''PENGO'' AKIONA CHA MOTO, ''LETA HIYO BARUA HAPA''

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 03. 2020

Komentáře • 159

  • @blacknature3691
    @blacknature3691 Před 4 lety +9

    Wewe Mh Hapi ningejuwa namba yako ya simu ninge kula zawadi kwakweli naapa kwa dini yangu wewe ni Mh halali ❤️

  • @isunga1964
    @isunga1964 Před 4 lety +7

    Huyu kaka mbunge mtalajiwa hongera sana mungu akuweke miaka mia

  • @jumajonas5253
    @jumajonas5253 Před 4 lety +5

    Your a good leader mr Rc, congratuation

  • @shebaminde7656
    @shebaminde7656 Před 4 lety +9

    Uongozi ni wito na hakika mheshimiwa umeitika wito! Mungu akupe nguvu uzid kusimamia haki za wanyonge!! Mungu akutunze

  • @ismailsadick2060
    @ismailsadick2060 Před 4 lety +4

    Kaz nzuri mkuu mungu akusimamie

  • @vincej9275
    @vincej9275 Před rokem +1

    Very good job, these are the kind of leaders we need Hongera sana RC Hapi.

  • @batholomeowella2055
    @batholomeowella2055 Před 4 lety +7

    Maamuzi Bora kabisa Hongera Mkuu wa Mkoa Ally Hapi

  • @casmirmakori1092
    @casmirmakori1092 Před 4 lety +7

    Kijana huyu ally hpi nyota yako inangara sana na sana.Aim higher Mkuu,wania urais wakati ukiwadhia.Love your workaholic nature.Keep up .Tutazidi kukutilia dua

    • @ndayishimiyeferdinand8232
      @ndayishimiyeferdinand8232 Před 4 lety

      Nimekupenda sana kiongozi,mimi ni mwanainchi wa burundi ,illa nafwatilia habali za tanzania

  • @SalumImran-ku3yr
    @SalumImran-ku3yr Před 5 měsíci

    Mh Alli Happi Mungu akutunze kwa ajir ya wanyonge uongozi ni wito na umeitika MH.HONGERA SANA KAKA

  • @lucasmkui3160
    @lucasmkui3160 Před 4 lety +8

    Example of an African strong leader congratulation Sir.

  • @rosesimiyu1834
    @rosesimiyu1834 Před 4 lety +3

    Choose leader from heaven Mr hapi be blessed

  • @mubarakakitingisa669
    @mubarakakitingisa669 Před 4 lety +5

    muheshiwa hapy nakukubali sana

  • @victoriastephano4075
    @victoriastephano4075 Před 4 lety +1

    unafanya vizurii sana hapi mungu akuzidishie maish marefu yenye furaha teleeeeee

  • @faustinefs1148
    @faustinefs1148 Před 4 lety +5

    Hapi nilikuwa nakusikia tu leo nakukubali kuwa unauwezo mkubwa wakumsaidia rais wetu Makufuli 🙏🙏🙏👆👆

  • @laurentmpangala534
    @laurentmpangala534 Před 4 lety +6

    High capacity of I.Q well done mheshimiwa

  • @zwinsalhabsu264
    @zwinsalhabsu264 Před 4 lety +6

    Kaka hapi💪chapa kazi

  • @shukranitawa4668
    @shukranitawa4668 Před 4 lety +9

    Viongozi wenye kuacha alama leo umekujua kunifurahisha HAPI.

  • @alvinsafi2733
    @alvinsafi2733 Před 4 lety +4

    Pengo mjanja mjanja. .hafai Serikalini

  • @msalikemedia
    @msalikemedia Před 4 lety +2

    Nakupongeza sana Muheshimiwa mkuu wa mkoa Alli happy. Pia nina kero ya kijiji chetu naomba kuwakilisha ambayo imetughalim kwa muda wa miaka mingi sana katika kijiji chetu cha malagosi iringa vijijin

