INALIZA: Aliyehukumiwa MAISHA na KUKAA GEREZANI miaka 43, Atoa Siri Nzito toka Gerezani

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 12. 2017
  • INALIZA: Aliyehukumiwa MAISHA na KUKAA GEREZANI miaka 43, Atoa Siri Nzito toka Gerezani
    Subscribe / uwazi1
    Anaitwa Mzee Raphael, mmoja kati ya waliokuwa wafungwa na wakaachiwa huru hivi karibuni siku ya sherehe za kuadhimisha miaka 56 ya uhuru wa Tanzania bara, ambapo siku hiyo Rais Magufuli alitoa msamaha kwa baadhi ya wafungwa.
    Mzee Raphael alikamatwa mwaka 1974 kwa kosa la kuhusishwa na Mauaji, yeye pamoja na Wenzake wanne kisha kuhukumiwa kunyongwa mwaka 1978.
    Akiongea kwa masikitiko makubwa huku akihuzunishwa na kifo cha wake zake wawili pamoja na watoto wake kadhaa, hata hivyo amebakiwa na Mke wake wa kwanza pamoja na watoto wake wanne, akiwemo Mwanae wa kwanza Bi Rose Mary ambaye ni Mwenyekiti wa UWT, CCM Njombe, huku Cosmas akiwa ni Mwanajeshi pamoja na mwanaye Daudi ambaye ni Mchungaji.
    Fuatilia mkasa huu wa kusisimua mwanzo hadi mwisho.
    FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .

Komentáře • 1,2K

  • @selincharles3383
    @selincharles3383 Před 6 lety +72

    tangu nijue maisha sijawai kuona polisi aliestaafu akaishi maisha mazuri na yaamani... nilikuwa sijui sababu kumbe nilaana na matendo yao maovu ndio yanayowahukumu...sasa jamani kwanini mfanye haya... embu badilikeni duniani muhukumiwe bado na ahera inawasubili... duuu Magufuri bado naona kazi kubwa mbele yako... ila naamini Kama Mungu alituumba sote kipi kitamshinda..? pole mzee Pole Sana

  • @dainesszuberi5033
    @dainesszuberi5033 Před 6 lety +54

    Mzeee umeninilizaa sanaaa nimeumiaa mungu kufanyie wepesi katika afya yko na maisha yako mungu yuu pamoja nawe nimeumia sanaaa malipo ni hapa hapa duniani shukrani za dhati zimfikie mh:pombe Jonh magufuri azidi kuwa na moyo huo huo nimeumizwa sanaaaa👏👏Ahsante muheshimiwaaa

  • @joventjohansenmushwaimi1988
    @joventjohansenmushwaimi1988 Před 6 lety +121

    Maisha yake yameishia gerezani masikini pole sana mzee wetu Mungu atakulipia,watu kama hawa wako wengi magerezani wanateseka bila kuwa na hatia. Naelewa mzee anajisikiaje. Pole mzee

    • @mtosimbakwamzungu7703
      @mtosimbakwamzungu7703 Před 6 lety

      🚶

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 Před 6 lety

      True

    • @jumakiparis2267
      @jumakiparis2267 Před 6 lety

      Pole sana Mzee mbona hio mpaka Leo majambazi wakipora police wanapewa posho halafu wanaingia mitaani kukamata watu kuua soo na hata hutasikia waziri wa mambo ya ndani kwema magerezani kukutana na wafungwa kupata maelezo lao sema hivi sasa watatia akili

    • @asteriambwei95
      @asteriambwei95 Před 5 lety +1

      Usikubali mtoto wako akasome chuo cha upolisi kwanza hatakaa amwone mungu pia hawana msaada ukipata shida ndo wanafurahi wapate pesa yaani pesa kwao ndo muhimu haki kwao hamna hayo machozi baba hayatakuwa ya bure yatakuwa juu yao mungu anawaona

    • @tumainijoseph6356
      @tumainijoseph6356 Před 5 lety +1

      ashukuriwe mungu

  • @allysaid1215
    @allysaid1215 Před 5 lety +35

    Kama polisi ni sawa na mbwa gonga like

  • @raphaelngongo1310
    @raphaelngongo1310 Před 6 lety +42

    kwa kweli raïs Makufuli Mungu amujaliye yeye na familiya yake waishi maisha marefu kwa jambo kubwa alilotenda sababu ma raïs wengine wanajuwa kuhuwa na kuachanisha jamihi ndugu Raphaël shimama kwenye zamu ya kaziya Mungu .

