''NKURUNZINZA'' WA IRINGA BALAA KATAPELI NUSU YA KIJIJI, APIGIWA SIMU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 03. 2020
  • Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ally Hapi ameendelea na Ziara yake Mkoani Iringa na Hapa amefika katika kijiji cha Nduli na Kuongea na Wananchi wa Kijiji hiko na kupokea na kero mbalimbali kutoka kwa wenyeji wa Kijiji hicho hapa amekutana na Nkurunzinza wa Iringa unaambiwa ametapeli nusu ya kijiji.

Komentáře • 174

  • @ramadhanisuru1822
    @ramadhanisuru1822 Před 4 lety +20

    Nahata wewe milad ayo tunakushukru kwa kutuletea habar lazima tukufikishiye shukran zetu kwa taarifa hizi

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 Před 4 lety +5

    Muheshimiwa Mchapa Kazi Barikiwa Sana, Endelea Kutetea Wanyonge.

  • @bonifacepatrick6679
    @bonifacepatrick6679 Před rokem +1

    Mungu akubaliki sana maana unaupiga mwingi viongozi wenye Welidi mkubwa na baba na wewe Mungu akupiganie sana kwenye kazi yako hiy

  • @e.j.starelia5672
    @e.j.starelia5672 Před 4 lety +5

    Ally Happy God bless you a lot unafanya vyema!!!! Zao la Magu hili nimelipenda hakika

  • @ramadhanisuru1822
    @ramadhanisuru1822 Před 4 lety +4

    Safi sana kwahii kazi ndugu yangu mkuu wa mkoa ally hapi mungu atakulinda naataendelea kukulinda

  • @mujahidinaathumani9751
    @mujahidinaathumani9751 Před 3 lety +8

    Fanya kazi yakuwatetea nakuwakomboa nakurudidua haki zawanyonge, Amini utapewa daraja na kivuli Cha Arshi siku ambayo hakitakuwa nakivuli

  • @edwindaniel7306
    @edwindaniel7306 Před rokem +1

    Miladihayo kazi yako inakubalika kwa waandishi wa habali kwa tanzania ww ni namba 1 maana hutoi habali za uongo nikiona kitu umepost ww huwa naamini asilimia 💯

  • @mcrootsav7712
    @mcrootsav7712 Před 4 lety +2

    Hii changamoto inaonekana kuota mizizi hapo ulipo...yaani mwenyenzi mungu akujaalie kibali zaidi na zaidi Mh mkuu wa mkoa...kazi uifanyao ni ngumu na nzitoo mmno

  • @mujahidinaathumani9751
    @mujahidinaathumani9751 Před 3 lety +2

    Kiongozi mwadilifu atapata neema ya kivuri Cha Arshi siku hiyo ngumu isiyokuwa nakivuri, Mungu akupe maisha marefu, Nimekuamini kiongozi, heshima kubwa kwako

  • @datiabdallah6012
    @datiabdallah6012 Před 4 lety +12

    Napendaga kusikiliza kesi za iringa🤣

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 Před rokem

    Mkuu wa mkoa usitoke ilinga unyooshe watu .nakupenda bule baba kazi nzuri

  • @denismabubu291
    @denismabubu291 Před 4 lety +2

    Hongera mkuu wa mkoa unajali watu wako h sana

  • @zephaniajosia1077
    @zephaniajosia1077 Před 4 lety +8

    mamaee devd mwisa kiboko ya wahehe ......alijuaa wahehe ukiwazurumu wanaenda kujinyonga😂😂😂😂😂😂

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 Před 4 lety +4

    Wewe nkirunzinza wewe, mbona hatari Sana hii , wee nkirunzinza wee Ni nomaa sanaa

  • @reginaosward6170
    @reginaosward6170 Před 3 lety +4

    Mungu akubariki kiongozi,viongozi mnaona shida za wananchi msipoenda mtajuaje shida zao

