RC HAPI 'amtumbua' Daktari Hadharani "una matatizo nilishakwambia"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 09. 2018
  • #RC Hapi#RCIringa
    RC HAPI 'amtumbua' Daktari Hadharani "una matatizo nilishakwambia"
    JESHI la Polisi mkoa wa Iringa limelalamikiwa na baadhi ya wananchi kwa vitendo vya unyanyasaji dhidi yao ambavyo vimedaiwa ni ukiukwaji wa haki za binadamu.
    Wananchi hao wamemweleza Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ally Hapi, wakati wa ziara yake ya Manispaa ya Iringa aliyotembelea mitaa mbalimbali akizungumza nia wananchi hao.
    Aidha baada ya Mkuu huyo wa Mkoa kusikiliza malalamiko hayo ya wananchi juu ya Jeshi hilo la Polisi amelazimika kutoa maelekezo kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi Wilaya ya Iringa Yohana Mjengi.
    bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe ww.czcams.com/users/uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Suazi1 / uwazi1 WEBSITE:
    globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .

Komentáře • 1,4K

  • @malynarda2682
    @malynarda2682 Před 5 lety +172

    Kama unamkubali rc ally gonga like
    I am the first

    • @deokimaro7177
      @deokimaro7177 Před 4 lety

      Piga chini mheshimiwa naona kama unataka kuingiwa huruma afai kabisaaaa

    • @davidevarist6371
      @davidevarist6371 Před 4 lety

      Jamaa kang'ang'ania mheshimiwa. Inatakiwa atubu amekosea sana wanairinga ,Ally oyeeeee

    • @ExavelMapunda
      @ExavelMapunda Před 2 měsíci

  • @dastansimpanzye5558
    @dastansimpanzye5558 Před 4 lety +42

    Daaaaa! safi sana Ally Happy
    viongozi kama hawa ni wachache sana. kama unamkubali huyu kiongozi gonga like

  • @abdallahhamad4499
    @abdallahhamad4499 Před 4 lety +53

    Kama umesikia kigugumizi - gonga haraka like 💗 💗

  • @jumambwana7074
    @jumambwana7074 Před 4 lety +18

    Kama mnamkubali Rc Ally from Iringa , Rc mwanri from Tabora gonga like

  • @agneskadzo6105
    @agneskadzo6105 Před 5 lety +8

    Wau very true Mheshimiwa Ally Hapi.. Good bless you... Iringa mko na bahati Sana Mungu amewaonekania

  • @azizahabdalla2338
    @azizahabdalla2338 Před 5 lety +13

    Wallah najivunia kweli kutoka Zanzibar na kuja kusoma Iringa baba unajitahidi na mungu akusimamie kwa kila hatua inshaallah👏👏👏

    • @robertadolf7831
      @robertadolf7831 Před 5 lety +1

      Aziza Ali Abdalla mambo

    • @zezezeze8408
      @zezezeze8408 Před 5 lety +1

      ALHAMDULILLAH nataman zanzibar watokee watu km hao .....wallah tutafadika na mola atatujazia neema

  • @saloujohn3639
    @saloujohn3639 Před 5 lety +5

    wananchi hatuipendi nchi yetu kwa ajili ya mijinga kama hiyo upo sawa mkuu wa mkoa,,asante sana,,.sijui nikushukuru vipi ila tu mungu akubariki kwa kutetea mama zetu,dada zetu,watoto zetu wanakufa mkuuu

    • @danielmgomo717
      @danielmgomo717 Před 9 dny

      Karibu hospitali zote nchini zinatoza hela kwa watoto chini ya miaka 5 ,wazee na wajawazito.Huyu mganga mkuu ni kamba imekatikia pabaya.Hakuna cha bure katika hospitali zote nchini.

  • @muzammilrajab5107
    @muzammilrajab5107 Před 5 lety +21

    safi sanna kaka pambana alagwa tuko nyuma yako Allah ndie mlinzi wako

  • @yafangunda4524
    @yafangunda4524 Před 5 lety +25

    Jamani magufili alimtoa wapi huyu Ali Happ??

