgiiti7295
      @danielgiiti7295 Před 4 lety

      Wee fara tu

  • @africanhunter1245
    @africanhunter1245 Před 4 lety

    hapa kazi tu

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 Před 4 lety

    Hawa ndo wanaharibu uchaguzi,kwa hakika inauma Sana maana ukiangalia huyu mtu anakabidhiwa majukumu ya kusimamia uchaguzi ilihali hajateuliwa na mkurugenzi wa tume ya uchaguzi,kiukweli Mungu atusaidie siku moja haya yasionekane

  • @hilarykinyekile7433
    @hilarykinyekile7433 Před 4 lety

    Mungu ingilia Kati Mambo ya hovyo kabisa haya,nimambo aibu kwa taifa,huu mchezo mchafu,haki itendeke Kama wanadamu,Kweli Kuna binadamu na wanywadamu,Mungu anawaona!

  • @kingtommdogo6232
    @kingtommdogo6232 Před 4 lety

    Nikupe kazi nikupe nyumba nikupe gari Kisha mtangaze mshindi! Nakufuta kazi

  • @raphaelsamwel2640
    @raphaelsamwel2640 Před 4 lety

    Chadema waelewa sana!! Mkuregenzi anaonekana mnazi tu!!!

  • @raphaelsamwel2640
    @raphaelsamwel2640 Před 4 lety

    Ndio matatizo ya kuwa na makurugenzi makada ya ccm !! Unazi wala hana sifa za kiongozi!! Magufuli umetukosea sana kwa huu mtindo wa kuteuwa nafasi za utendaji kama ukurugenzi makada wa ccm !! Haibu!!

  • @meshackngujati2905
    @meshackngujati2905 Před 4 lety +14

    Mwacheni tu atawatambua tu

  • @ezekielrutendeli1325
    @ezekielrutendeli1325 Před 4 lety +4

    Hivi huyo mkurugenzi anafanya hivyo kwa ili iweje ?.Au anatekeleza maagizo toka juu?.Yale yale ya uchaguzi wa serikali za mitaa yameanza.

  • @jeremiadaudi5780
    @jeremiadaudi5780 Před 4 lety +1

    Hu mwaka hatutawaacha wavuruge tena uchaguzi tupo tayari kwa chochote kile hakika

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 Před 4 lety +7

    kwanini form zenye utata ni za wapinzani tu!!!!!!?????

    • @JOSEVEGAS001
      @JOSEVEGAS001 Před 4 lety

      Jamani eti hata mitambo nayo risiti inaprint ya ccm tu yani mpizini akifika zinagoma ,ccm je mitambo inazindiku🤣🤣🤣🤣🤣 jamani tusubiri movie

    • @azizawadh5973
      @azizawadh5973 Před 4 lety

      Mkurugenzi anasema muda imeisha hatoi huduma

    • @lindambilinyi6253
      @lindambilinyi6253 Před 4 lety

      Hapo xx

    • @yusuphmohammad1385
      @yusuphmohammad1385 Před 4 lety

      Sababau wanakihoro cha kujaza wenzao wametulia na wamepewa semina juu ya hizo fomu

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Před 4 lety

    Mkurugenzi mama ana kichwa kigumu sana haelewi anachokifanya, yupo yupo tu na kiburi kazi itamshinda.

  • @alphonsengowi9503
    @alphonsengowi9503 Před 4 lety

    Huyu mjinga ni wa kuondoa hapa Kilimànjaro. Mpumbavu mmoja anaweza kuhatarisha amani ya nchi yetu.

  • @exuperiusmutabuzi7218
    @exuperiusmutabuzi7218 Před 4 lety

    Huu ni ushuhuda tosha kuwa Tanzania haijawa tayari kwa uchaguzi huru. Tume ya uchaguzi ni upuuzi mtupu. Bila katiba mpya tutakuwa tunawalaumu bure hawa wakurugenzi. Wapo kutimiza matakwa ya chama chao tawala. Inasikitisha sana.

  • @babylonyNgwembe
    @babylonyNgwembe Před 4 lety +1

    Uyu jamaa mpuuz sana wewe mnapeleka shda police alafu unataka urudishe sasa msimamz atapokeaje form so lazima ithibitshwe tena na police ivyo wamejchanganya wenyewe na wakat mwngne wanapga goli la MKONO wenyewe kwa upande wapli kwan wao nani mana malalamiko n mbwembwe kbao kla siku

  • @jeremiadaudi5780
    @jeremiadaudi5780 Před 4 lety +7

    Hao wapumbavu wa pigeni hata mawe maana washenzi kweli

  • @bulayaconfidential7212
    @bulayaconfidential7212 Před 4 lety +1

    Hii ndio CCM chama chenye nguvu na kilicho fanya mazuri mengi kwa wananchi wake swali linakuja je, ni kwa nini:-
    mahakamaCCM
    tumeCCM
    wakurugenziCCM
    policeCCM
    wasaniiCCM.
    kweli kizuri chajiuza na kibaya chajichakaza.