  • @mustafamandindi6434
    @mustafamandindi6434 Před měsícem

    Nakukubali muheshimiwa kwangu mm nakuita mwamba ALLY HAPI

  • @justinemahondo9396
    @justinemahondo9396 Před 4 lety +2

    Asante. Mkuu

  • @nurunzisabila9
    @nurunzisabila9 Před měsícem

    Kumbe waku wa mikoa wanaweza kufanya kazi nzuli kama hizi kwa wananchi wao Mungu wa mbinguni awabariki

  • @jacklinejosam3713
    @jacklinejosam3713 Před 8 měsíci +1

    Ningekuwa iringa, ningejikuta nmdai namimi😂😂😂

  • @fredyjohn8548
    @fredyjohn8548 Před 4 lety +3

    Mkuu wa mkoa uko vizur Sana

  • @neemampiluka9267
    @neemampiluka9267 Před 3 lety +1

    Safi mkuu wakoa wairinga nakupenda unajiamini Sana inapendeza sana

  • @mohamedschaeublin7374

    Ndugu Muheshimiwa
    Mungu atakuepusha na Mitihani ya Dunia na Wenye dhuluma kwa watu Duni kiuwezo, watokee viongozi mfano wako kwa kila Mkoa na Idara kutakua na maendeleo Bora yakijamii, nakila kiongozi na mlanguzi atachunga maisha, Ahsante Ndugu Ally
    Wewe unaenda na mamlaka ya Mola Kisheria na Dini zinavyo ruhusu 😍🙏🙏🙏

  • @hurumawonders475
    @hurumawonders475 Před 4 lety +5

    Mmh baba mkuu was Mkoa kwko nmeinua mikono!!nmekuelewa mkuu MUNGU AKULINDE SANA KWA YOTE

  • @mangegervas9651
    @mangegervas9651 Před 4 lety +2

    Gud saana

  • @safari5774
    @safari5774 Před rokem

    Mungu amusaidie uendelee na kazi nzuri

  • @georgiaruhinda1704
    @georgiaruhinda1704 Před 2 lety

    Namshukulu Mungu wa Ally Happy akulinde akutunze tunakuhitaji ktk ngazi ya juu zaidi

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid2488 Před 4 lety +5

    Wallahi ata sichokagi kutazama izi habari maana kuna kuchekesha babu koti lake jamaa anataka akapigie deki jamaa anazarau kinyama

  • @saitotisaitoti6734
    @saitotisaitoti6734 Před 4 lety +3

    Mheshimiwa Ally Happy tunakuombea Mungu akupe ulinzi wake

  • @alumonkisinda4574
    @alumonkisinda4574 Před 4 lety +4

    Mkuu Wa mkoa mchapa kazi nakukubali sana bwana hapy hapo tatizo ni police rushwa nyingi

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 Před 4 lety +3

    Wa Kwanza , hongera Sana kwa taarifa

  • @saitotisaitoti6734
    @saitotisaitoti6734 Před 4 lety +3

    Huyo kwisa ni mchawiii,matapeli ŵengi huwa wachawi.anawarubuni watu kwa njia ya nguvu za giza

  • @priscadaniel7
    @priscadaniel7 Před 3 lety +1

    Jamani

  • @hamzabagilente2118
    @hamzabagilente2118 Před 2 lety

    Ali hapi mtetezi wa wanyonge mungu akujalie Kila laheli

  • @veronicamchilo8552
    @veronicamchilo8552 Před 4 lety +5

    Nkurunzinza mungu anakuona 😂😂

  • @shukrimohamed2324
    @shukrimohamed2324 Před 4 lety +2

    Mkurunziza n jipu akiii... High 5 milard ayo...

