''NKURUNZINZA'' WA IRINGA BALAA KATAPELI NUSU YA KIJIJI, APIGIWA SIMU
Vložit
- čas přidán 15. 03. 2020
- Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ally Hapi ameendelea na Ziara yake Mkoani Iringa na Hapa amefika katika kijiji cha Nduli na Kuongea na Wananchi wa Kijiji hiko na kupokea na kero mbalimbali kutoka kwa wenyeji wa Kijiji hicho hapa amekutana na Nkurunzinza wa Iringa unaambiwa ametapeli nusu ya kijiji.
Nahata wewe milad ayo tunakushukru kwa kutuletea habar lazima tukufikishiye shukran zetu kwa taarifa hizi
kwakweli miladi ayo ndio mkombozi wa w2
@@zainaramadhan7769 "gyy
Milad tunaaimini sana chanel yako...keep on trust plz
Jaman watu wa iringa nkurunzinza manake ni nin?
Muheshimiwa Mchapa Kazi Barikiwa Sana, Endelea Kutetea Wanyonge.
Mungu akubaliki sana maana unaupiga mwingi viongozi wenye Welidi mkubwa na baba na wewe Mungu akupiganie sana kwenye kazi yako hiy
Ally Happy God bless you a lot unafanya vyema!!!! Zao la Magu hili nimelipenda hakika
Safi sana kwahii kazi ndugu yangu mkuu wa mkoa ally hapi mungu atakulinda naataendelea kukulinda
Fanya kazi yakuwatetea nakuwakomboa nakurudidua haki zawanyonge, Amini utapewa daraja na kivuli Cha Arshi siku ambayo hakitakuwa nakivuli
Miladihayo kazi yako inakubalika kwa waandishi wa habali kwa tanzania ww ni namba 1 maana hutoi habali za uongo nikiona kitu umepost ww huwa naamini asilimia 💯
Hii changamoto inaonekana kuota mizizi hapo ulipo...yaani mwenyenzi mungu akujaalie kibali zaidi na zaidi Mh mkuu wa mkoa...kazi uifanyao ni ngumu na nzitoo mmno
Kiongozi mwadilifu atapata neema ya kivuri Cha Arshi siku hiyo ngumu isiyokuwa nakivuri, Mungu akupe maisha marefu, Nimekuamini kiongozi, heshima kubwa kwako
Napendaga kusikiliza kesi za iringa🤣
Kama mm hahaaa
Mkuu wa mkoa usitoke ilinga unyooshe watu .nakupenda bule baba kazi nzuri
Hongera mkuu wa mkoa unajali watu wako h sana
mamaee devd mwisa kiboko ya wahehe ......alijuaa wahehe ukiwazurumu wanaenda kujinyonga😂😂😂😂😂😂
😂😂😂 nkurunzinza
🤣🤣🤣🤣hatujinyongi now day's
😂😂😂😂
Wewe nkirunzinza wewe, mbona hatari Sana hii , wee nkirunzinza wee Ni nomaa sanaa
Mungu akubariki kiongozi,viongozi mnaona shida za wananchi msipoenda mtajuaje shida zao
Nakukubali muheshimiwa kwangu mm nakuita mwamba ALLY HAPI
Asante. Mkuu
Kumbe waku wa mikoa wanaweza kufanya kazi nzuli kama hizi kwa wananchi wao Mungu wa mbinguni awabariki
Ningekuwa iringa, ningejikuta nmdai namimi😂😂😂
Mkuu wa mkoa uko vizur Sana
Safi mkuu wakoa wairinga nakupenda unajiamini Sana inapendeza sana
Ndugu Muheshimiwa
Mungu atakuepusha na Mitihani ya Dunia na Wenye dhuluma kwa watu Duni kiuwezo, watokee viongozi mfano wako kwa kila Mkoa na Idara kutakua na maendeleo Bora yakijamii, nakila kiongozi na mlanguzi atachunga maisha, Ahsante Ndugu Ally
Wewe unaenda na mamlaka ya Mola Kisheria na Dini zinavyo ruhusu 😍🙏🙏🙏