  • @youngtada2118
    @youngtada2118 Před 5 lety +8

    RC u are the best all over the world 🌎 keep doing that 😛😇

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 Před 5 lety +26

    Huyu itakua alisoma aliko somea uncle Magu 😂

  • @luomusicchannelfromtanzani5650

    Nani amemuona mama aliefunga kilemba chekundu nyuma ya RMO. alivyo shilawadu.....😂😂😂😂😂😂

  • @mussaalphonce9322
    @mussaalphonce9322 Před 5 lety +13

    Big up to Mr All happy ct kuchapa kazi from busega simiyu

  • @malikamanara4076
    @malikamanara4076 Před 5 lety +10

    Kweli uongozi unawenyewee .alhamdulillahi hapa kazi tu

  • @dr.erickjmazyala8905
    @dr.erickjmazyala8905 Před 5 lety +20

    Wow, hali ni tete kweli, RC chapa kazi, mkiyaweka hayo waziwazi hata wengine tuliojisahau huku mikoa mingine lazima tuanze kujitathmini kwa maamuzi tunayochukua! Mungu azidi iongoza serikali hii ya awamu ya tano, Mungu azidi ibariki Tz!

  • @kingoman7895
    @kingoman7895 Před 5 lety +54

    Muheshimiwa kumbe mkali ww hahah..safi sana

  • @karolishayo9338
    @karolishayo9338 Před 5 lety +38

    Kama unaangalia hadi sahi2019 gonga like

  • @bensonbaraza2145
    @bensonbaraza2145 Před 5 lety +12

    Nmefrahi Sana mkuu wa mkoa jinsi unavyochapa KAZI endelea hivyo hivyo, kutoka kenya

  • @franckruzibiza1909
    @franckruzibiza1909 Před 4 lety +3

    I am from Rwanda ,so proud of sir!

  • @florianmwaibabile5308
    @florianmwaibabile5308 Před 5 lety +7

    Thank you brother Hapiii saruti nyingi kwako

  • @furahalunyungu936
    @furahalunyungu936 Před 5 lety +11

    Nakupenda bure MKuu wa mkoa!!!!!!

  • @minjaminjaukovizurdogo5187

    Asante sana muheshimiwa happy. Hapa kaz tuu

  • @Ntambwe4040
    @Ntambwe4040 Před 4 lety +2

    ☆☆☆ Hata Burundi tunahitaji wa kuu wa mikoa kama hawa☆☆☆ Tanzania oyeeee nyi ni mifano yakuigwa. Love from Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @thomasnyarusanda2608
    @thomasnyarusanda2608 Před 5 lety +4

    I aonekane Iringa pana shida. Inawakilisha sehemu nyingi nchini yakichunguzwa yataibuka mengi na makubwa. Iringa hoyee, mkuu wa mkoa Mh. Hapi ,hoyeeee big up. Wengine mikoani wanakataa bima za afya.

  • @kenyalatelyupdatestv9770
    @kenyalatelyupdatestv9770 Před 5 lety +12

    Tanzania mpya Jameni, natamani sana hao viongozi mko nao wengekuwa wa huku kwetu Kenya walai, tukuwe na Kenya Mpya, Hongera Hapi, Hongera JPM.

    • @muddah7559
      @muddah7559 Před 2 lety

      Haiezi! Mkenya na shilling, nomaaaaaaa

  • @estakapufi2582
    @estakapufi2582 Před 5 lety +5

    Kaka yangu piga kazi Mungu azidi kukulinda unajuwa kutetea wanyonge

  • @rosebundala965
    @rosebundala965 Před 5 lety +14

    Nimekupenda sana, Rais Magu akuhamishie Morogoro hospital Mheshimiwa.

    • @aminasaleh6134
      @aminasaleh6134 Před 4 lety

      duh huy mkuu wa mkoa nimempenda sana angekuw mume wang maan yupo sirias kabisa anatenda hak

    • @sarahlydia2635
      @sarahlydia2635 Před 4 lety

      Same here

  • @gesyogongi5659
    @gesyogongi5659 Před 5 lety +1

    Kudis to RC, in Iri ga Tanzania,.I wish Kenyan RCs' could learn from this leadership. You are the man RC, Hapi. Be Blessed for standing up for the week and poor specifically the children and the women wanao nyanyaswa ulimwenguni. Hasante kwa kumshulikia huyo mama aliye nyanyaswa kishamba kwa sababu eti alikuwa adopted. Sante kwa ku aangiza haki yake apewe. Pongezi sanasana Ubarikiwe

  • @frankmitande8764
    @frankmitande8764 Před 5 lety +3

    You are the best indeed big up Mh.

