RC HAPI APIGA SIMU: ''KWANINI HUJAJA KWENYE MKUTANO WANGU''

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 02. 2020

Komentáře • 157

  • @dazzoofficial469
    @dazzoofficial469 Před 3 lety +1

    Kazi nzuri Sana hiyo mikopo huwa wanapeana au wanazikuwa nakujikopesha wenyewe

  • @kinyeletv313
    @kinyeletv313 Před 4 lety +10

    Huyu Dada wa pembeni kwa mkuu wa mkoa yaan mpana kweliii macho yake yako juu juu

  • @nehemiambembela442
    @nehemiambembela442 Před 4 lety +2

    Yaaaan #mpakaaaa mnyoookeeee mwaka huuuu @hapi

  • @nasibujuma6937
    @nasibujuma6937 Před 2 lety

    Hongera sana Ally Hapi . Natamani ungekuwa katavi

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 Před rokem

      Usiwasemee Wanakatavi ila muite aje awe mkuu wa kaya yako wewe

  • @truthnafact9081
    @truthnafact9081 Před 3 lety +2

    Duuuu haya mambo we we kama RC umehimiza hilo jambo?

  • @georgelupembe8672
    @georgelupembe8672 Před 4 lety +3

    ...Mkuuuuu.....anayeulizwa masuala yote ndani ya Halmashauri Ni accounting officer ambaye ni Mkurugenzi na si mkuu was Idara.

  • @frediricknandonde1690
    @frediricknandonde1690 Před 4 lety +3

    Yaani hapi unajua umekaa na Dada huyo hapo mbona kama kijipu hivi

  • @jonashusen950
    @jonashusen950 Před 4 lety +2

    Huyo mama hatulii et

  • @mohammedmuzaher1136
    @mohammedmuzaher1136 Před 4 lety +5

    This is wy i love Tanzania 100%

  • @erastokasambala6059
    @erastokasambala6059 Před 4 lety +10

    Huyo mama mbona hanautulivu

  • @ameenaabdood2974
    @ameenaabdood2974 Před 3 lety +1

    Safi baba nakupenda bila ghalama yn unamakavu atr

  • @fadhili2293
    @fadhili2293 Před 4 lety +3

    yani umpe mkopo mtu mwenyewazo tu na hakuna chochote anachofanya afu akishindwa kulipa umgeuke tena kuwa hakuwa makini. mawazo wakati wa kutafuta pesa kila mtu anayo.

  • @mr.maulidmahmoud1526
    @mr.maulidmahmoud1526 Před 3 lety +1

    Anaweza huyu jamaa

  • @jessicarasigu2220
    @jessicarasigu2220 Před 3 lety +3

    Mungu wangu viongozi Kama hawa siwangepatikana ata uku KENYA!!!!wa kenya tumiumia

    • @mweyoms5548
      @mweyoms5548 Před 3 lety

      Huko kwenu hamna Rais.Ni 'figure' tu.Mabeberu ndio wenye Urais.

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 Před rokem

      @@mweyoms5548 nashangaa kuona watu wanapenda kufugwa kama mbuzi tu eti hata kujieleza hapa hakunna

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 Před 4 lety +9

    Nawe dada ulokaa hapo pembeni mbona hutulii unawasiwasi wann mara ujikune loo

  • @juliansjuicebarmalindi1156

    Huyu anaweza kumrithi magufuli Peter from kenya

  • @ernestkomba4561
    @ernestkomba4561 Před 4 lety +2

    Kama wananchi hawajaanzisha shughuli yoyote ambayo wanahitaji kuiendeleza kwa mkopo na hawana mpango wa wanachotaka kufanya lakini wanatakiwa kupewa mkopo then hizo pesa sio mkopo nizawadi tu.

  • @barakaowenya3229
    @barakaowenya3229 Před 4 lety

    Mh ALlY HAPI uko vizuri

  • @alphaleahibrahim8904
    @alphaleahibrahim8904 Před 4 lety +4

    mkuu wa wilaya hamna kitu

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 Před 4 lety +3

    Uyo mama ni mpanaaaa hahahaha huhuhuhuhuhu

  • @Jamie-zp7bb
    @Jamie-zp7bb Před 3 lety +1

    SAFIII!!! NAONA MAGUFULI VERSION YA UZALENDO.

