RC HAPI 'amtumbua' Daktari Hadharani "una matatizo nilishakwambia"
Vložit
- čas přidán 26. 09. 2018
- #RC Hapi#RCIringa
RC HAPI 'amtumbua' Daktari Hadharani "una matatizo nilishakwambia"
JESHI la Polisi mkoa wa Iringa limelalamikiwa na baadhi ya wananchi kwa vitendo vya unyanyasaji dhidi yao ambavyo vimedaiwa ni ukiukwaji wa haki za binadamu.
Wananchi hao wamemweleza Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ally Hapi, wakati wa ziara yake ya Manispaa ya Iringa aliyotembelea mitaa mbalimbali akizungumza nia wananchi hao.
Aidha baada ya Mkuu huyo wa Mkoa kusikiliza malalamiko hayo ya wananchi juu ya Jeshi hilo la Polisi amelazimika kutoa maelekezo kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi Wilaya ya Iringa Yohana Mjengi.
bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe ww.czcams.com/users/uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Suazi1 / uwazi1 WEBSITE:
globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
Kama unamkubali rc ally gonga like
I am the first
Piga chini mheshimiwa naona kama unataka kuingiwa huruma afai kabisaaaa
Jamaa kang'ang'ania mheshimiwa. Inatakiwa atubu amekosea sana wanairinga ,Ally oyeeeee
Daaaaa! safi sana Ally Happy
viongozi kama hawa ni wachache sana. kama unamkubali huyu kiongozi gonga like
Ally Happy hongeraaaa
Safi sana dkt hana hakiri
Safi dkt hana akiri
Kama umesikia kigugumizi - gonga haraka like 💗 💗
Hahahahhahahahahaa
😂😂😂😂😂
😂😂
😅🤣👍👍
Kama mnamkubali Rc Ally from Iringa , Rc mwanri from Tabora gonga like
Wau very true Mheshimiwa Ally Hapi.. Good bless you... Iringa mko na bahati Sana Mungu amewaonekania
Wallah najivunia kweli kutoka Zanzibar na kuja kusoma Iringa baba unajitahidi na mungu akusimamie kwa kila hatua inshaallah👏👏👏
Aziza Ali Abdalla mambo
ALHAMDULILLAH nataman zanzibar watokee watu km hao .....wallah tutafadika na mola atatujazia neema
wananchi hatuipendi nchi yetu kwa ajili ya mijinga kama hiyo upo sawa mkuu wa mkoa,,asante sana,,.sijui nikushukuru vipi ila tu mungu akubariki kwa kutetea mama zetu,dada zetu,watoto zetu wanakufa mkuuu
Karibu hospitali zote nchini zinatoza hela kwa watoto chini ya miaka 5 ,wazee na wajawazito.Huyu mganga mkuu ni kamba imekatikia pabaya.Hakuna cha bure katika hospitali zote nchini.
safi sanna kaka pambana alagwa tuko nyuma yako Allah ndie mlinzi wako
Ameen
Jamani magufili alimtoa wapi huyu Ali Happ??
Acha tu natamani awe rais
RC u are the best all over the world 🌎 keep doing that 😛😇
Huyu itakua alisoma aliko somea uncle Magu 😂
Na ni kweli
Ally mungu akulinde
Tunakupenda..sana..Aly
Kweli uyu jamaa ni kiboko khaaa
Kweli wananchi wakikataa wamekutaa tu
Nani amemuona mama aliefunga kilemba chekundu nyuma ya RMO. alivyo shilawadu.....😂😂😂😂😂😂
Hahaha mwanangu unafuatilia kinoma
Minene.mungu anakuona 😀😀😀😀😀
Hah hah
MINENE News Chanel Tv 😂😂😂😂
Hahahaaha shilawadu kweli
Big up to Mr All happy ct kuchapa kazi from busega simiyu
Kweli uongozi unawenyewee .alhamdulillahi hapa kazi tu
Wow, hali ni tete kweli, RC chapa kazi, mkiyaweka hayo waziwazi hata wengine tuliojisahau huku mikoa mingine lazima tuanze kujitathmini kwa maamuzi tunayochukua! Mungu azidi iongoza serikali hii ya awamu ya tano, Mungu azidi ibariki Tz!
nakuomba njoo kwetu baba
Dr. Erick J Mazyala uje moro
Kweli
Muheshimiwa kumbe mkali ww hahah..safi sana
Safi kabisa...