  • @mwakahassan8742
    @mwakahassan8742 Před 4 lety +5

    Pole sana mzee Allah atakulipia ata mm machoz yananitoka iyo ndio Tanzania kila kitu chafanywa uenyeji uwenyeji tu

  • @brunonsungwe8676
    @brunonsungwe8676 Před 5 lety +2

    Mh jamani acheni Mungu aitwe Mungu ! Huyu baba yetu kaniliza sana! Asante Magufuri kwa ukombozi huu! Hakika Mungu azidi kukuimalisha katika kutafutia haki wanyonge! Mungu mpe maisha marefu huyu mzee

  • @reddyjulius3997
    @reddyjulius3997 Před 6 lety +47

    Pole sana mzee wangu ndo Tanzania yetu ilivyo hadi leo kuna kesi nyingi sana za kusingizia huku wakiachwa watenda maouvu machozi yako yatawalilia

  • @helenamhema3606
    @helenamhema3606 Před 5 lety +22

    pole sana mchungaji wangu mlyuka ukiwa makambako tulikukubali mungu amesikia maombi yako

  • @delitonavaia3503
    @delitonavaia3503 Před 6 lety +28

    kwakweli nimetokwa na machozi, japo siyo mtanzania lakini Kama binaadamu nimeguswa. Allah atakulipa.from 🇲🇿

  • @TheMaarifa
    @TheMaarifa Před 6 lety +25

    Dah! aisee inasikitisha sana. kuanzia sasa mimi kama wakili nikipewa jalada la kesi ya mauaji nitalifanya bure kabisaa kuwatetea watuhumiwa. Haiwezekani tukaacha hali hii iwe inaendelea kutokea mahakamani

  • @denisclay8549
    @denisclay8549 Před 5 lety +505

    Kama una amini police ni kazi ya laana gonga like hapa mbn sioni jamaniiiii😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @bernadethamsaki2921
      @bernadethamsaki2921 Před 5 lety +6

      Co laana ila walioajiriwa ndo wana laana! Ni kazi kama kazi nyingine

    • @shafiimarandu6971
      @shafiimarandu6971 Před 5 lety +2

      Denis Clay kwel

    • @basilisamsaka1221
      @basilisamsaka1221 Před 5 lety +6

      Kweli kabisa kz ya police nilaana,na wamelaaniwa,wanasingizia watu sana

    • @bahatirobi6262
      @bahatirobi6262 Před 5 lety +2

      Denis Clay niwalaaniwa hata sijui kwa mungu watajitetea vipi

    • @rahimaaaaa8699
      @rahimaaaaa8699 Před 5 lety +8

      Polisi wana laana ndio maana ni maskini wa KUTUPWA.

  • @donlee2553
    @donlee2553 Před 6 lety +162

    POLISI WOTE PITENI HAPA MTAJIFUNZA KITU.JAMAANI NISAIDIENI KUWAITA POLISI.

  • @hadijabashasha3337
    @hadijabashasha3337 Před 4 lety +3

    Dr.John Pombe Magufuli Mungu ndie atakae kulipa kwa wema na huruma yako akujaalie hapa Dunian na kesho Akhera

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 Před 6 lety +1

    Pole sana Mzee ashukuriwe Mungu aliyekuweka mzima hadi unaiona tena familia yako. Muombe Mungu akuondolee uchungu kuhusu uonevu uliotendewa ili usije ukakuumiza na kukuletea madhara. Kuna maisha baada ya yote yaliotokea Yesu ni mfariji.

  • @goodhelpnolland9637
    @goodhelpnolland9637 Před 5 lety +17

    Pole mzee inauma sana mtu anafungwa bila hatia

  • @ommietrendz7175
    @ommietrendz7175 Před 6 lety +28

    Huyu mzee kweli alikuwa anajishughulisha miaka 34 nyumba 2
    Vijana wa sasa miaka 35 anavaa supra hajui kodi hata ya chumba

  • @marymah7149
    @marymah7149 Před 5 lety +8

    Chozi ramnyonge ulipwa na mungu Inshaallah muachie mungu inaniuma kama baba yangu mzazi jmn inauma duuuh😢😢😢

  • @b9media144
    @b9media144 Před 6 lety +7

    Nimeshindwa kujizuwia, hakika nimeumia, nimelia sana!
    Japo tunasema kuwa Mh Rais yupo kisiasa zaidi ya kujitengenezea mazingira mazur ya hapo baadae, (kila mtu anafikiria kutokana na utashi wa upeo wake). Lkn kwa hili basi amefanya uungwana wa ajabu sana na namuomba Allah amjaalie sikumoja apate kuona nuru ya uislamu na afe haliyakuwa yupo katika Qalma ya laailaaha ilallaah Muhammad rasuulullaah!
    Kwasababu sisi tote n wa M/mungu, anatupenda sawasawa kabisa

  • @aokinsindi6948
    @aokinsindi6948 Před 4 lety +2

    Pole sana mzee mlyuka mi ni mgum Sana kutoa machozi lakini ktk Hilo nimejikuta machozi machozi mwee 🇹🇿 JPM MUNGU akuongezee siku za maisha YAKO!!

