VURUGU ZAIBUKA! MKURUGENZI na Wanachama CHADEMA Nusura WAZICHAPE, Akataa KUPOKEA FOMU za WAGOMBEA...
Vložit
- čas přidán 6. 09. 2024
- VURUGU ZAIBUKA! MKURUGENZI na Wanachama CHADEMA Nusura WAZICHAPE, Akataa KUPOKEA FOMU za WAGOMBEA...
KATIKA hali isiyo ya kawaida, Mkurugenzi wa uchaguzi Moshi ameingia katika mgogoro na wanachama wa Chadema chanzo kikiwa ni fomu ya wagombea wa Chadema.....
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
,Mungu Mungu Mungu Mungu Mungu Mungu Mungu Baba ulieumba mbingu na nchi vyote vilivyomo Baba simama tusaidie uchaguzi wa amani tunakuangalia wewe hatutaona mwingine na jua unaweza njia zako hazichunguziki uliefanya njia ktkt ya bahari fanya njia zako Mungu wewe unatujua kuliko tunavyojijua unaona mpaka mioyo iliyofichika damu ya mtanzania yoyote ilindwe na wewe
Asanteni sana kina mama kwa ujasiri wenu.
Daah! angekuwepo Adamu mchomvu angefupisha mazungumzo tu...!! huyu mkurugenzi ni jeuri Sana.
Mkurugenzi tumia hekima na wajibika, ni accountability yake hao ni wateja wako kujua form ni feki a u receipt ni wewe, jua receipt inatumika ku-acknowledge payment, na wewe mkurgenzi ndiyo process owner, unavyo Tiba Shaka Nani wa kutoa wajibu hayo zaidi ya ofisi yako?
Pmpmpm
Kwani kawajibu nini si amesema wawasilishe vielelezo. Tatizo liko wap.
Huyo anatak kichapo ajui hapo ndio kaskazn chadema ndio kwao
Chadema mtakaa sanaa
Waende Polisi Mkurugenzi Hana taaluma ya wanacho kidai
Huyu mkurugenzi Ana kiburi Mi sio Chadema lakini kwa hili mkurugenzi unakera
Piga makofii ya maan upuuz kama huo wanini mnanlea hvo
CHADEMA kwa kuzua maneno huwawezi. Unamsikiliza kuwa waliambiwa na NCCR mageuzi
Wanachakachua mwenyewe kisha waanazua kesi hawa watu ni wajinga sana
Kweli mkurugenzi anakela ila hajui cheo siyo dhamana
hapana hawa wazee wanataka mbango mbona mkurugenzi amewaambia wapeleke tena aliwaambia muda mrefu tu
Ndugu yangu unajua hawa watu ambao wako upande wa utawala wana jeuri sana
Mkurugenzi wa Moshi ujue kuna utawala wa mpito nchi hii haina mwenyewe, mwenywe ni Mungu tu. Utakuja jutia kijana
Huyu msimamizi anachokitafuta atakipata! Huu sio uchaguzi wa serikali za mitaa
Tatizo ni kwamba wanaochukua form wanamchanganya kwanini wao mara aliyechukua form siyo yeye
@@martinemaganga2546 acha ujinga ww
We ulijuaje kwamba wsnamchanganya?
Mkurugenzi tumia busara katika kazi yako na hekima usije ukaleta shida
Kwa mambo ya kipuuzi kama haya tutawezaje kudumisha amani.Huyu mkurugenzi aache kucheza na haki za watu wa Moshi
Duh shida nn wakurugenzi mbona mnawatesa sa wapinzani jmn!!!
Ndomana tulipendekeza kwamba msimamizi wa uchaguzi asiwe mkurugenzi mana ni walewale
Umeona eee
Ujaelewa hapa yaani form yeyote wanasema feki sasa Mkurugenz ataongea nini
Hali ii kuludisha fom kutangazwa je
Hali ii kuludisha fom kutangazwa je
@@williamkayanda603 hatariiy
Hawa wakurugenzi mwaka huu tutaimba nao iyenaiyena ama zetu ama zao
Uwe mbele mbele ili wakutegue kiuno mkeo wakulele wenzio
Aidan Hamza mbona jina alifanani na majibu unayomuandia mtu au jina bandia?!!