King Oman wakome!
Kumeanza kuchangamka 🤣🤣
Kama unaangalia hadi sahi2019 gonga like
Tz is the best place to be good work
Ilinga mna bahati mbona kigoma hatupati viongozi kama hao Kuna mkuu wa mkoa tabora ni jembe kama unawakubari gonga like
Nmefrahi Sana mkuu wa mkoa jinsi unavyochapa KAZI endelea hivyo hivyo, kutoka kenya
I am from Rwanda ,so proud of sir!
Thank you brother Hapiii saruti nyingi kwako
Nakupenda bure MKuu wa mkoa!!!!!!
Mbn huku kwetu hajawah kutoka bahati ya hiv
Asante sana muheshimiwa happy. Hapa kaz tuu
☆☆☆ Hata Burundi tunahitaji wa kuu wa mikoa kama hawa☆☆☆ Tanzania oyeeee nyi ni mifano yakuigwa. Love from Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮
I aonekane Iringa pana shida. Inawakilisha sehemu nyingi nchini yakichunguzwa yataibuka mengi na makubwa. Iringa hoyee, mkuu wa mkoa Mh. Hapi ,hoyeeee big up. Wengine mikoani wanakataa bima za afya.
Tanzania mpya Jameni, natamani sana hao viongozi mko nao wengekuwa wa huku kwetu Kenya walai, tukuwe na Kenya Mpya, Hongera Hapi, Hongera JPM.
Haiezi! Mkenya na shilling, nomaaaaaaa
Kaka yangu piga kazi Mungu azidi kukulinda unajuwa kutetea wanyonge
Nimekupenda sana, Rais Magu akuhamishie Morogoro hospital Mheshimiwa.
duh huy mkuu wa mkoa nimempenda sana angekuw mume wang maan yupo sirias kabisa anatenda hak
Same here
Kudis to RC, in Iri ga Tanzania,.I wish Kenyan RCs' could learn from this leadership. You are the man RC, Hapi. Be Blessed for standing up for the week and poor specifically the children and the women wanao nyanyaswa ulimwenguni. Hasante kwa kumshulikia huyo mama aliye nyanyaswa kishamba kwa sababu eti alikuwa adopted. Sante kwa ku aangiza haki yake apewe. Pongezi sanasana Ubarikiwe
You are the best indeed big up Mh.
Asante ..Rc ..May God protect him in Jesus name..I pray 🙏Amen
RC Ally happy nakukubali ndani ya moyo wangu wewe nikijana mdogo kiumriiiiii Ila kazi unayoifanya nikubwa Ile mbaya ,hongeraaaa mungu akulinde
😂😂😂😂😂😉😉😉 noma anatumbuwa majipu kama magufuli
Duhu!!
Huyu ALLY api
Natamani aje kua
Mkuu wa mkoa wa
Tanga
Hamisi umeona eeeeeee
Kweli kabisa mm mwenyewe nataman
Hamisi Rama 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂aje hospital ya bombo maana wanatukera sana unakuta unamgonjwa ila hautakiwi kulala nae mgonjwa apambane na hali yake
Kwel yaan me nlikuw nawaz hivy hivy,, na akija wote hawana kaz
Tuachie mkuu wa mkoa wetu😕
Hakuna kona sema matumbo tumeweka mbele sheria nyuma bas, kona za nini? RMO kaongea ukwel ahsant mzee wang.
