MZEE MAKAMBA AMCHANA DKT BASHIRU MBELE ya RAIS SAMIA, "WEWE MAGUFULI ALIKUITA JEMBE, TATIZO NINI?"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • MZEE MAKAMBA AMCHANA DKT BASHIRU MBELE ya RAIS SAMIA, "WEWE MAGUFULI ALIKUITA JEMBE, TATIZO NINI?"
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Komentáře • 104

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před rokem

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 Před rokem +12

    Watu kama kina Bashiru,pole pole na sample zingine kama izo wasichoke kuzungumza ukwel maana mnawakumbusha majukumu yao

  • @bahatihaerter5651
    @bahatihaerter5651 Před rokem +14

    Kwa hiyo Mkapa na Magufuli walikua wabaya ndo maana wamekufa?damu zao zina wasumbua ndo maana mnaropoka ovyo. Nchi hii ya watu fulani,sio ya watanzania wote

  • @kadaskarim5081
    @kadaskarim5081 Před rokem +11

    Wew mzee una hof na mungu kwhy walio kufa ni wabaya au acha unafki wew

  • @lizybagamba2067
    @lizybagamba2067 Před rokem +3

    Bashiru don't giveup'japo peke yetu hatutaweza...lkn M/Mungu atatutetea...songa mbele huctishwe'

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 Před rokem +10

    Bashuru usirudi nyuma Hawa wametengeneza kizazi Chao kufaidika katika inchi hii

  • @frbm1729
    @frbm1729 Před rokem +8

    Acha kufulu za kishenzi,nyerere,mkapa na magu wamekufa in maana siyo wema?

  • @ayubufumbuka3233
    @ayubufumbuka3233 Před rokem +4

    Ni Jambo la mda tu ipo siku Mungu atatupatia Magufuli wa pili nchi itakuwa salama kumchafua Magufuli sawa na kuichafua Afrika nzima maana Afrika nzima ilimtaka Magufuli

  • @bullekisimikwe3852
    @bullekisimikwe3852 Před 5 měsíci +3

    Mzee mnafiki sana weweee

  • @frbm1729
    @frbm1729 Před rokem +7

    Nchii imejaa wanafikiiii

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb Před rokem +4

    Kikundi cha watu kinachokula pesa ya umma bila jasho, as simple as that

  • @seifhabib5987
    @seifhabib5987 Před rokem +6

    Wee Babu chunga kauli yako iyoo inamana Makufuli sio Mzur Unampangiya Mungu sio

  • @richwaleolundenga8519
    @richwaleolundenga8519 Před rokem +11

    mzee wa ovyoo huyu anatetea tu ufisadi

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso2424 Před rokem +3

    My Brother Bashiru hicho ndiyo chama chako ulichochagua vumilia hao ndiyo CCM usichoke kutoa darasa huyo Mzee Makamba hana hoja hana Capacity thinking anafikiri watanzania wa leo ni wale wa miaka 45

  • @midundotechtz6843
    @midundotechtz6843 Před rokem +5

    Nchi hii inaongozwa na unafk mwanzo mwisho

  • @sa3dasa3da87
    @sa3dasa3da87 Před rokem +3

    Ccm tumewajua watuwenu wazuri
    Ila sisi wazalendo Magufuli ndo mzuri kwetu

  • @frbm1729
    @frbm1729 Před rokem +5

    Kizee Cha hovyooooo Hadi kichefuchefu.

  • @ikulunimahalipatakatifu7642

    kazi ya kunguni na chawa ni kujificha kwenye koti na kuendelea kunyonya damu ..

  • @nyerere1259
    @nyerere1259 Před rokem +8

    MNAJAMBAJAMBA TUU KUPAMBANA NA ALIYEKUFA, NYIE HAMTAKUFA.

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 Před rokem +4

    Tutaona hao wazuri kama wataishi milele! Ukitaka kuruka agana na nyonga na ukitaka kusema kitu fikiri kwanza jamii itafidika vipi na semi zako.

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 Před rokem +4

    Kwahiyo mzee unataka kusema magufuri mmbaya ndio mana kafa? Innaalilah waina ilaih raijiun

  • @championboy7
    @championboy7 Před rokem +5

    U Doctor wa kuunga unga 🤣🤣🤣🤣

  • @rabsonchisumo6640
    @rabsonchisumo6640 Před rokem +3

    Huyu mzee nae ni chefu sana

  • @paulkizushi1868
    @paulkizushi1868 Před rokem +3

    Wasambaa bn

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Před rokem +2

    Hawa watu na genge lao ndo wanataka watutawale wao mpaka wajukuu zao ili kulinda mali zetu walizozipora mama kama anajielewa awapotezee tatizo mama anaogopa yasije mkuta kama mpendwa wetu magufuli ila Allah kamsikia makamba na atajibu very aoon

  • @chackym4416
    @chackym4416 Před rokem +2

    Watu wazur hawafi?????? Dahhhhh siasa mbaya sana.