Ndo.maana.tulikataa.wakulugenzi.kusimamia.uchaguzi
@@mwambamkombozi4672 jibu lenye uhalisia kabisa hilo yeye anasema ataimba naye iyena iyena wakat anao wapigania wao wapo makwao wanakula raha , sasa ndio namwambia awe mbele mbele kule kwenye kupamba ili akione cha moto c anataka kuimba naye
Haahaaaahaaaaa nyimbo mzuri sana iyenaiyena ama zetu ama zao 👍😍
Hawa Viongozi gani wasio na hekima, baadae wanasema tutangulize Mungu, yaan aibu tupu
Mbona vizingiti vinakua vingi kwa wagombea wa chadema jaman!!!🤔🤔🤔
Yaani wametangaza kukubalika leo wameanza wizi.
Si wanapendwa?
Figisu za nini?
Yaaan
Mkurugenzi ahahoja ya msingi. Msikilize anasema formu ziko sahihi. Kama unashaka nenda polisi wathibitishe theni rudisha lakini kwa kibali cha polisi. Sasas shida iko wapi? Mkurugeni uko vizuri sana kimaelezo hao wahuni achana nao wafate taratibu.
Hapa hakuna mkurugenzi,sasa FOMU c za kwako hutaki kupokea huyu itakuwa alitaka kuwachomekea ili bde aje awakatae sasa pale ishu ishabumbuluka atakufa nazo mwenyewe
Mwaka huu ccm wajiangarie sana
kbsaa kabsaaa
maaana wanaaanhaika sanaaaaa!
CCM wanahusikaje? Nyie mnatengeneza comed zenu mnasumbua WASIMAMIZI wa uchaguzi
Hi Nicole mbinu mpya na sct juzi ubungo nao wakafanya wanapeleka barua haina hata reference namba halafu mgombea mwenyewe ni mwna sheria huu ni utoto
@@gideonstephen6879 mh ni shida kwakweli
Mkurugenzi uelewa mdogo sana jaman, hilo suala sio la kifamilia, ni dhamana tu umepewa, sikiliza Wananchi
Huu uchaguz wa mwaka huu Mungu tuvushe😭😭
😭😭😭😭🤧😤
😭😭😭😭😭😭😭😂😂🤓
Amna ni kawaida tu.
Hatari sana. God help Tz, Tuondolee wahujumu haki wote hata kama wanania njema kwa mawazo yao
Nimemfatilia sana mkurugenzi, nimegundua chadema mnakwenda kwa mihemuko, na jazba mnatakiwa kuwa watulivu mpewewe maelekezo sahihi
Chunguza akiriyako Kisha Pima ujue Kama hujanasiriwa na maisha
Kama CCM wanapendwa, hizi figusi zote za nn??
Huku kwetu tumetiliwa mageti barabarani..Hahaaa hofuuuuuuu
ukiondoa ushabiki wa vyama hawa wazee wamekua na mbango zisizo na maana. walitakiwa waendee kwa police waconfirm
Apo sasa!!!
CHADEMA wanatakiwa wajfunze zama zmebadlka na siyo kama awali kutafuta kiki za kujiboost
Hawa jamaa wanatutesa sana ila ipo siku wataumbuka tup pamja na chadema wawo wangake tunataka mabadiliko ccm tumeichoka jaman
Vitu vingine vinatengenezwa na vyama vyenu kisha baadae wanaanza kueneza uongo. Angalia yule mtu wa ACT aliekamatwa kule KIBAMBA.
