#PART1

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 08. 2023
  • #PART1: SIMULIZI ya KIJANA YASSIN ALIYESINGIZIWA KUMBAKA BOSS WAKE na KUFUNGWA JELA MIAKA 30....
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 138

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před 10 měsíci +18

    JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!

  • @jacksonjamesndyabawe471
    @jacksonjamesndyabawe471 Před 8 měsíci +2

    Watu Wana roho mbaya sana.. Wote walio shughurika kuwakandamiza watu kuanzia leo.. Naomba mungu andaa adhabu juu yao

  • @user-cr7xy6tw5j
    @user-cr7xy6tw5j Před 8 měsíci +1

    Duuuuuh pole sana mwanangu mombe mungu usikate tamaa kumuomba mungu kila siku muombe mungu

  • @maimunahemedi6491
    @maimunahemedi6491 Před 10 měsíci +4

    Assalam aleikum, dua aliyoomba itamlipua siku moja, kwa sababu kamfanya mwenyezi mungu kuwa shahidi wa uongo wake

  • @user-uk7or9bd9x
    @user-uk7or9bd9x Před 6 měsíci +4

    Pole sana na izi kazi selikali muwe nazo makini sana mana wengi wapo jela kwa kesi zakusingiziwa

  • @farajasallah2338
    @farajasallah2338 Před 10 měsíci +2

    Watoto wetu wa kiume wanapitia sana, Mungu awasaidie, nimeumia sana

  • @WigiberthiMutahaba
    @WigiberthiMutahaba Před 3 měsíci

    Pol xan kaka ang hao walio kufanyia hv watapew adhab na mwenyenz mung pole xan dady❤,,

  • @JumanneRashid-kr2nv
    @JumanneRashid-kr2nv Před 9 měsíci +1

    Sio haki ata mungu apendi mtu mzima Ivo unabakwa vp mungu akulaani sana

  • @WitnessMmlamba-zx7lc
    @WitnessMmlamba-zx7lc Před 3 měsíci

    Pole sana

  • @user-vf8rq5ux6m
    @user-vf8rq5ux6m Před 6 měsíci

    Pole

  • @user-ip7rq4ro9w
    @user-ip7rq4ro9w Před 4 měsíci

    Pole sana kk 'ngumu ile natokeya congo gm

  • @magrethmbangama1199
    @magrethmbangama1199 Před 10 měsíci +5

    Huyo mama ana dhambi kubwa sana,na wote wanaoshiriki dhambi hz mmelaaniw nyie na vizazi vyenu,maana mwenye pesa ananunua haki ila Mungu yupo hakimu wa haki.

    • @tumainimalulu7708
      @tumainimalulu7708 Před 3 měsíci

      Hii ni tabia ya wanawake sis hangi kwa hili. Ila natamani kuja kumfundisha adabu mwanamke mmoja.

    • @RashidThabite
      @RashidThabite Před 2 měsíci

      Umetoa radhi nzito sana mama

    • @magrethmbangama1199
      @magrethmbangama1199 Před 2 měsíci

      @@RashidThabite inaumiza sana ndugu yangu vaa kiatu cha huyu ndugu ndo utajua aliumia kiasi gani,alikuwa kesha potea tayari

  • @VeronicaMarsel
    @VeronicaMarsel Před 6 měsíci

    Pole Sana chaliingu mungu atalipa

  • @rubenimajura
    @rubenimajura Před 10 měsíci

    Pole kaka

  • @AwzaMstafa
    @AwzaMstafa Před 2 měsíci

    Pole sana mdogo wangu

  • @Anoldi-yj7mf
    @Anoldi-yj7mf Před měsícem

    Muombe mungu sana maana hakuna kisicho na mwisho amini Mungu yupo majaribu nimtaji

  • @AishaOmary-fl8qo
    @AishaOmary-fl8qo Před 3 měsíci

    Mwenye kusubiri yupo na mungu Allah akufungulie rizki zako kaka

  • @user-zd5gd5qd2i
    @user-zd5gd5qd2i Před 6 měsíci

    Pole sana kijana

  • @AdrianNtarambe
    @AdrianNtarambe Před měsícem

    Aisee

  • @user-qs1ii7vq7w
    @user-qs1ii7vq7w Před 4 měsíci

    Pole Sana kijana!