  • @nancykaseko
    @nancykaseko Před 5 lety +3

    Asante ..Rc ..May God protect him in Jesus name..I pray 🙏Amen

  • @majaaliwajuma5512
    @majaaliwajuma5512 Před 4 lety +1

    RC Ally happy nakukubali ndani ya moyo wangu wewe nikijana mdogo kiumriiiiii Ila kazi unayoifanya nikubwa Ile mbaya ,hongeraaaa mungu akulinde

  • @marijanimohamed7619
    @marijanimohamed7619 Před 5 lety +21

    😂😂😂😂😂😉😉😉 noma anatumbuwa majipu kama magufuli

  • @hamisirama7386
    @hamisirama7386 Před 5 lety +22

    Duhu!!
    Huyu ALLY api
    Natamani aje kua
    Mkuu wa mkoa wa
    Tanga

    • @angelpella437
      @angelpella437 Před 5 lety

      Hamisi umeona eeeeeee

    • @rayaqme6935
      @rayaqme6935 Před 5 lety

      Kweli kabisa mm mwenyewe nataman

    • @pendotitu7754
      @pendotitu7754 Před 5 lety

      Hamisi Rama 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂aje hospital ya bombo maana wanatukera sana unakuta unamgonjwa ila hautakiwi kulala nae mgonjwa apambane na hali yake

    • @dandeenndandeen3047
      @dandeenndandeen3047 Před 5 lety

      Kwel yaan me nlikuw nawaz hivy hivy,, na akija wote hawana kaz

    • @tz5454
      @tz5454 Před 5 lety

      Tuachie mkuu wa mkoa wetu😕

  • @ibnabou1886
    @ibnabou1886 Před 5 lety +16

    Hakuna kona sema matumbo tumeweka mbele sheria nyuma bas, kona za nini? RMO kaongea ukwel ahsant mzee wang.

  • @saloujohn3639
    @saloujohn3639 Před 5 lety +1

    I love this...We need ppl like RC HAPI,MAKONDA NA MKUBWA WAO MAGUFULI..we beg u please change our country ,.this is soo good..ppl are eating our money for no reasons

  • @jamilakizya7792
    @jamilakizya7792 Před 3 lety +1

    Mkuu wa mkoa anafanya kazi vizuri sana mungu akusimamiye na akupe umri mrefu na akulinde na mahasidi unafanya kazi nzuri sana mheshimiwa

  • @emmanuellubadisha3170
    @emmanuellubadisha3170 Před 5 lety +4

    Naelewa Kwmba Kuna viongozi na watawala big up mh. piga kazi ww ni kiongzi nandomana wasikiza kero Za wananchi wako

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 Před 5 lety +10

    Ata mm nimelipishwa elfu 50,000/= hapo gvmt juzi nilimpeleka bibi yangu na bado kalazwa pale ad sasa