  • @habibakhlifa8534
    @habibakhlifa8534 Před 6 lety +22

    Pole babaa Ndio Dunia naa aminn mtuu hafii ila kwa zakee na MUNGU NI MUNGU Atabakii kuwa MUNGU sio ww baba wengii wapo jela bila kesii nii kusingiziwa tuu

    • @johnbeda7620
      @johnbeda7620 Před 6 lety +1

      it painful alot mungu bado amakusudi na wewe mzee wetu

    • @khadijaabdully6284
      @khadijaabdully6284 Před 6 lety

      inatia uchungu kwakweli,machoz yamenitoka kwa huruma,pole sanna baba angu,mungu yu mwema,na shukran mh magufuli,m/mungu akuweke

    • @lissamsalu2179
      @lissamsalu2179 Před 6 lety

      Pole sana famille hiyo

  • @zaynsalma3466
    @zaynsalma3466 Před 6 lety +6

    Baba yngu Had machoz yananitok ila mungu yiko na atakufut machoz nyamaz Baba yngu 😭😭😭😭

  • @raphaelngongo1310
    @raphaelngongo1310 Před 6 lety +6

    jambo kwa jamihi zote kwa kweli Mungu amemutowa ndugu Raphaël kwenye mavumbi kamuinuwa zaidi ya utajiri ushuhuda huyo wanipa tumaini kubwa mbele za Mungu mimi piya ni Raphaël nikiwa Congo jina hila la Raphaël limetimizwa kama lililo maanayake yani Mungu mponaji na ndiye aliyemuokowa amen .

  • @claudiangowi9585
    @claudiangowi9585 Před 4 lety +13

    Pengine police wenyewe walishakufa mamaaaaee, siyo kila kifo mnahuzunika watanzania wengine walitenda mambo mabaya wanalipia.

    • @anyelwisyemwakasungula7419
      @anyelwisyemwakasungula7419 Před měsícem

      Na sio kila stori mnaiamini Watz kueni stebo kwenye akili ivi mahakama zote zimuonee, Mahakama kuu na Mahakama ya Rufaa zisimtoe, majaji sio wajinga kama mnavyozania

  • @tausijohn2569
    @tausijohn2569 Před 6 lety +3

    pole sana mzee kwa yaliyokkuta mungu atakusaidia
    maisha yako ysmeishia gerezani .

  • @marygathu3800
    @marygathu3800 Před 5 lety +4

    Hio machozi mwenyezi Mungu atalipisha.pole baba😢😢😢

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni4258 Před 6 lety +7

    Masikini pole sana baba miaka 43 jela, kuna watu wengi wamefungwa kwa kesi za kubambikiwa police wana husika kwa kesi hizo hao walio toa ushahidi wa uwongo mungu awalaani mpaka kufa kwao .

  • @lucywilson5875
    @lucywilson5875 Před 5 lety +7

    Miaka 43, nimelia na huyu Mzee, kichwa kinaniuma. Mungu atunusuru

  • @tareqhilal6750
    @tareqhilal6750 Před 5 lety +21

    JELA NIMEKAA ZAIDI KULIKO NJE...Daah Mungu wangu

  • @mashmashmkeyenge9210
    @mashmashmkeyenge9210 Před 6 lety +16

    Mungu atalipa hapa hapa

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily85 Před 5 lety +1

    Unamshukuruh Allaah thummaah makufuli...Mwenyezimngu Atawalipaaa. Alokudhulluh ...

  • @rehemabaraka9895
    @rehemabaraka9895 Před 6 lety +38

    Daaa pole sana mzee mungu amesikia kilio chako

    • @mrsrumondo8740
      @mrsrumondo8740 Před 5 lety

      Jamani magufuri ndio raisi anahangaria matatizo ya wananchi wake kira kona anapita mungu akubariki sana tena sana razima tukupe kura iri uongozi jahazi kwa Mara engine ccm oyeeeeeeeeeeeeee

  • @onyokoreo7999
    @onyokoreo7999 Před 4 lety +4

    Inshallah you will get your justice Soon,magufuli ni Rais wa wanyonge

    • @salmabanga8962
      @salmabanga8962 Před 4 lety

      Duuu kumbe kuna watu wanafungwa bila hatia polee baba

  • @omarkhamis9514
    @omarkhamis9514 Před 6 lety +5

    Hili jambo lisizikwe vivi-hivi, wizara husika ni lazima zifuatilie na mzee alipwe ridhaa na biashara zake, nguvu zake na mateso ya kihisia aliyopitia mzee huyu na yeyote aliyepitia dhulma za kusindikizwa. Imenivunja moyo sana. Udhalimu ulinuiwa mzee aozee jela milele, wapo wengi. Haki daima itaolea! Pole Mzee Raphael!