Mmh baba mkuu was Mkoa kwko nmeinua mikono!!nmekuelewa mkuu MUNGU AKULINDE SANA KWA YOTE
Gud saana
Mungu amusaidie uendelee na kazi nzuri
Namshukulu Mungu wa Ally Happy akulinde akutunze tunakuhitaji ktk ngazi ya juu zaidi
Wallahi ata sichokagi kutazama izi habari maana kuna kuchekesha babu koti lake jamaa anataka akapigie deki jamaa anazarau kinyama
😂😂😂😂
Mheshimiwa Ally Happy tunakuombea Mungu akupe ulinzi wake
Mkuu Wa mkoa mchapa kazi nakukubali sana bwana hapy hapo tatizo ni police rushwa nyingi
Mwizi huyo shenzi taipu likatwe
@@nuratkalinga581 taifisha Mali zake zote wape wanaodai
Wa Kwanza , hongera Sana kwa taarifa
Atapatataaabu
Huyo kwisa ni mchawiii,matapeli ŵengi huwa wachawi.anawarubuni watu kwa njia ya nguvu za giza
Jamani
Ali hapi mtetezi wa wanyonge mungu akujalie Kila laheli
Nkurunzinza mungu anakuona 😂😂
Mkurunziza n jipu akiii... High 5 milard ayo...
kuna wasio juwa hata kusoma mambo ya polisi wanaogopa maana hawajui hata kusema lolote wanaona tu bora wanyamaze lakini wanaugulia maumivu ya kunyanyaswa na hao watu wabaya wasio kuwa hata na hofu ya MUNGU " nawapenda sana viongozi wanao jitambua wasiokuwa na tamaa
Hao police wanajuana na Nkurunzinza🏃🏃🏃🏃🏃
Vile nakuombea mwenyenzi mungu azidi kukujaalia afya njema na kukubalika zaidi na zaidi mbele ya wananchi wako.na wengine pia....huwa sitamani kupishana na hizi video za kazi zako...unaibua sana changamoto za wananchi wa jimbo lako.
Huyo David nahisi ni mchawi sio bure! Ubabe gani huo?
Huyu David mwisa ni corona kabisa🤣🤣😂😂
kabinywa pumbu mpaka kawalipa
Haha haha haha haha
Part 2 plzzz tumsikie na David Mwisa
Haswaa
Barikiwa baba
Ndugu Ally kwakweli uko vizuri Sana Kama wakuu wote wa mikoa wangefanya kazi kama wewe duh! Tanzania ungekuwa mbali
Mkuu Mungu akupe afya njema na maisha marefu
Nkuruziza mgemtenda anachotenda ngombe zenu kumchinja😂😂
Huyu mwisa🙌🙌🙌🙌🙌
ALLY HP CHAPAKAZI BABA
Hahahaha hata deki lako naomba nipigie deki, nimelipenda naomba nipigie deki, hahahahahaha dah hakiamungu wallah tuhurumie waja wako inshaallah
Nkurunziza wa Burundi kkkkkkk
Tunataka viongozi Kama hawa
Anyanganywe kwanza bunduki.
Duh! Jamaa ana dharau anaomba koti apigie deki
Wallah nme cheka sana koti lako amelipenda apigie deki
Huyu mkuu wa mkoa nakubar sana anachapakazi isee
Akika alikuwa rais wa marais mungu akailaze roho yake mahali pema peponi
Kazi ipo kweli hapo cyo mchezo
Huyu mkuu wa mkoa ni jembe,kweli JPM ameacha muongozo sahihi,watu waliona JPM alivyopendwa na wananchi kwa kazi yake njema.baadhi wanapita mle mle kwenye njia ya JPM
MUNGU mkubwa " viongozi kama huyu ndio wanahitajika " nchi yenye furaha inajengwa na hawa " nawapongeza na kuwashauri wasiogope kufa watupambanie hadi tone la mwisho la damu kuwatetea wanyonge "
Zamani watu kama hawa walikuwa ni wengi.
mird nakubar sana bg
Huyo jamaaa Duuu ni hatali saana.
