JAMAA AMEPIGIWA SIMU NA RC HAPI ''SINA PESA, SIMU YENYEWE NI YA MKE WANGU''

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 03. 2020

Komentáře • 160

  • @mariamm2724
    @mariamm2724 Před 4 lety +26

    Hongera mkuu wangu wa mkoa wa iringa ,kwa kuwa karibu na wananchi wako ,uzuri ulionao unaendana na roho yako mungunakupe afya ya kutosha.

  • @directorinyangeadriano5031
    @directorinyangeadriano5031 Před 4 lety +14

    Hadi raha...Mkuu wa Mkoa kasimama kama kiongoz kwel..Mungu azidi kukupa hakili yakuzungumza na wananchi wako

  • @neemamahusho6193
    @neemamahusho6193 Před 4 lety +21

    mkuu wa mkoa jaman anajitaidi Mungu azidi kumlinda

  • @mparemusa9787
    @mparemusa9787 Před 4 lety +12

    Piga kazi ,maombi ya wanyonge ndiyo yanayokufanya uendelee kuishi miaka mingi ,unachokifanya unatangaza Vita kwa wale wanyonyaji kwaiyo mungu ni mwaminifu atakulinda kwa yote unayoyafanya kwa wananchi wanyonge kwa kutenda haki

  • @veronicamchilo8552
    @veronicamchilo8552 Před 4 lety +16

    😂😂😂mkuu wa mkoa wewe ni mwanangu pia nikiongozi wangu sina pesa ivi kunamwananchi kaninyang'anya cm😭😭

  • @oliviamasao2891
    @oliviamasao2891 Před 4 lety +2

    Mkuu wa mkoa handsome ndani na nje .. Mungu akubariki

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Před 4 lety +15

    Kuwa karibu na wananchi ni jambo zuri na ndo maana ya uongozi, Ila itoke Moyoni na iwe endelevu na wengine waige mfano huu waache kukaa maofini wanachat.

  • @deboradaniel7929
    @deboradaniel7929 Před 4 lety +10

    pole baba angu mkuu atashughulika

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 Před 4 lety +5

    👏👏👏👏👏👏 Hongera Muheshimiwa.

  • @aliarkam9548
    @aliarkam9548 Před 4 lety +5

    Mashaa allah . Mwenyez Mungu akupe kher , akupe nguvu zaid

    • @peterpaul591
      @peterpaul591 Před 4 lety +1

      Magufuri hongera kwa chaguo la Hapi

  • @naamohamed9964
    @naamohamed9964 Před 4 lety +16

    Watu wana hali ngumu jaman harafu tunawadhulumu haki zao

    • @muhanilamlwale7046
      @muhanilamlwale7046 Před 4 lety

      MH ALI HAPI MUNGU AKUTUNZE SAANA NA UTAPAA SANA MUNGU ATAKUPIGANIA SANA WEWE ,

  • @mohamedsiadi8144
    @mohamedsiadi8144 Před 4 lety +16

    Leo wa kwanza kuangalia video hiii nipeni likes zangu 😅😁

    • @uswegemwakajila4980
      @uswegemwakajila4980 Před 4 lety +1

      Endelea kuwa kujisifu kuwa kwanza kuangalia video wakati wenzako wanajifu wakwanza kurusha rocket

    • @mohamedsiadi8144
      @mohamedsiadi8144 Před 4 lety +1

      uswege mwakajila kwani mie nina shida ya kurusha rocket 🤣

  • @dickensimlwafu3106
    @dickensimlwafu3106 Před 4 lety +3

    kazi nzuri Hapi,keep on doing it

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 Před 4 lety +9

    Hadi kwenye vikao vyakawaida kunapicha ya mh. P

  • @cutebaby3247
    @cutebaby3247 Před 4 lety +10

    R.C mdhuri👌😂

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Před rokem +1

    JAMANI KAKA MUNGU YUPO ATAKULIPA. TUMEIONA TOKA MWANZO KAZI YAKO NI NZURI SANA. KUMBUKA MTENDA WEMA DAIMA UPIGWA VITA. KHAAA WATU NI WABAYA SANA. UTALIPWA BROO. MWACHIE MUNGU ATAJIBU KWA YOTE ULIO WATETEA WANYONGE . INSHALLA