  • @neemaselemani3689
    @neemaselemani3689 Před 4 lety +2

    Askari mungu anawaona, askari kazi ya laana sana, aiseee pole baba

  • @witedsteward4168
    @witedsteward4168 Před 5 lety +44

    Mimi nimemaliza form four nikaambiwa nijiunge najeshi la polisi kitu ambacho niliona siyo sawa kuliko nichague kazi ya upolisi bora nikachunge ng'ombe!!!! Jela wenye makosa siyo wengi!!!! Kama huw Kubali hawa jama zetu (polisi)gonga like

    • @patrickplatnumz4765
      @patrickplatnumz4765 Před 5 lety +1

      Wited Steward , nilichaguliwa pia baada ya kumaliza form four. Sikwenda wala sijutii

    • @helenjonsob5718
      @helenjonsob5718 Před 5 lety

      Wited Steward kwa kweli

    • @omanimujsa9756
      @omanimujsa9756 Před 4 lety

      Nimelia jamani eeeemungu magufuli msimamie azid kua kiongoz wetu bora yarabiy muweke rais wetu wallah nimelia sana

  • @aminanyangero7603
    @aminanyangero7603 Před 6 lety +50

    Chozi LA mwenye haki halitaenda bure

  • @winfred2546
    @winfred2546 Před 6 lety +4

    Pole sana baba Mungu atakulipishia. ...Kwa kweli nimelia😭😭 am so sorry

  • @obillaezra6205
    @obillaezra6205 Před 5 lety +1

    Cosmas namfahamu vyema Miaka tuliyosoma Makongo Sec !! Ni Soldier mwenye Maadili Mazuri na Wanafunzi wengi tulielimika kwa Nasaa Zake!!! Pole Mwl na Hongera kwa Kumuona Baba kwa Umri huo!!! Mungu amzidi kumuongezea Baba Umri na Afya njema!! Hongera familia nzima, na Hongera Mchungaji

    • @kadoaugust6497
      @kadoaugust6497 Před 2 lety

      Nadhani hata waliomfanyia hivyo watakuwa hawapo hai.

  • @agneskadzo6105
    @agneskadzo6105 Před 4 lety +2

    Pole mzee Mungu analipa?Sahau yote na uamini Mungu anawezaa

  • @kacheali4777
    @kacheali4777 Před 6 lety +9

    pole baba mungu ndio mtetez wetu hapa duniani watu wajiona wakubwa kuliko mungu.lakn hak haipotei mungu akusaidie sana

  • @jamillahmansoory3652
    @jamillahmansoory3652 Před 6 lety +21

    Dah mzee kaniliza huyu acha mungu aitwe mungu

  • @gemkachar
    @gemkachar Před 6 lety +4

    Natumai IGP Sirro pamoja na askari wake waniatazama hii video. Mwenyezi Mungu yupo.

  • @babaneygss6753
    @babaneygss6753 Před 6 lety +7

    Asante Mungu kwa wema wako,asante JPM kwa huruma uliyowatendea wafungwa wote ulio wasaheme 09/12/2017.

  • @carolinetalimo8088
    @carolinetalimo8088 Před 6 lety +7

    mungu ni mwema ,,,na atakupa nguvu,,

  • @dianajafety4888
    @dianajafety4888 Před 6 lety +16

    nmeumia xana baba yaani c kila mfungwaana koxa mungu akutie nguv ad mzee ka huy anatoa choz hao police walaaniw na wote waliokufanyia ivoooo! mtalipwa kwa mlichotend nmeumia sanaaa

    • @selincharles3383
      @selincharles3383 Před 6 lety

      Diana sidhani Kama yupo hata mmoja.... wameenda na roho zao mbaya

    • @africanhappyadventure6951
      @africanhappyadventure6951 Před 6 lety

      Duuuuu...! Huko jela wapo Wengi sana wenye kesi za kusingiziwaaaaa.. Sema ndio ivyoo na nadhani ndio maana Raisi alifanya uchunguzi kuhusu hizo kesi akagundua Zina utata ndio maana wakatokaa

    • @zalhahamadi9862
      @zalhahamadi9862 Před 6 lety

      pole Ba mkwe ndo mambo

    • @rehemaradhid5716
      @rehemaradhid5716 Před 5 lety

      nikweli

  • @roseondieki7443
    @roseondieki7443 Před 4 lety

    Ee Mungu jidhihirishe katika maisha ya huyu Mzee jionyeshe mwongezee miaka mbariki katika uzee wake mpe tumaini tena....Amen Amen

  • @lindahwazir7209
    @lindahwazir7209 Před 4 lety +2

    Hivi huyu Rais Maguli mbona alicheleweshewa urais ?Ulikuwa wp Baba? Naomba Mungu akutunze akulinde, nimelia sana kwani najua kunawengine wengi kama huyu Mzee anayetoa machozi, hakika machozi haya yataotesha kitu kwa waliofanya hiv.