  • @mwaamwetahussain1110
    @mwaamwetahussain1110 Před 4 lety +4

    Hawa ndio viongozi wa kuchagua mkuu wa mkoa oyeeee

  • @mwaswa1899
    @mwaswa1899 Před 4 lety +5

    Mungu akubariki

  • @gracegrace6200
    @gracegrace6200 Před 4 lety

    Asante sana. Nchi hii ilikuwa imepotea njia. Hata makanisa walishiriki kudhulumu. Anayeichukia serikali ya Rais MAGUFULI hana dini. Wanyonge wanalindwa na serikali hii. Zamani ilikuwa mwenye pesa ndiye anashinda kesi. Wanyonge walindwa na serikali hii. Matapeli na mafisadi walikuwa wameibeba nchi hii. Asante sana Hapi you make us proud. Mungu akulinde

  • @dalalizerobunjubeachmoga3039

    Napenda sana nanakupongeza kwa kazi zuri by mwachang'a

  • @ramadhanisuru1822
    @ramadhanisuru1822 Před 4 lety +5

    Piga kazi hata magufuli anakujuwa naana kukubali sana

  • @kashindisimon5265
    @kashindisimon5265 Před 4 lety +3

    Happy Mkuu wa wilaya smart Leo nimekuekewa uko vizuri

  • @edwinjuma7024
    @edwinjuma7024 Před rokem

    Congratulation we need president like you in tanzania

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 Před rokem

    Nakufatilia sana mkuu wa mkoa sana .mkuu nasikia laha haki unatoa kistahiki asante baba

  • @joshuakibale8013
    @joshuakibale8013 Před 4 lety +6

    Kwa kweli watu wa ardhi hawasaidiii kabisa, ruswha bado ipo wizara ya ardhi

  • @naipendatanzania8119
    @naipendatanzania8119 Před 4 lety +7

    Nafatalia Sana semu anazo simamia migogolo Safi ww nn mtetezi na mpenda haki Kwa wote

  • @fredyjohn8548
    @fredyjohn8548 Před 4 lety +1

    Safi Sana wamezoea kutunyanyasa

  • @joshuakibale8013
    @joshuakibale8013 Před 4 lety +4

    Mpaka sasa hivi kesi ipo mahakama kuu baada ya mama huyo kizee kuapuli

  • @samwelhechei8537
    @samwelhechei8537 Před 4 lety +2

    Hongera mkuu

  • @hadijahmwajombe9588
    @hadijahmwajombe9588 Před 4 lety +3

    asante mheshimiwa ali happ nakupenda bule 😍😍😘😘

    • @hassankulanga9717
      @hassankulanga9717 Před 4 lety +1

      Mkuu wa mkoa nakupongeza sana kwa kuubadilisha mkoa wetu wa Iringa nakuomba mkuu wa mkoa hebu fika vjiji vya isele na kising'a viko dabaga kuna kero nyingi sana huko moja ni maji na umeme ni ahadi zisizotekelezeka tafadhari jitahidi ufike huko upate ukweli

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 Před 4 lety +8

    Mambo km haya uongoz uliyopita tulikua hatuyaoni hii yote nikwa sababu ya raisi wetu anachapa kazi kweli kweli hongera kiongozi kwa kutetea haki za wanyonge

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 Před 4 lety +3

    Muheshimiwa Mungu akupe Umri Uweze Kusaidia Wanyonge, 🤣🤣🤣🤣 Mate Yawadondoka.

  • @nyamogafamily4262
    @nyamogafamily4262 Před 4 lety +4

    Ahsant mhehe mwezangu❤️❤️❤️

    • @busnaoman9981
      @busnaoman9981 Před 4 lety

      Kakwambia Nani Hy nimhehe hehehe chapa ya. Kondoa Hy mkuu wamkoa niwakondoa sy iringa cheupe chakondoa 💪💪💪💪💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @zulekhasaidmohamed4043
    @zulekhasaidmohamed4043 Před 4 lety +1

    Mungu akuweke hapi

  • @madeintanzania2995
    @madeintanzania2995 Před 4 lety +6

    Exactly fine mr. Hapi!! Full of 😂

    • @estermpagama9664
      @estermpagama9664 Před 4 lety +1

      Technician Adoh! Mkuu wa mkoa upo vizuri hao ni mataperi mchana kweupe watumishi wanaopindisha mambo wapewe maonyo wanatia aibu.