  • @axa29
    @axa29 Před 4 lety +11

    Kadege yeye analipa watu inakuwaje hajalipwa tena🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @festokiraryo.6107
    @festokiraryo.6107 Před 4 lety +5

    Hongera kwa kazi mkuu

  • @angeljasson4376
    @angeljasson4376 Před 4 lety +9

    Mkuu Mungu akupe umri mrefu na afya njema

  • @farisjuma90
    @farisjuma90 Před 4 lety +5

    Nice and wonderful leader

  • @radhiaoman2454
    @radhiaoman2454 Před 4 lety +3

    Dah ni safi Sana maana watu wa hali ya chini wanapata nafasi ya kutoa duku duku zao mh hongera sana

  • @noelamilambo9595
    @noelamilambo9595 Před 4 lety +7

    God bless u more hapi

  • @happyangelmac7670
    @happyangelmac7670 Před 4 lety +6

    Good leader

  • @pilatoonlinetv9660
    @pilatoonlinetv9660 Před 4 lety +4

    Huyo wanamuita RC Hapiness .!

  • @hadijaalpha7547
    @hadijaalpha7547 Před 4 lety +8

    Mungu atakulipa mueshimiwa

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 Před 4 lety +5

    Kuna mijitu haina aibu,unalipwa mshahara bado unadhulumu Sh. 39,000/-

  • @hafidhabdallah6292
    @hafidhabdallah6292 Před 2 lety +1

    Asante sana mh pigania haki za wananchi wako wewe kiongozi mwema by mpemba

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 Před 4 lety +8

    Jamaniii huyu kiongozi tunamtaka mbeyaaaaaa

  • @cecygeorge4443
    @cecygeorge4443 Před 4 lety +1

    Hongera mkuu wa mkoa wa iringa Mungu akubariki

  • @bebisheni4380
    @bebisheni4380 Před 4 lety +1

    kama hawapo shukanao moja kwa moja hadi chini halafu sukuma ndani mungu akubariki RC hapi

  • @ramadhanisuru1822
    @ramadhanisuru1822 Před 4 lety +3

    Wallah allah atakulipa kwahii kazi unayo ifanya kuwatetea watu wanyonge wallah wema hauozagi

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 Před 4 lety +1

    Pole Mkuu Wangu. Changamoto ni nyingi sana.Mtangulize Mungu kwa kila Jambo Naye Atakuongoza.Akupe Afya tele wewe na familia yako na viongozi Unaowaongoza. In sha Allah Allah Atufanyie wepesi sote.(Tuseme- Amin Rab Amin In sha Allah)

  • @kimmenelus7835
    @kimmenelus7835 Před 4 lety +7

    RC HAPPY
    nilivyo Mimi tunafanana kabisaaaa

  • @richardmanjira6800
    @richardmanjira6800 Před 4 lety +2

    Mungu akuongezee Maisha mkuuu

  • @jonathanstephen6616
    @jonathanstephen6616 Před 4 lety +10

    MKUU WA MKOA, NAKUPONGEZA KWA DHATI. THIS IS LEADERSHIP...MUNGU AKUINUE ZAIDI

    • @songascreenprint8712
      @songascreenprint8712 Před 3 lety

      Katika watu ninao wakubali uyuu jamaha uwa namkubali Sana Yani kiukweli uyuu alistahiki kuwa wazili wamambo ya ndani

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 Před rokem +1

    Asante mkuu wasaidie wanyonge

  • @frankhoffa8356
    @frankhoffa8356 Před 4 lety +8

    To e ni pe sa! Siyo mbwembwe.

  • @rahmamavura406
    @rahmamavura406 Před 4 lety +8

    Dah huyu ndio mkuu wa mkoa kwa kweli iringa ringeni tu

  • @shadyahamad3724
    @shadyahamad3724 Před 2 lety +1

    Mwenyez mungu azidi kukupa imani na wananchi wako viongoz km hawa ndio tunaowataka sisi wanyonge wanajali shida na kero za wabanchi mungu akupe mwisho mwema

  • @DrMbonea
    @DrMbonea Před 4 lety +11

    Kwa Sasa tuna wakuu wa mkoa watatu Makonda,Mwanri na Ali Happy
    These guys wanafanya kazi hata kama muwaseme vibaya

  • @lawmaina78
    @lawmaina78 Před 4 lety +7

    Mnakera sana mjue, yaani mpaka mkuu wa mkoa aje ndio watu walipwe haki yao, watu wanapewa miradi halafu kazi utapeli tu. Mkichezea mapanga mnalaumu.