  • @victoriastephano4075
    @victoriastephano4075 Před 3 lety +1

    Uyo mama anaonekana jeuri

  • @bonimasero649
    @bonimasero649 Před 3 lety +1

    Samia akuone unafaa kua mbuge

  • @rabielulomi8607
    @rabielulomi8607 Před 4 lety +2

    Msihadaike na viongozi wanaojitangaza. Hawana uwezo wa kuamsha hamasa na kujenga teamwork spirit. Badala wanauaminisha uma kuwa hawalali kwa sababu ya kazi. Ni bahati mbaya wapo wanaodhani huo ndio umahiri.

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Před rokem

    9 NA 10 WEWE KIJANA NI MCHAPAKAZIII HASWAAA ILA WATANZANIA SIE KOROSHOOO NI KUBWAA SANA

  • @manasemwakilasa5931
    @manasemwakilasa5931 Před 4 lety +1

    Ka mama ako kanachungulia cm

  • @saidrajabu9589
    @saidrajabu9589 Před 4 lety +2

    Mh heshimiwa anza na huyo uliekuwa nae ana wasiwasi sana washakula hizo hela

  • @k2plusstudio858
    @k2plusstudio858 Před 3 lety +1

    Kazi kweri hawa wasimamizi hawana huruma na wananchi wanataka watu waikaumu serekari kazi kama hizi muse mnawapa watu wenye uchungu na nnchi na huruma

  • @comrademlewaisavile336
    @comrademlewaisavile336 Před 4 lety +4

    Bora nijiajir

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl Před 3 lety +2

    Sawa baba uzi huo huo na mungu awe nawe

  • @emmanuelbonifas3517
    @emmanuelbonifas3517 Před 3 lety

    Ongera mama kwa ujasili huo swali la kushtukiza uwa ni kazi sana kulijibu ila we dada wa pembeni nae ni tatizo tupu ila jua siku yako pia ipo

  • @valenakomba4453
    @valenakomba4453 Před 3 lety +1

    Hao ndivyo walivyo wakipata vijelimu kidogo tuu basi wanajiona kama malaika. Kazi yao wizi tuu.. Wezi wakubwa hao. Kazi zao ni kunyanyasa Wanawake wenzao.

  • @josephgregory2162
    @josephgregory2162 Před 4 lety +3

    Tutafika tuuu 🤝

  • @philbertruta2847
    @philbertruta2847 Před 3 lety +1

    Ndio maana nakuelewaga jaman sio mkuu wa mkoa kaz kukaa ofsin

  • @emmanueleinsteinmuro7306
    @emmanueleinsteinmuro7306 Před 4 lety +1

    Safi sana Mkuu.

    • @alexsamwel4637
      @alexsamwel4637 Před 4 lety +1

      Hii inadhihirisha uongozi mbovu. Kiongozi mzuri ni yule anayeanza na kujenga timu yake kisha kwa pamoja wanashuka kwa wananchi. Hivi mkuu wa mkoa kweli hajamuelewa Afisa wake, anazidi kumkolomea tu... Hivi hajui kweli adha wanazokutana nazo kwa kukopesha pesa kiholela kama anavyotaka yeye. ? Eti mimi nilikua mkuu wa wilaya, najua. Kwani fedha hizi anashughulikia Mkuu wa Wilaya au Mkurugenzi??
      Kuna haja ya viongozi kujitathmini katika kujenga uongozi bora.

  • @nimrodsigulu2053
    @nimrodsigulu2053 Před 4 lety +5

    Sasa mbona wale wa serikali za mitaa hawakupewa elimu kujaza fomu?

  • @abdullahjuma9206
    @abdullahjuma9206 Před 3 lety +1

    ilikuwa zamani kwa sasa hiyo stahili niyakizamani

  • @bishopmosesmagadula7572
    @bishopmosesmagadula7572 Před 4 lety +2

    Ameshitukizwa. Huyo. Mama.

  • @waytvtz2549
    @waytvtz2549 Před 3 lety +1

    Hivi hawa wakurugenz au wakuu wa idara hizo pesa na za kwao ili wakumbatie hivyo

  • @hassanmalingumu79
    @hassanmalingumu79 Před 4 lety +1

    wangepewa elimu na wale wa uchaguzi wa mitaa walokosa sifa kwa sababu ya kujaza fomu vibaya

  • @hadijalukasmdeg9987
    @hadijalukasmdeg9987 Před 4 lety +6

    huyo mama alieko jirani ya mkuu wa mkowa mbona yuko juujuu kama antena iliyoyumba nyie mmemuelewa?