I love this...We need ppl like RC HAPI,MAKONDA NA MKUBWA WAO MAGUFULI..we beg u please change our country ,.this is soo good..ppl are eating our money for no reasons
Mkuu wa mkoa anafanya kazi vizuri sana mungu akusimamiye na akupe umri mrefu na akulinde na mahasidi unafanya kazi nzuri sana mheshimiwa
Naelewa Kwmba Kuna viongozi na watawala big up mh. piga kazi ww ni kiongzi nandomana wasikiza kero Za wananchi wako
Ata mm nimelipishwa elfu 50,000/= hapo gvmt juzi nilimpeleka bibi yangu na bado kalazwa pale ad sasa
Safi baba kaz unaindeleza ipasavyo 😂😂mungu akulinde na akupe maisha marefu 🙏🙏🙏
HAPO SINA CHA KUKUPA 👍💯, MR BOB SOSY A K A KATIA WA ARUSHA MURIET JIRANI NA MH GAMBO
Jamani naomba viongozi wa Kenya ebu jifuzeni kitu nimependa sana
Umeona hata mimi nimeipenda tunaomba uhuru wetu afanye hivi wanao muharibiya raisi wetu hapa kenya
Hata kwetu wapo mheshimiwa
Napenda vile Tanzania inaongozwa.....Najihurumia mm mkenya
Court mashinani
Good wapi wa kenya
Yes!! We need people like this!! Speak up RC
Natamani mkuu Wa mkoa Wa Manyara aige kutoka kwa mheshimiwa Hapi,,, Hapi is the best leader,,, uongozi wa Magu uko Imara sana,,,,,nadhubutu kusema Rc hapi yuko kama Magufuli,,, huku simanjiro kuna vijidaktari vinatakiwa kutumbuliwa mana wamefanya hospitali za serikali kama nyumba zao,,,,mkuu wa mkoa Wa Iringa God bless you!!!! Then mkuu Wa mkoa Wa Manyara tembelea wilaya ya Simanjiro kata ya oljoro no5 kijiji cha oiborkishu kuna madudu ya kufa mtu tena bora ya huyu doctor Wa kutoka Iringa yana nafuu,,, huyu Wa huku anajifanya Mungu kwa wananchi na kusahau kwamba yupo kazn
Uwiiii nimekupenda sana waziri mungu akutie nguvu na kukulinda
Yani RAIS MAGUFULI VIONGOZI. KAMA. HAWA INGEKUWA HAKUNA MALALAMIKO KWA. WANANCHI YANI HUYU MKUU WA MKOWA NOMAA ANAWAJIBIKA IPASAVO
Mkuu wa mkoa mungu akutangulie
Ningemwomba mheshimiwa rais uje hapa manyara maana ni zaidi hapo
Marijani Mohamed
kabisaaaa
Shikamoo baba
Kama umekisikia kigugumizi Cha ghafla gonga like
Nakukubali sana kaka nafatilia sana habari zako fanya kazi kaka wananchi wapate haki zako kaka rc
My friend your a good leader and those people they shoul be in prison.
Uko Sawa Mh RC kwa kwani umefanya Utaratibu ili mamlaka husika zichukue hatua.
Huo ndio Uongozi dhabiti 👏👏👏
Huyo ndio Rais wa Mkoa bwanaaa safi sana Ally Hapi
😆😆😆hao sukuma ndani wote mbunge mtalajiwa hongera sana kaka Happy nani mwngine yupo hapa 2020
Ahsante sana mkuu wa mkowa kwa kazi nzuri
Safi sana mueshimiwa Ally happy wamezoea mpenafasi yakufagia huyo
RMO hazitaki hizo microphone na dactari anazichukua haraka maana anajua kibao kiko kwake😂😂😂😂😂😂😂😂l LOVE you mkuu wa mkoa
Daaaa nimekukubali kaka watetee wanyonge kama ss ningependa ufike arusha ❤
Muheshimiwa mkuu wa mkowa hongera sana mungu akubarik❤❤
How I wish ungekua huku kwetu Kenya.... Corrupt leaders are all over... For one to get service from any office lazima ulipie/hongo
Asante sana Mh. 🙏🏽
Hospitali nyingi nchini wanadai hizo hela wafuatiliwe wote
Wanatuuniza sana awa binafsi respect zangu zote serikari awamu ya tano tunaomba mzdi kukaa kalibu nawananchn
Uongozi uliotukuka. Ahsante Ally, mkuu wa mkoa Iringa. Marvelous leadership
nampenda uyu mkuu wa mkoa jaman ninampenda sana mfikishieni salam zangu mnao mfaham
Nampa salam tunaswali nae sana iringa
Sio peke yako mimi mwenyewe namuelewa sana
Good,, Mambo mengine Ili yaende anatakiwa apatikane kiongozi Mwenye maamuzi magumu sanaa!!.....