Wapuuzi hao, si wafate taratibu za Tume, wenyewe wanabishania nje ya ofisi. Na majibu yao watapewa hovyohovyo
Mnapo jibu humu comment mjue kuna vipanya pandikizi vyakutetea upuuzi kama vile vya hai leo vinanyea ndoo kisa buku ten
Tumeichoka,wasubil oct 28 ccm tutawanyoosha shenzy zao
Ndugu haya ni maisha tu, kila apandacho mtu ndicho atakachovuna. Tutendeane wema.
Kama ni kenya 🇰🇪 huyu jamaa sijui kweli form tu
Dah 😯😯😯😯
AIBU KUBWAAAAAAA
ME NAWAOGOPA BINADAM MAANA WALIMUUA YESU PIA WALICHUKIWA NA MARAIKA MKUU WA BODI YA MASIFU YA MUNGU NA NDIO MAANA NAWAOGOPA BINADAMUUUUUUUU🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🛌
Ok
Ccm inakata roho bado kuzikwa tu
Sasa maziko yamesha tangazwa.
Tunduuuuuuuuuuuuuu.😂😀😁😂😀😁🚵🚵🚵🚵 kubwaaaaaa sana
Hatareeeee sana.
Dah, lakini tukumbuke kuwa baada ya uchaguzi kuna maisha yanaendelea
Aisee kiukwel mm huyu mkurugenz ningkuwa hpo angerud nyumbani na maundu au meno hana
Inauma sana unapoona mtu Kwa mamlaka aliyopewa, anataka kusababisha vurugu bila sababu. Very sad.
Huyu mkurugenz hatufai moshi tunaongozwaje na mtu kma huyu?
Mpigeni Tu.Mshenzi Mkubwa
Ndio maana inatakiwa mabadiliko
Katiba mpya tume huru
Mwaka huu hakika tutashuhudia mengi
Sasa basi
Dah noma hii
Huyu niwakupiga na inatakiwa apigwe kabla ya uchaguzi na ikibidi akajue cheo nidhama siyo uungu
Ndugu zangu hawa Miungu watu ndio watakao tuleta vita vya wenyewe kwawenyewe,na mwisho nikuwa ng'oa mapema kwa nia ya kuleta amani ya nchi,
Huyu niwa kushughulikia yawezekana nimaelekezo
Hujielewi kwani maelekezo ya mkurugenzi hayajaeleweka? Tatizo tushajua tu kuwa CDM wazee wakiki. NCCR na ACT unamaana hawajielewi? Pumbavu CDM fuata kanuni na taratibu za nchi fala nyinyi
🏋♀️🏌🏻♂🤸🏿♂🤺🤣🤣🤣
Tendeni haki tulinde amani
Wee fara tu
hapa kazi tu
Hawa ndo wanaharibu uchaguzi,kwa hakika inauma Sana maana ukiangalia huyu mtu anakabidhiwa majukumu ya kusimamia uchaguzi ilihali hajateuliwa na mkurugenzi wa tume ya uchaguzi,kiukweli Mungu atusaidie siku moja haya yasionekane
Mungu ingilia Kati Mambo ya hovyo kabisa haya,nimambo aibu kwa taifa,huu mchezo mchafu,haki itendeke Kama wanadamu,Kweli Kuna binadamu na wanywadamu,Mungu anawaona!
Nikupe kazi nikupe nyumba nikupe gari Kisha mtangaze mshindi! Nakufuta kazi
Chadema waelewa sana!! Mkuregenzi anaonekana mnazi tu!!!
Ndio matatizo ya kuwa na makurugenzi makada ya ccm !! Unazi wala hana sifa za kiongozi!! Magufuli umetukosea sana kwa huu mtindo wa kuteuwa nafasi za utendaji kama ukurugenzi makada wa ccm !! Haibu!!
Mwacheni tu atawatambua tu
Hivi huyo mkurugenzi anafanya hivyo kwa ili iweje ?.Au anatekeleza maagizo toka juu?.Yale yale ya uchaguzi wa serikali za mitaa yameanza.