  • @vellakaju5959
    @vellakaju5959 Před 4 lety +1

    Safi Sana piga kazi

  • @queenhusna204
    @queenhusna204 Před 4 lety +1

    Sisi tumezulumiwa nyumba MH ALLY HAPI naomba no yako

  • @osmanmustafa2925
    @osmanmustafa2925 Před 4 lety +1

    Huyu ali anaakili san Namfatilia sanA uyu jamaa anaakili sana alafu ninacho furahi zaid nikijan Mwenzangu

  • @mcrootsav7712
    @mcrootsav7712 Před 4 lety

    Kweli kuna stofahamu...mtu ameshindaa...kisha wakae waongee....Mh....Ally hapi...wewe ndiyo mteule wa wana wa Iringa....kuna sintofahamu kabisaa...pole na hongera kwa kazi kiongozi

  • @aminahussein5418
    @aminahussein5418 Před 2 lety

    Safi sana mkuu 🔥🔥🔥

  • @valencekavishe311
    @valencekavishe311 Před 4 lety +2

    Kaka all hap mungu akupe ujasiri

  • @jaywi5681
    @jaywi5681 Před 2 lety

    Mhe Rais Samia Suluhu, nakuomba umfikiri huyu kijana katika nafasi zingine za Uongozi hasa ule wa kutatua changamoto za ardhi. Ni mwanasheria na anelelewa vizuri katika Imani ndiyo maana anazingatia misingi ya haki. Pia huyu kijana anajua janjajanja za Viongozi na wapora haki hivyo si rahisi kudanganywa. Kwakweli kutotumia vipawa alivyonavyo huyu kijana nahisi huenda ni dhambi mbele za Mungu maana tayari vinajulikana. Simjui Wala sijawahi kuonana nae ana kwa ana lakini Kwa kufuatilia utendaji wake, HAPI ni kiongozi mtatuzi wa matatizo ya Jamii.
    Kwako ndugu HAPI, uwe na Subra na Moyo uliobebwa katika kifua kipana kilichokomaa kuvumilia Ngumi nzito nzito kama zinazoendelea Sasa baada ya kuwekwa pembeni katika madaraka ya U RC. Mimi binafsi nakuona ni kiongozi wa kuigwa hata na waliokuzidi Umri. Mungu akubariki wewe na Rais wetu, Amiiin.

  • @raphaelsikumbi5517
    @raphaelsikumbi5517 Před 2 lety

    Wewe ni kiongozi safi MUNGU amekupa hekima

  • @oyay2821
    @oyay2821 Před 4 lety +1

    Happi yuko makini

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Před 4 lety +3

    RC Hapi BabaLao!!

  • @raphaelmrisho1520
    @raphaelmrisho1520 Před 4 lety +3

    Yoote kwa yote Happy we Jembe

  • @safari5774
    @safari5774 Před rokem

    Magufuli tosha ubarikiwe sana

  • @stevensteve7519
    @stevensteve7519 Před 4 lety +3

    Honestly we don't do that. Hawa watendaji ndiyo wanasababisha wananchi wakichukie chama cha mapinduzi na serikali yake. Tatizo ni watendaji wabovu wasiotenda haki wala kuzingatia sheria. Sukuma ndani.

  • @fridamusa8152
    @fridamusa8152 Před rokem

    Huyu mm namfatilia sana kiukweli uko vzr kaka

  • @veronicamchilo8552
    @veronicamchilo8552 Před 4 lety +4

    Kunasiku nilisema Hapy ni mkuu wa mkoa bora Tz watu wakanitusi

    • @geofreyjacob9757
      @geofreyjacob9757 Před 3 lety +1

      Walio kutus iliposema kua. Mkuu. Wa wilaya Happ. Ni Bora wakakutus. Hawajielewi

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6g Před 4 lety +1

    WAFUNDISHE SHERIA HAO WATATUSUMBUA WANANCHI WANYENGE !