  • @nabillkhamis8188
    @nabillkhamis8188 Před rokem +2

    Hana tena akili uyo mchukulieni tu asha kuwa mtuzima

  • @yothamgwanika9530
    @yothamgwanika9530 Před rokem +2

    January makamba ndo naniii, mwamvuli wake ndo huu.

  • @jamessoke4454
    @jamessoke4454 Před rokem +1

    Hii ndiyo nchi pekee yenye watu wanafiki na wabinafisi

  • @richwaleolundenga8519
    @richwaleolundenga8519 Před rokem +4

    mbona anapiga kampeni na kujijengea mazingira

  • @Pelegrinoemanuel
    @Pelegrinoemanuel Před rokem +5

    Pumbavu sana eti watu wazuri hawafi

  • @annesmatemu4264
    @annesmatemu4264 Před rokem +1

    Hovyo sana

  • @januaryjambo5064
    @januaryjambo5064 Před rokem +2

    Wazuri hawafi? Waliokufa ote ni wabaya! Ndo maana milembe ikawekwa Dodoma naomba na Tanga waweke branch

  • @manaseliberatus1347
    @manaseliberatus1347 Před rokem +2

    PANGENI VIZURI, ILA PIA MUNGU ANA MPANGO KASHAPANGA

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 Před 6 měsíci +1

    Mzee, makamba unazeeka vibaya kwakuwa hutakimbukwa kwa lolote bali kwa mabayatu ,mzee mwinyi anasema maisha ya binadamu ni hadithi

  • @rebeccamagita9174
    @rebeccamagita9174 Před rokem +4

    Huna jipya mzee we tulia 2

  • @lizybagamba2067
    @lizybagamba2067 Před rokem +2

    Mzee pua yako matundu yake yameelekea Chini'Mungu huchunguza mioyo kifo chaja...

  • @mundalikope581
    @mundalikope581 Před rokem +2

    sawa

  • @ayubufumbuka3233
    @ayubufumbuka3233 Před rokem +1

    Niliiamimi sana CCM na rais wangu samia lakini hawa watu samia wanakuchongea na wananchi hawa ni maadui wa taifa ilitakiwa wazee hawa ilitakiwa uwang'oe uweke uweke damu changa

  • @yothamgwanika9530
    @yothamgwanika9530 Před rokem +2

    Mzee huyuu atafakari maneno yake. Waliofariki ni wabaya nyie ndo wazuri.

  • @hadijahaji9712
    @hadijahaji9712 Před rokem +2

    Tutaona mengi miikaijayo

  • @alirashid3239
    @alirashid3239 Před 10 měsíci +1

    NJAA MBAYA

  • @davidpaschal778
    @davidpaschal778 Před rokem +4

    Mzeeee kwel nakama mtoto

  • @championboy7
    @championboy7 Před rokem +2

    Ni abu kakweli anasema waziwazi kuwa ushindi n lazima

  • @joshuamatagane1318
    @joshuamatagane1318 Před rokem +6

    Ni vema kuwa na maneno machache, kwenye maneno mengi kuna upotovu....

  • @PeterNMzee
    @PeterNMzee Před rokem +3

    Huyu mzee vipi tena

  • @saimonseleka8792
    @saimonseleka8792 Před rokem +1

    Ni wakati wake bashiru kukomaa ni pito la kumnowa bashiru hili litampambanuwa yeye ni nani hasa mchumia tumbo au!

  • @petersilas4234
    @petersilas4234 Před rokem +1

    Mzee Makamba nakushauri ustaafu siasa au uandikiwe hotuba . Hii sio mara ya pili ulimi unateleza???

  • @hadijahaji9712
    @hadijahaji9712 Před rokem +1

    Watanzania wanamengi moyoni mwao lakini mungu ndiehakimu wahaki

  • @OscarBethel
    @OscarBethel Před 4 měsíci

    Siunaona sasa mungu hamfichi mnafiki wanaanza kujipambanua wenyewe waliomuuwa makufuli ni wao wenyewe ndio maana wanasema watu wazuri hawafi sisi tunajuwa kizuri hakidumu wao wanageuza mada kwakuwa wanajuwa walichokifanya

  • @avelinamichaelndibayukao5656

    Mtu mzima ovyo

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Před rokem +2

    Mafisadi wote yaani mnajiona kama Nnchi ya Baba yenu 2025 umeagana na mungu utafika

  • @mosesbarnaba7851
    @mosesbarnaba7851 Před rokem +2

    Du! Watu wazuri hawafi du!