  • @superwomanmwenyeheri.1367

    Mi mpaka tumbo limeanza kuniuma.
    Dah!! Mungu anakupenda Baba

  • @josephineluge6693
    @josephineluge6693 Před 6 lety +8

    Daaaah!!
    Imeniliza sana. Pole sn Mzee wangu

  • @jackfrancis8047
    @jackfrancis8047 Před 5 lety +1

    Daaah nimeumia Sana polen Sana Mungu ashukuriwe

  • @kananu578
    @kananu578 Před 4 lety

    Great job Mr President Mwenyezi Mungu akujalie maisha marefu yenye furaha big respect from Kenya

  • @johnvenus7507
    @johnvenus7507 Před 6 lety +78

    Huwo ni ukweli mimi nimeishi Tanzania kambini Mutabila Polisi wa Tanzania walikuwa na wivu kwa wakimbizi matajiri

    • @joekap604
      @joekap604 Před 6 lety

      Africa , binadamu wanaishi na mashetani katika mazingira ya pamoja , watu hawajulikani na wala mashetani hawajulikani , cha kusikitisha ni kwamba baadhi ya watu wameowa na kuzaa na mashetani

    • @MamaMirakel
      @MamaMirakel Před 6 lety

      +Jozee Kap inafikirisha sana ulichosema! Mungu atusaidie

    • @rehemaradhid5716
      @rehemaradhid5716 Před 5 lety

      kweli

    • @zefaniacharles8627
      @zefaniacharles8627 Před 5 lety

      Z.C nikweri

    • @fatmarashid2384
      @fatmarashid2384 Před 5 lety

      @@joekap604 Hata uko ulipo mashetani wapo nahata ww shetani mmoja wapo

  • @fortunatuswangubo6013
    @fortunatuswangubo6013 Před 5 lety +5

    Pole sana ndugu yangu kwa mkasa huo

  • @carolinesergon347
    @carolinesergon347 Před 5 lety +1

    Woiye soo sad. Poleni sana kwa familia ya mzee Raphael kwa ujumla na pongezi pia..i think they all need counselling especially the old man. He is still in a tough place 4 sure. Am grateful too for what ur president did. Btw big ups to the beautiful presenter mwenye sauti nyororo pia 😍😎

  • @user-mv9rh3nf3n
    @user-mv9rh3nf3n Před 5 měsíci

    Pore Sana babu yng mwnyz mungu akupe maisha maref

  • @agneskadzo6105
    @agneskadzo6105 Před 4 lety +7

    Bidii yako yaeza kupeleka pabaya duniani humu.pole sana mzee..loooo

  • @naylahkhamis1545
    @naylahkhamis1545 Před 5 lety +8

    inasikitisha machozi yananitoka wallah 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 Před 6 lety +1

    Huyu Baba ana uchungu sana sana,Mungu amtiye nguvu sana,ampe umri mrefu wa kuishi.

  • @trdr1915
    @trdr1915 Před 5 lety +1

    Oh my pole mzee mungu akunjalie na akulundishie chochote shetani amemba

  • @dvjaddie7176
    @dvjaddie7176 Před 5 lety +7

    Daa inauma sana mungu akujaalie afya tele ishaallah.

    • @raisonmwazembe7002
      @raisonmwazembe7002 Před 4 lety

      Ee yesu nisaidie,nifikesalama yote ya duniani pore_baba,mungu in mungutu

  • @gerraldbukelebe5152
    @gerraldbukelebe5152 Před 6 lety +113

    Mmmmh! Ni mtoto wa kiume lkn nimeshindwa kujizuia nmelia sana aisee!!

  • @jovinathobias7163
    @jovinathobias7163 Před 6 lety

    Inasikitisha mno kwakweli Mungu ni Mwema anamakusudi na maisha yetu kwanza kutupatiaMagufuli kila jama linamaana yake,Mungu so kiziwii wala sio kipofu,Asante sana Baba

  • @rhinaregina5806
    @rhinaregina5806 Před 6 lety

    Too much emotional I can't stop crying 😭😭😭😭😭😭 guys God is faithful and peaceful guys 😭😭😭😭😭😭😭😭 labda Mungu alipenda kuwapitisha kwa hau ile uwe ushuhunda kwa wengine hata mimi pia

  • @rahapaulina1451
    @rahapaulina1451 Před 6 lety +5

    Mungu utabaki kua MUNGU dah nimelia sana pole sana baba

    • @luciapeter1345
      @luciapeter1345 Před 5 lety

      Nmebaki
      Tyu kulike coment Za wenzang mana inaniuma
      sana jpo na meng ya kuxema but asilmia nying Imesemw na Wenzang Apa nmebaki tyu njiapanda tanzania kuna makafiri hvi?????????

  • @kavassay8899
    @kavassay8899 Před 4 lety +5

    Daaaaaaaa mzeee Amelia kwa uchungu sana

    • @zamanineema3057
      @zamanineema3057 Před 4 lety

      Kabisaaaaa filahun hawao Mungu atawalipaa kwa choz la mzee huyu

  • @emmanuelbonifas3517
    @emmanuelbonifas3517 Před 5 lety

    Pole sn mzee omba sana mungu asikuache popote uendako kweli nimejifunza kitu kikubwa sana juu ya hili mh rais bc tu juu yako mungu akuangalie sn udumu baba

  • @kaisarimbisso6146
    @kaisarimbisso6146 Před 6 lety +1

    God bless your family, mzee wetu Raphael

  • @fredmathubejr3547
    @fredmathubejr3547 Před 6 lety +55

    Wakowapi majaji na mawakili waliowafunga wazee hawa? Tujifunze kutenda haki coz nothing last forever