  • @jacquelinejohannes386
    @jacquelinejohannes386 Před 4 lety +2

    Huyo mama hapo kuria anawadhifa gan

  • @aloimaray1769
    @aloimaray1769 Před 2 lety

    Mkuu wa wilaya ndiye alifanya ashughulikie raia wake

  • @josephmlela9757
    @josephmlela9757 Před 4 lety +2

    hatareeeeee

  • @denisjoel1592
    @denisjoel1592 Před 3 lety

    Aise yaan mm hata mkuu wa wilaya tarime simfaham km hawa akina happy ndo tunaowahitaj njoo tarime boss utusaidie

  • @saidibakari3440
    @saidibakari3440 Před 4 lety +3

    Zile sifa mlizo wafungia wapinzani kwenye uchaguzi WA mitaa

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 Před rokem

      Kwa akili mbovu walizonazo nazo nayo yalikuwa maendeleo kuiba kura

  • @youngsimbawcb1814
    @youngsimbawcb1814 Před 4 lety +2

    Duuuh,hatariiiiii

  • @safarimashingasafarimashinga

    Ilahuyo kiongoz kama magufuri kiukwel ila bastu ninge pata namba yake ninge mpa pongez

  • @jome60
    @jome60 Před 4 lety +3

    Huuyu mama alie pembeni mbona hatulii

  • @hadjamlkong0851
    @hadjamlkong0851 Před 4 lety +1

    Tumbua jipi ilo

  • @kenybenjiz7850
    @kenybenjiz7850 Před 4 lety +1

    Dc huyo Dada nmemuelewa sana

  • @japhetbarton8268
    @japhetbarton8268 Před 4 lety +2

    Siku inakuja itafaamika tu

  • @ikramallyikran5212
    @ikramallyikran5212 Před 4 lety +3

    Duuuuu yaaan km tangu enzi za baba wa taifa km ingekuwa km hiv hil taifa lingekuwa la mwanzo africa cz lina lasilimali nying sana but too late now

    • @alexsamwel4637
      @alexsamwel4637 Před 4 lety

      Hii inadhihirisha uongozi mbovu. Kiongozi mzuri ni yule anayeanza na kujenga timu yake kisha kwa pamoja wanashuka kwa wananchi. Hivi mkuu wa mkoa kweli hajamuelewa Afisa wake, anazidi kumkolomea tu... Hivi hajui kweli adha wanazokutana nazo kwa kukopesha pesa kiholela kama anavyotaka yeye. ? Eti mimi nilikua mkuu wa wilaya, najua. Kwani fedha hizi anashughulikia Mkuu wa Wilaya au Mkurugenzi??
      Kuna haja ya viongozi kujitathmini katika kujenga uongozi bora.

    • @happynesselisha2048
      @happynesselisha2048 Před 4 lety

      Naona hamna kumbukumbu kweli. Nyerere had sh tano ilikuwa na kaz.sasa hivi shika mia uone kama inakaz. Halafu mnasema uchumi unapanda

  • @husnamahadhi7437
    @husnamahadhi7437 Před 4 lety +2

    Huyo mwanamama hapo

  • @jacklinamani7519
    @jacklinamani7519 Před 4 lety +1

    Mbn huyo dada Alie kaaa hapo pemben ya mkuu wamkoa anawenge na kitambaa chake alichofunga kama tupak

  • @abelzablon5977
    @abelzablon5977 Před 4 lety +1

    Kweli hizo ndo kanuni za utumishi

  • @rashidinyegele4077
    @rashidinyegele4077 Před 4 lety +2

    Huyo wa pemben mumbeya

  • @jobutunugu4348
    @jobutunugu4348 Před 4 lety +3

    Mambo gani hayo? Mkuu wa mkoa tumia busara zako muite ofcn ongea nae

    • @antonynzalalila9282
      @antonynzalalila9282 Před 4 lety +1

      sawa kabisa hata kama ni hivyo wakae viongozi kwanza na kuangalia nin mkutano unataka then mambo yaendelee ila now serikali inataka presha kwa watumishi ni sio ufuatiliaji, na kwangu sidahni kama ni busara kufanya hivyo bila kuwa na maandalio ya mkutano wa viongozi wa mkoa au wilaya

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 Před rokem

      @@antonynzalalila9282 wamerithi ile tabiaa 🤣

  • @mariaferick7381
    @mariaferick7381 Před 4 lety +3

    iii mbwa iiyovaa kilemba mbona inahangaika

  • @kilongofilms
    @kilongofilms Před 4 lety +1

    Hahahahaaaa huyo dada apo pembeni kama anahofu

    • @gavanaimrani6777
      @gavanaimrani6777 Před 3 lety

      Weeee uyo namjua ni Moto wakukalia mbali nimemjua kinondoni nilikua namtania tania

