Kijana huyu ally hpi nyota yako inangara sana na sana.Aim higher Mkuu,wania urais wakati ukiwadhia.Love your workaholic nature.Keep up .Tutazidi kukutilia dua
Nakupongeza sana Muheshimiwa mkuu wa mkoa Alli happy. Pia nina kero ya kijiji chetu naomba kuwakilisha ambayo imetughalim kwa muda wa miaka mingi sana katika kijiji chetu cha malagosi iringa vijijin
Asante sana. Nchi hii ilikuwa imepotea njia. Hata makanisa walishiriki kudhulumu. Anayeichukia serikali ya Rais MAGUFULI hana dini. Wanyonge wanalindwa na serikali hii. Zamani ilikuwa mwenye pesa ndiye anashinda kesi. Wanyonge walindwa na serikali hii. Matapeli na mafisadi walikuwa wameibeba nchi hii. Asante sana Hapi you make us proud. Mungu akulinde
Mkuu wa mkoa nakupongeza sana kwa kuubadilisha mkoa wetu wa Iringa nakuomba mkuu wa mkoa hebu fika vjiji vya isele na kising'a viko dabaga kuna kero nyingi sana huko moja ni maji na umeme ni ahadi zisizotekelezeka tafadhari jitahidi ufike huko upate ukweli
Mambo km haya uongoz uliyopita tulikua hatuyaoni hii yote nikwa sababu ya raisi wetu anachapa kazi kweli kweli hongera kiongozi kwa kutetea haki za wanyonge
Kweli kuna stofahamu...mtu ameshindaa...kisha wakae waongee....Mh....Ally hapi...wewe ndiyo mteule wa wana wa Iringa....kuna sintofahamu kabisaa...pole na hongera kwa kazi kiongozi
Mhe Rais Samia Suluhu, nakuomba umfikiri huyu kijana katika nafasi zingine za Uongozi hasa ule wa kutatua changamoto za ardhi. Ni mwanasheria na anelelewa vizuri katika Imani ndiyo maana anazingatia misingi ya haki. Pia huyu kijana anajua janjajanja za Viongozi na wapora haki hivyo si rahisi kudanganywa. Kwakweli kutotumia vipawa alivyonavyo huyu kijana nahisi huenda ni dhambi mbele za Mungu maana tayari vinajulikana. Simjui Wala sijawahi kuonana nae ana kwa ana lakini Kwa kufuatilia utendaji wake, HAPI ni kiongozi mtatuzi wa matatizo ya Jamii. Kwako ndugu HAPI, uwe na Subra na Moyo uliobebwa katika kifua kipana kilichokomaa kuvumilia Ngumi nzito nzito kama zinazoendelea Sasa baada ya kuwekwa pembeni katika madaraka ya U RC. Mimi binafsi nakuona ni kiongozi wa kuigwa hata na waliokuzidi Umri. Mungu akubariki wewe na Rais wetu, Amiiin.
Honestly we don't do that. Hawa watendaji ndiyo wanasababisha wananchi wakichukie chama cha mapinduzi na serikali yake. Tatizo ni watendaji wabovu wasiotenda haki wala kuzingatia sheria. Sukuma ndani.
bado..Majaliwa kiboko mjomba,usimuone kuongea kwake kwa ukimya, Majaliwa anafatilia kitu mpaka kwa dakika ulipokua,fully informed...ila Hapi anajua kutatua matatizo haya ya mkoa..in future Hapi atakua mkubwa.Hajawafikia wakina Lukuvi! baada ya JPM,atapa hata unaibu katika wizara yoyote..Rais ajae ni kati ya,Majaliwa,Kabudi na Lukuvi[utabiri wangu]
Mhe happi nakuombea mungu akupe afya njema na uendelee kua kiongozi inshaallah ushauri wangu kwenye wiki tenga siku moja maalum kusikiliza kero za watu wako
mkuu hawa viongozi wanapindisha pindisha maneno hapo..na inaonekana utendaji wao sio wa kitaalamu zaidi ni wa kusikia maneno ...saidia mwenye haki apate haki yake...
Mhu mkuu wa mkoa @allyhapi swala la migogoro ya ardhi ni kubwa sana,wananchi wengi tunakero hio,na baadh ya watumishi kwenye office zetu wanarudisha nyuma jihudi za nyie viongoz wa ngazi za juu katika kutatua kero hizi ,watumishi wengine wanachukua rushwaaa
These people make me sick to the stomach! There a lot if Bashites in this matter, really you ain't seen any letter from the court but you seat a committee without questioning???