  • @frankwilliam438
    @frankwilliam438 Před 2 lety +1

    Safi baba kaz unaindeleza ipasavyo 😂😂mungu akulinde na akupe maisha marefu 🙏🙏🙏

  • @user-we3or9ol4o
    @user-we3or9ol4o Před 5 měsíci +1

    HAPO SINA CHA KUKUPA 👍💯, MR BOB SOSY A K A KATIA WA ARUSHA MURIET JIRANI NA MH GAMBO

  • @mamafatuma138
    @mamafatuma138 Před 5 lety +14

    Jamani naomba viongozi wa Kenya ebu jifuzeni kitu nimependa sana

  • @salvatorypaul6119
    @salvatorypaul6119 Před 5 lety +9

    Yes!! We need people like this!! Speak up RC

  • @e.j.starelia5672
    @e.j.starelia5672 Před 4 lety +2

    Natamani mkuu Wa mkoa Wa Manyara aige kutoka kwa mheshimiwa Hapi,,, Hapi is the best leader,,, uongozi wa Magu uko Imara sana,,,,,nadhubutu kusema Rc hapi yuko kama Magufuli,,, huku simanjiro kuna vijidaktari vinatakiwa kutumbuliwa mana wamefanya hospitali za serikali kama nyumba zao,,,,mkuu wa mkoa Wa Iringa God bless you!!!! Then mkuu Wa mkoa Wa Manyara tembelea wilaya ya Simanjiro kata ya oljoro no5 kijiji cha oiborkishu kuna madudu ya kufa mtu tena bora ya huyu doctor Wa kutoka Iringa yana nafuu,,, huyu Wa huku anajifanya Mungu kwa wananchi na kusahau kwamba yupo kazn

  • @callgodbaraka9904
    @callgodbaraka9904 Před 4 lety +1

    Uwiiii nimekupenda sana waziri mungu akutie nguvu na kukulinda

  • @marijanimohamed7619
    @marijanimohamed7619 Před 5 lety +58

    Yani RAIS MAGUFULI VIONGOZI. KAMA. HAWA INGEKUWA HAKUNA MALALAMIKO KWA. WANANCHI YANI HUYU MKUU WA MKOWA NOMAA ANAWAJIBIKA IPASAVO

  • @datiabdallah6012
    @datiabdallah6012 Před 4 lety +3

    Kama umekisikia kigugumizi Cha ghafla gonga like

  • @munirdatisha684
    @munirdatisha684 Před 4 lety +1

    Nakukubali sana kaka nafatilia sana habari zako fanya kazi kaka wananchi wapate haki zako kaka rc

  • @alexoyombera6763
    @alexoyombera6763 Před 5 lety +2

    My friend your a good leader and those people they shoul be in prison.

  • @mahingilasambichuma1369
    @mahingilasambichuma1369 Před 5 lety +6

    Uko Sawa Mh RC kwa kwani umefanya Utaratibu ili mamlaka husika zichukue hatua.
    Huo ndio Uongozi dhabiti 👏👏👏

  • @williamkipondamali1936
    @williamkipondamali1936 Před 5 lety +7

    Huyo ndio Rais wa Mkoa bwanaaa safi sana Ally Hapi

  • @isunga1964
    @isunga1964 Před 4 lety +1

    😆😆😆hao sukuma ndani wote mbunge mtalajiwa hongera sana kaka Happy nani mwngine yupo hapa 2020

  • @fatemafatema4780
    @fatemafatema4780 Před měsícem

    Ahsante sana mkuu wa mkowa kwa kazi nzuri

  • @kidawaabubakari8142
    @kidawaabubakari8142 Před 5 lety +8

    Safi sana mueshimiwa Ally happy wamezoea mpenafasi yakufagia huyo

  • @samueljr9105
    @samueljr9105 Před 5 lety +3

    RMO hazitaki hizo microphone na dactari anazichukua haraka maana anajua kibao kiko kwake😂😂😂😂😂😂😂😂l LOVE you mkuu wa mkoa

  • @user-lf3lf5sw5h
    @user-lf3lf5sw5h Před 3 měsíci

    Daaaa nimekukubali kaka watetee wanyonge kama ss ningependa ufike arusha ❤

  • @fatemafatema4780
    @fatemafatema4780 Před měsícem

    Muheshimiwa mkuu wa mkowa hongera sana mungu akubarik❤❤

  • @alfredmwangi9127
    @alfredmwangi9127 Před 5 lety +3

    How I wish ungekua huku kwetu Kenya.... Corrupt leaders are all over... For one to get service from any office lazima ulipie/hongo

  • @daughterofgod9185
    @daughterofgod9185 Před 5 lety +4

    Asante sana Mh. 🙏🏽

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 Před 4 lety

      Hospitali nyingi nchini wanadai hizo hela wafuatiliwe wote

  • @Pappyoffical
    @Pappyoffical Před 5 lety +2

    Wanatuuniza sana awa binafsi respect zangu zote serikari awamu ya tano tunaomba mzdi kukaa kalibu nawananchn

  • @marianuswilla4814
    @marianuswilla4814 Před 5 lety +1

    Uongozi uliotukuka. Ahsante Ally, mkuu wa mkoa Iringa. Marvelous leadership

  • @miriammande8325
    @miriammande8325 Před 5 lety +12

    nampenda uyu mkuu wa mkoa jaman ninampenda sana mfikishieni salam zangu mnao mfaham

  • @frankjonas1094
    @frankjonas1094 Před 5 lety +23

    Good,, Mambo mengine Ili yaende anatakiwa apatikane kiongozi Mwenye maamuzi magumu sanaa!!.....