Sahihi kaka,Uongozi ni jambo kubwa sana na dhamana kubwa sana kwa ajili ya kuihudumia jamii ipate haki zake.
dar uyu jamaa noma sana allah amjaze nguvu aweze kuwapigania wanyonge
Mungu akubariki ally hepi uishi maisha marefu
Huyo ndiye Ali Hapi kiongozi anayejiamini na kutendea haki wadhifa aliopewa,inatakiwa RC uwe mtatuaji matatizo kama hivi na sio kubweteka ili mradi unapata mshahara wako na kusahau kwamba wanaokulipa wanateseka na hawapati haki zao inavyosihili.
Hata kwa Mwenyezi Mungu ujue huna dhawabu yoyote na unailisha familia yako sumu.
Brother kachachamaa kweli kwelii
Hospital nyingi zinafanya hivyo Amana
Tumbi
Akamwagezege hafai atamalizia hasira Kwa watoto
Ally hapi hongera sana kwa utendaji wa kazi nzuri hakika mwenyezi mungu atakulipa hakika ww ni mzalendo mtetezi wa wanyonge
Mtetez wa wa nyonge mungu azidi kuku pa hekima nabusara akupe mwisho mwema kazi nzuri
Kila nikaangalie video za RC Ally Hapi huwa nasemaga shinyanga inahitaji kiongoz kama huyu
Halafu kuna watu wasio na akili wanasema eti wanadhalilishwa wakati wanapora haki za watu
Dora Marcel tunakuomba uje shinyanga huku ni shida
Shinyanga kuna matatizo mengi mno, tunahitaji mkuu wa mkoa kama huyu.
Dora Marcel Kenya pia
Duuuuuu upanga hukata bila huluma kama wew usivyo na huluma na watoto
Tatzo la huyu dokta hata kuomba msamaha hajui😞 anazid kuongea tu yale yale na nd yanayopingwa na Mh; Hapi😄😄😄
Yaaan uyuu cijui mkingaaaa mbishi kinoumaa alafuu mgumu kuombaa Msamahaaa ili yaishee next Tim warekebisheee.. 🤔🤔
Ramso Khamis aombe msamaha ili iweje. who is Ally hapi by the way??
@@ramsokhamis9262 dharau na kutomua wajibu wake.he deserves it
Tumbua hao mkuu wa mkoa
Umeona ee
Mungu akubariki baba
Hiyo video imenikera sana na hao wananchi hawajitambui kabisa, siasa kila mahali; poleni madaktari wangu Mungu aendelee kuwapa ujasiri.
Shikamoo mkuu wa mkoa iringa magufuli hajakosea kukuweka ww
Hapi in kiongoz mzur sana nampenda anasimamia haki
I really like this kind of leadership
Hongera baba aliy happy Mimi ni mzaliwa wa iringa ni kweli wanalipishwa hera kwa watoto wadogo hapo
Muende na mbeya jamaniiiii,heshima na utu lazima ujengweee,wameshikwa pabayaaaaa
jamani naomba mje mwanza tunashida sana hosptali ya butimba
Ahahaha bonge la jembe dokta Pengo lake kubwa tunaosoma namba iringa mh kavuruga
Safi sana nakupenda sana iwe fundisho kwa wote
hongera cna kaka rc kwa kazi nzuri
Hiyo nchi yetu iliko kuwa.
Mungu ahusike kuisaidia nchi.
Ally upo vizur Sana yaan hayo madudu walizoea ..piga kaz nakukubali Sana unatetea wanyonge ambao walikosa pa kuyaongelea
Iringa hoyeeeeee mimi ni mnyalu asilia na wanyalu wenzangu gongeni like hapo basi..