  • @captaincloud7youngpol692

    Ila hawa maafisa maendeleo wa kata sijui mabibi maendeleo wengi chenga sana . mwingine yupo office ya kata Dodoma makulu. Tusaidien kuwaweka sawa

  • @amrimzeru2913
    @amrimzeru2913 Před 4 lety +1

    Viongozi tuna jambo la kujifunza

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 Před 3 lety

    Moto huu sasa umehamia Tabora.Watendaji wazembe wajiandae

  • @mandegoro9322
    @mandegoro9322 Před 4 lety

    Duu! Kazi ipo bado. Yaan watendaji bado ni mizigooo

  • @SalimMajidi-jc1bq
    @SalimMajidi-jc1bq Před 10 měsíci

    Muhuni

  • @samsonmwaipwisi313
    @samsonmwaipwisi313 Před 4 lety +2

    Hakuna mtu hapo

  • @afrenmgeyekwa8440
    @afrenmgeyekwa8440 Před 3 lety

    Sheria inasemaje siyo wee mkuu wa mkoa

  • @agneshumry422
    @agneshumry422 Před 4 lety

    Nimefurahi kusikia hivyo hizo wanagawanaga hao ccm wanaojua kuvaa sare hata huku wapo

  • @deusdeditswebe8930
    @deusdeditswebe8930 Před 4 lety +2

    Kila kitu mpaka mjeledi.... ndiyo tutafika

  • @pierrejackson6865
    @pierrejackson6865 Před 4 lety +2

    Sasa mradi ukigoma, mkopo utalipwa vipi?. Utapewaje mkopo kama huna source ya kukufanya ulipe(kua na kazi flani)? Kwakweli nashindwa kuelewa kosa la uyo mama scola. Mana anachofanya ni taratibu hata za utoaji mikopo bank.

    • @alexsamwel4637
      @alexsamwel4637 Před 4 lety +1

      Hii inadhihirisha uongozi mbovu. Kiongozi mzuri ni yule anayeanza na kujenga timu yake kisha kwa pamoja wanashuka kwa wananchi. Hivi mkuu wa mkoa kweli hajamuelewa Afisa wake, anazidi kumkolomea tu... Hivi hajui kweli adha wanazokutana nazo kwa kukopesha pesa kiholela kama anavyotaka yeye. ? Eti mimi nilikua mkuu wa wilaya, najua. Kwani fedha hizi anashughulikia Mkuu wa Wilaya au Mkurugenzi??
      Kuna haja ya viongozi kujitathmini katika kujenga uongozi bora.

    • @pierrejackson6865
      @pierrejackson6865 Před 4 lety +3

      @@alexsamwel4637 yani upo sawa kabisa. Na mimi uo ni mtazamo wangu. Enzi ya saivi viongozi wamekuwa wanalewa sana madaraka akiwemo uyo RC wa iringa. Yani imekuwa kiongozi ndo mjuaji wa kila kitu. Yani ukihojiwa hadharani, ata ukijieleza vizuri watatafuta namna ya kukufanya uonekane na kosa ili yy aonekane mjuaji. Mara ohh sijui nimekua mkuu wa wilaya. Yani hii hali inakera sana. Sana.

    • @eliudymhapu1750
      @eliudymhapu1750 Před 4 lety

      @@pierrejackson6865 kiongozi unatakiwa uwa busti wananchi wako sio eti hawana sifa.

    • @uledimtumwa2406
      @uledimtumwa2406 Před 4 lety

      Acha uongo, mbona wanafunzi vyuo vikuu wanakopeshwa na hawana chanzo chochote cha kuwafanya walipe??? Mtazamo finyu huo.

    • @pierrejackson6865
      @pierrejackson6865 Před 4 lety

      @@uledimtumwa2406 nahisi elimu yako fupi sana. Mkopo kwenye kusoma tayari upo ktk mfumo wa sharti. Ambalo ni kwamba kuupata lazima uwe shuleni na uwe umefaulu advance. Na ndo mana sio kila mtu anapata mkopo. Kingine uyo mwanafunzi anapopewa mkopo, serikali tayari inafahamu kuwa muda wowote akipata kazi deni linalipwa. Unaelewa? Ila sasa unapotoa mkopo bila ya mtu kuwa na aina yyt ya kipato, kwamba aanzishe biashara yyt, ikishindikana kutokana labda hakuwa na mpango timilifu au mzuri, utafanyaje sasa? Na vipi kama wengi wao ndo ikawa ivo? Tumia akili bana.