  • @DenisRamadhani-mg1gu
    @DenisRamadhani-mg1gu Před 2 měsíci

    kuna wasio juwa hata kusoma mambo ya polisi wanaogopa maana hawajui hata kusema lolote wanaona tu bora wanyamaze lakini wanaugulia maumivu ya kunyanyaswa na hao watu wabaya wasio kuwa hata na hofu ya MUNGU " nawapenda sana viongozi wanao jitambua wasiokuwa na tamaa

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando5285 Před 2 lety +1

    Hao police wanajuana na Nkurunzinza🏃🏃🏃🏃🏃

  • @mcrootsav7712
    @mcrootsav7712 Před 4 lety +1

    Vile nakuombea mwenyenzi mungu azidi kukujaalia afya njema na kukubalika zaidi na zaidi mbele ya wananchi wako.na wengine pia....huwa sitamani kupishana na hizi video za kazi zako...unaibua sana changamoto za wananchi wa jimbo lako.

  • @ndinagweandendekisye3722
    @ndinagweandendekisye3722 Před 4 lety +5

    Huyo David nahisi ni mchawi sio bure! Ubabe gani huo?

  • @Boaz22
    @Boaz22 Před 4 lety +12

    Huyu David mwisa ni corona kabisa🤣🤣😂😂

  • @rajabmshengeli1624
    @rajabmshengeli1624 Před 4 lety +6

    Part 2 plzzz tumsikie na David Mwisa

  • @dianakakala3779
    @dianakakala3779 Před rokem

    Barikiwa baba

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 Před rokem

    Ndugu Ally kwakweli uko vizuri Sana Kama wakuu wote wa mikoa wangefanya kazi kama wewe duh! Tanzania ungekuwa mbali

  • @angeljasson4376
    @angeljasson4376 Před 4 lety +2

    Mkuu Mungu akupe afya njema na maisha marefu

  • @francismakuno8643
    @francismakuno8643 Před 3 měsíci

    Nkuruziza mgemtenda anachotenda ngombe zenu kumchinja😂😂

  • @frankdeogratius881
    @frankdeogratius881 Před 4 lety +1

    Huyu mwisa🙌🙌🙌🙌🙌

  • @ConfusedBirdNest-np2vn
    @ConfusedBirdNest-np2vn Před 4 měsíci +1

    ALLY HP CHAPAKAZI BABA

  • @issabakari1916
    @issabakari1916 Před 4 lety +1

    Hahahaha hata deki lako naomba nipigie deki, nimelipenda naomba nipigie deki, hahahahahaha dah hakiamungu wallah tuhurumie waja wako inshaallah

  • @malayikanepo788
    @malayikanepo788 Před 3 lety +1

    Nkurunziza wa Burundi kkkkkkk

  • @fredyjohn8548
    @fredyjohn8548 Před 4 lety +3

    Tunataka viongozi Kama hawa

  • @sharoombay8997
    @sharoombay8997 Před 4 lety +2

    Anyanganywe kwanza bunduki.

  • @nyangehassan902
    @nyangehassan902 Před 4 lety +1

    Duh! Jamaa ana dharau anaomba koti apigie deki

  • @salmadalaquimane2364
    @salmadalaquimane2364 Před 4 lety

    Wallah nme cheka sana koti lako amelipenda apigie deki

  • @user-pe8hj3ze4y
    @user-pe8hj3ze4y Před 4 měsíci

    Huyu mkuu wa mkoa nakubar sana anachapakazi isee

  • @kevinkimaninaphtal1498

    Akika alikuwa rais wa marais mungu akailaze roho yake mahali pema peponi

  • @paulomartini7611
    @paulomartini7611 Před 4 lety +1

    Kazi ipo kweli hapo cyo mchezo

  • @nyamangaking6608
    @nyamangaking6608 Před 3 lety +2

    Huyu mkuu wa mkoa ni jembe,kweli JPM ameacha muongozo sahihi,watu waliona JPM alivyopendwa na wananchi kwa kazi yake njema.baadhi wanapita mle mle kwenye njia ya JPM

  • @DenisRamadhani-mg1gu
    @DenisRamadhani-mg1gu Před 2 měsíci

    MUNGU mkubwa " viongozi kama huyu ndio wanahitajika " nchi yenye furaha inajengwa na hawa " nawapongeza na kuwashauri wasiogope kufa watupambanie hadi tone la mwisho la damu kuwatetea wanyonge "

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 Před 4 lety +2

    Zamani watu kama hawa walikuwa ni wengi.