  • @BenardRamadhan
    @BenardRamadhan Před 8 měsíci

    Pole san

  • @user-lq9cy3il4o
    @user-lq9cy3il4o Před 7 měsíci

    Da! Pole

  • @PAUlWEKESA-de6tb
    @PAUlWEKESA-de6tb Před 8 měsíci

    Pole sana brother yangu

  • @BARIKIELMICHAEL-fc7oh
    @BARIKIELMICHAEL-fc7oh Před 2 měsíci

    Pole sana kaka

  • @MohamedAly-zp3zh
    @MohamedAly-zp3zh Před 5 měsíci

    Duniani watu wana mazonge Allah atufanyie wepesi, nimeshaona interview moja ya huyu jamaa kafanya Mbengo TV imeruka Julai, 2021 anajitambulisha kwa mtangazaji kuwa ni mzaliwa wa Bagamoyo Mapinga na alikua akiishi na huyo mama kinondoni... kwenye hii amezaliwa Kilwa na anaishi Chamazi inatia ukakasi kidogo kama mtu anataka kusadia lakini maelezo yako tofauti inatia shaka.

  • @user-wb2by4pw9f
    @user-wb2by4pw9f Před 3 měsíci

    Pole san kaka

  • @priscamagambo5320
    @priscamagambo5320 Před 3 měsíci

    Yani mpaka nashindwa niandike Nini,Ila Mungu ni hakimu wa haki,pole sana

  • @user-fl3tj2tp3e
    @user-fl3tj2tp3e Před 9 měsíci

    Duuuh hyo mama mungu anamuona ipo cku2 mungu atakulipa

  • @user-bg2rp2gd3t
    @user-bg2rp2gd3t Před 2 měsíci

    Pole sana mwenyenzim atamlahani huyo mama

  • @user-yp2wk1ic5o
    @user-yp2wk1ic5o Před 5 měsíci

    pole sàn

  • @user-ux2xo5sl3c
    @user-ux2xo5sl3c Před 9 měsíci

    Mungu amlaani huyo. Afanyae dhambi bia kumuogopa mungu

  • @zawadimapumba7557
    @zawadimapumba7557 Před 5 měsíci +1

    Enyi matajili msiwatese wafanyakazi wenu maliulizonazo ni uwezo mungu😂inaumiza sana

  • @user-gu6wg6jp5n
    @user-gu6wg6jp5n Před 8 měsíci

    Najuta mimi kusikiliza huu mkasa😭😭😭😭roho inaniuma jaman me watoto wangu wakiume tupu daah😭😭😭pole sanaa home boy Mungu ni mwema

  • @Nyaburyaofficial217
    @Nyaburyaofficial217 Před 10 měsíci +1

    Polle sana Kijana

  • @hashimmziray7416
    @hashimmziray7416 Před 8 měsíci

    pole saaana dogo .

  • @sayeedbinazan
    @sayeedbinazan Před 2 měsíci

    Ila yote tisa, Vitimbi vya wanawake ni vikubwa sana. Anaweza Akakusingizia kitu na dunia nzima ikaamini.Mungu Awaongoze Ndugu zetu hawa.

  • @user-hc2hb8yi6s
    @user-hc2hb8yi6s Před 8 měsíci +1

    Polle kaka lla mungu hajaribiw jibu atapata

  • @saudmohammed3390
    @saudmohammed3390 Před 9 měsíci +1

    Dhuluma Kubwaaaaa hii mshitakie Mungu atakulipa.
    Police wamekula pesa sheria wamchukuwe yule Mama akapimwe nawe upimwe.
    Wamsoka yote hayo

  • @allandavid870
    @allandavid870 Před 10 měsíci +3

    Global mnahitaji kuji evaluate story zenu, most of the time mnaleta story zenye kutia shaka sana kama hii. Maelezo anayotoa anajichanganya sana

    • @globaltv_online
      @globaltv_online  Před 10 měsíci +2

      Inatia shaka kwa maelezo yapi? Isitoshe hujasikiliza part two, unafikia conclusion story inatia shaka kwa kigezo kipi?