  • @cecygeorge4443
    @cecygeorge4443 Před 3 lety

    Mama huyo mmh anahisi atatajwa hapo

  • @pitargamba9208
    @pitargamba9208 Před 3 lety

    Huyo aliyopo kushoto mbona kiburi

  • @hawaafrica803
    @hawaafrica803 Před 4 lety +1

    Shoga hapo alokaa hapo karibu na Dc mbona kijasho chembamba kulikoni😃

  • @barakanatus5676
    @barakanatus5676 Před 3 lety

    Mkuu wa mkoa, pia na afisa ajiamini ila yupo sawa , kikund wapate sifa?

  • @jacklinamani7519
    @jacklinamani7519 Před 4 lety +1

    Mbn huyo mama anaweka mkono kwenye kit Cha mkuu wa mkoa . anawenge sana

  • @jonathanntare4787
    @jonathanntare4787 Před 4 lety +2

    Wazee wa Kiki

  • @erastokasambala6059
    @erastokasambala6059 Před 4 lety +3

    Huyo mama pembeni ni nani,

  • @mangegervas9651
    @mangegervas9651 Před 4 lety

    Gud

  • @hamadimadisa9346
    @hamadimadisa9346 Před 4 lety +1

    jamani hishma ya mkutano nini

  • @abdulbora812
    @abdulbora812 Před 2 lety

    Futa yeye kazi

  • @boniphacerobert9533
    @boniphacerobert9533 Před 4 lety

    Taratbu bhana

  • @CalvinNaftari
    @CalvinNaftari Před 4 měsíci

    Vq

  • @lugob5050
    @lugob5050 Před 4 lety +1

    [2/17, 17:25] Juleyza: czcams.com/video/2HPyExJg2bg/video.html
    [2/24, 16:22] Juleyza: czcams.com/video/I1GNPwjNy2Y/video.html👆👆👆👆👆👆👆👆👆🔥🔥🔥🙏🙏🙏🔥🔥🙏

  • @farhatfatma12
    @farhatfatma12 Před 4 lety

    Style hii ya uongozi naomba uwe unaendelea nyuma ya mlango.... lakini kama style hii mbele ya tv tu na nyuma ya pazia hakuna kitu sioni kama itasaidia sana nchi. Naamini watu wanahojiwa hivi mbele ya tv kwasababu nyuma ya pazia hakuna juhudi yoyote.

  • @harounsubert4605
    @harounsubert4605 Před 4 lety

    Kulewa madaraka huku duuuuuh

  • @malelabmalela5016
    @malelabmalela5016 Před 3 lety +1

    jaman

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před 4 lety

    Wanyoshen hvohvo hapi hakuna namna usanii umezid Tanzania

  • @polokotomwalusamba1132

    Acha ubabe dogo kwa watumishi wenzio

  • @shabanadam2100
    @shabanadam2100 Před 3 lety

    Wewe Ali unavyo shout 🙌 hapo publicly huyu sio mtumwa na mtwana kuna jinsi ya kuongea kwa kuheshimiana in respect acha ushamba wa hicho cheo

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 Před 4 lety

    Roho mbaya hio unaongea kwahasira hayo maisha tuu cheo ni dhamana mda wowote kinaweza kwisha ndugu ikumbuke nakesho yako halafu unavyomuongelesha huyo dada km ugomvi jmn hata salam et unaanza tuu wee scola mmmh,,Yaa ALLAH tufanyie wepes kwenye ridhiq nahaswa ridhiq zakuajiriwa ngumu mie mwenzenu siwez wallah

  • @davidst8951
    @davidst8951 Před 4 lety +1

    Huyu mama hajitambui kabisa hana utulivu,wala akili ya kukaa mbele ya umati wala Mesa kuu....MTU mzima hovyoooo unajikunakuna...umeharibu video na ujumbe...jiheshimu wewe

  • @saidisaidi1332
    @saidisaidi1332 Před 4 lety

    Vyeo vyakuwapa wajinga wanasumbua sana

  • @saidisaidi1332
    @saidisaidi1332 Před 4 lety

    Yaan lengo la RC hapo ni kuchukua umaarufu mbele za watu na c kuwa ni mchapa kazi ulofa mtupu

  • @JamallyHMlela
    @JamallyHMlela Před 4 lety +11

    Bora nijiajiri serikali yenu kaeni nayo wenyeww

  • @emmiradorjunior3153
    @emmiradorjunior3153 Před 2 lety

    Huyo dada wa pembeni hajiamini Kama kapigwa na bomu kichwani..