    • @ommietrendz7175
      @ommietrendz7175 Před 6 lety

      Fred Mathube jr tafuta hela wewe huyu mzee kaingia jela Na miaka 34 ana nyumba 2 Na watoto 10 maeeeee we laza duduuuuu tu

    • @fredmathubejr3547
      @fredmathubejr3547 Před 6 lety

      Hhhhhh umevurugwa

    • @denarddavid9202
      @denarddavid9202 Před 6 lety

      Fred Mathube jr Na HAO maaskari waliosingizia kesi bado WAPO. Mamlaka zichunguze

    • @romanachao245
      @romanachao245 Před 5 lety

      Ata yaeza kuwa walifariki na magonjwa,maajali ila mzee yuko hai na salama.Mungu akulinde sana Baba mpe Mungu Marsha yako zaidi ulivyo Tumika jela

    • @petersolomon2979
      @petersolomon2979 Před 5 lety

      Wengi wao walishakufa

  • @baidaismail4061
    @baidaismail4061 Před 6 lety +4

    😭😭😭😭 Duh! inauma sana

  • @fidesrazalo8438
    @fidesrazalo8438 Před 4 lety

    Wote waliokufanyia hivo cku ya mwisho simamanao mbele ya mungu na mungu atawadhibu hapa duniani hakuna haki haki hiko juu mbinguni pole sana baba

  • @sistersade9039
    @sistersade9039 Před 6 lety

    Hadi kesi imeniliza sana tokea mwanzo mpaka mwisho kusikia matatizo waliopitia family hii. Mtu afungwe muda wote huo kwa dhulma
    Pole sana Baba mzee, Mungu akupe umri mrefu Na mafanikio mema katika maisha yako.

  • @manasemwakagali9358
    @manasemwakagali9358 Před 6 lety +7

    hakika mungu atakulipia, inauma sana. lakini hii inaonyesha namana gani watu wengi wamefungwa kwa kuonewa.

  • @alphageorge4796
    @alphageorge4796 Před 6 lety +8

    Mungu atukuzwe kwa hili

  • @ibrahimmaroa5767
    @ibrahimmaroa5767 Před rokem

    pole Sana baba maisha ni mungu tu anayachua ndo maana akatuma makufuli akuche hapo baba yasahau yalivyo bita si nywele baba 🙏🙏

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p Před 5 měsíci

    Nchi nyingine polisi ni watumishi wa serikali wanaokimbiliwa na raia na wananchi wengine lakini siyo Tanzania. Nilichofanyiwa na polisi niliyemsaidia kunusuru maisha halafu akanipora. Ninamuachia Mwenyezi Mungu.

  • @isayajacobo8038
    @isayajacobo8038 Před 6 lety +4

    mungumwema mzee

  • @daudi1bashite48
    @daudi1bashite48 Před 6 lety +9

    Kumbe wakati mwingine watu wanaotaka JPM atawale maisha wanakuwa na sababu za msingi tusiwabeze. Ila sheria zipo.

  • @sarahstanley3411
    @sarahstanley3411 Před 4 lety

    Jamaniii daaa chini ya jua chini yajua mungu mwenyewe ndo anajua 🙌🙌🙌 mungu hamtupi mja wake daa inaumiza sanaa

  • @emanuelmalya358
    @emanuelmalya358 Před 6 lety

    Asante mungu kazi yako nimeiona

  • @dirocksilikari1888
    @dirocksilikari1888 Před 6 lety +29

    😔😔😭😭😭Police wakitanzania wanaonea watu sana wana jifanya iti wanafanya upeleji ila marekani police hawakuwagi hivo police kinacho tumika ni camera na sterite sio mambo ya kuzushiana kwanza ukisema mwenzoka afanya aje ww ndo unakamatwa

    • @saidaali9379
      @saidaali9379 Před 6 lety

      Dirock Gerard all europe hata kama polisi kasema jaji anamuuliza polisi unaushahidi lakini tz polisi akisema basii umeenda