Hu mwaka hatutawaacha wavuruge tena uchaguzi tupo tayari kwa chochote kile hakika
Jitokeze kimbelembele uone
@@mathiasjohnmsila9439 mnamtisha nani??? Ninyi kenge kama kenge wengine tu sasa mtaona
kwanini form zenye utata ni za wapinzani tu!!!!!!?????
Jamani eti hata mitambo nayo risiti inaprint ya ccm tu yani mpizini akifika zinagoma ,ccm je mitambo inazindiku🤣🤣🤣🤣🤣 jamani tusubiri movie
Mkurugenzi anasema muda imeisha hatoi huduma
Hapo xx
Sababau wanakihoro cha kujaza wenzao wametulia na wamepewa semina juu ya hizo fomu
Mkurugenzi mama ana kichwa kigumu sana haelewi anachokifanya, yupo yupo tu na kiburi kazi itamshinda.
Huyu mjinga ni wa kuondoa hapa Kilimànjaro. Mpumbavu mmoja anaweza kuhatarisha amani ya nchi yetu.
Huu ni ushuhuda tosha kuwa Tanzania haijawa tayari kwa uchaguzi huru. Tume ya uchaguzi ni upuuzi mtupu. Bila katiba mpya tutakuwa tunawalaumu bure hawa wakurugenzi. Wapo kutimiza matakwa ya chama chao tawala. Inasikitisha sana.
Uyu jamaa mpuuz sana wewe mnapeleka shda police alafu unataka urudishe sasa msimamz atapokeaje form so lazima ithibitshwe tena na police ivyo wamejchanganya wenyewe na wakat mwngne wanapga goli la MKONO wenyewe kwa upande wapli kwan wao nani mana malalamiko n mbwembwe kbao kla siku
Hao wapumbavu wa pigeni hata mawe maana washenzi kweli
Gombeneni tuuu
Hii ndio CCM chama chenye nguvu na kilicho fanya mazuri mengi kwa wananchi wake swali linakuja je, ni kwa nini:-
mahakamaCCM
tumeCCM
wakurugenziCCM
policeCCM
wasaniiCCM.
kweli kizuri chajiuza na kibaya chajichakaza.
Duh
Mimi issue siyo chama ni mtu,kiongozi unapopewa dhamana unatakiwa kutumia ueledi wako,pia hekima,mimi binafsi sijaona ni kwanini mkurugenzi ana Tunis nguvu nyingi kwa kitu ambacho angeweza kutumia ofisi kutatua hilo suala kwa kutumia kile kilichomfanya kupewa hiyo nafasi,na pia ofisi hayupo mwenyewe, angefabmnya team yake kutoa majibu sahihi kwa mahali sahihi!
CCM mnachokifanya mungu anawaona
Sikuona sababu ya kugombana na mkurugenzi kabla ya kujaza hizo form alizowapa na kuzirudisha akizikataa ndiyo muanze kesi , sasa mnaanza kulinganisha na za vyama vingine sijui mliziona wapi, tulizeni mizuka ndugu!!
Katibu uko vizuri
Mungu aningilie Kati cheo ni chakupita hizo nidharau
Yani ndy mnategemea huyu mtu awatangaze kama mkishinda 😳😳 nisawa na kusubiri Meli airport
Viongozi wa dini semeni na hii,AMANI ipo apo kwa mkurugenzi.
Wasemakweli nimashehe waliopo kifungoni tu wengine wote wachumia tumbo kula zaka za masikini tu kumbuka wengine walipewe hata pesa za escro
Ndugu zangu hawa wakurugenzi wote ni makada wa ccm sasa wa amini hu mwaka damu kwa damu
Wastulazimishe kuunga mkono juhudi za rais,, bila upinzani hata huyo rais angeendelza madudu... upinzani umefichua mengi CCM wameifilsi saana nchi hii na kuingiza nchi kwenye madeni bc ya ajabuajabu tu
Subirini
Wao wameapishwa kuto tangaza wapinzani watakao shinda sasa nasi tumeapa kufa kabla ya siku zetu maana uwe mwema utakufa uwe shetani utakufa tu, sasa bora tufenao
Tutachoma nyumba zao
Jidanganya tu tena ww ndo inatakiwa uwe mbele mbele ili umwagwe ww damu kwanza ili tukuone shujaa wetu ukitapika damu, unajifanya unauchungu sana wakat hta mia huna
Uongozi wa juu tafadhari angalieni haya mambo yanatia aibu nchi yetu pia inaonyesha picha isiokua nzuri kwataifa letu!!! Machafuko mengine mtasababisha wenyewe na sio wapinzani!!!