    • @mohamedimbinga225
      @mohamedimbinga225 Před 4 lety

      Duh

    • @gasperswai6963
      @gasperswai6963 Před 4 lety

      Mimi issue siyo chama ni mtu,kiongozi unapopewa dhamana unatakiwa kutumia ueledi wako,pia hekima,mimi binafsi sijaona ni kwanini mkurugenzi ana Tunis nguvu nyingi kwa kitu ambacho angeweza kutumia ofisi kutatua hilo suala kwa kutumia kile kilichomfanya kupewa hiyo nafasi,na pia ofisi hayupo mwenyewe, angefabmnya team yake kutoa majibu sahihi kwa mahali sahihi!

  • @khamissnassor1462
    @khamissnassor1462 Před 4 lety

    CCM mnachokifanya mungu anawaona

  • @adammbaruku4434
    @adammbaruku4434 Před 4 lety

    Sikuona sababu ya kugombana na mkurugenzi kabla ya kujaza hizo form alizowapa na kuzirudisha akizikataa ndiyo muanze kesi , sasa mnaanza kulinganisha na za vyama vingine sijui mliziona wapi, tulizeni mizuka ndugu!!

  • @jacksonolotu9318
    @jacksonolotu9318 Před 4 lety

    Katibu uko vizuri

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 Před 4 lety

    Mungu aningilie Kati cheo ni chakupita hizo nidharau

  • @philemonmachange1853
    @philemonmachange1853 Před 4 lety +1

    Yani ndy mnategemea huyu mtu awatangaze kama mkishinda 😳😳 nisawa na kusubiri Meli airport

  • @mashakamwashilindi5607
    @mashakamwashilindi5607 Před 4 lety +2

    Viongozi wa dini semeni na hii,AMANI ipo apo kwa mkurugenzi.

    • @ambasonkalenga2047
      @ambasonkalenga2047 Před 4 lety

      Wasemakweli nimashehe waliopo kifungoni tu wengine wote wachumia tumbo kula zaka za masikini tu kumbuka wengine walipewe hata pesa za escro

  • @jeremiadaudi5780
    @jeremiadaudi5780 Před 4 lety +12

    Ndugu zangu hawa wakurugenzi wote ni makada wa ccm sasa wa amini hu mwaka damu kwa damu

    • @bonifacekalima5273
      @bonifacekalima5273 Před 4 lety +1

      Wastulazimishe kuunga mkono juhudi za rais,, bila upinzani hata huyo rais angeendelza madudu... upinzani umefichua mengi CCM wameifilsi saana nchi hii na kuingiza nchi kwenye madeni bc ya ajabuajabu tu

    • @jeremiadaudi5780
      @jeremiadaudi5780 Před 4 lety

      Subirini

    • @jeremiadaudi5780
      @jeremiadaudi5780 Před 4 lety +1

      Wao wameapishwa kuto tangaza wapinzani watakao shinda sasa nasi tumeapa kufa kabla ya siku zetu maana uwe mwema utakufa uwe shetani utakufa tu, sasa bora tufenao

    • @bongo255tv7
      @bongo255tv7 Před 4 lety

      Tutachoma nyumba zao

    • @aidanhamza4656
      @aidanhamza4656 Před 4 lety

      Jidanganya tu tena ww ndo inatakiwa uwe mbele mbele ili umwagwe ww damu kwanza ili tukuone shujaa wetu ukitapika damu, unajifanya unauchungu sana wakat hta mia huna

  • @ephraimrugabandana773
    @ephraimrugabandana773 Před 4 lety

    Uongozi wa juu tafadhari angalieni haya mambo yanatia aibu nchi yetu pia inaonyesha picha isiokua nzuri kwataifa letu!!! Machafuko mengine mtasababisha wenyewe na sio wapinzani!!!

  • @ramadhanimahongole8764
    @ramadhanimahongole8764 Před 4 lety +6

    huyo mkurugenzi ni mwizi kama mwizi mwingine yoyote muiba kuku pumbavu zake

  • @afredyohana356
    @afredyohana356 Před 4 lety

    Kwakweli cjui hiki kiburi wanakipata wapi wakurungezi ira Mungu atawahukumu tu

  • @kasalimareju6052
    @kasalimareju6052 Před 4 lety

    Watanzania wenzangu tulieni tudhuma aijawai kushinda kwamwe ina mwisho naisi mwaka huu Mungu kaisha tuandalia Daudi alie muua goriati watu wakafulaihi

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 Před 4 lety +2

    NCCR- waliwambia form siyo sahihi indeed 🤨🤨🤨

  • @ceciliajimmy5652
    @ceciliajimmy5652 Před 4 lety

    Mteule huyoooo, halafu ana kiburi sanaa. Cheo ni dhamana.