  • @abdulkarimhamissi3755
    @abdulkarimhamissi3755 Před 4 lety +2

    Good job

    • @q234able
      @q234able Před 4 lety

      Huu ndio uongozi safi

  • @hshsh3302
    @hshsh3302 Před 4 lety

    Safi sana MH daah wallah nakupenda bure ww ni rais wawanyonge

  • @iddijumangakonda8044
    @iddijumangakonda8044 Před 4 lety +1

    Straight forward

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Před 4 lety

    Big up Mh HAPPI

  • @dalalizerobunjubeachmoga3039

    Kaka uko sahihi kabisa waonyeshe Shelia inavyo kwenda

  • @barakammari7459
    @barakammari7459 Před 4 lety

    Safi sana happy

  • @arafataliomar7432
    @arafataliomar7432 Před 4 lety

    Duh hapa sheria imelala kabisa asante hapi huzubaishwi

  • @mudhihirumikidadi6066
    @mudhihirumikidadi6066 Před 4 lety +6

    Pengo muhuni fukuza huyopengo

  • @MWAMALUMBILI
    @MWAMALUMBILI Před 4 lety +5

    Happy ni Kiongozi shujaa kama chifu Mkwawa!

  • @rehemamaduhu5642
    @rehemamaduhu5642 Před 4 lety +2

    Yaani migogoro ya ardhi kifamilia huwa ni pasua kichwa

  • @amihogatai8432
    @amihogatai8432 Před 4 lety

    kiingereza chetu kinanifurahisha sana!

  • @busnaoman9981
    @busnaoman9981 Před 4 lety +2

    Kondoa mojaaa Hy piga keleleeee kwa Ally hapiiiii

    • @salmasoso9839
      @salmasoso9839 Před 4 lety +1

      Ni mrangi kumbe ma sha Allah

    • @busnaoman9981
      @busnaoman9981 Před 3 lety

      @@salmasoso9839 naam kondoa hy uje sikumoj tuende kwao tukale ugali 😃😃😃mn anajua kupika huyoooo

  • @queenhusna204
    @queenhusna204 Před 4 lety

    Maomba no ya MH ALLY HAPI

  • @mudhihirumikidadi6066
    @mudhihirumikidadi6066 Před 4 lety +3

    Magufuri huyu mtoto anafaa kuwa wazili mkuuu hongelakwakumchaguwA

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Před 4 lety +2

      bado..Majaliwa kiboko mjomba,usimuone kuongea kwake kwa ukimya, Majaliwa anafatilia kitu mpaka kwa dakika ulipokua,fully informed...ila Hapi anajua kutatua matatizo haya ya mkoa..in future Hapi atakua mkubwa.Hajawafikia wakina Lukuvi! baada ya JPM,atapa hata unaibu katika wizara yoyote..Rais ajae ni kati ya,Majaliwa,Kabudi na Lukuvi[utabiri wangu]

  • @josephsimiyu5211
    @josephsimiyu5211 Před 3 lety

    Pongezi mkuu na MUNGU akujalie mema

  • @sibastianselestin2622
    @sibastianselestin2622 Před 4 lety

    Ally hap Mimi naona akitoka mh magu Kamata nchi mkuu, nakukubali Sana wewe niwamungu.

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 Před 4 lety +4

    Mama anajua kujieleza aiseeeee

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah6474 Před 4 lety +1

    Mhe happi nakuombea mungu akupe afya njema na uendelee kua kiongozi inshaallah ushauri wangu kwenye wiki tenga siku moja maalum kusikiliza kero za watu wako

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Před rokem

    MIJIZIII NDIO MNAYOITAKA LOOOO ZAMBIIIII SANA. TUWAONE BASI HAO WATEULIWA KAMA SIO WAZUSHI TUUU. NYIE AYA

  • @hopennko5242
    @hopennko5242 Před 4 lety +1

    Viongozi wengine wanawadharau viongozi wa chini

  • @alawi6796
    @alawi6796 Před měsícem

    Ndy hvyo watu wa Ardhi na watendji kupata Viwanja vya bure

  • @SusanBinde
    @SusanBinde Před 4 lety +1

    😍😍😍

    • @charleskombe2888
      @charleskombe2888 Před 4 lety

      mkuu hawa viongozi wanapindisha pindisha maneno hapo..na inaonekana utendaji wao sio wa kitaalamu zaidi ni wa kusikia maneno ...saidia mwenye haki apate haki yake...