MAGUFULI HAPA WANAIRINGA MMEPEWA JEMBE LA NGUVU HALIYUMBI WALA KUTETEREKA KWENYE KUTAFUTA HAKI ZA WATU BABA MAGU TUNATAKA VIONGOZI KAMA HAWA ALY HAPPY MUNGU AKUWEKE AKUPE HEKIMA ZAIDI MUNGU ATAKULIPA KWA UTETEZI WA WANYONGE MUNGU AKUPE MWISHO MWEMA WA KUONDOKA DUNIANI
Wewe Mh Hapi ningejuwa namba yako ya simu ninge kula zawadi kwakweli naapa kwa dini yangu wewe ni Mh halali ❤️
Huyu kaka mbunge mtalajiwa hongera sana mungu akuweke miaka mia
Your a good leader mr Rc, congratuation
Uongozi ni wito na hakika mheshimiwa umeitika wito! Mungu akupe nguvu uzid kusimamia haki za wanyonge!! Mungu akutunze
Kaz nzuri mkuu mungu akusimamie
Very good job, these are the kind of leaders we need Hongera sana RC Hapi.
Maamuzi Bora kabisa Hongera Mkuu wa Mkoa Ally Hapi
Kijana huyu ally hpi nyota yako inangara sana na sana.Aim higher Mkuu,wania urais wakati ukiwadhia.Love your workaholic nature.Keep up .Tutazidi kukutilia dua
Nimekupenda sana kiongozi,mimi ni mwanainchi wa burundi ,illa nafwatilia habali za tanzania
Mh Alli Happi Mungu akutunze kwa ajir ya wanyonge uongozi ni wito na umeitika MH.HONGERA SANA KAKA
Example of an African strong leader congratulation Sir.
Choose leader from heaven Mr hapi be blessed
muheshiwa hapy nakukubali sana
unafanya vizurii sana hapi mungu akuzidishie maish marefu yenye furaha teleeeeee
Hapi nilikuwa nakusikia tu leo nakukubali kuwa unauwezo mkubwa wakumsaidia rais wetu Makufuli 🙏🙏🙏👆👆
High capacity of I.Q well done mheshimiwa
Your very right his iq is high
Kaka hapi💪chapa kazi
Viongozi wenye kuacha alama leo umekujua kunifurahisha HAPI.
Pengo mjanja mjanja. .hafai Serikalini
Nakupongeza sana Muheshimiwa mkuu wa mkoa Alli happy. Pia nina kero ya kijiji chetu naomba kuwakilisha ambayo imetughalim kwa muda wa miaka mingi sana katika kijiji chetu cha malagosi iringa vijijin
Hawa ndio viongozi wa kuchagua mkuu wa mkoa oyeeee
Mungu akubariki
Mkuu uko poa sana natamani uhamishiwe Arusha
Asante sana. Nchi hii ilikuwa imepotea njia. Hata makanisa walishiriki kudhulumu. Anayeichukia serikali ya Rais MAGUFULI hana dini. Wanyonge wanalindwa na serikali hii. Zamani ilikuwa mwenye pesa ndiye anashinda kesi. Wanyonge walindwa na serikali hii. Matapeli na mafisadi walikuwa wameibeba nchi hii. Asante sana Hapi you make us proud. Mungu akulinde
Napenda sana nanakupongeza kwa kazi zuri by mwachang'a
Piga kazi hata magufuli anakujuwa naana kukubali sana
Happy Mkuu wa wilaya smart Leo nimekuekewa uko vizuri
mkuu wa mkoa
Congratulation we need president like you in tanzania
Nakufatilia sana mkuu wa mkoa sana .mkuu nasikia laha haki unatoa kistahiki asante baba
Kwa kweli watu wa ardhi hawasaidiii kabisa, ruswha bado ipo wizara ya ardhi
Nafatalia Sana semu anazo simamia migogolo Safi ww nn mtetezi na mpenda haki Kwa wote
Safi Sana wamezoea kutunyanyasa
Mpaka sasa hivi kesi ipo mahakama kuu baada ya mama huyo kizee kuapuli
Hongera mkuu
asante mheshimiwa ali happ nakupenda bule 😍😍😘😘
Mkuu wa mkoa nakupongeza sana kwa kuubadilisha mkoa wetu wa Iringa nakuomba mkuu wa mkoa hebu fika vjiji vya isele na kising'a viko dabaga kuna kero nyingi sana huko moja ni maji na umeme ni ahadi zisizotekelezeka tafadhari jitahidi ufike huko upate ukweli
Mambo km haya uongoz uliyopita tulikua hatuyaoni hii yote nikwa sababu ya raisi wetu anachapa kazi kweli kweli hongera kiongozi kwa kutetea haki za wanyonge
Muheshimiwa Mungu akupe Umri Uweze Kusaidia Wanyonge, 🤣🤣🤣🤣 Mate Yawadondoka.