    • @issaramadhani9714
      @issaramadhani9714 Před 5 lety

      Sahihi kaka,Uongozi ni jambo kubwa sana na dhamana kubwa sana kwa ajili ya kuihudumia jamii ipate haki zake.

    • @maulidyyahaya9881
      @maulidyyahaya9881 Před 5 lety

      dar uyu jamaa noma sana allah amjaze nguvu aweze kuwapigania wanyonge

  • @suzanmgaya4323
    @suzanmgaya4323 Před 5 lety +1

    Mungu akubariki ally hepi uishi maisha marefu

  • @alexmatt9504
    @alexmatt9504 Před 2 lety +1

    Huyo ndiye Ali Hapi kiongozi anayejiamini na kutendea haki wadhifa aliopewa,inatakiwa RC uwe mtatuaji matatizo kama hivi na sio kubweteka ili mradi unapata mshahara wako na kusahau kwamba wanaokulipa wanateseka na hawapati haki zao inavyosihili.
    Hata kwa Mwenyezi Mungu ujue huna dhawabu yoyote na unailisha familia yako sumu.

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 Před 5 lety +6

    Brother kachachamaa kweli kwelii

  • @mdidiomari7351
    @mdidiomari7351 Před 5 lety +14

    Hospital nyingi zinafanya hivyo Amana
    Tumbi

  • @edwindaniel7306
    @edwindaniel7306 Před 2 lety

    Ally hapi hongera sana kwa utendaji wa kazi nzuri hakika mwenyezi mungu atakulipa hakika ww ni mzalendo mtetezi wa wanyonge

  • @shadyahamad3724
    @shadyahamad3724 Před 2 lety

    Mtetez wa wa nyonge mungu azidi kuku pa hekima nabusara akupe mwisho mwema kazi nzuri

  • @doramarcel1013
    @doramarcel1013 Před 5 lety +46

    Kila nikaangalie video za RC Ally Hapi huwa nasemaga shinyanga inahitaji kiongoz kama huyu

    • @michaelfaustin1777
      @michaelfaustin1777 Před 5 lety +2

      Halafu kuna watu wasio na akili wanasema eti wanadhalilishwa wakati wanapora haki za watu

    • @mwanduchuma6189
      @mwanduchuma6189 Před 5 lety

      Dora Marcel tunakuomba uje shinyanga huku ni shida

    • @begumchunnyrazafinjatovo9378
      @begumchunnyrazafinjatovo9378 Před 5 lety +1

      Shinyanga kuna matatizo mengi mno, tunahitaji mkuu wa mkoa kama huyu.

    • @agneskadzo6105
      @agneskadzo6105 Před 5 lety +1

      Dora Marcel Kenya pia

    • @happybruno1764
      @happybruno1764 Před 4 lety

      Duuuuuu upanga hukata bila huluma kama wew usivyo na huluma na watoto

  • @zachariamishai7258
    @zachariamishai7258 Před 5 lety +18

    Tatzo la huyu dokta hata kuomba msamaha hajui😞 anazid kuongea tu yale yale na nd yanayopingwa na Mh; Hapi😄😄😄

    • @ramsokhamis9262
      @ramsokhamis9262 Před 5 lety

      Yaaan uyuu cijui mkingaaaa mbishi kinoumaa alafuu mgumu kuombaa Msamahaaa ili yaishee next Tim warekebisheee.. 🤔🤔

    • @theresiakaruhanga9502
      @theresiakaruhanga9502 Před 5 lety

      Ramso Khamis aombe msamaha ili iweje. who is Ally hapi by the way??