  • @mussaboazi7782
    @mussaboazi7782 Před rokem

    mird nakubar sana bg

  • @eliaskahory7116
    @eliaskahory7116 Před 4 měsíci

    Huyo jamaaa Duuu ni hatali saana.

  • @microssadamu7556
    @microssadamu7556 Před 4 lety +3

    Naona kama movie yani!! Hivi haya mambo bado yapo Tanzania??

  • @sasatv1484
    @sasatv1484 Před 4 lety +3

    Sijui namimi namdai nkurunziza? Ngoja nikumbuke

  • @rajabumgogwe5312
    @rajabumgogwe5312 Před 3 lety +1

    Umesha pewa chako

  • @tindokamuti8142
    @tindokamuti8142 Před 4 lety +1

    koti nikapigie deki hahaha kiburi cha hali ya juu

  • @nyangehassan902
    @nyangehassan902 Před 4 lety +2

    Wahehe, watani zangu mnakwama wapi?

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 Před rokem

    Nampenda mkuu wa mkoa mimi jamani .anafanya kazi kwa weledi kabisa

  • @faithjonathan3845
    @faithjonathan3845 Před rokem

    Anayemuita mwenzie mapengo nayeye ana mapengo🤣🤣🤣kweli watu wenye kasoro ndo huwa mstari wa mbele kupigia kelele kasoro za wenzie

  • @andrewlugome6514
    @andrewlugome6514 Před 4 lety +2

    Mkuu tunaomba wapo wengi waliotapeliwa wakifika wasikilize walikata taama anatishia anasilsha

  • @esterelias8189
    @esterelias8189 Před 4 lety +1

    Mapengo...

  • @alvinsafi2733
    @alvinsafi2733 Před 4 lety +2

    Daudi Mwisa. ..huyu anaonyesha anatisha kama corona huko Iringa. .mjukuu wa mkwawa nini au anatokea familia za chief ? Mbona hivi huyu jamaa haogopi kifungo

  • @reemangoko2550
    @reemangoko2550 Před 4 lety

    Hee jamani David kashindikana hataree ni mchawi huyooooo

  • @woteonlinetv644
    @woteonlinetv644 Před 4 lety +1

    njaa tup yani

  • @domimasawe8674
    @domimasawe8674 Před rokem +1

    Ndugu mkuu wa mkoa kagombee urausi kura yangu chukua wewe na magufuli ni kitu kimaja

  • @andrewlugome6514
    @andrewlugome6514 Před 4 lety +1

    Mkuu Wa mkoa nakupa up kwa kufanyakazi macho yetu yako kwako

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy1812 Před 2 měsíci

    😂😂😂😂Nimechek sana apo ku koti😂😂

  • @paulondiek1345
    @paulondiek1345 Před 4 lety +2

    This is really atrue leader.

  • @jeofreyshega7139
    @jeofreyshega7139 Před 2 lety

    Mgu akujarie mheshimiwa

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 Před 4 lety +2

    Korona ikiingia Tanzania tumekwisha. Watu wanajichokonowa mapuwa. Pengine mikutano isimamishwe mpaka Huu ugonjwa upite.

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 Před rokem

    Huyo devi jamani

  • @lukaseliasobwolo7498
    @lukaseliasobwolo7498 Před 3 lety

    Duuu kiongozi wasaidie hao wanyonge

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 Před 4 lety +2

    piga uyoooo

  • @hamisimkumba10
    @hamisimkumba10 Před 4 lety +1

    Pwani akuna kitu

  • @davidwambura5915
    @davidwambura5915 Před 4 lety +2

    Huyo jamaa anachafua Jina la David mbona akina DAVID hatupo hivo.