Ahsant mhehe mwezangu❤️❤️❤️
Kakwambia Nani Hy nimhehe hehehe chapa ya. Kondoa Hy mkuu wamkoa niwakondoa sy iringa cheupe chakondoa 💪💪💪💪💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mungu akuweke hapi
Exactly fine mr. Hapi!! Full of 😂
Technician Adoh! Mkuu wa mkoa upo vizuri hao ni mataperi mchana kweupe watumishi wanaopindisha mambo wapewe maonyo wanatia aibu.
Safi Sana piga kazi
Sisi tumezulumiwa nyumba MH ALLY HAPI naomba no yako
Huyu ali anaakili san Namfatilia sanA uyu jamaa anaakili sana alafu ninacho furahi zaid nikijan Mwenzangu
Kweli kuna stofahamu...mtu ameshindaa...kisha wakae waongee....Mh....Ally hapi...wewe ndiyo mteule wa wana wa Iringa....kuna sintofahamu kabisaa...pole na hongera kwa kazi kiongozi
Safi sana mkuu 🔥🔥🔥
Kaka all hap mungu akupe ujasiri
Nakukubali sana Hapi
Mhe Rais Samia Suluhu, nakuomba umfikiri huyu kijana katika nafasi zingine za Uongozi hasa ule wa kutatua changamoto za ardhi. Ni mwanasheria na anelelewa vizuri katika Imani ndiyo maana anazingatia misingi ya haki. Pia huyu kijana anajua janjajanja za Viongozi na wapora haki hivyo si rahisi kudanganywa. Kwakweli kutotumia vipawa alivyonavyo huyu kijana nahisi huenda ni dhambi mbele za Mungu maana tayari vinajulikana. Simjui Wala sijawahi kuonana nae ana kwa ana lakini Kwa kufuatilia utendaji wake, HAPI ni kiongozi mtatuzi wa matatizo ya Jamii.
Kwako ndugu HAPI, uwe na Subra na Moyo uliobebwa katika kifua kipana kilichokomaa kuvumilia Ngumi nzito nzito kama zinazoendelea Sasa baada ya kuwekwa pembeni katika madaraka ya U RC. Mimi binafsi nakuona ni kiongozi wa kuigwa hata na waliokuzidi Umri. Mungu akubariki wewe na Rais wetu, Amiiin.
Wewe ni kiongozi safi MUNGU amekupa hekima
Happi yuko makini
RC Hapi BabaLao!!
Yoote kwa yote Happy we Jembe
Magufuli tosha ubarikiwe sana
Honestly we don't do that. Hawa watendaji ndiyo wanasababisha wananchi wakichukie chama cha mapinduzi na serikali yake. Tatizo ni watendaji wabovu wasiotenda haki wala kuzingatia sheria. Sukuma ndani.
Wewe jamaa umeongea points sana
Kabisa
Huyu mm namfatilia sana kiukweli uko vzr kaka
Kunasiku nilisema Hapy ni mkuu wa mkoa bora Tz watu wakanitusi
Walio kutus iliposema kua. Mkuu. Wa wilaya Happ. Ni Bora wakakutus. Hawajielewi
WAFUNDISHE SHERIA HAO WATATUSUMBUA WANANCHI WANYENGE !
Good job
Huu ndio uongozi safi
Safi sana MH daah wallah nakupenda bure ww ni rais wawanyonge
Straight forward
Big up Mh HAPPI
Kaka uko sahihi kabisa waonyeshe Shelia inavyo kwenda
Safi sana happy
Duh hapa sheria imelala kabisa asante hapi huzubaishwi
Pengo muhuni fukuza huyopengo
Happy ni Kiongozi shujaa kama chifu Mkwawa!
Yaani migogoro ya ardhi kifamilia huwa ni pasua kichwa
kiingereza chetu kinanifurahisha sana!