    • @hongeramgaya714
      @hongeramgaya714 Před 4 lety

      @@ramsokhamis9262 dharau na kutomua wajibu wake.he deserves it

    • @mdasad2148
      @mdasad2148 Před 4 lety

      Tumbua hao mkuu wa mkoa

    • @ridhwansaad5017
      @ridhwansaad5017 Před 4 lety

      Umeona ee

  • @josephinenanyaro3877
    @josephinenanyaro3877 Před 4 lety +1

    Mungu akubariki baba

  • @osianaakimu9332
    @osianaakimu9332 Před 5 lety +2

    Hiyo video imenikera sana na hao wananchi hawajitambui kabisa, siasa kila mahali; poleni madaktari wangu Mungu aendelee kuwapa ujasiri.

  • @ramadhanathuman5119
    @ramadhanathuman5119 Před 5 lety +10

    Shikamoo mkuu wa mkoa iringa magufuli hajakosea kukuweka ww

  • @peterrobert1799
    @peterrobert1799 Před 5 lety +9

    Hapi in kiongoz mzur sana nampenda anasimamia haki

  • @marwa2862
    @marwa2862 Před 5 měsíci

    I really like this kind of leadership

  • @reemangoko2550
    @reemangoko2550 Před 4 lety

    Hongera baba aliy happy Mimi ni mzaliwa wa iringa ni kweli wanalipishwa hera kwa watoto wadogo hapo

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 Před 5 lety +6

    Muende na mbeya jamaniiiii,heshima na utu lazima ujengweee,wameshikwa pabayaaaaa

  • @dainesigebo7019
    @dainesigebo7019 Před 5 lety +17

    jamani naomba mje mwanza tunashida sana hosptali ya butimba

    • @hb.johnson8105
      @hb.johnson8105 Před 5 lety

      Ahahaha bonge la jembe dokta Pengo lake kubwa tunaosoma namba iringa mh kavuruga

    • @tinasodom5177
      @tinasodom5177 Před 5 lety

      Safi sana nakupenda sana iwe fundisho kwa wote

  • @lucyjoseph5199
    @lucyjoseph5199 Před 5 lety +1

    hongera cna kaka rc kwa kazi nzuri

  • @samuelimori5711
    @samuelimori5711 Před 3 lety +2

    Hiyo nchi yetu iliko kuwa.
    Mungu ahusike kuisaidia nchi.

  • @omarimsangi3136
    @omarimsangi3136 Před 5 lety +5

    Ally upo vizur Sana yaan hayo madudu walizoea ..piga kaz nakukubali Sana unatetea wanyonge ambao walikosa pa kuyaongelea

  • @angelavayinga914
    @angelavayinga914 Před 5 lety +54

    Iringa hoyeeeeee mimi ni mnyalu asilia na wanyalu wenzangu gongeni like hapo basi..

  • @saumuabdi5954
    @saumuabdi5954 Před 5 lety +1

    Mungu wangu Kama magufuli kabisa Safi Sana mtetezi wawanyonge napenda Sana nnchi yangu muheshimiwa hapa kazi tu

    • @georgeabala1559
      @georgeabala1559 Před 4 lety

      Tungekuwa na viongozi kama hawa Kenya.. Tanzania mnayo baraka. Uozo uliopo kenya ni ndoto mbaya ya ajabu

  • @mscantraah8210
    @mscantraah8210 Před 3 lety

    Very good god bless 🙏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @happygw6930
    @happygw6930 Před 5 lety +10

    Well done mkuu wa mkoa yaani watanyooka tu

  • @rajabungereza8755
    @rajabungereza8755 Před 5 lety +9

    Wakuu wa mikoa wangekua kama mkuu wa mkoa Iringa Tanzania tungekuwa mbali xana

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 Před 4 lety

      Wakuu wa mikoa mingine nafikiri wako likizo wanatakiwa wamwige mkuu wa mkoa iringa happy

  • @fokasiinnocent3448
    @fokasiinnocent3448 Před 5 lety

    kumbe we nikiongezi mzuri sn!!! hai hongera .tunawaitaji viongozi kama hawa wenye uchungu ili wakomeshe vibaka .