    • @aisharamadhani1948
      @aisharamadhani1948 Před 10 měsíci +1

      Siku hizi kuna story za kutungwa ili kupata watazamaji au wafatiliaji wa vipindi vyao so chakuambiwa changanya na zako

  • @herberthatibu8439
    @herberthatibu8439 Před 10 měsíci +2

    Hii story inatia mashaka sana, kwanza polisi siyo rahisi kukuweka ndani wakati mlalamikaji hayupo, eti unapelekwa kituoni na watu wengine mlalamikaji atakuja kesho.

    • @likimaro6
      @likimaro6 Před 10 měsíci

      Polisi ya nchi gani unazungumzia? Ulisikiliza ripoti ya Tume ya Haki Jinai majuzi?

    • @abdallahmwanga5792
      @abdallahmwanga5792 Před 10 měsíci +1

      Hayaja kukuta ndugu yangu,ipo siku utajionea mwenyewe...
      Huyo dogo namjuwa na amepata shida sana kutokana na kifungo hicho,nimemshuhudia huyo dogo akiwa jela...

  • @JeanIradukunda-qw6eb
    @JeanIradukunda-qw6eb Před měsícem

    Pore sana kaka yangu

  • @Ibrahim21784
    @Ibrahim21784 Před 10 měsíci +2

    eh 🇰🇪 Kenya watu wana soma bakaaa from 4 na hakuna kazi

  • @user-ji6vg2vq4p
    @user-ji6vg2vq4p Před 7 měsíci

    Pore sana

  • @user-cm9uc4fv2n
    @user-cm9uc4fv2n Před 9 měsíci

    Pole sana uyo mam ana matitz

  • @sinyoritamoha1629
    @sinyoritamoha1629 Před 10 měsíci +5

    Wamatumbi Wapole sana, hawawezi kufanya ujinga, huyo mama yatamkuta makubwa. Nimejiskia vibaya mno, Ila hao wanaoita mchumba nimecheka😂

  • @user-in9cg4pw4o
    @user-in9cg4pw4o Před 4 měsíci

    Daaah pore sana dogo uyo mama ata azibiwa tu na mungu apa apa duniani

  • @JohnsonMpweza
    @JohnsonMpweza Před 18 dny

    😢

  • @safnosmosha
    @safnosmosha Před 10 měsíci +1

    So sad

  • @user-kg2mw1jl2h
    @user-kg2mw1jl2h Před 8 měsíci

    Pel❤

  • @kachabisnea8815
    @kachabisnea8815 Před 10 měsíci +2

    Yaani hapa ndio unapojua kabisa hizi dini zililetwa kwa ajili ya watu kupiga hela tu mtu anahapia hadi na msahafu kwa mambo ya uongo tena bila kuogopa

    • @rajabungatanda630
      @rajabungatanda630 Před 10 měsíci

      Swala la mtu kuogopa ni jambo jengine na ukweli wa dini ni kitu kingine
      Kushika msahafu na kuapia kwa jambo la uongo uo ni uamuzi wa mtu
      Lkn mungu ameahidi kumlipa yule atayeapia uongo
      "Kwahiyo uyo mama asubiri kitachomkuta
      "Lkn pia jiulize kama unashangaa uyu mama kushika msahafu ndomana unahisi dini zimeletwa
      Jiulize kwani vituo vya polisi vimewekwa kwaajili gani ?
      Jee wahalifu awajui kama vituo vya polisi na mahakama
      Vipo kwaajili ya wahalifu?
      Kwanini watu wanafanya uhalifu bila woga wakati wanajua ukifanya uhalifu unakamatwa ?
      Kwahiyo uyo mama anajua kama mungu yupo lkn ni mhalifu wa kiimani anamcheza shere mungu
      Inshaallwah kama kweli amefanya hivo atalipwa tu

  • @frankndiga6122
    @frankndiga6122 Před 10 měsíci +2

    Hiyocm nitaipataje nijulishe

  • @frankjulius12
    @frankjulius12 Před 10 měsíci +1

    Part 2 ikowap

  • @VeronicaMilinga
    @VeronicaMilinga Před 29 dny

    Yanga usajil 19:02

  • @AbdiSekarani
    @AbdiSekarani Před měsícem

    😊😊😊😊😊😊❤😅😊

  • @user-rg9ny6ll8o
    @user-rg9ny6ll8o Před 6 měsíci

    Bv

  • @user-ol9qh9ro7o
    @user-ol9qh9ro7o Před 6 měsíci

    Like

  • @josephatpius5594
    @josephatpius5594 Před 10 měsíci

    Uyo mama in Katie sana kamwalibia maisha kijana

  • @ondb.tv593
    @ondb.tv593 Před 8 měsíci

    Mungu atakulipia hapa hapa duniani.