  • @OLELEMBRICE
    @OLELEMBRICE Před 4 lety

    Chadomo vilaza mnaimbiwa muwasilishe receipt manaleta longo longo,ka mmetengeneza receipt na form zenu atajuaje,sasa form mmepeleka police unataka zipokelewe na msimamizi mlio mtuhumu,kwann msirudi police wawape mwongozo,alaf mna bahati hamja kutana na mtu kama mimi,mmekutana na mtu mpole kidogo.

  • @sandraasafisana811
    @sandraasafisana811 Před 4 lety +2

    Kiongozi Kama huyu hata Sijui niseme anafaa au hafai maana kid ngozi wetu wa nchi kashasema sheria zitekelezwe ili kusiwepo malalamiko sasa huyu anataka kutuchafulia jina.

  • @kisiriryoba710
    @kisiriryoba710 Před 4 lety

    Tunakoelekea Si kuzuri. mtaingiza nchi hii kwenye matatizo kwa kujitia upofu.
    mkurugenzi wewe ndiye kiongozi unayesimamia zoezi hilo alafu watu wanakuja kwako kama kiongozi badala ya kushughulia malalamiko yao unafanya upuuzi mizaha na kujitia upofu. kesho mahakamani utajibu nini? au fujo ikitokea usalama ukaharibika utasema nini hapo.

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 Před 4 lety

    Nyinyi chadema hamridhiku n'a chochote pahali mlipo mnaleta balaa

  • @rammyrichtv6913
    @rammyrichtv6913 Před 4 lety

    Mkae mkijua mnaishi na wanajamii ambao mnawaletea miyayusho.Huyu mkurugenzi mpumbavu sana

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester125 Před 4 lety

    Tatizo la watanzania tukipewa maagizo hua hawataki kufwata mnaambiwa kama kuna hoja wasilisha mnazidisha maelezo meeengi

  • @mwalimumbukuzi7273
    @mwalimumbukuzi7273 Před 4 lety

    wakati unaandikiwa risiti ya udiwani nawewe ni mgombea ubunge uliondokaje?kama umakini haupo nchi myaifanyia nini?

  • @gastordominic410
    @gastordominic410 Před 4 lety

    Kwan kazi ya police ni kuthibitisha fomu halal au siyo halali?

  • @josurelauwo7104
    @josurelauwo7104 Před 4 lety

    Kilichobaki ni vita tu
    Ili ufike wkt wa kuheshimiana hakuna njia nyingine zaidi ya iyo tu

  • @sagitashumbimakumbi3224

    mkurugenzi yupo sahihi tatizo likisha pelekwa polisi au mahakamani inabidi kusubiri maamuzi ya huko Kwanza ndipo baadae Mambo yaendelee,mna haraka gani na polisi mmeenda wenyewe subirini ili Kama feki mkurugenzi afungwe.

  • @sebastianmwantuge5597
    @sebastianmwantuge5597 Před 4 lety

    Huyo mkurugenzi hajui kwamba anayempa jeuri hiyo ni mpapai,atakuja kukiona cha moto akiharibu uchaguzi

  • @denismassawe9255
    @denismassawe9255 Před 4 lety

    Wewe ndio uliowapa walipoona haziko sawa kwanini hawakurudi kwako wakaenda polisi ??? Kwani polisi ndio waliowapa?? Wangekuja kwako kwanza wakuoneshe uzione kama sio zenyewe ndio aangeenda lakini sasa wameshaenda huko halafu ndio wanakuja kwa mkiirugenzi kulalamika waendelee na polisi kelele za nini si ndiko walikoona watapata msaada. Hawa chadema bwana hawaa taabu sana

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 Před 4 lety

    Huyu Mkurugenzi gani kiazi,tunawatoa wapi Hawa aina ya wakurugenzi .mnatuabisha Sanaa ktk serikali.
    Huwezi kujianika km umeharibu