  • @joelosano8570
    @joelosano8570 Před 4 lety

    watching from Kenya. nafwatilia kwa kina mienendo ya Rc Ally Gomba. kwa ukweli mwenyezi Mungu amewapa viongozi...

  • @EK-kp2np
    @EK-kp2np Před 5 lety +32

    Jamani, yaani ni mzito kuelewa huyo jamaa, anaambiwa anakiuka sera anang’ang’ania anaongeza mapato, ni mgumu sana maskini, haelewi na haombi radhi

    • @jennyjonas1359
      @jennyjonas1359 Před 5 lety

      hata Dodoma hivyo hivyo inauma sana

    • @zuberimkakatu8098
      @zuberimkakatu8098 Před 5 lety

      Safi sana rc happy kaza mwendo

    • @mpenzizayumba1863
      @mpenzizayumba1863 Před 5 lety +1

      Kulipia ni haki yetu msiwachafue madaktari na wauguzi inapobidi lazima kulipa msiwadhalilishe mnawapa stress.

    • @EK-kp2np
      @EK-kp2np Před 5 lety

      Mpenzi Zayumba taifa limekubaliana KUTOWALIPISHA watoto chini ya miaka 5, wazee zaidi ya miaka 60 na wajawazito, yeye anawalipisha, hilo ni kosa

    • @mpenzizayumba1863
      @mpenzizayumba1863 Před 5 lety

      Shida ni hiyo kuwa wazee na watoto hawalipi hilo sawa ni kosa.

  • @modestusndunguru4479
    @modestusndunguru4479 Před 5 lety +3

    Good RC

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl Před 4 lety

    Hongera Ali happy big up

  • @douglaskombo5773
    @douglaskombo5773 Před 2 lety

    Am following this guy from kenya 🇰🇪 in future he can make a very good president

  • @vivianrichard9096
    @vivianrichard9096 Před 5 lety +20

    Speed hii Makonda haiwez
    Anaweza kuhudhuria birthday party na kuchagua ma Tz-sweetheart

  • @azezaalkh8536
    @azezaalkh8536 Před 5 lety +5

    Asanteee Rc mkoa waIringa hawa ndio viongozi tunaowataka RC shikiria KBS

  • @elizabethmuia9839
    @elizabethmuia9839 Před 3 lety

    Magufuli part 2 uko sawa 👍👍👍👍👍👍

  • @feysalhemed5077
    @feysalhemed5077 Před 5 lety +1

    safi sana RC hatuwataki viongozi wazembe kama huyu

  • @moshillinde6835
    @moshillinde6835 Před 5 lety +20

    Hapo ndugu yangu mkuu wa mkoa unahaki zote, niko pamoja nawe, tuwakilishe vyema vijana wenzio.

    • @hildadaudi6109
      @hildadaudi6109 Před 5 lety

      Hi ni consultation fee I guess,which is higher in referral hospitals..consultation fee hospitali ya taifa Ni 25000/= referral hospitals Ni 10000/= na ndio maana ikaitwa hospitali ya rufaa.
      And hii Sera ya watoto bure...what the heck ...can someone please tell me sehemu inayotekelezeka. Newborns wenyewe wakiumwa wanalipa. And by the way huyo doctor anafanya kazi Sana Tena Sana ...muda mwingi analala hospitali. Ana fundisha madaktari wa undergraduate and postgraduate hizo surgery na hakuna major surgery inafanywa na residents without chief surgeon..anaatend emergency operations which some take hours and hours yet he plays administrative roles.
      Mi nahisi wengi hawafahamu ..Ni kwamba tu madaktari hawana Maneno mengi😡

    • @allymustapha2033
      @allymustapha2033 Před 5 lety

      good kiongozi

    • @marysulle4312
      @marysulle4312 Před 5 lety

      Mkuu we ni wa mfano nimekupenda bure

  • @aburetalreginaelias2919
    @aburetalreginaelias2919 Před 5 lety +4

    Diwani naomba uje kuongoza Arusha hata mwaka moja, nakukubali sanaaa,

  • @aishafesto5739
    @aishafesto5739 Před 2 lety

    Hongera rc uko vizuri

  • @maserubalikiwespia5712
    @maserubalikiwespia5712 Před 5 lety +2

    Nakupenda buli kaka piga kazi