    • @twahasaidi7578
      @twahasaidi7578 Před 2 lety +2

      Huyo ni mtetezi wa nyonge wtz hampendi kizuri

  • @rutashubanyuma4546
    @rutashubanyuma4546 Před 4 lety +8

    Kadenge anajua kujieleza aisee

  • @momepeter9161
    @momepeter9161 Před 4 lety +7

    🤣🤣🤣sina hela.sina uwezo wa kufika hapo😆😆😆

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 Před 2 lety +1

    Ongera sana kiongoz

  • @christinamahondomimihapa7162

    Hahahah mkuu wetu wa mkoa tunashukuru

    • @mussamatinde8813
      @mussamatinde8813 Před 4 lety

      rc hapi ww ni mix huna taji wara maskini unaskiriza watu wote na Rais ajipongeze kwa uteuzi wake kwako,

  • @yangoshatv5327
    @yangoshatv5327 Před 4 lety +2

    tena naongeza hongera sana mza apa ina shda tena matatizo kama ya zaman yapo ya rushwa rushwa

  • @brightonbenjamin1541
    @brightonbenjamin1541 Před 4 lety +2

    Safi sana mh.hapi

  • @twahasaidi7578
    @twahasaidi7578 Před 2 lety +2

    Ho ng era Sana mkuu wasaidie wanyonge ww ni mgufuli wa oili mwamba

  • @AlexisAjwantos
    @AlexisAjwantos Před 3 měsíci +1

    Fanya kazi bb

  • @kadogoomushadi5409
    @kadogoomushadi5409 Před 4 lety +2

    Shukran muheshimiwa

  • @jacksonrabson6439
    @jacksonrabson6439 Před 4 lety +8

    Hakyamungu awam hii viongozi kazi mnayo😂😂😂😂 mzee amesema anadai sh ngapi tena!!!

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga8318 Před 4 lety +2

    Yaani Mh,mkuu wa mkoa Kama unaweza kudili na wahehe kwa kiwango hiki baada ya hapo mzee JPM akupeleke rorya kwa akina MURA naamini ukiwaweza hao Basi miaka 20 ijayo run for president na Mimi nitakupa kura yangu bila kipingamizi.

  • @f.a6043
    @f.a6043 Před 4 lety +1

    Mh. RC HAPI 👍🏽👍🏽👍🏽🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @jessicarasigu2220
    @jessicarasigu2220 Před 3 lety

    Mkuu wa mkoa wa iringa,hongera sana kwakuchapa kazi bora,ubarikiwe baba

  • @glenjoewa1797
    @glenjoewa1797 Před 3 lety +1

    Tanzania iko sawa, open courts inaleta haki kwa wanyongi
    WE SUPPORT YOU MKUU WA MKOA

  • @zairiabakari4155
    @zairiabakari4155 Před 4 lety +2

    Natamani ungekua mbunge wangu kibaha mjini

  • @mitrione8970
    @mitrione8970 Před 4 lety +1

    Wewe uko Number1 tu

  • @dominickshija5908
    @dominickshija5908 Před 2 lety +1

    Happy I like you

  • @user-zq2ql5yn7g
    @user-zq2ql5yn7g Před 5 měsíci

    Hongera kamanda kwa juhud zako mungu akupandishe atua zaid

  • @estermpagama9664
    @estermpagama9664 Před 4 lety +1

    Mkuu wa mkoa Iringa kweli unafanya kazi ni raha na furaha kusaidia shida za watu mmepata kiongozi mwema Mungu akutangulie

  • @veronikahau2935
    @veronikahau2935 Před 4 lety +3

    Nmemuonea huruma huyo baba maskini daah

  • @jeuritv156
    @jeuritv156 Před 3 lety

    I realy like this guy... Rc Hapi long live my brother

  • @carolinjohn3189
    @carolinjohn3189 Před 4 lety +4

    Hapi juu

  • @nyamogafamily4262
    @nyamogafamily4262 Před 4 lety +2

    Hali ngumu mpka mtu akizurumiwa elf 39 anashitki?