  • @OscarBethel
    @OscarBethel Před 4 měsíci

    🎉HAyo yanayofa ywa na makamba Dio yaleyale yaliokua yanafanywa na mwinyi kwaajili ya watoto wao mwinyi alifanikiwa Sasa tumwangalie Mzee mkamba jeeatafanikiwa lazima uwe chawa Ili mwanao afanikiwe

  • @husseinmwakajinga8019
    @husseinmwakajinga8019 Před rokem +1

    Mtoe huyomzee makamba hana jipya zaidi kutetea ugaliwake tu

  • @bostonmatuid4708
    @bostonmatuid4708 Před rokem +3

    Inchiyetu imeshahamishiwa zanzimbar munavyoivurunda itamagu yukojuuyenu

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 Před rokem +1

    Mmmmmh!!!!!!!!!!!.haya.

  • @PeterNMzee
    @PeterNMzee Před rokem +4

    Upuuzi mtupu

  • @benjamindenice53
    @benjamindenice53 Před rokem +2

    Mzee nakuhelewa sana .

  • @saimonwatanzaniatanzania1436

    Watu wazuri hawafi hata siku Moja

  • @mahewasamwel9001
    @mahewasamwel9001 Před rokem +2

    Kila nafsi itaionja mauti.

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 Před rokem +1

    PATACHIMBIKA NYI SUNIRINI TU, TIME WILL TELL.

  • @mwajumakweli
    @mwajumakweli Před rokem +1

    Mmh

  • @jacobmwakisole8910
    @jacobmwakisole8910 Před rokem +1

    Ohooo ok

  • @aminakhalid300
    @aminakhalid300 Před rokem +1

    Mamuughu kaibu kaya kwetu maa iwe, karibu sana

  • @steventeophil7775
    @steventeophil7775 Před rokem +3

    Huo ndo mwisho wa upeo wako

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja7992 Před rokem +1

    Mzee wa watu angeanguka akavunjika sijui mngesema nini unamwambia apige mbio mtu wa miaka 80+

  • @Pelegrinoemanuel
    @Pelegrinoemanuel Před rokem +2

    Mnafiki huyu mshirikina

  • @thevoiceofdeliverance6061

    Mhhhh
    Yaani huu mkutano Ni wa vijembe tu huoni logic.

  • @veronicasteven
    @veronicasteven Před rokem +1

    Wewe hutakufa

  • @championboy7
    @championboy7 Před rokem +2

    Kwahy waliokufa walikuw waovu? Kwel na wapumbavu wanazeeka

  • @farajakwilasa471
    @farajakwilasa471 Před rokem +1

    Ameongea kinyume mzee

  • @rehemakayuga7051
    @rehemakayuga7051 Před 4 měsíci

    Duh Kweli Pumzi Ni Kiburi

  • @titosanga9602
    @titosanga9602 Před rokem +1

    Mzee anapalilia sembe ya mtoto ndio mana anaongea utopolo tu, kazeeka mwili mpaka akili.

    • @hilaliusjohn8386
      @hilaliusjohn8386 Před rokem

      Mbona huyu mzee anaonge Kama nguruwe? Tutaona Kama wewe utaishi milele. Bashiru yeye ni mzarendo, mtanzania halisi mwenye uchungu na Nchi yake.

  • @akidahamad142
    @akidahamad142 Před rokem +1

    Ww mzee acha ujinga mbona unatapatapa ww vp kaa utulie kama ni kutuibia umesha tuibia ww vp magu alikua mbaya et daah ccm inatilisha aibu

  • @RobinsonKilango
    @RobinsonKilango Před 3 měsíci

    Wewe mzee mnafiki uliopita kipimo nchi hii umaskini ujinga na maradhi kazi hakuna Maisha magumu
    hotuba yako inaangamiza nchi wizi wa kuiba kula na kutangaza aliie shindwa wewe mzee ufahamu kuwa iko siku utaripa maumivu ya watanganyika