Kondoa mojaaa Hy piga keleleeee kwa Ally hapiiiii
Ni mrangi kumbe ma sha Allah
@@salmasoso9839 naam kondoa hy uje sikumoj tuende kwao tukale ugali 😃😃😃mn anajua kupika huyoooo
Maomba no ya MH ALLY HAPI
Magufuri huyu mtoto anafaa kuwa wazili mkuuu hongelakwakumchaguwA
bado..Majaliwa kiboko mjomba,usimuone kuongea kwake kwa ukimya, Majaliwa anafatilia kitu mpaka kwa dakika ulipokua,fully informed...ila Hapi anajua kutatua matatizo haya ya mkoa..in future Hapi atakua mkubwa.Hajawafikia wakina Lukuvi! baada ya JPM,atapa hata unaibu katika wizara yoyote..Rais ajae ni kati ya,Majaliwa,Kabudi na Lukuvi[utabiri wangu]
Pongezi mkuu na MUNGU akujalie mema
Ally hap Mimi naona akitoka mh magu Kamata nchi mkuu, nakukubali Sana wewe niwamungu.
Mama anajua kujieleza aiseeeee
Mama huyo ni noma ,hebu chukulia ni mkeo wa dhamani kakushitaki
Mhe happi nakuombea mungu akupe afya njema na uendelee kua kiongozi inshaallah ushauri wangu kwenye wiki tenga siku moja maalum kusikiliza kero za watu wako
Wana Iringa twa kukubali na kuthamini kazi yako Mhe. RC
Hongera Baba
MIJIZIII NDIO MNAYOITAKA LOOOO ZAMBIIIII SANA. TUWAONE BASI HAO WATEULIWA KAMA SIO WAZUSHI TUUU. NYIE AYA
Viongozi wengine wanawadharau viongozi wa chini
Ndy hvyo watu wa Ardhi na watendji kupata Viwanja vya bure
😍😍😍
mkuu hawa viongozi wanapindisha pindisha maneno hapo..na inaonekana utendaji wao sio wa kitaalamu zaidi ni wa kusikia maneno ...saidia mwenye haki apate haki yake...
Safisana nimeipenda
Ask them mukuu
Unafaa kupewa KAZI tena kwa sababu ni mtetezi wa haki za wanyonge
Mhu mkuu wa mkoa @allyhapi swala la migogoro ya ardhi ni kubwa sana,wananchi wengi tunakero hio,na baadh ya watumishi kwenye office zetu wanarudisha nyuma jihudi za nyie viongoz wa ngazi za juu katika kutatua kero hizi ,watumishi wengine wanachukua rushwaaa
Safi sana Mkuu chapa kazi Mkuu
wajanjawanja hao
Mb zangu !!
Upuuzi wa mzee juha.
Magufuri umekufa ila umetuachia vijana wako l think tunakitu kitakuja japo kitachelewa
mkuu uko vizir
jamaaaaa anajua kaz yake na yuko kwenye msimamo wako
These people make me sick to the stomach! There a lot if Bashites in this matter, really you ain't seen any letter from the court but you seat a committee without questioning???
MAGUFULI HAPA WANAIRINGA MMEPEWA JEMBE LA NGUVU HALIYUMBI WALA KUTETEREKA KWENYE KUTAFUTA HAKI ZA WATU BABA MAGU TUNATAKA VIONGOZI KAMA HAWA ALY HAPPY MUNGU AKUWEKE AKUPE HEKIMA ZAIDI MUNGU ATAKULIPA KWA UTETEZI WA WANYONGE MUNGU AKUPE MWISHO MWEMA WA KUONDOKA DUNIANI
Rais aliona mbali kuwachagua muwe wasaidizi wakee na hamjamuangusha pig up kaka
Nakuona diwani mtove kwa pembeni upo na mkuu wa mkoa
Unafaa
Munam mpa mtu kazi na hata hajui kaziyake ibu
Mdogo wake Baba Magufuli huyoooo hakina kuipindisha Lula inatumika
Nime furaha kuona kiongozi mdogo mwamyaka arakini mkubwa kuongoza kabisa niko Rwanda arakini na penda Raisi Magufuli wapiri Amekuwa Hapi
Mheshimiwa raisi mhamishie Dodoma huyo
Hapi unawe kabisa
Una stahili kuwa raisi wa nchi baada ya magu
Rais wa iringa tunakuombea usije hama
Ali hap naomba usihame mkoa wetu
Wanamasilahi hao fukuzeni ndio wanaosumbuwa raiya watumbuwetu
Yn we baba unatenda kaz kwa uwared Sana Bora hata niwe mchepuko wako.tu naona hata huko utakuwa unatenda hak
Hahahahaaaa
@@leticiacosmas7626 Hali ngumu hii
Duh.....
@@benezethkabunduguru7240 jeee
Kkkkkk we Jacklyn bhana kha!!
Wapigeee makwaju
mimi huyu mwenye kazi ya kuinua na kushusha mic tu. yaani ndiyo kazi hiyo, au siyo?
Anakula mishahara kwa hilo tu heheeheh