  • @jurakijuraki8870
    @jurakijuraki8870 Před 4 lety

    BBM

  • @gastordominic410
    @gastordominic410 Před 4 lety

    Huyu jamaa ana shida mkurugenzi

  • @magaumasiaga3120
    @magaumasiaga3120 Před 4 lety +1

    Aibu sana ila kumbuka hakuna mwenye hati miliki ya hii inchi

  • @mussahuyya7775
    @mussahuyya7775 Před 4 lety

    Hivi katiba yetu IPO wazi kuwa kila MTU anahaki ya kuchaguliwa na kuchagua sasa hata mambo yanayoletwa ya kuwanyima watu haki ya kugombea kwa kigezo cha fomu ni batili kabisa mgombea amepita kwenye mchakato wa chama na kimewapitisha mkurugenzi anaonekana ameandaa mgombea wake lazima apite,Hii ndiyo inaleta tafasiri kuwa maamuzi mengine ya MAHAKAMA unaona Hana shida yanaleta migongano inaonekana wazi wasimamizi wengi wa uchaguzi ni wana chama wa chama kilicho kwenye kinyanganyiro ni vipi haki itatendeka,hili majaji wa MAHAKAMA ya rufaa ndiyo kwenye majibu

  • @BIG-HILLTV
    @BIG-HILLTV Před 4 lety

    Hiv chadema kila kitu nikulalamika tu

  • @nicodemusmichael3680
    @nicodemusmichael3680 Před 4 lety

    Mmmh yaan we utoe form afu unasema sipokei hiyo inaashiria nn, Kwan mkifanya uchaguz kwa huru na haki kitu gan kinaharibika lkn??????? Mnajichafua tu na kama mnafikir ndo kujenga mnabomoa apo!!!!

  • @madukaj.j.6999
    @madukaj.j.6999 Před 4 lety

    Haya mambo yanakera sana. Mm siyo Chadema lkn huyu Mkurugenzi anafanya siyo sahihi. Kwani wanaogopa nini? Mnakidhalilisha chama.

  • @temkezatv4381
    @temkezatv4381 Před 4 lety

    Nyie chadema Ni watu wa madrama Sana trick zenu tumeshazisoma tayar na kura hamtozipata

  • @allenmeta1851
    @allenmeta1851 Před 4 lety

    Huyo mkurungenzi yuko sahihi ,yeye ndiye aliyewapa hizo fomu wao wanadai ni feki na wameripoti kituo cha polisi,hivi,swali LA kujiuliza kati ya mkurungezi na hao wagombea ni nani mwenye ujuzi na hizo fomu,isitoshe hakuna aliyeiona hiyo fomu,tuwe na akiba ya maneno itatusaidia!

  • @richardnjau9706
    @richardnjau9706 Před 4 lety

    Duuh! Hapo kuna kazi!

  • @daniswilliam4577
    @daniswilliam4577 Před 4 lety

    Duuuh!!!amani...amani...amani.....bila kukemea maovu nadhani amani tutaikumbuka hata natoa ushauri wa bure tuwape nafasi wananchi waamue wenyewe .

  • @samwelsimon9278
    @samwelsimon9278 Před 4 lety

    Ifike maali watanzania muache maneno mengi wakurugenzi kama hawa nikuwa zibuwa fasta mtaiyona heshima

  • @shahamemalenga4838
    @shahamemalenga4838 Před 4 lety +2

    Chadema Kama watoto yatima malalamiko mengi ujuaji mwingi kama mulisema fomu ni feki vipi munazipeleka kwake

  • @titosaid9027
    @titosaid9027 Před 4 lety +4

    Hatima ya nchi yetu imekuwa mkononi mwa wateule kweli tunahitaji katiba mpya bila hvo tutabuluzwa Sana ??

  • @festusgwota2998
    @festusgwota2998 Před 4 lety +2

    Hili Ni kada ndani ya koti la mkurugenzi

  • @johnsonkiwia6577
    @johnsonkiwia6577 Před 4 lety +28

    Mkurugenzi anaongea na kupangusa mdomo kwa ulimi kama nyoka😁😁😁 dalili za hila. Unavuruga uchaguzi kwa sababu za kijinga kabisa. Kwani hizo formu hazina number? Pokea formu kwa number ya copy uliyobaki nayo kwenye copy book eti kwa kuwa wameshaenda polisi hupokei tena real?

  • @florencmussa4706
    @florencmussa4706 Před 4 lety

    Huyo mkurugezi hafai ameteuliwa na nani wachaga wote muangalien embu angalie vizur

  • @saymongwaltu9546
    @saymongwaltu9546 Před 4 lety +2

    Mmmh

  • @geofreymollel6973
    @geofreymollel6973 Před 4 lety

    Kipindi iki wakurugenz mtakula mlikopeka mboga mmezoea kutupeleka mnavyotaka ss mtajua hii nchi ni ya watanzania wana haki yakudai haki zao

  • @zubeirali6323
    @zubeirali6323 Před 4 lety

    Zichukuwe mkurugenz km ishu kuchukuw half uzitie debe la taka basi kazi ishaisha si anatk uipokee tu.

  • @obadiasapi9360
    @obadiasapi9360 Před 4 lety

    Jamanimimisinachama lakinikwahaya yanafanya naanzakuona sisahihi kinachoendelea jamani tunataka amani Tanzania