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 Před 6 lety

      Hakuna sehemu pasipo na uonevu nyinyi, huko Amerika sijui sheria zao, lkn London polisi hawafatilii haswa au hawafatilii sana, hasa kesi za kinyonge ndio kabisa, mnavyojidanganya tu. Baadae ukifika mahakamani kuna guilty na not guilty, yanaelezwa mashitaka na mashahidi wanakuja kutoa ushahidi km mtu anakuchukia umeumia, na sisi watanzania wengi sana tukiwa nje hua hatupendani, na polisi na hao majaji wengi wao ni wabaguzi. Sasa unaulizwa guilty au not guilty? Na hua na wale wanaoitwa jury kwenye mahakama ambao wao mwisho wa case ndio wanaoamua km guily au not guilty pia. Sasa km huna pesa mnyonge unapewa lawyer wa serikali, na huyo lawyer wa kukutetea weye wa serikali aliyelipwa na serikali unahisi ana upendo au huruma na ww? Na ww ni mgeni? Na wengi wanachukia wageni? haswa na uwe muisilam. Kinachokua unashauriwa na huyo lawyer ukikubali mapema "Guilty" utapewa kifungo kidogo lkn ukikataa "not guilty" hadi mwisho jury wakisema guilty utapewa kifungo kikubwa mfano uliohai kesi ya madawa ya kulevya ukikubali mapema unapewa kifungo cha miaka 2, ukikataa wakikubali jury utakoma! kuna mtu namjua mm kafungwa miaka 17 hakukubali. Sasa ww unajua hakika hujafanya kile kitu lkn pengine mwenzio ametoa ushahidi wa uongo au ameku frame, namaana amekutilia yale madawa kukukamatisha. Na unaona kesi inaanza kukukalia vibaya utarisk kweli? Utaona haya nikubali Mungu atanilipia, ukikubali unapata kifungo kidogo, yanaisha. Unakuta kesi za London wanaokubali wengi hua hawajatenda lile kosa lkn wanakhofia kukaa mda mrefu gerezani bila hatia yeyote.

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 Před 6 lety

      Kumlipa lawyer ulaya hasa london nighali sana, haswa kwa kosa ambalo mtu hujafanya. Halafu wale wanaoeka lawyer wao wenyewe wenye pesa ndio afadhali kidogo hupata kung'ang'anua, na matajiri na wenye vyao hata wakikosa hawafungwi, Ma lawyer wanazipanga kesi vzuri sana na wala hawakubali hadi mwisho wa kesi km kaua ataambiwa hakukusudia na kupewa kifungo kidogo au atapelekwa kwa psychiatric bac.

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 Před 6 lety

      Dirock Gerard, kwani hujapata kuona watu wanaua, na mashahidi wanakuepo hapo ktk tukio "live" na mahakamani wanasema "not guilty"? Na wengine wanaachwa huru kabisa. Duniani popote hakuna haki wanaohukumu, wanaofanya uchunguzi na hao mashahidi wote wanaudhaifu. Haki ipo akhera anaehukumu ndie aliekuumba, hana mapungufu na viungo vyako ndivyo vitakavyotoa ushahidi sio mwengine.

    • @dirocksilikari1888
      @dirocksilikari1888 Před 6 lety +1

      Love Mummy ichi yetu United States hapa kila kona lazima ukute camera sasa hizi kesi za kusingiziana huku kwetu sinyingi police uwa mfano brack people wapigana risasi ww ujitokeze useme uliona eti furani naww unaigia kwenye ma tatizo juu hapa marekani sisi Akuna mtu anae toka inje hovyo hata usikie kuna mtu umepigwa shaba ni kosa kutoka juu hapa 90% kila mtu anakuwa anagari yake ukitoka inje unaingia ndani ya gari so Tanzania nimekuria uko tena nilikuwa na lafiki wengi waki police hata Mimi kuna wakati walikuwa wananigeukia ila bwana Mungu atuhurumie sana juu hao asikari wanapenda rushwa ila ichi ambazo nimeenderea kama marekani sisi uku Akuna rushwa kabisa yani ujichanganye uti una mpa asikari rushwa kama utafungiwa wapi sjuwi kweli

  • @atukuzwemungudaimaariseand6156

    Siwakati wa kumuhukumu uyu mzee angekua ameusika asingelia ukiona mtu mzima analia ivo anaonekana alizurumiwa aki yake lakini mungu ndie hakimu wa mwisho.kaona ana kosa kamtoa . Nijambi lakushukulu mungu.daima

  • @masoudjumanne2761
    @masoudjumanne2761 Před 6 lety

    Pole Sana, Mungu ndye atakurinda. Nimeumia Sana Mzee Wang

  • @secylovenessadaa4245
    @secylovenessadaa4245 Před 5 lety +1

    Pole sana Mzee wangu Mungu atakulipia

  • @lukusupierrewembolambert41
    @lukusupierrewembolambert41 Před 5 lety +30

    Tanzania haki iko wapi? Acheni ubinafsi mahkama tendeni haki kwa so wafungwa bure.

  • @matundsarah7827
    @matundsarah7827 Před 6 lety +15

    Nmeumia mnoo m spendii kuona ihhh halii jamanii naumiaga mnoo . m spend kuona MTU anaonewa jamani hata kipind nasoma mwalimu alikuwa akimchapa mwanafunz bila kosa nilikua naumia sana

  • @manyaramrema6531
    @manyaramrema6531 Před 5 lety +1

    Pole sana mzee Mungu ndo anajua sababu kuna kitu kakuepusha shukuru kwa kila jambo!