  • @aboually2472
    @aboually2472 Před 3 měsíci

    Maturubai hyo

  • @user-ol9qh9ro7o
    @user-ol9qh9ro7o Před 6 měsíci

    Iike

  • @OscarOuma-ho6hl
    @OscarOuma-ho6hl Před 5 měsíci

    Wangepima na kuwa na uhakika kutoka kwa daktari

  • @user-mp5uq2mb8u
    @user-mp5uq2mb8u Před 8 měsíci

    Mambo vp pole

  • @UswegeRichard
    @UswegeRichard Před 9 měsíci

    Dah huyu jamaa nilimsikiliza kwenye radio free afrika kipindii cha sintosahau😢😢 dah huyu jamaa kapitia maisha magumu saana❤❤sema mwanangu usikate TAMAAA MUNGU ANAENDELEA KUKU PIGANIA

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 Před 10 měsíci +1

    Kumbukeni WANAWAKE LEO WZNATAKA KEDI NAPESA

  • @ramadhanmzagira7831
    @ramadhanmzagira7831 Před 10 měsíci

    kamakweli basi makosa yalianza kituo chapolis inatakiwa alie bakwa awepo ili akapimwe kama kafanikisha jambo ilo nasio aende peke yake anaenda na polic wakike

  • @B-horbir
    @B-horbir Před 10 měsíci +1

    B-horbir from DRC Congo but muzaliwa wa dar , Tanzania,mimi naona yule mwanamuke hakutakakumulipa kijana pesa aliona afanye mpango iliashie

  • @user-us3sv3pp1t
    @user-us3sv3pp1t Před 8 měsíci

    Mh inauma

  • @SellahMohamed-it7dg
    @SellahMohamed-it7dg Před 5 měsíci

    Pore Mwanang San

  • @jacksonjamesndyabawe471
    @jacksonjamesndyabawe471 Před 8 měsíci

    Wewe dada au mama uliye mkandamiza huyu jamaa.. Rana yako hitakuwa mbaya sana kwasababu, huyu jamaa imesha kuwa doha kwake

  • @LadslausKyandoh-ru1il
    @LadslausKyandoh-ru1il Před 9 měsíci

    Ooe

  • @tumainimalulu7708
    @tumainimalulu7708 Před 3 měsíci +1

    Hivi MUNGU yupo? Kwanini wanyonge na wasio na fedha hudhulumiwa haki zao bila kumwaibisha adhulumuye haki. Mtu anaswali na anasali na anashika kitabu cha Mungu anaapa uongo na Mungu yupo kimya. Hapana kuna kitu natafuta nifanye utafiti kuhusu dini hizi tulizoletewa na wageni.

    • @BraysonKileo
      @BraysonKileo Před 2 měsíci

      Daah MUNGU atamwonekanaye

    • @abdiazizmohamed444
      @abdiazizmohamed444 Před 2 měsíci

      Kwenye interview ingine anasema hapakua na godoto

    • @abdiazizmohamed444
      @abdiazizmohamed444 Před 2 měsíci

      Yamini ni muongo
      Kwenye interview ingine amesema vingine hapa anasema vingine

  • @cosmasibundala
    @cosmasibundala Před 3 měsíci

    Mambo vp

  • @JohnKapwaga
    @JohnKapwaga Před 7 měsíci

    Hahaha jaman hugo mama balaa pole sana mwanaume mwenzangu MUNGU ni mwema hata akina YUSUF walitiwa gerezn na ikawa Waziristan,

    • @user-lq9cy3il4o
      @user-lq9cy3il4o Před 7 měsíci

      Da; hatar

    • @Teddygeorge-ub7su
      @Teddygeorge-ub7su Před 5 měsíci

      Pesa inawafikisha watu pababaya huyu mama mungu amlaani ingewezekana hii Kes ingeanza upya afu imgeukie Yani mungu amlaani Saba mara sabini!!!!!!!