huyo mkurugenzi ni mwizi kama mwizi mwingine yoyote muiba kuku pumbavu zake
Kwakweli cjui hiki kiburi wanakipata wapi wakurungezi ira Mungu atawahukumu tu
Watanzania wenzangu tulieni tudhuma aijawai kushinda kwamwe ina mwisho naisi mwaka huu Mungu kaisha tuandalia Daudi alie muua goriati watu wakafulaihi
NCCR- waliwambia form siyo sahihi indeed 🤨🤨🤨
Mteule huyoooo, halafu ana kiburi sanaa. Cheo ni dhamana.
Chadomo vilaza mnaimbiwa muwasilishe receipt manaleta longo longo,ka mmetengeneza receipt na form zenu atajuaje,sasa form mmepeleka police unataka zipokelewe na msimamizi mlio mtuhumu,kwann msirudi police wawape mwongozo,alaf mna bahati hamja kutana na mtu kama mimi,mmekutana na mtu mpole kidogo.
Kiongozi Kama huyu hata Sijui niseme anafaa au hafai maana kid ngozi wetu wa nchi kashasema sheria zitekelezwe ili kusiwepo malalamiko sasa huyu anataka kutuchafulia jina.
Wanapokea maagizo kutoka wap?????
Tunakoelekea Si kuzuri. mtaingiza nchi hii kwenye matatizo kwa kujitia upofu.
mkurugenzi wewe ndiye kiongozi unayesimamia zoezi hilo alafu watu wanakuja kwako kama kiongozi badala ya kushughulia malalamiko yao unafanya upuuzi mizaha na kujitia upofu. kesho mahakamani utajibu nini? au fujo ikitokea usalama ukaharibika utasema nini hapo.
Nyinyi chadema hamridhiku n'a chochote pahali mlipo mnaleta balaa
Mkae mkijua mnaishi na wanajamii ambao mnawaletea miyayusho.Huyu mkurugenzi mpumbavu sana
Tatizo la watanzania tukipewa maagizo hua hawataki kufwata mnaambiwa kama kuna hoja wasilisha mnazidisha maelezo meeengi
wakati unaandikiwa risiti ya udiwani nawewe ni mgombea ubunge uliondokaje?kama umakini haupo nchi myaifanyia nini?
Kwan kazi ya police ni kuthibitisha fomu halal au siyo halali?
Kilichobaki ni vita tu
Ili ufike wkt wa kuheshimiana hakuna njia nyingine zaidi ya iyo tu
mkurugenzi yupo sahihi tatizo likisha pelekwa polisi au mahakamani inabidi kusubiri maamuzi ya huko Kwanza ndipo baadae Mambo yaendelee,mna haraka gani na polisi mmeenda wenyewe subirini ili Kama feki mkurugenzi afungwe.
Huyo mkurugenzi hajui kwamba anayempa jeuri hiyo ni mpapai,atakuja kukiona cha moto akiharibu uchaguzi
Wewe ndio uliowapa walipoona haziko sawa kwanini hawakurudi kwako wakaenda polisi ??? Kwani polisi ndio waliowapa?? Wangekuja kwako kwanza wakuoneshe uzione kama sio zenyewe ndio aangeenda lakini sasa wameshaenda huko halafu ndio wanakuja kwa mkiirugenzi kulalamika waendelee na polisi kelele za nini si ndiko walikoona watapata msaada. Hawa chadema bwana hawaa taabu sana
Huyu Mkurugenzi gani kiazi,tunawatoa wapi Hawa aina ya wakurugenzi .mnatuabisha Sanaa ktk serikali.