Angela Vayinga oyeeeeeee
Chaz paschal
saf sana
Wanasiasa watatupeleka pabaya
Xf
Mungu wangu Kama magufuli kabisa Safi Sana mtetezi wawanyonge napenda Sana nnchi yangu muheshimiwa hapa kazi tu
Tungekuwa na viongozi kama hawa Kenya.. Tanzania mnayo baraka. Uozo uliopo kenya ni ndoto mbaya ya ajabu
Very good god bless 🙏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Well done mkuu wa mkoa yaani watanyooka tu
Wakuu wa mikoa wangekua kama mkuu wa mkoa Iringa Tanzania tungekuwa mbali xana
Wakuu wa mikoa mingine nafikiri wako likizo wanatakiwa wamwige mkuu wa mkoa iringa happy
kumbe we nikiongezi mzuri sn!!! hai hongera .tunawaitaji viongozi kama hawa wenye uchungu ili wakomeshe vibaka .
watching from Kenya. nafwatilia kwa kina mienendo ya Rc Ally Gomba. kwa ukweli mwenyezi Mungu amewapa viongozi...
Jamani, yaani ni mzito kuelewa huyo jamaa, anaambiwa anakiuka sera anang’ang’ania anaongeza mapato, ni mgumu sana maskini, haelewi na haombi radhi
hata Dodoma hivyo hivyo inauma sana
Safi sana rc happy kaza mwendo
Kulipia ni haki yetu msiwachafue madaktari na wauguzi inapobidi lazima kulipa msiwadhalilishe mnawapa stress.
Mpenzi Zayumba taifa limekubaliana KUTOWALIPISHA watoto chini ya miaka 5, wazee zaidi ya miaka 60 na wajawazito, yeye anawalipisha, hilo ni kosa
Shida ni hiyo kuwa wazee na watoto hawalipi hilo sawa ni kosa.
Good RC
Hongera Ali happy big up
Am following this guy from kenya 🇰🇪 in future he can make a very good president
Speed hii Makonda haiwez
Anaweza kuhudhuria birthday party na kuchagua ma Tz-sweetheart
Huyoo tumbuwa wasomi wengi mitaani wenye taaruma Kama yake
Ningekuwa mie ningezimia nisibu maswali maana Hadi shida
Chunga kinywa chako
Yaan nyie cwawez
😂😂😂😂😂😂
Asanteee Rc mkoa waIringa hawa ndio viongozi tunaowataka RC shikiria KBS
Sikuhizi selekari imekuwa kama kambale kila mtu baba
Hawa ni watumishi ni vizuri hekima ikatumika
Magufuli part 2 uko sawa 👍👍👍👍👍👍
safi sana RC hatuwataki viongozi wazembe kama huyu
Hapo ndugu yangu mkuu wa mkoa unahaki zote, niko pamoja nawe, tuwakilishe vyema vijana wenzio.
Hi ni consultation fee I guess,which is higher in referral hospitals..consultation fee hospitali ya taifa Ni 25000/= referral hospitals Ni 10000/= na ndio maana ikaitwa hospitali ya rufaa.
And hii Sera ya watoto bure...what the heck ...can someone please tell me sehemu inayotekelezeka. Newborns wenyewe wakiumwa wanalipa. And by the way huyo doctor anafanya kazi Sana Tena Sana ...muda mwingi analala hospitali. Ana fundisha madaktari wa undergraduate and postgraduate hizo surgery na hakuna major surgery inafanywa na residents without chief surgeon..anaatend emergency operations which some take hours and hours yet he plays administrative roles.
Mi nahisi wengi hawafahamu ..Ni kwamba tu madaktari hawana Maneno mengi😡
good kiongozi
Mkuu we ni wa mfano nimekupenda bure
Diwani naomba uje kuongoza Arusha hata mwaka moja, nakukubali sanaaa,
Hongera rc uko vizuri
Nakupenda buli kaka piga kazi