  • @tabuabdalah8661
    @tabuabdalah8661 Před 6 lety

    Pole sana baba yetu kwakweli machozi yamenitoka nimejizuwia nimeshindwa asante mungu asante rahissi wetu makfuli mungu ampe maisha marefu

  • @Purity493
    @Purity493 Před 6 lety +7

    Pole sana babaa, aki inauma

    • @sadanasibu1038
      @sadanasibu1038 Před 5 lety

      Hayo ndio maisha ya way an zan a wanyonge kwani mpaka sasa uonevu huo bado unaendelea . Tatizo kubwa ni mfimo wa elimu ya uraia lakini IPO SIKU HAYA YATAKWISHA japo haijulikani ni link.Binafsi Nina uchungu na hasira kwani Mimi pia ni muathirika wa uonevu huo ambao unaendelezwa kwa makusudi na hawa waliopewa dhima ya kuongoza na kusimamia hali MUNGU mpe maisha marefu na karama ya uongozi mh. JPM raising WA haki WA awamu ya tano Tanzania Aminaa

  • @mzeewamadodoso1816
    @mzeewamadodoso1816 Před 6 lety +66

    video hii imenitoa machozi..Hakuna kama Mungu

    • @selinalawrence9173
      @selinalawrence9173 Před 6 lety +1

      nimetoa choz Kama babaangu mzazi Jamani daaaah Kwer siyo Kla anae fungwa jera anakosa

    • @godwinmsuya6080
      @godwinmsuya6080 Před 6 lety +1

      Mzee Raphael, kweli unasikitisha sana, nami nasikitika pamoja nawe lakini Mungu alikuwa na makusudi nawe..huenda hao wabaya wako wangekuua kama unge kaa uraiani, basi mpe Mungu utukufu wake.... najua unalilia umri wako na muda wa maisha yako uliopotea... lakini jina la Mungu nalibarikiwe... Mzee Raphael, pole sana na Mungu akubariki sana sana.....

    • @elizabethtadeo1922
      @elizabethtadeo1922 Před 6 lety

      pole sana baba angu

    • @imanikipanga4108
      @imanikipanga4108 Před 6 lety

      MZEE WA MADODOSO mungu mwema ipo sku ardhi itapasuka na kutoa ushuhuda

    • @abdallamwandunga8949
      @abdallamwandunga8949 Před 6 lety

      Pole Sana mzeee

  • @julytito3891
    @julytito3891 Před 4 lety +1

    Yaan Machozi yananitoka tu kweli maishani huwa tunapitishwa sana

  • @rukiaabdallah92
    @rukiaabdallah92 Před 6 lety +145

    Machoz yako hayataenda bure baba maana mapolis wa tz ndo walivyo sasa sijui wanaiendesha vip nchi

  • @zehrahajji7216
    @zehrahajji7216 Před 6 lety +31

    mungu yupo tu Na ipo siku atawahukum APA APA duniani

    • @chiefsumwa5158
      @chiefsumwa5158 Před 6 lety

      Daa pole babu ata mm yamenikuta afande wa mangula walinikamata nakunipeleka mahakaman bila kosa lolote ila na mwachia mungu

    • @jumangodu2402
      @jumangodu2402 Před 6 lety

      Mwaka 74 simu......

    • @TheGame-nz7um
      @TheGame-nz7um Před 6 lety +1

      Sehem yeyote yenye shida akiingia Mrema huwa kuna jambo linatokea...na kuna wengi wapo Jela na wameonewa Mrema endelea kuzunguka magerezani...watanzania wengine sio wazuri kabisa...tafuteni ukweli.

    • @imaniegno8690
      @imaniegno8690 Před 6 lety

      Juma Ngodu duh imeniliza sn

    • @leahoketch8122
      @leahoketch8122 Před 6 lety

      Zehra Hajji x,

  • @irenepatrick5331
    @irenepatrick5331 Před 5 lety +2

    Mungu atakujibu,, chozi la mnyonge haliendi bure

  • @smwansasu8605
    @smwansasu8605 Před 6 lety

    Mzee aache kuishi jana itamuuma sana. Mungu atamrejeshea miaka yake iliyopotea. Asamehe tu yote yaliyomtokea. Pole sana baba.

  • @lewiswanyama2596
    @lewiswanyama2596 Před 6 lety +5

    daaah,inasikitisha sana jaman cku ya mateso yangu nan ataniokoa,mungu ata waona pole sana babu

  • @happydeo9070
    @happydeo9070 Před 5 lety +7

    Dada unasifa yakuitwa mtangazaji

  • @e_know4d222
    @e_know4d222 Před 4 lety

    Mtangazaji nakupenda bureee, Na pole babu mungu kaliona chozi lako

  • @jamestarimo2910
    @jamestarimo2910 Před 5 lety

    malipi na hapahapa diniani...na pengine washahukumiwa wote walio mzulumu maisha mzee wetu...Mungu amtie nguvu mzee wangu ..pole sama mzee

  • @mtindamtinangi6430
    @mtindamtinangi6430 Před 6 lety +12

    Uonevu wapolice duuh mungu tusaidie

    • @jafariabdalah2882
      @jafariabdalah2882 Před 6 lety

      pole zana mzee wangu Mungu ndo atakaehukum juu ya hili la uowevu dunia mapito