  • @swebemwalugala6871
    @swebemwalugala6871 Před 4 lety +2

    Safisana nimeipenda

  • @sarahlydia2635
    @sarahlydia2635 Před 4 lety +1

    Ask them mukuu

  • @Chr196
    @Chr196 Před 8 měsíci

    Unafaa kupewa KAZI tena kwa sababu ni mtetezi wa haki za wanyonge

  • @nicotv4162
    @nicotv4162 Před 4 lety +2

    Mhu mkuu wa mkoa @allyhapi swala la migogoro ya ardhi ni kubwa sana,wananchi wengi tunakero hio,na baadh ya watumishi kwenye office zetu wanarudisha nyuma jihudi za nyie viongoz wa ngazi za juu katika kutatua kero hizi ,watumishi wengine wanachukua rushwaaa

  • @pilatoonlinetv9660
    @pilatoonlinetv9660 Před 4 lety

    Mb zangu !!
    Upuuzi wa mzee juha.

  • @seiphmpwanda7802
    @seiphmpwanda7802 Před 2 lety

    Magufuri umekufa ila umetuachia vijana wako l think tunakitu kitakuja japo kitachelewa

  • @samsonmwaipaja5231
    @samsonmwaipaja5231 Před rokem

    mkuu uko vizir

  • @isiakamohammed5130
    @isiakamohammed5130 Před rokem

    jamaaaaa anajua kaz yake na yuko kwenye msimamo wako

  • @samniza1763
    @samniza1763 Před 4 lety

    These people make me sick to the stomach! There a lot if Bashites in this matter, really you ain't seen any letter from the court but you seat a committee without questioning???

  • @MctMct-tt4rq
    @MctMct-tt4rq Před 4 lety

    MAGUFULI HAPA WANAIRINGA MMEPEWA JEMBE LA NGUVU HALIYUMBI WALA KUTETEREKA KWENYE KUTAFUTA HAKI ZA WATU BABA MAGU TUNATAKA VIONGOZI KAMA HAWA ALY HAPPY MUNGU AKUWEKE AKUPE HEKIMA ZAIDI MUNGU ATAKULIPA KWA UTETEZI WA WANYONGE MUNGU AKUPE MWISHO MWEMA WA KUONDOKA DUNIANI

  • @husseinchiaseeds2653
    @husseinchiaseeds2653 Před 4 lety

    Rais aliona mbali kuwachagua muwe wasaidizi wakee na hamjamuangusha pig up kaka

  • @senoritapippy9124
    @senoritapippy9124 Před 4 lety

    Nakuona diwani mtove kwa pembeni upo na mkuu wa mkoa

  • @stevenkipara9310
    @stevenkipara9310 Před 4 lety +2

    Unafaa

  • @OMARMOHAMED-qs3zg
    @OMARMOHAMED-qs3zg Před rokem

    Munam mpa mtu kazi na hata hajui kaziyake ibu

  • @angelalphonce2962
    @angelalphonce2962 Před 4 lety

    Mdogo wake Baba Magufuli huyoooo hakina kuipindisha Lula inatumika

  • @ubuzimabuzimatv
    @ubuzimabuzimatv Před 4 lety

    Nime furaha kuona kiongozi mdogo mwamyaka arakini mkubwa kuongoza kabisa niko Rwanda arakini na penda Raisi Magufuli wapiri Amekuwa Hapi

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq Před 3 měsíci

    Mheshimiwa raisi mhamishie Dodoma huyo

  • @ubuzimabuzimatv
    @ubuzimabuzimatv Před 4 lety

    Hapi unawe kabisa

  • @yaqoobalhinai3805
    @yaqoobalhinai3805 Před 3 lety

    Una stahili kuwa raisi wa nchi baada ya magu

  • @masudysosovele893
    @masudysosovele893 Před 4 lety +1

    Rais wa iringa tunakuombea usije hama

  • @mudhihirumikidadi6066
    @mudhihirumikidadi6066 Před 4 lety +2

    Wanamasilahi hao fukuzeni ndio wanaosumbuwa raiya watumbuwetu

  • @jacklinamani7519
    @jacklinamani7519 Před 4 lety +2

    Yn we baba unatenda kaz kwa uwared Sana Bora hata niwe mchepuko wako.tu naona hata huko utakuwa unatenda hak

  • @arafataliomar7432
    @arafataliomar7432 Před 4 lety

    Wapigeee makwaju

  • @amihogatai8432
    @amihogatai8432 Před 4 lety

    mimi huyu mwenye kazi ya kuinua na kushusha mic tu. yaani ndiyo kazi hiyo, au siyo?