  • @WarwinuKaremeri
    @WarwinuKaremeri Před 2 měsíci

    Huyo mama ni shetani

  • @hashimmziray7416
    @hashimmziray7416 Před 8 měsíci +1

    ha ha ha eti Mama yako umemuacha kijijini

  • @hamisibaharia-bl9og
    @hamisibaharia-bl9og Před 10 měsíci +2

    Malipo dunian apa apa mwanang kaza loo2

  • @AredFered
    @AredFered Před 7 měsíci

    Dah wafanyakaz kaz tunayo

  • @SalehSalum-ri1jn
    @SalehSalum-ri1jn Před 3 měsíci

    Loho inauma

  • @user-yl3be9ix4y
    @user-yl3be9ix4y Před 2 měsíci

    Mbona uhujasema kama hajakulipa miezi yotehiyo

  • @JamesKisabo
    @JamesKisabo Před 4 měsíci

    Hata mm lazima nibake kwahali hyo

  • @JumaLichombo-ev9zi
    @JumaLichombo-ev9zi Před 7 měsíci

    Duuh hyo mam ni hatar pole mwamba

  • @user-tq7xj5tr3k
    @user-tq7xj5tr3k Před 8 měsíci

    Sipowa

  • @user-su9lf4lb2v
    @user-su9lf4lb2v Před 8 měsíci

    Mungu.atasimama.nao
    Inshalla.watoto.wote

  • @MOHAMMEDABDI-lb7yp
    @MOHAMMEDABDI-lb7yp Před 10 měsíci +1

    Siku kumi na9 ya nini jamani wakati sheria ni kuka police ni maa saa 24 tu

  • @user-nv6rz3kd5p
    @user-nv6rz3kd5p Před 3 měsíci

    Walioko jela wengi wao hawana makosa?

  • @user-qg8wl2gi2o
    @user-qg8wl2gi2o Před 5 měsíci

    Mabos wengi wakion hawan Hela ya kumlipa mfanyakaz Wana msingizia mabay

  • @JumaCharura
    @JumaCharura Před 8 měsíci

    Dah pol San wem s wot

  • @user-ss9nr1ol1d
    @user-ss9nr1ol1d Před 8 měsíci

    Mama uyo ni muchawi kabisaha.uyo.kijana.mtoto.alimubakaje.serkali.yenu.aichunguzi.kitu.mimi.ni.mu.congo.mani.uyomama.wanipe.yeye.nimubake.kabisahaaa.onamakalio.yake.kubwa.kama.makalio.ya.tembo.mungu.ahatakuwaja.katika.dunia.iyi

  • @ferguslyagoda4049
    @ferguslyagoda4049 Před 10 měsíci

    Hii ni kiki?

  • @user-fi7zr2xy3m
    @user-fi7zr2xy3m Před 4 měsíci

    Adi ufanyi ivo shida nini, kwa mtoto wa watu

  • @JamesAndrew-xs5bt
    @JamesAndrew-xs5bt Před 5 měsíci

    Sema tatizo mabos wengine wanashoboka.

  • @frankndiga6122
    @frankndiga6122 Před 10 měsíci +1

    Kweli huyo mama siobinadamu walahanahofuya MUNGU

  • @MulugaKajana
    @MulugaKajana Před 10 dny

    nataka nyimbo za din

  • @user-no2ug6td1c
    @user-no2ug6td1c Před 8 měsíci

    mama huyo hatauona ufleme wambingu kabisa

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah1887 Před 8 měsíci

    Ufanye uchunguzi ulipwe fidia

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 Před 10 měsíci

    Same Yasin kule Mbengo tv kasema mzaliwa wa Bagamoyo, huku mzaliwa wa Kilwa same story same person?

  • @ramadhanimaganga8068
    @ramadhanimaganga8068 Před 10 měsíci

    Sio kweli muongo huo mi namjua vizuri

  • @user-dm5hq4jf1s
    @user-dm5hq4jf1s Před 10 měsíci

    Pole sana

  • @Shimboy-hl4eg
    @Shimboy-hl4eg Před 9 měsíci

    Pole bhana hizo changamoto za maisha tu.

  • @sinyoritamoha1629
    @sinyoritamoha1629 Před 10 měsíci

    😢