  • @ignasnyembo1256
    @ignasnyembo1256 Před 5 měsíci

    Tunasubiri vifo vyenu. Leo mzee mwinyi kafa na yeye ni mmbaya

  • @MuhammedSaleh-kf2nw
    @MuhammedSaleh-kf2nw Před 4 měsíci

    Makufuri. Mzuri kwetu. Sisi wanyonge

  • @user-rd2of7sw9b
    @user-rd2of7sw9b Před 5 měsíci

    Alivo mfupi sasa 😅😅

  • @khamismohammed1650
    @khamismohammed1650 Před 4 měsíci

    Wazaz wake walikuwa watu wabaya

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před 5 měsíci

    Yote njaa na unafik kufikia had kukufuru et et wazur hawafi bado zam yako

  • @davidpaschal778
    @davidpaschal778 Před rokem +2

    Hahaha uyu mzeee anajkuta naniii😅

  • @florinjoseph2504
    @florinjoseph2504 Před rokem +1

    wazee wa namna hii hawafahi kabisa

    • @salehjojozi9286
      @salehjojozi9286 Před rokem

      WEWE ULOSEMA NCHI IMEHAMISHIWA ZANZIBAR USHALEWA AW NDOMNAANZA FOKOFOKO ZENU NASIYO WEWE TUU UNANAWENZIYO MABUMBUMBU ANOTOWA NIMUNGU NA MAMARYU SAMIYA SULUHU M MUNGU KISHAMPA NA KWAULINZI ALOMUWEKEYA M MUNGU NDOMNA ADHIRIKA NA KUJICHOMOZA MMOJAMMOJA YARABI TUNAKUOMBA NA HAKUNA MWENGINE WAKUOMBW ISIPOKUWA WEWE MWENYEZI MUNGU UMZIDISHIYE AFYA NJEMA RAIS WETU AFYA NJEMA YEYE NAFAMILIYA YAKE NAWATANZANIYA WOTE YARABI NAKUOMBA UWENDELEE KUWAFICHUWA WALEWOTE WA NJE YASEREKALI NAWALOKUWAMO KWENYE SEREKALI WEWE NDOUTOJUWA VAKUWAFANYA NAUMLINDE MZEE WETU COMRED YUSSUF MAKAMBA KWAKILA LILILOBAYA NAUMLINDE RAIS WETU WA ZNZ DOKTA HUSEN ALI HASSAN MWINYI KWAKILA BAYA NAWAFEDHEHI WOTE KAMA ULIVOWAFEDHEHI KWA MAMAYETU SAMIYA SULUHU WANOTAKA KUMHARIBIYA KATIKA MIPANGO YAKE YA KUYJENGA ZNZ

  • @RehemaSefu
    @RehemaSefu Před 4 měsíci

    Magufuli

  • @user-rd2of7sw9b
    @user-rd2of7sw9b Před 5 měsíci

    Sasa uyu mzee anaongea au anachamba

  • @mathayomwashambwa1238

    MLIKUWA WAFUU WAKATI WA DR MAGUFULI, HAKIKA MH. SAMIA AMEWAFUFUA KTK UWANJA WA SIASA...MAISHA YANABADILIKA...JE MSIBA WA SIPIRIAN MSIBA UKOJE KWA SASA? MZEE KINANA NI KIONGOZI, NAPE, JANUARY, HUUWIII...MWANAHARAKATI HURU WA RAIS MAGUFULI,

  • @lucasmugoma2870
    @lucasmugoma2870 Před rokem +2

    Wapo kwasababu sio wazalendo ni mafisadi kama wewe

  • @feisalissa3009
    @feisalissa3009 Před rokem

    Mimi nampeda sana mzee makamba , 💪💪💪💪😘😘😘😘😄🥳💉💉💉

  • @jumaigoti7541
    @jumaigoti7541 Před 10 měsíci +1

    Mjinga wewe

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před rokem +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️.

  • @silverman6930
    @silverman6930 Před rokem +4

    Prepare for your kids to eat ….

  • @husseinmwakajinga8019
    @husseinmwakajinga8019 Před rokem +1

    Mtoe huyomzee makamba hana jipya zaidi kutetea ugaliwake tu

    • @anuaryamisi2031
      @anuaryamisi2031 Před rokem

      Bumbuli ni kwenu lakini hujafanya chochote

    • @anuaryamisi2031
      @anuaryamisi2031 Před rokem

      Mama samia ww ni mcha mungu na ujue ipo siku utakuwa kaburini na utaulizwa kwa yale yote uliyo yatenda mama fanya maamuzi yak kwa hofu ya mungu wala hutazikwa na makamba wala kiongozi yoyote mama chonde chote kuwa na hofu ya mungu cheo ni zamana tu