Naona kama movie yani!! Hivi haya mambo bado yapo Tanzania??
Sijui namimi namdai nkurunziza? Ngoja nikumbuke
Hahaaaaa kumbuka happy bado yupo
Umesha pewa chako
koti nikapigie deki hahaha kiburi cha hali ya juu
Wahehe, watani zangu mnakwama wapi?
Nampenda mkuu wa mkoa mimi jamani .anafanya kazi kwa weledi kabisa
Anayemuita mwenzie mapengo nayeye ana mapengo🤣🤣🤣kweli watu wenye kasoro ndo huwa mstari wa mbele kupigia kelele kasoro za wenzie
Mkuu tunaomba wapo wengi waliotapeliwa wakifika wasikilize walikata taama anatishia anasilsha
Mapengo...
Daudi Mwisa. ..huyu anaonyesha anatisha kama corona huko Iringa. .mjukuu wa mkwawa nini au anatokea familia za chief ? Mbona hivi huyu jamaa haogopi kifungo
Hee jamani David kashindikana hataree ni mchawi huyooooo
njaa tup yani
Ndugu mkuu wa mkoa kagombee urausi kura yangu chukua wewe na magufuli ni kitu kimaja
💯
Mkuu Wa mkoa nakupa up kwa kufanyakazi macho yetu yako kwako
😂😂😂😂Nimechek sana apo ku koti😂😂
This is really atrue leader.
Mgu akujarie mheshimiwa
Korona ikiingia Tanzania tumekwisha. Watu wanajichokonowa mapuwa. Pengine mikutano isimamishwe mpaka Huu ugonjwa upite.
Huyo devi jamani
Duuu kiongozi wasaidie hao wanyonge
piga uyoooo
Pwani akuna kitu
Huyo jamaa anachafua Jina la David mbona akina DAVID hatupo hivo.
Hahahaaaa pole akina David otee
Huyo Devi ni mtu wa Aina gani mpotezeni piga Shaba aondoke kwenye uso dunia atawasumbua Sana wananchi Kwanza ni mchawi huyo huyo mbabe wenu
David Mwisa
Tapeli hyooo
camera iko vzr sana milardayo.salout.
I Know right 👌👍👍
David✋✋✋😅
Huyo hatali akamatwe
Mutende aki asisumbuwe watu wakose laa kwasabu yako jaman asitese wtu
Kwahio rais wa burundi nkurunzinza ndo mbaze
Mkuu wa mkoa hy aje agombee urais
Mkuu pambana nakuandaliakukuchukuria fom2025uwnyoshemataperi
Jamani watu zaidi ya mia moja kijijini apo uyo david ni nini.????
3:06 Acha kuchokonoa pua wewe Coronavirus ishatua bongo!
Huyo devi ni tatizo kubwa sn
Mwitaa sio pw
Mzeebaba
Anayesema Magufuli ni mkandamizaji,sijui ana akili gani!!!hii ni kama ndoto TZ,zamani hakuna hii....migogoro ya miaka 10 zinatatuliwa kwa masaa!! JPM you are a redeemer..tukumbuke ni miaka 5 tu madarakani...give credit where due..wachache wanamuangusha rais ila wengi wanafanya kazi..tuache ushabiki wa kijinga tumshukuru na kumuombea JPM,hii kazi yake si mchezo,kila nikija nyumbani,nashangaa TZ inavyobadilika..naishi Uingereza..naelewa nisemacho...namshukuru pia rais kwa kuwaamini vijana ka wakina Hapi na wengine,Tanzania ijayo itashangaza dunia..kiongozi mzuri ni yule aachaye viongozi wazuri ...Mw.JK Nyerere...
Mungu pia akubariki na ambaye umeweza kuyaona haya,,,,ni kama Watanzania wamefumbwa macho but tatizo kubwa ni ushabiki
Kwasababu anatembea na silaa
We baba umechanganyikiwa maana ya nkurunziza ni ubabe! 🤔 🤔 🤔 🤔 🤔