  • @veronicamchilo8552
    @veronicamchilo8552 Před 4 lety +14

    😇😇 wahehe twendelee na moyo huhu ingekuwa mkulya kashapita na shingo ya mtu mkulya hata buku anakuuwa

    • @bockernyarusahi3655
      @bockernyarusahi3655 Před 4 lety +2

      veronica mchilo mkurya atakuwa alishakupiga kaz akakuacha siyo kwa kumchukia huko

    • @taslimanyange2850
      @taslimanyange2850 Před 4 lety +2

      Hahahahhahahahhahahha na wakurya kwa kuacha mademu wako vizurii kipigo unapata na kuachwaa unaachwaa

    • @magesamatiku7364
      @magesamatiku7364 Před 4 lety

      Mimi kwa usumbufu huo nishamnyonyo macho mapema

    • @khadijakhadija6212
      @khadijakhadija6212 Před 4 lety

      @@taslimanyange2850 😂😂😂😂😂ntajaribu kumpend mkurya ili nipigwe nione

    • @dmtv6448
      @dmtv6448 Před 4 lety

      @@khadijakhadija6212 😅😅😅😅😅

  • @godlovemrosso5973
    @godlovemrosso5973 Před 4 lety +1

    Mdogo wangu mh Hapi nakuona kuwa hazina kwenye uongozi wa Taifa langu la Tanzania
    Mungu akubariki saba bro endelea na moyo huo huo

  • @sintamtati8554
    @sintamtati8554 Před 2 lety

    Big up sana mkuu wangu wa mkoa wa Iringa kwa kuwa karibu na Wananchi na kutatua kero zao, Mungu akusimamie ktk uongozi wako.

  • @daudimwidimakihanda5386
    @daudimwidimakihanda5386 Před 4 lety +12

    Maisha haya we unakaa bar unatumia elfu 50 Kuna mwingine anaitaji elfu 39, akale na familia yake tufike mahali binadamu tuoneane huruma

  • @neemamahusho6193
    @neemamahusho6193 Před 4 lety +11

    😀😀😀😀😀😀😀😀🖐️noma jamn mkuu wamkoa hatariii

  • @mlimawamajibutv
    @mlimawamajibutv Před 4 lety +3

    NAKUOMBEA UBALIKIWE ADUI ZAKO WAABISHWE MUNGU AKULINDE AKUOKOE NA MITEGO YA WATU WABAYA HAKIKA SIJUITII KUMTUMIKIA MUNGU KATIKA MKOA WAKO BALI NAJIVUNIA SANA

  • @Mamatonny2065
    @Mamatonny2065 Před 4 lety +3

    Hongera Mheshimiwa mkuu wa mkoa wa Iringa..
    Mwenyezi Mungu azidi kukupa nguvu ili uzidi kupigania wanyonge...

  • @rashidfentu5542
    @rashidfentu5542 Před 4 lety +2

    Mkuu rud jimbon kwako kondoa kura zipo waz

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi6584 Před rokem

    HONGERA SANA.
    WEWE NI MTU WA Mungu .
    .

  • @salimramadhani5237
    @salimramadhani5237 Před 4 lety +1

    Huyu Rc ni Noumaaaaaaaaaaaaa

  • @isayakilangi5888
    @isayakilangi5888 Před 4 lety +22

    Iringa magufuli alitupa kiongozi abalikiwe Sana hatuna haja ya mbunge sisi hapy anatutosha ww ndo mbunge na wewe ndo mkuu wa mkoa

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Před 4 lety +9

    Hizi ni zama za magufuli, kila kitu kitanyooka

  • @tabuboone934
    @tabuboone934 Před 3 lety +1

    Inqbidi uelewehe watu kuwa km amefanyakazi ya kulipwa hiyo ni haki yke lazima alipwe