    • @cristerfelly933
      @cristerfelly933 Před 4 lety

      Hahahaaaa pole akina David otee

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 Před 3 lety

      Huyo Devi ni mtu wa Aina gani mpotezeni piga Shaba aondoke kwenye uso dunia atawasumbua Sana wananchi Kwanza ni mchawi huyo huyo mbabe wenu

  • @erickmatius6703
    @erickmatius6703 Před 4 lety +1

    David Mwisa

  • @mariamariam9239
    @mariamariam9239 Před 4 lety +1

    Tapeli hyooo

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 Před 4 lety +4

    camera iko vzr sana milardayo.salout.

  • @beautylicious6165
    @beautylicious6165 Před 4 lety

    David✋✋✋😅

  • @mandaruukali2374
    @mandaruukali2374 Před rokem

    Huyo hatali akamatwe

  • @deshuaniton698
    @deshuaniton698 Před 4 lety +1

    Mutende aki asisumbuwe watu wakose laa kwasabu yako jaman asitese wtu

  • @leahavyarimana3731
    @leahavyarimana3731 Před 4 lety +2

    Kwahio rais wa burundi nkurunzinza ndo mbaze

  • @happyalex2904
    @happyalex2904 Před 4 lety +1

    Mkuu wa mkoa hy aje agombee urais

    • @hamismponzi5320
      @hamismponzi5320 Před 2 lety

      Mkuu pambana nakuandaliakukuchukuria fom2025uwnyoshemataperi

  • @hamadiathumani5018
    @hamadiathumani5018 Před 4 lety +1

    Jamani watu zaidi ya mia moja kijijini apo uyo david ni nini.????

  • @yolakahmathews6913
    @yolakahmathews6913 Před 4 lety +6

    3:06 Acha kuchokonoa pua wewe Coronavirus ishatua bongo!

  • @winfridmsindo984
    @winfridmsindo984 Před 4 lety +1

    Huyo devi ni tatizo kubwa sn

  • @keitshao5692
    @keitshao5692 Před 4 lety +1

    Mwitaa sio pw

  • @winfridmsindo984
    @winfridmsindo984 Před 4 lety +1

    Mzeebaba

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Před 4 lety +15

    Anayesema Magufuli ni mkandamizaji,sijui ana akili gani!!!hii ni kama ndoto TZ,zamani hakuna hii....migogoro ya miaka 10 zinatatuliwa kwa masaa!! JPM you are a redeemer..tukumbuke ni miaka 5 tu madarakani...give credit where due..wachache wanamuangusha rais ila wengi wanafanya kazi..tuache ushabiki wa kijinga tumshukuru na kumuombea JPM,hii kazi yake si mchezo,kila nikija nyumbani,nashangaa TZ inavyobadilika..naishi Uingereza..naelewa nisemacho...namshukuru pia rais kwa kuwaamini vijana ka wakina Hapi na wengine,Tanzania ijayo itashangaza dunia..kiongozi mzuri ni yule aachaye viongozi wazuri ...Mw.JK Nyerere...

    • @e.j.starelia5672
      @e.j.starelia5672 Před 4 lety +1

      Mungu pia akubariki na ambaye umeweza kuyaona haya,,,,ni kama Watanzania wamefumbwa macho but tatizo kubwa ni ushabiki

  • @user-vh3yh2ec8r
    @user-vh3yh2ec8r Před 9 měsíci

    Kwasababu anatembea na silaa

  • @azizaz1628
    @azizaz1628 Před 4 lety +1

    We baba umechanganyikiwa maana ya nkurunziza ni ubabe! 🤔 🤔 🤔 🤔 🤔