Huwezi kujianika km umeharibu
BBM
Huyu jamaa ana shida mkurugenzi
Aibu sana ila kumbuka hakuna mwenye hati miliki ya hii inchi
Hivi katiba yetu IPO wazi kuwa kila MTU anahaki ya kuchaguliwa na kuchagua sasa hata mambo yanayoletwa ya kuwanyima watu haki ya kugombea kwa kigezo cha fomu ni batili kabisa mgombea amepita kwenye mchakato wa chama na kimewapitisha mkurugenzi anaonekana ameandaa mgombea wake lazima apite,Hii ndiyo inaleta tafasiri kuwa maamuzi mengine ya MAHAKAMA unaona Hana shida yanaleta migongano inaonekana wazi wasimamizi wengi wa uchaguzi ni wana chama wa chama kilicho kwenye kinyanganyiro ni vipi haki itatendeka,hili majaji wa MAHAKAMA ya rufaa ndiyo kwenye majibu
Hiv chadema kila kitu nikulalamika tu
Mmmh yaan we utoe form afu unasema sipokei hiyo inaashiria nn, Kwan mkifanya uchaguz kwa huru na haki kitu gan kinaharibika lkn??????? Mnajichafua tu na kama mnafikir ndo kujenga mnabomoa apo!!!!
Haya mambo yanakera sana. Mm siyo Chadema lkn huyu Mkurugenzi anafanya siyo sahihi. Kwani wanaogopa nini? Mnakidhalilisha chama.
Nyie chadema Ni watu wa madrama Sana trick zenu tumeshazisoma tayar na kura hamtozipata
Idiot🚮🚮🚮
Huyo mkurungenzi yuko sahihi ,yeye ndiye aliyewapa hizo fomu wao wanadai ni feki na wameripoti kituo cha polisi,hivi,swali LA kujiuliza kati ya mkurungezi na hao wagombea ni nani mwenye ujuzi na hizo fomu,isitoshe hakuna aliyeiona hiyo fomu,tuwe na akiba ya maneno itatusaidia!
Duuh! Hapo kuna kazi!
Duuuh!!!amani...amani...amani.....bila kukemea maovu nadhani amani tutaikumbuka hata natoa ushauri wa bure tuwape nafasi wananchi waamue wenyewe .
Ifike maali watanzania muache maneno mengi wakurugenzi kama hawa nikuwa zibuwa fasta mtaiyona heshima
Chadema Kama watoto yatima malalamiko mengi ujuaji mwingi kama mulisema fomu ni feki vipi munazipeleka kwake
Acha unaz
Hatima ya nchi yetu imekuwa mkononi mwa wateule kweli tunahitaji katiba mpya bila hvo tutabuluzwa Sana ??
Hili Ni kada ndani ya koti la mkurugenzi
Mkurugenzi anaongea na kupangusa mdomo kwa ulimi kama nyoka😁😁😁 dalili za hila. Unavuruga uchaguzi kwa sababu za kijinga kabisa. Kwani hizo formu hazina number? Pokea formu kwa number ya copy uliyobaki nayo kwenye copy book eti kwa kuwa wameshaenda polisi hupokei tena real?
Ccm ndio hiyo inaenda kufa yenyewe kiulain yan
Alooo mm nicingekuvumilia hata dkk 2
Huyo mkurugezi hafai ameteuliwa na nani wachaga wote muangalien embu angalie vizur
Mmmh
Kipindi iki wakurugenz mtakula mlikopeka mboga mmezoea kutupeleka mnavyotaka ss mtajua hii nchi ni ya watanzania wana haki yakudai haki zao
Zichukuwe mkurugenz km ishu kuchukuw half uzitie debe la taka basi kazi ishaisha si anatk uipokee tu.
Jamanimimisinachama lakinikwahaya yanafanya naanzakuona sisahihi kinachoendelea jamani tunataka amani Tanzania