  • @JumaNdingo
    @JumaNdingo Před 4 měsíci

    Hawa ndio viongozi tunao wataka kwenye nchi yetu hongera mkuu wa mkoa iringa iwe mfano wakuigwa kwa viongozi wengine

  • @costantinejoseph4907
    @costantinejoseph4907 Před 4 lety +2

    mbona mzee anafanana na mkuu wa mkoa

  • @sarahlydia2635
    @sarahlydia2635 Před 4 lety +3

    😘😘😘

  • @jamilakizya7792
    @jamilakizya7792 Před 3 lety

    Mungu msimamiye mkuu wa mkoa huyo anafanya kazi nzuri sana na wengine waingi inchi itasonga mbele sana kulikoni wangeni wemekaa tu ofisini

  • @herimallya3385
    @herimallya3385 Před 4 lety +2

    Hapi

  • @mdedeanna7630
    @mdedeanna7630 Před 4 lety +2

    Njooo na huku mafinga maana wanatunyanyasa sana huku mafinga njooo

  • @festohingi7879
    @festohingi7879 Před 4 lety

    Safi Sana mkuu wetu wa mkoa kwa kusikiliza kero za watu wako hongera Sana kiongozi

  • @pasquallungwa3517
    @pasquallungwa3517 Před 4 lety +4

    Duuh mchepuko wangu kanipora sim sasa nifike ofisin kwako mkuu nipate pesa yakununulia sim nyingine aisee vuvuzela ni shiiiiigdah

  • @MctMct-tt4rq
    @MctMct-tt4rq Před 4 lety +1

    SIJAWAHI KUMUKTA HUYU MKU WA MKOWA KWENYE KAZI ZAKE MUNGU AMBARIKI HUYU MKUU WA MKOW

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 Před 4 lety

    Mungu Asant kwa kunipa vijirizki hivi,kuna watanzania wanategemea 39 kula na family eeeh mungu Asante

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Před rokem +1

    Jamani nyie uyu kijana mnataka afanyeje?? Mna mizambi na mtaungua kidogo kidogo mpaka MFE KWA UZUSHI WENU. AIBU SANA KWA KUMWANGUSHA KIJANA MCHAPA KAZIIIII KAMA HUYUU LOOOOO AYAA TUPU

  • @SEMANKA97
    @SEMANKA97 Před 4 lety +2

    Huyo mzee nimempenda kuzungusha mtu tabia mbaya mno

  • @daudisalum9574
    @daudisalum9574 Před 5 měsíci

    Uyu alikua mchapa kazi sana apewe kitengo ali happy

  • @emanuelmoshama3899
    @emanuelmoshama3899 Před 4 lety +2

    ukandarasi kimeo

  • @Mwakasyuka1803
    @Mwakasyuka1803 Před 4 lety +3

    Anazingua huyo mkandaras

  • @rashidsalim7078
    @rashidsalim7078 Před rokem +1

    naanza kumuelewa huyu mkuu wa mkoa happy

  • @Michael_Msanzya
    @Michael_Msanzya Před 4 lety +3

    Kadege mbishi
    Sana Baba Mkwe Wangu😁😁😁😁

  • @assleeali2302
    @assleeali2302 Před 4 lety +8

    Mbn hawa jamaa n waongo sana hiv kweli wanashindwa kuwa na elfu 30 mfukoni

    • @klystry1234
      @klystry1234 Před 4 lety +3

      Asslee Ali ni 40 hiyo chenchi buku

  • @rajabsalim8920
    @rajabsalim8920 Před 4 lety +1

    Huyu msanii wa mkoni haha😂😂

  • @teclamahenge4425
    @teclamahenge4425 Před 4 lety +2

    Mtetezi wa wanyonge

  • @hajimakarabai4700
    @hajimakarabai4700 Před 4 lety +2

    Mnawapa vp hii mikataba watu hawa wananjaaa

  • @vumiliabakari6050
    @vumiliabakari6050 Před 3 lety +1

    Nawapa

  • @bostonnyatu3269
    @bostonnyatu3269 Před 3 lety

    Mkuu wa mkoa wa Iringa nimebarikiwa na utendaji kazi wako Mungu akulinde